BARAKAH THE PRINCE : ASUSIA INTERVIEW MJINI FM LIVE/KIBURI SINA/NIDHAMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 ноя 2023
  • BARAKAH THE PRINCE : ASUSIA INTERVIEW MJINI FM LIVE/KIBURI SINA/NIDHAMU
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 237

  • @mrkimlee7121
    @mrkimlee7121 7 месяцев назад +23

    Baraka hasira zinamuweka mbali sana na ulimwengu wa burudani 😢😢😢

  • @sebastiankimendo8333
    @sebastiankimendo8333 7 месяцев назад +6

    Wazee baraka amewapeleka mjini, kila mtu anatafuta mjini fm kwahyo shukru tu baraka alivofanya

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone 7 месяцев назад +3

    Barakah mpumbavu sana hakil hana

  • @alidyaya4512
    @alidyaya4512 7 месяцев назад +16

    Wangapi tumekuja kuona mbwamba akisepa chumba cha interview 😂

  • @NASMEDIATV
    @NASMEDIATV 7 месяцев назад +3

    Daah Barakah hataki kabisa kuuliza Ali Kiba

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 7 месяцев назад +7

    Siku zote kiburi na majivuno ni adui wa mafanikio hilo ndio tatizo linalo mla baraka

  • @k.kswitzerland4168
    @k.kswitzerland4168 7 месяцев назад +26

    Baraka ana uwezo na nimuelewa sio mtumwa tumupe nafasi..mziki wa baraka nimukali sana.. mimi ningekuwa na uwezo ninge invest kwa baraka

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os 7 месяцев назад

      Ni kweli. Ana beats na mashairi mazuri sana. "Sometimes I Miss You" ilinikosha sana

    • @zuberimohamed43
      @zuberimohamed43 7 месяцев назад +1

      Uwekeze kwa baraka???😂😂😂

    • @Mbaley
      @Mbaley 7 месяцев назад

      Kiburi kuya mponza

    • @ramseychobaliko1002
      @ramseychobaliko1002 7 месяцев назад +1

      Hana akili nafasi gan hasa wewe ulivyoona hiyo interview kakosea nn presenter? Swali ilikua Tu hey stak kumzungumzia mtu bas sio kuzila kama dem yeye aendelee kulima Tu mziki unahitaji nidham sio huo upuuzi😅😅😂😂😂😊

    • @user-oe9zv7hq9p
      @user-oe9zv7hq9p 7 месяцев назад +1

      Kila mahali unapo enda iwe football serikalini biasharaa na Kila kitu kitu mziki unaambiwa lazima nidham sasa uyo baraka et nitakuachia interview Yako 😂😂Kuna vitu vingn vinachekesha sasa hao hao ndy wanapiga nyimbo zako ana adabu kiburiii kinakutenga mablii na mziki huna tofauti na ruby wew 🤨

  • @sebastiankimendo8333
    @sebastiankimendo8333 7 месяцев назад +16

    Af mbona huyo black queen ni mtangazaji yani ni presenter mzuri anamfunika had huyo presenter wenu,, huyo dada akikaa mbele ya kipaza unyama sanaa

  • @SWAHILINATION
    @SWAHILINATION 7 месяцев назад +10

    I like the way presenters wame handle upuuzi wa Baraka

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone 7 месяцев назад

      Interview nimahojiano sasa huwezi mpangia mtu cha kukuhoji anakuhoji kile anajisikia yeye

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 7 месяцев назад +7

    Nilikuwa nasikiaga huyu mwamba anavimba Sana 😮 but anakipaji kikubwa ila anabaki kuwa mdoyo kutokana na jazba ndiyo zinasababisha kuonekana hana nidhamu 😢

  • @user-ht4yh3bz8r
    @user-ht4yh3bz8r 7 месяцев назад +4

    Jamaha kama mwanamke daaaaaaa barakah jau

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 7 месяцев назад +1

    Baraka the prince kazingua kususa interview huo Ni ushambaaaa

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 7 месяцев назад +2

    We dar boy umetumwa maswali ya kiba yashapitaga long time sana sasa leo haina haja ya kuask tena niaje babuu

  • @abuurodney1996
    @abuurodney1996 7 месяцев назад +5

    Bado najiuliz nin kinamtia jeuri huyu mang'ati mweusi...harmonize akiulizwa kuhus diamond anajibu vizur tu and vice versa. Life skills ni kitu muhim sana katk harakati zetu.

  • @MohamedLimbuni
    @MohamedLimbuni 7 месяцев назад +2

    jamaa hampendi ally kiba balaa

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone 7 месяцев назад +1

    Ajibu tuu siwatu wanataka kujua,najinsi ya kujibu ipo aina mingi sana

  • @hassanabdul3277
    @hassanabdul3277 7 месяцев назад +6

    Hawa watu wa ainahii wapo wengi na tunaishi nao cha msingi wanavyo panik kwa ndugu mtangazaji unatakiwa uwe na busara kubwa kwake ili muwe sawa vinginevyo mnaweza mpoteza coz ndivyo alivyo❤

    • @davidpaschal778
      @davidpaschal778 7 месяцев назад

      Uoni mtangazaji alicho kufanya bro SEMA baraka ninyau tu ana ata adabu maana mtu kamples sana Wala ajaludia swal

  • @Rehmathathman23
    @Rehmathathman23 7 месяцев назад +4

    Ani hii ndo maana halisi ya "Mchizi chizi kichiziii😄😂ndo huyu Baraka sasa "

  • @augustfive5279
    @augustfive5279 7 месяцев назад +2

    Oya mtangazaji acha kua ivo bana u disappointe the artist bana

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 7 месяцев назад +11

    Baraka hana uvumilivu hana busara hana hekima hana uwezo wa kujitambua hana nidhamu na anajisikia Sana.

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone 7 месяцев назад

      Sindio yaan huyu jamaaa ananiumiza sana majibu yake😢😢

  • @user-hp6bf5lh2d
    @user-hp6bf5lh2d 7 месяцев назад +1

    pole barakah ulitakiw mzik wako Sasa ukilipe zaid ya jay melody Lakin Hakuna mahali utafika kama hutoharibika

  • @antonykomba6631
    @antonykomba6631 7 месяцев назад +5

    Mungu anawapinga wenye kiburi!

  • @makepoundbemillionire9688
    @makepoundbemillionire9688 7 месяцев назад +1

    Moshi sio mzuri aisee

  • @user-jk4kw8jr4v
    @user-jk4kw8jr4v 7 месяцев назад +4

    Wasukuma wasenge sana😮😮😮😮😮😮

  • @user-yi1rl1nr8i
    @user-yi1rl1nr8i 6 месяцев назад

    Barakah the prince msanii mkali sana sema ndo hvyo anachukiwa na ningekuwa na hela ningemmanage for sure??

  • @user-zc5zo2jm8v
    @user-zc5zo2jm8v 7 месяцев назад +1

    Umbea mwingi barakah kakuambia ongelea mziki wake ww unaleta umbea

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 7 месяцев назад +4

    sema baraka anajuwa Sana kuimba Ila tu kburi Yan Kama ruby tuu Ila awa watu wawl noma sana kwenye Gam

  • @TheGuestofHannah
    @TheGuestofHannah 6 месяцев назад

    Waoga wote wanasema hana nidhamu. Black militancy ma' man ✊🏿

  • @davidkimath1945
    @davidkimath1945 7 месяцев назад +8

    Kwenye interview kuna swali linaulizwa Can you handle stress? Or pressure? Kwa hapo mzee baba kafeli

  • @allyismail455
    @allyismail455 7 месяцев назад +3

    Watangazaji pia hawana weledi

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 7 месяцев назад +3

    Me namuelewa uyo baraka ana msongo wa mawazo mnooo

  • @saididuri3518
    @saididuri3518 7 месяцев назад +3

    daah nimezoea kuona wasanii weng wana exposure kubwa ya kimaisha lakin kwa nimeona tofaut sana coz unawaza kidogo mno!

  • @yatchyken7035
    @yatchyken7035 7 месяцев назад +3

    Kiburi ya upuzi haisaidii... Baraka apunguze Kiburi mziki wake usonge

    • @princederoo5361
      @princederoo5361 7 месяцев назад

      Kuna tofauti ya kiburi na msimamo....wake ni msimamo sio kiburi..hapo uelewe

  • @Loftyattorneys
    @Loftyattorneys 7 месяцев назад +5

    Ushamba huo ndo maana hana mafanikio na ndo anguko lake hana maana hana mafanikio

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws 7 месяцев назад +3

    Nyie mbona hamna nizamu watangazaj wasengelema nyny msilazimixh vitu kila mmoj ana life lake msifoc mkundu kujamba

  • @user-vx1yj8il1e
    @user-vx1yj8il1e 7 месяцев назад +3

    Flowers 🌺🌺🌹 nakupa maua yako

  • @Barakah001
    @Barakah001 7 месяцев назад +1

    Realness 💯 Da prince 💪💪i support nigga

  • @user-ft7oh3te8n
    @user-ft7oh3te8n 7 месяцев назад +5

    Watanzaji nimewapenda sana mnavyouliza maswali

  • @abdallahamiri8527
    @abdallahamiri8527 7 месяцев назад +7

    Baraka chizi😂😂

  • @mwinjanavil
    @mwinjanavil 7 месяцев назад +1

    baraka hana nidhamu kabisa.. angefanya interview clouds asingefanya haya maupuuzi inamaana kawadharau mjini fm..
    lakin kumbukeni hakuna msanii mkubwa zaid ya media

  • @Zaburi-
    @Zaburi- 7 месяцев назад +6

    Mnazingua sana ninyi watangazaji

  • @Yushimelody
    @Yushimelody 7 месяцев назад +1

    Baraka anajua kuimba tatizo ni hapendi mafanikio ya wenzie..

  • @ramdykahoofficial4317
    @ramdykahoofficial4317 7 месяцев назад +1

    Good

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz1233 7 месяцев назад +6

    Hii trend mzee😂😂😂😂

  • @zuberimohamed43
    @zuberimohamed43 7 месяцев назад +6

    Kawaonesha kuwa ananidhamu au vp😂😂 hilo toto puuz kinyama

  • @ramsonmugisha961
    @ramsonmugisha961 7 месяцев назад +2

    Baraka amekosa u professional hapo lakini ni msanii mzuri

  • @agathandako8816
    @agathandako8816 7 месяцев назад +1

    M imeiangalia kwa engo nyingine baraka akipata menegement unayo mmold atakuwa sawa

  • @evancewebbo0
    @evancewebbo0 7 месяцев назад +3

    Baraka anaitaji maombi ila kawaleta mjini

  • @user-cf5sy7lv9l
    @user-cf5sy7lv9l 7 месяцев назад +1

    Huyu jamaa n motuo

  • @kelvinthagicu
    @kelvinthagicu 7 месяцев назад +2

    Baraka amepeleka kuvimba kwenye interview lakini presenters wamehandle situation vyema 🇰🇪

  • @zomasamweli
    @zomasamweli 7 месяцев назад +1

    Hiyo nidhamu mbovu kabisaaa,,,,

  • @kibwanakhamisi5604
    @kibwanakhamisi5604 7 месяцев назад +3

    Huyu dogo maisha ya mziki hayawezi kulingana na kujidai kwake yani ana attitude sana

  • @nuhumaalim9338
    @nuhumaalim9338 7 месяцев назад +2

    Mbona alikiba hamuulizi ishu baraka au mond kwakua munamuogopa

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 7 месяцев назад

    Huyu jama anajazba sana tafuta amani nawatu wote kiburi hakitakufikisha fasi siku zote Mungu huinuwa munyenyekevu njomana hawuvuki kama wengine . Punguza hasira kiburi njo utafanyikiwa 🫢🫢

  • @ronaldiko8794
    @ronaldiko8794 7 месяцев назад +1

    Mkihoji wasanii muwahoji maswali ya maana na hao wasanii wengine mliopo nao hapo badala wa focus kwny yao wanaanza discuss msanii mwenzao hiyo sio poa .

  • @user-gn4ww9sx6v
    @user-gn4ww9sx6v 7 месяцев назад

    Jamaa Hana Akili kabisa

  • @boniphacekulwa948
    @boniphacekulwa948 7 месяцев назад +1

    Maswali gan wanamuuliza awa watangazaji

  • @asmakhamis6508
    @asmakhamis6508 7 месяцев назад

    Mpuz sana

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 7 месяцев назад

    BARAKA HAJAANZA KUCHAFUKA LEO,,KABLA HATA YA WAZO LA KUANZISHA ICHO KIPINDI CHENU YEYE ALISHANUKA...WASANII WENGINE WANAWAPA MASHART CHA KUWAULIZA...WENGINE MNAWAPALAMIA.

  • @doubleseven7750
    @doubleseven7750 7 месяцев назад +2

    Uyo auwez mziki

  • @vicentkamchape6093
    @vicentkamchape6093 7 месяцев назад +1

    Dah hii inanikumbusha siku moja tumeenda kufanya nae show sisi tulkua as promota na kakaangu mmoja bwana eee maic ikagoma tu kidogo kuzungumza jamaa akashuka stejini nusura tupigwe kurudisha fedha za watu ila watu bdae walielewa ile situation mambo yakaisha huyu jamaa anahasra Sana ana roho ndogo Sana na hawez kucontro temper yake ndo kinachomfanya aeleweke vby mbele za watu

  • @YusuphMaswe
    @YusuphMaswe 7 месяцев назад +2

    Hii hali alikiba amevumilia mengi😂😂😂😂

  • @besteva499
    @besteva499 7 месяцев назад

    Wasenge wamemutega kbs nimutego huyu kwasababu warikuwa wanajua sematuu nimwana muziki muzul

  • @kenedypaul1776-ni2nl
    @kenedypaul1776-ni2nl 7 месяцев назад +2

    Sasa ameondoka baraka mnamuliza vitu kuhusu project zake,afu wakat yup baraka mnaongea ,vitu tofaut, presenter wa kium hujielewi

    • @zuberimohamed43
      @zuberimohamed43 7 месяцев назад

      WTu hamjui misingi ya media mnaropoka tu jamaa yupo saw san na anajua san kuuliza maswal yamsingi swali alilomuulza ilkuw alijibu tu kwakuw limetokea katikat ya maelezo na nikweli lamuhusu, imagine kaulizwa kuhusu chaka to chak mtu kapanic unadhan ana akili huyo?? Baraka ana talent lkn wengi wamemgway kutokan na kiburi na ndiomaan kakir pale kuw michongo mingi kaikosa kwa issue ya nidhamu cyo kwamba wanamuonea kawadhihirishia live, mtu anayejielewa anapoulizwa swali ambalo hapendi kuzungumzia huwa anasema No comment lkn cyo kutukana watangazaj et stupid mnaotetea mnazkosea sana media huyo ustarajie kuna redio itamuit kwahyo style lbda tv za online za udaku

  • @geeva99
    @geeva99 7 месяцев назад

    Ila interviewer alikuwa ana idea yake alikuwa hayuko tayari kusikiliza majibu, alikuwa anatarget yake kichwani, shida media za bongo nyingi zimekuwa udaku zaidi

  • @user-lb4xo9oe4t
    @user-lb4xo9oe4t 7 месяцев назад +1

    yaaaaaaaap kiba ni maji atayanywa tuu

  • @blueninjatz997
    @blueninjatz997 7 месяцев назад

    imeisha hiyo

  • @user-en4ud3wc2j
    @user-en4ud3wc2j 7 месяцев назад +2

    Oya king nahic hyu mtt ulimpga mwingi aiseee ulimfanya huyu maana cio kwa kuchukia ivyo😂😂

  • @marokeyLFM
    @marokeyLFM 7 месяцев назад +3

    Kweli hana nidhamu aisee 😂😂😂😂😂

  • @Dantaata
    @Dantaata 7 месяцев назад +1

    baraka ni matako kweli,, achaneni nae kunguni mweusi km mkaa aliopaka stan bakora

  • @richardnicholaus1990
    @richardnicholaus1990 7 месяцев назад +1

    baraka hana nidhamu kabisa na kwakifupi amepotea kwenge mziki hatutamuona akipiga atua yoyote kwenye mziki ( ameisha)

  • @user-gf8gm4hp5e
    @user-gf8gm4hp5e 7 месяцев назад

    Watangazaji nao.wasenge ty mnapenda kufanya kitu kiwe kikuuubwaaaa

  • @TeamBaganofficial
    @TeamBaganofficial 7 месяцев назад +4

    Mbona anabisha? jamaa hana nidham akubali tu kama ana ni dham atoe album tu enjoy anavyo kaa kimya shabik zak inatuuma

  • @nelsonmaganya5391
    @nelsonmaganya5391 7 месяцев назад +2

    Barka ajuagi kujikotoro Yani sasa ayo ma swali mbna madogo Sana lakini jamaa kasula kipindi 😂😂😂😂😂

  • @Dawah99
    @Dawah99 7 месяцев назад +5

    Naaah, you guys are wrong, the whole interview was based on negativity hamkuongelea any positivity ya huyu dogo “Baraka” halafu mkaendelea na issue na kuongelea nidham. TZ media jamani aibu….
    Media zote umbea tu. Ghhhhh

    • @Mina.15
      @Mina.15 7 месяцев назад +1

      I agreed with you 💯👌🏾

    • @turbotzlifestyle
      @turbotzlifestyle 7 месяцев назад +1

      suree.... wanazingua watangazaji, hawajui kuelewa mtu hataki nini, wanataka wao tu ndo waweke mipaka ya nini hawataki

    • @Dawah99
      @Dawah99 6 месяцев назад

      @@turbotzlifestyle true

  • @AngelmackieCharity
    @AngelmackieCharity 7 месяцев назад +7

    Hilo ni chizi😅

  • @KimbilimaSocial-dy9cl
    @KimbilimaSocial-dy9cl 7 месяцев назад +1

    ISHU YA GOODFATHER IPO MZEE WEWE MKUBWA WAKO
    KWENYE MUSIC UNAE NA MKUBWA WAKO NAYEYE ANAE GOODFATHER KWENYE
    KALIA YAKO MZEE ACHA KUPISHA

  • @johnmshenga-ce8wp
    @johnmshenga-ce8wp 7 месяцев назад +1

    Baraka n ufala tu King sio mtu wakugombn na ww

  • @AlexJumanne-ls5gm
    @AlexJumanne-ls5gm 7 месяцев назад +1

    Ila baraka kweliii Hana nidhamu mbona naona Kuna wasanii kibao wanaulizwa maswali magumu lakn wanatulia na wanakua wastalabu mpaka intavyu inaisha

  • @ChescoMwakipesile
    @ChescoMwakipesile 7 месяцев назад

    Pole sana kaka lakin Mungu yupo kaka nenda kanisan

  • @malimanyanja562
    @malimanyanja562 7 месяцев назад +2

    Naisi imetengenezwa ka kiki ili iende ngoma

  • @dsuzerbweko4148
    @dsuzerbweko4148 7 месяцев назад

    Mshamba sn huyo baraka tena knm mshamba sana bwege sn...

  • @taaborafm
    @taaborafm Месяц назад

    Sema dah hata kama ni misimamo shida ni kwamba baraka hajui impact ya media kwa msanii au mliamua iwe kiki maake sio kawaida ni yeye ndo wakwanza kuzingua kibongobongo

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 7 месяцев назад +2

    As a present u should know how yo deal with different people nyinyi mnajua kabisa mtu weakness yake alafu mnajaribu kwa nguvu kubwa kuonyesha udhaifu wake na kumuuliza maswali ya kiwaki

  • @rashidrashidmaulid1129
    @rashidrashidmaulid1129 7 месяцев назад +1

    Mbwa uyo asiwachoshe😅

  • @user-bf6dm1zg2i
    @user-bf6dm1zg2i 7 месяцев назад +4

    Utasikia ngoma yake mpya inaitwa "NASUSA"

    • @Mina.15
      @Mina.15 7 месяцев назад

      😂😂😂😂

  • @dishomwakyasima9097
    @dishomwakyasima9097 7 месяцев назад +10

    😂😂ata ningekua mm ningewazingua hamuwez mkaacha kuhoji kuusu kaz zake mnaanza kuongerea watu aliyowai kuthibitisha kua hawakubari afu mnataka tena yy afanye kitu kama kuwapa promo ko ibaki kua baraka anasimamia sana misingi yake 🏹

    • @kingd2443
      @kingd2443 7 месяцев назад

      Kabisa bro nilichokigundua ni hawa wandishi hawampendi baraka juu mpaka baraka anawambia jamani tuzungumzie mziiki wao bado wanainsist Tu Kwa kumchokonoa wakwende zao uko

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 7 месяцев назад +1

      Bro hao ni waana habari,isitoshe muda wanao mwingi na wa kutosha,pia Baraka ana muda mwingi hayupo kwa game na ana wafuasi wake so wanataka kujua nini kinaendelea kwake so hauwezi tu kuulizwa masualu ya wimbo wako mpya kwa nusu saa nzima ,mchizi kwa ufupi ana kiburi

    • @zeroconscious1916
      @zeroconscious1916 7 месяцев назад +1

      Wanafirwa hao

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 7 месяцев назад +1

      ​@@rajabmsinzia1715amna cha kiburi. Wao wanajuwa vizuri kuwa Baraka na Ally picha aziendi. Why waulizie hayo hayo asiyo yataka. Ni kutafuta na kukuza bifu za Wasanii. Wamezingua kwa hilo.

    • @kassimali8039
      @kassimali8039 7 месяцев назад

      Hizo ndio kazi za Media. Kiwao wako Sawa! Kuchonganisha kufitinisha....so msanii inabidi awe smart kujibu maswali. So msiwalaumu...🇰🇪

  • @mafutamazurishop1481
    @mafutamazurishop1481 7 месяцев назад +1

    POLE SANA BARAK MIM NILIKUW SHABIKA WAKO MZURI SANA ILA BAADA YA WEW KUMTUSI ALIKIBA APO TU NDO UMEBOWAA SANA MZEE WEW NIMTOTO WA ALIKIBA WEW UWEZI KUWA NA BIFU NA ALIKIBA WEW FANYA BIFU NA K2GA SIO ALIKIBA ATA K2GA ANAKUSHIDA MPAKA ZAMBI TULIA HOME MZIKI UWEZI

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 7 месяцев назад

      kwaiyo kisa Ni bos wako akikuznguwa utamchekea t iyo Ni nidham ya uwoga

  • @GeraldAgustino-fz5mn
    @GeraldAgustino-fz5mn 7 месяцев назад +2

    Chenge Barak

  • @official_thedon
    @official_thedon 7 месяцев назад +1

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @abinelikagezi9217
    @abinelikagezi9217 7 месяцев назад +4

    Haya mambo ndio ney anasemaga media hazikuzi mapresenter wanaleta umaku tu an mtu hataki kuulizwa maswali personal ww unauliza tu mother fucker presenter 😚😚

  • @HusseinMrisho-kb4ex
    @HusseinMrisho-kb4ex 7 месяцев назад +4

    Ata ingekuwa ni mim ningetembea mwanzo mwisho nidham mada zingine amna ongeleeni mziki wake sio tabia mnajua kabisa jamaa ka mind bado mnakazania nidham achen bhn

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 7 месяцев назад +1

    Baraka yuko sawa mbona kama walikua wana mrenga atakama niwewe jiulizee2...jamanii kunawatu wanatumwa kuharibu karia yake kwanza anauvumilivu sana

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 7 месяцев назад +1

    Ameonyesha udhaifu mkubwa wakususa 😂 anaonekana alikuwa anazira chakula kwao😂 nidhamu ni muhim

  • @USWAZITVONLINE
    @USWAZITVONLINE 7 месяцев назад

    Msanii kaja kutambulisha kazi yake, unaleta story za mambo binafsi, badala ya kupush kazi yake, Then mnataka wasanii wafike international levels

  • @user-ys1xb3vq3t
    @user-ys1xb3vq3t 7 месяцев назад +2

    Dar baraka acha zarau

  • @HusseinMrisho-kb4ex
    @HusseinMrisho-kb4ex 7 месяцев назад +2

    Uyo mtangazaji wa kiume ajifunze kuhoji jua mtu anataka nin mfanye mtu afulahie kuwepo kweny kipindi chako sio ionekane unamualibia siku igen mfano kwa sns na media zingine kubwa😁😁

    • @Mbaley
      @Mbaley 7 месяцев назад

      Baba mtangazi hapangiwi maswali ya kuuliza kk😅

    • @HusseinMrisho-kb4ex
      @HusseinMrisho-kb4ex 7 месяцев назад

      @@Mbaley ni kweli apangiwi lakn ukiona msanii au mtu yeyeto anahojiwa huwa kuna swali ataki kuulizwa na aitakiwi alazimishwe kuulizwa iyo ni sehem ya buludan sio mahakaman kwamb lazm ujib unaloulizwa awamuulizi kuhusu mziki wake wanamuuliza kuhusu nidham na kuhus wasanii wengine lazim mt upanic umeuliza nidham umejibiwa unang'ania ilo ilo swali balaka yupo sahihi ilibidi waulize kuhusu mziki wake na sio maisha yake private

    • @jumakhaji1620
      @jumakhaji1620 7 месяцев назад

      ni kweli watangazaji ampo Active na mtu 🙏☝️

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 7 месяцев назад +1

    Kwani King Kiba ali mfanya nini? Coz hii yake c Kawaida

  • @PriscaManonAman-nq9ir
    @PriscaManonAman-nq9ir 7 месяцев назад +2

    Daahh 😂😂😂

  • @Husler_1
    @Husler_1 7 месяцев назад

    Watangazaji wasenge wasenge