MISSION IMPOSSIBLE [12]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 515

  • @ally1702
    @ally1702 Месяц назад +26

    Yaani hii sehemu alocheza chado na uyu demu wake nimeirejea si chini ya mara nne hongereni sana mmeweza from qatat

    • @user-dd3ei6mf1q
      @user-dd3ei6mf1q 7 дней назад

      Ww na mm hatuna tofauti😂😂nimeirudia kama mara 7 sai

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад +21

    Ama kweli usione mtu na tabia flani ukamhukumu bila kujua yalonyuma ya pazia...hii dunia watu wanapitia magumu,mfano chado alivyojieleza😢 ila pia KUJIELEZA ni muhimu "speak your heart " kazi nzuri team chado🎉🎉🎉

    • @FaridahOmar-m7g
      @FaridahOmar-m7g 23 дня назад +1

      Yes team chado

    • @EshaBby
      @EshaBby 6 дней назад

      Hta mm pia nime fill in love jamani haki mateja wanajua mapenzi hki ya nani

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 6 дней назад

      @@EshaBby vizuri, we kuweza🤣

  • @user-qt6ll9dx5b
    @user-qt6ll9dx5b Месяц назад +13

    Chado umetisha sana pia huyo mdada muuza gongo kwenye movie zingine nilikua simwelewi ila akiendelea kuigiza kama kwenye hii movie itakua poa vitu kama hivi Chado poa sana

  • @SelemaniIddy-nc1nf
    @SelemaniIddy-nc1nf Месяц назад +12

    Nitakuwa naww bega kwa bega chado master mpaka kieleweke mwanangu sio pouw move zako ziko kwarity sana ❤❤❤❤

  • @danitotiburciomatias6334
    @danitotiburciomatias6334 Месяц назад +47

    Wakwanzs leo oyee from Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿nipeni zangu jamani like tu

  • @EvansMwenda-d1t
    @EvansMwenda-d1t Месяц назад +76

    Tangu series ianze sijawahi pewa likes ata 200

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Месяц назад +25

    Angalieni movie mkosoe na kusifia siyo kuomba like za nyoko kazi nzuri chado

  • @ZitoAntonioNhanga-ms6uj
    @ZitoAntonioNhanga-ms6uj Месяц назад +21

    Ngadaya nimefurai sana ulivyo mkatam yule mwananke

  • @SayunjKalinga
    @SayunjKalinga Месяц назад +8

    Jaaaaaaamn chado unajua mpkaa unajuaa tenah Nakupenda saaana

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 Месяц назад +16

    Kazi nzuri sana from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @mwitawakimara3649
    @mwitawakimara3649 Месяц назад +8

    Chado master utajua Hadi basi ongeleni kwa kazi nzur

  • @salimally2823
    @salimally2823 Месяц назад +12

    Chado kitengo..nakubali bro kazi safi

  • @hadiaamiri-ig9xm
    @hadiaamiri-ig9xm Месяц назад +9

    Yanii hii movie leo nimeirudia karibuni mara tano kk chado unajuwa sana

  • @NasraJuma-b4v
    @NasraJuma-b4v Месяц назад +8

    Ichi kimuvi kinanipa jaka moyo ❤Mimi hatariou makopa kopa kwaajili yao❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DommyJohn-wv8bh
    @DommyJohn-wv8bh Месяц назад +8

    😂😂❤❤ nikajua nime wai chado na ngada nyama nyama nyamaaaaaaa😝😝😝😝😝😝😝😝😝

  • @EsteralfredKasenegala5678
    @EsteralfredKasenegala5678 Месяц назад +14

    Hakuna kitu napenda kama mwanaume analia namuona yaan hua nasikia raah sana

  • @sidebraizoy2070
    @sidebraizoy2070 Месяц назад +5

    Najima uko vizuri sana kwenye kipande chako ❤❤❤

  • @MichaelVughese
    @MichaelVughese Месяц назад +9

    My broda chado iiyi love story inanikumbusha bitu mingi big up sana

  • @RaphaelDaniel-ys9lb
    @RaphaelDaniel-ys9lb Месяц назад +10

    Tujuane tu ndugu zangu maana kila mmoja erty wakwanza🎉🎉🎉🎉

  • @AhmadChibalula
    @AhmadChibalula Месяц назад +7

    ❤❤❤🎉chado umetisha Sana iyo bongera firamu

  • @user-qd2mw1hb5t
    @user-qd2mw1hb5t Месяц назад +9

    Oyaaaa we chado master umeupiga mwingi😅😅

  • @Marin-tvq
    @Marin-tvq Месяц назад +5

    ❤❤😂😂chado Mapenzi niuwe lol nimependa kicheko Cha chado Cha mwisho

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Месяц назад +1

    Respect nyingi sana kwa U.S.A gangsta chado master na team yake yote🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥 hili ni bonge moja la picha na tunatamani lije kupata tunzo huko mbele ya safari

  • @Fezdo_B
    @Fezdo_B Месяц назад +8

    From U.S.A nakukubali sana ❤❤🎉

  • @saadekhamisnassor4331
    @saadekhamisnassor4331 Месяц назад +1

    Yani hichi kipande nimekipenda sana umeuwaaaa chado na kidemu jau😊😊

  • @MariamMZIMBA-zf5ev
    @MariamMZIMBA-zf5ev Месяц назад +9

    Chado leo umejiridhisha sasa usiwe na papara anza kumfanya kakayake awe mpole ili uwe na Amani

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Месяц назад +10

    Gandaya hyo ndo dawa ya mwanawake , wanaona taka kufka kilelen,

  • @JustineSilukala-io3nd
    @JustineSilukala-io3nd Месяц назад +26

    Wakwanza Leo chado nipe like zangu

  • @MwanamisiomarAli
    @MwanamisiomarAli 10 дней назад +1

    Jamani chado na najma muko vizuri ❤

  • @Realme-xm3sh
    @Realme-xm3sh Месяц назад +2

    Aaaàaaachado mbona unataka uwa😂tukasubir kamalize shule ataivo katakuwa kamishakuwa navinyama vitakuw vimeongezeka😂❤vyema love imerid❤❤tena utam🎉🎉🎉

  • @user-px5rx5wm9x
    @user-px5rx5wm9x Месяц назад +6

    Kazi nzuri saana master chado

  • @NamratyBakar
    @NamratyBakar Месяц назад +5

    Yan chado unanikosha mm jamn stakii hii movie iishe mapema❤❤❤😅😅

  • @Loxion_Kulca11
    @Loxion_Kulca11 Месяц назад +13

    Wakwanza from south Africa 🇿🇦 naombeni likes zangu plz😢

  • @MOHAMMEDFADHILI
    @MOHAMMEDFADHILI Месяц назад +2

    Daaaaah kumbe mamaake ngwengwe ni mzguaaa haswaaa nimeipenda❤❤

    • @user-zc1qh6ti2p
      @user-zc1qh6ti2p Месяц назад

      Yuno nimzigula kabisaa naho wakaya kwetu handeni.

  • @AbdallaOmar-pn9yh
    @AbdallaOmar-pn9yh Месяц назад +1

    Ngadaya wazi mzee baba. Huyo dada lazima apeane saluuuute

  • @mikamunisi
    @mikamunisi Месяц назад +10

    Wa kwanza leo, jaman like nyingi kwanguuu🎉

  • @shabanisanga8614
    @shabanisanga8614 Месяц назад +7

    MI ndo I like hiyo

  • @G29mussa
    @G29mussa Месяц назад +2

    Movie nzur,japo imenisimamisha kazi ila i like🔥🔥🔥🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦

  • @AgnesSawe-cz4ve
    @AgnesSawe-cz4ve 15 дней назад +1

    Naipenda Sana. Couple yenu, kidemu jau na chado master😅

  • @suleimanmatege3899
    @suleimanmatege3899 28 дней назад +2

    Chado hii noma sana likes zangu kutoka nairobi kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-zc8lx5nf7t
    @user-zc8lx5nf7t Месяц назад +2

    Sema mnazinguwa manachepewesha sana jamanj mtusifanyiye ivo

  • @user-qb4qp7xj7d
    @user-qb4qp7xj7d Месяц назад +2

    Yani chado na najma ni mimi na mume Wang jamn 🤣😅😂

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 День назад

    Yn chado hii movie mmeweza sana❤🎉

  • @user-fw2jk3mx7g
    @user-fw2jk3mx7g Месяц назад +6

    Chado huyu bint ni sawa na mwanao usisubutu kufanya hawara utauwa

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Месяц назад +1

      😂😂 mpaka anamtaka anajiweza huyo

    • @Mrsmick712
      @Mrsmick712 Месяц назад +1

      Sawa lakini syo mwanawe 😅😅

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Месяц назад

      Hii movie tu siyo kweli wanaigiza siyo kweli kama unvyoshauri ati sawa na mwanao

    • @Mrsmick712
      @Mrsmick712 Месяц назад

      @@Kabeya410 kabsa kuna watu wanaishi nao bila woga ushauli mwingi upoteza laza ya movie
      Kwana ana weza kumlea mpaka atakapo maliza na maisha yaka endelea baadae

    • @puritypurity4353
      @puritypurity4353 Месяц назад

      Sasa binti mwenyewe anajieza😂😂😂😂😂

  • @patimaissa8572
    @patimaissa8572 Месяц назад +1

    Kazi nzuri chado o mahaba❤

  • @JAILOSMD
    @JAILOSMD Месяц назад +6

    Wakwanza from Zambia

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Месяц назад +6

    Leo mapema sana tumeinjoi

  • @TausiMohamed-uo1xu
    @TausiMohamed-uo1xu Месяц назад +1

    Ahaaa chado umewez sanaaaa najm nakukubali sana❤❤❤❤

  • @user-uo7rj9ku5j
    @user-uo7rj9ku5j Месяц назад +1

    Ya Léo naamani isiishi 🎉🎉🎉Chado nakupenda bure ❤❤❤

  • @BarakaAloice
    @BarakaAloice Месяц назад +9

    chado katika mvois nafwatilia hi yako inatisha alfu ww hautuchelewesh kwel

  • @matolejr
    @matolejr Месяц назад +3

    Oy wazee Geto kugumu sana jamani
    maswali gani hayo ndg yangu chadoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @alhimnamussasaid3619
      @alhimnamussasaid3619 Месяц назад +2

      Inaonekana hata chado bado ni bikra maana si kwa maswali hayo 😂😂

  • @user-oi8rr5ry8g
    @user-oi8rr5ry8g Месяц назад +1

    Jamani nakupenda chado movie zako mashllah ❤😊

  • @user-ul4cg2eh6m
    @user-ul4cg2eh6m Месяц назад +3

    Chado matser❤ Sema muhuni kapagwa 😅

  • @user-vr3ku5dg2f
    @user-vr3ku5dg2f Месяц назад +7

    Wakuanza Léo from mz

  • @user-vu6wk7bt5y
    @user-vu6wk7bt5y Месяц назад +1

    Kazi nzuri chado wangu❤

  • @MassoudMtumba
    @MassoudMtumba Месяц назад +1

    Movie ni mzur sana ila dakika wanaziweka kidogo bora muchereweshe kutoa ila dakika ziwe nyingi angalau nusu saa tu inatosha

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule Месяц назад +6

    Huyo Si Kama Mtoto Wako Jaman

  • @Danilojunior-yc
    @Danilojunior-yc Месяц назад +7

    Wakwanza Leo nipeni likes na mm

  • @KelvinjrShaban-rc8zv
    @KelvinjrShaban-rc8zv Месяц назад +2

    Chado master chukua maua yako kaka🌹🌹🌹🙌

  • @RashidAlly-g7c
    @RashidAlly-g7c Месяц назад +1

    Kazi nzuri chado ila umemsahau mwanao baga

  • @MulsamJumaMjawir-mw1qj
    @MulsamJumaMjawir-mw1qj Месяц назад +1

    Jamani mm nampenda shado akiwa na Najma nafurah sana

  • @HussenAlly-i5l
    @HussenAlly-i5l 19 дней назад

    Big up ngada mwendo wa kunyoroshaa tuuu kikubwa respect

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 17 дней назад

    Jamani mbona mko vzr hivi daaah ❤❤❤

  • @khadijaoshan6881
    @khadijaoshan6881 Месяц назад +3

    Wa kwanza jamani 🎉🎉🎉❤❤

  • @YudaAdrian-v4g
    @YudaAdrian-v4g 28 дней назад

    HAhahahaah😂😂😂😂😂 ichikipande chado kafanya nicheke sana yani kamfos dem aje geto alafu anamuuliza kama anasigara da😂😂😂

  • @WinnieLema-w3c
    @WinnieLema-w3c Месяц назад

    Mapenzi bhana leo chado unalili mapenzi,upo vizuri kaka bila kumsahau ngadaya kafanya kazi nzuri kumnyoosha mtu

  • @user-jh5px2xl8u
    @user-jh5px2xl8u 25 дней назад +1

    Jaman najima busu adi laha❤❤❤❤

  • @BorauzimaFrançoise
    @BorauzimaFrançoise 17 дней назад

    Vraiment❤ ni meipenda san❤❤

  • @LAZARO-HUSSEIN
    @LAZARO-HUSSEIN Месяц назад

    Aaaaaaa mxela umekamatika xema I like kaka😀😀😀😀

  • @dhuhasaid636
    @dhuhasaid636 Месяц назад +3

    Nampenda hanipha❤😅😅pole 😅

  • @KiduBoyJr.
    @KiduBoyJr. Месяц назад +1

    Chado Master 🔥🙌🙌💥💯🛠️📌

  • @DorcasKadot
    @DorcasKadot 21 час назад

    Soo sweet movie chado lover boy 😘😘

  • @elianajohn9388
    @elianajohn9388 Месяц назад +1

    Broo mm ni shabiki yko mkubwa Niko tyri nchkue sim ya bi mkubwa ili tu niangalie movie zako alfu mission impossible toa muendleze harka broo movie ni Kali knma Ila nakukubali kinoma noma

  • @MEDYHANGA
    @MEDYHANGA Месяц назад +3

    Noma sanaaa

  • @6osh-372
    @6osh-372 Месяц назад

    Watching from kenya,... nice series,... keep it up!

  • @athumaniashimu1568
    @athumaniashimu1568 Месяц назад +1

    Wanaomb like wote mamayoo mafara kbs yan

  • @Abou_bakhl
    @Abou_bakhl Месяц назад +1

    Kirashia ni kizigua asee dah yaani vinafanana kabisa 😅😅

  • @ChadiaDUNIA
    @ChadiaDUNIA 26 дней назад

    Hongera chado mpaka nimelia

  • @Mrsmick712
    @Mrsmick712 Месяц назад +6

    Silingi wala nini japo nimewai
    Like za kutosha kwa kidem jau na muuni chado 🌹🌹🌹

  • @user-mu1kn5cu5n
    @user-mu1kn5cu5n Месяц назад +1

    Unaweza brother chado❤

  • @user-hv1nh2ny6o
    @user-hv1nh2ny6o Месяц назад +1

    Chado umenywea aki 😂😂😂❤eti una sigarq hapo 😅😅😅

  • @AsmaKaucha
    @AsmaKaucha 29 дней назад

    Kwel muuni akipenda amependa🥰🥰

  • @irakozejophes3033
    @irakozejophes3033 Месяц назад

    Shado kasha nogea daaaa yani hio ndo I like 😂😂😂 Burundi to South africa 🇿🇦 ❤

  • @Mr_money_3
    @Mr_money_3 Месяц назад +1

    Chado kazi nzuli bro 🎉

  • @MaulidAmri
    @MaulidAmri Месяц назад +3

    Chado na kidem cha shule ❤❤

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 17 дней назад

    Usimdharau mumeo ama mpenzi wako kwa madhaifu yake Sahi umejipna mpumbavu ndio wamrudia mume huna Akili kbsaa wakati ulimuabisha mbele za watu Sahi kapata tiba ndio wajileta😢hii filamu yafunza pia 😢ngwengwe n mmke wanaishi maisha mbaya yote n mwanamume aliomtelekeza mwanae 😢

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws Месяц назад

    Mbonaaa anakimbiaaa😂😂😂humuuu tuuu

  • @bilaliharuna1165
    @bilaliharuna1165 Месяц назад +3

    Leo wa kwanza ni mimi

  • @JamilaRajabu-g8y
    @JamilaRajabu-g8y Месяц назад

    Hahaha ngadala kaniacha hoiii kakomexha mpk dem kakimbiq😂😂😂😂

  • @Stephano-j5p
    @Stephano-j5p Месяц назад +2

    Aseeeee chado TU ND anaefaidi muvi nzima na vimahaba ya student

  • @WanjalaWamalwa
    @WanjalaWamalwa Месяц назад

    you make me understand something very crucial

  • @SmilingEquestrianHelmet-mc7lk
    @SmilingEquestrianHelmet-mc7lk Месяц назад +1

    Mchizi kapagawa na penzi la jau😂😂😂😂

  • @DancanJuma-fn8qu
    @DancanJuma-fn8qu Месяц назад

    Mimi ni shabiki wako Wa Kwanza Kutoka Kenya chado naipenda venye unaigiza sana tangu movie zako zote nazifatilia Mungu akizidishie mengi kazi nzuri sana big up bro

  • @NashuShety-kg9bk
    @NashuShety-kg9bk 26 дней назад

    CHADOOOOOOOO chukua maua yako umetisha from Kenya🎉🎉🎉🎉

  • @SaleheMaulidi-nv9kw
    @SaleheMaulidi-nv9kw Месяц назад +6

    Nimekuwa wakanza leo

  • @FadhiliKaloto
    @FadhiliKaloto Месяц назад

    Sana kaka movie zako ni tishio sana hapa Tz na nchi za nje.!!

  • @lwitikongonya5443
    @lwitikongonya5443 Месяц назад +1

    Mmetisha sana team chado🎉

  • @user-fz5pl5cc5r
    @user-fz5pl5cc5r 22 дня назад

    Wow this story is beautiful ❤❤

  • @user-po4hz8ex7p
    @user-po4hz8ex7p 19 дней назад

    Move nzuri sanaaaa❤

  • @FaridaMairi
    @FaridaMairi 25 дней назад

    Mapenz bwana chado anamuomba sigala najma