Jazzakallhau ustadh,, nimekua muadhiriwa wa kutawadha nikimaliza kuoga ila kuanzia leo sitawahi manake nimejua,,, shukran sana ustadh Allah akulipe kher n ufahamu zaidi uzidi kutuelimisha 🙏🙏
Jazzaka KHEIR SHEIKH wetu best....naamini ukiwa rais utatoa ushuru...and it's high time kenya to have a Muslim PRESIDENT....who has Akhlaq and Taqwa and my vote goes to this sheikh....and sheikh juma Amir.
Ndio yafaa mtume wetu alikua akiwabusu wakeze ila mahali pa kubusu ni mfno paji LA uso mkono yaan epuka kupiga busu lile linawwza leta hisia baina yenu wallah aalam
Asallam alleikum ustadh nlikua nauliza mtu akithawadha kama ushamaliza kuoga kamba hujava anguo kwasababu pahali tulipo room n achoo kabisa maji yamo ndani sasa nisawa kutawadha ukimaliza kuiga kabla hujavaa nguo ??
Sheikh Mimi sina wasiwasi na kutawadha tuputupu maana najua linakubalika.. swali langu lingekuwa.. je yafaa kutawadha tuputupu mbele ya mkeo??? Yafaa ama haifai tu maana kuvunjiana udhu ni jambo la kawaida....
Huyu si Sheikh ni comedy, aliulizwa very simple inafaa kutawadha ulkiwa uchi, jawabu ilikua ajibu inafaa au Haifai na atoe dalili, lakini ameongea maneno ya upuzi eti ukifaa Leso rising Fulani watu watakuelewa vibaya au ukiva pant watu watu wanaona sijui kitugani,Mashshekhe wakiswa wakiulizwa swali wanajibu simple & clear wakitoa ushahidi wa Aya au Hadithi.
فوضوء الشخص وهو عارٍ في الحمام، ولا أحد معه، جائز وصحيح، لكن الأفضل تركه؛ لأن خلع الملابس لا ينبغي أن يكون إلا في وقت الحاجة إليه، كما يكون في أثناء الغسل، فقد روى الترمذي، وأبو داود، وأحمد عن معاوية بن حيدة أنه سأل رسول الله صلى الله عليه وسلم قَالَ: قُلْتُ: يَا رَسُولُ الله، عَوْرَاتُنَا مَا نَأْتِي مِنْهَا وَمَا نَذَرُ؟ قالَ: "احْفَظْ عَوْرَتَكَ، إِلاّ مِنْ زَوْجَتِكَ، أَوْ مما مَلَكَتْ يَمينُكَ"، فَقَالَ: الرّجُلُ يَكُونُ مَعَ الرّجُلِ؟ قالَ: "إن اسْتَطَعْتَ أَنْ لاَ يَرَاهَا أَحَدٌ، فَافْعَلْ"، قلت: فالرّجُلُ يَكُونُ خَالِيًا، قالَ: "فَالله أَحقّ أَنْ يستحيا مِنْهُ". قال الترمذي: حسن. والله أعلم.
@@eidduke7911 sikiliza brother ninaushshidi wakusema huyo mzungumzaji aliongea upuzi, swali lilikua very simple he yafaa kutawadha ulkiwa uchi, jawabu iwe inafaa au Haifai na atoe dalili za Hadithi Sahiih, lakini ameongea maneno mengi hata akesema wanawake wakiwa pamoja uchi wao ni kama wanaume kutoka kitovu mpaka magoti, inamaana wanawake wakiwa pekeyao wanaweza kua virus wazi, na akasema wanawake chungeni kunawengine niwanawake lakini siwanawake na kama hamuelewa niachieni mwenyewe, akasema kuna watu wengine wakiona mapaja kama sijui kitu gani, pia akasema wanaume chungeni kujifunga leso mukisoea mutadhaniwa vengine. Wewe kama kweli unatafakari maneno huyo aliyoyaongea yanshusiana na nini kuhusu swali la kutawadha uchi? Mimi nasema hivyo ameongea upuzi Kwa sababu nimeshaona clips zake nyinyi Sana maneno yake mengi bila Hadithi au Ayah na nawanabisha ndugu zetu Waislam ambao elimu zao za dini nichache wajiepushe na watu kama hawa. Siikilizeni Mashekhe wa kisawa wakiulizwa maswali wanajibu direct na kutoa dalilii za Hadithi Sahiih na Ayah
Mm nakuomba nduguyangu napenda ujue mm sitoi fatwa kabisa najibu tuu suali. Na nakuomba na nitafurahi kama nimekosea sehem inirakibishe pls. Mola.akubarikie. shukran sana
Nikawaida Kwa Baadhi Yawatu Kuwa katika Kundi La Nzi Kutua Kwenye Uchafu Navidonda. Nilazima Tujilekebishe Tuwe Kundi La Nyuki Kupenda Kutua Kwenye Maya Namiti Mizuri.
Katika Hadithi Al-Qudsy iliyopokewa na swahaba Abu Hurayrah, Radhi za Allah ziwe juu yake Anasema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ: كُلُّ عَمَلِ ابْنِ آدَمَ يُضَاعَفُ الْحَسَنَةُ عَشْرُ أَمْثَالِهَا إِلَى سَبْعمِائَة ضِعْفٍ ، قَالَ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ : إِلا الصَّوْمَ فَإِنَّهُ لِي وَأَنَا أَجْزِي بِهِ] رواه البخاري ومسلم] [Kila tendo la mwanadamu huongezwa malipo ya wema wake mara kumi ya mfano wa jema hilo alilolitenda mpaka hufikia kuongezwa hadi nyogeza mara sabiini. Anasema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Isipokuwa saumu, kwani hiyo saumu ni yangu mimi, na mimi ndiye mwenye kutoa malipo yake; (mja wangu) anaacha matamanio yake na chakula chake kwa ajili yangu. Katika kufunga saumu kuna furaha mbili: furaha (ya kwanza) ni pale anapofungua saumu aliyefunga, na furaha (ya pili) ni wakati (aliyefunga) atakapokutana na Mola wake. Na harufu inayotoka kwenye kinywa cha aliyefunga ni nzuri sana mbele ya Mwenyezi Mungu kushinda harufu ya miski] [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]
Huyu si Sheikh wala si Ustadhali, nicomedy anaongea maneno out of topic, aliulizwa jee inajuzu kutawadha ulkiwa uchi, jawabu ilikua ajibu inafaa is Haifai na atoe dalili ya Hadithi au Aya. Hayo aliyoyaomgrea yote upozi siju ukifinga Leso pahali pengine watu watakuelewa vibaya au ukiva pant watu wakiona mapaja sijui kama wameoma nini. Mashekhe wakikweli wakiulizwa maswali wanajibu Kwa ufupi na watoa dalilii za Hadith sahiih na Aya.
Sasa hapo ww hujamuelewa nini! Ebu anza na upya kuangalia tena, mbon kila kitu kaongea vzuri, jaribu kuangalia vzuri hope utaelewa, kingine kiongozi hasa wa dini ana heshima kubwa, kwahy angalia lugha zako, huwezi kumuita huyu si shekhe wala si kiongozi, unajua kama hizo ni dharau zilizopitiiza
Ooooooh my goodness!!!..Nini faida yake Sasa? Fundisha watu elimu ya peponi iwasaidie kuliko kuwakosesha maana kipofu akimwongoza kipofu ni shimoni... mwili ni wa kufa na kuoza mwishoe.kuoga mwili mwishoni kaburini.osheni roho zenu zitaishi zikiwa safi milele ,huu ni uganga unao funza hapa bana.hii elimu gani hii braza?
Aisee apo umetuweka sawa kabisa shekh. .....big up sana kwa aliye uliza swali.....
Jazzakallhau ustadh,, nimekua muadhiriwa wa kutawadha nikimaliza kuoga ila kuanzia leo sitawahi manake nimejua,,, shukran sana ustadh Allah akulipe kher n ufahamu zaidi uzidi kutuelimisha 🙏🙏
Congratulations Sana tu kwa alie uliza hilo swali, Allah barik nimefaidika kwa kweli.
MashaAllah
Asalam alaykum
Waleykum salam
Vp
MashaAllah izudin wapenda kucheka la kwanza la pili theko Kama mm...mungu atujaalie tuingie peponi na kucheka hvo hvo
Ameen thuma Ameen
Mashaallah.. Hakika mawaidha hya yamenipunga sana. Allah azid kukubariq, sheikh wangu!
Jazzaka KHEIR SHEIKH wetu best....naamini ukiwa rais utatoa ushuru...and it's high time kenya to have a Muslim PRESIDENT....who has Akhlaq and Taqwa and my vote goes to this sheikh....and sheikh juma Amir.
@@generalidiamindada25 ndoto tamu namna hii kaota usiku au mchana?
@@simonkariuki9689 KENYA MNA UKABILA NA UDINI.
May our dreams come true, pia mm natamani kuwe Na president Muslim, inshaallah Na Ramadhan hii Allah atutakabalie dua zetu
@@chunaamina8719 Ameen
Amka acha kuota😂😂
Mashaallah shekh nampenda sana kawa dara zake allaah akupe umri na afyaa utpe nasaha
Allah akuhifadhi nakupenda sana shekhe wetu
Hata Mimi nilikuwa nataka sana kujua hili shukrani sheikh
Nakupenda kwa ajili ya Allah...Shukran kwa mawaidha
Jazzakallahu kheiran sheikh.. Ramadhan mubarak..may Allah accept our ibadha
Mwenyezi Mungu akujalie nilikua
Jazzakahllahu kheir ustadh tupo wengi ambao tulitaka kujua amefanya vizur kuuliza
Mashaallah tabaraka Allah nimecheka cna Allah akuzdshie elimu inshaallah
Thank Sheikh pia mm kila nikisali sikos fikira kibao kwel 🥲🥲
Shukran sheikh.Allah akulipee zaidi
Haya basi oga janaba na nguo bas oga janaba ukiwa na kanga .....leso kanga ni mavazi ya kike bana haifai kwa mwanamme kuvaa we wa wapi weeee
Mashaalla mungu akulinde
mashaAllah shukraan sanaaa ustadh
Nakubali
Asante sheikh
Subhana Allah, Allah aziuge uge swala zetu, Amin ya Rabbi.
Toka.urudi.sowti.haiyitowi.vizuri.yiko.chini.sana.murekibishe
Ameen ya Rabbi 🙏🙏
Amin
🤣🤣🤣🤣🤣kweli kabisa sheikh wangu
Vipi shekh kutawadha chooni inafaa
Masha Allah ustadha tunafaidika na mawaidha yako, lakini pia subhana Allah napata kucheka hatakama sina furaha hupata kufurahi kwa maneno yako😄
Ustadh mwanamume
Ustadha mwanamke
Rahma
Sheitwan anaitwa Khunzaab
Naam maan mi nafanya ivo sana hsa wakat wa swala ya subh nakoga na kutawadha kabl ya kuvaa kabsaaa
Achana na elimu bure za mwili wa kufa na kuoza taka kujua elimu ya rohoni ambayo ni ya kuishi milele na milele amina
Mimi pia nafanya hivi
@@simonkariuki9689 ELIMU YA KIROHO NI IPI????
@@simonkariuki9689 KWANI WEWE DINI GANI????
@@salimsaid7200 hii ndio Muhammad alibadilisha
Asante shekh
Masha Allah darsa zuri ila nauliza ikiwa mtu amefunga jee akiingia Nyumbani yafaa kumbusu mkewe
Ndio yafaa mtume wetu alikua akiwabusu wakeze ila mahali pa kubusu ni mfno paji LA uso mkono yaan epuka kupiga busu lile linawwza leta hisia baina yenu wallah aalam
Asante pia nimejua@@tausiramadhan7927
Jazzak'Allahu kheir sheikh
Shekh umeongea ukwel me pia hunitokea vimawazo kwenye swala
Shukran nimekuelewa
Jazakahllah
Kweli kabisa shukurani kwa mwenye ameuliza hilo swali
Farida
asalam alley kum nashukuru darsa lako zuri mashallah linaelimisha ila sheikh mbona haumalizi hiyo mada iliyofuata hatujaipata unatunyima raha
Sawa tumeelewa sana sanina
MashaAllah, shukran
Allah akuzidishie kila ulipo pungukiwa
Jazaka Llahu kheir
Shukran kwa mafundisho ustadh
A.alamu alaykum je sheikh inafaa kutia udhu chooni
mashallah umepewa hikma Shekh
Yasalaam
MASHA ALLAH ALEIK
We zuka kweli
@@KhamisiMulusi shukran sana
Mkn
Shukran kwa faida niloipata
Vp
Asallam alleikum ustadh nlikua nauliza mtu akithawadha kama ushamaliza kuoga kamba hujava anguo kwasababu pahali tulipo room n achoo kabisa maji yamo ndani sasa nisawa kutawadha ukimaliza kuiga kabla hujavaa nguo ??
Amesema hata ukitawadha na chupi ama tuputupu nisawa ukiwa pekeako
Bora umewahi kuuliza mana mm napenda nikitoka kuoga ndonatia udhu
hata mimi hivyo hivyo
@@mwanahawaomarimashaka197 na mm nilikuwa nataka kujua hili
@@MohammedAli-vq2dk sikiza vizur
Hahahahhhhah!!!! Eti akala nduki 4:50
MashaAllah 🔥
mashallah
masha'Allah
Shukraan jazakAllah kheir
Sheikh Mimi sina wasiwasi na kutawadha tuputupu maana najua linakubalika.. swali langu lingekuwa.. je yafaa kutawadha tuputupu mbele ya mkeo??? Yafaa ama haifai tu maana kuvunjiana udhu ni jambo la kawaida....
Mungu akuweke unatuelimisha mashallah
Manshallah shukran
Huyu ni commedian
Mashallah
Masha Allah
Masha allah alie uliz hlo swl
Mashallah Allahu Barik
Nam shekh tumepta faida
Mashaa Allah swali zur hili
Asalam alaykum
Munira hujambo
Pia ningependa kujua mahali alitoa huyu Sheikh xadithi "Lau si haya wanawake wangetubaka njiani".......
Je yafaa kuswali na kanzu tupu
Wacha wazimu wewe
Inshort yafaa kutawadha uchi
Mm naulizaa ukiwaa kweny swalaa na ukawaa wawazaa kuziniii unabidii ukatishee swala ama inaswiii kuendeleaaa nayoo
Duuh🙆♂️
Mola tuongeza kw yale mema
Unaacha swala unaanza upya
Hakun mtu ambae hawazi kabisa kwenye swala, cha msingi unatakiwa urudishe fikra zako na mawazo yako tena kweny swala
Swali zuli sana hili majibu sasa
Mtu awe mwanmke au mwanaume anaweza kutawadhi uchi,,,kwasababu kusitiri Aurah ni shardi miongoni mwa shurud za Salah bali si shardi kwa wudhu
Alkhanzab
Hahaha akala nduki🤣🤣🤣🤣
SubhanAllah
Nisaidieni number ya shekh Izudi
@@HalimaKa-u3l +254772611120
+255750611170
Swali moja majibu 100 ata sijui nishike lipi
🤣🤣🤣
Huyu si Sheikh ni comedy, aliulizwa very simple inafaa kutawadha ulkiwa uchi, jawabu ilikua ajibu inafaa au Haifai na atoe dalili, lakini ameongea maneno ya upuzi eti ukifaa Leso rising Fulani watu watakuelewa vibaya au ukiva pant watu watu wanaona sijui kitugani,Mashshekhe wakiswa wakiulizwa swali wanajibu simple & clear wakitoa ushahidi wa Aya au Hadithi.
Acha bifu bro. Kama huna cha kucomment bora ukae kimya.hakuna upuzi aliongea.
فوضوء الشخص وهو عارٍ في الحمام، ولا أحد معه، جائز وصحيح، لكن الأفضل تركه؛ لأن خلع الملابس لا ينبغي أن يكون إلا في وقت الحاجة إليه، كما يكون في أثناء الغسل، فقد روى الترمذي، وأبو داود، وأحمد عن معاوية بن حيدة أنه سأل رسول الله صلى الله عليه وسلم قَالَ: قُلْتُ: يَا رَسُولُ الله، عَوْرَاتُنَا مَا نَأْتِي مِنْهَا وَمَا نَذَرُ؟ قالَ: "احْفَظْ عَوْرَتَكَ، إِلاّ مِنْ زَوْجَتِكَ، أَوْ مما مَلَكَتْ يَمينُكَ"، فَقَالَ: الرّجُلُ يَكُونُ مَعَ الرّجُلِ؟ قالَ: "إن اسْتَطَعْتَ أَنْ لاَ يَرَاهَا أَحَدٌ، فَافْعَلْ"، قلت: فالرّجُلُ يَكُونُ خَالِيًا، قالَ: "فَالله أَحقّ أَنْ يستحيا مِنْهُ". قال الترمذي: حسن.
والله أعلم.
@@eidduke7911 sikiliza brother ninaushshidi wakusema huyo mzungumzaji aliongea upuzi, swali lilikua very simple he yafaa kutawadha ulkiwa uchi, jawabu iwe inafaa au Haifai na atoe dalili za Hadithi Sahiih, lakini ameongea maneno mengi hata akesema wanawake wakiwa pamoja uchi wao ni kama wanaume kutoka kitovu mpaka magoti, inamaana wanawake wakiwa pekeyao wanaweza kua virus wazi, na akasema wanawake chungeni kunawengine niwanawake lakini siwanawake na kama hamuelewa niachieni mwenyewe, akasema kuna watu wengine wakiona mapaja kama sijui kitu gani, pia akasema wanaume chungeni kujifunga leso mukisoea mutadhaniwa vengine.
Wewe kama kweli unatafakari maneno huyo aliyoyaongea yanshusiana na nini kuhusu swali la kutawadha uchi?
Mimi nasema hivyo ameongea upuzi Kwa sababu nimeshaona clips zake nyinyi Sana maneno yake mengi bila Hadithi au Ayah na nawanabisha ndugu zetu Waislam ambao elimu zao za dini nichache wajiepushe na watu kama hawa. Siikilizeni Mashekhe wa kisawa wakiulizwa maswali wanajibu direct na kutoa dalilii za Hadithi Sahiih na Ayah
Lkn jibu si alishalitoa hata ukiwa na Chupi yafaa sharti uwe peke yako
Alisha jibu kama hujaelewa mtafute imam wako umuulize akupe jibu direct. Hayo mengine hayakuhusu mwachie yeye na mungu wake.
Shukran sana
🙏🙏🙏🙏💪
Allahu akbar
Shekhe huyu fatwa zake zingine hutoa kichwani mwake tu
Ilimradi tu aonekane hashindwi na maswali
Ni hatari sana huyu kwa mmaendeleo ya dini yetu
Mm nakuomba nduguyangu napenda ujue mm sitoi fatwa kabisa najibu tuu suali. Na nakuomba na nitafurahi kama nimekosea sehem inirakibishe pls. Mola.akubarikie. shukran sana
Nikawaida Kwa Baadhi Yawatu Kuwa katika Kundi La Nzi Kutua Kwenye Uchafu Navidonda. Nilazima Tujilekebishe Tuwe Kundi La Nyuki Kupenda Kutua Kwenye Maya Namiti Mizuri.
Je sheikh uko na number ya whatsapp?nataka kuuliza swali bt si hapa.
+254772611120
+255750611170
@@IzudinAlwyDin shukran sheikh
Aslam alykum je shekh kutia udhu chooni inafaa
خزکللله خیر
Jazakah Laah Kheir
Mbona sauti haina kwangu
Hata mimi
Hata kwangu
Kuna Nabii mwingine anzo hizi vitu ama ni Mohammad pekee
Hata nabii Isa (A.S) alifundisha
WEWE DINI GANI KARIUKI.
Leso ni unisex😂😂😂
Katika Hadithi Al-Qudsy iliyopokewa na swahaba Abu Hurayrah, Radhi za Allah ziwe juu yake Anasema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ:
كُلُّ عَمَلِ ابْنِ آدَمَ يُضَاعَفُ الْحَسَنَةُ عَشْرُ أَمْثَالِهَا إِلَى سَبْعمِائَة ضِعْفٍ ، قَالَ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ : إِلا الصَّوْمَ فَإِنَّهُ لِي وَأَنَا أَجْزِي بِهِ] رواه البخاري ومسلم]
[Kila tendo la mwanadamu huongezwa malipo ya wema wake mara kumi ya mfano wa jema hilo alilolitenda mpaka hufikia kuongezwa hadi nyogeza mara sabiini. Anasema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Isipokuwa saumu, kwani hiyo saumu ni yangu mimi, na mimi ndiye mwenye kutoa malipo yake; (mja wangu) anaacha matamanio yake na chakula chake kwa ajili yangu. Katika kufunga saumu kuna furaha mbili: furaha (ya kwanza) ni pale anapofungua saumu aliyefunga, na furaha (ya pili) ni wakati (aliyefunga) atakapokutana na Mola wake. Na harufu inayotoka kwenye kinywa cha aliyefunga ni nzuri sana mbele ya Mwenyezi Mungu kushinda harufu ya miski] [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]
Huyu si Sheikh wala si Ustadhali, nicomedy anaongea maneno out of topic, aliulizwa jee inajuzu kutawadha ulkiwa uchi, jawabu ilikua ajibu inafaa is Haifai na atoe dalili ya Hadithi au Aya.
Hayo aliyoyaomgrea yote upozi siju ukifinga Leso pahali pengine watu watakuelewa vibaya au ukiva pant watu wakiona mapaja sijui kama wameoma nini.
Mashekhe wakikweli wakiulizwa maswali wanajibu Kwa ufupi na watoa dalilii za Hadith sahiih na Aya.
Sasa hapo ww hujamuelewa nini! Ebu anza na upya kuangalia tena, mbon kila kitu kaongea vzuri, jaribu kuangalia vzuri hope utaelewa, kingine kiongozi hasa wa dini ana heshima kubwa, kwahy angalia lugha zako, huwezi kumuita huyu si shekhe wala si kiongozi, unajua kama hizo ni dharau zilizopitiiza
Ooooooh my goodness!!!..Nini faida yake Sasa? Fundisha watu elimu ya peponi iwasaidie kuliko kuwakosesha maana kipofu akimwongoza kipofu ni shimoni... mwili ni wa kufa na kuoza mwishoe.kuoga mwili mwishoni kaburini.osheni roho zenu zitaishi zikiwa safi milele ,huu ni uganga unao funza hapa bana.hii elimu gani hii braza?
VIPOFU NI NYINYI BINADAMU UNAITWA KONDOO MBELE YA BABAKO NA MAMAKO NA MKEO NA WATOTO WAKO UNA FURAHI KWELI NYIE ( MAKONDOO WEUSI )
Simon kama wewe sio muislamu usingilie dini za watu .
@@lexygeisar8303 pole dugu Kama nimekukwaza.ila binadamu Alie Kama Mimi anahaki kujulishwa ajue ukweli
@@lexygeisar8303 Asante Lexy kwa kwa mawaidha yako. lakini hii yenu Ni noma kweli ina maajabu sio haba
We hata pastor hajawahi kukufunza kutamba ,mwanuka mavi
Mashallah
Mashallah