Maswali na majibu sheikh mazinge moto sana

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024

Комментарии • 190

  • @Arishafa547
    @Arishafa547 Год назад +18

    Nawapenda kwaajili ya Allah masheikh Wetu mungu azidi kuwapa afya umri pamoja na mwisho mwema 💯🙏

  • @harunaabu3083
    @harunaabu3083 Год назад +13

    Babu Shekhe mazinge nakupenda sana mze wangu inshellah Allah akupe maisha marefu akulinde na hanasa zadunia

  • @omarychipeta3148
    @omarychipeta3148 Год назад +63

    uyu ndio mazinge nimjuae mm kama na ww unaamini kama kwel uyu ndio mazinge mwenyewe nipe like zangu

  • @issackaljaziiramedia2358
    @issackaljaziiramedia2358 Год назад +11

    شيخ mazinge جزاك الله خيرا الله يبارك في عمرك

  • @halimahamadi2182
    @halimahamadi2182 Год назад +13

    Mashallaha allaha akusaidiye akuhifazi nakilafina sheke wetu

  • @mohafishaal4190
    @mohafishaal4190 2 года назад +22

    Masha allah mungu ampe nguvu kubwa na umri mrefu sheikh wangu mazinge

  • @allykaya4106
    @allykaya4106 2 года назад +17

    Shekh mazinge mungu akupe umri mrefu na uwashinde haoo wakristo na ww ndio kiboko waoo

  • @ABIBONTIMA
    @ABIBONTIMA 11 месяцев назад +3

    Mimi ninasema masha Allah

  • @SWEETGALKHAN_001
    @SWEETGALKHAN_001 Год назад +11

    May Allah guide you sheikh you are always the best walahi

  • @fakishaame6542
    @fakishaame6542 3 года назад +23

    MashaAllah kila nikimuangalia sheikh Mazinge Hakika nampenda kwa ajili ya Allah

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 8 месяцев назад +4

    Ya salam, ya salam

  • @ZainaHabibu
    @ZainaHabibu Месяц назад +2

    MAZINDE 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 hiii ni jihadii

  • @MoherZO
    @MoherZO 3 года назад +13

    Mazinge Allah akulipe mazuri fi dunya wal akhera Kazi safi sana

  • @mahammedabdurahmaan5665
    @mahammedabdurahmaan5665 3 года назад +18

    Mashaallah sheikh mungu akupe maisha marefu ya kushindana na makafiri ww ndo kiboko chao

  • @radhiamohaa3723
    @radhiamohaa3723 Год назад +14

    Sheikh Mazinge Allah akupe maisha marefu InshaAllah 🙏🙏

  • @Mummy-ri5fk
    @Mummy-ri5fk 4 месяца назад +4

    That's my brother reciting 😢😢😢 ALLAH akusamehe na MAKOSA yako kakangu uthman ,

  • @ramadhaniathumanibatumnwa1842
    @ramadhaniathumanibatumnwa1842 Год назад +10

    Hao makafiri nimtihani mtupiu shekhe wangu mazinge Allah akujaaliye

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 Год назад

      Koma wewe mbwa kafiri ukoo wako na kizazi chako kwa ujumla

  • @naamanbenzema9331
    @naamanbenzema9331 2 года назад +14

    Mazinge maashallah Allah kakupa kipaji cha elimu in shaa Allah pepo ndio makaazi yko

  • @user-yy8sd9ib5b
    @user-yy8sd9ib5b 6 месяцев назад +2

    Takbirr maashalaah kiongoz wetu

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 года назад +14

    Mashallah shukran sheikh mazinge wewe ndio baba lao wakiristo

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 года назад +28

    This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED!

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Год назад +10

    MAZINGE ALLAH AKUIFADHI MAHALI PEMA PEPONI

  • @MussaYusuph-p5h
    @MussaYusuph-p5h Месяц назад +2

    Hongera mazinge mwamba

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 2 года назад +16

    Huyu ndiye Mazinge mwenyewe, ni hatari sana.

  • @zilfazizou6107
    @zilfazizou6107 2 года назад +6

    machallah cheih mazing nakuomba uj burundi

  • @suleimanmdigo5062
    @suleimanmdigo5062 2 года назад +8

    Jazaka Allahu kheir🙏🏼🙏🏼, AMIIN , Allahumma Amiiiin 🙏, Allah akulipe kheri na atuepushie waislamu wote na Moto , Amiiiin 🙏

  • @ramadhaniathumanibatumnwa1842
    @ramadhaniathumanibatumnwa1842 Год назад +7

    Mazinge Allah atakulipa inshaaalah

  • @radjabuiddy3473
    @radjabuiddy3473 10 месяцев назад +6

    Mazinge nampenda sana

  • @latifamohammed61
    @latifamohammed61 2 года назад +10

    Mashallah mazinge mungu akulinde baba hakika unaupigania uisilam 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @fetyabdala
      @fetyabdala Год назад

      Sheikh mazinge inshallah

  • @majutoomari2269
    @majutoomari2269 4 месяца назад +2

    Mungu ambariki mazinge

  • @fatumabakari2660
    @fatumabakari2660 Год назад +5

    Mashallah Allah akupe umri mrefu aendelee nadawa

  • @omarbahan2300
    @omarbahan2300 4 года назад +19

    Prpfesa mazinge ww ni simu ya makafiri wote , Allah akulipe kila lenye kheri

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  4 года назад +3

      Amiin amiin amiin

    • @Arishafa547
      @Arishafa547 Год назад +3

      Mungu wape afya umri mrefu wajalie wawe
      na mwisho mwema mashehe wote wanao pigania dini ya haki

  • @Rashidimilanzi
    @Rashidimilanzi 10 месяцев назад +4

    Mazinge 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @josemu870
    @josemu870 5 месяцев назад +2

    Barikiweni

  • @khamisathman7171
    @khamisathman7171 2 года назад +9

    MashaAllah

  • @shootershilcon8307
    @shootershilcon8307 3 года назад +12

    Mazinge ata Allah akupeleke wewe umeshaga maliza mihazara itaendeleya kutufunza ila Allah akupe maisha marefu nanguvu nyingi

  • @SadikiSaid-jh6px
    @SadikiSaid-jh6px Год назад +7

    Takibir wa Islam wezang huyu mazinge professional 🕋🕋

  • @RamseyThree
    @RamseyThree 2 года назад +8

    Mashaallah

  • @Jabaman207-ue6sk
    @Jabaman207-ue6sk 4 месяца назад +2

    Mzingee

  • @RinoMajembe
    @RinoMajembe 4 месяца назад +2

    Shekhe wetu anaitaji tumuombee dua huyu anafanya kaz ya mungu akujalie uwe na afya,uzma ,na mwisho mwema

  • @abibemedy2195
    @abibemedy2195 2 года назад +9

    Masha allah🥰🥰🥰🥰🥰

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 Год назад +16

    Waislamu Takbiiiiiiiiiiiiiir ❤❤❤

  • @RamaChai-is6vl
    @RamaChai-is6vl Год назад +4

    Nice one

  • @salehsuleiman8519
    @salehsuleiman8519 2 года назад +9

    Masha allah

  • @khalifamiraji1064
    @khalifamiraji1064 3 года назад +7

    Mazinge Kwan tatz nn kwa nn usiwasikimishe tu pale wanapo kubali yaan kuwe na mkataba wa muhadhala ataye elewa basi asilimia

  • @manasa2449
    @manasa2449 Год назад +3

    Masha allah sheikh mazinge

  • @user-qr2ww4nl7f
    @user-qr2ww4nl7f 11 месяцев назад +2

    Nakukubari sana malim mazinge.wewe nikoboko chamanaswala kbs😂

  • @user-pi9hz6sy8d
    @user-pi9hz6sy8d Год назад +4

    Dah mazinge hatari sana

  • @onlyonetztv610
    @onlyonetztv610 2 года назад +9

    Mashaallah Mashaallah

    • @pillypetro8308
      @pillypetro8308 2 года назад

      Yani waslamu hamtaki kumsikiliza mwenzenu mnataka msikilizwe nyinyi tu kwanza wabishi pia kama mnaelekezana acheni kubishana mambo ya mungu

  • @vedexl2903
    @vedexl2903 5 месяцев назад +2

    Takbir

  • @ISSAHALI-bw7pv
    @ISSAHALI-bw7pv Год назад +3

    Allahu akbar

  • @alexlomoya275
    @alexlomoya275 Год назад +10

    This very educative, please make it in English also 🙏🙏

  • @MadinaMwanaidi
    @MadinaMwanaidi Месяц назад +2

    Mashallah ❤❤❤❤❤❤

  • @BON357
    @BON357 Год назад +6

    Good

  • @user-er1sh4fi4h
    @user-er1sh4fi4h 4 месяца назад +2

    Profesa mazinge kiboko Cha wasapato

  • @user-nj5yr7yv4h
    @user-nj5yr7yv4h 6 месяцев назад +2

    Allah wakbar

  • @BON357
    @BON357 Год назад +4

    Good mazinge

  • @AlaminKithiR.
    @AlaminKithiR. 5 месяцев назад +1

    Kwanini Mazinge Usipewe Lijannah.🙏🙏🙏

  • @hajihisen9649
    @hajihisen9649 3 года назад +11

    SHEKHE mazinge weni kidume

    • @kingtouch8423
      @kingtouch8423 3 года назад

      Mazinge ni tobwe kabisa hajui maandiko yaani ni mzee wakupiga makorosi

    • @machetewapili3775
      @machetewapili3775 3 года назад

      G
      Zwas ttov y kf
      Almt hvynggct
      G atovuldv gla nv b.
      Ov. Btvyylf.
      VrfI vp
      Gov vvo ltoyc
      Agg
      Rhg
      Vy y
      T w y gv
      Aglylfy or
      Yy 6;(@(@

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Год назад +3

    Allah akbaru

  • @mahdiyusuf3431
    @mahdiyusuf3431 2 года назад +6

    Mansha Allah

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  2 года назад

      Masha Allah May Almighty Allah bless you and your family

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 года назад +7

    Ndo mazinge huyo

  • @hiimbinaimmuslim3041
    @hiimbinaimmuslim3041 2 года назад +6

    Mnamfuwata mtu ndo Mungu wenu sindio lazima kila kitu chake kiandikwe sasa lini kafa mbona kuzaliwa kandikwa kwa nini asiandikwe lini kafaa

    • @congratulationmayunga3833
      @congratulationmayunga3833 Год назад

      Mbona imeandikwa tu kwamba alikufa siku ya kwanza ya Juma na akafufuka siku ya tatu wanadam hatuelewi nini hapo au unataka mpka mda aliokufa?

  • @alimguu4858
    @alimguu4858 2 года назад +5

    Sheikh ibrahmu dawa Uganda

  • @user-nj5yr7yv4h
    @user-nj5yr7yv4h 6 месяцев назад +2

    Ukweli kwa mazinge

  • @SalimRamah
    @SalimRamah 4 месяца назад +2

    Hawakuwezi,wapande washuke

  • @FathiyaAhmed-j6e
    @FathiyaAhmed-j6e Год назад +2

    Nataka namba ya mazinge

  • @Atijasumail
    @Atijasumail 23 дня назад +1

    Allah akbar

  • @mwanaimaabdallah7825
    @mwanaimaabdallah7825 2 года назад +7

    Baba yake yesu kaja kutangaza kifo cha mwanae🤣🤣🤣

  • @AdanAli-k8p
    @AdanAli-k8p 11 месяцев назад +2

    Pongezi mzinge

  • @alimguu4858
    @alimguu4858 2 года назад +4

    Sheikh ibrahmu dawa

  • @DancanOsongo
    @DancanOsongo 5 месяцев назад +1

    wongo wongo

  • @alimguu4858
    @alimguu4858 2 года назад +4

    dwa Uganda

  • @ibrahimmahinda9547
    @ibrahimmahinda9547 Год назад +3

    Wakristo wamepotea na hawajui wanaemuabudu

  • @abdallahwazir7466
    @abdallahwazir7466 Год назад +2

    Sio mchezo ni maandiko tu😅

  • @rashdahassani2865
    @rashdahassani2865 3 года назад +9

    Inshaallah shekh Allah akujaze mema kwa Kadar zake🤲

  • @essaumpuma2981
    @essaumpuma2981 2 года назад +3

    Do maswali ya mashekhe

  • @AbdoulKilandwa
    @AbdoulKilandwa 4 дня назад +1

    ok

  • @thevaldezholdings8876
    @thevaldezholdings8876 2 года назад +2

    . ...SISEMI KITU, WACHA NISUBIRI KIYAMA . ..MAANA SISI BINADAMU HATUJAFA HATUJAUMBIKA. ..THE VALDEZ.

  • @ObadiaKadege-rz9wq
    @ObadiaKadege-rz9wq Год назад +1

    Mbna unaendesha mjadala kibabe ungemskiliza Kwanza bisheni vitu mnavyovijua iko siku mtatoa hesabu ya matendo yenuuuui

  • @mojatown9649
    @mojatown9649 Год назад +2

    Nataka kujiunga

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 Год назад +1

    Mathew 12-37

  • @idrisaMohd-hf4xv
    @idrisaMohd-hf4xv 11 месяцев назад

    Islam ndio dini ya Haki kama na wew unaamini hivyo nipe like zangu nione kama kweli

  • @yusufhabimana4093
    @yusufhabimana4093 3 года назад +5

    Sheikhs wewe kiboko

  • @samwelimasumbuko1829
    @samwelimasumbuko1829 Год назад +1

    Hatar

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 Год назад

    Fwatilia jinsi ALIVYO zaliwa ni tofaut na hawa watu WA kawaida

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Год назад

      Kwani alizaliwa kivipi si alizaliwa na mwanamke

  • @chidyboy3928
    @chidyboy3928 4 года назад +3

    Mathayo 12 37
    Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
    Mathayo 12 38
    Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.
    Mathayo 12 39
    Akajibu, akawaambia, Kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona.
    Mathayo 12 40
    Kwani kama vile Yona alivyokuwa siku tatu mchana na usiku katika tumbo la nyangumi, hivyo ndivyo Mwana wa Adamu atakavyokuwa siku tatu mchana na usiku katika moyo wa nchi.

  • @ictkenyar
    @ictkenyar Год назад

    huyu sheikh haelewiiii. i wish ni mimi alikuwa ananiuliza haya maswali, angetii,,,, Jesus Died, Resurrected!

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Год назад

      Unapatikana wapi tuweke debate na wewe

    • @ictkenyar
      @ictkenyar Год назад

      @@salimdaawah123 Kenya...just share with me a pdf with all questions you want to ask

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Год назад

      We need one on one debate

    • @ictkenyar
      @ictkenyar Год назад

      @@salimdaawah123 organise for a zoom meeting

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Год назад

    Hivi ni wapi kwenye bible wamewndika Yesu hajafa au wapi Kuna andiko Mariam hajatangaza kifo Cha mwanae? Kama hakuna basi hakuna mantiki ya kuuliza maandiko kwa mtazamo huo. Ni kama wale wanaouliza maandiko Yesu alipotamka kuwa yeye ni Mungu wamwabudu ukiwauliza wapi Yesu alisema yeye sio Mungu asiabudiwe hawawezi kukuonesha inafaa tujadili Mungu ktk roho na sio mwili maandiko yanaposomwa yasomwe yote sio vifungu vifungu

  • @gideonbarasa4534
    @gideonbarasa4534 Год назад

    Mazinge mjanja sana. Hataki asomewe maandiko yanayapinga hoja zake, lakini andiko linalounga hoja yake, yuataka yasomwe

  • @mwanahija968
    @mwanahija968 Год назад +1

    Nashkuru kuwa muslim

  • @MahadiMakaba-zm4cw
    @MahadiMakaba-zm4cw Год назад

    Aaaa

  • @jeseekimani9747
    @jeseekimani9747 3 года назад +1

    Nyinyi wafiristi nyi wafarisai nyinyi

    • @analyticalguru5851
      @analyticalguru5851 2 года назад

      Ssh waafrika yaani waislamu wakristo mnawauwa waislamu watoto Palestine nyinyi mntaka msikiti wa mungu hamna adabu🤨

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад

    Bila shaka Quran Haina kitu Cha kipekepeeke.sioni Mazinge akiongelea,ila Ukristu.Ukristu hatauweza,Umeshika Kila kitu ulimwenguni,Umri,umaarufu,elimu,utajiri,uwingi wa waumini,watu maarufu,maendeleo nk.

  • @ictkenyar
    @ictkenyar Год назад

    Let me answer you, Jesus is 100% God and 100% Man

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад

    Kweli Mazinge hujui kitu. Wakati wa Yesu hakukuwa na kalenda.Kalenda hii 2023 imetengeneza na Papa Grogry wa III. na Kwa wewe unaifuta,hapo ndipo ujue Ukristu sio kitu Cha kushinda.Kama unaweza Anza kubadili kalenda.ukishikndwa na mengine umeshindwa
    * Yesu ni Mungu*

    • @ibrahimkombo2120
      @ibrahimkombo2120 5 месяцев назад

      Pumbavu wew hjui dini zote ni mbinu zenu kutuingilia dini yetu lkni Allah anatuepusha na nyinyi

  • @karishs3956
    @karishs3956 2 года назад

    Mazinginge huna lolote unasoma aya nusu nusu, tena unasema wailamu wamefunga ramadhani wapate msamaha,swali je, tangu lini waislamu wakafunga?wanakula usiku wakristo wakiwa usingizini hawafungi

    • @NurdiinXabiib
      @NurdiinXabiib 2 года назад +1

      You need more research about Islam ☪️

    • @fatumabakari2660
      @fatumabakari2660 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Abdallah-hr3hd
      @Abdallah-hr3hd Год назад

      MUOMBE MUNGU AKUTOE GIZANI.

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 8 месяцев назад

      Swali gani hilo lakipumbavu hivo ndugu au wadhani kwa mungu ni picnic et

  • @michaelwainaina4476
    @michaelwainaina4476 4 года назад +1

    uongo wa waislamu

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 3 года назад +1

    Kumbe Mazinge hakuna kitu analojua isipokuwa kuropokwa na kutishatisha na hoja zisizokuwa na uzito wowote,Huyu kakutana na kina Mwalimu Ndacha atatorokea msituni.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  3 года назад +2

      Ndacha hana chochote kabla hajaenda kwa Mazinge sisi wenyewe wanafunzi hawezi

    • @harrisonodiwa7248
      @harrisonodiwa7248 3 года назад

      @@salimdaawah123 Kwanza hawa kina Salim wanakufia na hoja moja Yesu aliingia kwenye msikiti ya wayahudi yaani sinagogi ilhali Quran inatofautisha kwamba kuna Msikiti,Kanisa na Sinagogi mje uwanjani mnyamazishwe kabla Mazinge kukarangwa.

    • @harrisonodiwa7248
      @harrisonodiwa7248 3 года назад

      @@salimdaawah123 Salim hata wewe binafsi unajua mbinu ambao waislamu hutumia kukanganya tu wale Wakristo wasio na uzoefu wa kusoma vitabu. Kama Wakristo wote Kenya wangesoma maandiko na vitabu vile vingine,Waislamu Kenya hawawezifika 10.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  3 года назад +2

      @@harrisonodiwa7248 kwanza umesema kweli sinagogi bibilia ndio inasema ni msikiti lakini kulingana na wewe ni uongo huo so bibilia ni kitabu cha uongo pili hakuna mchungaji hatujamualika katika mikutano yetu mpaka huyu ndacha na wakristo walisilimu mbele yake so sioni unacho msifu nacho hali yakuwa hana hoja angalia video zetu uone ndacha alizuia wakristo wasisilimu kwa mkutano yake ikabidi wasilimu inje ya mkutano wake sasa huyo ndio unasema mwenye hoja

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  3 года назад +2

      @@harrisonodiwa7248 kama wewe unajiamini sema tuweke debate na wewe

  • @magnussanga
    @magnussanga 3 года назад

    Mazinge unapiga kelele tu hueleweki kanisa

    • @asnathramadhan5360
      @asnathramadhan5360 3 года назад +2

      Unalaana wewe toka tumboni kwa mama ako

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 8 месяцев назад

      We jitoe ufahamu utafikiri kwa mungu in picnic