This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED!
Mathayo 12 37 Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa. Mathayo 12 38 Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako. Mathayo 12 39 Akajibu, akawaambia, Kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona. Mathayo 12 40 Kwani kama vile Yona alivyokuwa siku tatu mchana na usiku katika tumbo la nyangumi, hivyo ndivyo Mwana wa Adamu atakavyokuwa siku tatu mchana na usiku katika moyo wa nchi.
Hivi ni wapi kwenye bible wamewndika Yesu hajafa au wapi Kuna andiko Mariam hajatangaza kifo Cha mwanae? Kama hakuna basi hakuna mantiki ya kuuliza maandiko kwa mtazamo huo. Ni kama wale wanaouliza maandiko Yesu alipotamka kuwa yeye ni Mungu wamwabudu ukiwauliza wapi Yesu alisema yeye sio Mungu asiabudiwe hawawezi kukuonesha inafaa tujadili Mungu ktk roho na sio mwili maandiko yanaposomwa yasomwe yote sio vifungu vifungu
Bila shaka Quran Haina kitu Cha kipekepeeke.sioni Mazinge akiongelea,ila Ukristu.Ukristu hatauweza,Umeshika Kila kitu ulimwenguni,Umri,umaarufu,elimu,utajiri,uwingi wa waumini,watu maarufu,maendeleo nk.
Kweli Mazinge hujui kitu. Wakati wa Yesu hakukuwa na kalenda.Kalenda hii 2023 imetengeneza na Papa Grogry wa III. na Kwa wewe unaifuta,hapo ndipo ujue Ukristu sio kitu Cha kushinda.Kama unaweza Anza kubadili kalenda.ukishikndwa na mengine umeshindwa * Yesu ni Mungu*
Kumbe Mazinge hakuna kitu analojua isipokuwa kuropokwa na kutishatisha na hoja zisizokuwa na uzito wowote,Huyu kakutana na kina Mwalimu Ndacha atatorokea msituni.
@@salimdaawah123 Kwanza hawa kina Salim wanakufia na hoja moja Yesu aliingia kwenye msikiti ya wayahudi yaani sinagogi ilhali Quran inatofautisha kwamba kuna Msikiti,Kanisa na Sinagogi mje uwanjani mnyamazishwe kabla Mazinge kukarangwa.
@@salimdaawah123 Salim hata wewe binafsi unajua mbinu ambao waislamu hutumia kukanganya tu wale Wakristo wasio na uzoefu wa kusoma vitabu. Kama Wakristo wote Kenya wangesoma maandiko na vitabu vile vingine,Waislamu Kenya hawawezifika 10.
@@harrisonodiwa7248 kwanza umesema kweli sinagogi bibilia ndio inasema ni msikiti lakini kulingana na wewe ni uongo huo so bibilia ni kitabu cha uongo pili hakuna mchungaji hatujamualika katika mikutano yetu mpaka huyu ndacha na wakristo walisilimu mbele yake so sioni unacho msifu nacho hali yakuwa hana hoja angalia video zetu uone ndacha alizuia wakristo wasisilimu kwa mkutano yake ikabidi wasilimu inje ya mkutano wake sasa huyo ndio unasema mwenye hoja
Nawapenda kwaajili ya Allah masheikh Wetu mungu azidi kuwapa afya umri pamoja na mwisho mwema 💯🙏
Babu Shekhe mazinge nakupenda sana mze wangu inshellah Allah akupe maisha marefu akulinde na hanasa zadunia
uyu ndio mazinge nimjuae mm kama na ww unaamini kama kwel uyu ndio mazinge mwenyewe nipe like zangu
I'm here to support
Mashallah
Mazine mwehu tu huyu haijui biblia yeye anapinga kristo waislamu hawawezi kumfahamu Yesu kristo
@@kuuzaguzo1894 sehemu gani hio huko kenya?
@@congratulationmayunga3833 umepaniki brother????
شيخ mazinge جزاك الله خيرا الله يبارك في عمرك
Mashallaha allaha akusaidiye akuhifazi nakilafina sheke wetu
Masha allah mungu ampe nguvu kubwa na umri mrefu sheikh wangu mazinge
0ppppp0p
Aamin yaarab
Shekh mazinge mungu akupe umri mrefu na uwashinde haoo wakristo na ww ndio kiboko waoo
Mimi ninasema masha Allah
May Allah guide you sheikh you are always the best walahi
MashaAllah kila nikimuangalia sheikh Mazinge Hakika nampenda kwa ajili ya Allah
Ya salam, ya salam
MAZINDE 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 hiii ni jihadii
Mazinge Allah akulipe mazuri fi dunya wal akhera Kazi safi sana
Amiin amiin amiin sote
Mashaallah sheikh mungu akupe maisha marefu ya kushindana na makafiri ww ndo kiboko chao
Sheikh Mazinge Allah akupe maisha marefu InshaAllah 🙏🙏
Ameen🤲
That's my brother reciting 😢😢😢 ALLAH akusamehe na MAKOSA yako kakangu uthman ,
Hao makafiri nimtihani mtupiu shekhe wangu mazinge Allah akujaaliye
Koma wewe mbwa kafiri ukoo wako na kizazi chako kwa ujumla
Mazinge maashallah Allah kakupa kipaji cha elimu in shaa Allah pepo ndio makaazi yko
Takbirr maashalaah kiongoz wetu
Mashallah shukran sheikh mazinge wewe ndio baba lao wakiristo
Baba ako ww acha kutushusha heshma
This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED!
Aamin yaarab
Truu
Mazinge ni debe mtupu,kelele bila hoja,tiba yake ni Ndacha.
Yesu
Asalamm alekum mimi fathiya sahi niko na shetani anaongea na mimi fathiya please please please 🙏🙏 help me please nijibu
MAZINGE ALLAH AKUIFADHI MAHALI PEMA PEPONI
Asalam aleikum
😀
Hongera mazinge mwamba
Huyu ndiye Mazinge mwenyewe, ni hatari sana.
machallah cheih mazing nakuomba uj burundi
Jazaka Allahu kheir🙏🏼🙏🏼, AMIIN , Allahumma Amiiiin 🙏, Allah akulipe kheri na atuepushie waislamu wote na Moto , Amiiiin 🙏
Aamin yaarab
Mazinge Allah atakulipa inshaaalah
Mazinge nampenda sana
Mashallah mazinge mungu akulinde baba hakika unaupigania uisilam 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Sheikh mazinge inshallah
Mungu ambariki mazinge
Mashallah Allah akupe umri mrefu aendelee nadawa
Prpfesa mazinge ww ni simu ya makafiri wote , Allah akulipe kila lenye kheri
Amiin amiin amiin
Mungu wape afya umri mrefu wajalie wawe
na mwisho mwema mashehe wote wanao pigania dini ya haki
Mazinge 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Barikiweni
MashaAllah
Mazinge ata Allah akupeleke wewe umeshaga maliza mihazara itaendeleya kutufunza ila Allah akupe maisha marefu nanguvu nyingi
Takibir wa Islam wezang huyu mazinge professional 🕋🕋
Mashaallah
Mzingee
Shekhe wetu anaitaji tumuombee dua huyu anafanya kaz ya mungu akujalie uwe na afya,uzma ,na mwisho mwema
Masha allah🥰🥰🥰🥰🥰
Waislamu Takbiiiiiiiiiiiiiir ❤❤❤
Allah akbar
Allahu aqbar
Allah Akbar
Allahu akibar
Allah akbar walillah hamdhuu
Nice one
Masha allah
Mazinge Kwan tatz nn kwa nn usiwasikimishe tu pale wanapo kubali yaan kuwe na mkataba wa muhadhala ataye elewa basi asilimia
@@khalifamiraji1064 Lasta alayhim bimusaitwir
Masha allah sheikh mazinge
Nakukubari sana malim mazinge.wewe nikoboko chamanaswala kbs😂
Dah mazinge hatari sana
Mashaallah Mashaallah
Yani waslamu hamtaki kumsikiliza mwenzenu mnataka msikilizwe nyinyi tu kwanza wabishi pia kama mnaelekezana acheni kubishana mambo ya mungu
Takbir
Allahu akbar
This very educative, please make it in English also 🙏🙏
Inn shaa Allah
Mashallah ❤❤❤❤❤❤
Good
Profesa mazinge kiboko Cha wasapato
Allah wakbar
Good mazinge
Kwanini Mazinge Usipewe Lijannah.🙏🙏🙏
SHEKHE mazinge weni kidume
Mazinge ni tobwe kabisa hajui maandiko yaani ni mzee wakupiga makorosi
G
Zwas ttov y kf
Almt hvynggct
G atovuldv gla nv b.
Ov. Btvyylf.
VrfI vp
Gov vvo ltoyc
Agg
Rhg
Vy y
T w y gv
Aglylfy or
Yy 6;(@(@
Allah akbaru
Mansha Allah
Masha Allah May Almighty Allah bless you and your family
Ndo mazinge huyo
Mnamfuwata mtu ndo Mungu wenu sindio lazima kila kitu chake kiandikwe sasa lini kafa mbona kuzaliwa kandikwa kwa nini asiandikwe lini kafaa
Mbona imeandikwa tu kwamba alikufa siku ya kwanza ya Juma na akafufuka siku ya tatu wanadam hatuelewi nini hapo au unataka mpka mda aliokufa?
Sheikh ibrahmu dawa Uganda
Ukweli kwa mazinge
Hawakuwezi,wapande washuke
Nataka namba ya mazinge
Allah akbar
Baba yake yesu kaja kutangaza kifo cha mwanae🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Pongezi mzinge
Sheikh ibrahmu dawa
wongo wongo
dwa Uganda
Wakristo wamepotea na hawajui wanaemuabudu
Sio mchezo ni maandiko tu😅
Inshaallah shekh Allah akujaze mema kwa Kadar zake🤲
Do maswali ya mashekhe
ok
. ...SISEMI KITU, WACHA NISUBIRI KIYAMA . ..MAANA SISI BINADAMU HATUJAFA HATUJAUMBIKA. ..THE VALDEZ.
Subiri kifo kwanza ujue unaenda wapi
Mbna unaendesha mjadala kibabe ungemskiliza Kwanza bisheni vitu mnavyovijua iko siku mtatoa hesabu ya matendo yenuuuui
Nataka kujiunga
Uko area gani?
Mathew 12-37
Bado hujasema
Islam ndio dini ya Haki kama na wew unaamini hivyo nipe like zangu nione kama kweli
Sheikhs wewe kiboko
Hatar
Fwatilia jinsi ALIVYO zaliwa ni tofaut na hawa watu WA kawaida
Kwani alizaliwa kivipi si alizaliwa na mwanamke
Mathayo 12 37
Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
Mathayo 12 38
Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.
Mathayo 12 39
Akajibu, akawaambia, Kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona.
Mathayo 12 40
Kwani kama vile Yona alivyokuwa siku tatu mchana na usiku katika tumbo la nyangumi, hivyo ndivyo Mwana wa Adamu atakavyokuwa siku tatu mchana na usiku katika moyo wa nchi.
huyu sheikh haelewiiii. i wish ni mimi alikuwa ananiuliza haya maswali, angetii,,,, Jesus Died, Resurrected!
Unapatikana wapi tuweke debate na wewe
@@salimdaawah123 Kenya...just share with me a pdf with all questions you want to ask
We need one on one debate
@@salimdaawah123 organise for a zoom meeting
Hivi ni wapi kwenye bible wamewndika Yesu hajafa au wapi Kuna andiko Mariam hajatangaza kifo Cha mwanae? Kama hakuna basi hakuna mantiki ya kuuliza maandiko kwa mtazamo huo. Ni kama wale wanaouliza maandiko Yesu alipotamka kuwa yeye ni Mungu wamwabudu ukiwauliza wapi Yesu alisema yeye sio Mungu asiabudiwe hawawezi kukuonesha inafaa tujadili Mungu ktk roho na sio mwili maandiko yanaposomwa yasomwe yote sio vifungu vifungu
Mazinge mjanja sana. Hataki asomewe maandiko yanayapinga hoja zake, lakini andiko linalounga hoja yake, yuataka yasomwe
Kumbe bibilia inapingana
Mmmmh limekushuka
Nashkuru kuwa muslim
Aaaa
Nyinyi wafiristi nyi wafarisai nyinyi
Ssh waafrika yaani waislamu wakristo mnawauwa waislamu watoto Palestine nyinyi mntaka msikiti wa mungu hamna adabu🤨
Bila shaka Quran Haina kitu Cha kipekepeeke.sioni Mazinge akiongelea,ila Ukristu.Ukristu hatauweza,Umeshika Kila kitu ulimwenguni,Umri,umaarufu,elimu,utajiri,uwingi wa waumini,watu maarufu,maendeleo nk.
MKO GIZANI!POLE POLE MTAZINDUKA.
Let me answer you, Jesus is 100% God and 100% Man
Then that is the most stupid answer
Duh mathematics wrong there no 200%😂😂😂😂😂😂
Kweli Mazinge hujui kitu. Wakati wa Yesu hakukuwa na kalenda.Kalenda hii 2023 imetengeneza na Papa Grogry wa III. na Kwa wewe unaifuta,hapo ndipo ujue Ukristu sio kitu Cha kushinda.Kama unaweza Anza kubadili kalenda.ukishikndwa na mengine umeshindwa
* Yesu ni Mungu*
Pumbavu wew hjui dini zote ni mbinu zenu kutuingilia dini yetu lkni Allah anatuepusha na nyinyi
Mazinginge huna lolote unasoma aya nusu nusu, tena unasema wailamu wamefunga ramadhani wapate msamaha,swali je, tangu lini waislamu wakafunga?wanakula usiku wakristo wakiwa usingizini hawafungi
You need more research about Islam ☪️
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
MUOMBE MUNGU AKUTOE GIZANI.
Swali gani hilo lakipumbavu hivo ndugu au wadhani kwa mungu ni picnic et
uongo wa waislamu
Eti nini
Muongo ni ww
Lakni hapo si anaulizwa anashindwa kujib.wakristo mnadanganywa
Uwongo na bibilia hiyo yawaponza huoni mpuzi wewe danda kabisa yaani danda wa mwisho 🤣🤣🤣 wakristo wajanja
@@mahadimaulid6400 hakika
Kumbe Mazinge hakuna kitu analojua isipokuwa kuropokwa na kutishatisha na hoja zisizokuwa na uzito wowote,Huyu kakutana na kina Mwalimu Ndacha atatorokea msituni.
Ndacha hana chochote kabla hajaenda kwa Mazinge sisi wenyewe wanafunzi hawezi
@@salimdaawah123 Kwanza hawa kina Salim wanakufia na hoja moja Yesu aliingia kwenye msikiti ya wayahudi yaani sinagogi ilhali Quran inatofautisha kwamba kuna Msikiti,Kanisa na Sinagogi mje uwanjani mnyamazishwe kabla Mazinge kukarangwa.
@@salimdaawah123 Salim hata wewe binafsi unajua mbinu ambao waislamu hutumia kukanganya tu wale Wakristo wasio na uzoefu wa kusoma vitabu. Kama Wakristo wote Kenya wangesoma maandiko na vitabu vile vingine,Waislamu Kenya hawawezifika 10.
@@harrisonodiwa7248 kwanza umesema kweli sinagogi bibilia ndio inasema ni msikiti lakini kulingana na wewe ni uongo huo so bibilia ni kitabu cha uongo pili hakuna mchungaji hatujamualika katika mikutano yetu mpaka huyu ndacha na wakristo walisilimu mbele yake so sioni unacho msifu nacho hali yakuwa hana hoja angalia video zetu uone ndacha alizuia wakristo wasisilimu kwa mkutano yake ikabidi wasilimu inje ya mkutano wake sasa huyo ndio unasema mwenye hoja
@@harrisonodiwa7248 kama wewe unajiamini sema tuweke debate na wewe
Mazinge unapiga kelele tu hueleweki kanisa
Unalaana wewe toka tumboni kwa mama ako
We jitoe ufahamu utafikiri kwa mungu in picnic