Ama kweli usione mtu na tabia flani ukamhukumu bila kujua yalonyuma ya pazia...hii dunia watu wanapitia magumu,mfano chado alivyojieleza😢 ila pia KUJIELEZA ni muhimu "speak your heart " kazi nzuri team chado🎉🎉🎉
Chado umetisha sana pia huyo mdada muuza gongo kwenye movie zingine nilikua simwelewi ila akiendelea kuigiza kama kwenye hii movie itakua poa vitu kama hivi Chado poa sana
Respect nyingi sana kwa U.S.A gangsta chado master na team yake yote🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥 hili ni bonge moja la picha na tunatamani lije kupata tunzo huko mbele ya safari
@@Kabeya410 kabsa kuna watu wanaishi nao bila woga ushauli mwingi upoteza laza ya movie Kwana ana weza kumlea mpaka atakapo maliza na maisha yaka endelea baadae
Broo mm ni shabiki yko mkubwa Niko tyri nchkue sim ya bi mkubwa ili tu niangalie movie zako alfu mission impossible toa muendleze harka broo movie ni Kali knma Ila nakukubali kinoma noma
Usimdharau mumeo ama mpenzi wako kwa madhaifu yake Sahi umejipna mpumbavu ndio wamrudia mume huna Akili kbsaa wakati ulimuabisha mbele za watu Sahi kapata tiba ndio wajileta😢hii filamu yafunza pia 😢ngwengwe n mmke wanaishi maisha mbaya yote n mwanamume aliomtelekeza mwanae 😢
Mimi ni shabiki wako Wa Kwanza Kutoka Kenya chado naipenda venye unaigiza sana tangu movie zako zote nazifatilia Mungu akizidishie mengi kazi nzuri sana big up bro
Yaani hii sehemu alocheza chado na uyu demu wake nimeirejea si chini ya mara nne hongereni sana mmeweza from qatat
Ww na mm hatuna tofauti😂😂nimeirudia kama mara 7 sai
Ama kweli usione mtu na tabia flani ukamhukumu bila kujua yalonyuma ya pazia...hii dunia watu wanapitia magumu,mfano chado alivyojieleza😢 ila pia KUJIELEZA ni muhimu "speak your heart " kazi nzuri team chado🎉🎉🎉
Yes team chado
Hta mm pia nime fill in love jamani haki mateja wanajua mapenzi hki ya nani
@@EshaBby vizuri, we kuweza🤣
Chado umetisha sana pia huyo mdada muuza gongo kwenye movie zingine nilikua simwelewi ila akiendelea kuigiza kama kwenye hii movie itakua poa vitu kama hivi Chado poa sana
Nitakuwa naww bega kwa bega chado master mpaka kieleweke mwanangu sio pouw move zako ziko kwarity sana ❤❤❤❤
Wakwanzs leo oyee from Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿nipeni zangu jamani like tu
É nós familia
umeniwai
Isso mesmo Kaká from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿😂❤ tumewai leo
ukishapewa zikusaidie nn
Kuomba like tu kuoga aka
Tangu series ianze sijawahi pewa likes ata 200
Kuomba like tu kuoga aaah
Goood
Perceb e gostei
Hii 200 umezitengeneza ww
Angalieni movie mkosoe na kusifia siyo kuomba like za nyoko kazi nzuri chado
😂😂😂😂 Ukolofii huo
Kwel
Kweli
Ngadaya nimefurai sana ulivyo mkatam yule mwananke
Jaaaaaaamn chado unajua mpkaa unajuaa tenah Nakupenda saaana
Kazi nzuri sana from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Chado master utajua Hadi basi ongeleni kwa kazi nzur
Chado kitengo..nakubali bro kazi safi
Yanii hii movie leo nimeirudia karibuni mara tano kk chado unajuwa sana
Ichi kimuvi kinanipa jaka moyo ❤Mimi hatariou makopa kopa kwaajili yao❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂❤❤ nikajua nime wai chado na ngada nyama nyama nyamaaaaaaa😝😝😝😝😝😝😝😝😝
Hakuna kitu napenda kama mwanaume analia namuona yaan hua nasikia raah sana
😂
Hiyo ndo you like sio😂😂😂😂
Heee makubwa
Kwanini
😅😅😅😅😅😅@@givenmgaya8889
Najima uko vizuri sana kwenye kipande chako ❤❤❤
My broda chado iiyi love story inanikumbusha bitu mingi big up sana
Tujuane tu ndugu zangu maana kila mmoja erty wakwanza🎉🎉🎉🎉
❤❤❤🎉chado umetisha Sana iyo bongera firamu
Oyaaaa we chado master umeupiga mwingi😅😅
❤❤😂😂chado Mapenzi niuwe lol nimependa kicheko Cha chado Cha mwisho
Respect nyingi sana kwa U.S.A gangsta chado master na team yake yote🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥 hili ni bonge moja la picha na tunatamani lije kupata tunzo huko mbele ya safari
From U.S.A nakukubali sana ❤❤🎉
Yani hichi kipande nimekipenda sana umeuwaaaa chado na kidemu jau😊😊
Chado leo umejiridhisha sasa usiwe na papara anza kumfanya kakayake awe mpole ili uwe na Amani
Gandaya hyo ndo dawa ya mwanawake , wanaona taka kufka kilelen,
😂😂😂
Wakwanza Leo chado nipe like zangu
Kuomba like tu kuoga aaah
Jamani chado na najma muko vizuri ❤
Aaaàaaachado mbona unataka uwa😂tukasubir kamalize shule ataivo katakuwa kamishakuwa navinyama vitakuw vimeongezeka😂❤vyema love imerid❤❤tena utam🎉🎉🎉
Kazi nzuri saana master chado
Yan chado unanikosha mm jamn stakii hii movie iishe mapema❤❤❤😅😅
Wakwanza from south Africa 🇿🇦 naombeni likes zangu plz😢
Msaudhi kwa kuomba like kuoga aaah
Daaaaah kumbe mamaake ngwengwe ni mzguaaa haswaaa nimeipenda❤❤
Yuno nimzigula kabisaa naho wakaya kwetu handeni.
Ngadaya wazi mzee baba. Huyo dada lazima apeane saluuuute
Wa kwanza leo, jaman like nyingi kwanguuu🎉
MI ndo I like hiyo
Movie nzur,japo imenisimamisha kazi ila i like🔥🔥🔥🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Naipenda Sana. Couple yenu, kidemu jau na chado master😅
Chado hii noma sana likes zangu kutoka nairobi kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sema mnazinguwa manachepewesha sana jamanj mtusifanyiye ivo
Mnachelewesha sana bwana
Yani chado na najma ni mimi na mume Wang jamn 🤣😅😂
Yn chado hii movie mmeweza sana❤🎉
Chado huyu bint ni sawa na mwanao usisubutu kufanya hawara utauwa
😂😂 mpaka anamtaka anajiweza huyo
Sawa lakini syo mwanawe 😅😅
Hii movie tu siyo kweli wanaigiza siyo kweli kama unvyoshauri ati sawa na mwanao
@@Kabeya410 kabsa kuna watu wanaishi nao bila woga ushauli mwingi upoteza laza ya movie
Kwana ana weza kumlea mpaka atakapo maliza na maisha yaka endelea baadae
Sasa binti mwenyewe anajieza😂😂😂😂😂
Kazi nzuri chado o mahaba❤
Wakwanza from Zambia
Leo mapema sana tumeinjoi
Ahaaa chado umewez sanaaaa najm nakukubali sana❤❤❤❤
Ya Léo naamani isiishi 🎉🎉🎉Chado nakupenda bure ❤❤❤
chado katika mvois nafwatilia hi yako inatisha alfu ww hautuchelewesh kwel
Oy wazee Geto kugumu sana jamani
maswali gani hayo ndg yangu chadoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Inaonekana hata chado bado ni bikra maana si kwa maswali hayo 😂😂
Jamani nakupenda chado movie zako mashllah ❤😊
Chado❤❤ nakupenda 🤭
Chado matser❤ Sema muhuni kapagwa 😅
Wakuanza Léo from mz
Kazi nzuri chado wangu❤
Movie ni mzur sana ila dakika wanaziweka kidogo bora muchereweshe kutoa ila dakika ziwe nyingi angalau nusu saa tu inatosha
Huyo Si Kama Mtoto Wako Jaman
Wakwanza Leo nipeni likes na mm
Chado master chukua maua yako kaka🌹🌹🌹🙌
Kazi nzuri chado ila umemsahau mwanao baga
Jamani mm nampenda shado akiwa na Najma nafurah sana
Big up ngada mwendo wa kunyoroshaa tuuu kikubwa respect
Jamani mbona mko vzr hivi daaah ❤❤❤
Wa kwanza jamani 🎉🎉🎉❤❤
HAhahahaah😂😂😂😂😂 ichikipande chado kafanya nicheke sana yani kamfos dem aje geto alafu anamuuliza kama anasigara da😂😂😂
Mapenzi bhana leo chado unalili mapenzi,upo vizuri kaka bila kumsahau ngadaya kafanya kazi nzuri kumnyoosha mtu
Jaman najima busu adi laha❤❤❤❤
Vraiment❤ ni meipenda san❤❤
Aaaaaaa mxela umekamatika xema I like kaka😀😀😀😀
Nampenda hanipha❤😅😅pole 😅
P
Chado Master 🔥🙌🙌💥💯🛠️📌
Soo sweet movie chado lover boy 😘😘
Broo mm ni shabiki yko mkubwa Niko tyri nchkue sim ya bi mkubwa ili tu niangalie movie zako alfu mission impossible toa muendleze harka broo movie ni Kali knma Ila nakukubali kinoma noma
Noma sanaaa
Watching from kenya,... nice series,... keep it up!
Wanaomb like wote mamayoo mafara kbs yan
Kirashia ni kizigua asee dah yaani vinafanana kabisa 😅😅
Hongera chado mpaka nimelia
Silingi wala nini japo nimewai
Like za kutosha kwa kidem jau na muuni chado 🌹🌹🌹
Unaweza brother chado❤
Chado umenywea aki 😂😂😂❤eti una sigarq hapo 😅😅😅
Kwel muuni akipenda amependa🥰🥰
Shado kasha nogea daaaa yani hio ndo I like 😂😂😂 Burundi to South africa 🇿🇦 ❤
Chado kazi nzuli bro 🎉
Chado na kidem cha shule ❤❤
Usimdharau mumeo ama mpenzi wako kwa madhaifu yake Sahi umejipna mpumbavu ndio wamrudia mume huna Akili kbsaa wakati ulimuabisha mbele za watu Sahi kapata tiba ndio wajileta😢hii filamu yafunza pia 😢ngwengwe n mmke wanaishi maisha mbaya yote n mwanamume aliomtelekeza mwanae 😢
Mbonaaa anakimbiaaa😂😂😂humuuu tuuu
Leo wa kwanza ni mimi
Hahaha ngadala kaniacha hoiii kakomexha mpk dem kakimbiq😂😂😂😂
Aseeeee chado TU ND anaefaidi muvi nzima na vimahaba ya student
you make me understand something very crucial
Mchizi kapagawa na penzi la jau😂😂😂😂
Mimi ni shabiki wako Wa Kwanza Kutoka Kenya chado naipenda venye unaigiza sana tangu movie zako zote nazifatilia Mungu akizidishie mengi kazi nzuri sana big up bro
CHADOOOOOOOO chukua maua yako umetisha from Kenya🎉🎉🎉🎉
Nimekuwa wakanza leo
Sana kaka movie zako ni tishio sana hapa Tz na nchi za nje.!!
Mmetisha sana team chado🎉
Wow this story is beautiful ❤❤
Move nzuri sanaaaa❤
Mapenz bwana chado anamuomba sigala najma