Mboyoyo na kazi ya Promoshen (jambonavijambo)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • #wasafi#Mboyoyo na kazi ya #Promosheni

Комментарии • 558

  • @lameckntahondi8073
    @lameckntahondi8073 4 года назад +208

    Aliyerudia hiii Mara mbili aweke like tujuane

    • @salimsaidi645
      @salimsaidi645 4 года назад +2

      zaidi ya mara mbili....nawakubali xana hawa jamaa

  • @allyntepatz
    @allyntepatz 2 месяца назад +3

    Any one watching this masterpiece in 2024

  • @ajmilee4204
    @ajmilee4204 4 года назад +51

    Mungu kajaaliwa baadhi ya watu hapa Duniani wasipate Taabu😀😂 asa mtu km maneno 10 analaleje njaa😂😃😅😅😅😅

  • @Richesfam
    @Richesfam 4 года назад +42

    “Na Bruce lee” 😂😂😂😂😂Omg this guy is sooo funny

  • @allybinmaliki1467
    @allybinmaliki1467 4 года назад +7

    Daaah hao wa matangazo matapeli Sanaa Kama auna kazi waweza pagawa serikali waingilie kati wanyanyasaji xana waongo kinouma

  • @DotoOmary-i9q
    @DotoOmary-i9q Месяц назад +4

    2024 mwezi wa nane tarehe 20 tujuanee gonga like hapa kwa mwenetu mboyoyo 😂😂😂😂

  • @aceotz2579
    @aceotz2579 4 года назад +115

    Wasafi hamjawahi kudisappoint jmn😙😙😙❤❤❤unayesoma comment yangu NAKUPENDA❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙

  • @hassanichijumba7222
    @hassanichijumba7222 4 года назад +113

    Huyu jamaa ukiachana na kuigiza, ni muongo kweli huyu aisee

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 2 года назад +10

    Nimepitia hapa tena leo 13/10/2022 kupata burudani hii tena karibu ku like kama nawe umeirudia

  • @buluush9741
    @buluush9741 4 года назад +114

    Tiibag feleeshen
    NIMESEMAJE?
    tiibag feleeshen
    🤣🤣😂huyu mbwa nimuongo kuliko hamorapa😂😂🤣

    • @abubakarmpole4000
      @abubakarmpole4000 4 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @kisura299dinno4
      @kisura299dinno4 4 года назад

      Kwel uyu jamaa nimuongo kinyama

    • @watakaniitaje1215
      @watakaniitaje1215 4 года назад

      😂 😂 😂

    • @tildahongkong6086
      @tildahongkong6086 4 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka kisenge

    • @khadijaahmada2544
      @khadijaahmada2544 4 года назад

      Samahani kama nitakukwaza my bro tunaburudika na utani ndani yke ila zambi kubwa kumuita binaadam mwezio mbwa hata kama kwa utani..nisamehe lakini kama nitakukwaza

  • @fransismodestus9070
    @fransismodestus9070 4 года назад +44

    Bongo tu tunavip promo vsivyowez ila awa jamaaa kama uyu mboyoyo tungemwamn kama akna joti, kitale, maufund..naamn angepeprush bendera vzr coz aina ya uchekeshaj wak n unique cna...

  • @JackSparrow-ih5es
    @JackSparrow-ih5es 4 года назад +6

    Mungu awajalie Jambo na vijambo nawakubaki Sana

  • @epiphaniafrank8828
    @epiphaniafrank8828 2 года назад +4

    This guy is awesome his ability is outstanding.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 года назад +27

    Kaz ih ngum sana
    Jaman nimewai kufanya
    Nilikuw nafanya kwenye company
    Ya ADAM GENLATION SUPERMARKEN GROUP
    Nikapewa mtu nifuatanenae
    Apite kuni train Mzee niliteseka
    Sana sana tulienda VIANZ vikindu
    Hatal wana gonga changalawe
    Siyo mchezo

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 4 года назад

      Pole mkuu

    • @khafidhsalum1107
      @khafidhsalum1107 4 года назад +4

      Oya yani acha mzee baba mm nilishawahi fanya pale kinondon Biafra Pana kampun inatwa British contact wanauza sabuni mafuta shampoo nk nilisota wiki2 mshahara kila ukidondosha pisi 1 yako ni 💯 yalinishinda niakaachana nayo ili kuwa siend kuuza maeneo ninayoish najiskia aibu kinoma 😀😀😀

    • @emmaleejr6670
      @emmaleejr6670 4 года назад

      Sahihi

    • @Rashid-sg2mw
      @Rashid-sg2mw 4 года назад +2

      Me niliambiwa nimfuate jamaa mmoja hv, tukapanda gar tukashukia tabata gerej tukaingia mtaan nilishangaa jamaa kawafata wadada wanasukana anatoa dawa za mswaki na vipodoz alivyoangalia nyuma hakuniona tena

    • @raymondclaud6026
      @raymondclaud6026 4 года назад +1

      Rashid Hassan hata mimi nilikimbiaga baada ya kuona hiyo kazi

  • @barakachawe6241
    @barakachawe6241 4 года назад +31

    Kwa mara ya kwanza mboyoyo kapewa hela. 😂😂😂😂😂😂😂

  • @elminofisho7675
    @elminofisho7675 4 года назад +18

    Huu uigizaj never seen 🙌🏾🙌🏾😹😹mnajua

  • @tushia643
    @tushia643 4 года назад +17

    😂😂😂Hawa jamàa. Sema hicho walichosema hapo ni very true...nshawahi kwenda kwenye hizo kazi😂😂😂😂😂

    • @takuruabdalla5729
      @takuruabdalla5729 3 года назад

      😁😁😁😁🙏🙏🙏🙌🙌🙌

    • @takuruabdalla5729
      @takuruabdalla5729 3 года назад

      Yah nilipitia huko alichosema hapo hajaongopa hata kidogo

  • @babylonebeckaexavery10
    @babylonebeckaexavery10 4 года назад +1

    Leo umefanikiwa kupata BUKU ulizokua unaomba salute kwao

  • @officialnanaah7543
    @officialnanaah7543 4 года назад +1

    Yaan nmechekaaa walahiiiiiii big up wasafi....................big up jamboo n vijambo.........mnajuaaaaaa

  • @heshima9935
    @heshima9935 4 года назад +4

    Dahh hii .imenikumbusha mbali saana ...CV barua ya serikali ya mtaa ...Naomba serikali itazama huu udanganyifu unao fanya na haya makampuni ...

    • @emiliusfrance8286
      @emiliusfrance8286 4 года назад

      Nakumbuka siku mzima nilikuwa nahangaika serikali za mtaa na kutafuta wadhamini kisa hawa jamaa

    • @juliusfocus8539
      @juliusfocus8539 4 года назад

      GKartCLUB 1 kweli wise mm mwenyewe

  • @salumuhafidhimtabe
    @salumuhafidhimtabe 3 года назад +3

    Nimeskia home kwetu Vikindu Daaah keep it up bro

  • @officialmologa
    @officialmologa 4 года назад +14

    Hapa sio kichekesho ,huu Ni uhalisia wa maisha

  • @danielwilfred2609
    @danielwilfred2609 4 года назад +10

    "asituletee mambo ya instagram apa, mambo yakuvalishana pete"😂😂 uo mstar n relevant

  • @drdaonstyne3166
    @drdaonstyne3166 3 года назад

    Hakuna kazi isiokua na changa moto ata wachezaji wa filamu za ngono wao upitia changa moto hivyo maisha nikujaribu

  • @shedrackslyvester8684
    @shedrackslyvester8684 3 года назад +2

    Hakunagaaaa kam mboyoyoyoooooo

  • @maulidipeter6124
    @maulidipeter6124 4 года назад +8

    Ugonjwa Wa Bruce Lee duh xo powah
    Madini ya soda

  • @busegamediatanzania
    @busegamediatanzania 4 года назад +4

    Nimesemaje 'Tea bag peleshee' 😀 😀😀 sema huyu jamaa ni mjinga sana

  • @swalehetwalibu3873
    @swalehetwalibu3873 4 года назад +11

    this guys is so dope

  • @subo2667
    @subo2667 4 года назад +9

    Acrobatic veso 😂😂😂 huyu jamaa haigizi,,ni muongo kweli katika maisha ya kawaida

  • @johnsilima6789
    @johnsilima6789 4 года назад +20

    MUONGO NAMBA MOJA TANZANIA NZIMA DU!

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 4 года назад +26

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😂😂😁😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😂😂😂 hao jamaa leo mmewalipua walinidanganya mshahara laki 5 kudadeek nkatembea na mpak miguu ikaomba Pooh nkasepa na mizigo yao hawajaniona mpak leo ,nkiwaona mtaan huwa nacheka sana ,unatembea na tai haraf hata kura hujala 😂😂😂😂

    • @wazirikipanga325
      @wazirikipanga325 4 года назад

      ☺️☺️

    • @Marwawilliam
      @Marwawilliam 4 года назад +2

      Hahaaaa na mm umenkumbusha mwaka 2008 nilijichanganya kwenye kampuni moja inaitwa the Canadian company group baada ya kuona tangazo la kazi mshahara 260000 kumbe kazi yenyewe ndy kama hiyo nilisepa na vyombo vyao

    • @seifzongo320
      @seifzongo320 4 года назад +2

      @@Marwawilliam 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 warudishie vyombo vyao,wanafikir Kila mtu muuza vyombo 🤣🤣🤣

    • @abdulfahadog1458
      @abdulfahadog1458 4 года назад

      Haukudanganyw sema ni ww tu baada y kupewa plan na kutokan n uvivu wenu wa Tanzania ukashindwa kutimiza goal

    • @seifzongo320
      @seifzongo320 4 года назад

      @@abdulfahadog1458 😂😂😂wewe huwezi nitembeza na vyombo mshahara dematch ,Bora niuze machungwa na maji ya kandoro siyo huo upuuz,besen unalililipia kweny gar haraf unaliuza kw taabu haraf jamaa wanakuwekea buku tu 🤣🤣🤣🤣 kwa elimu nliyonayo wale nlitakiwa kuwashtaki shwain kabisa

  • @samweliwapili5844
    @samweliwapili5844 4 года назад +8

    Duu wapi like kwa beseni jamniii

  • @SamuelCharles-111
    @SamuelCharles-111 4 года назад +1

    Sema Nini hii kazi serikali iangalie vizuri Kuna vijana wanatumikishwa kiboya Sana na hawana jinsi

  • @wazirmasokola5951
    @wazirmasokola5951 4 года назад +1

    Dah unajuwa sana mpaka unaboa

  • @chipembelesaid
    @chipembelesaid 4 года назад +17

    Glass zilizotengenezwa kwa mchanga wa vikindu, bruce lee umo umo halafu kumbe anaishi kibamba na nauli hana dadeeki!!!😂

  • @eliasjosiah1024
    @eliasjosiah1024 4 года назад +8

    Wa kwanza like jaman

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 4 года назад +35

    Wasafi hiki kipindi kiendelee kuwepo hata nikifa

  • @mdigotozy273
    @mdigotozy273 3 года назад

    Maneno kumi bro unajua sna bro unajua nilikuwa nimeboleka hapa lakn umenifanya niwe na uchesh gafla

  • @yahyamrangi9438
    @yahyamrangi9438 4 года назад +33

    Duu huyu jamaa ni muongo dunia nzimaah

  • @elbawazeky7113
    @elbawazeky7113 4 года назад +12

    😂😂 hii sijaweza kumaliza kuangalia mbavu zimekataa😂😂😂

  • @dullahmbabe3869
    @dullahmbabe3869 4 года назад +15

    Shati lako umelipiga pasi..
    Hayakuhusu kuwa uyaone

  • @mtitagirloriginal6890
    @mtitagirloriginal6890 4 года назад +1

    Nisipocoment nitakua nitakua nimewakosea nimechek mpaka basi ahsanten

  • @samueljaluo3203
    @samueljaluo3203 4 года назад +11

    Dah!!! Awa jamaaa wanatisha hatar konk fire liquid

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 4 года назад +5

    Huyu mroho anaroho ya huruma anaonesha ukiachia mbali na comedy 😅😅😅

  • @immanueldavd5631
    @immanueldavd5631 4 года назад +25

    Nyie ni mafundi Wa kuingiza hatr

  • @dullybrown3635
    @dullybrown3635 4 года назад +10

    😃😃😃Ile furaha angu nilitamani ni like comment zote ila ni nyingi sooorrry

  • @YasirKondo
    @YasirKondo Месяц назад

    mwamba anajuwa🙌

  • @mirajimwango5763
    @mirajimwango5763 4 года назад +10

    KAZI HII KWA SISI WAHANGAIKAJI TUSHAOMBAGA HAHAHAHA, YAANI NOMA SANA

  • @hassaniramadhani6521
    @hassaniramadhani6521 4 года назад +1

    Uyu jamaaa kutangaza biashara anaweza kama unamkubali basi gonga hapo like yako

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin334 4 года назад

    Mnatishaaaaa cnaaaaa nawakubaliiiii xnaaaa asehhhhhhhhh Jambo na vijambo

  • @michaelelia7058
    @michaelelia7058 14 дней назад

    Huyu jamaa ni hatari aisee kama ume angalia leo 4/10/2024.naomba like please 😅😅😅😅

  • @tpltanzania686
    @tpltanzania686 4 года назад

    Nakubal

  • @scabajr6449
    @scabajr6449 4 года назад

    Aklobatik Festo Daaaaaah

  • @maikokaombwe1644
    @maikokaombwe1644 4 года назад +7

    Hahahaaa umenikumbusha mbali sana mwaka 2009 globle sales internation duuuuu nilifanya hii kazi kwa miezi 5 na ndo ilionitoa na kunifikisha hapa nilipo leo.

  • @geofreylucas9469
    @geofreylucas9469 4 года назад +4

    Hahahaha! Dakhhh huyu jamaa ananikumbusha mbali Sana na hii kazi ase me nilipewa fuko la lambo Lina vipodoz na sabuni mdomo wako ndo riziki yako Nan aliyeingia choo cha kike kwenye hizi kazi Kama mm

  • @MenTPL
    @MenTPL 4 года назад +8

    Kwa promotion hii,lazma ununue,
    Jamaa muongo eti hata unaweka povu glass yenyewe inaleta maji😂😂

  • @JohnChalres-kb7ix
    @JohnChalres-kb7ix 3 месяца назад +1

    Kampuni inaitwa "Mirror of the witch" 😅😅😅😅

  • @subo2667
    @subo2667 4 года назад +11

    "Hujasoma ila mshahara kama ulivyotaja" 😂😂😂😂🤣

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 4 года назад +1

    Tafadhali waungwana naomba mnisaidie nimesikiliza zaidi na zaidi lakini sijaelewa pale aliposema ""sina mengi ni mimi tupatupa kupata kuna Mungu tai kubwa.............""dakika ya 5:30 ametafuna maneno mpaka sijaelewa

  • @neylumujr4876
    @neylumujr4876 4 года назад +3

    Kama umesikia ukiweka chupa kwenye uji huu gonga like

  • @annamansur3836
    @annamansur3836 4 года назад +2

    My favorite video 😘😍🤣😂

  • @hatibumactz
    @hatibumactz 4 года назад +1

    Hawa jamaa ni noma ila kinachofanya wasijulikane ni ukiritimba ya waliotangulia kuogopa kuzidiwa

  • @OSOONLINETV
    @OSOONLINETV 4 года назад

    Kuona comedy na movi za MKOJANI na TIN WHITE bofya apa👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼ruclips.net/video/vjBLSdZWDoY/видео.html

  • @rahimhemedi5453
    @rahimhemedi5453 4 года назад

    fundi sana

  • @sixbatan
    @sixbatan 4 года назад +11

    UYO NDIO MBOYOYO 🤣🤣💋💖
    GONGA LIKE TWENDE SAWA

  • @ghaamidabdulbasat3747
    @ghaamidabdulbasat3747 4 года назад +2

    😂😂😂😂😂😂 kuwa uyaone😂😂😂🙌🏼. Meneno kumi una hatari sana

  • @sunrishmussan6958
    @sunrishmussan6958 3 года назад

    Yani kweli kabxa wale wanaobandikaga mabango ya ajra kwnye stima ni wezi kweli yani watu hawajui tu.

  • @nasrimikidady1325
    @nasrimikidady1325 3 года назад

    Aaah huyu jamaa ananiacha Ohi sana ahsee😀😀😀😀😀😃😆😆😆

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 4 года назад +1

    Tanzania One comedian

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 4 года назад +8

    😂😂 huyu jamaa kweli sfteNOMAtSANA.
    NIMESEMAJE HAPO?

  • @alexjeremiah8389
    @alexjeremiah8389 4 года назад +9

    God job 🔥🔥🔥

  • @mohamedyally9912
    @mohamedyally9912 3 года назад +1

    Mboyooyo mhh muongoo ..madini ya soda

  • @shafiidauda7970
    @shafiidauda7970 4 года назад

    Mmetisha

  • @bisekoc.k.jenjela7936
    @bisekoc.k.jenjela7936 4 года назад

    Tz bingwa sana, huyu kiboko nomaa,,

  • @issanicholaus6304
    @issanicholaus6304 3 года назад

    Etih nmebakisha wimbo mmoja tyu kidogo kidogo nikinyatanyata..

  • @pendopeter5756
    @pendopeter5756 3 года назад

    Yan mwishon nmecheka mpaka nmeshindwa jaman mung wangu

  • @alenabelkinoni6571
    @alenabelkinoni6571 4 года назад +10

    Duu uyu jamaa cjui maneno anayatoa wap

  • @edkasto.9031
    @edkasto.9031 4 года назад

    Ataliii xan

  • @mrbaligea643
    @mrbaligea643 3 года назад +1

    Mboyoyo ametisha sanaaa

  • @semsisamwel8813
    @semsisamwel8813 3 года назад

    Hatari sana

  • @samwelieliazely967
    @samwelieliazely967 4 года назад +1

    They are best in tz

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa2020 4 года назад

    Hongera cna

  • @lucymassawe3735
    @lucymassawe3735 4 года назад

    off blifing😹😹🤣🤣🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽tea bag fleshen😂😂uwiiiii

  • @paulmgoli4853
    @paulmgoli4853 4 года назад +2

    Nikishamuona tu naanza kcheka ila uyu msenge mwisho 😂😂🙌

  • @twalibmakau8380
    @twalibmakau8380 4 года назад +4

    Nipo kwenye daladala, asubuhi level siti nimecheka mpaka neke yangu mpaka najishtukia

  • @godfreykyando3345
    @godfreykyando3345 4 года назад

    We unajuwa bwana mboyoyo

  • @nelsonthadei5056
    @nelsonthadei5056 4 года назад +3

    wasafi mmenishika

  • @chibunews5642
    @chibunews5642 4 года назад

    Achana na maisha yangu unanikumbusha mambo ya kupichi Elishadai marketing group tulio fanyanya hii kazi tujuane leo tunaendesha magari

    • @mirajimwango5763
      @mirajimwango5763 4 года назад

      Kwa kazi hii?

    • @chibunews5642
      @chibunews5642 4 года назад

      @@mirajimwango5763 hapana nilicha na kule nilipata hela ya kula tu na sio mavazi

  • @immanueldavd5631
    @immanueldavd5631 4 года назад +9

    Huyu mboyoyo ni muongo dunia

  • @husseinmhando2644
    @husseinmhando2644 3 года назад

    Mnaweza

  • @shabanimwinchea2696
    @shabanimwinchea2696 4 года назад +18

    Mboyooooo n zaid ya coronaaaa😂😂😂😂

    • @annavictor-vc9zn
      @annavictor-vc9zn 2 месяца назад

      Huu ni mchezo unaoneshwa au je km ni mchezo ni mda gani

  • @madengepopah905
    @madengepopah905 3 года назад

    Mr nkamba

  • @swaggerizedninjagoseprocom8523
    @swaggerizedninjagoseprocom8523 4 года назад +2

    Duuuuh mshikaji mbea

  • @josejacob7579
    @josejacob7579 4 года назад

    😀😁😁, jamaa ana maneno balaa

  • @nuruhero0740
    @nuruhero0740 4 года назад +4

    🙄🤣🤣🤣bruce leee yaaaniii huyu n muongo kuliko amber lutty

  • @binmweritz6843
    @binmweritz6843 3 года назад

    IS good

  • @jumamgeni6403
    @jumamgeni6403 Год назад

    Iyenyeee nishadondosha unataka nidondoshe naii😂😂😂😂😂😂❤

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 4 года назад +12

    Jaribu tena na hiyo 🤣🤣

  • @johnzabron7380
    @johnzabron7380 3 года назад

    Nice

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 4 года назад

    Nimeenjoy