MGOGORO WA ARDHI WAMTOA MACHOZI WAZIRI SILAA ARUSHA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Jerry Silaa, ametokwa na machozi wakati akimsikiliza mkazi wa Jijini Arusha, Bw. Respis Brasius ambaye amekiri kwamba angekunywa Sumu kama asingesikiliza Hotuba yake ya Bajeti ya Mwaka 2024/2025 wakati akiwasilisha Bungeni Dodoma 27 Mei 2024, kwani alifikia hatua hiyo baada ya kuteseka kwa muda mrefu akitafuta haki yake bila mafanikio kwa kuwa alivunjiwa nyumba yake pamoja na watu wengine katika mtaa wa Unga Limited Jijini Arusha.

Комментарии • 2

  • @onesmomassawe6230
    @onesmomassawe6230 3 месяца назад

    Daaah

  • @kiatu
    @kiatu 3 месяца назад

    Minister please show empathy not sympathy otherwise you will be emotionally drained and not be able to function properly.