Asalaam alaykum mashekh tunaomba muiheshimu dini yetu mambo ya ikhtilaafu tuyaache kama yalivyo mungu atahukumu yeye kwanza mdahalo ni bidaa mtume hajafanya hivyo wala hakuamrisha mungu wetu tusijionyeshe kwamba tumesoma tutakosa mlipo mbele ya Allah fuata kile unacho ona ni sawa kwako ambacho huoni ni sawa alafu kina ikhtilaafu kiache mungu atuongeze inshaallah
Mungu ataangalia elimu zetu ila ataangalia umeifanyia nini elimu yako je umeikusanya ili ulete mjadala au umeikusanya ili umfahamu mungu na utekeleze ibada zake wallah naapa kwa mungu kila mmoja atalipwa kwa nia yake إنما الأعمال بنيات فإنكان نيك تفخر والله أجزاك الله بنيك
Tatizo la kwnye mijadala ya ana kwa ana hakuna jaji wakusema fulan kashinda ndio mana wakishindwa hoja wanataka mjadala mambo yanakua mengi!!! Shekh kakubal katoa mashart yake nasis twasema hiv Mziwanda jibu hoja hizo hata chumban pekeako tuma tuskie alafu ndio waislam tuone kua unatosha kupoteza muda wetu kufatilia mjadala usiwe kama majaz bure?!
Wewe pia umekosa hekima na adabu. Umetukana na kumuita sheikh Mpumbavu ndio nasaha ya dini hiyo? Ndiyo ulivyofundishwa matusi? Je unaweza kumuomba radhi sbb umepata dhambi. Tuache jazba tuwe waangalifu sana na masaala ya dini
Haya mziwanda twende sasa ww si kidume unaongea barazan hayatwende sasa mjibukijana wa thanawi kilakukicha naona anakuchapa tu ebuletemajibu ya kielimu ewekidume mziwanda wanaume huwa hawakai kimnya
Munaojiita mashekhe nyinyi Munaenda wapi? Jee mtume alifanya kazi ya dini kwa mfumo huu wa misutano nyinyi kwa nyinyi? Jee maswahaba walifanya kazi ya dini kwa mtindo huu ? Jee maimamu pia waliishi hivi? Sikatai madhaifu yenu Ila nashangaa mwapata nini kujianika mitandaoni
Wewe abu kahula ushapewa number ya simu direct , chagua watu wa kamati yako wawasiliane na sheikh mziwanda , wapange munaqasha , wakubaliana masharti na munaqasha ufanyike , hizi kelele za kubwekabweka zinapoteza time , waumini wanataka kuona munaqasha WA KIELIMU face to face , sasa wogopa , kazi unajua ni kubweka faraghani.
Kwan Munaqasha Lazima iwe ana kwa ana.Hata Haya majibu Dhidi ya Mpinzan wako Ni Munaqasha pia. Kwamba Mmoja anasema na mwngne anatuma Majibu na anauliza maswali kimtandao. Lakin Munaqasha una masharti yake.Sio Kudai namba ya Simu.sijui kamati ziitwe. Nadhani hii njia ya mtandao ni nzr zaid Kuliko minakasha kwan Minakasha mingi mwsho wake ni vurugu tu Watu wanaenda Na mtu wao hata kama Akikosea watamlinda tu na kumtetea. Zikizingatiwa Kanuni Mbele ya mtawala Akiwepo Ima waziri mkuu,Au Rais,Au mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya na kusiwepo vitisho baina ya pande zote mbili haina shida.
Kwani kipnd anaongea MZIWANDA n hadharan au alimtumia Abuukhawla hiyo video kwnye sim Ajibu hadharan na yey huu sio muda wakuwanyanyua MASUFI mana waona fahar kuwa magazetini n kwnye ma tv tunajua.
Kama mziwanda angekuwa anataka huwo munaqash angesema asingetoa namba katoa namba ili kuzuga kama nimunaaqasha ufanyike kwenye simu asiiabike Mwenye kutaka munaqasha ni abuu khaula na ndio maana anahitajia mashart ya kisheria yakamilike niqashi ifanyike hajaongea kiujumla kama mziwanda kuwazonga watu wasio elewa aonekane niqashi anaitaka lakini ukweli haitaki wala haiwezi maana hoja za kuthibitisha uongo wake anao wazushia masalafy Na niqashi sio lazima iwe ya kukaa meza kwa meza hata kwa njia hii haqi inabainika mwenye hoja za kielimu ninani na mwenye maneno ya kujikweza ninani hapa tunajua ukweli mbivu na mbichi niqashi ieyendelee kwa njia hii kwani ningumu sana mashart kukamilika na mfano wake mziwanda anataka afuatwe kwake akanyiwe niqashi mbele ya wanafunzi wake
Asalaam alaykum mashekh tunaomba muiheshimu dini yetu mambo ya ikhtilaafu tuyaache kama yalivyo mungu atahukumu yeye kwanza mdahalo ni bidaa mtume hajafanya hivyo wala hakuamrisha mungu wetu tusijionyeshe kwamba tumesoma tutakosa mlipo mbele ya Allah fuata kile unacho ona ni sawa kwako ambacho huoni ni sawa alafu kina ikhtilaafu kiache mungu atuongeze inshaallah
Endelea kusoma
Mungu ataangalia elimu zetu ila ataangalia umeifanyia nini elimu yako je umeikusanya ili ulete mjadala au umeikusanya ili umfahamu mungu na utekeleze ibada zake wallah naapa kwa mungu kila mmoja atalipwa kwa nia yake إنما الأعمال بنيات فإنكان نيك تفخر والله أجزاك الله بنيك
Hizi TV za maibilisi haziwezekani
Number ushapewa .....acha papara piga hio number acha mbwembwe
Musiendeshe dini
Kwa kutafuta mshindi
Dini ni hikma"busara"maarifa" na subra
(Iyo nyumba ya peponi wataingia wale wasiopenda turumba Wala kujikweza
Yani wewndio umepaniki maana wew hd unatukana
Tusijadiliane na mmoja akiwa amekasirika, kwani tutashindwa kufika muafaka
Abuu khawla acha janja Janja ingia uwanjan
Hatutaki porojo nendeni kwenye mjadala.
Tatizo la kwnye mijadala ya ana kwa ana hakuna jaji wakusema fulan kashinda ndio mana wakishindwa hoja wanataka mjadala mambo yanakua mengi!!! Shekh kakubal katoa mashart yake nasis twasema hiv Mziwanda jibu hoja hizo hata chumban pekeako tuma tuskie alafu ndio waislam tuone kua unatosha kupoteza muda wetu kufatilia mjadala usiwe kama majaz bure?!
Mordy kafunguweni vitabu mkasome historia ya masalafi mziwanda hakijui awadanganya
Jamani wee mbona mambo yanakwenda hivi?
Si ukubali mtu mbili , unakimbia muongo mkubwa😢😢😢😢
NENDA KWENYE MJADALA WACHA KELELE
Wewe una muogopa sana mziwanda shekh kama upo vizuri mukutane bas
Huyu Shekhe Hana adabu mpumbavu kwani sana unatakanini hatukuelewi Tena uwache ushenzi Tena mufanye adabu na dini yetu washenzi sana hamuna hishma
Wewe pia umekosa hekima na adabu. Umetukana na kumuita sheikh Mpumbavu ndio nasaha ya dini hiyo? Ndiyo ulivyofundishwa matusi? Je unaweza kumuomba radhi sbb umepata dhambi. Tuache jazba tuwe waangalifu sana na masaala ya dini
Ameambiwa aj8bu mziwanda ni mpoteshaji
Sheikh number imetolewa weka mdahalo hata bila video tujue nani mshindi 🤣🤣🤣
Kelele nyingiiiii, piga namba munaqasha uwepo
Jibu hoja mziwanda
Twataka mjadala hakuna kubweka kma umbwa koko
Haya mziwanda twende sasa ww si kidume unaongea barazan hayatwende sasa mjibukijana wa thanawi kilakukicha naona anakuchapa tu ebuletemajibu ya kielimu ewekidume mziwanda wanaume huwa hawakai kimnya
Munaojiita mashekhe nyinyi
Munaenda wapi?
Jee mtume alifanya kazi ya dini kwa mfumo huu wa misutano nyinyi kwa nyinyi?
Jee maswahaba walifanya kazi ya dini kwa mtindo huu ?
Jee maimamu pia waliishi hivi?
Sikatai madhaifu yenu
Ila nashangaa mwapata nini kujianika mitandaoni
Huu ni mtihan shekh
Wacheni ujinga mashehe amepanik umeingia moyoni mwake
Huyuu nimwamba bwana mbona hutaki kufuata na babu deo umekataa huna umwamba wowote khaula
Sasa mbumbavu unamiita Nani ww mshenz ebu skiliza elimu ww Acha urofaa
Waislamu mizozo yanini jamani kwani sote fatuya zamtume hemu
Sisi hatukusikilizi bwana maana namb umepew
Mziwanda elimu yake ndogo au ni muongo kwa sababu kashindwa kujuwa historia ya masalafi ....katoa histria ya uwongo
Acha kubweka mitandaoni no umepewa abuu haula km jikanyage n ww ujikojolee km bachu 😂
Wewe abu kahula ushapewa number ya simu direct , chagua watu wa kamati yako wawasiliane na sheikh mziwanda , wapange munaqasha , wakubaliana masharti na munaqasha ufanyike , hizi kelele za kubwekabweka zinapoteza time , waumini wanataka kuona munaqasha WA KIELIMU face to face , sasa wogopa , kazi unajua ni kubweka faraghani.
Kwan Munaqasha Lazima iwe ana kwa ana.Hata Haya majibu Dhidi ya Mpinzan wako Ni Munaqasha pia.
Kwamba Mmoja anasema na mwngne anatuma Majibu na anauliza maswali kimtandao.
Lakin Munaqasha una masharti yake.Sio Kudai namba ya Simu.sijui kamati ziitwe.
Nadhani hii njia ya mtandao ni nzr zaid Kuliko minakasha kwan Minakasha mingi mwsho wake ni vurugu tu Watu wanaenda Na mtu wao hata kama Akikosea watamlinda tu na kumtetea.
Zikizingatiwa Kanuni Mbele ya mtawala Akiwepo Ima waziri mkuu,Au Rais,Au mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya na kusiwepo vitisho baina ya pande zote mbili haina shida.
Kwani kipnd anaongea MZIWANDA n hadharan au alimtumia Abuukhawla hiyo video kwnye sim Ajibu hadharan na yey huu sio muda wakuwanyanyua MASUFI mana waona fahar kuwa magazetini n kwnye ma tv tunajua.
Kama mziwanda angekuwa anataka huwo munaqash angesema asingetoa namba katoa namba ili kuzuga kama nimunaaqasha ufanyike kwenye simu asiiabike
Mwenye kutaka munaqasha ni abuu khaula na ndio maana anahitajia mashart ya kisheria yakamilike niqashi ifanyike hajaongea kiujumla kama mziwanda kuwazonga watu wasio elewa aonekane niqashi anaitaka lakini ukweli haitaki wala haiwezi maana hoja za kuthibitisha uongo wake anao wazushia masalafy
Na niqashi sio lazima iwe ya kukaa meza kwa meza hata kwa njia hii haqi inabainika mwenye hoja za kielimu ninani na mwenye maneno ya kujikweza ninani hapa tunajua ukweli mbivu na mbichi niqashi ieyendelee kwa njia hii kwani ningumu sana mashart kukamilika na mfano wake mziwanda anataka afuatwe kwake akanyiwe niqashi mbele ya wanafunzi wake
Hakuna Wahabi anaeweza kufanya Munaqash na Sheikh wa Kitwarika...Na akijaribu tu atadhalilika vibaya mno...Ndio ivo atabaki kuongea jikoni tu
Rudi kaskilize munaqasha wa shkh Abul Fadhl na makhurafi wa zanzibar, nyie mnakaa na mahizby hao kama nyinyi akili ndogo... 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mazezeta wa mitandaon wanajiita wasom, ujinga tupu, mtume alifanya upumbavu huo mnaofanya nyie?
Abuuu khaula hay mambo kujibizana mitandaon Kwa waislam hayapendezi shekh amekuomba munaqasha wewe unaogop nin ikiwa watetea haki
Acha kuongelea jikoni, Toka barazani we wahabi
Utajinyea we wahabi