Chunga sana ulimi wako ndg yangu utakuja kupata matatizo makubwa usiyajue dawa yake kwa kuwadharau na kuwasema vibaya wachamungu.jiepushe sana kusema na kuwasimgizia wachamungu utapata shida sana ndg yangu
@@mansurali109 mchamungu gani huyo mganga wa kienyeji vijana someni dini acheni kufata hawa wazee wapotevu masufi anaropoka hovyo hovyo anaongeaje na Allah ana Kwa ana
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER INSHALLAH SHEIKH
ماشاء الله Yani Leo ndio nimejua ukweli ukweli hasa wa sheikh huyu, Allah ampe afya njema
1928-2021 ma shaa Allah Allah akuzidishie umri wenye kheri na furaha from kenya
Twakupenda sheikh wetu sheikh Rocket Mwenyeezi Mngu akuhifadhi.
Allah akupe kheri shekhe
MashaAllah! Katika Hija hizo 51 mimi nimesafiri nae mara 11 (nikiwa Kiongozi wake)
MASHA ALLAH
Anapatikn wapiii huyo
@@mwanajeshimkuuu7643 DSM
@@mwanajeshimkuuu7643 anapatikana DSM
Tusaidie namba za shekh rocket au alienae karibu
Tusikilize ngoma? Au tumsilize mzee wetu? ( roket)
nimtu mzuri sana kuswali mnaleke tuko jirani tu vijiji vyetu
Msiweke sauti zenyevinanda wekeni nashid kwa sauti ya chini,ambayo inawezesha maelezo kuisikia vizuri.
Assalam alaykum warhmatullah wabarakatuh toeni miziki tumsikie sheikh mwenyewe miziki zakera jamaa
Sana,sasa sijui kwa nini ameiharibu hii video kwa kuweka muziki
Asante hatukusikia
Huyo mzee nimepata stori zake sana na athari zake nzuti zimetapakaa sehemu nyingi hapa mtwara.
Alhamdulillah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MAASH ALLAH JAZAKALLAH KHEIR
Masha Allah tabaraka rahman wana kwetu wanamuita rocket
Shukraan Sana sheikh
Mashaallah
Mashallah lafiki take marehemu babu waswali naleke
Mashaalaa mungu amsimamie
Kaswida hiyo inazuia sauti kusikika.
MA SHAA ALLAH
😂😂😂😂😂😂😂😂 hatar nimependa uvaaji wake 😅😅😅😅
Mashaaala
Maa Shaa Allwah
Hio miziki inamaana gan
Hata hatusikii vizuri
Mashaallah Mashaallah
Maa shaa allah
Wacheni kutia ngoma
UTAKUWA HUJAMUELEWA VZR
Elezea wewe ulivyoelewa thahbul_kissa
Maa shaa Allah tabarakallah
Kuna ukweli gan
Mola aku ongeze baraka kwenye umri wako
Sasa tunasikiliza music
Mangoma ya nini sasa! Mnakera sana
Mbona hujamuuliza kwa miaka 51 kaenda hijja.Alikuwa na wafadhili wanamsaidia?
masha ALLAH Allah akubakize na afya tele miak 93 na hija 51 kheri tupuuuuu
Huyu mzee toen namba yake au ya mtu wake wa karib
yani huyu mzee akiwa sitendi gari likampita basi nilazima litaaribika wanamuheshimu sana madureva uyu daluweshi mzee kuswali mnalekee
Kumbee😂
Subhna Allah
Pliz ondoweni hiyo music ili tumsikie maneno kwa usafi
Hana muujiza wala karama lolote.
Mesahau kuwa siriya munguipo kwaviumbewake
Mziki mumeweka mkubwa
Wakati Mwingine mkiwa mnaanda kipindi msiweke sound track.. inasumbua usikivu.
Mziki nimeelewa Ila Mzee sijamuelewa kasema makha kwa miguu
Mziki wa nini sasa. Umearibu ujumbe wore
sasa hicho kinanda cha nini hatusikii vizuri zima tusikie ukimaliza hayo magujiano utawasha
Acheni kutia miziki inakera kweli huu ni upuuzi mtupu
. Musituekeee ngoma.
Izo kaswida zinatubabaisha siku nyengine msiziweke zinatuboa
babuuu au shekhee?????😂😂😂😂
babu nasema ila sio kweli baadhi anadanganya
sasa mumeeka miziki yanini twataka kuskia vizuri hayo maneno
Tatizo mnaongeza sauti ya music mpaka hatusikii anaongea Nini
Mziki ondoa
Miziki hiyo jaman unafanya nini
Sasa mpaka mupige ngoma?
Sipendi kusikikiza ngoma aina yoyote
Sauti ya iyo qaswida imeeondoa ladha
Uyu mzee Ana walakin katika dini anayo zungumza nikinyume na mafundisho yadini
Hiiiiiiii,Kama hujaelewa,Yulia.
Kwani Nabii Musa AS aliyaelewa mafunzo ya Khidr AS?
Ni shida kumuelewa kama huna imani ya kweli
Ondoeni mziki mtu anapozngumza
Huyu ni muarabu mbona anasema mmakonde jamani anakaa wapi nimeumia maskin Allah ampe umri
Masufi bana mtihani sanaa Allah awaongoze huyu anakudanganyeni
Kwa hivyo mkweli diamond Na Ali kiba au vipi ?
@@rastafare878namuomba Allah akuondoe kwenye kiza za usufi na ujahiil
Asiyejua maana haambiwi maana
@@tareqmarzowk1190 hicho ni kibri,
@@tareqmarzowk1190ww unauhakika gani kama anadanganya tufikie wakati tuwe tyr kubadlika haki inpodhihir isiwe ni wapingaji tu
Anakaaa wapi huyoo shekh
anapatika DSM au Mtwara
Mziki wa nini
Punguza mziki mziki mkubwa sauti za msemaji hazisikiki
Masufi ni wapumbavu tu na wewe mwenye hii channel unaeneza upumbavu utakwenda kulizwa hizbiya mmoja wewe
Ni mshirikina mkubwa
Chunga sana ulimi wako ndg yangu utakuja kupata matatizo makubwa usiyajue dawa yake kwa kuwadharau na kuwasema vibaya wachamungu.jiepushe sana kusema na kuwasimgizia wachamungu utapata shida sana ndg yangu
@@mansurali109 mchamungu gani huyo mganga wa kienyeji vijana someni dini acheni kufata hawa wazee wapotevu masufi anaropoka hovyo hovyo anaongeaje na Allah ana Kwa ana
Mganga wa kienyeji?
Una uhakika na unachokisema?
Acha uzushi ndugu yang
Mimi namfahamu sana hajawah kuwa mganga wa kienyeji@@tareqmarzowk1190
Hivi mnajua kuwa anachokizungumza ni makosa hivi anawezaje kuzungumza na Allah ikiwa aliyepata hiyo nafasi ilikuwa nabii musa pekee huu si uzushi
Kasome Acha ubishi
@@ahmedmuhamed4379 Labda unisomeshe wewe kunako AQIDAH maana umeona mimi nimekosea kusahihisha kosa lililo la dhahiri
Kasome dungu huyo nimiongoni mwa watu wema.acha kuandika mambo ya upagani.shehe yuko sawa.
Unaongea nae ktk swala
@@kheirameir6284 unaweza kunitajia wema waliotangulia ni nani na nani wameongea na Allah uso kwa macho km hujui kukaa kimya itakuwa ni bora zaidi
Hapo kusema anaongea na Allah moja kwamoja mmh
Sasa kinachokushangaza weye kitu gani.apo we kasome ndg yangu
Sass we kinachokushangaza weye nikitu gani apo kasome ndg yangu usifanye masiara na wacha mungu
Hujamuelewa hata wewe weka imani unapoomba Ni Kama unaongea na mwenyezi mungu live na majibu utayaona imani hujenga.
Hawa wanaopinga huwenda wakamtilia mashaka na khidhri a.s
Usibishe
Uwongo ni mchawi Hana lolote
Wew jamaa usimtuhumu kwa hilo una uhakika na hiyo tuhuma?
Dhana mbaya unayoifikiria ni zaidi ya uchawi unaodhania
Bora km hujapenda Kaa kimya usimdhanie mtu mabaya.kimya huleta salama.fikiria angekua Mzee wako sisi ndio tunasema hivyo ungejionaje?
Mkirikod watu wachen miziki
Mashallah tuswali naleke
Kwenye dini hakuna qaswida ni mziki huo
HUYO NI MCHAWI
Haa wewe una matatizo na hujiwi Chochote katika Dini hujiwi mitume wote waliitwa wachawi mfano Nabii Musa na mtume Muhammad s,a,w
Huyu ni hizbiya mpumbavu tu
Sizani mtu aliyekwenda hija 51 amazing atakuwa ni mpumbavu au anaejiona mwelevu aka wa ndio mpumbavu bila ya kujua
Upumbavu wako Wacha urongo wajuwa makarama nini
Toba mrongo huyo mzee