Hapo ulivomseya diamond mazuri, nimekupa credit kubwa sana, diamond ndio soko la mziki bongo, fanya jitihada fanya nae ngoma,, mond mpokee kaka ako ameshow respect kubwa sana ni wanao wa kariakoo mmekuwa pamoja
Muziki hauendi hivyo bana, soko limebadilika. Siku hizi muziko unategemea sana nguvu za mitandaoni, budget ya promotion n.k Jamaa aji establish online awe na nguvu nzuri, ili hao jamaa wasihangaike sana namna ya kumsaidia.
Ukimsikiliza vizur huyuu Jamaa utagundua baada ya miaka kadhaa atakuja kupata tatizo la Akili....analalamika saana ...anataka kutia huruma ....pambana broo life ndo Kiko hivo kama kuna mtu ulimsaidia then katoboa ukiwa na shida mfate umchane usitegemee mtu ajiongeze ...
Aby ako na ubinadamu sana
Namjua Abby na ninamkubali sana,hii Interview hii imenifanya nimpende zaidi
Chidbeanz alisema hili jambo kuhusu max kupiga hela watu mkamchukulia poa
Jamaa kawa really sana afu very humble
Namkubali sana abbyskills
Kiba ana ushamba na husda sana
Ally Kiba mbinafsi sana aisee..
sog salaam nyngi sana bro kitambo tumekua pamoja watangazaji2 nnao wakubali kutoka kitambo r,i,p fred
Hapo ulivomseya diamond mazuri, nimekupa credit kubwa sana, diamond ndio soko la mziki bongo, fanya jitihada fanya nae ngoma,, mond mpokee kaka ako ameshow respect kubwa sana ni wanao wa kariakoo mmekuwa pamoja
Muziki hauendi hivyo bana, soko limebadilika. Siku hizi muziko unategemea sana nguvu za mitandaoni, budget ya promotion n.k
Jamaa aji establish online awe na nguvu nzuri, ili hao jamaa wasihangaike sana namna ya kumsaidia.
Abby maheela
Huyu jaamaa Yuko humble Sana mungu amsaidie afikie ndoto zake
Mwanga mdogo saaana
Pambana mwanangu tusaidie watu malipo kwa mungu inxhaallah
kiba achana na Mambo ya wanawake msaidie huyu .
Soggy unaikumbuka nyimbo inaitwa dada Yule
Nawatizama tukiwa hapa na Ocg mzee wa akwelina Helsinki Finland 🇫🇮🇫🇮
OCG yupo huko?
Mh mwana fa au 😂😂
huwezi kuwa omba omba mtu mzima
Abby c king ashawahi kkuchukua kigoma kwenye show yake
Hapo sasa binaadam
Uyujama mjeuri mabya akonyamingi anajua tuko sirizake
Hahahahah sogo hot pat family lipo wap? 😂😂😂
Ukimsikiliza vizur huyuu Jamaa utagundua baada ya miaka kadhaa atakuja kupata tatizo la Akili....analalamika saana ...anataka kutia huruma ....pambana broo life ndo Kiko hivo kama kuna mtu ulimsaidia then katoboa ukiwa na shida mfate umchane usitegemee mtu ajiongeze ...
Hata me nime note hayuko sawa jamaa
Oya nambie refarii wangu wa zamani wa mti mwiba kabla ya kituo cha mwendo kasi
Mwandamizi/Ufanisi😂
Bado mumutafute bablee alieimba kizizi pls amepotea saana huyu mwamba sijui Yuko kweli
Jamaa umegusa penyewe yaani dah kizizi
Kwahy sasas
Binadamu huwa haturiziki kabisa....naona had watangazaji wameshtukia hilo...tunaangalia makosa tu pale mtu alipopatia tunapotezea
Yote yataongelewa ila siri kubwa wako nayo wenyewe
Uyo mx inabidi afatiliwe jamani msimkalie kimya
Mue mnaweka video za dakika kumi kumi, hizi Zina Maliza mb asee mimi natoka
😂😂😂 yo umenichekesha sana mzee
Hivi interview aziwezi kwenda bila kuwataja wasanii wengine
Koukweli usiongelewe
Hii ni historia kaka.
Kwan huyo anataka msaada gani zaid ya huo ameimba na kings music nzima avelina aliimba na kiba bado analia lia
PINTO-Sina habari (official video lyrics)
ruclips.net/video/YjVmtmL4hEk/видео.html