HOUSE GIRL EP 32 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • #bongomovie #housegirl
  • КиноКино

Комментарии • 494

  • @busatitv
    @busatitv  22 дня назад +42

    Busati Tv Fans WhatsApp 👇👇
    chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP

    • @modestazaver
      @modestazaver 22 дня назад +5

      Oyooooo

    • @ElizabethBaraka-ml9yy
      @ElizabethBaraka-ml9yy 22 дня назад

      Hongereni.sana

    • @modestazaver
      @modestazaver 21 день назад +1

      Twende ivi ivi nasio kutuwekea watu ambao hawana vibe afu hatupendi izo mambo

    • @modestazaver
      @modestazaver 21 день назад

      Twende ivi ivi nasio kutuwekea watu ambao hawana vibe afu hatupendi izo mambo

  • @user-vz7qe8im6d
    @user-vz7qe8im6d 22 дня назад +67

    Duh Safari hii watu wamechachamaa kumtafuta zuu sio mchezo si bibi si sania si bamkwe we famchezo safari hii lazima apatikane dadek weka like apa kama unaamini watampata zuu

  • @JumaAmani-uh4vq
    @JumaAmani-uh4vq 22 дня назад +56

    Ata mutume saa ngap tuko macho watu wangu wa gulf tujuane😂😂😂tuna lala leo tuna amka leo

  • @ChochoteTv
    @ChochoteTv 22 дня назад +196

    Dah kumbe ukibonyeza comment mara tatu inajicopy🤚🏼🔥

    • @mamume710
      @mamume710 22 дня назад +6

      Unataka like tu nyau ww😂

    • @JudyDee-dt2fe
      @JudyDee-dt2fe 22 дня назад +7

      😂😂😂😂😂 walai

    • @user-wu7ho7sx8q
      @user-wu7ho7sx8q 22 дня назад +2

      🤣🤣🤣🤣

    • @Realme-xm3sh
      @Realme-xm3sh 22 дня назад +1

      Yan wew umejua kutuuza kweli 😅

    • @ElizabettEmanuel
      @ElizabettEmanuel 22 дня назад +1

      Nimekustukia unataka like muombe bibike zuuuuu😅😅😅😅😅

  • @MymunaMuna-qn5lo
    @MymunaMuna-qn5lo 22 дня назад +53

    Kuna gali like limedondoka hapo wahinii jamni mbona huba hamuombi jua kali hamuombi mnatowa maoni tu huku hakuna hoja ni like tui😢😢

    • @neemamnyazi
      @neemamnyazi 22 дня назад +1

      Candy mwana kuyasearch mwana kuyafound,,,ulikuwa na mbio ata ulikuwa hushikiki haya tulia ulee kitumbo sasa😂😂😂😂ila sania nawe ni moto kilà mtu kwako sawa huogopi zinaa wewe

    • @user-hb2nn6ud2d
      @user-hb2nn6ud2d 21 день назад +1

      Hao jua kali na huba wasenge wanazingua wacha tukomae na hii hii ni tamu tuu

    • @MymunaMuna-qn5lo
      @MymunaMuna-qn5lo 21 день назад

      @@user-hb2nn6ud2d kama sukali wapi kendy

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 22 дня назад +26

    Mizimu ya nyanya inafanya kazi hapo chacha nyanya zuu apatikane❤❤❤❤❤

  • @user-jl8kp7gu7x
    @user-jl8kp7gu7x 22 дня назад +30

    Wakwanza Leo Ni Mm nipeni like nzangu from USA ❤❤❤❤

  • @user-hf7pk2lx4v
    @user-hf7pk2lx4v 22 дня назад +16

    Team candy ona venye kimemramba dada yetu mungu asaidie zuu arudie hali yake ya kawaida watching from saudi

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi 22 дня назад +6

    Cheza na mapenzi wewe sania fanya uwezalo zuu akue sawa umpeleke kwa kai roho safi hii ni kali buana natamani iishe 2030😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 22 дня назад +16

    Hayah Leo nimewahi ila mashoga ugomvi ndio huu umeanza Sasa Siri zitafichuka jameni 😂😂😂 enjoying from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-gu2yu2wp1z
    @user-gu2yu2wp1z 22 дня назад +14

    Mida gn jaman hii😂😂😂😂lkn kibwagizo cha leo n zuuu,,,halafu leo bodaboda kachinja nn.........warereeeeee nawapenda snaa ❤

  • @user-jr1qx1sj8t
    @user-jr1qx1sj8t 22 дня назад +11

    Kula chuma icho hakuna siri ya wa2 wawili ngoja muone best yenu candy atakavyozalilishwa na best yake

  • @user-uk4fd1rp3w
    @user-uk4fd1rp3w 21 день назад +8

    Nani ana upendo wa dhati Kwa zuu Kam alivo baba Kai naomba tujuwan Kwa like hapa!!

  • @MaryMbithi-nw5sr
    @MaryMbithi-nw5sr 22 дня назад +11

    Guys namiss zuu please naomba kesho kumuona aky maua yenu haya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kenya 🇰🇪 we love our neighbour ❤❤❤❤❤

  • @PurityWaithira-ud2vj
    @PurityWaithira-ud2vj 21 день назад +3

    Nimechelewa mie 😢😢kazi mingi huku gulf,naomba na like mie tafadhali

  • @IBUTUNDU
    @IBUTUNDU 22 дня назад +24

    jaman namm leo sijachelewa sana naombeni japo like kidogo tu

    • @medinamathayo3798
      @medinamathayo3798 22 дня назад

      Kwani hizi like ni chakula jamani

    • @GetrudeChengula
      @GetrudeChengula 21 день назад +1

      Hahahaha saw kipenzi tunakupenda❤❤❤

    • @IBUTUNDU
      @IBUTUNDU 21 день назад

      @@GetrudeChengula 😂😂

  • @Asmachima-dx5gb
    @Asmachima-dx5gb 21 день назад +4

    Kazi nzur
    Lkn tujifunze kua mtoto hatowi mwanamke ila anaetowa ni mungu pekee

  • @user-jp3dr9nt8t
    @user-jp3dr9nt8t 22 дня назад +9

    Nimechelewa lakn nimefika naomba like zenu jmn❤❤❤❤

  • @user-ri5xw2rs4n
    @user-ri5xw2rs4n 22 дня назад +4

    Tim sania mpoo naomben like zenu jaman

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t 21 день назад +2

    waah kila mtu anamtafuta zuu .jaman mizimu y bibi inafanya kaz❤❤❤ munipee like bx

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 22 дня назад +8

    Ila candy bana,ati kwan nyie mmeamua kufanya kweli😂😂😂 🙌, aaaaweeeeh 😅...ushoga umekua uyogaaa😊 ama kweli udugu kazi ushoga heka heka # bodaa nawe umenikosha,tania auza mchele ataka mteja aende na mfuko,khaaa! Busati tv hatareeee🎉🎉🎉🎉

  • @user-dp3fv2kh4l
    @user-dp3fv2kh4l 22 дня назад +2

    Hii iko moto mpaka karibu watu wote wana mtafuta zuu kwakweli atapatikana na akipatikana kichaa kwisha❤❤❤

  • @Khadija-bu9ou
    @Khadija-bu9ou 22 дня назад +11

    Likes zangu na mimi jamani Leo mPema nimewai

  • @user-uo4gu1kk2z
    @user-uo4gu1kk2z 22 дня назад +6

    Eeeh number 10 Leo mungu asifiwe sana❤❤❤❤Nawapenda sana nyie wote

  • @happinessmalombo9275
    @happinessmalombo9275 22 дня назад +9

    Mm nilikuwa naona nimerauka kumbe wenzangu mumelala hapa😂😂😂

  • @aminah574
    @aminah574 22 дня назад +13

    Jamani munipee like na mm leo basi 🙏🙏hata tano

  • @suleabtigigis6932
    @suleabtigigis6932 22 дня назад +5

    Zuu 😢ako wapi tafadhalinii tupate zuu plss apone ❤ yule mama boss wakeko roho unyama ............sana mungu awalaniii...milele 😢😢😢😢

  • @AliceBensoni
    @AliceBensoni 22 дня назад +2

    Baba Kai ni mbonge la HB maan nimemuona kweny series ya koneksheni NI mwendo wa suti tuu, yuk vzr

  • @Scolayusuph558
    @Scolayusuph558 22 дня назад +8

    Wachawi wa imaya ya busati mnatupostia move usku usku 😅 kaz nzur maua yenu 🎉🎉

  • @DanielaSanka
    @DanielaSanka 22 дня назад +6

    Jamani house girl ni nzuri ila jitahidini kutoa kwa wakati naombeni ikiwezekana hata vipande viwili kwa siku

  • @roselaurenci5143
    @roselaurenci5143 22 дня назад +18

    leo wa kwanz NAOMBENI like

    • @priscahmahenzo642
      @priscahmahenzo642 21 день назад

      𝐇𝐚𝐩𝐚 𝐢𝐦𝐞𝐟𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐩𝐚𝐭𝐚𝐦𝐮 𝐱𝐱𝐚 𝐰𝐚𝐩 𝐥𝐢𝐤𝐞𝐬 𝐳𝐚𝐧𝐠𝐮😂😂😂😂

    • @priscahmahenzo642
      @priscahmahenzo642 21 день назад

      𝐂𝐚𝐧𝐝𝐲 𝐧𝐢 𝐦𝐰𝐞𝐧𝐝𝐨 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐠𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐮𝐦𝐚𝐬𝐤𝐢𝐧𝐢 𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐡𝐮𝐱𝐮😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @HidayaMbodze
    @HidayaMbodze 22 дня назад +9

    Kuna scene zengine wanaongea sana director please angalia hili juu target ya mda inaisha haraka na inaisha tayari

    • @Nashoni1996
      @Nashoni1996 22 дня назад +1

      Ni keeping visivyo vya msingi wanavipa mda mrefu

    • @HidayaMbodze
      @HidayaMbodze 22 дня назад +1

      @@Nashoni1996 kabisa yani

    • @irinemmasy8387
      @irinemmasy8387 21 день назад +1

      Hili tumeliongea Sana lakini hata hawarekebishi

    • @juliethrobart9430
      @juliethrobart9430 21 день назад +1

      Kabisaa wanaongea mpaka wanaboa

  • @user-sy9cu5ef5q
    @user-sy9cu5ef5q 22 дня назад +1

    Pole sana dada ambaye huzai usikate tamaa kuzaa ni majaliwa ya mungu

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f 22 дня назад +6

    Mwenye bahati mbaya atalike sipati

  • @has1039
    @has1039 22 дня назад +41

    Leo wakwanza nipewe like zangu

  • @MwanamisiSuleiman
    @MwanamisiSuleiman 22 дня назад +9

    Wakwanzaaaaa hiooooo❤❤❤❤

  • @12omochildren
    @12omochildren 22 дня назад +7

    Hata mkituma sakumi ya asubuhi tupo tayari kibisa,shoga mwenzi kishamramba😂😂

  • @GermaineZabibh
    @GermaineZabibh 22 дня назад +7

    Ni lazma Leo mnikome nimekuwa wa kwanza ku comment

  • @user-rp3hf9oi7v
    @user-rp3hf9oi7v 21 день назад +1

    Nampenda kendy sababu amevaa uhusika wake vilivyo alafu ananhaya😂😂😂 kiukweli wanifurahisha dada❤

  • @janatmapenzi5264
    @janatmapenzi5264 21 день назад +1

    Daaah hii kali nawapenda sana gyz inakaribiea nlipotarajia❤

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 21 день назад +1

    Chiko chiko chiko nime kwita mara 3 😢😢😢kuwa na hofu ya Allah basi unatoa maneno makali kiasia hicho kwa mkeo kweli😢😢😢😢😢😢masha Allah navile uko na mke mrembo 🥰🥰🥰

  • @ChaguVeeNovida
    @ChaguVeeNovida 22 дня назад +3

    Hapa Zuuh sisi Tunamleta, We mzee utazunguka saana, 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
    Zuuh yupo zake kule amemeza Panadol Za Kenya😂😂😂 👽👽

  • @zeynab7617
    @zeynab7617 22 дня назад +8

    Leo nimewahi like zangu jamani ❤❤❤

  • @fhgj261
    @fhgj261 21 день назад +1

    Namu ❤❤nimependa sana kabisa🎉🎉aduwi wa rafiki yako ni rafiki yako❤❤ongera san🎉🎉🎉

  • @esterester3628
    @esterester3628 21 день назад +1

    Nyanya kaendea mjukuu wake.kweli uchungu WA mwana aujuaye mzazi❤❤❤🎉🎉🎉

  • @ElizabethDennis-qv9nx
    @ElizabethDennis-qv9nx 22 дня назад +9

    Nipeni like zangu hatakama nimechelewa

  • @user-oy5fn8du4u
    @user-oy5fn8du4u 21 день назад +1

    Huyu chiku nae anavyo mjibu mkewe 😢ajui km kuzaa nimajaliwa ya allah 😢😢mungu awafanyie wepesi wanawake nyote ambao amjapata watoto Kuna wengine wanapitia changa moto Sana

  • @MariahJuliuss
    @MariahJuliuss 22 дня назад +1

    Daaaah nimeisubili Sana jamni Ahsantee kwailo ❤❤🎉❤🎉❤🎉

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf 21 день назад +2

    😂😂😂kimenuka huku marafiki wamegeukana Kila mtu anatoboa Siri Shania wewe 😅😅ebu tuletee zuu wetu jamani alf Kai manze amechange😢 anyway wanapenda waigizaji wangu ❤❤❤

  • @buru1235
    @buru1235 21 день назад +1

    Baba sikia vile unaambiwa mm naona Sania atakulea zuu kuwa mpole team bangi uku wangapi jmn😊😊

  • @AdestiraNgede
    @AdestiraNgede 22 дня назад +3

    Sisi timu zuu tuko kimy wameanza kugeukana wenyewe tunasubiri mabomu yao yalipuke

  • @AnicethaLaurent
    @AnicethaLaurent 22 дня назад +3

    Huu sasa ndo utamu wa move, move imefika patamu sana tunaomba msitucheleweshee sehemu inayofuata jamani tunaisubli kwa hamu

  • @OneniMahenge-wm8ji
    @OneniMahenge-wm8ji 21 день назад +1

    Omba omba wa like mumesha Anza kuomba angalien move

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 22 дня назад +10

    Konde boy coming number one yau yau🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ki9le1jy8e
    @user-ki9le1jy8e 22 дня назад +3

    Kaz nzuriiii ila wanachelewa bhn unawek kibando chako ukija mzigo bado 😅😅ila ndo Ivo na enjoy tyuu

  • @MamayaoRiziki
    @MamayaoRiziki 22 дня назад +8

    Nc movie ❤❤

  • @MaryTsuma-j3q
    @MaryTsuma-j3q 21 день назад +1

    Movie yenye Iko simati sana n nimeipenda sana

  • @user-fo6zw6ru9e
    @user-fo6zw6ru9e 22 дня назад +4

    Nani anae tamani kai jinsi anavo mnyemelea zuuu chumbani kwake

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o 22 дня назад +1

    Mpo vzr san Alf Kendy anajichekesha chelesh litamukut jambo

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t 22 дня назад +2

    Tangu muombe like mumenunua magari mangapi 😂😂😂😂😂

    • @user-ln3nu4tt5y
      @user-ln3nu4tt5y 21 день назад

      Hahahaha wapo kwenye folen wanafata magari yao

    • @user-sk7un6ls2t
      @user-sk7un6ls2t 21 день назад

      @@user-ln3nu4tt5y ahahaha jaman 🤣🤣🤣

  • @gmichano113
    @gmichano113 22 дня назад +5

    😂😂😂😂Mnaomba sana like, si muangalie kwanza

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 22 дня назад +2

    Chiko hata kama tumia busara basi maneno makali kwa mkeo ye sio muumbaji tambua

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 22 дня назад +2

    Hongereni sana busati tv🎉🎉🎉❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪

  • @asmahtamla4749
    @asmahtamla4749 21 день назад

    Lkn MPO GOOD 👍 KTK HII TAMTHILIA MMEJUA KUINGIZA.

  • @Zainabu-xn3vd
    @Zainabu-xn3vd 22 дня назад +2

    Candy kitakurambaaa ss anyway lipe like hata kumi please🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-ge3tn7zs8r
    @user-ge3tn7zs8r 21 день назад +1

    Chiko nakupa usia mkeo yuwakupenda sana na ujue kuzaha majaliwa kuna kupa na kukosa chiko mkeo ni mtu mwaminifu sana .ila candy kitakuramba baba .langu dicho

  • @MariamAlly-xw6ms
    @MariamAlly-xw6ms 22 дня назад +1

    Sania bwana et moto umewashwa sherry

  • @FahidaSalim
    @FahidaSalim 22 дня назад +1

    Zuu lazima apatikane mimi nataka candy aibike😂😅 kicheko Cha candy iko

  • @fatmaubwa-z8s
    @fatmaubwa-z8s 21 день назад +1

    nani kaona boda boda alivochangamkia tenda😂😂😂 any way soon zuu atapona 😂😂

  • @Mrplatforms11
    @Mrplatforms11 22 дня назад +2

    Jaman zuuu wangu ni the best woman nakubali kichizi love this girl

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 22 дня назад +2

    Haya sasa mutu n'a shoga yake mambo yanataka kunoga apa ndo patamu sasa ❤❤❤

  • @user-gv6zd5el9c
    @user-gv6zd5el9c 22 дня назад +3

    Jamani cand ameyakanyaga

  • @MawazoJustin-fw2ws
    @MawazoJustin-fw2ws 22 дня назад +1

    Candy siku dawaitafeli utajiona wabure sana wewe nakuchukiya candy 😏😏😏😏😏

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 22 дня назад +1

    Pole sana nilishaipitia hii hali Allah akupe subra nilishaipitia kukosa kuzaa

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko 21 день назад +1

    Nimekupenda bure sania❤❤❤❤

  • @DivineIngabire-lj3sr
    @DivineIngabire-lj3sr 22 дня назад +2

    Sania basi akanuaga we candy nilikwambia kam bitakurudia ngoja sasa kidogo lakin busati munatufanya tusilale kabisa 😂😂😂😂

  • @Restuta-o8h
    @Restuta-o8h 22 дня назад +1

    Mpo bize kuomba like Mgumba anataka kupewa mudathiri Yahya

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734 21 день назад +1

    Hi ndo house girl ukisikia nyegne photocopy🎉🎉🎉

  • @AgnesDavdi-rz9hg
    @AgnesDavdi-rz9hg 21 день назад +1

    Jaman nipeni hata like 10 zinatosha

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 22 дня назад +1

    Pole mwanamke mwenzagu kwa kusakwama kwa sababu ya kuzaa

  • @user-yk3ew1bw1q
    @user-yk3ew1bw1q 22 дня назад +2

    Asant san Ira munawek usik saan kwer mubadir kwer vipnz ❤

  • @kadzo5594
    @kadzo5594 22 дня назад +2

    😂😂yani sema mnajua kurauka Sana🙌

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 22 дня назад +1

    Angalau zuu apatikane 😢😢😢 kendi mwisho wako ndio huo nauona 😂😂😂

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 21 день назад +1

    Candy zam yko iyoooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ReseMahenge-td9xe
    @ReseMahenge-td9xe 22 дня назад +3

    Jaman jamn kila movie inaenda kuwa pambeeeeeeeeeeee♥️

  • @NanaaHaji-qr1rk
    @NanaaHaji-qr1rk 22 дня назад +1

    Kwahio hii michezo ya makabila yenu ama😢maana hatuelew😂

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 21 день назад +1

    Zuuu utakuwa sawa habbty wanguuuu❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @jedenecosta
    @jedenecosta 21 день назад +1

    Movie
    Nzuri
    Tamu
    ❤❤
    Nimefurahi

  • @user-rg5im1ls4j
    @user-rg5im1ls4j 21 день назад +1

    Kutangulia sio kufika nmechelewa lakini nmefika❤❤❤

  • @JosianeHabarugira
    @JosianeHabarugira 22 дня назад +7

    Nilikuwa nasubiri kabisa !

  • @gracenyevu8082
    @gracenyevu8082 22 дня назад +1

    Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @KamselaOg
    @KamselaOg 21 день назад +1

    Kuna watoto wanasikia mtamu sana hadi neno wamelishika

  • @lalyaszubeda6527
    @lalyaszubeda6527 22 дня назад +1

    Move nzuri sana inamafunzo mazuri sana candy na chiko mtajuta maisha yenu yote kwa unyama wenu😢

  • @ministerlightnessrobert5342
    @ministerlightnessrobert5342 22 дня назад +2

    Wenye wababa like apa

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 22 дня назад +1

    Hongeren San Kwa Kaz nzur Mung awabarik sana🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @SikuJuma
    @SikuJuma 21 день назад +1

    Pole dada inauma sana usiombe yakakuta

  • @Saum-so9gr
    @Saum-so9gr 22 дня назад +2

    Jaman Hii muv nataman isiishe tam mno mmejua kuicheza ❤❤

  • @ZuenaStanley-fx6ce
    @ZuenaStanley-fx6ce 21 день назад +1

    Achen kuomba like ndo maana zuu apon 😢 naomben likee

    • @ScoviaJuma-rz2qo
      @ScoviaJuma-rz2qo 13 дней назад

      Jaman sjui wanazipeleka wapy daily hawatosheki😅

  • @FurahaMathias-hw9yg
    @FurahaMathias-hw9yg 22 дня назад +1

    Busat mnanikosha kilasiku lazima muweke kitu juu yakitu❤

  • @tobadinamhegele8055
    @tobadinamhegele8055 21 день назад +2

    Zuu amekua madini Kazi kwelikweli❤️❤️