TAZAMA SHEIKH MZIWANDA ALIVYO PANIKI KABLA YA MDAHALO|JE MDAHALO ATAUWEZA KWA HALI HII KWELI ⁉️

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 44

  • @LuqmaansaadBilla
    @LuqmaansaadBilla Год назад +2

    Asalaam alaykum mashekh tunaomba muiheshimu dini yetu mambo ya ikhtilaafu tuyaache kama yalivyo mungu atahukumu yeye kwanza mdahalo ni bidaa mtume hajafanya hivyo wala hakuamrisha mungu wetu tusijionyeshe kwamba tumesoma tutakosa mlipo mbele ya Allah fuata kile unacho ona ni sawa kwako ambacho huoni ni sawa alafu kina ikhtilaafu kiache mungu atuongeze inshaallah

    • @abuuruwaydatvTz
      @abuuruwaydatvTz  Год назад

      Endelea kusoma

    • @LuqmaansaadBilla
      @LuqmaansaadBilla Год назад

      Mungu ataangalia elimu zetu ila ataangalia umeifanyia nini elimu yako je umeikusanya ili ulete mjadala au umeikusanya ili umfahamu mungu na utekeleze ibada zake wallah naapa kwa mungu kila mmoja atalipwa kwa nia yake إنما الأعمال بنيات فإنكان نيك تفخر والله أجزاك الله بنيك

    • @Auf-uh3jq
      @Auf-uh3jq Год назад

      Hizi TV za maibilisi haziwezekani

  • @mansulesuleyman6217
    @mansulesuleyman6217 Год назад

    Number ushapewa .....acha papara piga hio number acha mbwembwe

  • @rajabungatanda630
    @rajabungatanda630 Год назад

    Musiendeshe dini
    Kwa kutafuta mshindi
    Dini ni hikma"busara"maarifa" na subra
    (Iyo nyumba ya peponi wataingia wale wasiopenda turumba Wala kujikweza

  • @AbdillahAlly-q6j
    @AbdillahAlly-q6j Год назад

    Yani wewndio umepaniki maana wew hd unatukana

  • @hatibumbwana4488
    @hatibumbwana4488 Год назад

    Tusijadiliane na mmoja akiwa amekasirika, kwani tutashindwa kufika muafaka

  • @YusuphMsingida
    @YusuphMsingida Год назад

    Abuu khawla acha janja Janja ingia uwanjan

  • @coyancodavao4004
    @coyancodavao4004 Год назад

    Hatutaki porojo nendeni kwenye mjadala.

  • @mustaphakawanda4138
    @mustaphakawanda4138 Год назад

    Tatizo la kwnye mijadala ya ana kwa ana hakuna jaji wakusema fulan kashinda ndio mana wakishindwa hoja wanataka mjadala mambo yanakua mengi!!! Shekh kakubal katoa mashart yake nasis twasema hiv Mziwanda jibu hoja hizo hata chumban pekeako tuma tuskie alafu ndio waislam tuone kua unatosha kupoteza muda wetu kufatilia mjadala usiwe kama majaz bure?!

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Год назад

    Mordy kafunguweni vitabu mkasome historia ya masalafi mziwanda hakijui awadanganya

  • @othman3909
    @othman3909 Год назад

    Jamani wee mbona mambo yanakwenda hivi?

  • @HemedSerious
    @HemedSerious Год назад

    Si ukubali mtu mbili , unakimbia muongo mkubwa😢😢😢😢

  • @abumuhammadmbwana3964
    @abumuhammadmbwana3964 Год назад

    NENDA KWENYE MJADALA WACHA KELELE

  • @AlhajiShabani-rq9vm
    @AlhajiShabani-rq9vm Год назад

    Wewe una muogopa sana mziwanda shekh kama upo vizuri mukutane bas

  • @Auf-uh3jq
    @Auf-uh3jq Год назад

    Huyu Shekhe Hana adabu mpumbavu kwani sana unatakanini hatukuelewi Tena uwache ushenzi Tena mufanye adabu na dini yetu washenzi sana hamuna hishma

    • @cassimoa9217
      @cassimoa9217 Год назад

      Wewe pia umekosa hekima na adabu. Umetukana na kumuita sheikh Mpumbavu ndio nasaha ya dini hiyo? Ndiyo ulivyofundishwa matusi? Je unaweza kumuomba radhi sbb umepata dhambi. Tuache jazba tuwe waangalifu sana na masaala ya dini

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 9 месяцев назад

    Ameambiwa aj8bu mziwanda ni mpoteshaji

  • @abubakarkassanura3515
    @abubakarkassanura3515 Год назад

    Sheikh number imetolewa weka mdahalo hata bila video tujue nani mshindi 🤣🤣🤣

  • @SirajuChilindo-b4y
    @SirajuChilindo-b4y Год назад

    Kelele nyingiiiii, piga namba munaqasha uwepo

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 9 месяцев назад

    Jibu hoja mziwanda

    • @KomoraMohamed
      @KomoraMohamed 7 месяцев назад

      Twataka mjadala hakuna kubweka kma umbwa koko

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 Год назад

    Haya mziwanda twende sasa ww si kidume unaongea barazan hayatwende sasa mjibukijana wa thanawi kilakukicha naona anakuchapa tu ebuletemajibu ya kielimu ewekidume mziwanda wanaume huwa hawakai kimnya

  • @rajabungatanda630
    @rajabungatanda630 Год назад

    Munaojiita mashekhe nyinyi
    Munaenda wapi?
    Jee mtume alifanya kazi ya dini kwa mfumo huu wa misutano nyinyi kwa nyinyi?
    Jee maswahaba walifanya kazi ya dini kwa mtindo huu ?
    Jee maimamu pia waliishi hivi?
    Sikatai madhaifu yenu
    Ila nashangaa mwapata nini kujianika mitandaoni

  • @coolpara8192
    @coolpara8192 Год назад

    Wacheni ujinga mashehe amepanik umeingia moyoni mwake

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 Год назад

    Huyuu nimwamba bwana mbona hutaki kufuata na babu deo umekataa huna umwamba wowote khaula

  • @AyubuYahya-x7l
    @AyubuYahya-x7l Год назад

    Sasa mbumbavu unamiita Nani ww mshenz ebu skiliza elimu ww Acha urofaa

  • @OmarMohammedOmarMohammed-h9u
    @OmarMohammedOmarMohammed-h9u Год назад

    Waislamu mizozo yanini jamani kwani sote fatuya zamtume hemu

  • @AlhajiShabani-rq9vm
    @AlhajiShabani-rq9vm Год назад

    Sisi hatukusikilizi bwana maana namb umepew

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Год назад

    Mziwanda elimu yake ndogo au ni muongo kwa sababu kashindwa kujuwa historia ya masalafi ....katoa histria ya uwongo

  • @SaidMadai-n7k
    @SaidMadai-n7k Год назад

    Acha kubweka mitandaoni no umepewa abuu haula km jikanyage n ww ujikojolee km bachu 😂

  • @MordiySB
    @MordiySB Год назад +2

    Wewe abu kahula ushapewa number ya simu direct , chagua watu wa kamati yako wawasiliane na sheikh mziwanda , wapange munaqasha , wakubaliana masharti na munaqasha ufanyike , hizi kelele za kubwekabweka zinapoteza time , waumini wanataka kuona munaqasha WA KIELIMU face to face , sasa wogopa , kazi unajua ni kubweka faraghani.

    • @أبوفيصل-د3ش
      @أبوفيصل-د3ش Год назад

      Kwan Munaqasha Lazima iwe ana kwa ana.Hata Haya majibu Dhidi ya Mpinzan wako Ni Munaqasha pia.
      Kwamba Mmoja anasema na mwngne anatuma Majibu na anauliza maswali kimtandao.
      Lakin Munaqasha una masharti yake.Sio Kudai namba ya Simu.sijui kamati ziitwe.
      Nadhani hii njia ya mtandao ni nzr zaid Kuliko minakasha kwan Minakasha mingi mwsho wake ni vurugu tu Watu wanaenda Na mtu wao hata kama Akikosea watamlinda tu na kumtetea.
      Zikizingatiwa Kanuni Mbele ya mtawala Akiwepo Ima waziri mkuu,Au Rais,Au mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya na kusiwepo vitisho baina ya pande zote mbili haina shida.

    • @mustaphakawanda4138
      @mustaphakawanda4138 Год назад +1

      Kwani kipnd anaongea MZIWANDA n hadharan au alimtumia Abuukhawla hiyo video kwnye sim Ajibu hadharan na yey huu sio muda wakuwanyanyua MASUFI mana waona fahar kuwa magazetini n kwnye ma tv tunajua.

    • @ayuburashid9083
      @ayuburashid9083 Год назад

      Kama mziwanda angekuwa anataka huwo munaqash angesema asingetoa namba katoa namba ili kuzuga kama nimunaaqasha ufanyike kwenye simu asiiabike
      Mwenye kutaka munaqasha ni abuu khaula na ndio maana anahitajia mashart ya kisheria yakamilike niqashi ifanyike hajaongea kiujumla kama mziwanda kuwazonga watu wasio elewa aonekane niqashi anaitaka lakini ukweli haitaki wala haiwezi maana hoja za kuthibitisha uongo wake anao wazushia masalafy
      Na niqashi sio lazima iwe ya kukaa meza kwa meza hata kwa njia hii haqi inabainika mwenye hoja za kielimu ninani na mwenye maneno ya kujikweza ninani hapa tunajua ukweli mbivu na mbichi niqashi ieyendelee kwa njia hii kwani ningumu sana mashart kukamilika na mfano wake mziwanda anataka afuatwe kwake akanyiwe niqashi mbele ya wanafunzi wake

  • @hemedabdullasuleiman5688
    @hemedabdullasuleiman5688 Год назад

    Hakuna Wahabi anaeweza kufanya Munaqash na Sheikh wa Kitwarika...Na akijaribu tu atadhalilika vibaya mno...Ndio ivo atabaki kuongea jikoni tu

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص Год назад

      Rudi kaskilize munaqasha wa shkh Abul Fadhl na makhurafi wa zanzibar, nyie mnakaa na mahizby hao kama nyinyi akili ndogo... 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 Год назад

    Mazezeta wa mitandaon wanajiita wasom, ujinga tupu, mtume alifanya upumbavu huo mnaofanya nyie?

  • @qurannamawaidha9500
    @qurannamawaidha9500 Год назад

    Abuuu khaula hay mambo kujibizana mitandaon Kwa waislam hayapendezi shekh amekuomba munaqasha wewe unaogop nin ikiwa watetea haki

  • @JamalAbdallah-m1o
    @JamalAbdallah-m1o Год назад

    Acha kuongelea jikoni, Toka barazani we wahabi