😢😢 wallahi masheikh wa zama hizi wengi wao husomaa ili tu wajioneshe Kwa watu wanaelimu ndio maana hawana kazi ispokuwa kuwachafuaa masheikh wengine na kujisafisha wao waonekane ni watu wemaa 😢Bora siku izii tusikilize nyimbo za daimond kuliko kuskiliza masheikh kama Hawa wanafik 😢 wanoishi Kwa kutaka sifaa
@@ABUUALLY-tv8rlKumbe weye huko kwaajili ya Dini ni mtu wa miziki basi endelea na miziki yako wala ilikua haina haja ya kucoment maana unachoandika weye mwenyewe hukielewi
@@QaisMohamed-h3q ndio Kwa sababu hamuna kazi ya kufanya mashekh kazi kubaguwana basi hamuna jengine ,munalingani kichuki basi .sisi waislamu ni wamoja khilafu za madhehebu zisitufanye tukakaa hatuna kazi ya kufanya kuanza kuwaponda wengine .kama ilivyo kuwa wewe jambo hujaliwafik unadalili zako basi pia yule analolikubali anazo dalili zake .tukaa tuheshimiane hivyo ndivyo uislamu unatufunza .ila nyinyi munataka watu wote wafate manhaji yenu ndio maana munakufurisha wengine na kuwapakaziaa na kuwachafuaa ili watu wote wa kufateni ila iloo halitotokea hata siku mojaa yaani kukhitalifiana ni jambo la lazima .nyiee pigeni kelele mpaka mtachoka 🤣🤣 ila watakao kufateni ni wale wajinga wenzenu
Yn hakuna Hadith Wala aya yakauli zako unazo nac bisha mtu na usalafi au kumtoa ila ww ndio unanukuu kauli za wanachuoni t hii dini Kama inaendeshwa hivi au mtume SW angefikisha hivi c dhani Kama angekuwa na wafuac hata mmoja
Wala hatutafuti kiki sisi masalafy hatukubali kuchafuliwa diniyetu nirasilimali kubwa wala hatuminyan kuhusu simba na yanga ni dini ukija ktk mlango huu wa dini ukzusha tutakugonga tu ww kama unaumia umia dini nikitubora kwetu kuliko heshima zetu
Swadaqta yaa akhi tangu kunifikia Manhaj hii Wallahi Nafsi yangu inaona Raha Sana na utulivu. ALHAMDULLAHI ALA NIAMATIL ISLAM WA SUNNAH WAL HADHAL MANHAJ SALAFI
Unaona Raha sana wakati uislamu Kila siku unarudishwa nyuma na Waislam wanapigwa vita Kila sehemu ulimwenguni alafu wewe umetulia unapata Raha jiangalie uko njia gani kama umeshika haqi huwezi kuwa na Raha wakati ndugu zako wanauliwa Yemeni na Ghaza
Iliyo baki kwa maghurafi ni Matusi,,, nasi hatuachi mashekhe wako macho hakuna kuchomeka katika din tena mshukuru sana watu wa Ahli Sunnah kwani bila wao Wallah kungekuwa na upotovu mkubwa,,, niwakumbushe tu je ushawah ona mtu wa sunna akatoka katika Sunnah akafuata TWARIQA?????
NYINYI NI WANAFIQ WAKUBWA TENA MNO MNATUMWA NYINYI NA MYAUDI MBONANAKATAA MJADARA WA WAZI ???KWANI IBN TAYMIA NI MTUME ACHENI KUFARAQANISHA WATU WAJINGA NYNY
Kwani huyu abuu khaula anatafuta nn? Kw mziwanda ! Kama akocea au kupatia malipo anayapata yy mbele ya alwah hii dini yake alwah ww khaula wenzako mnapata tabu sana kama unaelimu kaa nae chini muzungumze kwani sheihk wako wa raddi amefanya minakasha mara ngapi? Jee wamewza kukubaliana hili suala wat hawa wezi kuwa na ufahamu mmoja wote tambueni hilo
@@mussamalekela2107 alaa ndio ilimu yenu uganga ulifanyiwa ww ama umejuaje kama ni wanganga ww utakua moja wao ila kielimu mawahabi hamuwezi kuwafikia twarika na karama ziko sio uganga nyinyi mawahabi wapotoshaji ilumu yenu yakutukana watu tu basi hakuna lengine na kukataa kusifiwa mtume s a w sisi tutamsifu kiumbe bora kuliko kiumbe wengine alafu maulid yaendana na uwisilamu ndani ya maulid kwa somwa quran kabla ya kuanza na kutajwa Allah na kusifiwa mtume s a w kama ww hutaki mtume asifiwe na kuswaliwa ww na ibilisi ni sawa tu
Hawana lengo ktkt dini ni KUSUBIRI wengine waongoee watelezee humo kwa raddi zao.. Wanatafuta umaarufu kwa kushambulia. Maneno mengi yakuwasema watu kwa ubaya wa khurafi sijui, maulidi ni ibn Uthaymin au Ibn taymiya kasema hawataji Allah wala Mtume SAW kasema.. Wapiga Porojo tu
kwa hy km ni khurafi sio muislamu? na liwahabi si basi,,, mbwa, shoga la kihabi, naogopa kukwita hata sheikh, ila muhuni siogopi, wewe muhuni ktk ktk wahuni
Mbona hoja zako zimelenga madhehebu yako tu ya Hambalia? Kwnn utoe mifano kwa Ibn Taymiah na huyo Muqbil sheikh wa sasa? Toa mifano kwa maimamu wengine ili tuone uadilifu wako
Alie kwambia kuwa sheykh qaasim amepotea ni nani? Au haufuatilii mambo ya dni,!! Allah awaongoze makhurafi ktk haqqi, masalafi hawafanyi mambo kwa kufuata matamanio ya nafsi, wako lwa ajili ya allah na kujitahidi kusimamia kile alicho kiacha mtume wetu, tofauti na nyinyi makhurafi.
Abuu Allah akulipe na akuhifadhi, wallahi tunakupenda kwaajili ya Allah
Allah atamlipaa Kwa unafik wake wa kutaka sifaa Kwa watu
Masha Allah
Mnao coment wacheni matusi
Ma Shaa allaah
Utawaweza
Mara hiiiii khurafiiii mziwanda kakutana na kidume cha shokaa
mawahabi wamfat ibni temia aliuwa na itikadi ya ikafir wew hujitambui pungi ktk vitabu vyake temi anase lakad shallahu lastakar alla zwahar bauzwa huni ukafir wwazi
Anae jiunga nawatu hawa sijui inakuaje hivi nikweli ndivyo dini ilivyolinganiwa hivi na mtume s a w
😢😢 wallahi masheikh wa zama hizi wengi wao husomaa ili tu wajioneshe Kwa watu wanaelimu ndio maana hawana kazi ispokuwa kuwachafuaa masheikh wengine na kujisafisha wao waonekane ni watu wemaa 😢Bora siku izii tusikilize nyimbo za daimond kuliko kuskiliza masheikh kama Hawa wanafik 😢 wanoishi Kwa kutaka sifaa
Tubia ndugu yangu waweza nyamaza tu km hunalamsingi lakuongea
Dunia ndio ilivyo ukisema ya kweli unaonekana unaongea pumba ,wakutubia ni nyie wanafik kwenye dini muloleta fitna na ufisadi
@@ABUUALLY-tv8rlKumbe weye huko kwaajili ya Dini ni mtu wa miziki basi endelea na miziki yako wala ilikua haina haja ya kucoment maana unachoandika weye mwenyewe hukielewi
Maneno yako ni ya khatar sana
Unashindwa kutafuta haki eti unasema bola watu wasikilize miziki
Maneno yako si ya sawa 2:35
@@QaisMohamed-h3q ndio Kwa sababu hamuna kazi ya kufanya mashekh kazi kubaguwana basi hamuna jengine ,munalingani kichuki basi .sisi waislamu ni wamoja khilafu za madhehebu zisitufanye tukakaa hatuna kazi ya kufanya kuanza kuwaponda wengine .kama ilivyo kuwa wewe jambo hujaliwafik unadalili zako basi pia yule analolikubali anazo dalili zake .tukaa tuheshimiane hivyo ndivyo uislamu unatufunza .ila nyinyi munataka watu wote wafate manhaji yenu ndio maana munakufurisha wengine na kuwapakaziaa na kuwachafuaa ili watu wote wa kufateni ila iloo halitotokea hata siku mojaa yaani kukhitalifiana ni jambo la lazima .nyiee pigeni kelele mpaka mtachoka 🤣🤣 ila watakao kufateni ni wale wajinga wenzenu
Huodiwani kwakulingana na aya umezitoa kwenye Quran zinaonesha diwani nimchawi na anatumia majini
Shekhe wewendoo utawaweza hawamasufi kahuumufumo wataisoma aramtara
hii ndio raha ya kuwa salafi maana mashekhe wetu wote ni wabora alhamndulillah
Wabora kwako lakini kwa Allah ni hasara kujiona ilimu na huna na mtume s a w alisema kutakuja hureibidhwa ndio hawa
Wabora kwako lakini kwa Allah ni hasara kujiona ilimu na huna na mtume s a w alisema kutakuja hureibidhwa ndio hawa
Yn hakuna Hadith Wala aya yakauli zako unazo nac bisha mtu na usalafi au kumtoa ila ww ndio unanukuu kauli za wanachuoni t hii dini Kama inaendeshwa hivi au mtume SW angefikisha hivi c dhani Kama angekuwa na wafuac hata mmoja
sheikh mziwanda siajibu maana alkua anasema anazungmza hadharani na akatoa namba ama amerudi darasani kujipanga upyaa?
WEWE USTADH AWRAA NI MUHUNI TU KAMA WAHUNI WENGINE.
NJOO MEZANI MJADARA MNAKIMBIA KAMA NYNY MPO KWENYE HAQI MBONA MNAOGOPA MJADARA WA WAZI NIUNAFIQ NA UKARIFI UNAO KUSUMBUENI TU
Usipende kujaalia watu ukafilli asipo kua kafili bas utakua ww ndio kafili
Mawahabby sio ahlul Sunna waljamaa
Mawahabiy ni kina nani?
Jibu kwa dalili Acha kebehi
Hakujibu hili Swali maan ndo wanajitetea kwa kusema Wahab.
aseme Hawab n nn Maan yake?
ila masuf wanashia saan Allah awaongoze
Wala hatutafuti kiki sisi masalafy hatukubali kuchafuliwa diniyetu nirasilimali kubwa wala hatuminyan kuhusu simba na yanga ni dini ukija ktk mlango huu wa dini ukzusha tutakugonga tu ww kama unaumia umia dini nikitubora kwetu kuliko heshima zetu
Swadaqta yaa akhi tangu kunifikia Manhaj hii Wallahi Nafsi yangu inaona Raha Sana na utulivu. ALHAMDULLAHI ALA NIAMATIL ISLAM WA SUNNAH WAL HADHAL MANHAJ SALAFI
Dini ipi io ya kuabudu na kutukuza watawala vibaraka au Kuna jengine
Unaona Raha sana wakati uislamu Kila siku unarudishwa nyuma na Waislam wanapigwa vita Kila sehemu ulimwenguni alafu wewe umetulia unapata Raha jiangalie uko njia gani kama umeshika haqi huwezi kuwa na Raha wakati ndugu zako wanauliwa Yemeni na Ghaza
Anae tetea sunna, na anaetetea bidaa
Punguzeni ujbu
Wewe padri wa kiwahabi unasemaje?
Jidanganyeni kua mmefaulu
Hana hoja za kukwepa Uhizbi
Uhabi ni shinda wallah
Iliyo baki kwa maghurafi ni Matusi,,, nasi hatuachi mashekhe wako macho hakuna kuchomeka katika din tena mshukuru sana watu wa Ahli Sunnah kwani bila wao Wallah kungekuwa na upotovu mkubwa,,, niwakumbushe tu je ushawah ona mtu wa sunna akatoka katika Sunnah akafuata TWARIQA?????
NYINYI NI WANAFIQ WAKUBWA TENA MNO MNATUMWA NYINYI NA MYAUDI MBONANAKATAA MJADARA WA WAZI ???KWANI IBN TAYMIA NI MTUME ACHENI KUFARAQANISHA WATU WAJINGA NYNY
Wacha mayoe wew khaula kwan ww ufany bidaakwel kwend uko yaonyesh ata hujui bidaa nin
Kutowa sauti
Sana siyo ndo elimu
Huyu muhabi abuu khaluwa ndio anajidai ahlu Sunnah waljamaa huyu zuzu kumbe, wewe sio ahlu Sunnah waljamaa wewe ni muhabi
Huna hoja wacha kelele nenda ukasome ww mwenyewo unafanya bidagha
MBONA hueleweki unamaanisha nn
Kwani huyu abuu khaula anatafuta nn? Kw mziwanda ! Kama akocea au kupatia malipo anayapata yy mbele ya alwah hii dini yake alwah ww khaula wenzako mnapata tabu sana kama unaelimu kaa nae chini muzungumze kwani sheihk wako wa raddi amefanya minakasha mara ngapi? Jee wamewza kukubaliana hili suala wat hawa wezi kuwa na ufahamu mmoja wote tambueni hilo
Hahahaha... Ufahamu nao ni rizki
Kwani mtume saw alituachia kundi linaitwa salafy?au sunna
Mnafanya vitu kwa kujionyesha nyie mnajua kumbe hamna kitu kabisa
Ahlu Raddi
Sasa mbona nyie Matwariqa KAZI kufundisha na KUIPAMBANIA MAULIDI TU..?
Mbona mawahabi hawana kazi y kufanya kazi n kupiga maulidi acheni fundisheni uwahabi wacheni mambo y kitwariqa
Twarika wamesoma kila fani ndio mahawabi hawasomi na humuelewi mwanaki na ubishi na kusoma vizuri hua hamuzipatati
@@saba-gv3mj11:10
@@mussamalekela2107 alaa ndio ilimu yenu uganga ulifanyiwa ww ama umejuaje kama ni wanganga ww utakua moja wao ila kielimu mawahabi hamuwezi kuwafikia twarika na karama ziko sio uganga nyinyi mawahabi wapotoshaji ilumu yenu yakutukana watu tu basi hakuna lengine na kukataa kusifiwa mtume s a w sisi tutamsifu kiumbe bora kuliko kiumbe wengine alafu maulid yaendana na uwisilamu ndani ya maulid kwa somwa quran kabla ya kuanza na kutajwa Allah na kusifiwa mtume s a w kama ww hutaki mtume asifiwe na kuswaliwa ww na ibilisi ni sawa tu
mawahab mnatembea na upepooo mmmh mnamambo ya ajab ajabuuu badala mfundishe uwahab wenu mnaanza kuangalia makosa ya wazungumzaji waliyokosea alf na beee mnakuja kuwakosoa
Hawana lengo ktkt dini ni KUSUBIRI wengine waongoee watelezee humo kwa raddi zao.. Wanatafuta umaarufu kwa kushambulia.
Maneno mengi yakuwasema watu kwa ubaya wa khurafi sijui, maulidi ni ibn Uthaymin au Ibn taymiya kasema hawataji Allah wala Mtume SAW kasema..
Wapiga Porojo tu
Katika watu wenye jitihada ya kusomesha dini na kusoma noi hao mnao waita mawahabi
Huyu abuu khawla na genge lake ni wahuni tuwasifu kwa matusi elimu hamna kitu mtume hajafundisha zarau
Mawahabi kiki TU muda wote radd tu kwa lengo la kupata sifa mawahabi kero
Kufa na chuki zako mbona na nyingi watu wabidaa kila siku ni kuzusha Tu na kumsingzia uongo mtume ili muuvuruge umma
Lini mawahabi muliutengeneza umma
@@jaulamedia9517 baada ya kuacha maulidi na kuabudu makabur
@@nasirdinmohammed8741 mnoabudu watawala vipi mtaacha siku gani
@@nasirdinmohammed8741 kuabudia watawala mtaacha lini na nyinyi???
kwa hy km ni khurafi sio muislamu? na liwahabi si basi,,, mbwa, shoga la kihabi, naogopa kukwita hata sheikh, ila muhuni siogopi, wewe muhuni ktk ktk wahuni
We ni chizi???
@@katan671 chizi wa kwanza wewe na mbwa mwenzako mjinga wewe
hilo senge mwenzako alichozungumza nini si utumbo tu
Yeyote anaemfata ibnuttaimiyah ujue km mtu huyo sio muislam kwa sababu uyo ibnuttaimiyah wenyewe hakuwa muislam
Mche Allah utakuja kuulizwa na bila shaka hutokuwa na jibu
Allahul musta'an
@@rma3492..... Watakaoulizwa ni awo wanaoingiza ukristo ndani ya uislamu
Mbona hoja zako zimelenga madhehebu yako tu ya Hambalia? Kwnn utoe mifano kwa Ibn Taymiah na huyo Muqbil sheikh wa sasa? Toa mifano kwa maimamu wengine ili tuone uadilifu wako
Muongo wewe
unakuja kasi eeh wenzako mawahab wakina kasim mafuta alikuwa hivyo hivyo amepitea
Allaah akurehemu...
@@allyjaffar7072duuu marehemu tena
acha ushabiki ndugu fuata dini
Alie kwambia kuwa sheykh qaasim amepotea ni nani? Au haufuatilii mambo ya dni,!! Allah awaongoze makhurafi ktk haqqi, masalafi hawafanyi mambo kwa kufuata matamanio ya nafsi, wako lwa ajili ya allah na kujitahidi kusimamia kile alicho kiacha mtume wetu, tofauti na nyinyi makhurafi.
Jichanganye kwamzee kasim mafuta Kama kapotea