Dr SULE KIKAANGONI KAMA UNAMILIKI MAJINI MBONA BODYGUARD WAKO SIO MAJINI ? Ust SHAFI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 258

  • @Munatiyahilwa
    @Munatiyahilwa 8 месяцев назад +6

    Namuomba Allah s.w.t ampe uongofu shekhe wetu Dr.Sule.

  • @BakarM-es1zd
    @BakarM-es1zd 7 месяцев назад +1

    sheikhe Shafi shomar mawaidha yako nimazuri sana wengi unatutoa kwenye ujinga maana kuna baadhi ya masheikh wanapotosha bila kukemea mapema itafikia muda watu wataamin uchawi kuliko kumuomba mungu

  • @YusuphAbdul-ex5gz
    @YusuphAbdul-ex5gz 6 месяцев назад

    Shekh Shaffi safi sana tumuogope Allah na tumtii ipaswavyo tufuate mafundisho ya mtume wetu muhammad ( S W)

  • @KabebeMazambi-o6b
    @KabebeMazambi-o6b 8 месяцев назад +9

    Sheikh Allah akurehem uko naakili. Sule ni mwizi

  • @IddiNkupe
    @IddiNkupe 8 месяцев назад +4

    Mashaallah sijawahi kukuona ukikosea Allah azidi kukupa umri mrefu shekh hakika miongon mwa watu wenyekuipigania dini ya Allah wew ni mmoja wapo Allah atakulipa kher shekh

  • @mohamedothman5792
    @mohamedothman5792 8 месяцев назад +3

    Alhamdulillah shekhe shafii anasafisha

  • @omargargaar5611
    @omargargaar5611 8 месяцев назад +8

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah akuhifadhi sheikh Shafi

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 8 месяцев назад +3

    Subhana Allah,,,lnna lillah wainna illaih Rajiuun ni msiba huu,,

  • @bagalucha
    @bagalucha 8 месяцев назад +7

    Ustadh Shafi leo umesema kutoka moyoni,Allah atakupa kila la heir,wavute jamaa zetu wa kissufi,wenye kupoteza mamilioni kwa ajili ya maulidi,mfungo sita huo,mpaka rajab,michango mtaa kwa mtaa,ushindani Ndo tuliouweka mbele,kwamba sisi wa maulidi tupo,tena wengi ,hayo si mabilioni tena,mtanisamehe kama nimemkwaza mtu,lakini huo ni ukweli.waislamu wanajua maulidi kuliko Quran/Sunna na ibada zake.

  • @ShabaniNdonde-l1j
    @ShabaniNdonde-l1j 8 месяцев назад +6

    Shee mungu akupe huai mlefu

  • @صالحالرواحي-ب4م
    @صالحالرواحي-ب4م 8 месяцев назад +4

    Shekh nakupenda maneno yako ni kweli kabisa

    • @Austinemarko
      @Austinemarko 8 месяцев назад

      Lakini ni dunguzeni kwa mujibu wa Quran 72,1•14 mbone hungusi hio aya.

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 8 месяцев назад +4

    Allah amuongoe kila mmoja ktk uislam,tusizid kupoteya ,,,hali ni mbaya Jaman

  • @xenioribra3765
    @xenioribra3765 8 месяцев назад +5

    Mungu ampe maisha maref Dr sule......sule ajasema anamiliki majini...alikuwa anatoa elim kuhusu majini.....kaongelea majini n nn...wanatokana na nn na aina za majini.....achen kumsema vibaya vibaya mjaribu kumuelewa...........au kuliko kumbishia Bora uombe akupe elim....msiwe mnabisha vitu msivyovijua.......ili ujue sule Yuko sahihi wasomi wote wanayajua hayo ndo maan huwez kuwaona wanabwabwaja kama masheikh wadogodgo Kam hawa...hawajui chchte

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 8 месяцев назад

      Hujafuatilia video za sulle ndo maana unasem hivyo. Sulle anatumia majini yamletee pesa.

    • @xenioribra3765
      @xenioribra3765 8 месяцев назад +1

      @@RamadanPaul hapana.... video zote ninazo na namftilia Kila hatua... kipind anatoa elim ya majini pia akaelezea na kazi zake....cc Binadam kwa majini tunacpacity ya uwez wa kutumia majini...cc Binadam n kama utawala wa dunia..... Na ND maan majini wanwez wakakitiii.....majini wanatumika kweny mambo mbalimbal....Kam jinc tulivyo sis binadam.....sule amesem anawez kutumia majini elewa neno kutumia...pia hcho n kipawa.... kweny kazi zake.....sem tu nakushaur kufatilia bila Kam kujua au kujifunza Kam ukiona huelew unaachana nayo

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 8 месяцев назад

      @xenioribra3765 sasa tumfuate sulle au qur'an
      Qur'an inakataza kushirikiana na majini eidha kwa manufaa, ili kh'ari unashirikiana nayo.
      Al Quran: Al-An'am/6:128
      ---
      وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ
      Translations:
      ---
      Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua.
      --

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 8 месяцев назад +2

      Wewe ni Mshirikina kama huyo Dr wako mpumbavu
      Elimu hiyo ingekuwepo wangekuwa nayo maswahaba
      Huo ni mpango wa Dr Sule kupiga pesa kwa kuwauzia watu Pete hizo kwa bei ghali

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 8 месяцев назад

      ​@@xenioribra3765 wewe mwenye ilmu, tutolee aya na hadithi nambari ngapi unaruhusiwa kutumia majinni?

  • @MRISHOMJ
    @MRISHOMJ 7 месяцев назад

    Mwenyezi mungu akibariki shehe kwa mawaidha yako mazuri

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 8 месяцев назад +4

    Shukran shekhe shaafi.

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro4283 8 месяцев назад +2

    Allah akuhifadh

  • @YusufOmar-tk8yf
    @YusufOmar-tk8yf 8 месяцев назад +4

    Allah akbar

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 8 месяцев назад +1

    Allah akuhifadh sheikh wetu,

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 8 месяцев назад

    Obrigado irmao muito obrigado pelo tudo irmao Allah ti abençoe ❤❤❤❤

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 8 месяцев назад +2

    Kweli sheikh upo sahihi

  • @FizzoumemeFizzoumeme
    @FizzoumemeFizzoumeme 8 месяцев назад

    Mungu.akulinde.kwa.kila.baya

  • @LadenMoses-s6m
    @LadenMoses-s6m 7 месяцев назад

    Sawa sawa kaka shafiii

  • @SultanAshah-fm7un
    @SultanAshah-fm7un 8 месяцев назад +1

    Shukran sheikh kwa mawaidha nzuri.

  • @katemboyamotomoto420
    @katemboyamotomoto420 7 месяцев назад

    Safi Sana shafi

  • @aligedi2869
    @aligedi2869 8 месяцев назад

    Allah akupe umri afya na hekima,Dr sule analeta sokomoko.

  • @SaidIsmail-w2w
    @SaidIsmail-w2w 8 месяцев назад +1

    nimekukubali shekh shaffii

  • @GcFd-s8t
    @GcFd-s8t 8 месяцев назад +1

    Shukuran shekhe kwa kutukumbusha

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 8 месяцев назад +1

    Masha Allah

  • @MfalmeYusufu-tq6nn
    @MfalmeYusufu-tq6nn 8 месяцев назад

    MAshaallah

  • @princekassimtz
    @princekassimtz 8 месяцев назад

    4:09 Allah Akbar ❤

  • @IbrahimSuleyman-j8n
    @IbrahimSuleyman-j8n 8 месяцев назад +6

    😮huu ndo uislamu mtu akizingua haijalishi nani anaambiwa laaaaaivu

    • @OthmaniMasele-tn5gm
      @OthmaniMasele-tn5gm 7 месяцев назад

      Hao wote ni wale wale mbona yeye shafi alipo sema atampa tabu malaika siku ya kiama mbona watu hawakumradi au hukumsikia

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 8 месяцев назад +6

    Leo sheikh SHAFI kaongea wazi kabisa bila kisita kwa hili MUNGU amuongeze

  • @khalidahmed6961
    @khalidahmed6961 8 месяцев назад

    shekh maashaallah unajitahid sana lkn baadhi ya mambo unayoongea sio sawa
    suala la kusema ukiwakuta baadhi ya watu peponi utakua hukubali utalenga mawe na utajiuliza hapa mungu kufanya vipi !!!! hili ni hatari sana kana kwamba anasema Mungu itakua hakufanya uadilifu labda
    pia kusema kwamba baadhi ya wakati umuombe Mungu kwa kukandamiza !!!
    sheikh Mungu hakandamizwi
    Mungu anaombwa kwa unyenyekevu wa hali yajuu
    Allah atuongoze sote ktk njia iliyonyooka

  • @user13375
    @user13375 8 месяцев назад +1

    Tangu zamani tunasikia mashe..wanafuga majini, Asante Dr Sulle ameyawwka hazarani.

  • @Kingtz898
    @Kingtz898 8 месяцев назад +1

    Shafii.
    Kitabu bado.

  • @allyway999
    @allyway999 8 месяцев назад

    Shekhe nakukubali sana yule mtoza ushuru nilikuwa namkubali lakini sasaiv hapana

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 8 месяцев назад

    Msiba inna lillah wainna ilayhi raj'un

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 8 месяцев назад +7

    Umeamua kumbomoa mwanao sule leo😊

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 8 месяцев назад

    SALAAM ALEIK SH.SHAFI..TUONGEE NAKUOMBA

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 8 месяцев назад +1

    Mtihani huu yaarabi

  • @SleepyHat-qu2io
    @SleepyHat-qu2io 8 месяцев назад

    mashaallah shekh shukra mungu akupe kila kheri

  • @jamilakhamisshaaban4752
    @jamilakhamisshaaban4752 8 месяцев назад

    Tatizo ufahamu upo tofauti

  • @zaidechafim2613
    @zaidechafim2613 8 месяцев назад

    كلام الذهب

  • @MussaKigoo
    @MussaKigoo 8 месяцев назад

    Assalaamu Alaykum
    Allah kasema katika Qur'an tusihitilifiane baina yetu na wala tusijitakase tukajiona bora kuliko wengine kwani mbora baina yetu ni yule mchamungu.
    Tujifunze kutoa da'wa kama Mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa akilingania kwa hikma sana kuliko sisi tunalinganiana kuingia katika madh'habu zaidi kuliko kuingia katika uislamu ذَلِكَ مَبْلَغَهُم مِّنَ الْعِلْمِ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ، وَهُوَ أَعْلَمُ بِمَنِ اهْتَدَى

  • @ybmtaakwamtaaofficial3415
    @ybmtaakwamtaaofficial3415 8 месяцев назад

    Allah Akbar

  • @geey7893
    @geey7893 8 месяцев назад +2

    Mimi ni Mkiristo lakini huyu Shekhe ana make sense. Sio wale wengine Mwanzo- Mwisho kudiscuss Wakristo😅. Kumbe wachawi wakubwa

  • @MahamuduJuma-jj9vo
    @MahamuduJuma-jj9vo 8 месяцев назад

    Shekh tatizo uerewa aina aja kama yeye anatumia kwa ubaya bs muombee dua ila ata ww unamajini shk akuna binadama aliokosa jini kama mwema basi unamaJin tena ata wew shafii unapewa power pia nahao majini ila wema,we unailimu ya viumbe shekh tumia khekm.

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina 8 месяцев назад

      Majini yapo lakini hatujapewa ruksa ya kushirikiana nayo,elewa maana kutoshirikina nao

    • @YUSUPHMTULILA
      @YUSUPHMTULILA 6 месяцев назад

      We hauna elimu ndg

  • @JumaSultanSultan
    @JumaSultanSultan 8 месяцев назад +5

    Sulle anafanya biashala ila nimchoyo wakutoa helmu ili iendembele yeye anatangaza dawa zanguvu zakiume ajui kama atawanawake awana nguvu zakike unamkuta mwanamke atakuoga ajui ananuka mpaka mwanaume uume unalala alafu unawaambia watu uwongo akuna dawa yanguvu zakiume maishamagumu wanawake wachafu wanatembea mchanakutwa navisuluali wanaume awali wakashiba mawazo yakodi watoto majukumu yamewazidi izonguvu zinatoka wp sulle waelimishe watu usiwapoteze

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 8 месяцев назад

      Sasa wewe ulitaka Sule awaogeshe hao wanawake zenu? au ulitaka awatafutie rizki yeye kwenye Harakati zenu? Hoja dhaifu sana hii

  • @SharrifCharo-mi1bn
    @SharrifCharo-mi1bn 8 месяцев назад +2

    Hiyo compation hata huku kenya iko mpaka waislamu wanapeleka watoto wao

  • @FahmiAbdallah-x9w
    @FahmiAbdallah-x9w 8 месяцев назад

    TARATIBU ND YNG,(KWANI MAJINI WEPI ANAOSHIRIKIANA NAO?)KM WAKIISLAMU NI KHEIR(KM SIO HIO NI SHARI)INSHAA ALLA KHEIR

  • @MujuniKamugisha
    @MujuniKamugisha 8 месяцев назад

    Waisilamu majini

  • @MussaJuma-nf3vg
    @MussaJuma-nf3vg 8 месяцев назад +2

    SHEIKH UNAKOSEA NA WW NDIO MIONGONI MWA WAHARIBIFU WA DINI WW USHAMFATA DR SULE UKAMWAMBIA KWA HEKIMA
    HALAFU SIJUI MAREJEO YAKO YA ELIMU NI KITABU GANI HEBU ISOME VIZURI QURAN SHEIKH WACHA USHABIKI WA SIMBA NA YANGA.
    MUNAMUONEA CHOYO DR SULE.

    • @Daifar100
      @Daifar100 8 месяцев назад

      Aonewe choyo ya hiyo mijini??labda wew , huy asemwe hata miaka yote tu

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 8 месяцев назад

      Mwenyezi Mungu sw anasema kwenye Qur-an, FANYENI istighfari mtapata mvua, mali NA watoto. Lakini huyu shafi anasema, ukisema astaghfirulah haupati kitu mpaka utoke. Hio mpaka utoke kaipata wapi?.

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 8 месяцев назад

      Kuna sehemu kamtaja sulle?

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 8 месяцев назад +3

    Kenya 🇰🇪 ❤ tayari mara 3 kupeleka chakula gaza Palestinians vp Tz Ama adi mumalize kuchambana ndio kazi mnayojua mlimaluza tafteni paybill umma uchagie chakula kwenda gaza

  • @Alikyms-j5j
    @Alikyms-j5j 8 месяцев назад +1

    Na ktk Hao wanao Hama Hama Wasio Jitambua Ni NURDIN KISHKI Mmnae Muona Shekhe Mkuu.

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 8 месяцев назад +2

    Ndacha alimshauri Dr sule atangaze majini ni waislamu na hilo ndilo anafanya

  • @JumaLugendo-rk3rp
    @JumaLugendo-rk3rp 8 месяцев назад +1

    Umekuwa jasili mkubwa kusema ukweli kwaajili ya Allah tunajua Dr. Sule ni mwalimu wako ila Leo umesema ukweli bila kupepesa macho

  • @GoodluckLameck-nh9tq
    @GoodluckLameck-nh9tq 8 месяцев назад

    Ni kweli unachosema

  • @HamisiHemedi-u8k
    @HamisiHemedi-u8k 8 месяцев назад

    Swadakta

  • @naimamohamed2216
    @naimamohamed2216 8 месяцев назад

    Hawaja kukosea shafii kuna kitu umepewa na Allah ,wewe na kitatoke huko mbele tunategemea uje ihifadhi dini ,Allah akuweke

  • @hassanalikombozanzibar1192
    @hassanalikombozanzibar1192 8 месяцев назад

    Jamani mbona tena munaanza kutoleana maneno mumaacha kufanya mihazara munatoleana maneno ah!

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 8 месяцев назад +4

    Dr, Sule anawashinda ELIMU mtatafunana ninyi kwa ninyi shida nini,

  • @NassoroSalum-fv4eu
    @NassoroSalum-fv4eu 8 месяцев назад

    Waislam wote ni ndugu shekh kama kuna mapungufu kaa na doctor Sule muelimishane vizur the tuepushe mvutano

  • @OmaryMtumba
    @OmaryMtumba 8 месяцев назад

    Asalam alayki shehe shafi Sasa kwanini musimuite na mkamwambia mbona amonaizi mlimwambia Sasa nae mwambieni kutaneni mashed mwiteni kueni siriasi hi ndie mwisilam

  • @fredyunga2138
    @fredyunga2138 8 месяцев назад +2

    Mtasema tu na bado hamjasema

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 8 месяцев назад

    Nkweli Kuna masheikh wako kwa maslai ya tumbo zao ,

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj 8 месяцев назад

    Kwani mungu akimtia mtu peponi yy ndio ajuae zaidi waeza kumuona mtu mbaya na akatubia na mungu akamsamehe na akamyanyua daraja na mungu yuwajua zaidi sasa ww utarusha vp mawe ukiona mtu peponi

    • @Alikyms-j5j
      @Alikyms-j5j 8 месяцев назад

      Muelewe tu akhy wala usishangae ...watu Ni Akili Zake Na Mawazo ya KIDEMOKRASIA Akili Za MAANDAMANO zime Mgubika ,
      Alafu Pia Watu Wa Bidaa(makhurafa) Hawajui Adabu Za Kuzungumza kuhusu Allwah
      Hawajui Adabu Za Kisheria Mtu Anapo Taka Kuzungumzia
      1- Allwah au 2 Mtume au 3- Masahaba au
      4- Dini ya Uislamu kwa Jumla
      Wao Huongea Wanavyo Jisikia Hawa Chuji Kauli Zao...HUROPOKA TUU.
      HALAFU PI Ujinga Nao Ni Tatizo Hawafahamu Dini Ya Uislamu Kwa Uhalisia Wake.
      Na Kibaya Zaidi Hupena Daraja Za Kielimu Bila Kusoma Hugawana Daraja za Elimu Pasi Mtu Kustahiki
      Utasikia :Shekhe Fulani, Allaamh, Doctor Fulani , Professor Fulani ....ilhali mtu Hajafika Hata Darasa la 6 Madrasa wala Haja Hifadhi Qurani Hata Juzu Moja , Hadithi za Mtume Ndio Kabsaa Hata hajui nikitu gani na kiko rangi gani.....ila Mwenyewe Ni Shekhe Aridhika kabisa na Kufurahi Akiitwa Shekhe ....!!?
      AJABU KABISA .

    • @Austinemarko
      @Austinemarko 8 месяцев назад

      Msiba wa kujitakia hauna kilio..ushirikiane n majini den uede peponi du!

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 8 месяцев назад

      @@Austinemarko kwani ww na majini mumeumbwa muje duniani kufanya nn kama ww una ilimu kweli

  • @ramasefu9719
    @ramasefu9719 8 месяцев назад +1

    Assalamu alaikum
    Sheikh shafi kwani kisima kina cukuwa gharama ya ngapi?

  • @feisaldesign4156
    @feisaldesign4156 8 месяцев назад +1

    Lakin firauni dah kiumbe Cha ajabu sana Kuna mazingatio makubwa sana ktk hiki kisa

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 8 месяцев назад +8

    Sule njaa ya majini inamsumbua😢

    • @PauloBarton
      @PauloBarton 8 месяцев назад

      Waislamu wote mnapaswa kubatizwa na kuwa wakristo mmeanza kutombana wenyewe Kwa wenyewe no atali sana Ila Sisi wakristo tunaandaa maji ya ubatizo mtakapo kuwa tayali Sisi tunawasubili kalibuni Sana tunawapenda sana

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 8 месяцев назад

      @@PauloBarton nanani tubatizwe tutolee maneno yako ya uongo

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 8 месяцев назад

      @@PauloBarton kama mama yako na babayako walivo tombola wenyewe kwa wenyewe wakakupata wewe maluuni

    • @PauloBarton
      @PauloBarton 8 месяцев назад

      @@aishaarusha894 kalibu kwenye njia ya ukweli na uzima matusi ya nini au umelaanika Dada yesu Kristo alimwaga damu msalabani Kwa maondoleo ya zambi zetu Sisi wanadamu hivyo basi waislamu wote mnapaswa kubatizwa mpaswi kufuga majini kwani majini ni malaika walio ASI na ndio maana linapo tajwa jina la yesu huwa yanatoka na kukimbia mbali namalizia na kusema waislamu wote mnapaswa kumfuata yesu Kristo mtakuwa mmebalikiwa Sana

  • @ramadhanijohoiddi2899
    @ramadhanijohoiddi2899 8 месяцев назад +1

    Sheikh pesa zipo bakwata ndani ya uislamu kuna njaaa

  • @xenioribra3765
    @xenioribra3765 8 месяцев назад +2

    Tatizo elim.....Dunia ni Pana sana mwacheni sule apige kazi tunaomwelewa wachache

  • @zainulabideen6955
    @zainulabideen6955 8 месяцев назад

    Struth

  • @amaroo1220
    @amaroo1220 8 месяцев назад +1

    Pa sawa mtu na apongezwe. Na penue makosa pakosolewe, kwa dalili lakini.

  • @mdidiomari7351
    @mdidiomari7351 8 месяцев назад

    Shekhe umeongea

  • @canamass
    @canamass 8 месяцев назад

    Yalisimiswa Sasa sindugu Leo unakataa ndungu majini duh

  • @AbdalahMsaga-wf6zl
    @AbdalahMsaga-wf6zl 8 месяцев назад

    SEMA baba kiukweli ostadh shafii Sasa iv tuko kibiashara nikwanin tunashindwa hata kuiga njia za Othman maalim au ostadh mbonde jamni

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula 8 месяцев назад

    Je Manabii Wote na Mitume Wote Walikuwa na Mabodi Gard ,?

  • @ABDIKASIM-qe4lc
    @ABDIKASIM-qe4lc 8 месяцев назад +1

    Shehe ukosahihi

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 8 месяцев назад

    Tusikilize mawaidha ya Sheikh Nassoro Abdallah Bachu, mada KUIPA MGONGO DUNIA Sehemu ya 1 -4

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 8 месяцев назад +2

    Sule ni mganga tu..sio shekhe hakuna uhusiano wa majini na mwanadamu

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 8 месяцев назад

    Alaf hii nchi jirani sijui iko na balaa gani kila siku Kuna mapya,mara nyoka mara Pete mara majini...🤔🤔

  • @Werema3760
    @Werema3760 8 месяцев назад +2

    HUWEZI UKAAMINI MASHETANI(MAJINI) UKABAKI SALAMA.
    ■YESU KRISTO NDIE NJIA KWELI NA UZIMA. FULL STOP.

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 8 месяцев назад +1

    Shafii una darsisha vizuri ila mautani utani yasiwe Mengi yanaleta ukakasi kwenye waadhi zako punguza utani unaomuhusisha Allah fanya tani zakawaida tu

  • @DenisFute
    @DenisFute 8 месяцев назад

    luka 4:16 yesu aliingia kwenye sinagogi na akajitambulisha mkamkataa mkamtolea nje kabisa

    • @YUSUPHMTULILA
      @YUSUPHMTULILA 6 месяцев назад

      Nini maana ya neno sinagogi?

  • @BinSwaleh
    @BinSwaleh 8 месяцев назад

    DR Tule

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 8 месяцев назад +1

    We nawe njaa inakusumbua baada ya kuona mtu ulie hangaika nae kutangaza dini amekuacha mbali kimaisha

  • @Alikyms-j5j
    @Alikyms-j5j 8 месяцев назад +1

    Ni Kweli Hamna Kushirikiana kati ya majini na binadamu
    Ndio Maana Mtume Hajayaita Majini Wamsaidie Ktk Vita Badri (Jihadi) Pamoja Na Uchache Wa Wapiganaji ktk Safu Yake.

    • @Joh-j9s
      @Joh-j9s 8 месяцев назад

      Kwani si waislam wezetu? Kwa taalifa yako inaswii kutumia majini.

  • @KassimShora
    @KassimShora 8 месяцев назад +1

    ASALAM ALAIKUM WARAHMATULLAHI WABARAKATU TAFADHALINI MASHEKH KAMA MNAHISI MMOJA WENU KAKOSEA. MFANYIENI ZIARA MJADILI KUHUSU SUALA MNALOLIONA LINALETA UTATA BAINA YENU. ELIMU YA DINI NA UFAHAMU WA DINI NI VITU VIWILI TOFAUTI.
    UNAWEZA KUWA NA ELIMU YA DINI. UFAHAMU WA DINI KAMA HAUPO NICHANGAMOTO. MASHEKH MUACHE TABIA YA KURADIANA W

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa 8 месяцев назад

    Ukusawa shehe mklisto mie umesema kweli

  • @dengepandu9734
    @dengepandu9734 8 месяцев назад +1

    Huo ndio uislam wa sasa kupigana bijembe kilamoja najuwa yeye hukonyuma hayakuepo haya wanawekeana Hadi midahalo hadharani inalilahi

  • @AishaHaji-w6z
    @AishaHaji-w6z 8 месяцев назад

    Shekhe mwambie sule Tena aelewe vizuri na ajue kwamba anapotosha uma uslamu umeweka kilakitu kipo wazi sasa awapiteze wasio jitambua

    • @AishaHaji-w6z
      @AishaHaji-w6z 8 месяцев назад

      Tujihadhari na masheikhe kama akina sule kwanza wanadhalilisha uislamu yeye kapita shotkati kutafuta Mali anataka kuinginza na wengine Allaah tunusuru na watu kama hawa

  • @DakorTrony
    @DakorTrony 7 месяцев назад

    Muhammad yule alisilimisha majini

  • @jamilakhamisshaaban4752
    @jamilakhamisshaaban4752 8 месяцев назад

    Zanzibar watoto wetu bado wanaenda madrasa labda uko kwenu bara

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 8 месяцев назад

    Mpaka myasema tu

  • @Alikyms-j5j
    @Alikyms-j5j 8 месяцев назад

    Kumbe Mwakubali Kua ktk DINI Kubagua Kupo Kuwabagua Mashe Wanaofaa Kusikizwa Na Wasio Faa
    ila MANENO HAYA YAKISEMWA NA MASALAFI Dunia Ya Simama Kuwananga kua Wana Tuna Watu... Hooo
    Watu na waishimiane
    Hoo Tuweni Pamoja tuacheni kusemana
    ila Hapa Kasema Shafi Kimyaa

  • @MohamediOmari-nz4vv
    @MohamediOmari-nz4vv 8 месяцев назад

    Mpango wa makafili kuupoteza uislam

  • @Maxpaul-oi8pw
    @Maxpaul-oi8pw 8 месяцев назад +1

    Juzi tu walikuwa wanamsifia sule leo wana mpenda kwakweli hamueleweak

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku 8 месяцев назад +1

    Mtume salallahu alayhi wasalam alisema uislamu ulikuja mgeni na utarudi mgeni zama hizi sasa tutafakari tuko wapi

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 8 месяцев назад

      Mbn wanasema Islam upo tokea Adam kumbe mgeni

  • @PendoKalama-rn8pf
    @PendoKalama-rn8pf 9 дней назад

    Hao mabodgd ndo majini yenyewe. Pia wewe utasema too...majini yapo ndani ya hao mabodygd ...wewe endelea kuwadanganya lkn siku yaja utakiri too

  • @user13375
    @user13375 7 месяцев назад

    Na hiyo pete yako ni ya nini mbona kubwa sana😮😮😮😮