HUU NDIO UTOFAUTI WA MWANAMKE ALIYEFUNDWA NA ASIYEFUNDWA CHUMBANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 20

  • @FatmaOmar-r1t
    @FatmaOmar-r1t 2 месяца назад +2

    Sh .mi nachangia tofauti kati ya somo na mashauri,somo ni mshauri wa traditional way anatumia experience na haingii darasani kusoma ,lakin mashauri ni professional way experience ni ndogo zaidi,yy kwake kuingia darasani kusoma ni lazima , kwa yy ni ujuzi ambao unalindwa na theory maalum na practical zake ziko under special guidelines.

  • @salmamohamed1769
    @salmamohamed1769 2 месяца назад +5

    Naombeni pia muje muzungumzie na mada mipaka ya wazazi katika ndoa za watoto wao maana hapo napo Pana mengi

  • @zeinabathman4969
    @zeinabathman4969 2 месяца назад

    Swadakta somo mashallah hapo umegusa ndipo

  • @mohamedhussein-qb5sg
    @mohamedhussein-qb5sg 2 месяца назад

    Huyo somo pia nae aweamedumu kwenye ndoa na maadili mema , sio tena somo na kungwi wote wahuni wameachika ndoa millioni . Swadkta somo akiwa wa nasaba moja hapo kuna patikana stara .

  • @murangwahassan4291
    @murangwahassan4291 2 месяца назад +1

    Hiyo chai jamani mbona hamutwambie inatengezwa visit?somo Lindsay.

    • @murangwahassan4291
      @murangwahassan4291 2 месяца назад

      Tunashukuru sana je munaweza kutufundisha jinsi ya kutengeneza hiyo chai?

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 2 месяца назад

      Delusional 😂

    • @FatmaSaid-g3m
      @FatmaSaid-g3m 2 месяца назад

      Chai mbona anafundisha kwenye class zake? Join class zake tu utanufaik vingi

    • @KinguKingu-mg4ig
      @KinguKingu-mg4ig 2 месяца назад

      ​@@FatmaSaid-g3m tunalipataje Hilo darsa lake

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 месяца назад

    Hujui kiswahili.soma maana yake ni fundisho au mafundisho ya kiti fulani.na wajina ni mfanano wa kitu.iwe jina. Kungwi ni lugha ya kienyeji au ni laghaja ina maana ya maelekezo ya mahaba au mapenzi katika ndoa.

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto 2 месяца назад +1

      In shaa Allah kipindi kijacho unakaribishwa kuja kutufundisha kiswahili! Nami nijifunze 🙏

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 2 месяца назад

      @@AttiyaHassan_somomtoto sawa sawa

  • @RashidiAlly-cl7fo
    @RashidiAlly-cl7fo 2 месяца назад

    Jee! yupo aliyekhitimu mafunzo ya ndoa?

    • @FatmaSaid-g3m
      @FatmaSaid-g3m 2 месяца назад

      Hakuna aliekhitimu mafunzo ya ndoa,kwasababu elimu ni bahari ni kubwa kila ukisoma unaona bado hujasoma utahitaji zaidi na zaidi imani kubwa hata wanaosomesha basi nao wana kiu pia yakusoma

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi 2 месяца назад

    🤲🤲🤲❤️❤️❤️❤️👌👌

  • @ramlaali4130
    @ramlaali4130 2 месяца назад

    ❤❤❤

  • @mohdahmed5389
    @mohdahmed5389 2 месяца назад

    Somo ina maana tofauti,mojawapo ni kufanana kwa majina haijalishi mwanamke kwa mwanamke au mwanaume kwa kwa mwanaume hapo dada yangu umekosea ,rudi kwa wazee wa wazamani wakujuze

    • @binamachano1342
      @binamachano1342 2 месяца назад

      Rudi tena darasan shoga mwanamme Hana somo ilo ulosema wew n wajna sio somo

    • @mohdahmed5389
      @mohdahmed5389 2 месяца назад

      @@binamachano1342 inawezekana umri wako ni mdogo ndio maana mnachanganya mambo,kwanza mambo hayo ya somo hayataki usasa hapo zamani hizi ni lugha zikitumika zaidi vijijini wala si mjini ,wajina hili ni lugha ikitumika zaidi na watu wa bara,wanzanzibar tumeiga tu kwasababu ya usasa ni sawa na kusema mawasiliano ila kwa usasa munaita miundo mbinu ni lugha zimekuja baada .wewe kama unaye babu ambae anafikia umri wa miaka 70 au 80 nenda kamuuluze nini maana ya somo?jaribu kuelewa kua kiswahili ni lugha ambayo nenomoja linaweza kua na maana zaidi ya mbili au tatu.ningelitamani murudishiwe kipindi cha tv znz( .Ndivyo tulivyo)ila mzee bakari abeid ameshatangulia mbele ya haki.

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 2 месяца назад

    Mnadhani dunia ni ncha ya sindano 🪡 🪡 🧵