Mackini marehem alivyokuwa hai alikuhitaji mpaka akataka apelekewe mtoto ulikataa, mackini mpaka akawa analia mpaka baadhi yetu tulikuwa tunamuonea huruma, Leo hii ndio unamkumbuka 😥😥 Binadam sisi hatuwezi kuona thamani ya kitu mpaka kikutoke.
Pole Sana Irene binafsi naelewa uchungu unaopitia kwa marehem mumeo kikubwa n kusali n kuomba akusamehe naye naamin kupitia maumiv yko atakuwa amekusamehe.Nakupenda dear
Uyu kwake mbon kawaid San sikutegemea jmn pesa anazotumia n anvotuonyesh mtandaon sionkm navoona HP ndani kawaid sanaaaaaa jmn NICOLE Ndio superstar bana
Bonjour chers internautes. La "reconnaissance" est très importante dans la vie. Irène Uwoya, ma recommandation est d'aider les orphelins, les veuves, les pauvres et surtout de demander la grâce de l'Éternel. C'est depuis la République Démocratique du Congo.
Dhambi ulizomfanyia ndikumana sasa znakutesa Irene wangu.pole mama muhm unatubu na mwanae unaishi nae vzuri.coz pia ulikua mdogo ujana maji ya moto.ila miaka una 38 sio 34.
Toka Zako huko inawezekan ameanza kukutokea sna n'a pole utalibwa hapa hapa sababu ulikuwa unajuwa anakupenda sana then ukaolewa n'a dogo janja ndio akajiuwa we utaulizwa sana
@@zuenampandeni3347 yupo ndugu yangu kasoma nae Huyo namjua vizuri mpaka kwao napajua nahel anazo kula bata abadilishe nyumba yao manimjengo wazamani bati chakavu seble ndogo Huyo anaemfuata yupo nje nimkubwa mkaka
@@leokamil6284 napajua mpaka. Kwao hizo hela anazo kula kwanini asiwabadilishie wazazi wake nyumba ya kisasa mana hiyo wanayokaa ni ileile ya zamani bati chakavu mjengo wazamani seble ndogo joto balaaa
Mackini marehem alivyokuwa hai alikuhitaji mpaka akataka apelekewe mtoto ulikataa, mackini mpaka akawa analia mpaka baadhi yetu tulikuwa tunamuonea huruma, Leo hii ndio unamkumbuka 😥😥 Binadam sisi hatuwezi kuona thamani ya kitu mpaka kikutoke.
WACHACHE SANAA TUNAJUA THAMANI YA MTU UKIWA NAE
Mbona huyu mm mubaya saaana kwakwli
Nikweli wachache sana tunaotambua umuhim wa mtu ukiwa nae
Mtu anaemkumbuka Sana mumewe na aliyeumia Sana ni wastara tu
Mara nyingi tunafahamu umuhimu wa watu wanapokuwa wametoka kwenye maisha yetu.
Kwlii kbsa
HAKIKAAA
Kwel umeona? mm huyu mm nilikuw namufwa tilia malehem ndikumana aki ngakiki mzima sasa ivi anaongea eti ali kuw ana mpenda Duuhh wana wake
Yap
Kabisaa maskn
Dah nakumbuka ile barua Ndikumana aliandika ikasomwa na SNS ilikuwa inahuzunisha sana😭😭RIP Ndikumana
Uko vizur ila hapo kwenye miaka tumepigwa na kitu kizito
Nikweli miaka yke arafu kwa wenzetu miaka 30 34 ni mkubwa sana
Inawezekana jamani Mimi hapa Nina miaka 34 nimetimiza mwezi 3 lakini wengi wanazani labda Nina 40 nimeezeka hatari
@@suzanfelix6320 😂😂😂😂umenichekesha nimependa ulivyoongea kwa ujasiri
😂😂😂😂😂@@suzanfelix6320
Pole Sana Irene binafsi naelewa uchungu unaopitia kwa marehem mumeo kikubwa n kusali n kuomba akusamehe naye naamin kupitia maumiv yko atakuwa amekusamehe.Nakupenda dear
Ndio tujifinze hapa...maana hata sisi uko tupo hivyohivyo
Kwa hiyo sio miaka 35 tena ni miaka 34 mnadanganya miaka mpaka kumbukumbu zinawachanganya
Mbona huongelei ndoa ya pili?
Kweli kufa usifiwe ishi ulaumiwee
Wewe unamiaka 40 kwenda mbere mi toka mdomo nakuona Mimi sahiv ninamiaka 31 acha uongo
True kabisa
Uyu kwake mbon kawaid San sikutegemea jmn pesa anazotumia n anvotuonyesh mtandaon sionkm navoona HP ndani kawaid sanaaaaaa jmn NICOLE Ndio superstar bana
Sio kwake hapo wanashoot move kwake pazuri pia
Napenda movie za Irene sana
Bonjour chers internautes. La "reconnaissance" est très importante dans la vie. Irène Uwoya, ma recommandation est d'aider les orphelins, les veuves, les pauvres et surtout de demander la grâce de l'Éternel. C'est depuis la République Démocratique du Congo.
Unakumbuka shuka kumekucha
Nimeumia Sana pole Sana mungu alishskusamehe Ni makuzi najua
KWA KWELI
Dhambi ulizomfanyia ndikumana sasa znakutesa Irene wangu.pole mama muhm unatubu na mwanae unaishi nae vzuri.coz pia ulikua mdogo ujana maji ya moto.ila miaka una 38 sio 34.
😂😂😂😂😂😂
Wanapenda usichana
Saana
@@annageorge129 hata akipunguza hiyo miaka ni bure ,ila kuna simu mwili utakataa utaonyesha ukubwa wako.
Kasema yeye 34 unampangia wewe ndo mwenye cheti chake cha kuzaliwaa, mxiuuu
Nauliza tu kwan huon maan miwani haitoki kweny macho hata ukiwa chumbn😃😃😃
We mm mbona unaongea uongo?? Eti alikuw anakupend ila ww hukumupenda mbona uli kata kumuonyesha mtoto akingali mzima
Na hakuna atakae tokea katika maisha yako kama ndukaman lakini uliweka umalaya mbele ukamuona ndukamani sio kitu utamkumbuka sana
Nakupenda mama krish
Uhuni_na_Tamaa_ziliwaponza_na_bado_utalia_sana_hapo_hujalia
Pole my dear dhaman ya mtu akiwa hayupo ndo utaiona Ila akiwepo ahaaaa unaona kawaida tuu
SANA SIO MTU TU ADI AFE HATA KAMA MTU UNAAKILI TIMAMU UKIACHANA NA X WAKO KAMA WW NDO ULIKUWA SOURCE NAMNA 1 LAZMA UMISS ATA VITU VICHACHEE
@@hellenpatrick3041 kabisa asee
Kwan mme wake alikuwa anaumwa
Sura mbaya mbona hivyo
Toka Zako huko inawezekan ameanza kukutokea sna n'a pole utalibwa hapa hapa sababu ulikuwa unajuwa anakupenda sana then ukaolewa n'a dogo janja ndio akajiuwa we utaulizwa sana
Kumbe alijiua?
hajajiua, na pia ule ni utoto
Alikufa kwa msongo wa mawazo na presha
Hakujiua alikuwa anaumwa jmn mda mwingine tuongee vyenye tunajua vyizuli khaaa
cheating women no nonsense
Pore
Mnafiki huyo!
Uliolewa 10yrs ago na dogo janja je sio ndoa ilikuwa
Huyu kazaliwa. 82 lakini haongei ukweli
@@زيتونتنزانيا hapana kazaliwa 86
@@zuenampandeni3347 yupo ndugu yangu kasoma nae Huyo namjua vizuri mpaka kwao napajua nahel anazo kula bata abadilishe nyumba yao manimjengo wazamani bati chakavu seble ndogo Huyo anaemfuata yupo nje nimkubwa mkaka
@@زيتونتنزانيا wacha uwongo babuu yupo dar na Irene ni 1988
Heee huyu mmbeaaa. Kazaliwa 82 anasema 88😂😂😂🤔punguza umbea aaa. Ongea. Ukweli unasema unanipenda dini
Nimeshangaa sana maana miaka ya 2001 alikuwa anaonekana mkubwa tu
@@leokamil6284 anaficha wakati sura inaonesha imekomaaa
@@leokamil6284 mwanae kazaa 2009 tayari nimkubwa kwenye26
@@leokamil6284 napajua mpaka. Kwao hizo hela anazo kula kwanini asiwabadilishie wazazi wake nyumba ya kisasa mana hiyo wanayokaa ni ileile ya zamani bati chakavu mjengo wazamani seble ndogo joto balaaa
@@زيتونتنزانيا mwanae sidhani kama kafika 26 nadhani anasema mwaka huo ndio kafunga ndoa
Irene umezaliwa 1983, umesoma na mama angu mdogo, acha kurudisha miaka nyuma eti umezaliwa 1988😏😏
Kusoma na mtu sio kuzaliwa sawa acha ufala na ujinga unachet chake cha kuzaliwa
@@brinnahkipozz9830 fala ni wewe mi namfahamu kwa uelewa wako unaona anamiaka 34. We nawe niwale wale wapunguza umri, matKo wewe
@@firdausqutty2067 ,kabisaa hafanani na hyo 34
Kwan alizaliwa nawewe upo mbona umbea umewazidi haaya twambie yako
Sasa we dada unataka kubishana nawasanii kwan huwajui wasa wabongo
😢😢😢😢😢
Tolet
Huyu anyamaze tu kakawawatu alikuwa analia kila siku juu yako ukaenda kufunga ndoa na dogo janja
Da iren Leo unamuita mume wako
Nakupenda
Acha ujinga mpende mama akoooo
Muongo Huna miaka 34 wewe ni mkubwa sana
Kwan miaka 34 ni mdogo?
Wew unaejua miaka yake twambie
Age is just number tu awe na 38 sio mbaya haaya twambie yako