EXCLUSIVE: MANARA AJIBU "MIMI SIO MFANYAKAZI YANGA, SINA USHKAJI NA HERSI, GAMONDI HATUSALIMIANI"

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 510

  • @googleus4903
    @googleus4903 2 месяца назад +1

    Milard Ayo brand kubwa🙌🙌🙌 Mungu aendelee kukufungulia mwamba mtu smart sana.

  • @khalefkhalef5733
    @khalefkhalef5733 2 месяца назад +282

    Waliokuja baada ya kuona vipande Instagram wana like hapa 🎉

  • @mashakaSelemani-t1q
    @mashakaSelemani-t1q 2 месяца назад +21

    Semaji ni mmoja tu MANARA🎉

  • @GetrudaMakwisa
    @GetrudaMakwisa 2 месяца назад +21

    Upo vizuri kaka wanayanga tunakupenda Rudi uisaidie timu yetu

  • @amosmarandu5485
    @amosmarandu5485 2 месяца назад +20

    Kwa maono hayo ya Manara ya kutengeneza wachezaji namsupport kwa asilimia 101%👍🏽

  • @hesamtz1381
    @hesamtz1381 2 месяца назад +2

    Kosa la Manara ana changamoto ya kwenye kufuata leadership, ila anachokiamini ukimpa kazi muache ajitoe kwa 100% ,ikitokea umempangia cha kufanya wakati huna weledi nalo basi Hapo ndio tatzo lilipo..kiukweli Manara very very Talented, katika kitu Ninachoamini siku Akimiliki Timu hapo ndio Full Talent Tutaiona.

  • @JohnWaitara-n2l
    @JohnWaitara-n2l 2 месяца назад

    Nakukubali sana kaka angu manara my roll mode

  • @HawaMsuya-q6z
    @HawaMsuya-q6z 2 месяца назад +1

    This guy jmn Mungu kampa kipawa chake mwnyw I love him so much ❤❤

  • @creativmindset3281
    @creativmindset3281 2 месяца назад +1

    Very good Nice one 😮

  • @MsabahAli-d6u
    @MsabahAli-d6u 2 месяца назад +40

    Manara ata umchukie unajisumbua tu ni talent kweli kweli ni kipaji cha kuzaliwa binafsi namkubali sana ni msemaji kweli kweli

    • @elioimer8423
      @elioimer8423 2 месяца назад

      Kuliko Dr. Licky??

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 2 месяца назад

      😂😂😂manar mlopofu huy mchambuz wa sok ni dr leacky

    • @innocentchacky6126
      @innocentchacky6126 2 месяца назад

      Mwombe akuoe

    • @aud548
      @aud548 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nchi hii

    • @MsabahAli-d6u
      @MsabahAli-d6u 2 месяца назад

      @@innocentchacky6126 mpelekee baba ako amuowe mbwa na anything kiwete wewe mja wa laana mshezi we

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 2 месяца назад +2

    Manara kw yanga ni muhimu ....saport ya manara hakuna wa kufika ❤❤❤❤

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 2 месяца назад

    Well spoken Manala

  • @adamouali4462
    @adamouali4462 2 месяца назад

    Miliard❤❤❤

  • @rachelgunagujemedan2082
    @rachelgunagujemedan2082 2 месяца назад +83

    Namkubali sana huyu mwamba madhaifu yake tukiyaweka kando huyu mwamba anamjua mpira na nisemaji haswaa🤝

    • @mmassyferguson4959
      @mmassyferguson4959 2 месяца назад +4

      👏👏🤝

    • @ce-08
      @ce-08 2 месяца назад +3

      Anajua mpira kuchambua,kucheza, kujifanya timu isongembele kwa mitazamo yake au mbinu za kuwatia moyo wachezaj na mashabiki?

    • @JamalAbas-fe5dj
      @JamalAbas-fe5dj 2 месяца назад

      Ucjaribu uwe karibu

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 2 месяца назад

      Mpira upi?

    • @DennisFandi
      @DennisFandi 2 месяца назад

      Hayo madhaifu unayotaka kuyaweka kando ndio tatizo lake😂😂

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 2 месяца назад +2

    Manara the genius🎉

  • @joshuasarakikya1442
    @joshuasarakikya1442 2 месяца назад +30

    ukiwazq mbali sana utaona Mpira wa tz unamuhitaji manara sana

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 2 месяца назад +47

    Ila manara ni mtu wa football kweli kweli jamaa anauchambua mpira vizur harafu anahistoria ya mpira congratulations bugat haji manara.

  • @ahmedkandoro24
    @ahmedkandoro24 2 месяца назад +22

    This Gentleman very intelligent.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 месяца назад +52

    Safi sana Haji Manara anzisha timu yako haraka sisi tupo nyuma yako. Ila iwe haraka tutakufuata

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm 2 месяца назад +4

      Bugatti ni brand ya mpira wa Tanzania binafsi mi namkubali sana uongo mbaya

  • @petervicent-k8y
    @petervicent-k8y 2 месяца назад +20

    sema hiki kiumbe hiki wakiache ban mungu pekee ndoanayejua ila hiki nikichwa cha mpira wa tanzania anakitu chake pekeyake

  • @AlfaMwasofu
    @AlfaMwasofu 2 месяца назад +10

    Ana Jua sana mpira manara

  • @cosmasandrea9
    @cosmasandrea9 2 месяца назад

    Millard Ayo🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @Vanelle-w4g
    @Vanelle-w4g 2 месяца назад

    Correct discours

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo 2 месяца назад

    Nimekusoma manara vyema sana

  • @vickym549
    @vickym549 2 месяца назад +61

    Ukute manara kakasirika ndo maana Yanga haifanyi vizuri😁... msitafute mchawi.. hii hapa point. Mkamuombe manara msamaha. Tunakukubali Manara

    • @aboudijaaboudija
      @aboudijaaboudija 2 месяца назад +2

      kwa sababu yy ndo anawapelekaga kwa waganga

    • @violetlongo5087
      @violetlongo5087 2 месяца назад +1

      😂😂😂

    • @aboudijaaboudija
      @aboudijaaboudija 2 месяца назад +2

      @@violetlongo5087 huo ndo ukweli usicheke 😂

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 2 месяца назад

      Mi pia nimewaza ivo ukute 😂😂

    • @ZulphaMsangi-s9g
      @ZulphaMsangi-s9g 2 месяца назад +2

      😅😅😅😅😅😅damu yake ndo uganga wenyeweee yakhe

  • @DareAziz-g3s
    @DareAziz-g3s 2 месяца назад

    Huwa namkubali manara ❤

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 2 месяца назад +1

    MWAMBA SANA. 🎉🎉

  • @KurosakyKenshin-s7b
    @KurosakyKenshin-s7b 2 месяца назад

    Génial

  • @SifaEmma
    @SifaEmma 2 месяца назад

    Watanzania Kwanini Harmonize Mzee Popo alituma Popo kwake Diamond.. Harmonize ni laana kwenye Sanaa yetu Tz 💯😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @DennisFandi
    @DennisFandi 2 месяца назад +1

    We mzee sound sana😂😂😂

  • @MalickMakange
    @MalickMakange 2 месяца назад +9

    Jamaa anajua sana

  • @salumadam2084
    @salumadam2084 2 месяца назад +12

    Huyu jamaaaa anajua mpiraaaa

  • @stevenmalwa
    @stevenmalwa 2 месяца назад +1

    Correct haji

  • @brilliantothuman8413
    @brilliantothuman8413 2 месяца назад +1

    Jamaa anaujua Mpira kweli kweli 🙌

  • @vianerykapinga8038
    @vianerykapinga8038 2 месяца назад +15

    Mimi nitakuwa shabiki wa timu yake. Nakukubali sana

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 2 месяца назад +4

    Nilisema mimi yule alosema wapunguze wachezaji wa kigeni aliona leo na Haji amesema team ya taifa inaferi kwa sababu wajezaji wachache walione hili jambo liko very true

  • @KhadijaMnale
    @KhadijaMnale 2 месяца назад

    Kaka manara mm namkubari san

  • @BakariAthumani-vs8lk
    @BakariAthumani-vs8lk 2 месяца назад +22

    Wanao mkubali haji konga like

  • @HamissMzuzuri
    @HamissMzuzuri 2 месяца назад

    Manara mwamba kabisa

  • @josephlyimo4232
    @josephlyimo4232 2 месяца назад +59

    Ally Kamwe anajitahidi sana....ila ukweli ni kwamba kwenye kuamsha hamasa Manara anauwezo zaidi..

    • @pendaelmollel1847
      @pendaelmollel1847 2 месяца назад +1

      Very true

    • @NailaMickey
      @NailaMickey 2 месяца назад

      Kwenda zako huko yeye anataka maugomvi tuu hataki amani

    • @RiseaboveChapel-k5o
      @RiseaboveChapel-k5o 2 месяца назад

      Aligombana na mama ako?​@@NailaMickey

    • @JocelyneMary
      @JocelyneMary 2 месяца назад

      Ilo kweli jamani

    • @maulidi8479
      @maulidi8479 2 месяца назад

      Amempiga mke wako lini na huo ugomvi?​@@NailaMickey

  • @Mgala_jr
    @Mgala_jr 2 месяца назад

    nimemsikiliza vizuri sana jamaa, ila nilichokiona kwake ni MBINAFSI.. Tumuombe sana Mungu atuepushe na roho kama ya Manara

  • @YOHANAMwangono
    @YOHANAMwangono 2 месяца назад

    Kitu ninachofaham watu wanashindana matakwa but love always will still there, kama yanaisha ujue haukuwahi kumpenda.so inawezekana manara hakuwahi kuipenda simba zaidi yakushabikia na kama aliipenda basi nikweli bado anashangilia chooni

  • @hassaniomari9407
    @hassaniomari9407 2 месяца назад +4

    Manara ni mmoja dunia nzima❤❤

  • @davidmlami5515
    @davidmlami5515 2 месяца назад +1

    Hellow prof.Haji Manara aisee niseme ukweli nimesajiri leo lain ya tigo kisa interview ya manara brother

  • @mbarakapandu101
    @mbarakapandu101 2 месяца назад

    Hongereni tigo mmejuwa kiki😂😂😂😂😂

  • @tanzalandtv3311
    @tanzalandtv3311 2 месяца назад

    Naomba namba ya Haji

  • @ernestmatimba9964
    @ernestmatimba9964 2 месяца назад +10

    Manara anaweza kuwa ni Tatizo ndani ya Uongozi lakini anachangamsha sana Soka. Ana kipaji chake mbali na upungufu wake

  • @jumaathumani6886
    @jumaathumani6886 2 месяца назад

    Maji ya Afya siku hizi 700🔥🙌

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 2 месяца назад +9

    Manara ni mtu sahihi sana yanga nao wameshajichanganya

    • @richardavelini5567
      @richardavelini5567 2 месяца назад +1

      Bro upo sahihi kwa kikomo cha ufikiri akili yako, but professionally haiko sawa

    • @vinny.morales
      @vinny.morales 2 месяца назад +1

      He is not professional at all! Anafaa kukaa kwenye baraza la wazee tu ila sio kwenye management level AT ALL!

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 2 месяца назад +1

    Kiufupi manara umefanya kazi kama mtumwa pale utopolo maana umenunuliwaaaaaa

  • @BakariMwango
    @BakariMwango 2 месяца назад +1

    Manara tv

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 2 месяца назад +1

    Hii imeendaaaa

  • @omarkipotwile9052
    @omarkipotwile9052 2 месяца назад

    Ndo avae kofia ya Zaylisa?

  • @johndunda250
    @johndunda250 2 месяца назад

    Uyu mwamba ana mapungufu sema ni mt smart san

  • @sangajaffar7419
    @sangajaffar7419 2 месяца назад

    MANARA WE SIMBA KI AINA

  • @AdamCheze
    @AdamCheze 2 месяца назад +4

    Nawaambiwa Ukwel Kabsa Sasa Hv MANARA amebadilika Sna Napenda Sana Jinsi Akiwa Anazungumza Khs Football Ya Tanzania Na Huu Ndio Ukwel Timu Zetu Zinahitaji Kuwa Academy Za Kisasa

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 2 месяца назад +2

    Huyu jamaa ana tatizo Fulani ...
    He should find solution of his problem

  • @ForeverCaptain
    @ForeverCaptain 2 месяца назад +7

    Dunia unachopanda ndo Utakachovuna.
    Yanga Wamepanda Manara Watavuna Manara.

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 2 месяца назад

    mimi ni shabiki wa yanga ila huyu bugati wangempa eneo lolote anafaa sana na kama gsm anamlipa tatizo lipo wapi ana nyota kali sana bugaa❤❤❤

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 2 месяца назад

      Nikweli Lakini Nyota Inamuda Maalumu. Hivyo Nimuhimu Kuupatiliza

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 месяца назад +3

    Huyu jamaa jini wa mpira akahama tu timu inaharibu sijuw why lakin ukwel usemwe linamaarifa ya mpira inafaa kua kocha😊

  • @Officialobizokb
    @Officialobizokb 2 месяца назад +1

    Unajua kujibu kwa mpangilio mkubwaaa sanaaaa but najifunzaaa kwako manara

  • @mapoluchalya280
    @mapoluchalya280 2 месяца назад

    manar Leo nimekuelewa,ni kama enz ya Simba aisee sf sana

  • @Kushgang-cr4pv
    @Kushgang-cr4pv 2 месяца назад +1

    manara ni star than wote kwenye industry ya mpira ndo maana hawampendi pande zote wakuu wa A na B.pia na TAFOFE.

  • @GeraldElias-s7j
    @GeraldElias-s7j 2 месяца назад +2

    Tabora united fc is typing 😂😂😂

  • @dreambeesafricalimited4831
    @dreambeesafricalimited4831 2 месяца назад

    Sema MANARA anaujua mpira

  • @SubiraJohn-v9s
    @SubiraJohn-v9s 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel1847 2 месяца назад +75

    rais wetu Hersi amekosea sana kumpotezea Bugati, ukweli manara ana nafasi yake kubwa sana kwenye soka kuliko kamwe. Ni maoni yangu kama mwanayanga

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 2 месяца назад +8

      Umuhimu wa Bugatti Yanga ni UPI toa mfano 1

    • @francisjustus-zc8se
      @francisjustus-zc8se 2 месяца назад +3

      Hauna sera ww

    • @qaseemayoub6758
      @qaseemayoub6758 2 месяца назад +5

      Acha unafiki na hatuungan na wewe
      Kamwe tunamkubali kinoma
      Mchukue manara kaa nae kwako

    • @EsteregiusShostenes
      @EsteregiusShostenes 2 месяца назад +2

      Kuma ww kama huna point tulia umuhim wake nini

    • @RobertNkondola
      @RobertNkondola 2 месяца назад +5

      ​@@EsteregiusShostenesunavotukana matusi ya nguoni ndio wewe unatoa point sasaa?

  • @adelaphilip8089
    @adelaphilip8089 2 месяца назад +11

    Mm ni simba na mtu alifanya nipende mpira ni huyu Bugatti 😅

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 2 месяца назад +1

    😂😂😂manar akion hamfany anachotak anaanza kulopoka hat simb alikuw hiv hiv inaoneka yanga ametengwaa😂

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 2 месяца назад +10

    Nishaelewa sasa yaan manara ana vitu vitu kugombana na gamondi na kununiana na her tu team imeanza kuyumba??Asante manara endelea kufanya mambo😂😂😂😂

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 2 месяца назад +2

      Manara ana karama Yake kwenye soka upande atakao kwepo lazima wafanye vizuri. onyo! sitaki mtu kuvamia comment yangu kwa matusi

    • @adelaphilip8089
      @adelaphilip8089 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂​@@AwardHakimu

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 2 месяца назад

      ​@@adelaphilip8089😂😂

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 2 месяца назад

      Ndiomana tangu yanga ifungwe anafuraha sana anapost anaenjoy😂😂😂

  • @allynungu2574
    @allynungu2574 2 месяца назад +21

    Wanaoamini yanga bingwa 🏆 2024/2025 like apa

    • @pendojaphet3523
      @pendojaphet3523 2 месяца назад +1

      Yanga bingwa jamani hayo ni matokeo tu ya mpira kama team zingine

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 2 месяца назад

      Mh..kama unaota amka ivi unaona simba atafungwa na nani hizi team ndogo wao wanapata magoli mengi na pont 3 sisi aaah 😢

    • @LilianBitwale
      @LilianBitwale 2 месяца назад

      ​@@aishabakari8040Acha hzo wewe, hao Simba wasikupe presha

  • @allysururu9803
    @allysururu9803 2 месяца назад

    Jamani 0677 ya tigo ni ya mwaka 97?

  • @NabakiZanzibar
    @NabakiZanzibar 2 месяца назад +5

    Gonga like, kama umegundua kuwa aliye mvalisha Manara ni Zaiylissa!
    Maana hiyo kofia sikujali sana but hilo shati (blauzi) Tuanzia kwene vifungo then mengine yaendelee....

    • @yussufmohammed9299
      @yussufmohammed9299 2 месяца назад

      Kaarine hii tulio nayo cyo jaabu Ajabu Akivaa Sigiria n Bigin tu

    • @sassboy9360
      @sassboy9360 2 месяца назад

      Hhhhhhhh 😂😂😂😂

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 2 месяца назад +2

    Manara semaji ladunia

  • @EliaMkumbo-wn7bm
    @EliaMkumbo-wn7bm 2 месяца назад +7

    Bugatti ni brand ya mpira wa Tanzania binafsi mi namkubali sana uongo mbaya anajua na anakumbukumbu sana huyu jamaa

  • @GeofreyMwakalindile
    @GeofreyMwakalindile 2 месяца назад +8

    Kwasisi watafutaji tunakuelewa sana Haji, tz tunatabia ya kutengenezeana chuki na chuki yetu huambukiza.. muda mwingine unachukiwa, ila hujui kwann unachukiwa

  • @raymond5175
    @raymond5175 2 месяца назад

    Mimi ni mwanasimba ninayemkubali sana manara

  • @Paplick9
    @Paplick9 2 месяца назад

    Hajji manara football inahitaji akili yko

  • @GodfreyHamadi
    @GodfreyHamadi 2 месяца назад

    frida ìyo kofia aikutowi vizur bana

  • @franccoz94
    @franccoz94 2 месяца назад +5

    ILI UENDE MJINI LAZIMA UPITIE MGONGO WA SIMBA, SIMBA IS A BIG CLUB BROOO,WHETHER YOU LIKE IT OR NO...

  • @HassanHassan-dk5db
    @HassanHassan-dk5db 2 месяца назад +4

    Manara ulinifanya niipende yanga Sana kwa Hamasa yako , si Mimi Bali ni wengi tunakupenda Sana Manara Ila Manara Na Millard mpo vizur Sana .

  • @moneyyousuph3230
    @moneyyousuph3230 2 месяца назад

    This Gentleman so called Manara Hajj, knows what he is talking.
    Let us walk his talks.

  • @paulmushi2292
    @paulmushi2292 2 месяца назад

    Yangu hawamhitaji Manara

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat 2 месяца назад

    Mara Simba mara Yanga

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 2 месяца назад +5

    Sema manara hampendi Ali kamwe nimeligundua ilo 😢

    • @KesslyTravelZanzibar
      @KesslyTravelZanzibar 2 месяца назад

      Na ali kamwe je

    • @LilianBitwale
      @LilianBitwale 2 месяца назад

      Alikamwe hampendi ibwe😂😂😂😂 na ibwe hampendi Ahmed ally 😂😂😂 kwahy tuseme wote hawapendan

  • @ebctvonline
    @ebctvonline 2 месяца назад

    Ayo nahitaj wifi ya tigo naipataje

  • @Mwakaismsociety
    @Mwakaismsociety 2 месяца назад +3

    I like frida aman so calm,I really admire him.

  • @iddykamona8917
    @iddykamona8917 2 месяца назад

    Dah Hadi home,

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 2 месяца назад +5

    Kumrudisha Manara Simba, litakuwa kosa kubwa! Ni vizuri kuwa na watu wenye msimamo na sio vigeugeu!

    • @adelaphilip8089
      @adelaphilip8089 2 месяца назад +1

      Hata hivyo haiwezekana hamed ally anatosha

    • @ZulphaMsangi-s9g
      @ZulphaMsangi-s9g 2 месяца назад +1

      Kabisa Ahmedy semaji letu tunampenda❤❤❤❤❤❤❤anatoooosha

    • @SAFIAFOMAR
      @SAFIAFOMAR 2 месяца назад

      Hawezi kurudi huyo

    • @allymatilda7519
      @allymatilda7519 2 месяца назад

      Anekwambia anataka kurudi au umbea na kukurupuka

    • @adelaphilip8089
      @adelaphilip8089 2 месяца назад

      @allymatilda7519 hatumtak kwendra Huko Na makasiriko yako utopol wew

  • @swalharajab8365
    @swalharajab8365 2 месяца назад

    Ongeen nae vizuri atasema yote 😂😂au embassy mpen kama pact 10 yaan shwaaaa😂😂

  • @Mwakaismsociety
    @Mwakaismsociety 2 месяца назад +4

    Manara hyo sio tigo ni buzzy.tuwekane sawa.

  • @bminawandu
    @bminawandu 2 месяца назад +4

    Huyu jamaa maneno yote ana ubinafsi ndani yake

  • @abdulnasuma9729
    @abdulnasuma9729 2 месяца назад +1

    Haji anajua sana

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 2 месяца назад +14

    Shida ya manara ana nongwa

  • @mr.performance2533
    @mr.performance2533 2 месяца назад

    Hadji ni lidude likubwa i admire this guy very skillfull 😂

  • @danieldm92
    @danieldm92 2 месяца назад +3

    Ndiye aliyenifanya niipende simba alipoondoka nikipata tabu sana niliwaza hata kuhàma nae lkn bado Niko simba. Aje tena.

  • @kondelamasatu7852
    @kondelamasatu7852 2 месяца назад

    Mungu Hawezi Kupangiwa Kukupa,Manara Kapewa Na Mungu Kalama ya Ridhiki, Kokote Anang'ara hivyo huyu Ni Mwamba Kokote anapokuwa,Mungu Aendelee Kumpa dhima Yenye Busara Na hekimA

  • @soniasonny2768
    @soniasonny2768 2 месяца назад +4

    Manara anajua mpaka anajua...

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 2 месяца назад

    Mke na Mme ni tofauti na mpira maana kwenye mpira Alo kukera ni watu ambao ni viongozi wa Tim lakini siyo Tim acha uongo 😅

  • @DenisTarimo-d6p
    @DenisTarimo-d6p 2 месяца назад +2

    Waliokuja baada ya kuona vipande instagram wana like hapa 😊🎉