Hi everyone 🙋🏽♀️🙋🏽♀️🙋🏽♀️ nimefanya video inayo zungumzia kuhusu usafi wetu wa wanawake , sababu za kuwa na harufu, muwasho na mengine mengi 👇🏾👇🏾 ruclips.net/video/KSN3sAaqMw8/видео.html HAUTOJUTIA kuitizama na ukijifunza kitu nakuomba u like na pia unipe support kwa ku subscribe. Shukran Sana 🙏🏾😘🌹😘😘🌹😘
I love this program 😘😘😘😘😘😘😘😘 Muheshimiwa kura yangu chukua umenena vitu vya maana sana mambo ya zamani ndio mambo 😂😂😂😂😂😂😂 (Umeua Mboyoyo)👏🏽👏🏽👏🏽 Maswala ya vigodoro nitaipa kipao mbele + + +11
Aisew ukweli kabisa nimependa swali la mwisho mbunge wetu tokea achaguliwe ajaja buza mtolea mtolea alikuja kucheki dalaja hapa dar mpaka molo akaaid atarud hd leo ajaja tenaa
i guess Im randomly asking but does someone know of a way to get back into an instagram account? I stupidly forgot my account password. I would love any assistance you can give me.
😂😂😂 habari za popo bawa,, ukitaka kugombana na mtz muombe hela au mpe daftari asome,, atasoma kichwa cha habari tu mengine yote atakuachia mwenyewe. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nawapenda watazamaji wenzangu jmn😍😍😍❤️❤️❤️😘😘😘❤️❤️❤️😘😘😘
Respect jamb na vijambo hamjawai kuniangusha💪💪💪
Huyu dada ni Mzuri sana
Nimesemaje hapo😁😁 noma sana
Hawa jamaa wanajua sana kama unawakubali gonga like hapa😂
Eti big Mack kanyalamumo 🤣🤣😂😂😂
Jamaa kipaji sana
Nawakubali sana 🔥🔥🔥
zile aziitwi bigmack zile zinaitwa kanyela mumo nimesemaje apo 👌👌👌 kanyela mumoooo 😁😁😁😁
Weeeeeee
Jamaa kaulizwa kuhusu kutoonekana jimboni lakini katoa maelezo tofauti kabisa kweli huyu maneno 10 a.k.a maneno 10
😁😁😁😁😁😁
🤣 🤣 🤣 🤣
Mzee yussuf nasema tutamrejesha ...wallahy nmechekkaaa
Hi everyone 🙋🏽♀️🙋🏽♀️🙋🏽♀️ nimefanya video inayo zungumzia kuhusu usafi wetu wa wanawake , sababu za kuwa na harufu, muwasho na mengine mengi 👇🏾👇🏾
ruclips.net/video/KSN3sAaqMw8/видео.html
HAUTOJUTIA kuitizama na ukijifunza kitu nakuomba u like na pia unipe support kwa ku subscribe. Shukran Sana 🙏🏾😘🌹😘😘🌹😘
Sana.kaka mboyoyo unafanya powa br unatisha
Nakuomba usubscribe katika channel ya Data Masoko kupata taarifa na maarifa ya kuanzisha na kuendeleza Biashara. Like _Share _Comment
😂😂😂😂😂😂 nusu nife kwa kicheko daa tulio Cheka sana tujuane ngonga like
😂😂😂😂😂
😂😂🤣
Vipi felista
😂😂😂😂
Wallah hata mimi mbavu zangu miee
Maneno 10
daaar mboyoyo muongo wa dunia
Watu wa Buza Tujuane hapa.
Inanikera wanaoinadi buza wakati wana shot tandare.
We utaka nn
😂😂😂😂🙊🙊🙊
😂😂😂😂dah nimecheka sana😂😂wallah
Tukiachana na kuongea sana ila huyu jamaa pia anajua kuimba 😂😂😂😂😂
Uwiii Noma sana
Mmetisha kinoma noma.
I love this program 😘😘😘😘😘😘😘😘 Muheshimiwa kura yangu chukua umenena vitu vya maana sana mambo ya zamani ndio mambo 😂😂😂😂😂😂😂 (Umeua Mboyoyo)👏🏽👏🏽👏🏽
Maswala ya vigodoro nitaipa kipao mbele + + +11
unasupport mabanda ya tv
hashimu mwinyi 😂😂😂😂😂😂 na walimu kubeba mafail kichwani 😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
Og Sokwe usicheke sana......😍😍😍😍
Aisew ukweli kabisa nimependa swali la mwisho mbunge wetu tokea achaguliwe ajaja buza mtolea mtolea alikuja kucheki dalaja hapa dar mpaka molo akaaid atarud hd leo ajaja tenaa
😀😀😀😀 hongera yako mboyoyo🙋
Gud kaka kali sana 😆😅😆😅
Kuna dada anashangaa vizuri
Name nimemuona
Ukitaka kugombana na mtazania muombe ela au mpe daftari asome😉🤗 atasoma kichwa cha habari tu ayo mengine aso😊😂
Nomaaaa
Mboyoyo noumer sana, huyu jamaaa Salute sana
Kila Thursday natamani muda wako ufike nienjoy tu,hasa huwa nasave clips zako tu
Acheni ushamba wakuomba like wewe comment point like zinakuja zenyewe 😁
Sure
🤣🤣🤣🤣🤣 kweli kabisa
kweliiii uyuuu mwamba noma sanaaaaa kweliii kipaji kipo
In the Shaolin temple.
Nipe nipe nkikupa utalew...kama gar gar lako nitaleta barabara...jamaa wew daah n comedian bor kw sasa coz upo unique sna. mwana utafk mbl
Umemeee umemeee umemeee
Dar hiyooooo
Magangaaa magangaaa 😂😂😂😂😂😂
Kama umesikia mkadimba like tafadhali😂😂😂😂😂
Noma xna
Nimesemaje hapo...
Njoo nikufute 😅😅😅😅
Ebwanaaaaaaaaaaaa!!!!!" noma sana mboyoyo🤗🤗🤗🤗
Uzuri wa boga mnalijua lina acha pori lina zaa jararan
Organization of good templas😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah.... Shikamooo mboyoyo
Mecheka mpaka meloana
Umelowana wap tena
Hahahaha
Wanajua kufurahishaaa😅😅😅😅😅
Mnaakiliii sana
Noma
Nimesajee hapooo 😀😀😀
Mimi nataka kujua maana ya clobatic vesto
Mboyoyo unajua mzee umezaliwa kuchekesha 😂😂😂😂 uishii milele kaka 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂Gari haina mafuta mnabuku buku hapo😅😅😅🔥🔥🔥
350 nauli imemshinda ntamrudisha kwa safina jahazi hata MV bukoba hahaha
Kuku yai LA nyoka analijuwaaaa. 😁😁😁😁😁😂mwarabu na msuri. Aksante
WAJUMBE
like zangu ja maniii
Duh kipaji chake noma sana. Ana maneno kama chiriku.
Hakuna akili hapa
I like this chanel programme
Ukisikia eeeeehh poufffff, tayari🤣🤣🤣
😁😁😁😁
duuu mboyoyo muongo hatari
Hili Jamaa Ongo Balaa Na Usije Ukamkopesha Hela Utajuta... 🤣🤣
Hakika utajuta 😂😂
@@emiliusfrance8286 Ahaha Au Umpangishe Chumba Kodi Imalize.
😀😀
Wagogo hatuko ivyo
fireee
Mbuzi umeme umemee
Watanzania acheni kuvaa big mark
Wangapi wameelewa MAJI YAKUFUNGA ni BUSHA ?! 😂😂😂😂
😅😅😅
Mna buku buku apo 🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥👍👍👍🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wagombea wabuza wako vizuri sana kwanini wasipewe nafasi Za juu serikalini.
Mboyoyo is a professional lier 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣
i guess Im randomly asking but does someone know of a way to get back into an instagram account?
I stupidly forgot my account password. I would love any assistance you can give me.
Plas plas eleven
😂😂😂😂😂🤣🤣
Kaz sn
Jamani
Moto uwake🔥
Muongo sana huyu jamaaa😊
😂😂😂 Uzur wa boga mnalijuwa Boga lnaacha pol lnakuja kuzaa jarajaranii
Noma sana
Shikamoo kzungu
Mamaa kumbe maji ya kufunga ni busha😂😂😂😂
Huyu jamaa ni mbwaaaa😂😂😂
Aaaaahahahaj😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂!! Ataki Technology ya leo anataka arudishe Tanzania yazamani this guy kills me with laughter 😂😂😂he’s the funniest
Mh. Mm nnaswali, jibu " swali vile unavyotaka" maneno 10 😂😂😂😂
Anawez sana brow uyu
Huyoo nyokooo
Anafaa kua mwanasheria😁😁
Kali Sana 😂😂
😂😂😂 habari za popo bawa,, ukitaka kugombana na mtz muombe hela au mpe daftari asome,, atasoma kichwa cha habari tu mengine yote atakuachia mwenyewe. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa anatumiaga fasihi kufikisha ujumbe
Sana tena anastahl award
Gari yangu imeisha mafuta, mna bukubuku hapo
Hahaha nimechelewa sana
😁😁😁 organizion of goodtemplast Ni templast sio tetenus
Nakubali
hahahahaaaaa daaah huyu jamaa hapana nimemkubal aisseeeee
iv kwnn msifanye kila day 😀😀
Ety umeee umeee umeee
Nimecheka mpaka basi hawa jamaa noooooooma sana duhhh,hicho kimombo sasa!!!!
Hili jamaa linaweza likamkausha mtu mate!😂😂
🤣🤣🤣🤣🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Maneno kumi msenga sana
Uyo jamaa stori yake inahusu kura afu point zake differ kabisa
🤣🤣🤣🤣
Kwakweli hata mm sielewi vituko tyuu 😂😂😂😂😳
Yaani huyu jamaaa
Upo vizur san
Jamaa anavyoongea pumba hadi wasikilizaji wanamsikitikia 😂😂yaani wanamshangaa halafu yeye yuko bize kuongea uongo wake 😂😂😂nyie jamaa noma
Balaa zitoo
In the temple of shaolin😂
wananchi wa buza🤣🤣🤣🤣
Hii tafsir ya ex mmmh et the next girl not wife mmmh wew jamaa una idea kal kinyama yaan zingelikuwep tuzo naamn ungeliibeb
Kwendraaaa kwan wee chama gan,,
Huyu jamaa anajua kuchekesha kweli.
Sehemu ndogo godoro linatoka na ukimshika haezi gulirudisha.
Wananchi wa buza
Mna bukubuku hapo wananchi🤣🤣
Hey
😂😂😂😂😂😂hatarii🙌