SHEKH AACHISHWA KAZI YA UASKARI POLISI NA MUNGU | ATEMBEA KWENDA MAKKA KWA MIGUU KWA MIEZI SABA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • NI SHEKH ROCKET AU KUSWALI MNALEKE CHOTARA WA KIMAKUWA

Комментарии • 136

  • @mohdmohd2550
    @mohdmohd2550 Год назад +1

    ماشاء الله Yani Leo ndio nimejua ukweli ukweli hasa wa sheikh huyu, Allah ampe afya njema

  • @shariffhabshy6770
    @shariffhabshy6770 3 года назад +3

    Twakupenda sheikh wetu sheikh Rocket Mwenyeezi Mngu akuhifadhi.

  • @sheikhswedtwaibu7118
    @sheikhswedtwaibu7118 3 года назад +11

    MashaAllah! Katika Hija hizo 51 mimi nimesafiri nae mara 11 (nikiwa Kiongozi wake)

  • @bintybaba3486
    @bintybaba3486 3 года назад +8

    1928-2021 ma shaa Allah Allah akuzidishie umri wenye kheri na furaha from kenya

  • @hemedabdalla4171
    @hemedabdalla4171 Год назад +2

    Msiweke sauti zenyevinanda wekeni nashid kwa sauti ya chini,ambayo inawezesha maelezo kuisikia vizuri.

  • @isamony58
    @isamony58 Год назад +2

    nimtu mzuri sana kuswali mnaleke tuko jirani tu vijiji vyetu

  • @aaliamasachi9510
    @aaliamasachi9510 3 года назад +5

    Assalam alaykum warhmatullah wabarakatuh toeni miziki tumsikie sheikh mwenyewe miziki zakera jamaa

  • @just_this_way
    @just_this_way 3 года назад +3

    Huyo mzee nimepata stori zake sana na athari zake nzuti zimetapakaa sehemu nyingi hapa mtwara.

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад +3

    Shukraan Sana sheikh

  • @ShazriMussa
    @ShazriMussa 5 месяцев назад

    Alhamdulillah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @subiraboi9397
    @subiraboi9397 3 года назад +1

    Masha Allah tabaraka rahman wana kwetu wanamuita rocket

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Год назад +1

    MA SHAA ALLAH

  • @fatumatandika5849
    @fatumatandika5849 3 года назад +1

    MAASH ALLAH JAZAKALLAH KHEIR

  • @FahadMasoud-io4mb
    @FahadMasoud-io4mb 21 день назад

    Hata hatusikii vizuri

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 6 месяцев назад

    Tusikilize ngoma? Au tumsilize mzee wetu? ( roket)

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 года назад +4

    Hio miziki inamaana gan

  • @aminaibrahim4148
    @aminaibrahim4148 3 года назад +3

    Mashaallah

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 6 месяцев назад +1

    Wacheni kutia ngoma

  • @just_this_way
    @just_this_way 3 года назад +4

    Kaswida hiyo inazuia sauti kusikika.

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 12 дней назад

    Sasa tunasikiliza music

  • @abdul-rahmanfakijuma1879
    @abdul-rahmanfakijuma1879 3 года назад +1

    Maa Shaa Allwah

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂 hatar nimependa uvaaji wake 😅😅😅😅

  • @janimohammed143
    @janimohammed143 Месяц назад

    Mangoma ya nini sasa! Mnakera sana

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe 3 года назад +1

    Mashaallah Mashaallah

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 года назад +1

    Maa shaa allah

  • @consolatasamson9455
    @consolatasamson9455 Год назад

    Mashallah lafiki take marehemu babu waswali naleke

  • @alikadiriamswaha
    @alikadiriamswaha Год назад

    Mashaaala

  • @aminamsuri8762
    @aminamsuri8762 Год назад

    Mashaalaa mungu amsimamie

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 года назад +2

    Mbona hujamuuliza kwa miaka 51 kaenda hijja.Alikuwa na wafadhili wanamsaidia?

  • @albertdoherty9394
    @albertdoherty9394 2 года назад

    Maa shaa Allah tabarakallah

  • @an-nuurtv
    @an-nuurtv  3 года назад +3

    UTAKUWA HUJAMUELEWA VZR

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 года назад +2

    Huyu mzee toen namba yake au ya mtu wake wa karib

  • @SaidGonga-pk6yf
    @SaidGonga-pk6yf 10 дней назад

    Hana muujiza wala karama lolote.

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 3 месяца назад

    Kuna ukweli gan

  • @FahadMasoud-io4mb
    @FahadMasoud-io4mb 21 день назад

    Mziki mumeweka mkubwa

  • @MakaiKasala
    @MakaiKasala 2 года назад

    Wakati Mwingine mkiwa mnaanda kipindi msiweke sound track.. inasumbua usikivu.

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 3 года назад +1

    . Musituekeee ngoma.

  • @isamony58
    @isamony58 Год назад

    yani huyu mzee akiwa sitendi gari likampita basi nilazima litaaribika wanamuheshimu sana madureva uyu daluweshi mzee kuswali mnalekee

  • @munamuna781
    @munamuna781 2 года назад

    Pliz ondoweni hiyo music ili tumsikie maneno kwa usafi

  • @ustadhinuhu4251
    @ustadhinuhu4251 3 года назад

    Mesahau kuwa siriya munguipo kwaviumbewake

  • @abdallahmwakasege5405
    @abdallahmwakasege5405 2 года назад +1

    Mziki wa nini sasa. Umearibu ujumbe wore

  • @njonjolomahfudh3238
    @njonjolomahfudh3238 3 года назад +2

    masha ALLAH Allah akubakize na afya tele miak 93 na hija 51 kheri tupuuuuu

  • @islamjarwan1476
    @islamjarwan1476 2 года назад

    sasa hicho kinanda cha nini hatusikii vizuri zima tusikie ukimaliza hayo magujiano utawasha

  • @jesmirmohamed3467
    @jesmirmohamed3467 2 года назад

    sasa mumeeka miziki yanini twataka kuskia vizuri hayo maneno

  • @abdarahamanselemani6764
    @abdarahamanselemani6764 3 года назад

    Mziki nimeelewa Ila Mzee sijamuelewa kasema makha kwa miguu

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 2 года назад

    Izo kaswida zinatubabaisha siku nyengine msiziweke zinatuboa

  • @nasrabdallah3873
    @nasrabdallah3873 3 года назад

    Sasa mpaka mupige ngoma?

  • @saidsalim4524
    @saidsalim4524 2 года назад

    Tatizo mnaongeza sauti ya music mpaka hatusikii anaongea Nini

  • @radisafaa6676
    @radisafaa6676 3 года назад +1

    Mziki ondoa

  • @hilaljaffery4011
    @hilaljaffery4011 2 года назад

    Sauti ya iyo qaswida imeeondoa ladha

  • @jumaevarist9103
    @jumaevarist9103 2 года назад

    Miziki hiyo jaman unafanya nini

  • @salumally8316
    @salumally8316 Год назад

    Acheni kutia miziki inakera kweli huu ni upuuzi mtupu

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 2 года назад

    Mziki wa nini

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 2 года назад

    Huyu ni muarabu mbona anasema mmakonde jamani anakaa wapi nimeumia maskin Allah ampe umri

  • @mohamedsalim972
    @mohamedsalim972 3 года назад

    Uyu mzee Ana walakin katika dini anayo zungumza nikinyume na mafundisho yadini

    • @mikealeck6447
      @mikealeck6447 3 года назад

      Hiiiiiiii,Kama hujaelewa,Yulia.

    • @ikabako2454
      @ikabako2454 2 года назад

      Kwani Nabii Musa AS aliyaelewa mafunzo ya Khidr AS?

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 10 месяцев назад

      Ni shida kumuelewa kama huna imani ya kweli

  • @mwanajeshimkuuu7643
    @mwanajeshimkuuu7643 3 года назад

    Anakaaa wapi huyoo shekh

    • @an-nuurtv
      @an-nuurtv  3 года назад

      anapatika DSM au Mtwara

  • @kheiramour2973
    @kheiramour2973 8 месяцев назад

    Ondoeni mziki mtu anapozngumza

  • @rajabumbendenga5480
    @rajabumbendenga5480 3 года назад +4

    Hivi mnajua kuwa anachokizungumza ni makosa hivi anawezaje kuzungumza na Allah ikiwa aliyepata hiyo nafasi ilikuwa nabii musa pekee huu si uzushi

    • @ahmedmuhamed4379
      @ahmedmuhamed4379 3 года назад

      Kasome Acha ubishi

    • @rajabumbendenga5480
      @rajabumbendenga5480 3 года назад

      @@ahmedmuhamed4379 Labda unisomeshe wewe kunako AQIDAH maana umeona mimi nimekosea kusahihisha kosa lililo la dhahiri

    • @kheirameir6284
      @kheirameir6284 3 года назад

      Kasome dungu huyo nimiongoni mwa watu wema.acha kuandika mambo ya upagani.shehe yuko sawa.

    • @sudaissoud3670
      @sudaissoud3670 3 года назад

      Unaongea nae ktk swala

    • @rajabumbendenga5480
      @rajabumbendenga5480 3 года назад

      @@kheirameir6284 unaweza kunitajia wema waliotangulia ni nani na nani wameongea na Allah uso kwa macho km hujui kukaa kimya itakuwa ni bora zaidi

  • @mikidadially9773
    @mikidadially9773 2 года назад

    Punguza mziki mziki mkubwa sauti za msemaji hazisikiki

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 4 месяца назад

    babuuu au shekhee?????😂😂😂😂
    babu nasema ila sio kweli baadhi anadanganya

  • @abdikadirabdullahiaulabdia267
    @abdikadirabdullahiaulabdia267 2 года назад

    Ni mshirikina mkubwa

    • @mansurali109
      @mansurali109 2 года назад

      Chunga sana ulimi wako ndg yangu utakuja kupata matatizo makubwa usiyajue dawa yake kwa kuwadharau na kuwasema vibaya wachamungu.jiepushe sana kusema na kuwasimgizia wachamungu utapata shida sana ndg yangu

    • @tareqmarzowk1190
      @tareqmarzowk1190 Год назад

      @@mansurali109 mchamungu gani huyo mganga wa kienyeji vijana someni dini acheni kufata hawa wazee wapotevu masufi anaropoka hovyo hovyo anaongeaje na Allah ana Kwa ana

    • @user-mp4hk1vv1u
      @user-mp4hk1vv1u 10 дней назад

      Mganga wa kienyeji?
      Una uhakika na unachokisema?
      Acha uzushi ndugu yang
      Mimi namfahamu sana hajawah kuwa mganga wa kienyeji​@@tareqmarzowk1190

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 года назад

    Mkirikod watu wachen miziki

  • @tareqmarzowk1190
    @tareqmarzowk1190 Год назад

    Masufi bana mtihani sanaa Allah awaongoze huyu anakudanganyeni

    • @rastafare878
      @rastafare878 Год назад +1

      Kwa hivyo mkweli diamond Na Ali kiba au vipi ?

    • @tareqmarzowk1190
      @tareqmarzowk1190 Год назад

      @@rastafare878namuomba Allah akuondoe kwenye kiza za usufi na ujahiil

    • @ismailmsangule1380
      @ismailmsangule1380 Год назад +1

      Asiyejua maana haambiwi maana

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Год назад

      @@tareqmarzowk1190 hicho ni kibri,

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 10 месяцев назад +1

      ​@@tareqmarzowk1190ww unauhakika gani kama anadanganya tufikie wakati tuwe tyr kubadlika haki inpodhihir isiwe ni wapingaji tu

  • @albertdoherty9394
    @albertdoherty9394 2 года назад

    Hapo kusema anaongea na Allah moja kwamoja mmh

    • @mansurali109
      @mansurali109 2 года назад

      Sasa kinachokushangaza weye kitu gani.apo we kasome ndg yangu

    • @mansurali109
      @mansurali109 2 года назад

      Sass we kinachokushangaza weye nikitu gani apo kasome ndg yangu usifanye masiara na wacha mungu

    • @zuhurambonde1982
      @zuhurambonde1982 2 года назад

      Hujamuelewa hata wewe weka imani unapoomba Ni Kama unaongea na mwenyezi mungu live na majibu utayaona imani hujenga.

    • @ismailmsangule1380
      @ismailmsangule1380 Год назад

      Hawa wanaopinga huwenda wakamtilia mashaka na khidhri a.s

    • @aliomar1986
      @aliomar1986 Год назад

      Usibishe

  • @abdikadirabdullahiaulabdia267
    @abdikadirabdullahiaulabdia267 2 года назад

    Uwongo ni mchawi Hana lolote

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 Год назад

      Wew jamaa usimtuhumu kwa hilo una uhakika na hiyo tuhuma?

    • @ismailmsangule1380
      @ismailmsangule1380 Год назад

      Dhana mbaya unayoifikiria ni zaidi ya uchawi unaodhania

    • @husnaally7964
      @husnaally7964 Год назад

      Bora km hujapenda Kaa kimya usimdhanie mtu mabaya.kimya huleta salama.fikiria angekua Mzee wako sisi ndio tunasema hivyo ungejionaje?

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Год назад

    Masufi ni wapumbavu tu na wewe mwenye hii channel unaeneza upumbavu utakwenda kulizwa hizbiya mmoja wewe

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 года назад

    Kwenye dini hakuna qaswida ni mziki huo

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Год назад

    Toba mrongo huyo mzee

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Год назад

    Huyu ni hizbiya mpumbavu tu

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 10 месяцев назад +1

      Sizani mtu aliyekwenda hija 51 amazing atakuwa ni mpumbavu au anaejiona mwelevu aka wa ndio mpumbavu bila ya kujua

  • @nasrisaidi7175
    @nasrisaidi7175 2 года назад

    HUYO NI MCHAWI

    • @ramadhaniomary9241
      @ramadhaniomary9241 Год назад

      Haa wewe una matatizo na hujiwi Chochote katika Dini hujiwi mitume wote waliitwa wachawi mfano Nabii Musa na mtume Muhammad s,a,w

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Год назад

    Upumbavu wako Wacha urongo wajuwa makarama nini