UTAPENDA! ONA WACHEZAJI WALIVYOFANYIWA SURPRISE YA BIRTHDAY BAADA YA KUWAKANDA TABORA UNITED

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

Комментарии • 307

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 9 месяцев назад +206

    Yanga wanatuzid ktk mambo mengi hasa kwa upande wa management skills... interaction ya management kuu na wachezaji pengine na wafanyakaz wote wa club ni kubwa sana... hakuna matabaka viongozi wanajishusha sana ndo maana unaweza kuona Hersi anataniana na wachezaji utadhan sio rais wa club, pia ushirikishwaji Wa mashabiki wao na club ni mkubwa sana ndo maana wanafanya events kama supu day, utoaji wa misaada kwa wahitaji n k hii inaongeza sana morally kwa wachezaji kuifia timu.. mchezaji ana feel yanga ni yeye na yeye ni yanga hata wachezaji wa kigeni wa yanga wanaonekana kufurahia maisha zaid kuliko wachezaji wa kigeni wa timu zingine... congratulations mtani🎉

    • @user-iv4qe3ox1s
      @user-iv4qe3ox1s 9 месяцев назад +19

      Umeongea point sana, wenzetu wana Upendo wa hali ya juu,viongozi wanajishusha daah hii moment hadi raha, Hongera kwao 🎉

    • @ErastoOmari-cx2qv
      @ErastoOmari-cx2qv 9 месяцев назад +8

      ❤❤❤❤❤❤❤❤ameni

    • @matukimerchant5170
      @matukimerchant5170 9 месяцев назад

      Nimekubali Sana ndugu yetu ulichokiandika. Ijapo wewe ni mtani wetu lakini hukusita kuandika ukweli wa mambo ulivyo. Nadhani hizi timu mbili ukiachilia kutaniana kwamba nimekufunga au umefungwa, ohh! Wewe ni WA mkiani, badala ya hayo yote tungekuwa tunajifunza Nini mtani kafanya vyema zaidi yangu ili nami nijitahidi kukifikia, au timu zingine huko nje zinafanyaje tutohoe, turekebishe Kisha tulete home. Ingekuwa vyema zaidi kwa maendeleo ya soka letu Tanzania.

    • @SwigoJr-vy3gv
      @SwigoJr-vy3gv 9 месяцев назад +9

      We are Young African💚💚💛💚

    • @barakawabuge5285
      @barakawabuge5285 9 месяцев назад +5

      Hehe

  • @wizfbeb
    @wizfbeb 9 месяцев назад +34

    Hii ni zaidi ya timu ya mpira wa miguu. Hii ni familia ya waafrika weusi. Mungu ibariki Yanga Afrika

  • @vicentsagudasheyi564
    @vicentsagudasheyi564 9 месяцев назад +74

    Tazama inavyopendeza ndugu kukata pamoja Kwa umoja... congratulations...God bless our team Young Africans SC 💚💛🖤

  • @ahmadsalim4417
    @ahmadsalim4417 9 месяцев назад +31

    Dah hii club ina kila sababu ya kupendwa, hongera sana Rais wetu hels kila uchao unazidi kuitofautisha hii timu na vikundi vya waguni, kama katiba ingeruhusu ungekaa kwenye kiti cha urais hati useme basi

    • @imanibakili8028
      @imanibakili8028 9 месяцев назад +4

      Ndiyo maana mchezaji akisikia anakuja Yanga hataki kupoteza fursa

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 9 месяцев назад +39

    🙏💛💚 Mungu awe na nyinyi wakati wote furaha yenu hidumu milele

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 9 месяцев назад +24

    Hongereni kwenu nyote Mungu awajalie afya njema.

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 9 месяцев назад +22

    Fantastic! All the best!

  • @user-wr6dt6xh8t
    @user-wr6dt6xh8t 9 месяцев назад +27

    naipenda hii timu mimi jamani,naipenda kwa moyo wangu woooteee mpaka sielewi aaani🥹

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 9 месяцев назад

      Aaaah Happie!!!!! anayestahili kupendwa Kwa moyo wako woooote ni Mungu aliyekuumba na anakupa uhai na fya njema Hadi unapata wakati wa kufurahia!!😅😅 Ipende Yanga Kwa Kwa moyo wako kiduchuuuu😅😅😅 samahani lakini🎉

    • @shamimtunge1664
      @shamimtunge1664 9 месяцев назад

      Hunizidi mm kuipenda yanga nipo tayari nisile kwaaajili yao 💛💚

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 9 месяцев назад

      @@paulmushi2428 Nadhani ameongelea kati ya vitu anavyovipenda kwa moyo wake wote ni yanga....usimchanganye Mungu na vitu Mungu atabaki kuwa Mungu milele wala hafananishwi na kitu chochote!!

  • @HisanHaji
    @HisanHaji 9 месяцев назад +35

    Hindiyo Tim pekee yenye upendo mkubwa kwa wachezaji na viyongozi wao hongereni sana yanga Africans

  • @elizabethrichard4974
    @elizabethrichard4974 9 месяцев назад +15

    Nyieeee, yanga wanaishi kwa upendo Hadi Raha🥰💚💚💚, mungu azidi kuwainua yanga yangu💚💚💚

  • @edachengula796
    @edachengula796 9 месяцев назад +10

    Nimeipenda hii kiongozi wa kujishusha na kujunuika na wachezaje wake,daima mbele nyuma mwiko🎉

  • @elishamwakihaba942
    @elishamwakihaba942 9 месяцев назад +15

    Nyie kweli kwenye umoja, Mungu anabariki ❤

  • @ahamadnalinga6825
    @ahamadnalinga6825 9 месяцев назад +9

    So amazing, congratulations Kwa management nzima, mnafanya kazi iliyotukuka

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 9 месяцев назад +11

    Hongera sana, Allah akuzidishie umri mrefu wenye manufaa ❤🎉🎉🎉

  • @juliusmagoti5650
    @juliusmagoti5650 9 месяцев назад +14

    Mchezaji anapata furaha kiasi hiki, lazima aipende team yake, hawezi kuihujumu hata kidogo. Big up

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 9 месяцев назад +24

    Yanga raha jamaniiiiiii..........🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
    Kuna tofauti kati ya mwalimu wa ball na Master angalia anavyoshrehekea na vijana wake.

    • @nkosiyabomasuku1795
      @nkosiyabomasuku1795 9 месяцев назад +4

      Shabiki bora wa Yanga. Tumekutana tena 🔥

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 9 месяцев назад

      @@nkosiyabomasuku1795 Daima mbele nyuma mwiko. Tabulele laah 🔥🔥🔥🔥

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 9 месяцев назад +24

    All the best team yangasc 💛💚💪

  • @issahpaul4510
    @issahpaul4510 9 месяцев назад +10

    Wow!! Nimependa hii love ya wachezaji wetu ❤

  • @ezekielhaule364
    @ezekielhaule364 9 месяцев назад +9

    This is great. We have never seen this before.

  • @azizambise
    @azizambise 9 месяцев назад +16

    So amazing

  • @mbarakapandu101
    @mbarakapandu101 9 месяцев назад +12

    yaan wachezaji wanainjoi hadi raha daima mbele nyuma mwiko

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 9 месяцев назад +39

    Pongezi zangu za dhati ni Mhandisi Hersi Said.Ameleta mageuzi,mapinduzi makubwa kwenye uongozi wa Vilabu nchini.Kila staff ya Yanga anatambua kwa nini yupo Yanga.Hii morali na umoja wa wachezaji hauji kibahati mbaya bali hujengwa na UONGOZI THABITI.

  • @raheemsangaya
    @raheemsangaya 9 месяцев назад +9

    mapenzi ya Hali ya juu maana halisi ya team work 🎉 big up

  • @Jemisl
    @Jemisl 9 месяцев назад +9

    🎉🎉🎉🎉 Happy birthday 🎂🎂🎂🎁🎁

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo2849 9 месяцев назад +10

    Hakika upendo wa hali ya juu 🎉🎉❤

  • @marietaally1941
    @marietaally1941 9 месяцев назад +3

    Nzuri sana hii mungu awape afya njema na upendo uendelee asanteni viongozi wetu 🙌🙏🔥💛💚

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 9 месяцев назад +9

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga

  • @nasrafaki3155
    @nasrafaki3155 9 месяцев назад +9

    Proud of you boys

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman6499 8 месяцев назад +4

    What a team ...big up management

  • @naumimwambuluma4211
    @naumimwambuluma4211 9 месяцев назад +5

    Cheers to our players you are the best

  • @TchombaMedard
    @TchombaMedard 9 месяцев назад +4

    All the best my big team young Africans SC

  • @mahamudhimu7934
    @mahamudhimu7934 9 месяцев назад +9

    💚💚💚💚💚💥💥💥💥💥 yanga atali sana

  • @MosesMamaya
    @MosesMamaya 9 месяцев назад +4

    ❤❤❤❤ inspendeza sana

  • @yasinkhatib618
    @yasinkhatib618 9 месяцев назад +3

    Walter harison , Appreciate bro🙌

  • @JamilaLeonce-x1g
    @JamilaLeonce-x1g 9 месяцев назад +1

    💛💚💛💚💛💚🙏🙏👍 Nitimu ambayo ukiwa na mawazo yana kwishaaa tabulele laaaaah

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 9 месяцев назад +17

    Wenzenu upande wa pili tupo tunadundana wenyewe kwa wenyewe 😭😭😭😭😭

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 9 месяцев назад +1

      😅😅😅

    • @matukimerchant5170
      @matukimerchant5170 9 месяцев назад +1

      Poleni ndugu zetu watani. Nawaombeeni muwe sawa. Mpate viongozi. Huongozi mzuri mkiupata mawazingua,. Hivi unajua uongozi wa Barbara na Senzo masingisa ulikuwa na kitu kikubwa, lakini zengwe Hadi wakaondoka. Yawezekana wapo wapiga Dili ambao hawajali maendeleo ya club ila matumbo yao tu. Akitokea kiongozi anayejali maslahi ya club huyo anakuwa adui maana anawazibia mianya ya hufujaji, hivyo vichwani mwao ni ondoa huyu.

    • @Erickmjuni-ev6dc
      @Erickmjuni-ev6dc 9 месяцев назад

      Poleni sana watani

    • @augustinomkongwa5444
      @augustinomkongwa5444 9 месяцев назад

      Yaani mpaka waseeeeemeeeeee na baadoo hamjaseeeemaaaa 😂😂😂😂

  • @HajiHaji-v9f
    @HajiHaji-v9f 9 месяцев назад +20

    Mungu atujaamie tuchukue mpaka champions lig

  • @abdulladosantosjr
    @abdulladosantosjr 9 месяцев назад +7

    Zaidi ya familia💛💚

  • @MariamBakari-z2k
    @MariamBakari-z2k 6 месяцев назад

    Nawapenda.sana.wanayanga.munapenda.namuna.umoja.hongeren

  • @user-by7zf4fh2y
    @user-by7zf4fh2y 9 месяцев назад +1

    Hongera sana management ya yanga na crew nzima iliyofanikisha hili mnachokifanya sio tu kuleta furaha kwa wachezaji bali mnawaleta wachezaji pamoja na mnawapa deni wachezaji wapate moyo wa kuipambania team hongereni sana yanga

  • @fednandnews2240
    @fednandnews2240 9 месяцев назад +5

    My team I wish to join with you guys one day for dinner😂😂😂😂

  • @peterjanuary429
    @peterjanuary429 9 месяцев назад +3

    My team 😍💚💛

  • @ramahkhalfan3657
    @ramahkhalfan3657 9 месяцев назад

    mashallah wawooo wawooooh kam barak mpeja injinia baba wew unadunia tako bro 🎉🎉

  • @namdigumagwenge193
    @namdigumagwenge193 9 месяцев назад

    Yaani sijui wakumshukuru zaid ya mungu , ametuheshimisha kama sio sisi tuloitwa ombaomba, wazee wa bakuli nyie jmn❤❤❤❤❤❤kila mtu anaejitoa kwa hali na mali kwajili ya YANGA mungu awabariki

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 9 месяцев назад

    Yanga na uongozi mpo vizuri sana kila mnacho fanya kina ubora zaidi hakika vijana nyie wabunifu sana jongereni mtafikambali ktk kila mnacho tengeneza Daima mbele nyuma mwiko mwanachama yanga damu.💚💚🙏

  • @user-vn3bw7lj3z
    @user-vn3bw7lj3z 9 месяцев назад +1

    Iiih laah jaman daaah💛💚💚💚💚💛💪🙏

  • @immanuelsaringe8571
    @immanuelsaringe8571 9 месяцев назад +4

    NIMEIPENDA SANA H KAZI ERIS ANAIFANYA MUNGU AKULINDE NAMABAYA YOTE

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 9 месяцев назад +4

    Nawapenda sanaaaa

  • @WilliamEzekiel-hv9li
    @WilliamEzekiel-hv9li 9 месяцев назад +4

    Kocha amenichekesha full furahaa🎉🎉🎉🎉

  • @gracemtonga3263
    @gracemtonga3263 9 месяцев назад

    Yaani yanga ni raha na amani tu, gamondi anaruka wachezaji ndo usisene meneja wa team yani daah! Mungu tulindie hii amani na upendo viendelee, daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪🎂🎂🎂🎂🎂

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 9 месяцев назад +3

    Tuna rahaaaaaaaaaaaa bwanaaaaaaa💚💚💚💚💚💚

  • @user-lp7uq9ql2p
    @user-lp7uq9ql2p 8 месяцев назад

    Waoh naipenda hii, wachezaji wangu wote wamezaliwa siku moja, na hii ndio inaitwa kupendana

  • @jacksonlyimo1491
    @jacksonlyimo1491 8 месяцев назад

    Mungu awatunze wachezaji wangu na wana Yanga wooootè..Afya amani na furaha kwenu na kwa familia.. zenu. Awape nguvu na ufanisi katika kuwania makombee yooote yalio mbele yetu na kuyachukua kwa kishindo .uwezo na nia tunayo. MUNGU MWEMA

  • @abdurabihassan1188
    @abdurabihassan1188 9 месяцев назад +4

    It's all about love❤❤❤❤❤

  • @tumaramadhani3381
    @tumaramadhani3381 9 месяцев назад

    Yangaa hii mmh kama unaumwa na kisukari unapona amazing sana naipenda yanga yangu💚💛🧡🖤

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 4 месяца назад

    Oyooooooooooooooooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yanga bingwa adi 230 utaki au😁😁😁

  • @hildakiyabo
    @hildakiyabo 8 месяцев назад

    Mmetixhaaaaa makolo wanaona wivuuuuuu

  • @raphaelchauwele3547
    @raphaelchauwele3547 9 месяцев назад +2

    Happy birthday to my players 🎉🎉🎉

  • @everlynegilleard2745
    @everlynegilleard2745 8 месяцев назад

    Akuna wa kutamani kuondoka jamani sio kwa upendo huo mungu ibariki Amani ya timu yetu iendelee kudumu

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 9 месяцев назад

    Yani hadi kochaa anaruka ivoo mashalaah .. ❤❤❤❤❤

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 8 месяцев назад

    Tazama ilivyo vema nakupendeza ndugu wakikaa pamoja kwa upendo😍🙏🏼

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 8 месяцев назад

    Woo hoo ooooo, wanainchiii iiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 9 месяцев назад

    Hii nimeipenda💚💛💪🙏🙏🙏nafurahi kuwa sehemu ya wananchi aisee

  • @mayrose9772
    @mayrose9772 9 месяцев назад +3

    Ila yangaaaa ni rahaa nfulululu❤

  • @ShedrackNgokozela
    @ShedrackNgokozela 9 месяцев назад +2

    Mungu awalinde sikuzote jaman mnatupatia furaha sanaaa daah upande wapili uko vipi mnateseka eee

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 9 месяцев назад

    Upendo mkubwa sana!!!
    Good management hakika

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 9 месяцев назад

    Daaah Yanga raha kwkwl 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @ibrahimkambi5444
    @ibrahimkambi5444 9 месяцев назад +1

    Muendelee kupendana wananchiiiiii

  • @GodloveLauwo
    @GodloveLauwo 9 месяцев назад +1

    Yanga wapo mbali sana hongera

  • @GraceKonga-r8j
    @GraceKonga-r8j 9 месяцев назад +1

    Napenda huu upendo jaman!

  • @FaustineBukongolo-wp2fe
    @FaustineBukongolo-wp2fe 9 месяцев назад +2

    Oungoz wote Mungu awabari mnafanya kaz kubwa sana

  • @magrethshishwa5481
    @magrethshishwa5481 9 месяцев назад

    Ni zaid ya upendo aisee💚💛💚💛💚

  • @zainaburamadhani1444
    @zainaburamadhani1444 9 месяцев назад

    Mansha Allah yanga ya 2022 na 2023 ni mwendo wa furaha amani upendo yani wananchii mmetishaaaa

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js 9 месяцев назад +1

    Waooo jamani yanga raha

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 8 месяцев назад +1

    Kwa style hii kila mchezaji atatamani kuchezea Yanga

  • @suzyclement3899
    @suzyclement3899 9 месяцев назад +1

    Love you so much ❤️😘

  • @khalidkamanda8154
    @khalidkamanda8154 8 месяцев назад

    Big creative plan

  • @ElizabethFinias
    @ElizabethFinias 8 месяцев назад

    Hongera sana kwenu mlioongeza mwaka!

  • @kamdinindevu5185
    @kamdinindevu5185 9 месяцев назад

    Nice 💚💚💚💚💚💚💚💚💚🎉

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 9 месяцев назад

    Muda wore Yanga wanatengenezewa furaha hiitimu itafika mbali sana

  • @toz-b
    @toz-b 9 месяцев назад

    Sijutiii kuishabikia yangaaa wallah naenjoy

  • @user-vo8bd7ym1n
    @user-vo8bd7ym1n 9 месяцев назад

    Hadi raha yanga jaman mmependeza hongereni sana wapendwa💚💚

  • @JerinaNguto-vv1gt
    @JerinaNguto-vv1gt 8 месяцев назад

    Mubalikiwe,wote,wachezaji,wetu,aph,basdei,toyu

  • @mpajijuma6121
    @mpajijuma6121 9 месяцев назад

    Love san😊😊😊😊😊😊

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 9 месяцев назад

    Hongereni Sana wachezaji wetu pamoja na viongoxiwetu kilasiku kufurai pamoja na wachezaji inapendeza Sana hamuishiwi mbunu jamani mpaka waseme mwakahuu upande wa pili wakiambiwa waige hawataki wataisoma namba mwaka huu

  • @restitutamaganga993
    @restitutamaganga993 9 месяцев назад +4

    🎉🎉🎉

  • @Gracedmbosssa
    @Gracedmbosssa 9 месяцев назад

    vibeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 happy birthday to you ... we enjoy together

  • @veronicaerasto6275
    @veronicaerasto6275 9 месяцев назад +1

    happy birthday kwawote

  • @mloganzilahardware4789
    @mloganzilahardware4789 9 месяцев назад

    Inapendeza sana

  • @user-nz6og1cy6v
    @user-nz6og1cy6v 9 месяцев назад

    Naipenda yanga nawakubal wananch maana unaambiwa raha jipe mwenyewe ❤❤❤

  • @lawiyorambwiza4100
    @lawiyorambwiza4100 9 месяцев назад +3

    Furaha kama Hizi zinapatikana YANGA,ASEC MIMOSA,Madrid

  • @AishaKhamiss-hg5xl
    @AishaKhamiss-hg5xl 9 месяцев назад +2

    Raha wallah❤

  • @PeterLukumay-o1l
    @PeterLukumay-o1l 8 месяцев назад

    Yanga timu kubwa tanzania happy barthiday

  • @MysarahMohamed
    @MysarahMohamed 9 месяцев назад

    Wachezaji wetu wanapendana mpk wanasisimua💚💛💚💛😇🔰

  • @JaphetMahona
    @JaphetMahona 8 месяцев назад

    Huuuu niupendo jaman upande wapili msituchukie

  • @MulhatRamadhan-fi9or
    @MulhatRamadhan-fi9or 9 месяцев назад +2

    Mashaallah

  • @raymondvunja371
    @raymondvunja371 9 месяцев назад

    Hongeren san wachezaji wangu 💛💚💛💚

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 9 месяцев назад +2

    Mmmh kumbe gamond sio mdogo kwenye issue za vibes 😅😅😅

  • @abubakaliyahaya2968
    @abubakaliyahaya2968 9 месяцев назад +2

    Good life ❤❤❤❤❤

  • @emanuelmiyonjo4484
    @emanuelmiyonjo4484 9 месяцев назад

    Nakubari san yanga daima mbele nyum mwiko