Irene Uwoya "Kinachoniuma mwanangu amekosa Baba, Baba yake alikuwa na watoto wengi"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 янв 2018
  • Toka Irene Uwoya afiwe na mzazi mwenzake Ndikumana hakuwahi kuzungumza kuhusu masuala ya mirathi ambapo Ndikumana aliwahi kupata mtoto mmoja na Irene Uwoya, sasa Uwoya amezungumza kuhusu urithi wa mwanae baada ya muda kupita toka afiwe na baba wa mtoto huyo.

Комментарии • 77

  • @saidajuma8584
    @saidajuma8584 6 лет назад +16

    mweeehh shikamoo make up yaani leo nimejijua kumbe na mimi ni mzuri bila makeup utadhani sio uwoya🙊🙊

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 6 лет назад +7

    Weeeee! huyu ni yeye kweli. jifiche faster shosti kabla dogo aku one

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +3

    Pole sana my dear Uwoya, well said

  • @itsangystyle5498
    @itsangystyle5498 6 лет назад +2

    Pole tena dada Irene

  • @kachawakikazi1217
    @kachawakikazi1217 6 лет назад +4

    duh uyu demu sasa ivi mbona mbaya ivyo

  • @angelmirindi2234
    @angelmirindi2234 5 лет назад

    Pole sana dada ndunia ndoivo bipatie mungu

  • @laymapeace4538
    @laymapeace4538 6 лет назад +1

    irene mwaaa nakupenda sana wewe na shemsa foad

  • @mwajumajumamwajumajuma593
    @mwajumajumamwajumajuma593 3 года назад +1

    Mekap zinasaidia San jaman daaaah hata mm bila mecap ni mzur

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 6 лет назад +21

    Ila nikikuangalia siamini unamvuliaje nguo yule mtoto dogo janja

    • @mimahsaid2326
      @mimahsaid2326 6 лет назад +1

      😂😂😂😂uwiiii mbavu zAnguu

    • @KhadijaKhadija-mk6jf
      @KhadijaKhadija-mk6jf 6 лет назад

      😂😂😂😂

    • @maheriag7514
      @maheriag7514 6 лет назад +1

      Jamani kuna vitu vingine dada zetu wanafanya havikosawa na ni kutokana na stress za maisha tu.

    • @navyoagrey9707
      @navyoagrey9707 6 лет назад

      yaan mm mwenyewe simuelewi

    • @monicajulius905
      @monicajulius905 6 лет назад

      Anny Onesmo 🤣🤣🤣🤣jaman

  • @bahatibiziman9391
    @bahatibiziman9391 6 лет назад +3

    Shoga angu kumbe meckap zinakupiga company duuuu unatisha

  • @mariamkhamisi5575
    @mariamkhamisi5575 6 лет назад +3

    make zinasaidia sana kumbe bila makeup mm ni zaid ya irine

  • @kasandasamson2196
    @kasandasamson2196 6 лет назад +18

    Hawa ni mademu wakawaida tu bila makeup

  • @asiahmariam3942
    @asiahmariam3942 6 лет назад +2

    Masha'allah wewe ni mwanamke unae jielewa sana

  • @glorykibona3761
    @glorykibona3761 4 года назад

    Makap imepigwa marufu atakaye onekana amejipura nimojakwamoja kwenye kibano 😊😂😂😂

  • @francistsii7885
    @francistsii7885 6 лет назад +3

    uwoya nmekubali bure kumbe mbaya ivo

  • @milkanjoki1138
    @milkanjoki1138 6 лет назад +2

    Mwenzenyu aomboleza mwacomenti ushenzi daah! Wabongo jamani

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 2 года назад

    Pole.

  • @user-dj3nf1wi2k
    @user-dj3nf1wi2k Месяц назад

    Mzuri

  • @annkabbz8544
    @annkabbz8544 5 лет назад +2

    The power of makeup 😂😂😂

  • @alima7862
    @alima7862 6 лет назад +2

    mamaaa kumbi mekap inawastir. yani sura kam so iren naemujuw kwey muv 😁😁😁😁😁

    • @mariamkemwa8233
      @mariamkemwa8233 5 лет назад

      Wa bongo kumamamazenu mwenzenu anamxiba kafiw na mumeww nyie mnapost ukuma kumamako wote

  • @zubedamagambo9600
    @zubedamagambo9600 2 года назад

    Kifo ni mipango ya M Mungu, hutokea wakati wowote. Kama ulikua unaujua umuhimu wa mtoto wako kuwa na babaake ukimkatalia nn huyu mume, si ulimuacha? Na ukawa unamnyima mtoto. Ulishakubali mwanao akose baba kitambo tu.

  • @beatricefondo2513
    @beatricefondo2513 3 года назад

    Pole

  • @mukirefatumaevaste3688
    @mukirefatumaevaste3688 Год назад

    Eti bado wako kwenye majonzi 🤦‍♀️🙆‍♂️🙆‍♂️ kweli nimeamini mwanamke sio ndugu yako 🤔🤔🤔 kwahiyo wewe hina majonzi hata kidogo 😭😭🤦‍♀️🤦‍♀️

  • @salamahamadi4123
    @salamahamadi4123 6 лет назад +8

    Duu kumbe mekab inastiri jaman eee hahahahahaa

  • @KhadijaKhadija-mk6jf
    @KhadijaKhadija-mk6jf 6 лет назад +1

    Mmmh mek_up keel inastiri

  • @eppynecmasatu1901
    @eppynecmasatu1901 6 лет назад +6

    kumbe nimuzul akijipodowa 2 hahahaha

    • @hawaali8107
      @hawaali8107 6 лет назад

      Eppynec Masatu hahaaa uzur hana tabia nzur hana ukahaba to umemvaa

  • @marynyabenda9647
    @marynyabenda9647 6 лет назад +8

    kumbe sura mbovu tu kama ya kwangu 😂😂😂😂😂

  • @hawazuhra5597
    @hawazuhra5597 6 лет назад +3

    msimraumu mwenzenu kuwa mbaya .mraumuni arie muumba

    • @siamakundi5362
      @siamakundi5362 6 лет назад

      Hawa Zuhra l na r znakuchengae

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 6 лет назад

      Hawa Zuhra kweli kabisa nashangaa wanavyomsema,kwanza anaubaya gani hapo alipo!!!!!!?

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf 6 месяцев назад

    Asante mekapu kumbe wakawaida hivo 😂😂😂😂

  • @user-bh3mb8tp8e
    @user-bh3mb8tp8e 6 лет назад

    mbona ww ni mze 😎munajishebeduwa mukipaka mek up kumbe nakuzidi uzuli

  • @candiesalm8995
    @candiesalm8995 8 месяцев назад

    Kwan huu msiba wa nani leo nimjue baba wa mtt

  • @fridamapundasafi1862
    @fridamapundasafi1862 4 года назад

    Mhh kumbewabaya hivyo

  • @jasminemasiga5930
    @jasminemasiga5930 6 лет назад +3

    daah kumbe irin ni mama mtu mzima duuui

    • @sadahashim5296
      @sadahashim5296 6 лет назад

      Kwa kwel hafanani kuish na dogo janja

    • @feristamagesa6841
      @feristamagesa6841 4 года назад

      acheni unafiki mnasema Mdada Wa Wat usikute wengine masula yenu ayaeleweki Kwa Kuwa siyo maalufu sasa mnajiona waleombo

  • @kemmypius8619
    @kemmypius8619 6 лет назад +2

    Baba ni baba.... Dogojanja c yupo.......

  • @dismasvalerian6165
    @dismasvalerian6165 4 года назад

    Ushakuwa ngoro

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Год назад

    Majuto mjukuu

  • @alima7862
    @alima7862 6 лет назад +1

    hunge uliza mirasi nawewe jocanzo cakifo

  • @janethlengeju3820
    @janethlengeju3820 5 лет назад

    Shikamooo mekap

    • @tatumalango3537
      @tatumalango3537 5 лет назад

      Nanyie acheni kumkashfu mwenzenu iren uwoya nimzur tu nahakuna bnadam aliye mbaya duniani

  • @zamzamhamisi7332
    @zamzamhamisi7332 6 лет назад +1

    Maswali gani ayo jamani

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 года назад

    Wacha we

  • @kakasele1786
    @kakasele1786 6 лет назад +1

    make up znawastili manyoko sura ngum

  • @richardngendakumana2871
    @richardngendakumana2871 5 лет назад

    Hamuna cakukuma wewe we unafuraha zaidi

  • @agnessalusolo1612
    @agnessalusolo1612 4 года назад

    Kumbe mnasura mbaya hivyo msipojibodoa,kumbe hata Mimi mrembo