ONA JINSI CHIEF GODLOVE AKIGAWA PESA ZA MTAJI KWA KINAMAMA WENYE HALI NGUMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online

Комментарии • 139

  • @AndreyMalisa-qj3ds
    @AndreyMalisa-qj3ds 2 месяца назад +9

    Hivi watu hawaoni kua huyu jamaa anasambaza ushetani wa wazi...
    Umaskini mbayaa sana mungu asaidie 😢😭😭😭😭

    • @janerachel1622
      @janerachel1622 2 месяца назад +1

      Hawajitambuiii

    • @janerachel1622
      @janerachel1622 2 месяца назад +2

      Huyu kaka hafananii na PESA niuchawi tuu

    • @simondogtrainer7498
      @simondogtrainer7498 2 месяца назад +1

      Watu wangu wanaangamia Kwa kikosa maarifa

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 2 месяца назад +2

      Hiroo Bango tu lilivyoandikwa Mimi hoi jamani hapana Mungu nipe Hela halali

    • @MfiriFulgensi
      @MfiriFulgensi 2 месяца назад

      Tatiz0 sio umaskini kwakuwa umaskini upo tangu enzi za mitume na hawakujidhalilisha hivyo

  • @JPTHESWAGGERBOY
    @JPTHESWAGGERBOY 2 месяца назад +2

    Hongeraa mtetezii wawa watuu munguu akurindee akupee maishaa marefuu

  • @AmosLwasa
    @AmosLwasa 2 месяца назад +5

    Hongera tajiriii

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 2 месяца назад +4

    Pokeeni tu hizo hela mnabadilishana na watoto wenu siku watakapoanza kufa au kuwa na element za kishetan ndo mtajua aisee

  • @ChrisantChrisant-q9d
    @ChrisantChrisant-q9d 2 месяца назад +4

    Ila wanawake

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 месяца назад +3

    Hautadimu Mungu wa yakobo , Ibrahim,na isaka atakuadhibu vibaya sana

    • @Wairanyamobiletech
      @Wairanyamobiletech 2 месяца назад

      😅😅😅😅😅😅kwakweli mdomo wako mchafu sana

    • @JosephKafipambale
      @JosephKafipambale 2 месяца назад +1

      Kwani kakosea nn mbn roho mbaya mwamba

  • @GladysKadii
    @GladysKadii Месяц назад

    ati welcome to the real world

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 2 месяца назад +4

    Kwenye bango pameandikwa welcome to the real world,,mmmh kama huna d mbili huwezi kielewa,,,huu umasikini utatupeleka kusiko sitahili jamani😢😢😢😢

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 2 месяца назад +1

    Mama samia ana upiga mwingi mnaiona hy hali

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 месяца назад +4

    Kwel umasikini mbaya unaweza kutokwa na Imani Kwa njaa # njaa zenu semeni nazo jamaa kaja potosha watu*

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 2 месяца назад +15

    Walio kuwa wakusema chief anaigiza maisha na wao waigize sasa kama chief 😂😂😂mamae

  • @annaezra2344
    @annaezra2344 2 месяца назад +1

    Yesu tusaidie

  • @FakiiZuberi
    @FakiiZuberi 2 дня назад

    Chifu msengetu uyo anachukua watu kafara weka like apo man

  • @FIDESMARENGE
    @FIDESMARENGE 2 месяца назад +5

    😂😂😂😂single mother wengi sana

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 2 месяца назад

    Jamaa yupo vizuri❤

  • @mtushindirena2981
    @mtushindirena2981 2 месяца назад

    Hongera sana kwa moyo mkuu

  • @AbuuCholo-q5i
    @AbuuCholo-q5i 2 месяца назад

    Anajitahid mungu ampe maisha malefu

  • @gesha4759
    @gesha4759 2 месяца назад +1

    Zaidi ya Serikali ❤

  • @alexmaige2638
    @alexmaige2638 2 месяца назад +2

    Hakuna kitu kibaya kwenye jamii kama kuiaminisha mda ote unahela, halloow nihatar siku ukija isha

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 2 месяца назад

    Kazi mama anaupiga mwingi nchi yenye yenye maendeleo huwa hvy aende dubai kama kuna raia

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 2 месяца назад +1

    Yesu wangu tuokoe

  • @JibrilSharifu
    @JibrilSharifu 2 месяца назад

    Mungu amubariki

  • @IddoMbogo-c2u
    @IddoMbogo-c2u 2 месяца назад +2

    Ila huyu serikali pia inaweza kumchunguza

  • @emanuelmkama1325
    @emanuelmkama1325 2 месяца назад +2

    Somen maandko mnapotea
    Lakn sio huyo tu wapo weng wa mafuta,wa mchanga wa wachaw

  • @RobertsonNandime-eo9fp
    @RobertsonNandime-eo9fp 2 месяца назад +2

    Daaah tufanye kazi jamani hii nao heshima kabisa hongela boi

    • @bilid4128
      @bilid4128 2 месяца назад +3

      Huwezi kufanya kazi alafu uje ugawe Pesa hivyo !

    • @rehemarajabu3655
      @rehemarajabu3655 2 месяца назад

      ​@@bilid4128leta point yako

    • @Zuu673
      @Zuu673 2 месяца назад

      ​@@bilid4128meonaee 😂😂😂

    • @johnnchora3215
      @johnnchora3215 2 месяца назад

      Waoo​@@Zuu673

    • @daudinkwabi8252
      @daudinkwabi8252 2 месяца назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊 ni​@@bilid4128

  • @barackamtwange1925
    @barackamtwange1925 2 месяца назад +2

    Yaani umaskini shida sana😂

  • @FakiiZuberi
    @FakiiZuberi 2 дня назад

    Chifu Hana baya 😂😅

  • @HawaSwaleheh
    @HawaSwaleheh 2 месяца назад +4

    Kwanza hicho kiti alichokalia kama huna D+ Huwez kukielewa😊😊😊

    • @Elizabeth-em3bp
      @Elizabeth-em3bp 2 месяца назад

      Hayo maneno hapo nyuma ya kiti sasa full ushetani... mfano wa mtu mwenye pembe na pembe tatu hapo. Bado tuna jaa jamani watu tu vipofu kweli kweli....

    • @nicholasmbembe7821
      @nicholasmbembe7821 2 месяца назад

      Yani sehemu yote inanukia tuu ushetani.......last days

    • @nicholasmbembe7821
      @nicholasmbembe7821 2 месяца назад

      Real world i see

  • @EstherKubwa
    @EstherKubwa 2 месяца назад +2

    Mungu ulie hai fungua hawa watu macho hilo dilo ombi langu

  • @elinurukitomali6008
    @elinurukitomali6008 2 месяца назад

    Ongera broo.

  • @challymixTz-lc5pt
    @challymixTz-lc5pt 2 месяца назад

    Welcome to the real world
    Karibu katika ulimwengu wa kweli
    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @NeemaLwoga-s4c
    @NeemaLwoga-s4c 2 месяца назад +4

    Ktk watu watakao kufa mapema ni kina mama kupenda tu pesa za watu kutafuta zenu aaaah! Yaani ndy mana tukaitwa Hawa nyieeee😂 tutafika mawinguni tumechoka sana

  • @fundishalabours4971
    @fundishalabours4971 2 месяца назад

    Ubarikiwe

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 2 месяца назад +1

    Kafara

  • @ShukraniMwakyusa
    @ShukraniMwakyusa 2 месяца назад

    Nakubalii mjombaa mnyakyu kama mnyakyu

  • @SebastianDaniel-mb4nl
    @SebastianDaniel-mb4nl 2 месяца назад +1

    Ww jisogeze mbele wakati wenzako wamesha pangwa tayari😂😂😂

  • @catherinedonatus9472
    @catherinedonatus9472 2 месяца назад

    Anatimiza masharti.

  • @EmanuelMwamwaja
    @EmanuelMwamwaja 2 месяца назад

    Tajiir hana baya

  • @ElinaCedric-m4v
    @ElinaCedric-m4v 2 месяца назад

    Mbona mapema sana imekuwaj kwan

  • @EmmanuelMlawa-ee3oq
    @EmmanuelMlawa-ee3oq 2 месяца назад +1

    Njaa ata ukiambiwa kula kinyesi utakula

  • @MasoudKalambo-e1w
    @MasoudKalambo-e1w 2 месяца назад

    Mungu akupe maisha melefu aiseee

  • @PhilomenaSteven-x9h
    @PhilomenaSteven-x9h 2 месяца назад +5

    Duuuh yamekuwa ayo chief kama utani

  • @maryhaule5625
    @maryhaule5625 2 месяца назад

    M MUNGU akuzidishie

  • @augustinombuba2503
    @augustinombuba2503 2 месяца назад

    Safi chief God love

  • @hellenkaimenyi
    @hellenkaimenyi 2 месяца назад

    Yeyote aliyepikea msaada wa huyu mtu wako initiated kwa chama chao ...

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 2 месяца назад

    Freemason kazini

  • @janerachel1622
    @janerachel1622 2 месяца назад

    Alianza DIAMOND NA AKAJA HAMONIzer kariakoo,,akatoa PESA hicho NAEu gu amlinde

  • @AsteriaPastory-y1i
    @AsteriaPastory-y1i 2 месяца назад

    Uje na mwanza

  • @SofiaSofia-qh9wh
    @SofiaSofia-qh9wh 2 месяца назад +1

    Mungu akupe maisha marefu broo wewe ndomtu wa mana kabisa

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 месяца назад +1

    Huyu kijana ni tishio kwa serikali na wanasiasa

  • @agathasungura5047
    @agathasungura5047 2 месяца назад +1

    Eee MUNGU WANGU 💔💔😭😭😭😭 TUOKOE TUOKOE YESUUUU 😭😭💔TUOKOE.

  • @kivatirokitojo657
    @kivatirokitojo657 2 месяца назад +7

    Nakosa hata maneno ya kusema, naona aibu, na udhalili mkubwa kuishi Mjini na Bado ukapigie magoti kijana Kama Huyu kwa Senti mbili za chumvi ni uvivu na kuishi maishi ya kutaka kupewa bila jasho

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai 2 месяца назад

      Sasa hapa si unaweza hata ukawa nanii wakina mama kama hawa ushenzi mtupu hizi ni dalili za umasiki uliokisiri

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 2 месяца назад +1

    Jifuzeni kusoma alama zanyakati,alama yamnyama imekuja kwetu,sawa jamani.

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 2 месяца назад +1

    Chata za freemason kibao kwenye madhabau

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz 2 месяца назад

      Yani nashindwa hatanisemenini. Juu yamambohaya yakishetani. Kabisa

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz 2 месяца назад

      hawa. Watu. wanasoma. Neno. Kweli

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 2 месяца назад

    Huyu ni mke wawatu ndio maana hana mke ye ni chakula .

  • @alfamfumbejeshi3685
    @alfamfumbejeshi3685 2 месяца назад

    Duuh

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 2 месяца назад

    Toka magetoni

  • @SamiriHassan-dp9kn
    @SamiriHassan-dp9kn 2 месяца назад

    Hawaja pangwa kweli hawa

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv 2 месяца назад

    Pesa inatolewa kwa mkono wa kushoto masharti ya shetani mabaya haitaki tochi juu ya imani ya huyu jamaa chukueni pesa ila muda mfupi tu mutalia

  • @meameamusa3394
    @meameamusa3394 2 месяца назад +1

    ❤❤

  • @raymondswed7358
    @raymondswed7358 2 месяца назад

    Wenye macho na mtazame..angalieni hapo nyuma iyo nembo ya ki Freemason ikiambatana na maneno WELCOME TO THE REAL WORLD.
    Hizi nyakati ni za mwisho.

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 2 месяца назад

    sanaa baadae wasijekua wanazirudisha

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 2 месяца назад

    Izo nyimbo mliandaa

  • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
    @EmmanuelNyinyigwa-m1o 2 месяца назад

    Sio muda nae ataanguka

  • @stewartmgallah
    @stewartmgallah 2 месяца назад

    Huyu mwamba apewe kitengo serikalini

  • @jamesmpako8408
    @jamesmpako8408 2 месяца назад +1

    Kuna yule mshkaji yupio Facebook. Anamtukanaga mwamba,, sana

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 2 месяца назад +1

    Mtu anasaidia mbambeza???

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 2 месяца назад

    Kwani ukipika supu hutoki halafu watu bwana pendeni tu vya.kupewa bila kivifanyia kazi malipo yake ni kuzimu yeye anatafuta hela ili aje akupe wewe kiraisi tu thubutu yake mimi natafuta pesa kwq jasho langu hivi unaenda kusududua laki mbili rooooo

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 2 месяца назад

    Aliesema ufakir ni nusu ya ukafir nataman nimjue aliona nn mbona kama kapatia

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 2 месяца назад +1

    Pesa za majin

    • @EmmanuelKonda-k8f
      @EmmanuelKonda-k8f 2 месяца назад +1

      Aaaaah mwanangu wew una nyota ya umasikini hadi wa akili

  • @spayoDigital
    @spayoDigital 2 месяца назад

    Huyu Jamaal anafanya biashara ya
    cryptocurrency pesa za kidigital hizo so vijana tutafute iyo elimu kwa nguvu sana wazungu kutupumbaza sisi wafrica tusizijue wakatuleta ma tik tok instangra porn ma game so hera hafu tumelala nikujisap tu filita kama yote tunafaidisha wao

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 2 месяца назад +2

      Wewe nae kitu unachokiongea hukijui hela za KUZIMU hizo hakuna cryptocurrency wala nini
      JICHANGANYE SASA😂

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 2 месяца назад

    Wtngnyika mtkufa vby kuna ck

  • @nduwimana669
    @nduwimana669 2 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 месяца назад +1

    Sasa freemasons hadharani

    • @JofreyMsigwa
      @JofreyMsigwa 2 месяца назад

      Yaan sipati picha du h hatari mmh

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje 2 месяца назад

    Pesa haina adabu kwakwel aisee wamama wanavokimbilia maiki ili watoe shda zao

  • @osumsafi2095
    @osumsafi2095 2 месяца назад

    Huyu jamaa

  • @betuelnyandala4018
    @betuelnyandala4018 2 месяца назад

    😂 welcome to the real world na alama zao kabisa

  • @mwalimhamad3825
    @mwalimhamad3825 2 месяца назад

    Unakumbuka kama pale nyumbani kwake kuna watoto si ulikwenda kuzungumza nae kwanza aje aseme hayo mtawapata wajinga tu ila sio sisi

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 2 месяца назад

    Vitambaa vyeusi na maandishi mekundu...RANGI YA nani? Tuwe na akili...

  • @KeisiMwasanyika
    @KeisiMwasanyika 2 месяца назад

    ✊✊

  • @reubenmhagama8164
    @reubenmhagama8164 2 месяца назад

    Hawezikuwa tajiri bilionea huyu?

  • @GiftyJackson-k3v
    @GiftyJackson-k3v 2 месяца назад

    Chife chife niwezeshe na mm niko mbeya

  • @KassimMuhamed-n5c
    @KassimMuhamed-n5c 2 месяца назад

    Kwani huyu sio yule ambae alie tutu kana sisi masikini? Akatuita takataka?

  • @SebastianDaniel-mb4nl
    @SebastianDaniel-mb4nl 2 месяца назад

    Kasha wapanga hao teyar wamekula 20 mia 80 wabarudisha😀😀😀

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 месяца назад +1

    YESU KRISTO tuepushe na haya

  • @SamiriHassan-dp9kn
    @SamiriHassan-dp9kn 2 месяца назад

    Yule wa kwanza kwa pili kwa nn hakumpa maik

  • @lamama.
    @lamama. 2 месяца назад

    sema mwamba sijawahi kumuelewa kabisaa labda huko mbele.......ivi anajishughulisha na nini?

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 2 месяца назад

    Nimeamua kukaa kimya

  • @besttrendingcovers1838
    @besttrendingcovers1838 2 месяца назад +1

    wajinga nyie tafteni ela na nyie, ukiwa na pesa utaitwa majina yote ayo

  • @altojaphet3394
    @altojaphet3394 2 месяца назад

    Mmh badoo ujanishawishi msaada gan unabagua jinsia apo amna lolote ni ovyoo kbs ushetan mtupu wanaopokea hizo pesa watazilipa kwanamna yyt akun chabure we nanii😂😂😂😂

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 месяца назад +1

    Dajjal

  • @Burange666
    @Burange666 2 месяца назад +2

    Huyu muuza dawa za kulevya China na hata bangi anauza

  • @besttrendingcovers1838
    @besttrendingcovers1838 2 месяца назад +1

    tafuteni hela wajinga nyie