MAMA CHIEF GODLOVE AELEZEA HALI YA MWANAE ILIVYO KWASASA, MAMA WEMA ALIKOSEA SANA, SOTETULIYAFANYAGA
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook Instagram na Twitter gusa link za pages zetu apo chini pia waweza kuchat nasi kupitia whatsapp ama kutupigia kawaida kupitia namba za simu +255755449629 karibu sana kwa habari mbalimbali
FACEBOOK / minotv
INSTAGRAM / minotv_tz
TIKTOK / minotv_tz
Wooow amazing Maman una ushauli mzurii Sanaa , ila kijaanaako kichaaa amechanganikiwa kabisa , mkalishe chini umshauli atuezii toshana kama vidole za mkono ✌🏻
Uko sahihi mama .
Lakini bado uko mzuri ❤😂
Huyo mama ni WA mchongo mama yake Yuko pow Wala siyo huyo
Axante mama
Mama yangu, haki yako bado haijakamilika, Mungu akipenda mpaka uitimize haki yako☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻
Mtangazaji zero brain , kumwambia mama ameupata uzeeni. Ungetumia hata lugha nyingine huyo mama siyo mzee
Akili nyingi Mama
Mama umeongea kitu kizuri sana ninaiman vijana wasio jielewa na kufuata maneno ya mwanao wamepata somo Bora ungekuwa mama wema nazani wozu ange injoy sana
😂😂😂yes
Anaonekana mama wa mchongo huyu.
Kumbe mama wa mchongo nilizani mama ake mzazi ila mwanammke yoyote ni mama nasaha nzur
🤣🤣🤣🤣 kkkk Godlove anajuwa kuwakela fanya yenu
Nakukubali sana Mommy, unanifanya nifurahie comedy zako😅
Good talk mama
huo lips ya mdomo htarii mmngu
Uko vzur mama umeongea point
Sasa hivi jamaa anawaunga watu kwenye ulimwengu wa kweli , huko maisha yanaendelea saiv kaanza kuwasema Kwa vitendo.
😄😄😄😄😄😄😄
Mama mboneke,, gonga like tukienda
Kweli mama hapotei njia sauti ya mama heshima yako mama ❤🎉😊
Point tupu mama umeongea hakika nimtu mzima mwenye busara zake nimekuelewa vzr mno
❤❤🎉. Mama yan busara tupuu🎉🎉
Hongera mama
Wengi wanachoka...na wanja😅😅😅😅
Mama love🥰
Yes ❤❤❤
Mma kijana hyo😂
No one is like you mama, hongere sana mama.
Kweli mama
Anakufuru.
Umongea point
Mama anaakili sana huyu
Mamaaaa umeongea point
Da!kumbe mwamba anather,!!
Uyu maman namuona kama mamayangu namupenda sana
Uko Vizuri Mama👍🥰
Kweli mama.
Mama ❤❤❤❤❤❤❤❤
Wew mmama sikupendi hata kidogo
Acha rohi ya kwanini eti simpendi huyu mama amekukosea nini
100000000%