Irene Uwoya "Kinachoniuma mwanangu amekosa Baba, Baba yake alikuwa na watoto wengi"
HTML-код
- Опубликовано: 17 янв 2018
- Toka Irene Uwoya afiwe na mzazi mwenzake Ndikumana hakuwahi kuzungumza kuhusu masuala ya mirathi ambapo Ndikumana aliwahi kupata mtoto mmoja na Irene Uwoya, sasa Uwoya amezungumza kuhusu urithi wa mwanae baada ya muda kupita toka afiwe na baba wa mtoto huyo.
mweeehh shikamoo make up yaani leo nimejijua kumbe na mimi ni mzuri bila makeup utadhani sio uwoya🙊🙊
Saida Juma e
Saida Juma ebitoke
Saida Juma b
Bila mekap hata sisi ni wazur San kuliko hao mastaa
Weeeee! huyu ni yeye kweli. jifiche faster shosti kabla dogo aku one
Pole sana my dear Uwoya, well said
Pole tena dada Irene
duh uyu demu sasa ivi mbona mbaya ivyo
Pole sana dada ndunia ndoivo bipatie mungu
irene mwaaa nakupenda sana wewe na shemsa foad
Mekap zinasaidia San jaman daaaah hata mm bila mecap ni mzur
Ila nikikuangalia siamini unamvuliaje nguo yule mtoto dogo janja
😂😂😂😂uwiiii mbavu zAnguu
😂😂😂😂
Jamani kuna vitu vingine dada zetu wanafanya havikosawa na ni kutokana na stress za maisha tu.
yaan mm mwenyewe simuelewi
Anny Onesmo 🤣🤣🤣🤣jaman
Shoga angu kumbe meckap zinakupiga company duuuu unatisha
make zinasaidia sana kumbe bila makeup mm ni zaid ya irine
Hawa ni mademu wakawaida tu bila makeup
Kasanda Samson 🤣🤣🤣wanafanana tu na wake eeh
😉😂😂😂mikila cku nasema
Haaaaaaahaaaaaaaaaa
Kasanda Samson 😂😂😂😂😂nimeamini pia mimi
Kweli kabisa kama sisi tu
Masha'allah wewe ni mwanamke unae jielewa sana
Makap imepigwa marufu atakaye onekana amejipura nimojakwamoja kwenye kibano 😊😂😂😂
uwoya nmekubali bure kumbe mbaya ivo
Mwenzenyu aomboleza mwacomenti ushenzi daah! Wabongo jamani
Pole.
Mzuri
The power of makeup 😂😂😂
mamaaa kumbi mekap inawastir. yani sura kam so iren naemujuw kwey muv 😁😁😁😁😁
Wa bongo kumamamazenu mwenzenu anamxiba kafiw na mumeww nyie mnapost ukuma kumamako wote
Kifo ni mipango ya M Mungu, hutokea wakati wowote. Kama ulikua unaujua umuhimu wa mtoto wako kuwa na babaake ukimkatalia nn huyu mume, si ulimuacha? Na ukawa unamnyima mtoto. Ulishakubali mwanao akose baba kitambo tu.
Astafrlah!😅
Pole
Eti bado wako kwenye majonzi 🤦♀️🙆♂️🙆♂️ kweli nimeamini mwanamke sio ndugu yako 🤔🤔🤔 kwahiyo wewe hina majonzi hata kidogo 😭😭🤦♀️🤦♀️
Duu kumbe mekab inastiri jaman eee hahahahahaa
Salama Hamadi sanaaa tenaaa😁😁😁
Salama Hamadi 😂😂😂
Mmmh mek_up keel inastiri
kumbe nimuzul akijipodowa 2 hahahaha
Eppynec Masatu hahaaa uzur hana tabia nzur hana ukahaba to umemvaa
kumbe sura mbovu tu kama ya kwangu 😂😂😂😂😂
msimraumu mwenzenu kuwa mbaya .mraumuni arie muumba
Hawa Zuhra l na r znakuchengae
Hawa Zuhra kweli kabisa nashangaa wanavyomsema,kwanza anaubaya gani hapo alipo!!!!!!?
Asante mekapu kumbe wakawaida hivo 😂😂😂😂
mbona ww ni mze 😎munajishebeduwa mukipaka mek up kumbe nakuzidi uzuli
Kwan huu msiba wa nani leo nimjue baba wa mtt
Mhh kumbewabaya hivyo
daah kumbe irin ni mama mtu mzima duuui
Kwa kwel hafanani kuish na dogo janja
acheni unafiki mnasema Mdada Wa Wat usikute wengine masula yenu ayaeleweki Kwa Kuwa siyo maalufu sasa mnajiona waleombo
Baba ni baba.... Dogojanja c yupo.......
Noooo
Kemmy Pius 🙄🙄🙄
Ushakuwa ngoro
Majuto mjukuu
hunge uliza mirasi nawewe jocanzo cakifo
Shikamooo mekap
Nanyie acheni kumkashfu mwenzenu iren uwoya nimzur tu nahakuna bnadam aliye mbaya duniani
Maswali gani ayo jamani
Wacha we
make up znawastili manyoko sura ngum
Hamuna cakukuma wewe we unafuraha zaidi
Kumbe mnasura mbaya hivyo msipojibodoa,kumbe hata Mimi mrembo