MAMA CHIEF GODLOVE AELEZEA HALI YA MWANAE ILIVYO KWASASA, MAMA WEMA ALIKOSEA SANA, SOTETULIYAFANYAGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook Instagram na Twitter gusa link za pages zetu apo chini pia waweza kuchat nasi kupitia whatsapp ama kutupigia kawaida kupitia namba za simu +255755449629 karibu sana kwa habari mbalimbali
    FACEBOOK / minotv
    INSTAGRAM / minotv_tz
    TIKTOK / minotv_tz

Комментарии • 41

  • @vangiftshine
    @vangiftshine 15 дней назад

    Wooow amazing Maman una ushauli mzurii Sanaa , ila kijaanaako kichaaa amechanganikiwa kabisa , mkalishe chini umshauli atuezii toshana kama vidole za mkono ✌🏻

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Месяц назад

    Uko sahihi mama .
    Lakini bado uko mzuri ❤😂

  • @MarymwakilamMwakilama
    @MarymwakilamMwakilama 2 месяца назад +1

    Huyo mama ni WA mchongo mama yake Yuko pow Wala siyo huyo

  • @LeonceMushy
    @LeonceMushy 5 месяцев назад

    Axante mama

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke 3 месяца назад +4

    Mama yangu, haki yako bado haijakamilika, Mungu akipenda mpaka uitimize haki yako☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Месяц назад +1

    Mtangazaji zero brain , kumwambia mama ameupata uzeeni. Ungetumia hata lugha nyingine huyo mama siyo mzee

  • @miba2065
    @miba2065 18 дней назад

    Akili nyingi Mama

  • @ErnestChrispin-ob2rn
    @ErnestChrispin-ob2rn 11 месяцев назад +3

    Mama umeongea kitu kizuri sana ninaiman vijana wasio jielewa na kufuata maneno ya mwanao wamepata somo Bora ungekuwa mama wema nazani wozu ange injoy sana

  • @DozenKizzyElias
    @DozenKizzyElias 22 дня назад

    😂😂😂yes

  • @ntakilutandato
    @ntakilutandato 2 месяца назад +1

    Anaonekana mama wa mchongo huyu.

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv 2 месяца назад +1

    Kumbe mama wa mchongo nilizani mama ake mzazi ila mwanammke yoyote ni mama nasaha nzur

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 8 месяцев назад +1

    🤣🤣🤣🤣 kkkk Godlove anajuwa kuwakela fanya yenu

  • @solachuma3845
    @solachuma3845 Месяц назад

    Nakukubali sana Mommy, unanifanya nifurahie comedy zako😅

  • @crackermusic9717
    @crackermusic9717 9 месяцев назад +3

    Good talk mama

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 11 месяцев назад +1

    huo lips ya mdomo htarii mmngu

  • @LukumanKhamis
    @LukumanKhamis 4 месяца назад +1

    Uko vzur mama umeongea point

  • @exodusmgohachi1733
    @exodusmgohachi1733 2 месяца назад

    Sasa hivi jamaa anawaunga watu kwenye ulimwengu wa kweli , huko maisha yanaendelea saiv kaanza kuwasema Kwa vitendo.

  • @AidanNdanzi
    @AidanNdanzi 5 месяцев назад +1

    😄😄😄😄😄😄😄

  • @mdaltosh5355
    @mdaltosh5355 6 месяцев назад +1

    Mama mboneke,, gonga like tukienda

  • @omaradam9797
    @omaradam9797 Месяц назад

    Kweli mama hapotei njia sauti ya mama heshima yako mama ❤🎉😊

  • @omarkb6775
    @omarkb6775 2 месяца назад

    Point tupu mama umeongea hakika nimtu mzima mwenye busara zake nimekuelewa vzr mno

  • @NasraNasra-l9q
    @NasraNasra-l9q 11 месяцев назад +1

    ❤❤🎉. Mama yan busara tupuu🎉🎉

  • @leonardtesha6540
    @leonardtesha6540 7 месяцев назад +1

    Hongera mama

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 Месяц назад

    Wengi wanachoka...na wanja😅😅😅😅

  • @pascalantonio4103
    @pascalantonio4103 7 месяцев назад +1

    Mama love🥰

  • @Brownlecovalfilms
    @Brownlecovalfilms Месяц назад

    Yes ❤❤❤

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 11 месяцев назад +1

    Mma kijana hyo😂

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Месяц назад

    No one is like you mama, hongere sana mama.

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri Месяц назад

    Kweli mama

  • @AminaKasimu-u1w
    @AminaKasimu-u1w Месяц назад

    Anakufuru.

  • @manumunemanumune-uj6jq
    @manumunemanumune-uj6jq Месяц назад

    Umongea point

  • @dismapayovela
    @dismapayovela 3 месяца назад

    Mama anaakili sana huyu

  • @BeatriceKamama
    @BeatriceKamama 3 месяца назад

    Mamaaaa umeongea point

  • @AlfredMichael-ge2yp
    @AlfredMichael-ge2yp 8 месяцев назад

    Da!kumbe mwamba anather,!!

  • @Florisvevotz
    @Florisvevotz 6 месяцев назад +2

    Uyu maman namuona kama mamayangu namupenda sana

  • @meowzna
    @meowzna 3 месяца назад +2

    Uko Vizuri Mama👍🥰

  • @nelsonpatricioestanislaus7144
    @nelsonpatricioestanislaus7144 11 месяцев назад

    Kweli mama.

  • @LuandaKubuya-y1y
    @LuandaKubuya-y1y 11 месяцев назад

    Mama ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Gabriemwita
    @Gabriemwita 7 месяцев назад

    Wew mmama sikupendi hata kidogo

    • @renaldalyimo8338
      @renaldalyimo8338 Месяц назад +1

      Acha rohi ya kwanini eti simpendi huyu mama amekukosea nini

  • @Direct-0000
    @Direct-0000 2 месяца назад

    100000000%