sheikhe Shafi shomar mawaidha yako nimazuri sana wengi unatutoa kwenye ujinga maana kuna baadhi ya masheikh wanapotosha bila kukemea mapema itafikia muda watu wataamin uchawi kuliko kumuomba mungu
Mashaallah sijawahi kukuona ukikosea Allah azidi kukupa umri mrefu shekh hakika miongon mwa watu wenyekuipigania dini ya Allah wew ni mmoja wapo Allah atakulipa kher shekh
Ustadh Shafi leo umesema kutoka moyoni,Allah atakupa kila la heir,wavute jamaa zetu wa kissufi,wenye kupoteza mamilioni kwa ajili ya maulidi,mfungo sita huo,mpaka rajab,michango mtaa kwa mtaa,ushindani Ndo tuliouweka mbele,kwamba sisi wa maulidi tupo,tena wengi ,hayo si mabilioni tena,mtanisamehe kama nimemkwaza mtu,lakini huo ni ukweli.waislamu wanajua maulidi kuliko Quran/Sunna na ibada zake.
Mungu ampe maisha maref Dr sule......sule ajasema anamiliki majini...alikuwa anatoa elim kuhusu majini.....kaongelea majini n nn...wanatokana na nn na aina za majini.....achen kumsema vibaya vibaya mjaribu kumuelewa...........au kuliko kumbishia Bora uombe akupe elim....msiwe mnabisha vitu msivyovijua.......ili ujue sule Yuko sahihi wasomi wote wanayajua hayo ndo maan huwez kuwaona wanabwabwaja kama masheikh wadogodgo Kam hawa...hawajui chchte
@@RamadanPaul hapana.... video zote ninazo na namftilia Kila hatua... kipind anatoa elim ya majini pia akaelezea na kazi zake....cc Binadam kwa majini tunacpacity ya uwez wa kutumia majini...cc Binadam n kama utawala wa dunia..... Na ND maan majini wanwez wakakitiii.....majini wanatumika kweny mambo mbalimbal....Kam jinc tulivyo sis binadam.....sule amesem anawez kutumia majini elewa neno kutumia...pia hcho n kipawa.... kweny kazi zake.....sem tu nakushaur kufatilia bila Kam kujua au kujifunza Kam ukiona huelew unaachana nayo
@xenioribra3765 sasa tumfuate sulle au qur'an Qur'an inakataza kushirikiana na majini eidha kwa manufaa, ili kh'ari unashirikiana nayo. Al Quran: Al-An'am/6:128 --- وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ Translations: --- Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua. --
Wewe ni Mshirikina kama huyo Dr wako mpumbavu Elimu hiyo ingekuwepo wangekuwa nayo maswahaba Huo ni mpango wa Dr Sule kupiga pesa kwa kuwauzia watu Pete hizo kwa bei ghali
shekh maashaallah unajitahid sana lkn baadhi ya mambo unayoongea sio sawa suala la kusema ukiwakuta baadhi ya watu peponi utakua hukubali utalenga mawe na utajiuliza hapa mungu kufanya vipi !!!! hili ni hatari sana kana kwamba anasema Mungu itakua hakufanya uadilifu labda pia kusema kwamba baadhi ya wakati umuombe Mungu kwa kukandamiza !!! sheikh Mungu hakandamizwi Mungu anaombwa kwa unyenyekevu wa hali yajuu Allah atuongoze sote ktk njia iliyonyooka
Assalaamu Alaykum Allah kasema katika Qur'an tusihitilifiane baina yetu na wala tusijitakase tukajiona bora kuliko wengine kwani mbora baina yetu ni yule mchamungu. Tujifunze kutoa da'wa kama Mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa akilingania kwa hikma sana kuliko sisi tunalinganiana kuingia katika madh'habu zaidi kuliko kuingia katika uislamu ذَلِكَ مَبْلَغَهُم مِّنَ الْعِلْمِ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ، وَهُوَ أَعْلَمُ بِمَنِ اهْتَدَى
Shekh tatizo uerewa aina aja kama yeye anatumia kwa ubaya bs muombee dua ila ata ww unamajini shk akuna binadama aliokosa jini kama mwema basi unamaJin tena ata wew shafii unapewa power pia nahao majini ila wema,we unailimu ya viumbe shekh tumia khekm.
Sulle anafanya biashala ila nimchoyo wakutoa helmu ili iendembele yeye anatangaza dawa zanguvu zakiume ajui kama atawanawake awana nguvu zakike unamkuta mwanamke atakuoga ajui ananuka mpaka mwanaume uume unalala alafu unawaambia watu uwongo akuna dawa yanguvu zakiume maishamagumu wanawake wachafu wanatembea mchanakutwa navisuluali wanaume awali wakashiba mawazo yakodi watoto majukumu yamewazidi izonguvu zinatoka wp sulle waelimishe watu usiwapoteze
SHEIKH UNAKOSEA NA WW NDIO MIONGONI MWA WAHARIBIFU WA DINI WW USHAMFATA DR SULE UKAMWAMBIA KWA HEKIMA HALAFU SIJUI MAREJEO YAKO YA ELIMU NI KITABU GANI HEBU ISOME VIZURI QURAN SHEIKH WACHA USHABIKI WA SIMBA NA YANGA. MUNAMUONEA CHOYO DR SULE.
Mwenyezi Mungu sw anasema kwenye Qur-an, FANYENI istighfari mtapata mvua, mali NA watoto. Lakini huyu shafi anasema, ukisema astaghfirulah haupati kitu mpaka utoke. Hio mpaka utoke kaipata wapi?.
Kenya 🇰🇪 ❤ tayari mara 3 kupeleka chakula gaza Palestinians vp Tz Ama adi mumalize kuchambana ndio kazi mnayojua mlimaluza tafteni paybill umma uchagie chakula kwenda gaza
Kwani mungu akimtia mtu peponi yy ndio ajuae zaidi waeza kumuona mtu mbaya na akatubia na mungu akamsamehe na akamyanyua daraja na mungu yuwajua zaidi sasa ww utarusha vp mawe ukiona mtu peponi
Muelewe tu akhy wala usishangae ...watu Ni Akili Zake Na Mawazo ya KIDEMOKRASIA Akili Za MAANDAMANO zime Mgubika , Alafu Pia Watu Wa Bidaa(makhurafa) Hawajui Adabu Za Kuzungumza kuhusu Allwah Hawajui Adabu Za Kisheria Mtu Anapo Taka Kuzungumzia 1- Allwah au 2 Mtume au 3- Masahaba au 4- Dini ya Uislamu kwa Jumla Wao Huongea Wanavyo Jisikia Hawa Chuji Kauli Zao...HUROPOKA TUU. HALAFU PI Ujinga Nao Ni Tatizo Hawafahamu Dini Ya Uislamu Kwa Uhalisia Wake. Na Kibaya Zaidi Hupena Daraja Za Kielimu Bila Kusoma Hugawana Daraja za Elimu Pasi Mtu Kustahiki Utasikia :Shekhe Fulani, Allaamh, Doctor Fulani , Professor Fulani ....ilhali mtu Hajafika Hata Darasa la 6 Madrasa wala Haja Hifadhi Qurani Hata Juzu Moja , Hadithi za Mtume Ndio Kabsaa Hata hajui nikitu gani na kiko rangi gani.....ila Mwenyewe Ni Shekhe Aridhika kabisa na Kufurahi Akiitwa Shekhe ....!!? AJABU KABISA .
Waislamu wote mnapaswa kubatizwa na kuwa wakristo mmeanza kutombana wenyewe Kwa wenyewe no atali sana Ila Sisi wakristo tunaandaa maji ya ubatizo mtakapo kuwa tayali Sisi tunawasubili kalibuni Sana tunawapenda sana
@@aishaarusha894 kalibu kwenye njia ya ukweli na uzima matusi ya nini au umelaanika Dada yesu Kristo alimwaga damu msalabani Kwa maondoleo ya zambi zetu Sisi wanadamu hivyo basi waislamu wote mnapaswa kubatizwa mpaswi kufuga majini kwani majini ni malaika walio ASI na ndio maana linapo tajwa jina la yesu huwa yanatoka na kukimbia mbali namalizia na kusema waislamu wote mnapaswa kumfuata yesu Kristo mtakuwa mmebalikiwa Sana
Shafii una darsisha vizuri ila mautani utani yasiwe Mengi yanaleta ukakasi kwenye waadhi zako punguza utani unaomuhusisha Allah fanya tani zakawaida tu
Ni Kweli Hamna Kushirikiana kati ya majini na binadamu Ndio Maana Mtume Hajayaita Majini Wamsaidie Ktk Vita Badri (Jihadi) Pamoja Na Uchache Wa Wapiganaji ktk Safu Yake.
ASALAM ALAIKUM WARAHMATULLAHI WABARAKATU TAFADHALINI MASHEKH KAMA MNAHISI MMOJA WENU KAKOSEA. MFANYIENI ZIARA MJADILI KUHUSU SUALA MNALOLIONA LINALETA UTATA BAINA YENU. ELIMU YA DINI NA UFAHAMU WA DINI NI VITU VIWILI TOFAUTI. UNAWEZA KUWA NA ELIMU YA DINI. UFAHAMU WA DINI KAMA HAUPO NICHANGAMOTO. MASHEKH MUACHE TABIA YA KURADIANA W
Tujihadhari na masheikhe kama akina sule kwanza wanadhalilisha uislamu yeye kapita shotkati kutafuta Mali anataka kuinginza na wengine Allaah tunusuru na watu kama hawa
Kumbe Mwakubali Kua ktk DINI Kubagua Kupo Kuwabagua Mashe Wanaofaa Kusikizwa Na Wasio Faa ila MANENO HAYA YAKISEMWA NA MASALAFI Dunia Ya Simama Kuwananga kua Wana Tuna Watu... Hooo Watu na waishimiane Hoo Tuweni Pamoja tuacheni kusemana ila Hapa Kasema Shafi Kimyaa
Namuomba Allah s.w.t ampe uongofu shekhe wetu Dr.Sule.
Shekhe wako kachemsha
Allahumma aamin 🤲
sheikhe Shafi shomar mawaidha yako nimazuri sana wengi unatutoa kwenye ujinga maana kuna baadhi ya masheikh wanapotosha bila kukemea mapema itafikia muda watu wataamin uchawi kuliko kumuomba mungu
Shekh Shaffi safi sana tumuogope Allah na tumtii ipaswavyo tufuate mafundisho ya mtume wetu muhammad ( S W)
Sheikh Allah akurehem uko naakili. Sule ni mwizi
Mashaallah sijawahi kukuona ukikosea Allah azidi kukupa umri mrefu shekh hakika miongon mwa watu wenyekuipigania dini ya Allah wew ni mmoja wapo Allah atakulipa kher shekh
Alhamdulillah shekhe shafii anasafisha
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah akuhifadhi sheikh Shafi
Subhana Allah,,,lnna lillah wainna illaih Rajiuun ni msiba huu,,
Ustadh Shafi leo umesema kutoka moyoni,Allah atakupa kila la heir,wavute jamaa zetu wa kissufi,wenye kupoteza mamilioni kwa ajili ya maulidi,mfungo sita huo,mpaka rajab,michango mtaa kwa mtaa,ushindani Ndo tuliouweka mbele,kwamba sisi wa maulidi tupo,tena wengi ,hayo si mabilioni tena,mtanisamehe kama nimemkwaza mtu,lakini huo ni ukweli.waislamu wanajua maulidi kuliko Quran/Sunna na ibada zake.
Shee mungu akupe huai mlefu
Shekh nakupenda maneno yako ni kweli kabisa
Lakini ni dunguzeni kwa mujibu wa Quran 72,1•14 mbone hungusi hio aya.
Allah amuongoe kila mmoja ktk uislam,tusizid kupoteya ,,,hali ni mbaya Jaman
AMIIN
Mungu ampe maisha maref Dr sule......sule ajasema anamiliki majini...alikuwa anatoa elim kuhusu majini.....kaongelea majini n nn...wanatokana na nn na aina za majini.....achen kumsema vibaya vibaya mjaribu kumuelewa...........au kuliko kumbishia Bora uombe akupe elim....msiwe mnabisha vitu msivyovijua.......ili ujue sule Yuko sahihi wasomi wote wanayajua hayo ndo maan huwez kuwaona wanabwabwaja kama masheikh wadogodgo Kam hawa...hawajui chchte
Hujafuatilia video za sulle ndo maana unasem hivyo. Sulle anatumia majini yamletee pesa.
@@RamadanPaul hapana.... video zote ninazo na namftilia Kila hatua... kipind anatoa elim ya majini pia akaelezea na kazi zake....cc Binadam kwa majini tunacpacity ya uwez wa kutumia majini...cc Binadam n kama utawala wa dunia..... Na ND maan majini wanwez wakakitiii.....majini wanatumika kweny mambo mbalimbal....Kam jinc tulivyo sis binadam.....sule amesem anawez kutumia majini elewa neno kutumia...pia hcho n kipawa.... kweny kazi zake.....sem tu nakushaur kufatilia bila Kam kujua au kujifunza Kam ukiona huelew unaachana nayo
@xenioribra3765 sasa tumfuate sulle au qur'an
Qur'an inakataza kushirikiana na majini eidha kwa manufaa, ili kh'ari unashirikiana nayo.
Al Quran: Al-An'am/6:128
---
وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ
Translations:
---
Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua.
--
Wewe ni Mshirikina kama huyo Dr wako mpumbavu
Elimu hiyo ingekuwepo wangekuwa nayo maswahaba
Huo ni mpango wa Dr Sule kupiga pesa kwa kuwauzia watu Pete hizo kwa bei ghali
@@xenioribra3765 wewe mwenye ilmu, tutolee aya na hadithi nambari ngapi unaruhusiwa kutumia majinni?
Mwenyezi mungu akibariki shehe kwa mawaidha yako mazuri
Shukran shekhe shaafi.
Allah akuhifadh
Allah akbar
Allah akuhifadh sheikh wetu,
Obrigado irmao muito obrigado pelo tudo irmao Allah ti abençoe ❤❤❤❤
Kweli sheikh upo sahihi
Mungu.akulinde.kwa.kila.baya
Sawa sawa kaka shafiii
Shukran sheikh kwa mawaidha nzuri.
Safi Sana shafi
Allah akupe umri afya na hekima,Dr sule analeta sokomoko.
nimekukubali shekh shaffii
Shukuran shekhe kwa kutukumbusha
Masha Allah
MAshaallah
4:09 Allah Akbar ❤
😮huu ndo uislamu mtu akizingua haijalishi nani anaambiwa laaaaaivu
Hao wote ni wale wale mbona yeye shafi alipo sema atampa tabu malaika siku ya kiama mbona watu hawakumradi au hukumsikia
Leo sheikh SHAFI kaongea wazi kabisa bila kisita kwa hili MUNGU amuongeze
shekh maashaallah unajitahid sana lkn baadhi ya mambo unayoongea sio sawa
suala la kusema ukiwakuta baadhi ya watu peponi utakua hukubali utalenga mawe na utajiuliza hapa mungu kufanya vipi !!!! hili ni hatari sana kana kwamba anasema Mungu itakua hakufanya uadilifu labda
pia kusema kwamba baadhi ya wakati umuombe Mungu kwa kukandamiza !!!
sheikh Mungu hakandamizwi
Mungu anaombwa kwa unyenyekevu wa hali yajuu
Allah atuongoze sote ktk njia iliyonyooka
Tangu zamani tunasikia mashe..wanafuga majini, Asante Dr Sulle ameyawwka hazarani.
Sule kachemsha elmi yake ndogo
Shafii.
Kitabu bado.
Shekhe nakukubali sana yule mtoza ushuru nilikuwa namkubali lakini sasaiv hapana
Msiba inna lillah wainna ilayhi raj'un
Umeamua kumbomoa mwanao sule leo😊
Sule ni mtu sio Uislamu
SALAAM ALEIK SH.SHAFI..TUONGEE NAKUOMBA
Mtihani huu yaarabi
mashaallah shekh shukra mungu akupe kila kheri
Tatizo ufahamu upo tofauti
كلام الذهب
Assalaamu Alaykum
Allah kasema katika Qur'an tusihitilifiane baina yetu na wala tusijitakase tukajiona bora kuliko wengine kwani mbora baina yetu ni yule mchamungu.
Tujifunze kutoa da'wa kama Mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa akilingania kwa hikma sana kuliko sisi tunalinganiana kuingia katika madh'habu zaidi kuliko kuingia katika uislamu ذَلِكَ مَبْلَغَهُم مِّنَ الْعِلْمِ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ، وَهُوَ أَعْلَمُ بِمَنِ اهْتَدَى
Allah Akbar
Mimi ni Mkiristo lakini huyu Shekhe ana make sense. Sio wale wengine Mwanzo- Mwisho kudiscuss Wakristo😅. Kumbe wachawi wakubwa
Shekh tatizo uerewa aina aja kama yeye anatumia kwa ubaya bs muombee dua ila ata ww unamajini shk akuna binadama aliokosa jini kama mwema basi unamaJin tena ata wew shafii unapewa power pia nahao majini ila wema,we unailimu ya viumbe shekh tumia khekm.
Majini yapo lakini hatujapewa ruksa ya kushirikiana nayo,elewa maana kutoshirikina nao
We hauna elimu ndg
Sulle anafanya biashala ila nimchoyo wakutoa helmu ili iendembele yeye anatangaza dawa zanguvu zakiume ajui kama atawanawake awana nguvu zakike unamkuta mwanamke atakuoga ajui ananuka mpaka mwanaume uume unalala alafu unawaambia watu uwongo akuna dawa yanguvu zakiume maishamagumu wanawake wachafu wanatembea mchanakutwa navisuluali wanaume awali wakashiba mawazo yakodi watoto majukumu yamewazidi izonguvu zinatoka wp sulle waelimishe watu usiwapoteze
Sasa wewe ulitaka Sule awaogeshe hao wanawake zenu? au ulitaka awatafutie rizki yeye kwenye Harakati zenu? Hoja dhaifu sana hii
Hiyo compation hata huku kenya iko mpaka waislamu wanapeleka watoto wao
TARATIBU ND YNG,(KWANI MAJINI WEPI ANAOSHIRIKIANA NAO?)KM WAKIISLAMU NI KHEIR(KM SIO HIO NI SHARI)INSHAA ALLA KHEIR
anta jaaahil
Waisilamu majini
SHEIKH UNAKOSEA NA WW NDIO MIONGONI MWA WAHARIBIFU WA DINI WW USHAMFATA DR SULE UKAMWAMBIA KWA HEKIMA
HALAFU SIJUI MAREJEO YAKO YA ELIMU NI KITABU GANI HEBU ISOME VIZURI QURAN SHEIKH WACHA USHABIKI WA SIMBA NA YANGA.
MUNAMUONEA CHOYO DR SULE.
Aonewe choyo ya hiyo mijini??labda wew , huy asemwe hata miaka yote tu
Mwenyezi Mungu sw anasema kwenye Qur-an, FANYENI istighfari mtapata mvua, mali NA watoto. Lakini huyu shafi anasema, ukisema astaghfirulah haupati kitu mpaka utoke. Hio mpaka utoke kaipata wapi?.
Kuna sehemu kamtaja sulle?
Kenya 🇰🇪 ❤ tayari mara 3 kupeleka chakula gaza Palestinians vp Tz Ama adi mumalize kuchambana ndio kazi mnayojua mlimaluza tafteni paybill umma uchagie chakula kwenda gaza
Wewe peleka chakula Kibera!
Na ktk Hao wanao Hama Hama Wasio Jitambua Ni NURDIN KISHKI Mmnae Muona Shekhe Mkuu.
Ndacha alimshauri Dr sule atangaze majini ni waislamu na hilo ndilo anafanya
Umekuwa jasili mkubwa kusema ukweli kwaajili ya Allah tunajua Dr. Sule ni mwalimu wako ila Leo umesema ukweli bila kupepesa macho
Ni kweli unachosema
Swadakta
Hawaja kukosea shafii kuna kitu umepewa na Allah ,wewe na kitatoke huko mbele tunategemea uje ihifadhi dini ,Allah akuweke
Jamani mbona tena munaanza kutoleana maneno mumaacha kufanya mihazara munatoleana maneno ah!
Dr, Sule anawashinda ELIMU mtatafunana ninyi kwa ninyi shida nini,
Sule elimu yake ndogo baado
Waislam wote ni ndugu shekh kama kuna mapungufu kaa na doctor Sule muelimishane vizur the tuepushe mvutano
Asalam alayki shehe shafi Sasa kwanini musimuite na mkamwambia mbona amonaizi mlimwambia Sasa nae mwambieni kutaneni mashed mwiteni kueni siriasi hi ndie mwisilam
Mtasema tu na bado hamjasema
Nkweli Kuna masheikh wako kwa maslai ya tumbo zao ,
Kwani mungu akimtia mtu peponi yy ndio ajuae zaidi waeza kumuona mtu mbaya na akatubia na mungu akamsamehe na akamyanyua daraja na mungu yuwajua zaidi sasa ww utarusha vp mawe ukiona mtu peponi
Muelewe tu akhy wala usishangae ...watu Ni Akili Zake Na Mawazo ya KIDEMOKRASIA Akili Za MAANDAMANO zime Mgubika ,
Alafu Pia Watu Wa Bidaa(makhurafa) Hawajui Adabu Za Kuzungumza kuhusu Allwah
Hawajui Adabu Za Kisheria Mtu Anapo Taka Kuzungumzia
1- Allwah au 2 Mtume au 3- Masahaba au
4- Dini ya Uislamu kwa Jumla
Wao Huongea Wanavyo Jisikia Hawa Chuji Kauli Zao...HUROPOKA TUU.
HALAFU PI Ujinga Nao Ni Tatizo Hawafahamu Dini Ya Uislamu Kwa Uhalisia Wake.
Na Kibaya Zaidi Hupena Daraja Za Kielimu Bila Kusoma Hugawana Daraja za Elimu Pasi Mtu Kustahiki
Utasikia :Shekhe Fulani, Allaamh, Doctor Fulani , Professor Fulani ....ilhali mtu Hajafika Hata Darasa la 6 Madrasa wala Haja Hifadhi Qurani Hata Juzu Moja , Hadithi za Mtume Ndio Kabsaa Hata hajui nikitu gani na kiko rangi gani.....ila Mwenyewe Ni Shekhe Aridhika kabisa na Kufurahi Akiitwa Shekhe ....!!?
AJABU KABISA .
Msiba wa kujitakia hauna kilio..ushirikiane n majini den uede peponi du!
@@Austinemarko kwani ww na majini mumeumbwa muje duniani kufanya nn kama ww una ilimu kweli
Assalamu alaikum
Sheikh shafi kwani kisima kina cukuwa gharama ya ngapi?
Lakin firauni dah kiumbe Cha ajabu sana Kuna mazingatio makubwa sana ktk hiki kisa
Sule njaa ya majini inamsumbua😢
Waislamu wote mnapaswa kubatizwa na kuwa wakristo mmeanza kutombana wenyewe Kwa wenyewe no atali sana Ila Sisi wakristo tunaandaa maji ya ubatizo mtakapo kuwa tayali Sisi tunawasubili kalibuni Sana tunawapenda sana
@@PauloBarton nanani tubatizwe tutolee maneno yako ya uongo
@@PauloBarton kama mama yako na babayako walivo tombola wenyewe kwa wenyewe wakakupata wewe maluuni
@@aishaarusha894 kalibu kwenye njia ya ukweli na uzima matusi ya nini au umelaanika Dada yesu Kristo alimwaga damu msalabani Kwa maondoleo ya zambi zetu Sisi wanadamu hivyo basi waislamu wote mnapaswa kubatizwa mpaswi kufuga majini kwani majini ni malaika walio ASI na ndio maana linapo tajwa jina la yesu huwa yanatoka na kukimbia mbali namalizia na kusema waislamu wote mnapaswa kumfuata yesu Kristo mtakuwa mmebalikiwa Sana
Sheikh pesa zipo bakwata ndani ya uislamu kuna njaaa
Tatizo elim.....Dunia ni Pana sana mwacheni sule apige kazi tunaomwelewa wachache
We ni Jahil murakabbbbbbe
Struth
Pa sawa mtu na apongezwe. Na penue makosa pakosolewe, kwa dalili lakini.
Shekhe umeongea
Yalisimiswa Sasa sindugu Leo unakataa ndungu majini duh
SEMA baba kiukweli ostadh shafii Sasa iv tuko kibiashara nikwanin tunashindwa hata kuiga njia za Othman maalim au ostadh mbonde jamni
Je Manabii Wote na Mitume Wote Walikuwa na Mabodi Gard ,?
Shehe ukosahihi
Tusikilize mawaidha ya Sheikh Nassoro Abdallah Bachu, mada KUIPA MGONGO DUNIA Sehemu ya 1 -4
Sule ni mganga tu..sio shekhe hakuna uhusiano wa majini na mwanadamu
Alaf hii nchi jirani sijui iko na balaa gani kila siku Kuna mapya,mara nyoka mara Pete mara majini...🤔🤔
HUWEZI UKAAMINI MASHETANI(MAJINI) UKABAKI SALAMA.
■YESU KRISTO NDIE NJIA KWELI NA UZIMA. FULL STOP.
Kwa imani yako coz yes ni marehemu
Hujielewi ww
Hujielewi ww
Shafii una darsisha vizuri ila mautani utani yasiwe Mengi yanaleta ukakasi kwenye waadhi zako punguza utani unaomuhusisha Allah fanya tani zakawaida tu
luka 4:16 yesu aliingia kwenye sinagogi na akajitambulisha mkamkataa mkamtolea nje kabisa
Nini maana ya neno sinagogi?
DR Tule
We nawe njaa inakusumbua baada ya kuona mtu ulie hangaika nae kutangaza dini amekuacha mbali kimaisha
Ni Kweli Hamna Kushirikiana kati ya majini na binadamu
Ndio Maana Mtume Hajayaita Majini Wamsaidie Ktk Vita Badri (Jihadi) Pamoja Na Uchache Wa Wapiganaji ktk Safu Yake.
Kwani si waislam wezetu? Kwa taalifa yako inaswii kutumia majini.
ASALAM ALAIKUM WARAHMATULLAHI WABARAKATU TAFADHALINI MASHEKH KAMA MNAHISI MMOJA WENU KAKOSEA. MFANYIENI ZIARA MJADILI KUHUSU SUALA MNALOLIONA LINALETA UTATA BAINA YENU. ELIMU YA DINI NA UFAHAMU WA DINI NI VITU VIWILI TOFAUTI.
UNAWEZA KUWA NA ELIMU YA DINI. UFAHAMU WA DINI KAMA HAUPO NICHANGAMOTO. MASHEKH MUACHE TABIA YA KURADIANA W
Ukusawa shehe mklisto mie umesema kweli
Huo ndio uislam wa sasa kupigana bijembe kilamoja najuwa yeye hukonyuma hayakuepo haya wanawekeana Hadi midahalo hadharani inalilahi
Anasema ukweli
Shekhe mwambie sule Tena aelewe vizuri na ajue kwamba anapotosha uma uslamu umeweka kilakitu kipo wazi sasa awapiteze wasio jitambua
Tujihadhari na masheikhe kama akina sule kwanza wanadhalilisha uislamu yeye kapita shotkati kutafuta Mali anataka kuinginza na wengine Allaah tunusuru na watu kama hawa
Muhammad yule alisilimisha majini
Zanzibar watoto wetu bado wanaenda madrasa labda uko kwenu bara
Muhimu waende
Mpaka myasema tu
Kumbe Mwakubali Kua ktk DINI Kubagua Kupo Kuwabagua Mashe Wanaofaa Kusikizwa Na Wasio Faa
ila MANENO HAYA YAKISEMWA NA MASALAFI Dunia Ya Simama Kuwananga kua Wana Tuna Watu... Hooo
Watu na waishimiane
Hoo Tuweni Pamoja tuacheni kusemana
ila Hapa Kasema Shafi Kimyaa
Mpango wa makafili kuupoteza uislam
Juzi tu walikuwa wanamsifia sule leo wana mpenda kwakweli hamueleweak
Kama kakosea asiambiwe?
Mtume salallahu alayhi wasalam alisema uislamu ulikuja mgeni na utarudi mgeni zama hizi sasa tutafakari tuko wapi
Mbn wanasema Islam upo tokea Adam kumbe mgeni
Hao mabodgd ndo majini yenyewe. Pia wewe utasema too...majini yapo ndani ya hao mabodygd ...wewe endelea kuwadanganya lkn siku yaja utakiri too
Na hiyo pete yako ni ya nini mbona kubwa sana😮😮😮😮