MISSION IMPOSSIBLE [13]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 420

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 2 месяца назад +11

    Chado movie nyingine usimwache najma anajua anajua anajua tena aise hiyo cin uliyomfata shuleni aise mmefanya unyama sana najima pokea maua yako 🎉🎉 🎉🎉

  • @BintJamal-zf4hr
    @BintJamal-zf4hr 2 месяца назад +14

    Ngwengwe anajua jmn mnyonge mnyongeni sifa yake mpeni

    • @YasintaRobert-q9v
      @YasintaRobert-q9v Месяц назад +1

      Anajua sana sema wamekutana na mama ake pipa na mfuniko😂😂

    • @Naema-x7p
      @Naema-x7p 26 дней назад

      Kweli kabisa aki anajua 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤kanywa jagi zima la gongo😂😂😂😂😂😂😂

  • @SelemaniIddy-nc1n
    @SelemaniIddy-nc1n 2 месяца назад +12

    Tunasebeza mpaka mwisho kieleweke ninoma hii.move oy zaidi ya sikanka 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @StellaPetro-x8q
    @StellaPetro-x8q 2 месяца назад +4

    Nzuri sana,mtoto anamsaidia mama ake asikamatwe na mama anajua mtoto anatakiw sup,Chado kashanogew tayari,kaka mtu ana juhudi za malez Bora aisee ni kali San mapambano yaendelee.

  • @Maryahery
    @Maryahery Месяц назад +5

    Chadooo hhhh me maugomvi ndik i like

  • @ashkomhan6959
    @ashkomhan6959 2 месяца назад +13

    Wallah broo unakitu kikubwa Sana mungu akujaaliye ufike mbali Zaid tupo majo nawew ❤

  • @abdulisaid3802
    @abdulisaid3802 2 месяца назад +15

    Safi sana broo unapambania sana hii move

  • @kidukuMautundu99
    @kidukuMautundu99 2 месяца назад +15

    Leo wa kwanza kutokea tnga moja imeisha iyooooo kwanini wanakuita kidemu jau sio wana nihita ndo unavyo nihita

  • @shoshobbyguu5989
    @shoshobbyguu5989 2 месяца назад +3

    Hii movie toka niiyaze mpka leo iko kali sana na naipenda Big up ❤😅

  • @NasraJuma-b4v
    @NasraJuma-b4v 2 месяца назад +8

    Chado master,Mimi Ilo lisong nalitaka kaka

  • @SamiraMohamed-dx1ul
    @SamiraMohamed-dx1ul 2 месяца назад +2

    Naipenda hii movie sana😊sema wchlwa ktupa nyingine mwtuweka n hamu😂😂

  • @angeharushimana7431
    @angeharushimana7431 2 месяца назад +3

    Yani napenda dady uyo musemo wake wakupiga misumari😂😂😂😂😂

  • @JescaFelix-e4x
    @JescaFelix-e4x 2 месяца назад +11

    Ngadaya umenifurahi uwiiiiii nishamlamba😅😅😅

  • @DommyJohn-wv8bh
    @DommyJohn-wv8bh 2 месяца назад +25

    Jamani ata mimi wakwanza kutoko kwakina swaumu naomba like zangu

  • @edwinkato-m2g
    @edwinkato-m2g 2 месяца назад +8

    unyama sana kaka tunasubiri sana ikitoka tunyainyaka

  • @PaulineNasoro
    @PaulineNasoro 2 месяца назад +3

    Movie nzuri sana Chado chukua 🎉🎉🎉🎉🎉 kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @AmanValema
    @AmanValema 2 месяца назад +39

    Wakwanza Leo naomba like zangu

  • @VeronicaKalinga-r9d
    @VeronicaKalinga-r9d 2 месяца назад +7

    maisha ya anifa na mwanae mie hoii😂😂😂😂

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 2 месяца назад +14

    Mama ngwengwe uyo so afisa ni kondakita asikutishe😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @mikamunisi
    @mikamunisi 2 месяца назад +3

    Bora ata, nlizan nd isha fika mwisho, apo uwakik sasa😊

  • @StivinSintufya
    @StivinSintufya Месяц назад +3

    Daaah uyu dady anamjali sana mdogo ake adi sio poa 👍👍

  • @AlbertJr-u8q
    @AlbertJr-u8q 2 месяца назад +2

    Tunakubali mzee wa misumarii hahahhaahah😅😅 kipande chako unakitendea haki kaka saf sanaa ni misumari tuuuu

  • @MamoDhaMacho
    @MamoDhaMacho 2 месяца назад +9

    Munakera sana mnashelewesha

  • @GaudenciaMadirisha
    @GaudenciaMadirisha 2 месяца назад +8

    Gwegwe kalewa sasa😂😂😂😂😂

  • @FatumaAbdalla-e1u
    @FatumaAbdalla-e1u 2 месяца назад +1

    Iyi movie nimeipenda sana. Jaman alivyo chado na najma kama love story ya ngu mm na. Baba watoto angu sela

  • @HusseinBizzy
    @HusseinBizzy 2 месяца назад +16

    Nimekuwa wa kwanza.leo nipeni like zangu

  • @Thuma_junior
    @Thuma_junior 2 месяца назад +3

    Uuuuuwiii nishamlamba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣anaitwa ngadaya acha aondoe machungu❤❤❤❤❤

  • @estermtai5491
    @estermtai5491 2 месяца назад +2

    Nasubir chado apeleke cake akutane na kaka mtu, hiyo ndio I like hiyo😂

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 2 месяца назад +3

    We chando ninomaaa uko chap kamanigali we ni happy nation

  • @jontezmtotowamungu5613
    @jontezmtotowamungu5613 2 месяца назад +1

    Daa!sema huyo mdada ni hatariii kwa kupenda🥰🙆chado jeshi

  • @AhmadChibalula
    @AhmadChibalula 2 месяца назад +10

    Chado iyomuvi ikisha unabidi upositi iyo nyimbo yakwenye feramu iyo

  • @simonsilvestar1039
    @simonsilvestar1039 2 месяца назад +1

    Chado ww ni nooma kaka tangu nkujuwe. Umekuwa mbunifu mkubwa hakika ww ni noma Allah akuzdishie

  • @BeatriceMussa-y4b
    @BeatriceMussa-y4b 2 месяца назад +10

    umu ndani kila mtu wa kwanza mmh 😂😂😂😂 em toeni maoni

    • @reubenselengeta_2601
      @reubenselengeta_2601 2 месяца назад +2

      😂😂😂😂....

    • @KimuEj
      @KimuEj 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂

    • @NicodemasPeter-y5z
      @NicodemasPeter-y5z 2 месяца назад

      We yakwako maon gan

    • @BeatriceMussa-y4b
      @BeatriceMussa-y4b Месяц назад

      @@NicodemasPeter-y5z maoni s ndy kam hivyo nilivyosema? toeni maoni we huoni ni kama oni nimelitoa

    • @ELEONE2023
      @ELEONE2023 Месяц назад

      Sema na wewe sijuhi nianze kukuita kidem jau❤😂

  • @sarahpeter9931
    @sarahpeter9931 Месяц назад +2

    Ngadaya eti ooooh nishamlamba😂😂😂🙌

  • @RashidRashid-wv9ud
    @RashidRashid-wv9ud 2 месяца назад +2

    Ngadaya unalipiza hadi kwa aliyekutibu kweli tenda wema uondoke

  • @azizahmohamed3495
    @azizahmohamed3495 2 месяца назад +1

    Ngadaya shkamoo 🙌🙌chado umetisha adi shule tena kwa kurusha kijiti kikampata swaumu 😂😂😂

  • @TIN_MAART
    @TIN_MAART 2 месяца назад +10

    Mm wakwanza nipen like zangu

  • @TimeAly-z1l
    @TimeAly-z1l 2 месяца назад +2

    ❤❤mott ana akili huyu😅😅 wapi chado masta ❤❤tenaaa

  • @RizikiZabroni
    @RizikiZabroni Месяц назад +4

    Mbn wa2 wanaomb like san kuliko kuongelea movie

  • @freddywizzyTz255
    @freddywizzyTz255 2 месяца назад +1

    Mwaga moto Ngadaya😂😂😂😂😂 niache nitoe machungu yang,
    Uwiiiii nishamlamba😂😂😂😂

  • @NancyMalisho
    @NancyMalisho 2 месяца назад +1

    Dah ila mtoto anamsaidia mamaye yann kanywa gongo ili amuokoe mama ake aisee nimehuzunika😢😢

  • @J74251
    @J74251 2 месяца назад +2

    Chado man big up Sana bro ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤

  • @Mwanzi-Tz
    @Mwanzi-Tz 2 месяца назад +10

    Kwa kwanza mwanzi Jr like

  • @FrancoisElesambo
    @FrancoisElesambo 2 месяца назад +1

    DRC Congo uvira nipeni like zangu, chado uko nagawisha kutupa mzigo

  • @FarajiJackson
    @FarajiJackson 2 месяца назад +6

    Naqbar chado masta pamoja sana

  • @هبهالثيوبيه
    @هبهالثيوبيه 2 месяца назад +2

    Sijachelew San Leo bless kwak chado Masta 🎉🎉

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 2 месяца назад +2

    Ngadaya kawa malayaaaaa😂😂😂😂😂😂😂Ila nguvu za kiumee nyieeee😅😅😅😅

  • @JamilaRajabu-g8y
    @JamilaRajabu-g8y 2 месяца назад +1

    Jaman hiz laha zimezidii ila imnaniacha hoi ngwengwe kalewaaa😂😂😊

  • @GenelinaMwombela
    @GenelinaMwombela 10 дней назад

    Nimependa mzigua mwenzangu chukua mauwa Yako unanikosha sana

  • @likopa_msanii
    @likopa_msanii 2 месяца назад +1

    Daaah kaka anamjali sana mdg wake ila dogo lenyew utumbo

  • @Rahma-p5r
    @Rahma-p5r 2 месяца назад

    Jamani mm nimgeni nimeanda kufwatilia nimeipenda sana naomba laiki vipenzi

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 2 месяца назад

    Apoooo kachezaaaaa😅😅😅siooo kwa uongoooo huooooo loooh ilq badooo ajachomokaaa kuna rafikii yqkeee atachomaaa picha

  • @CesiliaAndrew-cm7hf
    @CesiliaAndrew-cm7hf Месяц назад

    Kiukweli hii series ni nzuri sana, I appreciate ❤❤❤

  • @Samiahamin-lz3ez
    @Samiahamin-lz3ez 2 месяца назад +2

    yaan jaman nampenda chado 😂😂😂😂😂😂

  • @FadhiliHimile
    @FadhiliHimile Месяц назад +3

    ddy anafny kaz nzur san tuuu akosei

  • @SashaMnyanga
    @SashaMnyanga 2 месяца назад +1

    Kila mtu wakwanza jamani 😂😂😂😂 haya chado unajua na kidemu chado wetu

  • @ahmedabdu9408
    @ahmedabdu9408 2 месяца назад +2

    Ngwengwwe umeuwa janjaroo kaficha tumboni

  • @LivingGeorge-l2b
    @LivingGeorge-l2b 15 дней назад

    Daah hii hali iliwah kunikuta ghafla ase nlipokuj kukaa saw nlitembeza Rungu mnooo mana nlikua cna uhakika

  • @DommyJohn-wv8bh
    @DommyJohn-wv8bh 2 месяца назад +4

    🎉jamani ma

  • @MARYAM808ZING
    @MARYAM808ZING 28 дней назад

    Mmeweza jmni hd rah kutizam hongeren

  • @aminaabdalla-uo9zq
    @aminaabdalla-uo9zq 4 дня назад

    Nmejarudia ten jmn hii film🎉

  • @DommyJohn-wv8bh
    @DommyJohn-wv8bh 2 месяца назад +4

    Uuuuuuuuuuuwiiiii😂😂😂😂😂😂 nishamlaambaaaa

  • @asha6783
    @asha6783 Месяц назад

    Chado naomba jina la hiyo nyimbo yko...nzur

  • @jacklinendosi
    @jacklinendosi 2 месяца назад +6

    Sema ukipendwa na muhuni raha sana 😂😂😂😂😂😂😂

  • @NasraMwakyoma
    @NasraMwakyoma 2 месяца назад +1

    Muuni chado kapenda mamae anafata mpaka sconga 😂😂😂😂

  • @PeridaPutty
    @PeridaPutty Месяц назад

    Ngwengwe na mama ake nawapendraa 😍

  • @GeraldMugisha-xo2hf
    @GeraldMugisha-xo2hf 2 месяца назад +2

    Gerald mugisha from kimara nakubal san ❤

  • @NaomiNaomi-jz3sn
    @NaomiNaomi-jz3sn Месяц назад

    😂😂😂chdo hpo kwa I like it pna nipedesa Sana

  • @NasraFahmy-j9y
    @NasraFahmy-j9y 2 месяца назад +1

    Mzenj nimefk honger kachad ❤❤❤

  • @mwanahawabedui-c3k
    @mwanahawabedui-c3k 2 месяца назад

    Jmn chado leo sjaskia nyimbo mbn unatisha sana kaka kaz nzur

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Месяц назад +1

    😂😂😂Ngwengwe kaficha gongo tumbuni

  • @EliaSenteu
    @EliaSenteu 2 месяца назад

    ukiona ivo nimeipenda cn jamaa najuwa kweli mst chado

  • @chonatv2289
    @chonatv2289 2 месяца назад +2

    Jamani na mimi naombeni like zangu😊

  • @Muu1665
    @Muu1665 25 дней назад

    Hhhhhh Khanifa unamiliki pipa la gongo ( ngwengwe)

  • @TasianaKomba
    @TasianaKomba 2 месяца назад +2

    Me wa kwanza leo jmn

  • @AnithaMartin-n6n
    @AnithaMartin-n6n 27 дней назад

    Kupendwa na muhuni raha sana 😍😄

  • @NaomiMlungu
    @NaomiMlungu 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂 ngwengwe jaman kakata jagi la gongo lote😂😂

  • @MWASARABSMWANYANJE
    @MWASARABSMWANYANJE 2 месяца назад +1

    ngwenge n mama ako respect

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 2 месяца назад

    Ngadayaaa falaaa kweliii adiii mashemejiii unawalqmbaaaa😅😅😅😅looooooo

  • @johnabraham-h1b
    @johnabraham-h1b 2 месяца назад

    Ni shabiki yako mpya kutoka kenya napenda sana picha zako yaan hucheliweshi mambo naitwa anissa twangoja mission impossible episode 14

  • @rogynee8135
    @rogynee8135 2 месяца назад

    CHADO nakupenda 😂😂😂😂 BURE KAKA ANGU 😂😂😂😂 DAH

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 2 месяца назад

    Chado mm na ww mpaka kieleweke 🎉🎉much ❤from kenya

  • @LovyOriato
    @LovyOriato Месяц назад

    Matatizo ndio i like ayaaa😂😂😂😂napenda anavyoisema 🎉

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Месяц назад

    Chado mwanangu hujawahi kutuangusha

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mashallah mungu abaliki sana kazi zenu ❤❤❤❤

  • @AugustinEtungano
    @AugustinEtungano 2 месяца назад +3

    Kutoka Congo RDC fizi misisi nauliza hivi hizo like munaombaka munatumika nazo KAZI Gani?

  • @MsabilaRuhaga
    @MsabilaRuhaga 2 месяца назад

    chado ayo matatizo mi ndo I like tunatinga paka shule kweri ii ndo I LIKE

  • @japujuma8058
    @japujuma8058 2 месяца назад

    toka Zambia nawanyaka wanangu sana nakubali sana 🤝🤝

  • @SalomeSalome-pr8zt
    @SalomeSalome-pr8zt Месяц назад

    Movie tamu sana kazi nzuri chado

  • @HusnaAbdallah-d4l
    @HusnaAbdallah-d4l 2 месяца назад +2

    Chado nakuelewa sana

  • @OrpahMbwambo
    @OrpahMbwambo Месяц назад

    Uwiiiiih ngadaya ushamlamba shemeji 😂

  • @AlbertJr-u8q
    @AlbertJr-u8q 2 месяца назад

    Wahusika wote kwenye hii muv ni noma sanaa

  • @freedompower495
    @freedompower495 2 месяца назад

    Oyaaa chado najma kipaji chake kisiishi apo nataman nimuon akiwa star 🌟 wabadae

  • @IlhamOmarmohd
    @IlhamOmarmohd Месяц назад

    Uyu mwaume balaa kwa ķulamba😂😂😂😂😂

  • @MrsDariya-y1j
    @MrsDariya-y1j 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂 huyo mtoto noma

  • @GaspalyKihombo
    @GaspalyKihombo 2 месяца назад +1

    Ndo i like iyo😂❤

  • @MzeeRaca
    @MzeeRaca 2 месяца назад +1

    One love broo ❤❤❤💯💯🇹🇿

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Месяц назад +1

    😂😂Yn chado ss barafu shule tena jmn

  • @NicodemasPeter-y5z
    @NicodemasPeter-y5z 2 месяца назад

    Jama katest mitambo kwa mke wa dokta wake😂😂😂

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 2 месяца назад +2

    Chado mpaka shule😂😂😂