Daah chado unajua mpaka unajua tena yaani nimeangalia move nyingi sana rakini sijawahi kuona story iliyotulia kama hii story yako yaan ni package ya kutosha kuna seriously story kuna comedy story na kuna love story UMEUA kinoma chado ww kweli KITENGO nakukubali sana your UNSTOPPABLE MAN nakubali kazi zako💪💪💪💪💪
Yan namkubali san haka kadogo kana jua tena kana jua tena mashallah mso coment vitu Vya maan nyinyi mawakoment ujinga tu mambo nq like ndo nn ss oya chado nakukubali l tena san oya mno mkubali chado NA dogo
Hongara sana chado na crew yako kwa kazi nzuri na ilio bora muendelezo wa kipande cha leo nimeinjoi kutokana na wingi wa dakika kuliko siku zote nilizo anza kufatilia salut kwa dongo ngwengwe👊 mungu akikuze zaid kipaji chako ili ufike mbali mission impossible🔥🔥
Chado nakukubali sna❤ ngwengwe upo vzr dogo Mungu abariki kipaji chako🤲kaka daddy una maneno mazuri n ynye mafunzo najma msikilize kakako dunia ina mengi hii bado umdogo 😢mama ngwengwe umenifurahisha kwakweli upo vzr❤ chado usimkose ngwengwe kwnye filamu zako🎉🎉🎉
Mimi leo nataka like ya chado mwenyewe ili tuone kama huwa anafwatilia mashabiki zake 🎉
Na mm katakana niione ss nitaonaje kama amelike kwako😅
Daah chado unajua mpaka unajua tena yaani nimeangalia move nyingi sana rakini sijawahi kuona story iliyotulia kama hii story yako yaan ni package ya kutosha kuna seriously story kuna comedy story na kuna love story UMEUA kinoma chado ww kweli KITENGO nakukubali sana your UNSTOPPABLE MAN nakubali kazi zako💪💪💪💪💪
Tim chado wote inabidi tumshukulu mungu kwa kuiyona siku ya leo maana kuna wengi walitamani ila aikuwa bahati 🙏🙏
Movie zengine ngwengwe msimuache jaman anawerza atar,yaani akiwepo yeye ndo i like, Mozambique
Kbisa wasimuache jmn anaweza
Ila.ngwengweeee😅nomaaa sana😂
Kabisa yn Namkubali sana
Ambao tunahis ng,wen,gwe ni mtoto wa chado ,,,,,please like hapa tujuane ❤🥳🥳🥳👋🤚🖐✋🖖🤏✌🤞🤟🤘🤙👈👈
😅😅
@@mohamedlopa8410ni yeye😂😂😂
@@AdamPonera-fe5kc❤
Mmmmh 😂😂😂😂😂😂 pengine ni mtoto wake
Najmah
Daaaaah leoo nmechekaa😂😂 sana jamnii cheusii kakimbiliaa police 😂😂😂😂hayo mambo ndy i like 😂😂
😅😅😅
Pia ngwengwe na mama yake wapo vizuri fanyeni kila siku kitoke kipande kimoja kimoja hitakuwa
Yan namkubali san haka kadogo kana jua tena kana jua tena mashallah mso coment vitu Vya maan nyinyi mawakoment ujinga tu mambo nq like ndo nn ss oya chado nakukubali l tena san oya mno mkubali chado NA dogo
Chado masta kitengo watucheleweshea mzigo wabongo tupo kenya twakutizama kila kona og sana mpambambanaj kitengo mastaaa❤
We @chado mm leo ndo wakwanzaa nakupenda mno
Dogo ngwengwe kaua sana mungu abariki kipaji chake
Kwakweli
❤
Yuko sawa sana
Amefanana na anifa c mwanae kweli
Kweli kabisa
Leo mm jaman naomben like
don’t worry
Kitengo
Nakubali kitengo
Twakutambua sana chado 😂😂 cheusi na bonge wamekunya unapo kojoa😂 kazi wanae😂😂
🎉
Yaani nguengue ni Noma sana pokea Maua yako fogo ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
😂😢😂😂😂siyo nguengue ni ngwengwe
NAJMA
Una kaka tena kaka na nusu 😢😢😢ame ongea maneno machache ila ni mazito sana kama una akili uta muelewa
Aya nimechelewa mnatakaje ata like 30 from kenya
Poleh 😂😂 na haturudishi nyuma mbele mbele yao😊😊
Yaniii chado anavyoongeaa na cheusi kwa uchunguu mpkaa ina Touch kwa moyo cheusi anamkimbiaa baba yake jaaaamn😂😂😂
Congratulation ngwengwe mungu akujaalie na kipajichako
Cheusi amejua kunichekesha leo😂kaona ajisalimishe police,😅😅ila nimefurah alivyochomoka kwa chado, kazi nzuri jaman Chado Master Film mmetisha!
Hongara sana chado na crew yako kwa kazi nzuri na ilio bora muendelezo wa kipande cha leo nimeinjoi kutokana na wingi wa dakika kuliko siku zote nilizo anza kufatilia salut kwa dongo ngwengwe👊 mungu akikuze zaid kipaji chako ili ufike mbali mission impossible🔥🔥
Maneno ya hisia na makali sana mzee wa misumari kwa kidemu jau😢😢😢
Tunawapenda sana wote kazi zuri sana ❤❤❤ from south Africa
Wanang wa mission impossible like nying kwa chado master
Chado master mission impossible bonge moja la movie brooo unajuaa ✌️💯💯
Jamani mim leo wakwaza naombeni rik zangu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
chado master
Jmn nilikuwa nakusubili kwa hamu naipenda San hii movie❤❤❤❤❤
chado wewe nani popaxo
🤣🤣🤣 bonge unaujumu uchumu.. nakubali sana mwanang chado😂 I like
Mungu amubariki kira mtu anae soma hii comment ambariki
Amen
Amen 🙏
Ameen🎉
Emen
Amen
Mpaka sasa watu wote ambao 2po pammoja mwanzo mpaka sasa tuombe uzima tenah 2pewe nguv tenah semah amina
Ameen
Amin
Chadooo ❤😂❤.... yaani I like it ..... kutoka Kenya 🇰🇪 😍 nipeni likes tu
Chado wee mdau sana tu
chado unazinguwa njana mbona ahuku tuhundumia sio poa lakini i likes ❤❤❤
Kazi zako more fire 🔥,,,,jamani naomba like nko mgeni
Sijawai kukomenti ila leo nimekomenti, popote ulipo chado nitafuta ninajambo na ww 😂😂
Ally dady kaona kumchunga Najmah mbaya hiyoooo😂😂😂
😂😂😂😂 Mwajuma na Mwana Amisi😂😂😂 bo'nge usianze kujiliza mumeyatimba😂😂😂😂
Kazi nzuri brother chado master
ila bonge eti andaa mwili wako na mm niandae wa kwangu tukutane maskani😅😅🙌
Cjawah kucomment ila Leo nmeamua nkupe hongera zko chado Love you ❤
Alaa
@@OmalyKhamisi ndio
Chado unashingua ujue 😂😂😂 anyways congratulations 👏 Kwa kazi nzuri pokea Maua yako bana 🎉❤❤❤
AAA cheusi mwana kulifind mwana kuliget hahah
Waaaaoooowww Chado kazi nzur8 sana jaman hongeren nasubiri mwendelezo
Kazi nzuri leo nimewahi😂🎉🎉
Uyo mama ngwengwe mmh I like 😂😂😂 ametishaaaa
Ila kaka ake kidemu jau yaaan (Najima )leo ameongea point, hongera broo
ALLYDADY kaka angu inatosha kipara jmn achia manywele 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 nimefurahi sana move kali sana muendelezo please 🙏 😢🎉
Ila cheusi nimecheka sana😅😅😅😅😅bora umekimbilia kwa mkombozi dadi❤❤❤❤
Ngwengwe kwenye kitengo nawakuBali
Yaani namkubali sana dogo ngwengwe Mungu akuze kipaji chake kabisaa kama unakubali dondosha like hapaa 🎉🎉
Sijui ni mm ndio nampenda huyu mtoto ama nikila mtu❤❤❤anini inspire hatari 😂
Tunaangalia asubuh hii tujuane maan 😂😂😂😂
Tupo apa
😅😅😅😅
Mapema tyuu mie ndio nimeanza😊😊
Tupo
Inaweza hii lakini Kitengo vipi mwanao ndo umemuacha gerezani sio penzi la kidem jao limekuchanganya adi mwanao ubavu wako unamuacha jela sio
Daaaah!!! 2nao fatilia hii move ya ktengo 2na enjoy life kwakwel!! 😂😅❤😊❤🎉
😂😂😂😂 mwanangu cheusi amefanya nicheke kama mwehu,dadaki kaona bora akimbilie kwa mzee wa misumari
Halafu huyo mama ngwengwe mwenyewe hamjui chado anamuita cheusi ndo chado
Mungu akujalie kwenye kazi yako utafika mbali
Chado naomba isiishe basi mbona kama tunaenda mwishoni 😢kakayake Najima amenyoa adi nywere
Makofi Kwa Misumali 🎉🎉Nimependa maelezo yke
Kazi nzuri sana haipingwi chado masta
Kazi nzuri 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Moz 🇲🇿❤
Ngwengwe, jay once gain more fire 🔥️🔥️🔥
Kali sana😊😊
sema ally dady midevu umeongea point sana time unamuhusia Naa
Mapema kabisaaa good job chado 👍👍
Naipenda sanaa hii misson impossible ♥️♥️
Plz baga arudii mjengon
Wakwanza jamaniii naombeni like hata moja
Bonge moja la movie oya nawakubali kinomanoma mko vizur sana🎉🎉🎉
Uyo dogo anajua sana ngwengwe msmuach mshkilien atafk mbli
Iyi kali sana 32 napenda sana Cheusi na bonge munanichekesha sana na uyo mtoto na na wa penda sana pamoja na mkubwa chado kazi nzuri👍👍👍👍👍👍
Nakubli sana charo master kma n ww unamkubali gonga likes
Aky amungu Chado Masta mungu anakuona vile unawatesa wasela😅😅😅
Mnatuonea bwana wekeni viwili atleast yaan mpka kesho kutwa na mmetuacha patamu sana
😂😂😂😂daaaah aiseeee hii mission impossible mwenenuuuu NDIOOO AILAIKIIIIIIII🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 AAAHHHHHH
Ifike mahara chado upunguze ubabe huyo cheusi unaemuonea kumbuka alikusaidia kukupeleka hospitari ulivyo zimishwa
Etii😅😅😅😅😅
Sema cheusi mbea
Cheusii😂kaka uyoo dadaa naa huyoo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kakimbilia utuo
Hii part ya mwisho moto fire🔥🔥 I like 😂😂😂
😂😂😂😂😂Nimecheka sana hapo kwenye scene ya cheusi🤣🤣
Kama unahic ngwengwe ni mtoto wa chado gonga like hapa tujuane 😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Hiii episode duuu nyinyi wote mukatisha❤❤❤😂😂😂😂😂🇧🇮🇧🇮🇧🇮💃💃💃
Leo imetoka mapema sana hii me ndio l like
Chado nakukubali sna❤ ngwengwe upo vzr dogo Mungu abariki kipaji chako🤲kaka daddy una maneno mazuri n ynye mafunzo najma msikilize kakako dunia ina mengi hii bado umdogo 😢mama ngwengwe umenifurahisha kwakweli upo vzr❤ chado usimkose ngwengwe kwnye filamu zako🎉🎉🎉
Heee kila m2 ck iz anaombea w2 duwa wapte lik mhhh hy mzenj ap❤❤
Chado nakupenda mpka naumwa😊😊😊😊😊😊 penzi la muhuni nimekolea jamani mukiniona nimekufa basi mujue chanzo n chado😂😂😂😂
Ila chado master khaaa😂😂🙌🙌🙌🙌
Mbna hamumtoi baga jela jaman😓
Tumemmiss, ananogesha sanaa
Plz episode ifatayo baga atolewee huko jela
kitengo nakukubali sana mwanetu
😂😂😂😂😂 CHADO MASTER . Au sio mwanangu komesha wambea 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Cheusi kayatimba na bado 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Daah yani chandoh na dogo mnaweza na mnaweza tena nawapenda bure
jaman bonge anaonewa sana wamuache bonge wawatu jaman anatia adi uruma
Mungu awaongoze katika kazi zenuu❤❤❤❤❤ nawapenda xanaa❤❤❤❤
Leo wa 281 naombeni like nitawapa Siri zangu zote msizozijua 😁😁
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤kitengo umetisha I like kazi yako sana bwoy
Jamn mshasikia ule msemo wa muonja asali aonji mara mbili sasa ndo uyu kindege upepi
Cheusi kakibilia kwa mzee wa misumari😅😅😅Patamu hapo
Leo mapema sana
Ngwengwe mbalisan mdogowangu mungu akujaliye nakipajichak❤nakupnda bur na chado
Hila cheusi umetisha sana
Chado na team yako mbarikiwe sana nawapenda bure ❤❤❤
Hatimaye na leo nimewahi tena
Kazi yenu nzuri sana. Keep it up 👍