JAMBO NA VIJAMBO : MBOYOYO KULA SAHANI MOJA NA DIAMOND TANZANIA
HTML-код
- Опубликовано: 19 май 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Mboyoyo unstopableee so talented yaaan unachek na hakulazimixhi
Amjawai kuchukua bando rangu bule. Like japo 30 kwa pindi iri
Sorry lakini ni ""bando langu bure""
Uko musoma?
Tunaomba behind the scenes za huyu mwambaaaaaaaa😁😁😁😁😁mboyoyo ajengewe sanamu hapo wasafi tower
Full packaged😂😂🙌🙌🙂
Aliyerudia sehemu ya Kazoa kusema hujuiii😁 kama mie, like pliz
😂😂😂
jamaa kazingua 😂😂
Ninamiaka 18 nawatoto wa3 nilianza mchezo kabla sijaoa😁😁
Pindi langu la dunia weka line kama unakikubali kipindi iki
Mboyoyo n star 😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌
Waliocheka kama mimi tujuane hapa
CEO diamond unatakiw mboyoyo umuwek kweny kipind wasaf fm jamaa nichiz huyo
P1 kaka
Mboyoyo ni superstar sio star 🌟
Mboyoyo kaoa kweli, sijui anawasalimiaje ukwen 😃
Uso chini nahis
🤣🤣
Mimi Kama memory card🤪😂😂
Nina miaka 18 nimeanza mchezo kabla cjaoa 🤣🤣🤣
😂😂😂
Kwa hiyo we ni Jjabar eeehh half ni mjanja ukija kuulizwa siku ya kutakiwa majib vp unaweza kusema hivyhivy kama hiyo movie ulianza kabla ya hiyo miaka 18?? ILa anokuja kutakiwa kujibiwa nadhani ushamfahamu hana rushwa huyooo..ILa siujuwi upi ?????? ulojifunza WE!?.
@@alikutenga3303 sw kungwi
Oyaaa mwanguuu mboyoyo sijawahii kukupinga hujuii2 ninavyo maliza bando kwajili yako 💁🖐️💁🖐️
The best of mboyoyo hakuna tena bro, best comedian of all Time .Ali nasoro nakubali bro, ati Nina miaka 18 Nimeanza mchezo kabla sijao 🤣 😂 🤣
Yani nimechka yangu yoooooote wallh sio kucheka kwa kila siku Leo naona Kali 😂😂😂😂😂😂mboyoyo kweli kibokoo lzma univunje mbavu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mboyoyo Mboyoyo mboyoyoooo jamani! kwa kucheka huku utanivunjia ndoa
Hiv iyo saut ya chauroho mnaiskia au😂😂😂
Daaah nimecheka sanaa😂😂😂😂😂
Sema mboyoyo KAUA...GONGA LIKE APA..😂😂😂
Dah nimechekaa Sana huyu mboyoyo kibokoooo
😂🤣😂🤣😂 mwanangu mboyoyo
Hahahhaaaaaa.... Mboyoyo buanah, Mimi shabiki yako namba moja kutoka Zanzibar
Hawa jamaaaaa hapana....😃😃😃😃😄sina mbavu hapa nilipo....
😂😂😂baby iii need you....AHH KALI SANA HII
Uwo wimbo wa Sisco ulivouharibu mboyoyo😂
Who else heard the word mng'alu prison from Kibit pwani
Amakweli kazi iendelee.
Mboyoyo kawa Cisco 😁😁😁
😂😂😂Hawa jamaa nawapenda sana they always make my day
Jambo aliemskiliza mboyoyo mala mbli tujuane
Mboyoyo anataka majibu hapo hapo..
🤣🤣🤣🤣
Mzome: 🗣️ "We unafanya kazi gani?"
Mboyoyo: 🗣️ "Mi nasubili WEZI! 😅" (Mlinzi) 🤣
Rasta msanii kweli asee kapewa promo
Kweli bn nmemkubari
Anajua
Mboyoyoo nomaaaaa wallah...kazoa kabaki kucheka tuuu🤣🤣🤣🤣
This guy is actually the funniest 🤣🤣🤣🤣
Kumbe huyu dada ni mzuri sana daaah
@@mpendwalove4390 nimemkubari sana huyu dada kwakweli 💖💖
@@moseskanganga2580 brother bn😪🌚🌝😥
Huwa namzoom muda tu ni mzuri sana
Mke wa mtu hyo ww 😀😀😀
Nomaas yaaan ni pure superblack
Dah!!! Huyu jamaa hatareeeeeee Hilo goma alivyolipiga kwa mdomo
Likes nyingi kwa #Instagram 😂😂😂🙌
hayooo ni malupelupeeee 😂😂😂😂 azi hiii
Chauroho ongeaga tu kama siku zote bana😂😂
Mboyoyo💥
Madam Rita kasinywa na mboyoyo kauwa b s s.😂😂😂😂🔥🔥🔥
Mimi kama memory card 😃😃😃😃😃😃😃😃
Mboyoyooooo ni nomaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
MAMA KILAKSHALI popote ulipo nakupenda sana
Nyautunge ni bonge moja la African beauty bebe gale
Msingi tochi ikipigwa risasi najificha chini ya uvungu😀😀😀😀
😀😀😀😀 mboyoyo
Mboyoyo ni master
Mboyoyo jamani apewe kazi serikalini awee kiongozi wa wasanii tanzania 😂😂ANAJUA
8:00 Istaglam umesoma vizuri tangazo hilo? 👆😂😂😂
Sister mzuri sana
Usha ona dada huyu Kama anaishi ivo mmeooo anafaidi
Nampenda kwa ajili ya ALLAH
Mboyoyo ✌️
Comedy pendwa kila week,tunaokubali tupeane likes
tukikupa like unafaidika na nn utoto
Akiamungu mbavu zangu jamani 😂 😂😂😂
😂😂😂 Mboyoyo ni shida aisee! Kilemba ka bi Mkola.
10:37, Baba levo
Mboyoyo hajawah kuniangushaa
Rasta alipigwa msasa ni msanii mzuri
🤣🤣🤣🤣🤣 wallah we dada uliyeanza umenichekesha mpaka mikojo
Mboyoyo Muhuniii A B C popopolopopopo 😂😂😂😂
na wewe mama unafanya kaz gan 🤣
Dah mboyoyo fala sana
Yaan nyie nawapendaga toka mmeanzaga Est africa mnanivunjaga mbav zang
Mnipigie simu vp wakati mi ndo mtu wa mwisho babu😂😂😂😂😂
Namiliki benz ya milon 200 na kilunguuu
🤣🤣🤣nimecheka Sana hadi chozi yaana hapo mwisho mboyoyo kanifrahisha cnaa
🔥🔥✌🏻
Jamani cha uroho kawa master
Una chungwa Apo nilegeze saut...😂😂🙌
😅😅😅🤣🤣🤣👌
Majaji wana roho ngumu 🤣🤣🤣 yaani mbele ya mboyoyo wanaezaje kua serious ivi
Mboyoyo 😀😀😀
Daaaah!!mzee wa tandika
watu na nusu🔥🔥🔥😂😂😂
We jamaa fala sana 😂😂😂😂
kazoa anaongea kama BABaLEVO
Sema kanzoa kajifanya kama babalevo fundi majumba
kama nmekuelew hvi fint of the boxing 🤣🤣🤣🤣
hhh mboyoyo nikiwa na njaa nashibah kw vituko vyko
Hahahahaha...mboyoyo umeniua
Mboyoyo ww ni fundiiiiiiii
😅😅😅😅😅kwa pembeni Kama namuona baba levoo ivi
Wapilii leoo like zangu jamanii
Mlinz naxubr wez hahahaha mboyoyo
Kumbe huyu dadà mzuri hivi
Master j Cha uroho,ametisha
He is big talent maneno kumi
Rasta yupo vizuri
Yan yeye mwenyewe ndo sabufa
🔥🔥
🤣🤣🤣🤣🤣 huo mdundiko ukianza Dar mpaka Moro wake wote umebeba 🤣🤣🤣🤣
Dada anajua
Fwala sana 😂😂
Daaah hii kaliii
Daaah huyu Mboyoyo ni kiboko aisee
Wachane wachane 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nataka nifanye shoo na nyinyi hapa hapa🤣🤣🤣
me mlinzi nawasubil wezi
Nimecheka sana daah
Kwa kifup istagram😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Awaaaa Ni nomaaa
Daaaaaah jamaaaa noma sana