MDAHALO WA KIELEMU KATI YA SHEIKH ABUU KHAWLAH NA SHEIKH MZIWANDA(HATUA YA KWANZA KABISA)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 122

  • @abuuruwaydatvTz
    @abuuruwaydatvTz  Год назад +3

    ruclips.net/video/6cNuVyXjK3A/видео.html&si=_d20bPQjsHDNpYQM

  • @yusuphsammysammy7424
    @yusuphsammysammy7424 Год назад +3

    shekh abuu khawlah yupo makinisana mashaallah

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 Год назад +4

    mziwanda haki anaijua vzr sema tu namna ya kuacha hizo bidaa ndo shida ila allah atamuongoza.

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Год назад

    Namna unavyoongea Shekhe Abuu Khaulah niwazi kua maarifa uko nayo tena mazuri sana ambayo yanapaswa yaheshimiwe.
    Niwazi pia kua unawaelewa vizuri sana masufi kua niwatu wa khiana na khadaa, wala sio watu wa kujadiliana na watu ili wadhihirishe haqqi, bali ubishi na un'gan'ganizi tu ndio wako nao.
    Bali wanapenda kudondosha mashaayikh khwa kutumia hila na khadaa tofauti.
    Sasa kama kweli mziwanda ni mwamba na ana haqqi ameishika aje hewani atueleze kayapokea vipi haya masharti, ili tukienda kwenye niqaash tusende kupotezeana muda. Kama walivyo fanya masufi kule kenya dj side na walimu wake, wakatupotezea muda wetu bure bila kufikia yale malengo yetu tulokua tume yaweka.
    Walikwepa, na walikusudia kumkwamisha Shekh Muhammad Bachu nasio kujadiliana nae kielimu.
    Lakini kwa bakhti njema walimkuta Shekh Muhammad Bachu yuko na maarifa mara tatu yao.
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
    Kwaio niqaash ikaishia siondoki, siondoki, siondoki..😂
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
    Huu utoto hatuutaki kama mziwanda wajimudu kweli lete majibu kwanza.

  • @WazirGoma
    @WazirGoma Год назад +2

    Hawezi kukizi haya mashart ya mdahalo

  • @amadeamade2136
    @amadeamade2136 5 месяцев назад

    Huu ni uoga wa hali ya juu amejipima kwa mziwanda ameona hatoshi ingekuwa sisi wengine angekurupuka haraka kutaka mjadala. Shekhe mziwanda kasema nendeni na hoja zenu za bidaa mkamkosoe na bidaaa yake mnafyata mkia apa kufundishana kwetu kuko wapi huku ni kupotoshana na mungu atawalipia nyinyi nyote msiotaka kutuelimisha

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 6 месяцев назад

    Shekhe khawlah hamtomuweza ikomakinisana masufi mutalupata

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 7 месяцев назад

    Huyu Abuu haula ni gogo la kiwahabi lakini nimoga kuliko kunguru naona anarukaruka tu, unajua mawahabi ni maneno mengi lakini hamna kitu na ufahamu wao ni mdogo sana sana

  • @HusseinRwambo-mh3yj
    @HusseinRwambo-mh3yj 5 месяцев назад

    Mtihan sn

  • @jumaajambiamusa8214
    @jumaajambiamusa8214 Год назад +3

    abuu khaulaa muogope mungu ww acha kuogopa nikashi yeye kasema shekhe walid hawez kupalulana na watoto sio yey mziwanda yeye kasemea shhekh walid sasa ww acha uhabi mwingi njoo kwenye mjadara

  • @MazagaMbogo
    @MazagaMbogo 8 месяцев назад

    Maneno mengiiii kama waimbaa taaarabu yakheeh namba umepewa

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 6 месяцев назад

    Mziwanda njaa lakini haq anaitambua. Na awezi kuweka mijadala na masalaf huu

  • @muhsinimohammad58
    @muhsinimohammad58 Год назад +1

    Kueni makini na masufi ikiwa wanafanya khiana na dini ya Allah ni wazi zaidi kumfanyia mtu khiana

  • @seifunatangu1608
    @seifunatangu1608 Год назад

    Halafu were mwenye elimu naomba tofauti ya mas-alatun khilaafiyyah na mas-alatu ikhtilaafiyyah maana sielewi

  • @khalifaahmed5232
    @khalifaahmed5232 Год назад +1

    Maneno mengi jameniiiiii dooohh watu hujitokeza kwa umakini wakakaa mezani wakaanxa mdahalo lkn cjui maneno tele na ikiwa ni kueka masharti lazma muwe nyote mko apo mwapanga ayo masharti sio mmoja kueka masharti anayoyataka

  • @mussayahya1726
    @mussayahya1726 10 месяцев назад

    Mziwanda Jibu Hoja tuingie kwenye Mjadala

  • @rashid3562
    @rashid3562 Год назад +2

    Maneno mengi mwanaume kaongea mara 1 tu

  • @malickyhussein9032
    @malickyhussein9032 Год назад

    Mwenye akili timamu atajua kuwa Depe tupu haliachi makelele..
    🚶🏾‍♂️🚶🏾‍♂️🚶🏾‍♂️🚶🏾‍♂️🚶🏾‍♂️

  • @AmiriUshanga
    @AmiriUshanga Год назад +2

    Sijawahi kuona watu vilaza kama viwahabi golo bacho Alitambaa kwa masufi leo kimyaa
    Sasa huyu kilaza mwengine mwenzie kasema mara moja tu yeye kila leo Ana bwabwaja ili youtu yake Alipwe Aonekane ksifanyia kazi

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Год назад

      bachu kimya humfuatilii ndo maana,

  • @UB40X1
    @UB40X1 Год назад +5

    Mziwanda ni mbabaishaji tu. Hamna kitu hapo wala hatokubali mjadala.

    • @bukhari-qe3vf
      @bukhari-qe3vf Год назад

      mwababaika wenyewe hamujababaishwa na yeyeote yule .. poleni mukiwa na haki hamuwezi kubabaika..

    • @amadeamade2136
      @amadeamade2136 5 месяцев назад

      Muharami ni mbabaishaji munaogopa nini kukutananao

  • @HemedSerious
    @HemedSerious 7 месяцев назад

    Unataka sifa abuu khaula

  • @azizisulay6005
    @azizisulay6005 Год назад +9

    Hakuna wa kupambana na daawa salafiyya, huyo mziwanda masufi wanampa kichwa tu hakuna chochote, sasa acha tuone hii inaishaje sasa

    • @IbrahimuLikolinji-ly2tp
      @IbrahimuLikolinji-ly2tp Год назад +4

      Sahihi

    • @binaamour318
      @binaamour318 Год назад

      Kama hakuna muulizeni shekh wenu kasim mafuta amesha fanya minakasha Mara ngap? Na jee ametangaza ushindi Mara ngap? Acheni ushabik nyi mnaona kuitwa salafiyun ndio tayari n ushindi au ww ndio unajua Kila kitu yani fani zote!

    • @azizisulay6005
      @azizisulay6005 Год назад

      @@binaamour318 hayo ndo majibu ya kila mtu wa bidaa

    • @jailaniramadhan1788
      @jailaniramadhan1788 Год назад

      njoo kwa mashia

    • @azizisulay6005
      @azizisulay6005 Год назад

      @@jailaniramadhan1788 Sasa mashia utajadili nn nao wao wakat hakuna uislam kwa ushia, ushia ni mchanganyiko wa uyahud,ukristo, na umajus,Kama ushia ungekuwa uislam walau tungejadili nao

  • @HalidiKassim
    @HalidiKassim Год назад

    Ukiangalia hapa ktk comment watu wengi wanashaur abuu khaula aende kwneye mnakasha ila cha ajabu huyo mwenye kutaka mnakasha katoa namba za simu sasa kwa namba za simu wakinakishiana ninyi mtajuaje, ingekuwa labda sheikh mziwanda kasema tukutane mahali fulani tufanye mnakasha sawa lakini katoa namba, swali je pakifanywa mnakasha kwa simu ninyi mtajuaje?

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 6 месяцев назад

      Akhy amini nakuambia ujinga mzigo elewa ivyo

  • @MuslimKilalo
    @MuslimKilalo Год назад +3

    Hebu ww Abuu khaulaa acha kuzungumka zungumka ww km ni kidume njoo uwanjanii

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Год назад

      mashart ni muhimu, kila jambo linautaratibu kumbuka haya sio mambo madogo

  • @hafidhsalum-jp2mw
    @hafidhsalum-jp2mw Год назад

    Watakupotezea muda wako hao masufi haina haja ya mdahalo piga raddi zao bc imetosha watakuekea maji kwenye kiti wakufanyie istihzai tu ao hua hawana hoja

  • @HemedSerious
    @HemedSerious 7 месяцев назад

    Unaogopa abuu khahula, porojo jongi

  • @MasakiOnozuka
    @MasakiOnozuka Год назад

    Uzuri wa uislam inapotekea khilaf tumeambiwa turudi kwenye kitabu lakini ndugu zetu wanakimbia

  • @hassanmambomambo8442
    @hassanmambomambo8442 Год назад

    acha maneno mengi shekh kama kakuita huna elimu wewe umemuita hajielewi maana mnalingana Aya kubali munakasha ili tuone aie na elimu ninani na asio jielewa ninani? acha maneno mengi wewe sema nataka munakasha niandae Mimi mahala kadha taratibu zangu ni kadha basi Kisha uwone atakataa mziwanda acha maneno mengi shekh

  • @abuuzunayratfamura6744
    @abuuzunayratfamura6744 Год назад +1

    Salafy kaaeni chini jibarauzeni ila mjue mziwanda hamumuingii hata chembe ni wepesi mno utaeka masharti kama gazeti ila nakwapia hutoboi

    • @abuuaisha3582
      @abuuaisha3582 Год назад

      tatizo lenu munaend na ushabiki

    • @bukhari-qe3vf
      @bukhari-qe3vf Год назад

      waambie hawatoboi hawana haki hoja waitoe wapi ndo maana waogopa wakimbia mjadala

  • @jumaajambiamusa8214
    @jumaajambiamusa8214 Год назад

    sawa sawa kama ume kubali bs twende kwenye nikashi sasa wacha porojo

  • @abdalahhasani6855
    @abdalahhasani6855 4 месяца назад

    acha uongo mbona ulipigiwa na bab deo tv ukaogopa masingizio hutaki kuonekana umeku mungu wewe

  • @JumaMwanga-xd9gy
    @JumaMwanga-xd9gy 6 месяцев назад

    Ivyoo vigezo vnaushaidi katk hadith....coz ninyi maneno y wanchuon hamtaki sikuzote Leo unatumia kama marejeo......wap bhn... Niny ubabaifu

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 Год назад +1

    HAHAHA😂😂😂 WEWE ABUU KHAULA UNAONEKANA NI GHURAFI MKUBWA SANA WEWE..
    WACHA UWOGA ..
    UMEANZA UWOGA

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo3802 Год назад

    Huo mfano wa swala ulioutoa sio sahihi
    Kwasababu mjadala mahala pake ni katika ijmaai na Qiyaas

  • @rajabungatanda630
    @rajabungatanda630 Год назад

    Ona tulipofika eti imewekwa
    MZIWANDA vs KHAWLA

    • @abuuruwaydatvTz
      @abuuruwaydatvTz  Год назад

      Aya we mbona unataka kushangaza kwaiyo hapo kosa liko wapi

    • @rajabungatanda630
      @rajabungatanda630 Год назад

      @@abuuruwaydatvTz
      Maswala ya firaq baina lmuslim
      Sio mambo ya kaa huku kaa kule tumtafute mshindi hapana
      Ebu Rudi kaangalie hayatu swahaba
      Au Rudi ktk kitabu kinachoitwa
      (Alfarqu baina lfiraq )
      Ninaimani utaona ni jinsii gani tumeambiwa kuhusu namna ya kujadiliana waislamu kwa waislamu

    • @abuuruwaydatvTz
      @abuuruwaydatvTz  Год назад

      @@rajabungatanda630 Wewe habibiy nadhani unaruka point KOSA KA NENO VS LIKO WAPI⁉️

    • @mussakisope7207
      @mussakisope7207 10 месяцев назад

      Dawatul salafiya Allah atazidi kuihifadhi kiasi ambacho Zanzibar saivi imepatikana athari kubwa tunamuomba Allah atufishe njia ya sawa sawa ya wema waliopita.

  • @rashid3562
    @rashid3562 Год назад +2

    Wee si una elimu unaogopa nn

  • @abdalahhasani6855
    @abdalahhasani6855 4 месяца назад

    kasha ingia hofu huyu abu haula basi tena

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan1788 Год назад +1

    wallah huyu muwahab nimemaikiliza mwamzo mwisho ameogopa

  • @athumankalua501
    @athumankalua501 Год назад +1

    Ili sikuzote mneno mafupi ndio huwa mazur km unanitoaa sadaka kwa mawahabi hatutaki maneno ya uwan njoo barazan 😅😅😅

  • @ShedrakShedrak-c1q
    @ShedrakShedrak-c1q Год назад

    Maneno yote ya nini? Subiri muda. Muda utaongea.

  • @abuuzunayratfamura6744
    @abuuzunayratfamura6744 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mfa maji haachi kutapatapa abuu khawla wacha kujipa hope we njoo uwanjani kama ulivyoitwa usipindishe maneno

    • @abuuaisha3582
      @abuuaisha3582 Год назад

      kila kitu kina mipango sio fujo

    • @HalidiKassim
      @HalidiKassim Год назад

      Kwa huyo aliyeita mwenzie kakusudia uwanjani sehem gani, au apigiwe simu ndicho alichokitaka?

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 месяцев назад

      Hawazi kuja muoga, Hana ishu yyte

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 месяцев назад

      Khawla ww ni muongo unaogopa 😅😅😅😅

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Год назад +1

    Bidah imekua nikitu ambacho sikijui anachokifanya mwingine

    • @bukhari-qe3vf
      @bukhari-qe3vf Год назад +1

      umenifurahisha sana ... umeongea ajab 👍👍👍

  • @mustaphakawanda4138
    @mustaphakawanda4138 Год назад

    MZIWANDA anatafuta cheo bakwata

  • @ShedrakShedrak-c1q
    @ShedrakShedrak-c1q Год назад

    Namna unavyoongea inaonyesha uwezo wako ni duni.

  • @MuslimKilalo
    @MuslimKilalo Год назад

    Mbona mm naona ww Abuu khaulaa mbona unazungumka zungumka tu ww hebu km unajiamin kuwa tayar tu

    • @ramadhaniswalehe1853
      @ramadhaniswalehe1853 Год назад

      Kasome Kwanza ndio utajuwa kama masharti yapo au hayapo usiongee tu kiushabiki kwenye mitandao utaulizwa siku yakiyama achaujasiri ambao hujui Jambo lake huu sio mpira wala siasa hii nidini

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan1788 Год назад

    muwahab yoyote aje kwa mashia mada yoyote

    • @ramadhaniswalehe1853
      @ramadhaniswalehe1853 Год назад

      Hujielewi wewe

    • @SalimuMussa-r6q
      @SalimuMussa-r6q Год назад

      vijan wapongwe Tanga waliomba mjadala namashia barua ikatembea Kila upande kama hamkuiyona vile, ww ongea mashekh wako nitakupa namba ya vijan wa shekh qasim mafuta usijal

    • @SalimuMussa-r6q
      @SalimuMussa-r6q Год назад

      waulize mashia wako watanga kilicho watokea mara mbili kwa shekh qasim had wakaingia mitini

  • @HemedSerious
    @HemedSerious 7 месяцев назад

    Yy kaku dogosha kama ww unahisi ni muongo nend uwanjani acha kubweka

  • @rahimmkongwa4292
    @rahimmkongwa4292 Год назад +1

    Dawa salafiyya ni habari nyingine

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Год назад

      Habari ya kupotosha

    • @ramseyferouz9724
      @ramseyferouz9724 Год назад +1

      Salafi wahabbiya asili yake ni mayahudi muache kufarakanisha waislamu tumewastukia

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Год назад

    Haki unaweza kwenda popote waogopa Nini?

    • @hassanmambomambo8442
      @hassanmambomambo8442 Год назад

      katoa namba yasimu ili akudhihishie kuwa wewe huna elimu sasa wewe kubali ili mdhihirishie kuwa ninaelimu kuliko unavyo fikiria nenda shekh acha maneno mengi

  • @mudybeka6698
    @mudybeka6698 Год назад +1

    Masufi hawana jipya ...wamejaa ujinga

    • @bukhari-qe3vf
      @bukhari-qe3vf Год назад

      mbona mwababaika kama muko kwa haki..

  • @ausatmwangi6464
    @ausatmwangi6464 Год назад

    Mm hata sioni haja kuweka mijadala mingine na mawahabi kwa kuwa ni kazi bure tu..tuwaachie mitandao watambe sisi tufunzeni madrasani na misikitini

  • @ayyamirubba5226
    @ayyamirubba5226 Год назад

    ABU KHAWLA.Umeiwasilisha haki elimu ya Munaqasha ipasvyo...haya ndugu zetu watetezi wa uzushi nanyi mwanenaje!!..?

    • @rajabungatanda630
      @rajabungatanda630 Год назад

      Tumeambiwa
      ( MUSIZOZANE NYINYI KWA NYINYI ZITAPUNGUA NGUVU ZENU MUTAWAPA USHINDI MAADUI ZENU)
      sasa inakuaje leo ninyi tunaowaita mashekhe munaanikana mitandaoni ?
      Mivutano imekua mingi
      Marumbano mengi
      Inakuaje nyinyi?

    • @ramseyferouz9724
      @ramseyferouz9724 Год назад

      Hapo Kuna watu wawili tofauti lazima ujuwe sheikh WA mayahudi vs shekhe WA waislam.

    • @ramseyferouz9724
      @ramseyferouz9724 Год назад

      Hawa masalafi wahabbiya wamepotosha watu kwa muda mrefu sana alafu Cha ajabu wao wanasema hawana madhehebu lakini mashekhe wanaowataja na kuwa fuata wengi wao ni WA madhehebu ya imamu ahmadi bin hanbal na kilicho kizuri zaidi ni kuwa humo ndani ya madhehebu wameradiwa nawenzao kutokana na daawa Yao ya bidaa waliyoianzisha na mabidaa Yao mengi walioyazuwa pamoja na kumkufurisha imam nawawi na ibn hajari Al asqalaani na ahlusunna wengine katika الشاعرة na kitu kingine ni kwamba Kuna vitabu vingi vimeandikwa na wanazuoni WA ahlusunna waljamaa vikieleza kuwa hili ni kundi baya tena linatokana na mayahudi na ndio maana hata itikadi zao zinafanana. Ukitazama harakati zao kubwa ni kutaka kuwakufurisha waislamu na kuwagawa na kuwatia wasiwasi waislam juu ya ibada zao. Yaani Hawa kwa kifupi Wana alama nyingi ambazo zimetajwa katika hadithi za mtume.

    • @HalidiKassim
      @HalidiKassim Год назад

      Hadithi ipi ambayo imetajwa na mtume, ambayo inafananishwa na hao mnaowaita mawahabi?

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 месяцев назад

      Kawasilisha woga😢😢😢mnaogopa

  • @MuslimKilalo
    @MuslimKilalo Год назад +3

    Abuu khaulaa nakuhakikishia hutobowi hutobowi hutobowi yaan ww unaenda kuwabwaga mawahab km bachu alivyo wabwaga

    • @FarahJey
      @FarahJey Год назад

      Bachu simba wa mijiti ya bidaa nyote multiway maji

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 месяцев назад

      Yeye mwenyew anajua ndio maana, kweli kicchwa chko kibovu naenda tutajua kama anajielewa au hajielewi, eti comment unataka sifa kupitia comment ww na bachu

  • @MuslimKilalo
    @MuslimKilalo Год назад +1

    Abuu khaulaa unaogopa ww km huogop kubali tu

  • @meksd2418
    @meksd2418 Год назад

    Kwelii huna elimu njooo shindanee namimii ndosaizii yakoo huna pwentii hatamojaa utayotokaa

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Год назад

    Toa wewe madaaaa wacheni mashrti mingi jitokezeee

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy Год назад

    Hata hivo hamna kitu

  • @muhammedomaryshembilu8539
    @muhammedomaryshembilu8539 Год назад

    Makhulafy ni watu wa baatwil na ni watu ambao Wana khiyana lazima ukubaliane nao mapema

    • @bukhari-qe3vf
      @bukhari-qe3vf Год назад

      makhulafy ama makhulafai ama makhurafi yani hata kutamka na kuandika hujui ... utaweza kutofautisha haki na batili acheni kelele uwoga huo hamna haki hamna ukweli ...

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад

    Hakuna mtu wa bidaaaa mwenye elimu

  • @abbaskhamis3407
    @abbaskhamis3407 Год назад +1

    acha porojo we fala twende kwenye dimba hapo unamuelekeza nani hapo unaogopa tu

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Год назад

      usimwite fala, thamani ya mtu ambae anakataza bidaa na kukata viuno anathamani mara mia kuliko mtu anaelingania bidaa na kukata viuno.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Год назад

      ​@@medimisi6930sasa ww wajua bida maswahaba wamefanya bida ngapi ama pengine hujui bida

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Год назад

      @@saba-gv3mj mtake mungu msamaha kwa kauli yako hiyo, wakat mtume yupo hai dini ilikua bado inaterema waiyo kama ilikua jambo ambalo swahaba amefanya hukmu yake inakuja kama ni sahihi au laa na ndio mfumo wa kukamilika dini wakati huo lakn baada ya kukamilia dini ibada zote tayari zimefundishwa na mtume huna nafasi ya kuleta bidaa zako kwa kisingizio,au bado kuna aya itateremka kuhalalisha hiyo bidaa yako.ndio maana mtume akasema tutumie ndimi zetu vizr kwa kauli kama hizo mara mtu humpelekea kuwa nje ya uislamu kabisa iv kuna hadithi ngp mtume ametukataza bidaa, na ww ukafanya hiyo bidaa huoni kama unampinga mtume.na jee utajuwaje kama haikubaliwi na allah.bafilika mara moja shikamana na sunna ili ifike kwa allah ukiwa umesalimika.omba msamaha kwa kauli yako na kiigizo chako iwe ni mtume,baswahaba ni watu wanapatia na kukosea acha kabisa

    • @BradothAdm
      @BradothAdm 8 месяцев назад

      Ndugu usitukane hii ni dini

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj Год назад

    Sasa ww kama una ilimu mwenzako amekuita nenda usisingizie hata mussa alienda kwa firauni akiwa na nduguye madamu uko kwenye haki nenda Allah atakutosheleza ww kupambana na twarika si mchezo usije ukafundishwa kusoma tu mana mawahabi kusoma hamjui

    • @WazirGoma
      @WazirGoma Год назад

      Nini maana ya mawahabi?

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Год назад

      @@WazirGoma wahabi huwajui moja wao wahabi soma nyinyi mawahabi wapotoshaji sio ahlusuna

  • @MordiySB
    @MordiySB Год назад +1

    Wewe Abu Khaulah , wacha kelele nyingi , kubali munaqasha , komiti za munaqasha za pande mbili zikutane wakubaliane masharti , mjadala ufanyinke , ama kubwekabweka sana ni dalili kuwa waogopa munaqasha wa face to face wa KIELIMU.

    • @abuuruwaydatvTz
      @abuuruwaydatvTz  Год назад +1

      Ndio masharti hayo kayatoa mkikubali basi semeni miongozo tutoe namba

    • @abrahamansaidi8631
      @abrahamansaidi8631 Год назад

      Masikini hata hujielewi

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 Год назад

      MAWAHABI WANAOGOPA MDAHALO ..
      WATABAKIA IVO IVO KUZUNGIMZIA JIKONI MWANAMME ANAWASUBIRI BARAZANII .
      WEE BWEKAA WENYE AKILI WASHAJUA KUWA UNAOGOPA MDAHALO ACHA KUJITAFUTIA VIJICHAKA VYA KUJIFICHA .
      USITUTAJIE MASHARTI YA MUNAKASHA WEW KAMA UNAJIWEZA ACHA KUZUNGUMZIA JIKONI , TOA NAMBA SIMBA ANAKUSUBIRI BARAZANIII ...

    • @UB40X1
      @UB40X1 Год назад

      Mtihani masufi hawajielewi.

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص Год назад

      Kwani ndugu zangu mnadhania wale wafuasi wa hawa makhurafi wanajielewa???
      Ni watu tu maskini hawana moja wajualo na wanalelewa kwa ujinga bila ilmu!! Wa illaa umeona wapi khurafi asomesha ilmu mbali na upumbavu wa maulidi na masikukuu yao kama krismasi???
      Makhurafi hawajui chochote kinachitwa ilmu, ni mapilau na mabiriani akishashiba akae atetee batwil! Yani chama cha kula mapilau....

  • @MwajumaMkapali
    @MwajumaMkapali Год назад +1

    Hahahaa mawahabi hawanakitu mtabaki kulalama tu hahahaaa munaogopa nini ingia uwanjani mawahabi hakuna sharti msiogope shekh katoa namba si kwako tu hy yataifa sheikh mbona hauelewi utatoa masharti hata 100 kuogopa

    • @WazirGoma
      @WazirGoma Год назад

      Ni ipi taarifu ya uwahabi?