Huyu mtoto aliyekaa na Krish mbona kama anadhalilika tu.. No one cares him! Hakukuwa na Maana ya kumuweka wakati kila msanii anayekuja hata kumsalimia hamsalimii.
Nyie wasanii unafiki ndio wenu kuna watoto wa mazingira hatarishi na magumu hakuna hata siku moja munawatafuta kuwasaidia huku munajitoa kwa sifa ili muonekane mitandaoni tu dooh Mungu anawaona nyie.
Kama vipi, wewe pia wape kadiri ulicho nacho. Kutoa ni moyo wala siyo utajiri. Unaweza fanya kadiri Mungu alicho kujalia. Siyo uwaambie watu watoe. Kwahiyo asifanye mambo kwa ajili ya familia yake hata kwa mwanawe? Halafu tens muanze kumsema
Steve Nyerere , ushukuriwe kwa machache hayo , Tumsifu Yesu Kristu, milele Amina .
Garab nice voice men
Mwamposa A.K.A papichulo nakupenda bure❤❤❤❤
Hemedy 🔥🔥
HD ana swagg et papiiii 😂😂😂
Amnyoe nywele zimekaa vibaya
Kwamba mtoto wa Irene nimrefu kuliko krish
😍❤
👌👌❤
Hemed kamba 😂😂😂😂😜😜😂
Hii song no ya nani
Mbn mwamposaaaa😂😂😂😂😂😂😂
Nimependa kitenge Cha mwamposa 💯
Huyu mtoto aliyekaa na Krish mbona kama anadhalilika tu.. No one cares him! Hakukuwa na Maana ya kumuweka wakati kila msanii anayekuja hata kumsalimia hamsalimii.
Maskin
Ni kweli afadhal asinge kuwepo
@@aminamsomali1619 aibu kubwa sn sijui mama ake alijiskiaje
Bora ata umeona daaah me adiiii roho imeuma daaaH🥺🥺
@@lovequeen3199 polee😀
𝘔𝘸𝘢𝘮𝘱𝘰𝘴𝘢 𝘢𝘶𝘯𝘢 𝘬𝘪𝘵𝘶 𝘭𝘰𝘰𝘰𝘰𝘰𝘰 𝘬𝘰 𝘯𝘪 𝘻𝘢𝘸𝘢𝘥𝘪 𝘺 𝘨𝘢𝘳𝘪 𝘢𝘰
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahah steve bhana
Hemed hv n mwarab ama🤔🤔🤔
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mmmh! Hiyo miiko ya kikatotoliki aaa,nimekataa😅!
Inabidi nipate WAJOMBA NA MASHANGAZI MASTAA kwa hali hii sherehe moja tu natoka na pesa ya kiwanja na ujenzi mpaka lenta
Nice
Kumbe IRINE uwoya hakupata komunio sababu anamazonge 😳😳😳😳😳😳
😂😂😂😂
Mwamposa wa Mafuta 🤣🤣🤣🤣🤣
Mwamposaaaaa😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🙏🙏
Stive nyerere siku hizi unakitambi Mambo yako mazuri 😛😛😛😛
Nyie wasanii unafiki ndio wenu kuna watoto wa mazingira hatarishi na magumu hakuna hata siku moja munawatafuta kuwasaidia huku munajitoa kwa sifa ili muonekane mitandaoni tu dooh Mungu anawaona nyie.
Acha roho mbaya...watoto wa mazingira magumu wanapewaga bila kuonyesha wanachopewa
Aiseee umesema bonge moja la pointi
Kama vipi, wewe pia wape kadiri ulicho nacho.
Kutoa ni moyo wala siyo utajiri. Unaweza fanya kadiri Mungu alicho kujalia. Siyo uwaambie watu watoe. Kwahiyo asifanye mambo kwa ajili ya familia yake hata kwa mwanawe? Halafu tens muanze kumsema
Kitambi kama ndooo
Hahaaa
Hemedi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hemed kaja kuuuza sura…unajigamba Hana hela la kutoa
Aristote alisema hawez kuongea ila nashangaa ametoa mahubiri🙌
Hahahaa et mahubr
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sitiv 🤣🤣🤣🤣🤣
Wasenge wabaguzi nyieee marayatu
Aristote shoga la kichaga hili au
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mwamposaa Tena mwamposa yupo kawe peke yake
Mcongo huyu
Mrundi huyo.