Samahani kama nitakukwaza my bro tunaburudika na utani ndani yke ila zambi kubwa kumuita binaadam mwezio mbwa hata kama kwa utani..nisamehe lakini kama nitakukwaza
Bongo tu tunavip promo vsivyowez ila awa jamaaa kama uyu mboyoyo tungemwamn kama akna joti, kitale, maufund..naamn angepeprush bendera vzr coz aina ya uchekeshaj wak n unique cna...
Kaz ih ngum sana Jaman nimewai kufanya Nilikuw nafanya kwenye company Ya ADAM GENLATION SUPERMARKEN GROUP Nikapewa mtu nifuatanenae Apite kuni train Mzee niliteseka Sana sana tulienda VIANZ vikindu Hatal wana gonga changalawe Siyo mchezo
Oya yani acha mzee baba mm nilishawahi fanya pale kinondon Biafra Pana kampun inatwa British contact wanauza sabuni mafuta shampoo nk nilisota wiki2 mshahara kila ukidondosha pisi 1 yako ni 💯 yalinishinda niakaachana nayo ili kuwa siend kuuza maeneo ninayoish najiskia aibu kinoma 😀😀😀
Me niliambiwa nimfuate jamaa mmoja hv, tukapanda gar tukashukia tabata gerej tukaingia mtaan nilishangaa jamaa kawafata wadada wanasukana anatoa dawa za mswaki na vipodoz alivyoangalia nyuma hakuniona tena
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😂😂😁😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😂😂😂 hao jamaa leo mmewalipua walinidanganya mshahara laki 5 kudadeek nkatembea na mpak miguu ikaomba Pooh nkasepa na mizigo yao hawajaniona mpak leo ,nkiwaona mtaan huwa nacheka sana ,unatembea na tai haraf hata kura hujala 😂😂😂😂
Hahaaaa na mm umenkumbusha mwaka 2008 nilijichanganya kwenye kampuni moja inaitwa the Canadian company group baada ya kuona tangazo la kazi mshahara 260000 kumbe kazi yenyewe ndy kama hiyo nilisepa na vyombo vyao
@@abdulfahadog1458 😂😂😂wewe huwezi nitembeza na vyombo mshahara dematch ,Bora niuze machungwa na maji ya kandoro siyo huo upuuz,besen unalililipia kweny gar haraf unaliuza kw taabu haraf jamaa wanakuwekea buku tu 🤣🤣🤣🤣 kwa elimu nliyonayo wale nlitakiwa kuwashtaki shwain kabisa
Hahahaaa umenikumbusha mbali sana mwaka 2009 globle sales internation duuuuu nilifanya hii kazi kwa miezi 5 na ndo ilionitoa na kunifikisha hapa nilipo leo.
Hahahaha! Dakhhh huyu jamaa ananikumbusha mbali Sana na hii kazi ase me nilipewa fuko la lambo Lina vipodoz na sabuni mdomo wako ndo riziki yako Nan aliyeingia choo cha kike kwenye hizi kazi Kama mm
Tafadhali waungwana naomba mnisaidie nimesikiliza zaidi na zaidi lakini sijaelewa pale aliposema ""sina mengi ni mimi tupatupa kupata kuna Mungu tai kubwa.............""dakika ya 5:30 ametafuna maneno mpaka sijaelewa
Aliyerudia hiii Mara mbili aweke like tujuane
zaidi ya mara mbili....nawakubali xana hawa jamaa
Any one watching this masterpiece in 2024
Mungu kajaaliwa baadhi ya watu hapa Duniani wasipate Taabu😀😂 asa mtu km maneno 10 analaleje njaa😂😃😅😅😅😅
“Na Bruce lee” 😂😂😂😂😂Omg this guy is sooo funny
Daaah hao wa matangazo matapeli Sanaa Kama auna kazi waweza pagawa serikali waingilie kati wanyanyasaji xana waongo kinouma
2024 mwezi wa nane tarehe 20 tujuanee gonga like hapa kwa mwenetu mboyoyo 😂😂😂😂
Wasafi hamjawahi kudisappoint jmn😙😙😙❤❤❤unayesoma comment yangu NAKUPENDA❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙
Mi pia nakupenda
Nakupenda zaidi
Nami pia
Nakupend pia km vp nipe n no kbx
Nashukuru kwakunipenda
Huyu jamaa ukiachana na kuigiza, ni muongo kweli huyu aisee
😂😂😂😃😃😁😁😁
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Dadadaa
🤭🤭🤭
Nimepitia hapa tena leo 13/10/2022 kupata burudani hii tena karibu ku like kama nawe umeirudia
Nimepita leo 28/08/2023
Tiibag feleeshen
NIMESEMAJE?
tiibag feleeshen
🤣🤣😂huyu mbwa nimuongo kuliko hamorapa😂😂🤣
😂😂😂😂😂😂😂
Kwel uyu jamaa nimuongo kinyama
😂 😂 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka kisenge
Samahani kama nitakukwaza my bro tunaburudika na utani ndani yke ila zambi kubwa kumuita binaadam mwezio mbwa hata kama kwa utani..nisamehe lakini kama nitakukwaza
Bongo tu tunavip promo vsivyowez ila awa jamaaa kama uyu mboyoyo tungemwamn kama akna joti, kitale, maufund..naamn angepeprush bendera vzr coz aina ya uchekeshaj wak n unique cna...
Kabisa
@@shaabanramadhan6770 jamaa anajua sana uyu
Sure
Mungu awajalie Jambo na vijambo nawakubaki Sana
This guy is awesome his ability is outstanding.
Kaz ih ngum sana
Jaman nimewai kufanya
Nilikuw nafanya kwenye company
Ya ADAM GENLATION SUPERMARKEN GROUP
Nikapewa mtu nifuatanenae
Apite kuni train Mzee niliteseka
Sana sana tulienda VIANZ vikindu
Hatal wana gonga changalawe
Siyo mchezo
Pole mkuu
Oya yani acha mzee baba mm nilishawahi fanya pale kinondon Biafra Pana kampun inatwa British contact wanauza sabuni mafuta shampoo nk nilisota wiki2 mshahara kila ukidondosha pisi 1 yako ni 💯 yalinishinda niakaachana nayo ili kuwa siend kuuza maeneo ninayoish najiskia aibu kinoma 😀😀😀
Sahihi
Me niliambiwa nimfuate jamaa mmoja hv, tukapanda gar tukashukia tabata gerej tukaingia mtaan nilishangaa jamaa kawafata wadada wanasukana anatoa dawa za mswaki na vipodoz alivyoangalia nyuma hakuniona tena
Rashid Hassan hata mimi nilikimbiaga baada ya kuona hiyo kazi
Kwa mara ya kwanza mboyoyo kapewa hela. 😂😂😂😂😂😂😂
Huu uigizaj never seen 🙌🏾🙌🏾😹😹mnajua
😂😂😂Hawa jamàa. Sema hicho walichosema hapo ni very true...nshawahi kwenda kwenye hizo kazi😂😂😂😂😂
😁😁😁😁🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Yah nilipitia huko alichosema hapo hajaongopa hata kidogo
Leo umefanikiwa kupata BUKU ulizokua unaomba salute kwao
Yaan nmechekaaa walahiiiiiii big up wasafi....................big up jamboo n vijambo.........mnajuaaaaaa
Dahh hii .imenikumbusha mbali saana ...CV barua ya serikali ya mtaa ...Naomba serikali itazama huu udanganyifu unao fanya na haya makampuni ...
Nakumbuka siku mzima nilikuwa nahangaika serikali za mtaa na kutafuta wadhamini kisa hawa jamaa
GKartCLUB 1 kweli wise mm mwenyewe
Nimeskia home kwetu Vikindu Daaah keep it up bro
Hapa sio kichekesho ,huu Ni uhalisia wa maisha
Hakika
Nishawah kuwafuata hawa watu
Fact
"asituletee mambo ya instagram apa, mambo yakuvalishana pete"😂😂 uo mstar n relevant
Hakuna kazi isiokua na changa moto ata wachezaji wa filamu za ngono wao upitia changa moto hivyo maisha nikujaribu
Hakunagaaaa kam mboyoyoyoooooo
Ugonjwa Wa Bruce Lee duh xo powah
Madini ya soda
Nimesemaje 'Tea bag peleshee' 😀 😀😀 sema huyu jamaa ni mjinga sana
this guys is so dope
Acrobatic veso 😂😂😂 huyu jamaa haigizi,,ni muongo kweli katika maisha ya kawaida
MUONGO NAMBA MOJA TANZANIA NZIMA DU!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😂😂😁😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😂😂😂 hao jamaa leo mmewalipua walinidanganya mshahara laki 5 kudadeek nkatembea na mpak miguu ikaomba Pooh nkasepa na mizigo yao hawajaniona mpak leo ,nkiwaona mtaan huwa nacheka sana ,unatembea na tai haraf hata kura hujala 😂😂😂😂
☺️☺️
Hahaaaa na mm umenkumbusha mwaka 2008 nilijichanganya kwenye kampuni moja inaitwa the Canadian company group baada ya kuona tangazo la kazi mshahara 260000 kumbe kazi yenyewe ndy kama hiyo nilisepa na vyombo vyao
@@Marwawilliam 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 warudishie vyombo vyao,wanafikir Kila mtu muuza vyombo 🤣🤣🤣
Haukudanganyw sema ni ww tu baada y kupewa plan na kutokan n uvivu wenu wa Tanzania ukashindwa kutimiza goal
@@abdulfahadog1458 😂😂😂wewe huwezi nitembeza na vyombo mshahara dematch ,Bora niuze machungwa na maji ya kandoro siyo huo upuuz,besen unalililipia kweny gar haraf unaliuza kw taabu haraf jamaa wanakuwekea buku tu 🤣🤣🤣🤣 kwa elimu nliyonayo wale nlitakiwa kuwashtaki shwain kabisa
Duu wapi like kwa beseni jamniii
Sema Nini hii kazi serikali iangalie vizuri Kuna vijana wanatumikishwa kiboya Sana na hawana jinsi
Dah unajuwa sana mpaka unaboa
Glass zilizotengenezwa kwa mchanga wa vikindu, bruce lee umo umo halafu kumbe anaishi kibamba na nauli hana dadeeki!!!😂
Daaah nimecheka sana
Wa kwanza like jaman
Wasafi hiki kipindi kiendelee kuwepo hata nikifa
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂
Maneno kumi bro unajua sna bro unajua nilikuwa nimeboleka hapa lakn umenifanya niwe na uchesh gafla
Duu huyu jamaa ni muongo dunia nzimaah
😂😂 hii sijaweza kumaliza kuangalia mbavu zimekataa😂😂😂
Shati lako umelipiga pasi..
Hayakuhusu kuwa uyaone
Nmecheka kifaraaaa
😂😂😂
Nisipocoment nitakua nitakua nimewakosea nimechek mpaka basi ahsanten
Dah!!! Awa jamaaa wanatisha hatar konk fire liquid
Huyu mroho anaroho ya huruma anaonesha ukiachia mbali na comedy 😅😅😅
Nyie ni mafundi Wa kuingiza hatr
😃😃😃Ile furaha angu nilitamani ni like comment zote ila ni nyingi sooorrry
mwamba anajuwa🙌
KAZI HII KWA SISI WAHANGAIKAJI TUSHAOMBAGA HAHAHAHA, YAANI NOMA SANA
Uyu jamaaa kutangaza biashara anaweza kama unamkubali basi gonga hapo like yako
Mnatishaaaaa cnaaaaa nawakubaliiiii xnaaaa asehhhhhhhhh Jambo na vijambo
Huyu jamaa ni hatari aisee kama ume angalia leo 4/10/2024.naomba like please 😅😅😅😅
Nakubal
Aklobatik Festo Daaaaaah
Hahahaaa umenikumbusha mbali sana mwaka 2009 globle sales internation duuuuu nilifanya hii kazi kwa miezi 5 na ndo ilionitoa na kunifikisha hapa nilipo leo.
Ww ndio mtaftaji go run it bro
Hahahaha! Dakhhh huyu jamaa ananikumbusha mbali Sana na hii kazi ase me nilipewa fuko la lambo Lina vipodoz na sabuni mdomo wako ndo riziki yako Nan aliyeingia choo cha kike kwenye hizi kazi Kama mm
Hata me
Kwa promotion hii,lazma ununue,
Jamaa muongo eti hata unaweka povu glass yenyewe inaleta maji😂😂
Kampuni inaitwa "Mirror of the witch" 😅😅😅😅
"Hujasoma ila mshahara kama ulivyotaja" 😂😂😂😂🤣
Tafadhali waungwana naomba mnisaidie nimesikiliza zaidi na zaidi lakini sijaelewa pale aliposema ""sina mengi ni mimi tupatupa kupata kuna Mungu tai kubwa.............""dakika ya 5:30 ametafuna maneno mpaka sijaelewa
Amesem cn bei
Anza kusikiliza kuanzia dakika ya 5:30 baada ya kusoma comment yangu
Kama umesikia ukiweka chupa kwenye uji huu gonga like
My favorite video 😘😍🤣😂
Hawa jamaa ni noma ila kinachofanya wasijulikane ni ukiritimba ya waliotangulia kuogopa kuzidiwa
Kuona comedy na movi za MKOJANI na TIN WHITE bofya apa👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼ruclips.net/video/vjBLSdZWDoY/видео.html
fundi sana
UYO NDIO MBOYOYO 🤣🤣💋💖
GONGA LIKE TWENDE SAWA
😂😂😂😂😂😂 kuwa uyaone😂😂😂🙌🏼. Meneno kumi una hatari sana
Yani kweli kabxa wale wanaobandikaga mabango ya ajra kwnye stima ni wezi kweli yani watu hawajui tu.
Aaah huyu jamaa ananiacha Ohi sana ahsee😀😀😀😀😀😃😆😆😆
Tanzania One comedian
😂😂 huyu jamaa kweli sfteNOMAtSANA.
NIMESEMAJE HAPO?
God job 🔥🔥🔥
Mboyooyo mhh muongoo ..madini ya soda
Mmetisha
Tz bingwa sana, huyu kiboko nomaa,,
Etih nmebakisha wimbo mmoja tyu kidogo kidogo nikinyatanyata..
Yan mwishon nmecheka mpaka nmeshindwa jaman mung wangu
Duu uyu jamaa cjui maneno anayatoa wap
Ataliii xan
Mboyoyo ametisha sanaaa
Hatari sana
They are best in tz
Hongera cna
off blifing😹😹🤣🤣🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽tea bag fleshen😂😂uwiiiii
Nikishamuona tu naanza kcheka ila uyu msenge mwisho 😂😂🙌
Nipo kwenye daladala, asubuhi level siti nimecheka mpaka neke yangu mpaka najishtukia
Acha
We unajuwa bwana mboyoyo
wasafi mmenishika
Achana na maisha yangu unanikumbusha mambo ya kupichi Elishadai marketing group tulio fanyanya hii kazi tujuane leo tunaendesha magari
Kwa kazi hii?
@@mirajimwango5763 hapana nilicha na kule nilipata hela ya kula tu na sio mavazi
Huyu mboyoyo ni muongo dunia
Mnaweza
Mboyooooo n zaid ya coronaaaa😂😂😂😂
Huu ni mchezo unaoneshwa au je km ni mchezo ni mda gani
Mr nkamba
Duuuuh mshikaji mbea
😀😁😁, jamaa ana maneno balaa
🙄🤣🤣🤣bruce leee yaaaniii huyu n muongo kuliko amber lutty
IS good
Iyenyeee nishadondosha unataka nidondoshe naii😂😂😂😂😂😂❤
Jaribu tena na hiyo 🤣🤣
Jaribu ni mpakan mwa rifiji bhn
Nice
Nimeenjoy