Topic:Qowlul Haq, Abul Fadhwil Qasim Mafuta Ni Muongo Sana - By Sheikh Abuu Ismail Ibrahim. Mwanza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024

Комментарии • 52

  • @AllyJohn-u5c
    @AllyJohn-u5c 29 дней назад

    Allah hakufanyie wepesi shekh daa 😢😢😢😢

  • @twahaabrahman-ev8co
    @twahaabrahman-ev8co Год назад +4

    Allah amlinde Sheik'h QASSIM MAFUTA

  • @ismaailabuughariyb313
    @ismaailabuughariyb313 7 месяцев назад +1

    Allah akupe subra ndugu yangu,hao masalafi wapya achana nao,we baki kwenye haqi tu

  • @shebyabdallah5854
    @shebyabdallah5854 9 месяцев назад +1

    ALLAH amlipe Abuu ismuil Kasimu mafuta siye ameleta fitna Huyu mafuta ni mnafik sipo Pamoja

  • @husseinihassani3541
    @husseinihassani3541 9 месяцев назад +1

    Innaalillaahi wainnaailayhi raajiuun kumbe ni kweli haya makundi yanayozuka ni wawakilishi wa mmarekani

    • @user-ls3yu3oz4whgfxzzz
      @user-ls3yu3oz4whgfxzzz 8 месяцев назад

      Ndio hata wao hawajielewi wanatumiwa kama rimoti wajinga watupu wallah

  • @HajjiVuai
    @HajjiVuai 6 месяцев назад

    Kassim mafuta na abuu ismaiil kuweni kitu kimoja dini yende mbele mucwape nguvu makafir nyote muna lengo zuri anaekosea itumike njia nzuri ya kukutana sio mitandaoni.shukran

  • @mohamedmussa7258
    @mohamedmussa7258 Год назад +2

    Abuu Ismaiyl kapoteza vijana wengi sana Mwanza,, ukhawaarij mbaya sana.
    Huu muhadhara wake alijibiwa na Sheikh Abulfadhil hakujibu tena.
    Kupata majibu ya huu muhadhara nenda firqatunnaajia-masheikh mbalimbali-abulfadhwil-Raddi kwa Abuu Ismaily

    • @aliandrew3537
      @aliandrew3537 11 месяцев назад

      Jisomee mwenyewe suratul TAUBAH NA BAQARA wewe mwenyewe hii ndo shida yetu hatusomi twaskiza masheikh, ALLAH KASEMA "MSIWAITE WALIO UWAWA KWA AJILI YA MWENYEZI MUNGU KAMA MAITI ILA WAPO HAI" Waona ni kauli ndogo hiyoooo ongeza Na akili yako

    • @IsmailMasule
      @IsmailMasule 11 месяцев назад

      Hakujibu alifungwa angejibia jela ???

    • @sharifumussa6846
      @sharifumussa6846 10 месяцев назад

      Angejbu vp ili hali kashakamatwa na kuwekwa jela

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 4 месяца назад

      Mafuta ameleta fina kubwa na kuvuruga waislamu hapa tz ni muongo xana anachuki na watu nimuongo kweli kweli

  • @IsmailMasule
    @IsmailMasule Год назад +1

    Allah amuongoze jahhil mafuta ameua fikra ya din kwa vijana tz

    • @mussabendera1751
      @mussabendera1751 Год назад

      Ameua fikra za ugaidi dini sio ugaidi wala maandamano

    • @abdallahmoussa614
      @abdallahmoussa614 Год назад

      uyu jamaa kama anasira ukweli unauma kila siku Allah akuongoze

  • @mshambaused3840
    @mshambaused3840 10 месяцев назад

    Ni mtu mbaya sasa shekh yule Allah atafichua mnafiq

  • @IsmailMasule
    @IsmailMasule Год назад +1

    Raddi radi allah amzidishie unafiki qasim mafuta mpaka sku ya mwisho

  • @user-ls3yu3oz4whgfxzzz
    @user-ls3yu3oz4whgfxzzz 8 месяцев назад

    Mnajua ukagiri kwa sabbu na nyinyi hamjui mnachokifuata

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 Год назад +3

    Ni kweli Abu Ismail kasoma lakini baada ya kuacha haqq na kujiunga na majambazi tu elimu yote ikapukutika.

    • @JumaShaban-ec9ki
      @JumaShaban-ec9ki Год назад

      Acha unafiq

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 Год назад

      @@JumaShaban-ec9ki kama hutaki basi baki na akili yako hiyo hiyo, lakn huo ndio ukweli elimu alikua nayo Ila kitendo cha kuacha haqq tu akabakia Jina tu na makelele mtandaoni.

    • @JumaShaban-ec9ki
      @JumaShaban-ec9ki Год назад

      @@ibnayub2374
      Huna hoja kijana sema tumewazoea mashekhe dunia tu

    • @IsmailMasule
      @IsmailMasule Год назад

      Haqqi unaipima wewe usie na elimu kwavle mshabiki wa uyo fbi mweusi du kiama kipo Karibu elimu ya din inazd kupotea

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 Год назад

      @@IsmailMasule mimi sijaipima haqq baada ya kuacha haqq aliambiwa na wale walio KUA na ujuzi mfano wake na alikata akabakia na upotevu wake katika manhaj, ujinga wangu ni nafuu kuliko wako Ambao hauja faham Bado kuhusu upotevu wake.

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Год назад

    لا یرث المٶمن الکافر

  • @user-th1ok3wq3f
    @user-th1ok3wq3f Год назад

    Wewe ndokatika watu waliesababisha mpaka Jovi Leo mazambiki amani imetoeka kwa sababu ya watu kama WW mpombavu nkubwa kwaza WW unapata faida gani acha kutuharibiya vijana wetu

    • @aliandrew3537
      @aliandrew3537 11 месяцев назад

      Mpumbavu ni wewe unaejiandikia bila elm yeyote unatumia akili yako sio kitaab quran

  • @IsmailMasule
    @IsmailMasule Год назад

    Salafi wa daamaj wote wapumbavu saana

  • @azizaj776
    @azizaj776 Год назад +1

    Hii kweli tena KWELI KABISA hiiiii IMEENDA IMEENDA KABISA MAFUTA NI MNAFIK MZANDI MOTO WA JAHANAM UNAMHUSU 💯 kwa 💯 ✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅

    • @abdallahmoussa614
      @abdallahmoussa614 Год назад

      kwaiyo una elimu ya siri kuwa

    • @abdulshaban5428
      @abdulshaban5428 Год назад

      Duuh!!Allah akuongoze wewe uliyesema maneno hayo, , ,

    • @abdallahmoussa614
      @abdallahmoussa614 Год назад

      @@abdulshaban5428 aamiin soote

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Год назад +2

      Allah amuhifadhi sheikh wetu qasim mafuta,,,Wallahi qasim mafuta Ni sheikh mwenye maarifa na ilmu kubwa na ss tumefaidika sana na kupitia yeye tumefahamu daawa salafiya daawa ya haki ambayo tulikuwa hatujaijua watu wa east afrika ,,,,tulikuwa tumepotezwa na kina rogo na Abuu Ismail na daawa yao potofu ya kikhawaarij,,,,labda wewe uwe humfahamu sheikh qaasim,,,lkn ukimfahamu utajua ni mwanachuoni ,,,Allah akuongoze ufahamu haqq

    • @abdallahmoussa614
      @abdallahmoussa614 Год назад +1

      @@ABUUJAAFAR92 mm namfatiliya saana Sheikh Qassim mafuta Allah amuhifadhi kupitiya yye watu tumefaidika mengi japo tuko mbali nae ila iko siku tutakutana nae na Muomb Allah aweze kutukutanisha nae in shaa Allah

  • @nasirdinmohammed8741
    @nasirdinmohammed8741 Год назад

    😂😂😂 yupo huyu jahli muraqab

  • @mussakhamis-g8c
    @mussakhamis-g8c Год назад

    MAWAHABI NDO KAZI YENU KUKUFURUSHANA NA KUTIANA MOTONI KILA MTU ANAJUA YEYE
    JIFUNZENI UCHAAMUNGU MUKIFIKIA DARAJA ZA UCHAAMUNGU HAMTAFANYA HIVI
    JIFUNZENI UCHAAMUNGU U

  • @IsmailMasule
    @IsmailMasule Год назад

    Salafi mmeua fikra ya dini mme endekeza fedheha hamjitambui

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 Год назад

    Halka ni kitu gani? Au anakusudia halaqa? 😂

    • @mubarakaibrahim5715
      @mubarakaibrahim5715 Год назад +1

      Unamuuliza nani sasa kaka

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 Год назад

      @@mubarakaibrahim5715 ungejibu tu hata wew, haikuwa na haja kureply kwa kuuliza tena swali

  • @mussakhamis-g8c
    @mussakhamis-g8c Год назад

    HII CLIP IMENISIKITISHA SANA MUMEONDOKA KUTUTUKANA MASUFI SAIVI MNATUKANANA WENYEWE KWA WENYEWE MAWAHABI
    MTIHANI NA MSIBA MKUBWA HUU WAISLAM WENYEWE KWA WENYEWE TUNAGOMBANA SALAFI SUFI TABLIGH NA WENGINE MTIHANI HUU

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Год назад +1

      Sio wenyewe kwa wenyewe,,,Bali Ni masalafi na makhawaarij,,,,,kwahio Kuna tofauti,,