ONA JINSI CHIEF GODLOVE AKIGAWA PESA ZA MTAJI KWA KINAMAMA WENYE HALI NGUMU
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
Hivi watu hawaoni kua huyu jamaa anasambaza ushetani wa wazi...
Umaskini mbayaa sana mungu asaidie 😢😭😭😭😭
Hawajitambuiii
Huyu kaka hafananii na PESA niuchawi tuu
Watu wangu wanaangamia Kwa kikosa maarifa
Hiroo Bango tu lilivyoandikwa Mimi hoi jamani hapana Mungu nipe Hela halali
Tatiz0 sio umaskini kwakuwa umaskini upo tangu enzi za mitume na hawakujidhalilisha hivyo
Hongeraa mtetezii wawa watuu munguu akurindee akupee maishaa marefuu
Hongera tajiriii
😅😅😅😅😅😅
Pokeeni tu hizo hela mnabadilishana na watoto wenu siku watakapoanza kufa au kuwa na element za kishetan ndo mtajua aisee
Ila wanawake
Hautadimu Mungu wa yakobo , Ibrahim,na isaka atakuadhibu vibaya sana
😅😅😅😅😅😅kwakweli mdomo wako mchafu sana
Kwani kakosea nn mbn roho mbaya mwamba
ati welcome to the real world
Kwenye bango pameandikwa welcome to the real world,,mmmh kama huna d mbili huwezi kielewa,,,huu umasikini utatupeleka kusiko sitahili jamani😢😢😢😢
HAWA NDIO NEW WORLD ORDER SASA SEMA WAMEFICHA TU😂
Duuuuh,hali nimbaya
Mama samia ana upiga mwingi mnaiona hy hali
Kwel umasikini mbaya unaweza kutokwa na Imani Kwa njaa # njaa zenu semeni nazo jamaa kaja potosha watu*
Walio kuwa wakusema chief anaigiza maisha na wao waigize sasa kama chief 😂😂😂mamae
Yesu tusaidie
Chifu msengetu uyo anachukua watu kafara weka like apo man
😂😂😂😂single mother wengi sana
Jamaa yupo vizuri❤
Hongera sana kwa moyo mkuu
Anajitahid mungu ampe maisha malefu
Zaidi ya Serikali ❤
Hakuna kitu kibaya kwenye jamii kama kuiaminisha mda ote unahela, halloow nihatar siku ukija isha
Kazi mama anaupiga mwingi nchi yenye yenye maendeleo huwa hvy aende dubai kama kuna raia
Yesu wangu tuokoe
Mungu amubariki
Ila huyu serikali pia inaweza kumchunguza
Somen maandko mnapotea
Lakn sio huyo tu wapo weng wa mafuta,wa mchanga wa wachaw
Daaah tufanye kazi jamani hii nao heshima kabisa hongela boi
Huwezi kufanya kazi alafu uje ugawe Pesa hivyo !
@@bilid4128leta point yako
@@bilid4128meonaee 😂😂😂
Waoo@@Zuu673
😊😊😊😊😊😊😊😊 ni@@bilid4128
Yaani umaskini shida sana😂
Chifu Hana baya 😂😅
Kwanza hicho kiti alichokalia kama huna D+ Huwez kukielewa😊😊😊
Hayo maneno hapo nyuma ya kiti sasa full ushetani... mfano wa mtu mwenye pembe na pembe tatu hapo. Bado tuna jaa jamani watu tu vipofu kweli kweli....
Yani sehemu yote inanukia tuu ushetani.......last days
Real world i see
Mungu ulie hai fungua hawa watu macho hilo dilo ombi langu
Hakika mtumishi
Ongera broo.
Welcome to the real world
Karibu katika ulimwengu wa kweli
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Ktk watu watakao kufa mapema ni kina mama kupenda tu pesa za watu kutafuta zenu aaaah! Yaani ndy mana tukaitwa Hawa nyieeee😂 tutafika mawinguni tumechoka sana
😂😂
Hapo wanawake watatu hua Kila anae kuja mume wake kafa du
Mmmmmmhhhhhhh 😂
Ubarikiwe
Kafara
Nakubalii mjombaa mnyakyu kama mnyakyu
Ww jisogeze mbele wakati wenzako wamesha pangwa tayari😂😂😂
Anatimiza masharti.
Tajiir hana baya
Mbona mapema sana imekuwaj kwan
Njaa ata ukiambiwa kula kinyesi utakula
Mungu akupe maisha melefu aiseee
Duuuh yamekuwa ayo chief kama utani
Mimwenyewe siamin nishagawai kumponda nikamuita tapeli
M MUNGU akuzidishie
Safi chief God love
Yeyote aliyepikea msaada wa huyu mtu wako initiated kwa chama chao ...
Freemason kazini
Alianza DIAMOND NA AKAJA HAMONIzer kariakoo,,akatoa PESA hicho NAEu gu amlinde
Uje na mwanza
Mungu akupe maisha marefu broo wewe ndomtu wa mana kabisa
Huyu kijana ni tishio kwa serikali na wanasiasa
Kwann kaka
Eee MUNGU WANGU 💔💔😭😭😭😭 TUOKOE TUOKOE YESUUUU 😭😭💔TUOKOE.
Nakosa hata maneno ya kusema, naona aibu, na udhalili mkubwa kuishi Mjini na Bado ukapigie magoti kijana Kama Huyu kwa Senti mbili za chumvi ni uvivu na kuishi maishi ya kutaka kupewa bila jasho
Sasa hapa si unaweza hata ukawa nanii wakina mama kama hawa ushenzi mtupu hizi ni dalili za umasiki uliokisiri
Jifuzeni kusoma alama zanyakati,alama yamnyama imekuja kwetu,sawa jamani.
Ni kweli
Chata za freemason kibao kwenye madhabau
Yani nashindwa hatanisemenini. Juu yamambohaya yakishetani. Kabisa
hawa. Watu. wanasoma. Neno. Kweli
Huyu ni mke wawatu ndio maana hana mke ye ni chakula .
Duuh
Toka magetoni
Hawaja pangwa kweli hawa
Pesa inatolewa kwa mkono wa kushoto masharti ya shetani mabaya haitaki tochi juu ya imani ya huyu jamaa chukueni pesa ila muda mfupi tu mutalia
❤❤
Wenye macho na mtazame..angalieni hapo nyuma iyo nembo ya ki Freemason ikiambatana na maneno WELCOME TO THE REAL WORLD.
Hizi nyakati ni za mwisho.
sanaa baadae wasijekua wanazirudisha
Ili afaidike na nni!!?
Izo nyimbo mliandaa
Sio muda nae ataanguka
Huyu mwamba apewe kitengo serikalini
Kuna yule mshkaji yupio Facebook. Anamtukanaga mwamba,, sana
Mtu anasaidia mbambeza???
Kwani ukipika supu hutoki halafu watu bwana pendeni tu vya.kupewa bila kivifanyia kazi malipo yake ni kuzimu yeye anatafuta hela ili aje akupe wewe kiraisi tu thubutu yake mimi natafuta pesa kwq jasho langu hivi unaenda kusududua laki mbili rooooo
Aliesema ufakir ni nusu ya ukafir nataman nimjue aliona nn mbona kama kapatia
Pesa za majin
Aaaaah mwanangu wew una nyota ya umasikini hadi wa akili
Huyu Jamaal anafanya biashara ya
cryptocurrency pesa za kidigital hizo so vijana tutafute iyo elimu kwa nguvu sana wazungu kutupumbaza sisi wafrica tusizijue wakatuleta ma tik tok instangra porn ma game so hera hafu tumelala nikujisap tu filita kama yote tunafaidisha wao
Wewe nae kitu unachokiongea hukijui hela za KUZIMU hizo hakuna cryptocurrency wala nini
JICHANGANYE SASA😂
Wtngnyika mtkufa vby kuna ck
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sasa freemasons hadharani
Yaan sipati picha du h hatari mmh
Pesa haina adabu kwakwel aisee wamama wanavokimbilia maiki ili watoe shda zao
Huyu jamaa
😂 welcome to the real world na alama zao kabisa
Unakumbuka kama pale nyumbani kwake kuna watoto si ulikwenda kuzungumza nae kwanza aje aseme hayo mtawapata wajinga tu ila sio sisi
Vitambaa vyeusi na maandishi mekundu...RANGI YA nani? Tuwe na akili...
✊✊
Hawezikuwa tajiri bilionea huyu?
Chife chife niwezeshe na mm niko mbeya
Kwani huyu sio yule ambae alie tutu kana sisi masikini? Akatuita takataka?
Kasha wapanga hao teyar wamekula 20 mia 80 wabarudisha😀😀😀
Ata hyo 20 ni pesa pia kuna watu ata 1000 ya kugawa hawana
@@JoyceSamwel-f2s ndo wale wale
YESU KRISTO tuepushe na haya
Kwann
Yule wa kwanza kwa pili kwa nn hakumpa maik
Amezuiliwa kwa sababu alihitaji wanze wenye umri mkubwa
TUTAFUTE ela jaman
sema mwamba sijawahi kumuelewa kabisaa labda huko mbele.......ivi anajishughulisha na nini?
Nimeamua kukaa kimya
wajinga nyie tafteni ela na nyie, ukiwa na pesa utaitwa majina yote ayo
Mmh badoo ujanishawishi msaada gan unabagua jinsia apo amna lolote ni ovyoo kbs ushetan mtupu wanaopokea hizo pesa watazilipa kwanamna yyt akun chabure we nanii😂😂😂😂
😂😂
Asante😂😂😂😂🎉
Dajjal
Huyu muuza dawa za kulevya China na hata bangi anauza
Uza na wewe kama zinalipa
@NgelejaCharles-ng7bh 😂😂😂😂
Wew ni manikins wa akili
tafuteni hela wajinga nyie