Ee Mola wangu nakuomba unifanyie wepesi nami niweze kufika makka na madina nipate kudhuru kaburi la Mtume wako na Mtume wetu Muhammad S.A.W, nakuomba Mola wangu kwa uwezo wako niweze kufika nikiwa hai, Amiin
Mashallah sheikh Rocket ndie huyu. Mashallah Mungu Allah ampe umri. Namkumbuka mwaka 1977 nilikuwa kijana wa mdogo miaka 21 nilikiwa na tatizo lilitokana na husda baada ya kuchaguliwa nafasi ya kisoma Rubani India. Nikamuona mtaa wa Lumumba watu wakiwa wamejazana wakimsikiliza akiwa ameshika bendera yake. Basi nikamfuata aniombee dua basi akanishika kichwa na kuniombea na mashallah tatizo langu lilitanzuka.
Inshaallah allah nijalie nifike inshallah
Mungu ampe maisha marefu uwe mfano wakuigwa
Mash allah tabarak rahman allah wajalie jamii muslimin wa muslimat awajalie woote wafike hapa mahali patukufu amin
Mungu akulinde naakuongoze ww bint mdogo kuliko wote kwenda kuiji
İnshaAllah, Allah Akinijalia mwaka ujao ntakwenda.sina chochote laakin naweka niya.Allah Anijaliye na Awajalie waislamu wengine pia
Subhaanallah nina ham ya kutekeleza ibada ya hijja in shaa Allah
Mashaallah Allah nijaalie na Mimi nitimize nguzo hii
Amiin
Nimemuona babu kuswali nnaleke 🥰🥰🥰
Kumbe unamjua eee?
@@just_this_way eeee anatoka kijijini kwetu
Natamani sana kumjua zaidi.
@@just_this_way anapatikana ukimuhitaji kumuona yupo kijijini ukipata nafasi kamuone
Ee Mola wangu nakuomba unifanyie wepesi nami niweze kufika makka na madina nipate kudhuru kaburi la Mtume wako na Mtume wetu Muhammad S.A.W, nakuomba Mola wangu kwa uwezo wako niweze kufika nikiwa hai, Amiin
Masha allaah
Inshaallah Nass wengine Allah atujaalie kipato tufike sehemu tukufu
Yaa Allah tujalie na sisi tuweze kufanya hii ibaada kabla ya kuondoka duniani
Mashallah mashallah nakuomba Allah nasi utiwafikishe ammin
Amiin
MashaaAllah kumbe huyu ndie Daruwesh bendera
Mashallah sheikh Rocket ndie huyu. Mashallah Mungu Allah ampe umri. Namkumbuka mwaka 1977 nilikuwa kijana wa mdogo miaka 21 nilikiwa na tatizo lilitokana na husda baada ya kuchaguliwa nafasi ya kisoma Rubani India. Nikamuona mtaa wa Lumumba watu wakiwa wamejazana wakimsikiliza akiwa ameshika bendera yake. Basi nikamfuata aniombee dua basi akanishika kichwa na kuniombea na mashallah tatizo langu lilitanzuka.
Allah nijaalie Mimi hata mfano wa maisha yake kiumbe wako huyu
MashaALLAH, ALLAH akukubalie hija zako
@@abubakarminya2329 mikutafuteje sasa
😁😁😁😁😁😁
hijja ni moja tu
Zengine ni nini sasa
Umrah
Mashaalah
Ewe allah tujaalie nasi tufike miji mitukufu
Amiin
@@sakinat2527 shukran
Afwan
@@sakinat2527 ok
Amin
Sharifu hajui kiarabu maajabu haya uchawi mbaya
Miss Makkah 😭😭😭
MA'ASHALLAH.
اللهم طول عمره
Du! Hata mm sintabaki nyuma Allah akiniwezesha
Sema!! Inshaallah
MASHA ALLAH iyo ni barqa .
Alhamundulillaah huyu mzee nilikua namsikia tu khabar zake
In Shaa Allah at 40years.
Mashaallah Daruweshi
My father kila la kheri Inshaalh
Hakuna muislamu mwenye hijja hamsini hijja ni moja tu umri wako wote
Maashaalah
Mashaallah
hijja Mara moja yatosha saidia wengine nao waipate
MashaAllah
Jmn natamani siku moja NA mm nifike huji jmn. Yarrab nijaalie mie
inshaallah
@@heyumi2340 usichoke kuomba mungu
@@abubakarminya2329 inshaallah wala sichoki Alhamdullillah
@@heyumi2340 usinisahau mm pia kuniombea ninatamani sana
In shaa Allah
Huyu Shekhe nimejaribu kumfuatilia sana
Nipe khabari zake kidogo
mzeee kuswali mnaleke nimtu wakwetu mtwara
Kwa pale Dar es salaam kariakoo ni jirani yng na babu yng mzee Daruwesh
kuswali nnaleke kuna mengi wanamzuria huyu mzee ambayo kiukweli hayako sawa
Kwani nikiasigan nauli
Nami nataman kufika kwakweli 😧
corona saudia vipi
uyuu likimuacha gari basii atakuwa wakwaza kufika yy kuliko garii lililo muachaa huyuu ndie daluweshii wakusini
Ss anakwenda kwa dua au vp
Jamaa aitikia amin kilaneno hhhh😇😇😇😇😇😇😂😂😂😂😂😂😂 muarab asem wasuud niwazur nawatu waupendo jamaa asema aamin 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwahy kakosea ?
@@kutailadifi2854 jiulize
Nmekuuliza kwa kua Mm sjaona
Jaman hii vedio ya mwaka gani????
Maana hakuna hajj hivi sasa
Mwaka huu ipo isha Allah Ila mwaka jana tu haikuwepo kwa walio nje ya saudi arabia,Ila ninachoshangaa wamevaa barakoa
2009
Mashaallah
Mashaallah