Duh Safari hii watu wamechachamaa kumtafuta zuu sio mchezo si bibi si sania si bamkwe we famchezo safari hii lazima apatikane dadek weka like apa kama unaamini watampata zuu
Candy mwana kuyasearch mwana kuyafound,,,ulikuwa na mbio ata ulikuwa hushikiki haya tulia ulee kitumbo sasa😂😂😂😂ila sania nawe ni moto kilà mtu kwako sawa huogopi zinaa wewe
Chiko chiko chiko nime kwita mara 3 😢😢😢kuwa na hofu ya Allah basi unatoa maneno makali kiasia hicho kwa mkeo kweli😢😢😢😢😢😢masha Allah navile uko na mke mrembo 🥰🥰🥰
Huyu chiku nae anavyo mjibu mkewe 😢ajui km kuzaa nimajaliwa ya allah 😢😢mungu awafanyie wepesi wanawake nyote ambao amjapata watoto Kuna wengine wanapitia changa moto Sana
😂😂😂kimenuka huku marafiki wamegeukana Kila mtu anatoboa Siri Shania wewe 😅😅ebu tuletee zuu wetu jamani alf Kai manze amechange😢 anyway wanapenda waigizaji wangu ❤❤❤
Chiko nakupa usia mkeo yuwakupenda sana na ujue kuzaha majaliwa kuna kupa na kukosa chiko mkeo ni mtu mwaminifu sana .ila candy kitakuramba baba .langu dicho
Busati Tv Fans WhatsApp 👇👇
chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
Oyooooo
Hongereni.sana
Twende ivi ivi nasio kutuwekea watu ambao hawana vibe afu hatupendi izo mambo
Twende ivi ivi nasio kutuwekea watu ambao hawana vibe afu hatupendi izo mambo
Duh Safari hii watu wamechachamaa kumtafuta zuu sio mchezo si bibi si sania si bamkwe we famchezo safari hii lazima apatikane dadek weka like apa kama unaamini watampata zuu
Zuu apatikane tu mambo yaende poa
Atleast Leo kuna improvement 🎉🎉🎉🎉🎉 zuu apatikane haraka iwezekanavyo🎉🎉
Umeona enh
@@AdamZainab-mb7qj yea
Ata mutume saa ngap tuko macho watu wangu wa gulf tujuane😂😂😂tuna lala leo tuna amka leo
😂😂😂😂hii kal wallah
@@BintTatu au sio mtu wangu 😅😅😅
Umeongea kabx😂😂😂
😂😂😂😂
@@user-qj2xc8gd5wno kulala hapa
Dah kumbe ukibonyeza comment mara tatu inajicopy🤚🏼🔥
Unataka like tu nyau ww😂
😂😂😂😂😂 walai
🤣🤣🤣🤣
Yan wew umejua kutuuza kweli 😅
Nimekustukia unataka like muombe bibike zuuuuu😅😅😅😅😅
Kuna gali like limedondoka hapo wahinii jamni mbona huba hamuombi jua kali hamuombi mnatowa maoni tu huku hakuna hoja ni like tui😢😢
Candy mwana kuyasearch mwana kuyafound,,,ulikuwa na mbio ata ulikuwa hushikiki haya tulia ulee kitumbo sasa😂😂😂😂ila sania nawe ni moto kilà mtu kwako sawa huogopi zinaa wewe
Hao jua kali na huba wasenge wanazingua wacha tukomae na hii hii ni tamu tuu
@@user-hb2nn6ud2d kama sukali wapi kendy
Mizimu ya nyanya inafanya kazi hapo chacha nyanya zuu apatikane❤❤❤❤❤
Wakwanza Leo Ni Mm nipeni like nzangu from USA ❤❤❤❤
Team candy ona venye kimemramba dada yetu mungu asaidie zuu arudie hali yake ya kawaida watching from saudi
Cheza na mapenzi wewe sania fanya uwezalo zuu akue sawa umpeleke kwa kai roho safi hii ni kali buana natamani iishe 2030😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hayah Leo nimewahi ila mashoga ugomvi ndio huu umeanza Sasa Siri zitafichuka jameni 😂😂😂 enjoying from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Me too 🥰 from Kenya
Mida gn jaman hii😂😂😂😂lkn kibwagizo cha leo n zuuu,,,halafu leo bodaboda kachinja nn.........warereeeeee nawapenda snaa ❤
Kula chuma icho hakuna siri ya wa2 wawili ngoja muone best yenu candy atakavyozalilishwa na best yake
Nani ana upendo wa dhati Kwa zuu Kam alivo baba Kai naomba tujuwan Kwa like hapa!!
Guys namiss zuu please naomba kesho kumuona aky maua yenu haya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kenya 🇰🇪 we love our neighbour ❤❤❤❤❤
Nimechelewa mie 😢😢kazi mingi huku gulf,naomba na like mie tafadhali
jaman namm leo sijachelewa sana naombeni japo like kidogo tu
Kwani hizi like ni chakula jamani
Hahahaha saw kipenzi tunakupenda❤❤❤
@@GetrudeChengula 😂😂
Kazi nzur
Lkn tujifunze kua mtoto hatowi mwanamke ila anaetowa ni mungu pekee
Nimechelewa lakn nimefika naomba like zenu jmn❤❤❤❤
Tim sania mpoo naomben like zenu jaman
waah kila mtu anamtafuta zuu .jaman mizimu y bibi inafanya kaz❤❤❤ munipee like bx
Ila candy bana,ati kwan nyie mmeamua kufanya kweli😂😂😂 🙌, aaaaweeeeh 😅...ushoga umekua uyogaaa😊 ama kweli udugu kazi ushoga heka heka # bodaa nawe umenikosha,tania auza mchele ataka mteja aende na mfuko,khaaa! Busati tv hatareeee🎉🎉🎉🎉
Hii iko moto mpaka karibu watu wote wana mtafuta zuu kwakweli atapatikana na akipatikana kichaa kwisha❤❤❤
Likes zangu na mimi jamani Leo mPema nimewai
Eeeh number 10 Leo mungu asifiwe sana❤❤❤❤Nawapenda sana nyie wote
Mm nilikuwa naona nimerauka kumbe wenzangu mumelala hapa😂😂😂
Jamani munipee like na mm leo basi 🙏🙏hata tano
Zuu 😢ako wapi tafadhalinii tupate zuu plss apone ❤ yule mama boss wakeko roho unyama ............sana mungu awalaniii...milele 😢😢😢😢
Baba Kai ni mbonge la HB maan nimemuona kweny series ya koneksheni NI mwendo wa suti tuu, yuk vzr
Wachawi wa imaya ya busati mnatupostia move usku usku 😅 kaz nzur maua yenu 🎉🎉
Hatari
Jamani house girl ni nzuri ila jitahidini kutoa kwa wakati naombeni ikiwezekana hata vipande viwili kwa siku
❤❤❤
leo wa kwanz NAOMBENI like
𝐇𝐚𝐩𝐚 𝐢𝐦𝐞𝐟𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐩𝐚𝐭𝐚𝐦𝐮 𝐱𝐱𝐚 𝐰𝐚𝐩 𝐥𝐢𝐤𝐞𝐬 𝐳𝐚𝐧𝐠𝐮😂😂😂😂
𝐂𝐚𝐧𝐝𝐲 𝐧𝐢 𝐦𝐰𝐞𝐧𝐝𝐨 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐠𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐮𝐦𝐚𝐬𝐤𝐢𝐧𝐢 𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐡𝐮𝐱𝐮😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Kuna scene zengine wanaongea sana director please angalia hili juu target ya mda inaisha haraka na inaisha tayari
Ni keeping visivyo vya msingi wanavipa mda mrefu
@@Nashoni1996 kabisa yani
Hili tumeliongea Sana lakini hata hawarekebishi
Kabisaa wanaongea mpaka wanaboa
Pole sana dada ambaye huzai usikate tamaa kuzaa ni majaliwa ya mungu
Mwenye bahati mbaya atalike sipati
Upate like umeigiza ww? acha shobo bwana
Jak@@silviaamakweliukweliutajul8395jajunya cha nyambutavyuvya biragucha😂😂😂
Leo wakwanza nipewe like zangu
Likes 🎉🎉
Wakwanzaaaaa hiooooo❤❤❤❤
Hata mkituma sakumi ya asubuhi tupo tayari kibisa,shoga mwenzi kishamramba😂😂
Hahaha kazi anayoooo
Ni lazma Leo mnikome nimekuwa wa kwanza ku comment
Nampenda kendy sababu amevaa uhusika wake vilivyo alafu ananhaya😂😂😂 kiukweli wanifurahisha dada❤
Daaah hii kali nawapenda sana gyz inakaribiea nlipotarajia❤
Chiko chiko chiko nime kwita mara 3 😢😢😢kuwa na hofu ya Allah basi unatoa maneno makali kiasia hicho kwa mkeo kweli😢😢😢😢😢😢masha Allah navile uko na mke mrembo 🥰🥰🥰
Hapa Zuuh sisi Tunamleta, We mzee utazunguka saana, 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Zuuh yupo zake kule amemeza Panadol Za Kenya😂😂😂 👽👽
Leo nimewahi like zangu jamani ❤❤❤
Namu ❤❤nimependa sana kabisa🎉🎉aduwi wa rafiki yako ni rafiki yako❤❤ongera san🎉🎉🎉
Nyanya kaendea mjukuu wake.kweli uchungu WA mwana aujuaye mzazi❤❤❤🎉🎉🎉
Nipeni like zangu hatakama nimechelewa
Huyu chiku nae anavyo mjibu mkewe 😢ajui km kuzaa nimajaliwa ya allah 😢😢mungu awafanyie wepesi wanawake nyote ambao amjapata watoto Kuna wengine wanapitia changa moto Sana
Daaaah nimeisubili Sana jamni Ahsantee kwailo ❤❤🎉❤🎉❤🎉
😂😂😂kimenuka huku marafiki wamegeukana Kila mtu anatoboa Siri Shania wewe 😅😅ebu tuletee zuu wetu jamani alf Kai manze amechange😢 anyway wanapenda waigizaji wangu ❤❤❤
Baba sikia vile unaambiwa mm naona Sania atakulea zuu kuwa mpole team bangi uku wangapi jmn😊😊
Sisi timu zuu tuko kimy wameanza kugeukana wenyewe tunasubiri mabomu yao yalipuke
Tu pmoja my
Huu sasa ndo utamu wa move, move imefika patamu sana tunaomba msitucheleweshee sehemu inayofuata jamani tunaisubli kwa hamu
Omba omba wa like mumesha Anza kuomba angalien move
Konde boy coming number one yau yau🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kaz nzuriiii ila wanachelewa bhn unawek kibando chako ukija mzigo bado 😅😅ila ndo Ivo na enjoy tyuu
Nc movie ❤❤
Movie yenye Iko simati sana n nimeipenda sana
Nani anae tamani kai jinsi anavo mnyemelea zuuu chumbani kwake
Mpo vzr san Alf Kendy anajichekesha chelesh litamukut jambo
Tangu muombe like mumenunua magari mangapi 😂😂😂😂😂
Hahahaha wapo kwenye folen wanafata magari yao
@@user-ln3nu4tt5y ahahaha jaman 🤣🤣🤣
😂😂😂😂Mnaomba sana like, si muangalie kwanza
Waambie
@@Phoebenafula yaani ni changamoto
Chiko hata kama tumia busara basi maneno makali kwa mkeo ye sio muumbaji tambua
Hongereni sana busati tv🎉🎉🎉❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪
Lkn MPO GOOD 👍 KTK HII TAMTHILIA MMEJUA KUINGIZA.
Candy kitakurambaaa ss anyway lipe like hata kumi please🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Chiko nakupa usia mkeo yuwakupenda sana na ujue kuzaha majaliwa kuna kupa na kukosa chiko mkeo ni mtu mwaminifu sana .ila candy kitakuramba baba .langu dicho
🙏🙏🙏
Sania bwana et moto umewashwa sherry
Zuu lazima apatikane mimi nataka candy aibike😂😅 kicheko Cha candy iko
nani kaona boda boda alivochangamkia tenda😂😂😂 any way soon zuu atapona 😂😂
Jaman zuuu wangu ni the best woman nakubali kichizi love this girl
Haya sasa mutu n'a shoga yake mambo yanataka kunoga apa ndo patamu sasa ❤❤❤
Jamani cand ameyakanyaga
Candy siku dawaitafeli utajiona wabure sana wewe nakuchukiya candy 😏😏😏😏😏
Pole sana nilishaipitia hii hali Allah akupe subra nilishaipitia kukosa kuzaa
Nimekupenda bure sania❤❤❤❤
Sania basi akanuaga we candy nilikwambia kam bitakurudia ngoja sasa kidogo lakin busati munatufanya tusilale kabisa 😂😂😂😂
Mpo bize kuomba like Mgumba anataka kupewa mudathiri Yahya
Hi ndo house girl ukisikia nyegne photocopy🎉🎉🎉
Jaman nipeni hata like 10 zinatosha
Pole mwanamke mwenzagu kwa kusakwama kwa sababu ya kuzaa
Asant san Ira munawek usik saan kwer mubadir kwer vipnz ❤
😂😂yani sema mnajua kurauka Sana🙌
Angalau zuu apatikane 😢😢😢 kendi mwisho wako ndio huo nauona 😂😂😂
Candy zam yko iyoooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jaman jamn kila movie inaenda kuwa pambeeeeeeeeeeee♥️
Kwahio hii michezo ya makabila yenu ama😢maana hatuelew😂
Zuuu utakuwa sawa habbty wanguuuu❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Movie
Nzuri
Tamu
❤❤
Nimefurahi
Kutangulia sio kufika nmechelewa lakini nmefika❤❤❤
Nilikuwa nasubiri kabisa !
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Kuna watoto wanasikia mtamu sana hadi neno wamelishika
Move nzuri sana inamafunzo mazuri sana candy na chiko mtajuta maisha yenu yote kwa unyama wenu😢
Wenye wababa like apa
Hongeren San Kwa Kaz nzur Mung awabarik sana🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Pole dada inauma sana usiombe yakakuta
Jaman Hii muv nataman isiishe tam mno mmejua kuicheza ❤❤
Achen kuomba like ndo maana zuu apon 😢 naomben likee
Jaman sjui wanazipeleka wapy daily hawatosheki😅
Busat mnanikosha kilasiku lazima muweke kitu juu yakitu❤
Zuu amekua madini Kazi kwelikweli❤️❤️
🙏🙏🙏