"KIMBUNGA 'HIDAYA', MVUA YAVUNJA REKODI KILWA NA MTWARA"
HTML-код
- Опубликовано: 3 май 2024
- "Kumekuwa na mvua kubwa sana maeneo ya Kilwa lakini pia Mtwara, mvua ambazo zimevunja rekodi ndani ya muda mfupi inanyesha mvua kubwa, ni kitu ambacho tulitarajia kutokana na uwepo wa Kimbunga 'HIDAYA'"-Dk. Ladislaus Chang'a-Kaimu Mkurugenzi Mkuu kutoka TMA.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania #Kimbunga #Hidaya
Zaidi tufuatilie kwenye RUclips #ITVTANZANIA
Naungama mungu baba kwaajili ya watanzania wote natubu naomba utusamehe baba
Mungu tusaidie
Mungu utunusuru
munguu. ingilia kati
Allah tulinde waja wako
Naomba utunusulu na haya baba yatosha wewe ni muumba tusamehe