KWANINI HAVITOKEI KWA WAKATI (X) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kuna wakati unamuomba sana Mungu na una uhakika kabisa kuwa amesikia lakini huoni akikujibu,wakati mwingine hadi vitu vyako vinakufa kabisa lakini humuoni akifanya chochote.Na watu wengi huumia sana na kufikiri kuwa Mungu amewaacha, kiuhalisia Mungu nyuma ya hayo maumivu yupo na anafanya kazi.Kuna wakati anaruhusu uaibike mbele za watu ili akija kukubariki akubariki mbele ya macho ya haohao walioshuhudia anguko lako.Mungu anasema kuwa ajapokuhuzunisha sana atakufurahisha sana.
    Wakati Lazaro anaumwa na watu wakatumwa kwa Yesu kumuita humuoni Yesu akienda siku ile ile bali alikaa alipokuwa siku mbili zaidi,na hata alipoenda kwa Lazaro baada ya kuwaambia wanafunzi wake kuwa Lazaro ameshakufa,alienda wakati Lazaro ameshazikwa kwa siku nne.Katikati ya hiyo mauti na kuoza kabisa Yesu alirudisha uzima ndani yake.
    Haijalishi unaona vitu vyako vimekufa kwa ukubwa gani,unachotakiwa kujua ni kuwa Mungu ana nguvu ya ufufuo..amefufua kwa wengine,atafufua na kwako pia.
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our RUclips: www.youtube.co....
    Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
    and Subscribe Pastor Sunbella Kyando RUclips
    / @pastorsunbellakyando

Комментарии • 16

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 10 месяцев назад +1

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @esmilykipele4008
    @esmilykipele4008 3 года назад +1

    Kila ujumbe anayehubiri mchungaji huyu anayahubiri maisha yangu Mungu akubariki nayasikiza mahubiri yake kila siku from Mombasa Mungu akubariki Mungu amekutumia sana kwa ajili yangu naamini siku moja nitakuja ibada hapo kanisani nikitembea Tanzania

  • @blesseddee7815
    @blesseddee7815 3 года назад

    Mungu akubariki mnoooooo

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 3 года назад +2

    Mungu aendeleekuinua huduma yenu inabariki inatufungua japo tuko mbali hakika yesu yuhai mahali hapo nimeona na kushuhudia nguvu za mungu zikinigusa.mungu aitizame na kuisimamia.

  • @madammesatalks6913
    @madammesatalks6913 3 года назад +1

    Amen🙏 Nami naamini ktk jina la Yesu Kristo vilivyo kufa vyote ktk maisha yangu vitafufuka Hallelujah.

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 3 года назад

    Bishop naomba ukienda dodoma.nikuje Nam niweze kuonana na wewe.asante barikiwa Sana bishop Sanbella

  • @josephnganga2334
    @josephnganga2334 3 года назад +1

    Nimepata funzo Sana. Mungu akubariki mtumishi.

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 3 года назад +1

    Uyo Ni mim kbsaa bishop Sanbella..NENO 📖 langu mwenyew.MUNGU amesema nam.ananifundishaa njia zake za uvumilivu.dah! Asante Sana pastor Sanbella 🙏🙏🙏🙏🙏 barikiwa Sana somo zuriii San.

  • @wandedalushi2984
    @wandedalushi2984 3 года назад +2

    Moyo wangu umetoa machozi mtumishi ubarikiwe neno limegusa maisha yangu Mungu anisaidie uvumilivu wa kiMungu mie siwezi kwa akili zangu

  • @sifasylvie3941
    @sifasylvie3941 3 года назад

    naamini kwamba mungu hajaniachilia gupo nami ata ndani ya shida zenyi nipo na pitilia bwana wangu atanivusha kwa ushindi,nakutumainia ee bwana mungu.

    • @annastasiafaida8104
      @annastasiafaida8104 2 года назад

      Asante sana kwa ujumbe mtumishi. Mimi naamini Mungu atanivusha.

  • @deboramwakyusa4198
    @deboramwakyusa4198 3 года назад

    Ameeen pastor

  • @sheshem5453
    @sheshem5453 3 года назад

    Powerful Word! Ubarikiwe Mtumishi 🙏🙏🙏

  • @sylvanusbuberwa380
    @sylvanusbuberwa380 3 года назад +1

    I'm really blessed with these teachings, be blessed Pastor Sunbella. I'm watching from Mbeya Tanzania 🙏💞

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 3 года назад

    Amen, somo zuri sana

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 3 года назад

    Amen