Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Said Mazana ana sehem ya msosi kuna kuku wa kutosha pale noma
Lakin wasani wa zamani wameishi maisha marefu magumu aise yani kukutana naye kwenye daladala kawaida san😂😂😂😂😂 acha wa leo waenjoy na magari ya bei
SOGI UMWAMBII KITU KWENYE KUKUHADITHIA KITU😅,,UNAELEZEWA KWANZA ILIVYOKUWA ❤
Huyu dogo achana naye wakati ule balaa....from 🇧🇭🇧🇭
Legend huyu balaa
Kuna aina ya watu ni wana asili ya upole nadhan abbyskilss ndio wa aina hizo
Soggy tuletee Afande sele na muzungumzie bifu lenu sio huyu jamaa muoga muoga, inter view imeboa sana hii bando langu limeenda bure KMMK
Wasiliana na RUclips akupe copyright ya sauti hata watu wakipga kwenye RUclips account zao bado maokoto yanakuja kwako
Soggy ndioanachangamsha kipindi boring sana au anajiona star 😏😏😊
Uyu bla bby skills anaulizwa nakuwa kama fala bora msingemuita anaulizwa anasema maswala ya g record tuyaache kwani G record ulikuwa unaibeba kichwani 🤔😏😏
Huyo mtoto wa kariakoo mungwana hata mtu akikukosea kumbuka mazuri yake then utasamehe
Said Mazana ana sehem ya msosi kuna kuku wa kutosha pale noma
Lakin wasani wa zamani wameishi maisha marefu magumu aise yani kukutana naye kwenye daladala kawaida san😂😂😂😂😂 acha wa leo waenjoy na magari ya bei
SOGI UMWAMBII KITU KWENYE KUKUHADITHIA KITU😅,,UNAELEZEWA KWANZA ILIVYOKUWA ❤
Huyu dogo achana naye wakati ule balaa....from 🇧🇭🇧🇭
Legend huyu balaa
Kuna aina ya watu ni wana asili ya upole nadhan abbyskilss ndio wa aina hizo
Soggy tuletee Afande sele na muzungumzie bifu lenu sio huyu jamaa muoga muoga, inter view imeboa sana hii bando langu limeenda bure KMMK
Wasiliana na RUclips akupe copyright ya sauti hata watu wakipga kwenye RUclips account zao bado maokoto yanakuja kwako
Soggy ndioanachangamsha kipindi boring sana au anajiona star 😏😏😊
Uyu bla bby skills anaulizwa nakuwa kama fala bora msingemuita anaulizwa anasema maswala ya g record tuyaache kwani G record ulikuwa unaibeba kichwani 🤔😏😏
Huyo mtoto wa kariakoo mungwana hata mtu akikukosea kumbuka mazuri yake then utasamehe