Hana akili nafasi gan hasa wewe ulivyoona hiyo interview kakosea nn presenter? Swali ilikua Tu hey stak kumzungumzia mtu bas sio kuzila kama dem yeye aendelee kulima Tu mziki unahitaji nidham sio huo upuuzi😅😅😂😂😂😊
Kila mahali unapo enda iwe football serikalini biasharaa na Kila kitu kitu mziki unaambiwa lazima nidham sasa uyo baraka et nitakuachia interview Yako 😂😂Kuna vitu vingn vinachekesha sasa hao hao ndy wanapiga nyimbo zako ana adabu kiburiii kinakutenga mablii na mziki huna tofauti na ruby wew 🤨
Nilikuwa nasikiaga huyu mwamba anavimba Sana 😮 but anakipaji kikubwa ila anabaki kuwa mdoyo kutokana na jazba ndiyo zinasababisha kuonekana hana nidhamu 😢
Bado najiuliz nin kinamtia jeuri huyu mang'ati mweusi...harmonize akiulizwa kuhus diamond anajibu vizur tu and vice versa. Life skills ni kitu muhim sana katk harakati zetu.
Hawa watu wa ainahii wapo wengi na tunaishi nao cha msingi wanavyo panik kwa ndugu mtangazaji unatakiwa uwe na busara kubwa kwake ili muwe sawa vinginevyo mnaweza mpoteza coz ndivyo alivyo❤
baraka hana nidhamu kabisa.. angefanya interview clouds asingefanya haya maupuuzi inamaana kawadharau mjini fm.. lakin kumbukeni hakuna msanii mkubwa zaid ya media
Huyu jama anajazba sana tafuta amani nawatu wote kiburi hakitakufikisha fasi siku zote Mungu huinuwa munyenyekevu njomana hawuvuki kama wengine . Punguza hasira kiburi njo utafanyikiwa 🫢🫢
Mkihoji wasanii muwahoji maswali ya maana na hao wasanii wengine mliopo nao hapo badala wa focus kwny yao wanaanza discuss msanii mwenzao hiyo sio poa .
BARAKA HAJAANZA KUCHAFUKA LEO,,KABLA HATA YA WAZO LA KUANZISHA ICHO KIPINDI CHENU YEYE ALISHANUKA...WASANII WENGINE WANAWAPA MASHART CHA KUWAULIZA...WENGINE MNAWAPALAMIA.
Dah hii inanikumbusha siku moja tumeenda kufanya nae show sisi tulkua as promota na kakaangu mmoja bwana eee maic ikagoma tu kidogo kuzungumza jamaa akashuka stejini nusura tupigwe kurudisha fedha za watu ila watu bdae walielewa ile situation mambo yakaisha huyu jamaa anahasra Sana ana roho ndogo Sana na hawez kucontro temper yake ndo kinachomfanya aeleweke vby mbele za watu
WTu hamjui misingi ya media mnaropoka tu jamaa yupo saw san na anajua san kuuliza maswal yamsingi swali alilomuulza ilkuw alijibu tu kwakuw limetokea katikat ya maelezo na nikweli lamuhusu, imagine kaulizwa kuhusu chaka to chak mtu kapanic unadhan ana akili huyo?? Baraka ana talent lkn wengi wamemgway kutokan na kiburi na ndiomaan kakir pale kuw michongo mingi kaikosa kwa issue ya nidhamu cyo kwamba wanamuonea kawadhihirishia live, mtu anayejielewa anapoulizwa swali ambalo hapendi kuzungumzia huwa anasema No comment lkn cyo kutukana watangazaj et stupid mnaotetea mnazkosea sana media huyo ustarajie kuna redio itamuit kwahyo style lbda tv za online za udaku
Ila interviewer alikuwa ana idea yake alikuwa hayuko tayari kusikiliza majibu, alikuwa anatarget yake kichwani, shida media za bongo nyingi zimekuwa udaku zaidi
Naaah, you guys are wrong, the whole interview was based on negativity hamkuongelea any positivity ya huyu dogo “Baraka” halafu mkaendelea na issue na kuongelea nidham. TZ media jamani aibu…. Media zote umbea tu. Ghhhhh
Sema dah hata kama ni misimamo shida ni kwamba baraka hajui impact ya media kwa msanii au mliamua iwe kiki maake sio kawaida ni yeye ndo wakwanza kuzingua kibongobongo
As a present u should know how yo deal with different people nyinyi mnajua kabisa mtu weakness yake alafu mnajaribu kwa nguvu kubwa kuonyesha udhaifu wake na kumuuliza maswali ya kiwaki
😂😂ata ningekua mm ningewazingua hamuwez mkaacha kuhoji kuusu kaz zake mnaanza kuongerea watu aliyowai kuthibitisha kua hawakubari afu mnataka tena yy afanye kitu kama kuwapa promo ko ibaki kua baraka anasimamia sana misingi yake 🏹
Kabisa bro nilichokigundua ni hawa wandishi hawampendi baraka juu mpaka baraka anawambia jamani tuzungumzie mziiki wao bado wanainsist Tu Kwa kumchokonoa wakwende zao uko
Bro hao ni waana habari,isitoshe muda wanao mwingi na wa kutosha,pia Baraka ana muda mwingi hayupo kwa game na ana wafuasi wake so wanataka kujua nini kinaendelea kwake so hauwezi tu kuulizwa masualu ya wimbo wako mpya kwa nusu saa nzima ,mchizi kwa ufupi ana kiburi
@@rajabmsinzia1715amna cha kiburi. Wao wanajuwa vizuri kuwa Baraka na Ally picha aziendi. Why waulizie hayo hayo asiyo yataka. Ni kutafuta na kukuza bifu za Wasanii. Wamezingua kwa hilo.
POLE SANA BARAK MIM NILIKUW SHABIKA WAKO MZURI SANA ILA BAADA YA WEW KUMTUSI ALIKIBA APO TU NDO UMEBOWAA SANA MZEE WEW NIMTOTO WA ALIKIBA WEW UWEZI KUWA NA BIFU NA ALIKIBA WEW FANYA BIFU NA K2GA SIO ALIKIBA ATA K2GA ANAKUSHIDA MPAKA ZAMBI TULIA HOME MZIKI UWEZI
Haya mambo ndio ney anasemaga media hazikuzi mapresenter wanaleta umaku tu an mtu hataki kuulizwa maswali personal ww unauliza tu mother fucker presenter 😚😚
Ata ingekuwa ni mim ningetembea mwanzo mwisho nidham mada zingine amna ongeleeni mziki wake sio tabia mnajua kabisa jamaa ka mind bado mnakazania nidham achen bhn
Uyo mtangazaji wa kiume ajifunze kuhoji jua mtu anataka nin mfanye mtu afulahie kuwepo kweny kipindi chako sio ionekane unamualibia siku igen mfano kwa sns na media zingine kubwa😁😁
@@Mbaley ni kweli apangiwi lakn ukiona msanii au mtu yeyeto anahojiwa huwa kuna swali ataki kuulizwa na aitakiwi alazimishwe kuulizwa iyo ni sehem ya buludan sio mahakaman kwamb lazm ujib unaloulizwa awamuulizi kuhusu mziki wake wanamuuliza kuhusu nidham na kuhus wasanii wengine lazim mt upanic umeuliza nidham umejibiwa unang'ania ilo ilo swali balaka yupo sahihi ilibidi waulize kuhusu mziki wake na sio maisha yake private
Baraka hasira zinamuweka mbali sana na ulimwengu wa burudani 😢😢😢
Wazee baraka amewapeleka mjini, kila mtu anatafuta mjini fm kwahyo shukru tu baraka alivofanya
Barakah mpumbavu sana hakil hana
Wangapi tumekuja kuona mbwamba akisepa chumba cha interview 😂
Daah Barakah hataki kabisa kuuliza Ali Kiba
Siku zote kiburi na majivuno ni adui wa mafanikio hilo ndio tatizo linalo mla baraka
Baraka ana uwezo na nimuelewa sio mtumwa tumupe nafasi..mziki wa baraka nimukali sana.. mimi ningekuwa na uwezo ninge invest kwa baraka
Ni kweli. Ana beats na mashairi mazuri sana. "Sometimes I Miss You" ilinikosha sana
Uwekeze kwa baraka???😂😂😂
Kiburi kuya mponza
Hana akili nafasi gan hasa wewe ulivyoona hiyo interview kakosea nn presenter? Swali ilikua Tu hey stak kumzungumzia mtu bas sio kuzila kama dem yeye aendelee kulima Tu mziki unahitaji nidham sio huo upuuzi😅😅😂😂😂😊
Kila mahali unapo enda iwe football serikalini biasharaa na Kila kitu kitu mziki unaambiwa lazima nidham sasa uyo baraka et nitakuachia interview Yako 😂😂Kuna vitu vingn vinachekesha sasa hao hao ndy wanapiga nyimbo zako ana adabu kiburiii kinakutenga mablii na mziki huna tofauti na ruby wew 🤨
Af mbona huyo black queen ni mtangazaji yani ni presenter mzuri anamfunika had huyo presenter wenu,, huyo dada akikaa mbele ya kipaza unyama sanaa
>>>Kweli kabisa
I like the way presenters wame handle upuuzi wa Baraka
Interview nimahojiano sasa huwezi mpangia mtu cha kukuhoji anakuhoji kile anajisikia yeye
Nilikuwa nasikiaga huyu mwamba anavimba Sana 😮 but anakipaji kikubwa ila anabaki kuwa mdoyo kutokana na jazba ndiyo zinasababisha kuonekana hana nidhamu 😢
Jamaha kama mwanamke daaaaaaa barakah jau
Baraka the prince kazingua kususa interview huo Ni ushambaaaa
We dar boy umetumwa maswali ya kiba yashapitaga long time sana sasa leo haina haja ya kuask tena niaje babuu
Bado najiuliz nin kinamtia jeuri huyu mang'ati mweusi...harmonize akiulizwa kuhus diamond anajibu vizur tu and vice versa. Life skills ni kitu muhim sana katk harakati zetu.
jamaa hampendi ally kiba balaa
Ajibu tuu siwatu wanataka kujua,najinsi ya kujibu ipo aina mingi sana
Hawa watu wa ainahii wapo wengi na tunaishi nao cha msingi wanavyo panik kwa ndugu mtangazaji unatakiwa uwe na busara kubwa kwake ili muwe sawa vinginevyo mnaweza mpoteza coz ndivyo alivyo❤
Uoni mtangazaji alicho kufanya bro SEMA baraka ninyau tu ana ata adabu maana mtu kamples sana Wala ajaludia swal
Ani hii ndo maana halisi ya "Mchizi chizi kichiziii😄😂ndo huyu Baraka sasa "
Oya mtangazaji acha kua ivo bana u disappointe the artist bana
Baraka hana uvumilivu hana busara hana hekima hana uwezo wa kujitambua hana nidhamu na anajisikia Sana.
Sindio yaan huyu jamaaa ananiumiza sana majibu yake😢😢
pole barakah ulitakiw mzik wako Sasa ukilipe zaid ya jay melody Lakin Hakuna mahali utafika kama hutoharibika
Mungu anawapinga wenye kiburi!
Moshi sio mzuri aisee
Wasukuma wasenge sana😮😮😮😮😮😮
Msenge baba ako
Ww amna unacho jua baraka ni mjaruo
Barakah the prince msanii mkali sana sema ndo hvyo anachukiwa na ningekuwa na hela ningemmanage for sure??
Umbea mwingi barakah kakuambia ongelea mziki wake ww unaleta umbea
sema baraka anajuwa Sana kuimba Ila tu kburi Yan Kama ruby tuu Ila awa watu wawl noma sana kwenye Gam
Waoga wote wanasema hana nidhamu. Black militancy ma' man ✊🏿
Kwenye interview kuna swali linaulizwa Can you handle stress? Or pressure? Kwa hapo mzee baba kafeli
Mshamba huyuu Jamaaa
Watangazaji pia hawana weledi
Me namuelewa uyo baraka ana msongo wa mawazo mnooo
daah nimezoea kuona wasanii weng wana exposure kubwa ya kimaisha lakin kwa nimeona tofaut sana coz unawaza kidogo mno!
Kiburi ya upuzi haisaidii... Baraka apunguze Kiburi mziki wake usonge
Kuna tofauti ya kiburi na msimamo....wake ni msimamo sio kiburi..hapo uelewe
Ushamba huo ndo maana hana mafanikio na ndo anguko lake hana maana hana mafanikio
Nyie mbona hamna nizamu watangazaj wasengelema nyny msilazimixh vitu kila mmoj ana life lake msifoc mkundu kujamba
Flowers 🌺🌺🌹 nakupa maua yako
Realness 💯 Da prince 💪💪i support nigga
Watanzaji nimewapenda sana mnavyouliza maswali
😊😊😊
Baraka chizi😂😂
baraka hana nidhamu kabisa.. angefanya interview clouds asingefanya haya maupuuzi inamaana kawadharau mjini fm..
lakin kumbukeni hakuna msanii mkubwa zaid ya media
Mnazingua sana ninyi watangazaji
Baraka anajua kuimba tatizo ni hapendi mafanikio ya wenzie..
Good
Hii trend mzee😂😂😂😂
Kawaonesha kuwa ananidhamu au vp😂😂 hilo toto puuz kinyama
Choko atiboi huyo Dogo
Baraka amekosa u professional hapo lakini ni msanii mzuri
M imeiangalia kwa engo nyingine baraka akipata menegement unayo mmold atakuwa sawa
Baraka anaitaji maombi ila kawaleta mjini
Huyu jamaa n motuo
Baraka amepeleka kuvimba kwenye interview lakini presenters wamehandle situation vyema 🇰🇪
Hiyo nidhamu mbovu kabisaaa,,,,
Huyu dogo maisha ya mziki hayawezi kulingana na kujidai kwake yani ana attitude sana
Mbona alikiba hamuulizi ishu baraka au mond kwakua munamuogopa
Huyu jama anajazba sana tafuta amani nawatu wote kiburi hakitakufikisha fasi siku zote Mungu huinuwa munyenyekevu njomana hawuvuki kama wengine . Punguza hasira kiburi njo utafanyikiwa 🫢🫢
Mkihoji wasanii muwahoji maswali ya maana na hao wasanii wengine mliopo nao hapo badala wa focus kwny yao wanaanza discuss msanii mwenzao hiyo sio poa .
Jamaa Hana Akili kabisa
Maswali gan wanamuuliza awa watangazaji
Mpuz sana
BARAKA HAJAANZA KUCHAFUKA LEO,,KABLA HATA YA WAZO LA KUANZISHA ICHO KIPINDI CHENU YEYE ALISHANUKA...WASANII WENGINE WANAWAPA MASHART CHA KUWAULIZA...WENGINE MNAWAPALAMIA.
Uyo auwez mziki
Dah hii inanikumbusha siku moja tumeenda kufanya nae show sisi tulkua as promota na kakaangu mmoja bwana eee maic ikagoma tu kidogo kuzungumza jamaa akashuka stejini nusura tupigwe kurudisha fedha za watu ila watu bdae walielewa ile situation mambo yakaisha huyu jamaa anahasra Sana ana roho ndogo Sana na hawez kucontro temper yake ndo kinachomfanya aeleweke vby mbele za watu
Hii hali alikiba amevumilia mengi😂😂😂😂
Wasenge wamemutega kbs nimutego huyu kwasababu warikuwa wanajua sematuu nimwana muziki muzul
Sasa ameondoka baraka mnamuliza vitu kuhusu project zake,afu wakat yup baraka mnaongea ,vitu tofaut, presenter wa kium hujielewi
WTu hamjui misingi ya media mnaropoka tu jamaa yupo saw san na anajua san kuuliza maswal yamsingi swali alilomuulza ilkuw alijibu tu kwakuw limetokea katikat ya maelezo na nikweli lamuhusu, imagine kaulizwa kuhusu chaka to chak mtu kapanic unadhan ana akili huyo?? Baraka ana talent lkn wengi wamemgway kutokan na kiburi na ndiomaan kakir pale kuw michongo mingi kaikosa kwa issue ya nidhamu cyo kwamba wanamuonea kawadhihirishia live, mtu anayejielewa anapoulizwa swali ambalo hapendi kuzungumzia huwa anasema No comment lkn cyo kutukana watangazaj et stupid mnaotetea mnazkosea sana media huyo ustarajie kuna redio itamuit kwahyo style lbda tv za online za udaku
Ila interviewer alikuwa ana idea yake alikuwa hayuko tayari kusikiliza majibu, alikuwa anatarget yake kichwani, shida media za bongo nyingi zimekuwa udaku zaidi
yaaaaaaaap kiba ni maji atayanywa tuu
imeisha hiyo
Oya king nahic hyu mtt ulimpga mwingi aiseee ulimfanya huyu maana cio kwa kuchukia ivyo😂😂
Kweli hana nidhamu aisee 😂😂😂😂😂
baraka ni matako kweli,, achaneni nae kunguni mweusi km mkaa aliopaka stan bakora
baraka hana nidhamu kabisa na kwakifupi amepotea kwenge mziki hatutamuona akipiga atua yoyote kwenye mziki ( ameisha)
Watangazaji nao.wasenge ty mnapenda kufanya kitu kiwe kikuuubwaaaa
Mbona anabisha? jamaa hana nidham akubali tu kama ana ni dham atoe album tu enjoy anavyo kaa kimya shabik zak inatuuma
Barka ajuagi kujikotoro Yani sasa ayo ma swali mbna madogo Sana lakini jamaa kasula kipindi 😂😂😂😂😂
Naaah, you guys are wrong, the whole interview was based on negativity hamkuongelea any positivity ya huyu dogo “Baraka” halafu mkaendelea na issue na kuongelea nidham. TZ media jamani aibu….
Media zote umbea tu. Ghhhhh
I agreed with you 💯👌🏾
suree.... wanazingua watangazaji, hawajui kuelewa mtu hataki nini, wanataka wao tu ndo waweke mipaka ya nini hawataki
@@turbotzlifestyle true
Hilo ni chizi😅
ISHU YA GOODFATHER IPO MZEE WEWE MKUBWA WAKO
KWENYE MUSIC UNAE NA MKUBWA WAKO NAYEYE ANAE GOODFATHER KWENYE
KALIA YAKO MZEE ACHA KUPISHA
Baraka n ufala tu King sio mtu wakugombn na ww
Ila baraka kweliii Hana nidhamu mbona naona Kuna wasanii kibao wanaulizwa maswali magumu lakn wanatulia na wanakua wastalabu mpaka intavyu inaisha
Pole sana kaka lakin Mungu yupo kaka nenda kanisan
Naisi imetengenezwa ka kiki ili iende ngoma
Mshamba sn huyo baraka tena knm mshamba sana bwege sn...
Sema dah hata kama ni misimamo shida ni kwamba baraka hajui impact ya media kwa msanii au mliamua iwe kiki maake sio kawaida ni yeye ndo wakwanza kuzingua kibongobongo
As a present u should know how yo deal with different people nyinyi mnajua kabisa mtu weakness yake alafu mnajaribu kwa nguvu kubwa kuonyesha udhaifu wake na kumuuliza maswali ya kiwaki
Mbwa uyo asiwachoshe😅
Utasikia ngoma yake mpya inaitwa "NASUSA"
😂😂😂😂
😂😂ata ningekua mm ningewazingua hamuwez mkaacha kuhoji kuusu kaz zake mnaanza kuongerea watu aliyowai kuthibitisha kua hawakubari afu mnataka tena yy afanye kitu kama kuwapa promo ko ibaki kua baraka anasimamia sana misingi yake 🏹
Kabisa bro nilichokigundua ni hawa wandishi hawampendi baraka juu mpaka baraka anawambia jamani tuzungumzie mziiki wao bado wanainsist Tu Kwa kumchokonoa wakwende zao uko
Bro hao ni waana habari,isitoshe muda wanao mwingi na wa kutosha,pia Baraka ana muda mwingi hayupo kwa game na ana wafuasi wake so wanataka kujua nini kinaendelea kwake so hauwezi tu kuulizwa masualu ya wimbo wako mpya kwa nusu saa nzima ,mchizi kwa ufupi ana kiburi
Wanafirwa hao
@@rajabmsinzia1715amna cha kiburi. Wao wanajuwa vizuri kuwa Baraka na Ally picha aziendi. Why waulizie hayo hayo asiyo yataka. Ni kutafuta na kukuza bifu za Wasanii. Wamezingua kwa hilo.
Hizo ndio kazi za Media. Kiwao wako Sawa! Kuchonganisha kufitinisha....so msanii inabidi awe smart kujibu maswali. So msiwalaumu...🇰🇪
POLE SANA BARAK MIM NILIKUW SHABIKA WAKO MZURI SANA ILA BAADA YA WEW KUMTUSI ALIKIBA APO TU NDO UMEBOWAA SANA MZEE WEW NIMTOTO WA ALIKIBA WEW UWEZI KUWA NA BIFU NA ALIKIBA WEW FANYA BIFU NA K2GA SIO ALIKIBA ATA K2GA ANAKUSHIDA MPAKA ZAMBI TULIA HOME MZIKI UWEZI
kwaiyo kisa Ni bos wako akikuznguwa utamchekea t iyo Ni nidham ya uwoga
Chenge Barak
😭😭😭😭😭😭😭
Haya mambo ndio ney anasemaga media hazikuzi mapresenter wanaleta umaku tu an mtu hataki kuulizwa maswali personal ww unauliza tu mother fucker presenter 😚😚
Wamezingua
Ata ingekuwa ni mim ningetembea mwanzo mwisho nidham mada zingine amna ongeleeni mziki wake sio tabia mnajua kabisa jamaa ka mind bado mnakazania nidham achen bhn
Wasenge hao
Jamaa alikuwa anaweka mfano sasa yeye kachukia nn
Baraka yuko sawa mbona kama walikua wana mrenga atakama niwewe jiulizee2...jamanii kunawatu wanatumwa kuharibu karia yake kwanza anauvumilivu sana
Alikuwa anaweka kama mfano
@@dannyelias382 kwamhuska
Ameonyesha udhaifu mkubwa wakususa 😂 anaonekana alikuwa anazira chakula kwao😂 nidhamu ni muhim
Msanii kaja kutambulisha kazi yake, unaleta story za mambo binafsi, badala ya kupush kazi yake, Then mnataka wasanii wafike international levels
Dar baraka acha zarau
Uyo mtangazaji wa kiume ajifunze kuhoji jua mtu anataka nin mfanye mtu afulahie kuwepo kweny kipindi chako sio ionekane unamualibia siku igen mfano kwa sns na media zingine kubwa😁😁
Baba mtangazi hapangiwi maswali ya kuuliza kk😅
@@Mbaley ni kweli apangiwi lakn ukiona msanii au mtu yeyeto anahojiwa huwa kuna swali ataki kuulizwa na aitakiwi alazimishwe kuulizwa iyo ni sehem ya buludan sio mahakaman kwamb lazm ujib unaloulizwa awamuulizi kuhusu mziki wake wanamuuliza kuhusu nidham na kuhus wasanii wengine lazim mt upanic umeuliza nidham umejibiwa unang'ania ilo ilo swali balaka yupo sahihi ilibidi waulize kuhusu mziki wake na sio maisha yake private
ni kweli watangazaji ampo Active na mtu 🙏☝️
Kwani King Kiba ali mfanya nini? Coz hii yake c Kawaida
Daahh 😂😂😂
Watangazaji wasenge wasenge