Kassim mafuta na abuu ismaiil kuweni kitu kimoja dini yende mbele mucwape nguvu makafir nyote muna lengo zuri anaekosea itumike njia nzuri ya kukutana sio mitandaoni.shukran
Abuu Ismaiyl kapoteza vijana wengi sana Mwanza,, ukhawaarij mbaya sana. Huu muhadhara wake alijibiwa na Sheikh Abulfadhil hakujibu tena. Kupata majibu ya huu muhadhara nenda firqatunnaajia-masheikh mbalimbali-abulfadhwil-Raddi kwa Abuu Ismaily
Jisomee mwenyewe suratul TAUBAH NA BAQARA wewe mwenyewe hii ndo shida yetu hatusomi twaskiza masheikh, ALLAH KASEMA "MSIWAITE WALIO UWAWA KWA AJILI YA MWENYEZI MUNGU KAMA MAITI ILA WAPO HAI" Waona ni kauli ndogo hiyoooo ongeza Na akili yako
@@JumaShaban-ec9ki kama hutaki basi baki na akili yako hiyo hiyo, lakn huo ndio ukweli elimu alikua nayo Ila kitendo cha kuacha haqq tu akabakia Jina tu na makelele mtandaoni.
@@IsmailMasule mimi sijaipima haqq baada ya kuacha haqq aliambiwa na wale walio KUA na ujuzi mfano wake na alikata akabakia na upotevu wake katika manhaj, ujinga wangu ni nafuu kuliko wako Ambao hauja faham Bado kuhusu upotevu wake.
Wewe ndokatika watu waliesababisha mpaka Jovi Leo mazambiki amani imetoeka kwa sababu ya watu kama WW mpombavu nkubwa kwaza WW unapata faida gani acha kutuharibiya vijana wetu
Allah amuhifadhi sheikh wetu qasim mafuta,,,Wallahi qasim mafuta Ni sheikh mwenye maarifa na ilmu kubwa na ss tumefaidika sana na kupitia yeye tumefahamu daawa salafiya daawa ya haki ambayo tulikuwa hatujaijua watu wa east afrika ,,,,tulikuwa tumepotezwa na kina rogo na Abuu Ismail na daawa yao potofu ya kikhawaarij,,,,labda wewe uwe humfahamu sheikh qaasim,,,lkn ukimfahamu utajua ni mwanachuoni ,,,Allah akuongoze ufahamu haqq
@@ABUUJAAFAR92 mm namfatiliya saana Sheikh Qassim mafuta Allah amuhifadhi kupitiya yye watu tumefaidika mengi japo tuko mbali nae ila iko siku tutakutana nae na Muomb Allah aweze kutukutanisha nae in shaa Allah
MAWAHABI NDO KAZI YENU KUKUFURUSHANA NA KUTIANA MOTONI KILA MTU ANAJUA YEYE JIFUNZENI UCHAAMUNGU MUKIFIKIA DARAJA ZA UCHAAMUNGU HAMTAFANYA HIVI JIFUNZENI UCHAAMUNGU U
HII CLIP IMENISIKITISHA SANA MUMEONDOKA KUTUTUKANA MASUFI SAIVI MNATUKANANA WENYEWE KWA WENYEWE MAWAHABI MTIHANI NA MSIBA MKUBWA HUU WAISLAM WENYEWE KWA WENYEWE TUNAGOMBANA SALAFI SUFI TABLIGH NA WENGINE MTIHANI HUU
Allah hakufanyie wepesi shekh daa 😢😢😢😢
Allah amlinde Sheik'h QASSIM MAFUTA
Amiin
Allah akupe subra ndugu yangu,hao masalafi wapya achana nao,we baki kwenye haqi tu
ALLAH amlipe Abuu ismuil Kasimu mafuta siye ameleta fitna Huyu mafuta ni mnafik sipo Pamoja
Allah awaongoze
Innaalillaahi wainnaailayhi raajiuun kumbe ni kweli haya makundi yanayozuka ni wawakilishi wa mmarekani
Ndio hata wao hawajielewi wanatumiwa kama rimoti wajinga watupu wallah
Kassim mafuta na abuu ismaiil kuweni kitu kimoja dini yende mbele mucwape nguvu makafir nyote muna lengo zuri anaekosea itumike njia nzuri ya kukutana sio mitandaoni.shukran
Abuu Ismaiyl kapoteza vijana wengi sana Mwanza,, ukhawaarij mbaya sana.
Huu muhadhara wake alijibiwa na Sheikh Abulfadhil hakujibu tena.
Kupata majibu ya huu muhadhara nenda firqatunnaajia-masheikh mbalimbali-abulfadhwil-Raddi kwa Abuu Ismaily
Jisomee mwenyewe suratul TAUBAH NA BAQARA wewe mwenyewe hii ndo shida yetu hatusomi twaskiza masheikh, ALLAH KASEMA "MSIWAITE WALIO UWAWA KWA AJILI YA MWENYEZI MUNGU KAMA MAITI ILA WAPO HAI" Waona ni kauli ndogo hiyoooo ongeza Na akili yako
Hakujibu alifungwa angejibia jela ???
Angejbu vp ili hali kashakamatwa na kuwekwa jela
Mafuta ameleta fina kubwa na kuvuruga waislamu hapa tz ni muongo xana anachuki na watu nimuongo kweli kweli
Allah amuongoze jahhil mafuta ameua fikra ya din kwa vijana tz
Ameua fikra za ugaidi dini sio ugaidi wala maandamano
uyu jamaa kama anasira ukweli unauma kila siku Allah akuongoze
Ni mtu mbaya sasa shekh yule Allah atafichua mnafiq
Raddi radi allah amzidishie unafiki qasim mafuta mpaka sku ya mwisho
Mnajua ukagiri kwa sabbu na nyinyi hamjui mnachokifuata
Ni kweli Abu Ismail kasoma lakini baada ya kuacha haqq na kujiunga na majambazi tu elimu yote ikapukutika.
Acha unafiq
@@JumaShaban-ec9ki kama hutaki basi baki na akili yako hiyo hiyo, lakn huo ndio ukweli elimu alikua nayo Ila kitendo cha kuacha haqq tu akabakia Jina tu na makelele mtandaoni.
@@ibnayub2374
Huna hoja kijana sema tumewazoea mashekhe dunia tu
Haqqi unaipima wewe usie na elimu kwavle mshabiki wa uyo fbi mweusi du kiama kipo Karibu elimu ya din inazd kupotea
@@IsmailMasule mimi sijaipima haqq baada ya kuacha haqq aliambiwa na wale walio KUA na ujuzi mfano wake na alikata akabakia na upotevu wake katika manhaj, ujinga wangu ni nafuu kuliko wako Ambao hauja faham Bado kuhusu upotevu wake.
لا یرث المٶمن الکافر
Wewe ndokatika watu waliesababisha mpaka Jovi Leo mazambiki amani imetoeka kwa sababu ya watu kama WW mpombavu nkubwa kwaza WW unapata faida gani acha kutuharibiya vijana wetu
Mpumbavu ni wewe unaejiandikia bila elm yeyote unatumia akili yako sio kitaab quran
Salafi wa daamaj wote wapumbavu saana
Hii kweli tena KWELI KABISA hiiiii IMEENDA IMEENDA KABISA MAFUTA NI MNAFIK MZANDI MOTO WA JAHANAM UNAMHUSU 💯 kwa 💯 ✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅
kwaiyo una elimu ya siri kuwa
Duuh!!Allah akuongoze wewe uliyesema maneno hayo, , ,
@@abdulshaban5428 aamiin soote
Allah amuhifadhi sheikh wetu qasim mafuta,,,Wallahi qasim mafuta Ni sheikh mwenye maarifa na ilmu kubwa na ss tumefaidika sana na kupitia yeye tumefahamu daawa salafiya daawa ya haki ambayo tulikuwa hatujaijua watu wa east afrika ,,,,tulikuwa tumepotezwa na kina rogo na Abuu Ismail na daawa yao potofu ya kikhawaarij,,,,labda wewe uwe humfahamu sheikh qaasim,,,lkn ukimfahamu utajua ni mwanachuoni ,,,Allah akuongoze ufahamu haqq
@@ABUUJAAFAR92 mm namfatiliya saana Sheikh Qassim mafuta Allah amuhifadhi kupitiya yye watu tumefaidika mengi japo tuko mbali nae ila iko siku tutakutana nae na Muomb Allah aweze kutukutanisha nae in shaa Allah
😂😂😂 yupo huyu jahli muraqab
MAWAHABI NDO KAZI YENU KUKUFURUSHANA NA KUTIANA MOTONI KILA MTU ANAJUA YEYE
JIFUNZENI UCHAAMUNGU MUKIFIKIA DARAJA ZA UCHAAMUNGU HAMTAFANYA HIVI
JIFUNZENI UCHAAMUNGU U
Salafi mmeua fikra ya dini mme endekeza fedheha hamjitambui
Halka ni kitu gani? Au anakusudia halaqa? 😂
Unamuuliza nani sasa kaka
@@mubarakaibrahim5715 ungejibu tu hata wew, haikuwa na haja kureply kwa kuuliza tena swali
HII CLIP IMENISIKITISHA SANA MUMEONDOKA KUTUTUKANA MASUFI SAIVI MNATUKANANA WENYEWE KWA WENYEWE MAWAHABI
MTIHANI NA MSIBA MKUBWA HUU WAISLAM WENYEWE KWA WENYEWE TUNAGOMBANA SALAFI SUFI TABLIGH NA WENGINE MTIHANI HUU
Sio wenyewe kwa wenyewe,,,Bali Ni masalafi na makhawaarij,,,,,kwahio Kuna tofauti,,