Irene Uwoya amwaga machozi akimkumbuka Ndikumana "Alikuwa ananipenda, Mimi nilikuwa mkorofi..."

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Комментарии • 95

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +21

    Mackini marehem alivyokuwa hai alikuhitaji mpaka akataka apelekewe mtoto ulikataa, mackini mpaka akawa analia mpaka baadhi yetu tulikuwa tunamuonea huruma, Leo hii ndio unamkumbuka 😥😥 Binadam sisi hatuwezi kuona thamani ya kitu mpaka kikutoke.

    • @hellenpatrick3041
      @hellenpatrick3041 2 года назад +4

      WACHACHE SANAA TUNAJUA THAMANI YA MTU UKIWA NAE

    • @fdff3980
      @fdff3980 2 года назад

      Mbona huyu mm mubaya saaana kwakwli

    • @johnsonbagambi1908
      @johnsonbagambi1908 2 года назад

      Nikweli wachache sana tunaotambua umuhim wa mtu ukiwa nae

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji9115 2 года назад +7

    Mtu anaemkumbuka Sana mumewe na aliyeumia Sana ni wastara tu

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 2 года назад +30

    Mara nyingi tunafahamu umuhimu wa watu wanapokuwa wametoka kwenye maisha yetu.

    • @neemaruben5427
      @neemaruben5427 2 года назад +2

      Kwlii kbsa

    • @hellenpatrick3041
      @hellenpatrick3041 2 года назад +1

      HAKIKAAA

    • @fdff3980
      @fdff3980 2 года назад +1

      Kwel umeona? mm huyu mm nilikuw namufwa tilia malehem ndikumana aki ngakiki mzima sasa ivi anaongea eti ali kuw ana mpenda Duuhh wana wake

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 2 года назад +1

      Yap

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 2 года назад +1

      Kabisaa maskn

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 года назад +5

    Dah nakumbuka ile barua Ndikumana aliandika ikasomwa na SNS ilikuwa inahuzunisha sana😭😭RIP Ndikumana

  • @shaacollection801
    @shaacollection801 2 года назад +7

    Uko vizur ila hapo kwenye miaka tumepigwa na kitu kizito

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 2 года назад

      Nikweli miaka yke arafu kwa wenzetu miaka 30 34 ni mkubwa sana

    • @suzanfelix6320
      @suzanfelix6320 2 года назад +1

      Inawezekana jamani Mimi hapa Nina miaka 34 nimetimiza mwezi 3 lakini wengi wanazani labda Nina 40 nimeezeka hatari

    • @bintiboikhalfan9726
      @bintiboikhalfan9726 2 года назад

      @@suzanfelix6320 😂😂😂😂umenichekesha nimependa ulivyoongea kwa ujasiri

    • @vumi8371
      @vumi8371 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂​@@suzanfelix6320

  • @aminamfinanga8165
    @aminamfinanga8165 2 года назад +2

    Pole Sana Irene binafsi naelewa uchungu unaopitia kwa marehem mumeo kikubwa n kusali n kuomba akusamehe naye naamin kupitia maumiv yko atakuwa amekusamehe.Nakupenda dear

  • @veronicakweka1549
    @veronicakweka1549 2 года назад +2

    Ndio tujifinze hapa...maana hata sisi uko tupo hivyohivyo

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 2 года назад +1

    Kwa hiyo sio miaka 35 tena ni miaka 34 mnadanganya miaka mpaka kumbukumbu zinawachanganya

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 года назад +3

    Mbona huongelei ndoa ya pili?

  • @kaifaomary3852
    @kaifaomary3852 2 года назад +1

    Kweli kufa usifiwe ishi ulaumiwee

  • @monicaisaya6143
    @monicaisaya6143 2 года назад +1

    Wewe unamiaka 40 kwenda mbere mi toka mdomo nakuona Mimi sahiv ninamiaka 31 acha uongo

  • @angelmaige6380
    @angelmaige6380 2 года назад +1

    Uyu kwake mbon kawaid San sikutegemea jmn pesa anazotumia n anvotuonyesh mtandaon sionkm navoona HP ndani kawaid sanaaaaaa jmn NICOLE Ndio superstar bana

  • @marcelineanyango6647
    @marcelineanyango6647 2 года назад +1

    Napenda movie za Irene sana

  • @raphaeljakwonga5975
    @raphaeljakwonga5975 2 года назад

    Bonjour chers internautes. La "reconnaissance" est très importante dans la vie. Irène Uwoya, ma recommandation est d'aider les orphelins, les veuves, les pauvres et surtout de demander la grâce de l'Éternel. C'est depuis la République Démocratique du Congo.

  • @anodearsulusi7536
    @anodearsulusi7536 2 года назад +2

    Unakumbuka shuka kumekucha

  • @rebeckyusuph8058
    @rebeckyusuph8058 2 года назад +2

    Nimeumia Sana pole Sana mungu alishskusamehe Ni makuzi najua

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 года назад +8

    Dhambi ulizomfanyia ndikumana sasa znakutesa Irene wangu.pole mama muhm unatubu na mwanae unaishi nae vzuri.coz pia ulikua mdogo ujana maji ya moto.ila miaka una 38 sio 34.

    • @annageorge129
      @annageorge129 2 года назад +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @rehemafungo5042
      @rehemafungo5042 2 года назад +1

      Wanapenda usichana

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 2 года назад +1

      Saana

    • @daynesakulu3169
      @daynesakulu3169 2 года назад +1

      @@annageorge129 hata akipunguza hiyo miaka ni bure ,ila kuna simu mwili utakataa utaonyesha ukubwa wako.

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад +1

      Kasema yeye 34 unampangia wewe ndo mwenye cheti chake cha kuzaliwaa, mxiuuu

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 2 года назад

    Nauliza tu kwan huon maan miwani haitoki kweny macho hata ukiwa chumbn😃😃😃

  • @fdff3980
    @fdff3980 2 года назад

    We mm mbona unaongea uongo?? Eti alikuw anakupend ila ww hukumupenda mbona uli kata kumuonyesha mtoto akingali mzima

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 2 года назад +2

    Na hakuna atakae tokea katika maisha yako kama ndukaman lakini uliweka umalaya mbele ukamuona ndukamani sio kitu utamkumbuka sana

  • @roselinasandi6509
    @roselinasandi6509 2 года назад +1

    Nakupenda mama krish

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 2 года назад

    Uhuni_na_Tamaa_ziliwaponza_na_bado_utalia_sana_hapo_hujalia

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 2 года назад +1

    Pole my dear dhaman ya mtu akiwa hayupo ndo utaiona Ila akiwepo ahaaaa unaona kawaida tuu

    • @hellenpatrick3041
      @hellenpatrick3041 2 года назад +1

      SANA SIO MTU TU ADI AFE HATA KAMA MTU UNAAKILI TIMAMU UKIACHANA NA X WAKO KAMA WW NDO ULIKUWA SOURCE NAMNA 1 LAZMA UMISS ATA VITU VICHACHEE

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 года назад

      @@hellenpatrick3041 kabisa asee

  • @marymissb5231
    @marymissb5231 2 года назад

    Kwan mme wake alikuwa anaumwa

  • @christinadaniel3789
    @christinadaniel3789 2 года назад

    Sura mbaya mbona hivyo

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 2 года назад +4

    Toka Zako huko inawezekan ameanza kukutokea sna n'a pole utalibwa hapa hapa sababu ulikuwa unajuwa anakupenda sana then ukaolewa n'a dogo janja ndio akajiuwa we utaulizwa sana

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 2 года назад

    cheating women no nonsense

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 2 года назад

    Pore

  • @Sppah697
    @Sppah697 2 года назад

    Mnafiki huyo!

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo2184 2 года назад +1

    Uliolewa 10yrs ago na dogo janja je sio ndoa ilikuwa

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 года назад +1

      Huyu kazaliwa. 82 lakini haongei ukweli

    • @zuenampandeni3347
      @zuenampandeni3347 2 года назад +1

      @@زيتونتنزانيا hapana kazaliwa 86

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 года назад +1

      @@zuenampandeni3347 yupo ndugu yangu kasoma nae Huyo namjua vizuri mpaka kwao napajua nahel anazo kula bata abadilishe nyumba yao manimjengo wazamani bati chakavu seble ndogo Huyo anaemfuata yupo nje nimkubwa mkaka

    • @shamimushittindi1418
      @shamimushittindi1418 2 года назад +1

      @@زيتونتنزانيا wacha uwongo babuu yupo dar na Irene ni 1988

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا 2 года назад +1

    Heee huyu mmbeaaa. Kazaliwa 82 anasema 88😂😂😂🤔punguza umbea aaa. Ongea. Ukweli unasema unanipenda dini

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 года назад

      Nimeshangaa sana maana miaka ya 2001 alikuwa anaonekana mkubwa tu

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 года назад

      @@leokamil6284 anaficha wakati sura inaonesha imekomaaa

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 года назад

      @@leokamil6284 mwanae kazaa 2009 tayari nimkubwa kwenye26

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 года назад +1

      @@leokamil6284 napajua mpaka. Kwao hizo hela anazo kula kwanini asiwabadilishie wazazi wake nyumba ya kisasa mana hiyo wanayokaa ni ileile ya zamani bati chakavu mjengo wazamani seble ndogo joto balaaa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 года назад

      @@زيتونتنزانيا mwanae sidhani kama kafika 26 nadhani anasema mwaka huo ndio kafunga ndoa

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 2 года назад

    Irene umezaliwa 1983, umesoma na mama angu mdogo, acha kurudisha miaka nyuma eti umezaliwa 1988😏😏

    • @brinnahkipozz9830
      @brinnahkipozz9830 2 года назад +2

      Kusoma na mtu sio kuzaliwa sawa acha ufala na ujinga unachet chake cha kuzaliwa

    • @firdausqutty2067
      @firdausqutty2067 2 года назад

      @@brinnahkipozz9830 fala ni wewe mi namfahamu kwa uelewa wako unaona anamiaka 34. We nawe niwale wale wapunguza umri, matKo wewe

    • @mozahsalum8882
      @mozahsalum8882 2 года назад

      @@firdausqutty2067 ,kabisaa hafanani na hyo 34

    • @sumayauwamahoro5586
      @sumayauwamahoro5586 2 года назад

      Kwan alizaliwa nawewe upo mbona umbea umewazidi haaya twambie yako

    • @MoodtzJuma
      @MoodtzJuma Месяц назад

      Sasa we dada unataka kubishana nawasanii kwan huwajui wasa wabongo

  • @jamesobedy3687
    @jamesobedy3687 2 года назад

    😢😢😢😢😢

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 года назад

    Tolet

  • @bellahappy2119
    @bellahappy2119 2 года назад

    Huyu anyamaze tu kakawawatu alikuwa analia kila siku juu yako ukaenda kufunga ndoa na dogo janja

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 2 года назад

    Da iren Leo unamuita mume wako

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW 2 года назад

    Nakupenda

  • @janethjoseph150
    @janethjoseph150 2 года назад

    Muongo Huna miaka 34 wewe ni mkubwa sana