KWANINI HAVITOKEI KWA WAKATI MAOMBEZI(XIII) - PASTOR SUNBELLA KYANDO & PASTOR JOHN SEMBATWA
HTML-код
- Опубликовано: 13 ноя 2021
- UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RUclips: ruclips.net/channel/UC67L...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando RUclips
/ @pastorsunbellakyando
Kenya we are always watching
Nashukuru sana MUNGU na mimi nanena kwa lugha
A memorable Day in My Life..Thank you Jesus For this Grace.I wanna Go with you in This Journey and accomplish what you made me for and do and follow your ways Forever..In the Mighty Name Of JESUS.AMEN❤️🙏
Amen mtumishi barikiwa sana
Nafuatilia sana mafundisho yako mchungaji na naendelea kuwa kiroho. Barikiwa sana
Niko Ufaransa nimeokoka nawafuatilieni kila siku
Hii ni ajabu sana mafundisho yenu kwetu yanagusa maeneo karibu yote ya maisha yangu "REALITY "
From Dubai thanks for encouraging preaching iam built
Amen Amen Amen Mungu Atukuzwe sana. Wakati pastor amesema baraka za kazi ,huduma, kusimamisha jani yenu,etc Kabisa nimepokea I declare it pamanent to God be all the glory. God bless you servants of God.
Niko Kenya nachanganyikiwa kutuma sadaka kweli lakini najaribu mpaka niweze. Thanks
Mimi nilikua nafwata yu tube leo hii le 15.11.sasa nilikua nime lala kanisani nimechoka .ulipo anza maombi ya roho mtakatifu nikaanza kusema asante yesu kwa sauti ya chini nikilemewa nausingizi .gafla nikaota ndoto naona watoto wadogo wawili wakike wana shikana mikono wakija mahali nilikua na lala nikashituka nakuendeleya kuomba pamoja nausingizi uliposema watu waje shuudiya nikaona tena kwenye doto nabonyeza sim yangu ili niandike nilivyo ona gaflanika amuka nakuandika.👏👏
Ameen,mtumishi nmefuatilia masomo Yako na nmebarikiwa saana.from Kenya
Amen! Namshukuru mungu Sana, kwa mara ya kwanza nimenena kwa lugha ... baadaye machozi yakatoka nikiwa bado kwa lugha! Hata baada ya mtumishi kusema Amina, nilisalia kuendelea kunena
Amina
Ninaamini nimepokea in Jesus name amen
God bless you .your teachings delivered me.
AMEN AMEN AMEN BLESSINGS OVER BLESSINGS AND ALL GLORY BE TO GOD....
Baba Mungu akubariki sana sana.🙏🏼
Thankyou for the teachings and a question which I used to ask myself I have an answer now ,barikiwa sana
Ahsante BWANA YESU
Barikiwa sana kwa big encouragement 🙏
Amen 🙏
Good teaching.
Amen
Mtumishi naomba no ya cm kwa Ajili ya mawasiliano hii inayoonekana hapa kwa RUclips haipokeleki
Tuma message itafanyiwa kazi, usipige.
😄😄😄😄😄eti pedeshee
Amina
Amen
Amen
Amen
Mungu mapenzi Yako yatimie kwenye maisha yangu