WAKENYA wachukizwa baada ya kudaiwa RAIS RUTO amekodi NDEGE kwa TZS Bil.3.9 kwenye ziara ya MAREKANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 172

  • @BunzarMarco
    @BunzarMarco 4 месяца назад +59

    Mimi huwa nasema shida sio nchi za magaribi shida viogonzi wa kiafirica hao ndoo wanafanya Africa iwe masikini

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 4 месяца назад +7

      UMEONA 👍🏿

    • @GodahMartin
      @GodahMartin 4 месяца назад

      VIONGOZI SIO shida! Shida ni sisi wananchi hatujielewi na wala hatuna maono ya kujisimamia, HATUJIPENDI kwaio kiongozi akiingia anajua asilimia kubwa watu wanaakili za hovyo ndio maana wanafanya ivyo anaona bora ajipigie zake asepe.. chukulia mfano MAGUFULI alivyopondwa na watu na ile hali alikuwa anatuamsha hivi kama tungemlinda kwa gharama yule RAISI kwa wingi wetu unafikiri angekufa kirahisi vile?? kwaio mwisho wa siku hata tukipata RAISI mzuri kama RAIA hatujitambui ni kazi bure. SISI tunatakiwa kujielewa kwanza kabla ya viongozi na hata sheria tutazisimamisha sisi na viongozi tutamuwaweka mzuri.

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 4 месяца назад +7

      Kweli kabisaa

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 4 месяца назад +2

      MIKATABA NDIOOO
      INAWAPONZA NAKADHALIKA

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 месяца назад +9

    Samia na Ruto wanapenda sna ndege

  • @KampangaKampanga
    @KampangaKampanga 4 месяца назад +21

    Hivi unaanzaje labda kutowa pesa zote hizo huku wananchi wanalia nja 😢 wakamuangalie Ibrahim Traore

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 4 месяца назад +1

      AFRICA BILA
      UZALENDO WETU
      BAINA YETU NI NGUM
      SANA KBS KUENDELEA

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 4 месяца назад

      Sio uzalendo wan ubinafsi sana.

    • @KampangaKampanga
      @KampangaKampanga 4 месяца назад +1

      Kwahakika inasikitisha sana
      Yaani ujinga ujinga ujingaaaaa kabisaaaa yaaani kiufupi hana hoja yoyote ile ya kujitetea

  • @TakarTeko
    @TakarTeko 4 месяца назад +36

    Mimi ni mkenya sioni faida ya Ruto kwenda merekani

    • @MelodyDanteh98
      @MelodyDanteh98 4 месяца назад

      Huoni faida... Just go right now and see how many deals he has signed

    • @MamyHamso
      @MamyHamso 4 месяца назад +4

      ​@@MelodyDanteh98Ame saini ushoga tu 😢😢

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 4 месяца назад


      😭😭

  • @show...002
    @show...002 4 месяца назад +11

    siasa ya kwetu mbona mmeikalia kmy lipuwa na yakwetu tu maana afazali ya kenya

    • @HansChuma
      @HansChuma 4 месяца назад +2

      😂😂😂😂 thubutu wanaogopa ila kusema za wenzao tu hodari

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 4 месяца назад +7

    Nasikia pesa ya kenya inathamani sana ngoja Ruto awafundishe jinsi ya kuitumia.

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 4 месяца назад +10

    huyu Ruto alianza hii tabia mwaka 2013 mwezi wa tatu alitumia 100 million kenya shillings kuzunguka APA AFRIKA NA PRIVATE JET

    • @idatonymassawe
      @idatonymassawe 4 месяца назад +3

      Na bado anazitunia had uchaguz ujao watanyooka tuu

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 4 месяца назад +21

    Hawa Kenya hawa nivigeugeu waiosomeka ni afadhali ya TANZANIA❤🎉

  • @BHTV-ly4jf
    @BHTV-ly4jf 4 месяца назад +7

    Kama niwamarekani ndio wana shida nasisi mbona yeye ndie ameenda Marekani? Afrika bado tuko watumwa kwanini yeye biden asije kenya😭😭

  • @papamukulu1045
    @papamukulu1045 4 месяца назад +3

    Mchambue pia ya kwenu sio ua wenzenu naya kwenu yana washinda

  • @slowdns3694
    @slowdns3694 4 месяца назад +16

    Africa bado watumwa

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 4 месяца назад

      NDIOOO KULIFAHAM LEO?

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 4 месяца назад

      Yaa true 😎😎😎👍👍👍

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 4 месяца назад +12

    Kenya Rwanda,agenti, wa nchi za magaribi,,,vivan uganda

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 4 месяца назад +5

    Ameenda kuwauzaa wakenya cc mama alienda kutuuza ufaransa

  • @JustineWangi-j2t
    @JustineWangi-j2t 4 месяца назад +3

    Baadhi ya viongozi wa afirika ni mazuzu ndiomana kwenye mazishi ya marikia walitengwa ata samia alienda kuchezea hela wakatuambia ameenda kwa faidi adi leo hatujaambiwa faida ya royotua zaidi ya maisha kuwa magumu tu.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 4 месяца назад +7

    Kulikuwa hamna haja yakutumia pesa zote izo Kwajili yakukodi ndege ya pesa nyingi ivyo..wakati ndege ya serikal ipo na hali za maisha ya wananchi wako wanaishi Kwa maisha magumu

  • @dorambaga2667
    @dorambaga2667 4 месяца назад +4

    Si bora kenya vipi kuhu😢Tanzania mnajua mama yenu anatumia kiasi gani kila siku kuzurura

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 4 месяца назад

      Jingazzzz we unatoka kenya ipi??? Pumbavu sana kama sio mkenya usiongele Kenya.

    • @dorambaga2667
      @dorambaga2667 4 месяца назад

      @@aaa64sa13 poor mind

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 4 месяца назад

      Hajawahi kukodi ndege ya bei hiyo

    • @dorambaga2667
      @dorambaga2667 4 месяца назад

      @@hashimchaoga9566 huna unalojua bora unyamaze

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 4 месяца назад +4

    Ruto ni snitch tu kikaragosi wa marekani huyo,

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 4 месяца назад +3

    Hapo, Umechambuwa ukweli kaka" Mimi nimu Kenya, nampenda vile una fafanuwa.

  • @khalidsuleiman4588
    @khalidsuleiman4588 4 месяца назад +2

    Kuna mambo makubwa yatakuja kutukuta Ukanda wetu wa East Africa viongozi wetu wanatusinich sana

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 4 месяца назад

    Viongozi wengi wa kiafrika wanapenda sana anasa na kujilimbikizia mali wanapenda vitu vya kifahari

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 4 месяца назад +2

    Hapa ndio ninapomkumbuka Mavufuli, miaka minne mpaka anakufa hajapanda ndege kuwafgata hao majizi wa mali zetu.

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 4 месяца назад +4

    Ruto kama nikweli kafanya ivyo bass kichwa chakwe ni nimweeeeeeeeeeeeee

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 4 месяца назад +3

    Bona wa Kenya wana madege kwanini hajachukua hata denge monja ..jiga sana

  • @Jurbeg
    @Jurbeg 4 месяца назад +1

    Wee mwandishi Acha unoko mbona raisi wetu samia suruhusu anasafili saana tofauti na magufuri Hujawai sema au unaogopa kufa yenu yawashinda KAZI umbea tuu 😔😞😔

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 4 месяца назад +1

    Mbona wakenya wanalalamika mbona sisi bi mkubwa anasafiri kila mara??? Au shida kukodi ndege ya TZ??

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 4 месяца назад +2

    Ame kwenda kuchukuwa Tax America

  • @jeffchurum1431
    @jeffchurum1431 4 месяца назад

    Freedom of speech kitu ya maana sana, TZ mnachabua za Kenya lakini hakuna mmoja wa TZ ako na guts kuongelea serikali yao. Waoga tupu.

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 4 месяца назад +2

    Samia kaenda juzi tu kikazi Marekani

  • @EsromuKamwela-ol9uo
    @EsromuKamwela-ol9uo 4 месяца назад +2

    China Haina mpinzani

  • @uwezojaninosgospelartist1432
    @uwezojaninosgospelartist1432 4 месяца назад +2

    Wananunuwa watu weusi waende wauwawe tu, ambapo nzungu awezi kufa kwa ajili ya mtu mweusi.

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 4 месяца назад +3

    Hovyo, rais bwege

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 4 месяца назад +2

    Hana tofauti na bibi titi juzi kati alimkumbatia Macron .

  • @matakamataka9438
    @matakamataka9438 3 месяца назад

    Anasafiri sana km reis wetu wa tanzania mabilion yanapotea kila safar halafuu ooh nchi inamaden ivi hizo pesazot zisingepunguza maden😅

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 4 месяца назад

    Kenya kenya inanuka shidah kila kona RUTO UNAHARIBU KENYA YETU NYANGUMI WEWE

  • @AAa-it7nx
    @AAa-it7nx 4 месяца назад +1

    Watu wanateseka Sana aki yeye anatumia pesa hivo 😢😢😢😢😢

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 4 месяца назад

    Hustler

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 4 месяца назад +2

    Kenya bado koloni la wazungu

    • @Swahili37
      @Swahili37 4 месяца назад +1

      Huyo mama yenu alipozindua filamu alikuwa nchi gani?? Pambaneni na hali zenu zetu mtuachie mwanzo hamziwezi.

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz 4 месяца назад +3

    Kenya washamba sana

  • @magnificententertainment9328
    @magnificententertainment9328 4 месяца назад +1

    Kwani Dokta Samia si ameenda US mara kibao sana...😮😮....unasemaje tangu miaka 16...

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 4 месяца назад +2

    Ndo tatizo la viongozi wetu wa Afrika yaani ni vurugu tu wakipata madaraka basi baada ya hapo wanawapa mikopo ya kutununua aiseee tuko nyuma ya muda Afrika

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 4 месяца назад +1

    Ukimaliz ya Ruto tupe tasimi ya mama Samia katumia sh ngap kweny safar zake

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 4 месяца назад +1

    Rangi ya wazungu inawatisha awathamini uafrika wao....
    Wanauza raslimali za afrika kwa kuthamini ngozi ya wazungu....

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 4 месяца назад +1

    Yani huyu mungu ndio atakae mtosha

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 4 месяца назад +1

    Amepewa mwaliko na rais wa US. Sasa kuna haja gani ya kubana matumizi? Kula tu. Ee shusha tu na soda ukiwa juu angani. Ndo maana Magufuli hakupenda kusafirisafiri kwenda huko ulaya na marekani. Anajua, atapata hasara kubwa sana sio faida kwa masikini. Wito: viongozi wa Africa. Tuache ushamba. Unaenda kwa wazungu kutafuta nini leo hii? Waje wao huku tule nyama choma ya hapa Tanzania au Kenya. Oky?

  • @AnuHassani
    @AnuHassani 4 месяца назад

    Pesa yao inasamanii sana jmn achaaa haitumiee tuuu😂😂😂

  • @MussaSuleiman-ui9fy
    @MussaSuleiman-ui9fy 4 месяца назад +2

    Ruto ni maskini kila jambo anapelekeshwa ndio amesaini wananchi wake wafilane na wasagane sasa wewe RUTO subiri adhabu ya Allah wala usijione mjaja utasaga meno muda si mrefu

  • @fikirimutambala4330
    @fikirimutambala4330 4 месяца назад +2

    Rais wa ghana alikuwa huku 2008

  • @mohamedaley5632
    @mohamedaley5632 4 месяца назад +1

    Allah atustiri na wamagharibi... wasije wakafanya njia ya kuja tz

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад +1

      We nae si ameweka mzizi hapa ni nani ananyanya raiya huko mbugani Serengeti?

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 4 месяца назад

      Waje mara ngapi?

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 4 месяца назад +2

    Hatuwataki marekani africa

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj 4 месяца назад +1

    Kaenda kupaisha ushoga kenya kula chuma hicho

  • @KingMoses-i2v
    @KingMoses-i2v 4 месяца назад

    Ruto Mutumishi wa wazungu

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 4 месяца назад

    inchi km Kenya 'ni inchi zenye asili ya kiyahudi kwanini Kenya wahanze tena urafiki n'a marekani ni raisi mpumbavu ahana akili raisi km ruto akodi Ndege ?🫣🫣🫣🫣🫣🫣 ni ujinga viongozi wa afrika km uyo ruto siasa ajui ahiwezekani raisi kukodi Ndege maraisi wengi ajui wafanye n'ini niwezi

  • @DanielMgeni-x1z
    @DanielMgeni-x1z 4 месяца назад +2

    Mnachambua Sana Habali za Selekali za nchi nyingine mbona Tanzania hamjawahi

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 4 месяца назад +1

      ukapimwe akili kwanza ndiyo uje ukomenti

    • @ShedrackShedrack-c2b
      @ShedrackShedrack-c2b 4 месяца назад

      Wakat tz kunaumaskin wakunuka bado wana ng,ang,ania kuchambua injizawatu

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht 4 месяца назад

    huyu jamaa amekuwa anatumiwa na watu wamagharibi juu ukiangalia huku kwetu madakatri na walimu wako nyumbani kwa mshahara duni alafu yeye ni mwenye kusafiri safari nyingi sasa hata anakoroga na hafai juu hazileti faida kivyovyote

  • @johannesrwiza
    @johannesrwiza 4 месяца назад

    The problem of Africa is their leaders nothing else

  • @amriseleman9395
    @amriseleman9395 4 месяца назад

    Ndo kusema Kenya hawana ndege ya Rais? Au hawana ndege za kutosha kwa Rais kuweza kusafiri?

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 4 месяца назад

    Izzo ni gaharama za usafiri.Malazi,hoteli itafika m400😂😂

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 4 месяца назад

    wakwetu sisi je?

  • @mrshazychannel3359
    @mrshazychannel3359 4 месяца назад +1

    Kikaz?? Kwan mama samia hakwenda kikaz??

    • @Swahili37
      @Swahili37 4 месяца назад

      Usijaribu kulinganisha rais wetu na Samia

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 4 месяца назад +4

    Ndugu zetu tusiwalaumu sana wao washakua mashiga tayali sasa mikundu ikikosa breki unahisi vichwa vitaweza kufikilia ??? Wametuangusha sana ndugu zetu tangia waukubali ushoga na kuuhalakiaha mambo yamewaharibikia sana ndio maana hata papa wa kanisa katholic alivyotangaza uhalali wa mashoga kufunga ndoa Ajinsia moja makanisani hakuongea chochote ambao waliandamana walikua waisilamutu pekeyao laki waisilamu kenya siowengi kama wakristo ndio maana ilesheria ilipitishwa mungu atunusurutu 😮😮😮😮😢😢😢😢

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 4 месяца назад

      Kwani Tanzania mashoga na wasagaji hawapo? Je imejalalishwa? Viongozi wanasiri kubwa usiongee ukamaliza, mbona hawakuliweka kwenye katiba ikiwa nirahisi?

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 4 месяца назад +1

      Kilicho ongelewa hapa ni pesa aliyoitumia sio mambo ya ushoga au usagaji, shoga ni shoga na msagaji ni msagaji hayo ni maamuzi ya mtu mwenyewe akiona shetani ndie anaemuongoza, Tanzania mbona mashoga na wasagaji wapo wengi tu na wanajulikana,hatua gani wamechukuliwa? Huko sio kuwalea?

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 4 месяца назад

      Na huko Pwani ndio mashoga mmejaaa kuwemo wewe ,ukiacha unafikiri utafika mbali ,mashoga wengi wana majina Fulani hivi , na wapo siku nyingiii sana ,tumia akili vzr na sio hisia

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 4 месяца назад

      @@emmadora7848 mashoga hawana majina maalumu usiongozwe na hisia hata wewe, sio pwani wala nchi kavu,kila mahali mashoga na wasagaji wapo, na ingekua ni pwani tu nchi za wazungu wasingekua wanaongoza kwa mashoga na wasagaji

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 4 месяца назад

      Hakuna katiba humu nchini Kenya imekubaliwa jambo la usagaji,weka akilini

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 4 месяца назад

    Ruto niwakala wawazunguu

  • @edisonbayona-rz9ed
    @edisonbayona-rz9ed 4 месяца назад

    Ruto malekani wakikusifia ujuee wewe ni shonga

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 4 месяца назад

    Kenya kashaliw koboga zamani. Ushoga ni,hatari kwa African

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 4 месяца назад +2

    Kenya moto unawawakia kama sisi tu wa tz hatuchekan 🤣🤣🤣🤣

    • @AAa-it7nx
      @AAa-it7nx 4 месяца назад +1

      Bora hata nyie kunamakonda anazunguka hatakama sio kote lakini Sisi wakenya hatuna hata wakumlilia

    • @AAa-it7nx
      @AAa-it7nx 4 месяца назад +1

      Bora hata nyie kunamakonda anazunguka hatakama sio kote lakini Sisi wakenya hatuna hata wakumlilia

  • @muddjigal4096
    @muddjigal4096 4 месяца назад

    Ally samahani uhuru kenya si aliendaga wakati wa trump mpaka akatia aibu kwenye mapokezi na trump na mke wake au hyo ilikuwa ni sio ziara au vp

  • @SharaMan-yn9px
    @SharaMan-yn9px 4 месяца назад

    Wa kenya tuko sawa

  • @chazy7ya216
    @chazy7ya216 4 месяца назад

    amefanya ujingasana

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 4 месяца назад

    Jinga Sanaa hili Ji mtu Mfisadi mkubwa watu tuna dhiki kumbwa mlo kwa siku watushinda🤔

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 4 месяца назад

    Uyu ame anza kuharibu mapema

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv 4 месяца назад

    Ruto pumbavu sana hata hata ushoga atakubari

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 4 месяца назад

    Vibaraka wamagribi walioshindikana duniani
    1 zelensky
    2 ruto. Ruto ukiangalia ata sura yake kipua utajuwatu uyu ni mwizi bilashaka. Amekuwa akionge sana haana ata upanafrika uyu bwana

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og5719 4 месяца назад

    Wakenya tunao tu mpaka waseme

  • @Swahili37
    @Swahili37 4 месяца назад

    Wakenya gani acha porojo wewe nkt

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 4 месяца назад

    Mpuuzi italeta matunda wakati italeta ushoga na usagaji na kuibiwa rasilimali

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 4 месяца назад

    Kwani ruto ameanda kuuza meno au naona yeye tu meno yako inje sina simo

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 месяца назад

    Njia gani ya kwenda Marekani kwa bei nafuu hasa ukiwa Kiongozi wa Nchi, hivi kweli unapewa Mwaliko na Rais wa Marekani alafu ujibane kwenye Mashirika ya ndege na abiria kibao?? Rutto ana kasoro zake kama Binadam lakini kwahili vaa viatu vyake

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 4 месяца назад +1

      Waafrica nyie ni waginga sana nitamkumbuka magufuli wngu

  • @JuliusSenyael-ej6hg
    @JuliusSenyael-ej6hg 4 месяца назад

    Mnatuchanganya nyie

  • @emanuelidamiani2943
    @emanuelidamiani2943 4 месяца назад

    Mmmmm haya bwana😅😅😅😅😅

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 4 месяца назад

    Wanaongozaaaa mbumbu ndo mana cha kuwafanya hatuna daaaaa

  • @Africaamkenitznawenuso
    @Africaamkenitznawenuso 4 месяца назад

    Kenya nao wanasota kama tz

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 4 месяца назад +1

    Ujinga huwo bora wangejenga shure au kupunguza codi kwa wananchi

  • @JosephAlakonya
    @JosephAlakonya 4 месяца назад

    Vitu mtu anakata taxe adi watu wa RUclips

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 4 месяца назад

    Zakayo ni bure sana

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 4 месяца назад

    Nachukiyasana hilo kama mkenya

  • @SuleimanSalim-ql3ny
    @SuleimanSalim-ql3ny 4 месяца назад +3

    Mnh tz tuwe makini na kenya

    • @CadeauZabibu
      @CadeauZabibu 4 месяца назад

      Nawakongomani

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 4 месяца назад

      SuleimaniSalim:Tz ndio wakamilifu duniani?acha zarau usione ndio mmefika sana dunia duara

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 4 месяца назад

      ​@@CadeauZabibuukisema unawajuwa watu wenu😂ndio wazuri utashangaa ukiwa peke yako kuna mengi usiyoyajuwa kuhusu ndugu zako

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 4 месяца назад

      Unadhania samia akiitwa hataenda ,mbona juzi kaenda kwa mfaransa juzi na mfaransa ana kataliwa sana Africa ya magharibi.

    • @SuleimanSalim-ql3ny
      @SuleimanSalim-ql3ny 4 месяца назад

      @@africanmandetraveler2847 Mnh ett nin!? Hv umesahau mama ametokea ktk mikono ya R I P nani vlee nadhani unamjuwa cz ata mabeberu waliisoma no.enzi za uhai wake hivyo ninaima mama hawezi kutuangusha istoshe anafahamu

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 4 месяца назад +1

    Upumbavu uhuu

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 4 месяца назад

    Ruto 😂😂😂

  • @KampangaKampanga
    @KampangaKampanga 4 месяца назад

    Ujinga mtupu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 4 месяца назад +5

    Kenya wana ndege nyingi kwann hakutumia moja wapo kuepuk huu ufujaji wa pesa

    • @Soon815
      @Soon815 4 месяца назад

      Wanandege 3 tu nyingine za kukodi

  • @khadi-z4o
    @khadi-z4o 4 месяца назад +3

    AMEENDA KU LEGALIZE USHOGA KENYA .

  • @Zenny89
    @Zenny89 4 месяца назад +13

    Sasa Wakenya wanapiga kelele za nini..wao si ndo wanasemaga wanapesa East Africa😆 na hela Yao kubwa..basi..hela kubwa lazima itumike kikubwa

    • @mesaidikazungu4299
      @mesaidikazungu4299 4 месяца назад

      Wewe hujui unacho kiongea

    • @jeilanikhamisi
      @jeilanikhamisi 4 месяца назад

      ndio hapo sasa halafu nimeipenda sana hii koment yako kuhusu wa kenya wanavyosemaga😂😂😂

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 4 месяца назад

      Na mimi mashangaaaa jamaniii😅😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      Wanajiona wao ni matajiri😀😀😀😀😀😀😀

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 4 месяца назад

      ​@@jeilanikhamisiZarau hizi dunia duaraa jamani cheka leo

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 4 месяца назад +3

    Kenya mnahera kubwa wacha wapunguze kidogo msije mkashitwa kubeba😂😂

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu 4 месяца назад +1

    Viongozi wa afrika wanafell hapo yaan HUU ni ujinga uliopitiza

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 месяца назад +1

    Apo saw

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 4 месяца назад

    Hasra sio poa