MISSION IMPOSSIBLE [32]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @mariamdjuma-d9y
    @mariamdjuma-d9y 12 дней назад +47

    Mimi leo nataka like ya chado mwenyewe ili tuone kama huwa anafwatilia mashabiki zake 🎉

    • @Safinamfinanga
      @Safinamfinanga 10 дней назад

      Na mm katakana niione ss nitaonaje kama amelike kwako😅

  • @SONGA_TALENTY
    @SONGA_TALENTY 12 дней назад +50

    Daah chado unajua mpaka unajua tena yaani nimeangalia move nyingi sana rakini sijawahi kuona story iliyotulia kama hii story yako yaan ni package ya kutosha kuna seriously story kuna comedy story na kuna love story UMEUA kinoma chado ww kweli KITENGO nakukubali sana your UNSTOPPABLE MAN nakubali kazi zako💪💪💪💪💪

  • @jumabintie
    @jumabintie 12 дней назад +84

    Tim chado wote inabidi tumshukulu mungu kwa kuiyona siku ya leo maana kuna wengi walitamani ila aikuwa bahati 🙏🙏

  • @user-gy9uf5wm1c
    @user-gy9uf5wm1c 12 дней назад +73

    Movie zengine ngwengwe msimuache jaman anawerza atar,yaani akiwepo yeye ndo i like, Mozambique

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 12 дней назад +71

    Ambao tunahis ng,wen,gwe ni mtoto wa chado ,,,,,please like hapa tujuane ❤🥳🥳🥳👋🤚🖐✋🖖🤏✌🤞🤟🤘🤙👈👈

  • @JohnsonMgimwa-dh4gq
    @JohnsonMgimwa-dh4gq 12 дней назад +27

    Daaaaah leoo nmechekaa😂😂 sana jamnii cheusii kakimbiliaa police 😂😂😂😂hayo mambo ndy i like 😂😂

  • @AminataSelemani
    @AminataSelemani 12 дней назад +24

    Pia ngwengwe na mama yake wapo vizuri fanyeni kila siku kitoke kipande kimoja kimoja hitakuwa

  • @Latifa0Tayfa
    @Latifa0Tayfa 12 дней назад +24

    Yan namkubali san haka kadogo kana jua tena kana jua tena mashallah mso coment vitu Vya maan nyinyi mawakoment ujinga tu mambo nq like ndo nn ss oya chado nakukubali l tena san oya mno mkubali chado NA dogo

  • @SaidoAmani-q9t
    @SaidoAmani-q9t 12 дней назад +15

    Chado masta kitengo watucheleweshea mzigo wabongo tupo kenya twakutizama kila kona og sana mpambambanaj kitengo mastaaa❤

  • @raymondngilangwa4733
    @raymondngilangwa4733 12 дней назад +51

    We @chado mm leo ndo wakwanzaa nakupenda mno

  • @mahmudymndeme8792
    @mahmudymndeme8792 12 дней назад +160

    Dogo ngwengwe kaua sana mungu abariki kipaji chake

  • @Chaahfamily
    @Chaahfamily 12 дней назад +894

    Leo mm jaman naomben like

  • @OmarAssira
    @OmarAssira 12 дней назад +24

    Yaani nguengue ni Noma sana pokea Maua yako fogo ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

    • @NasmaAbas-p6o
      @NasmaAbas-p6o 3 часа назад

      😂😢😂😂😂siyo nguengue ni ngwengwe

  • @Leilafsadick
    @Leilafsadick 12 дней назад +19

    NAJMA
    Una kaka tena kaka na nusu 😢😢😢ame ongea maneno machache ila ni mazito sana kama una akili uta muelewa

  • @BarakaDavid-uq8xc
    @BarakaDavid-uq8xc 12 дней назад +80

    Aya nimechelewa mnatakaje ata like 30 from kenya

    • @ShabaniBakari-m6s
      @ShabaniBakari-m6s 12 дней назад

      Poleh 😂😂 na haturudishi nyuma mbele mbele yao😊😊

  • @SayunjKalinga
    @SayunjKalinga 12 дней назад +13

    Yaniii chado anavyoongeaa na cheusi kwa uchunguu mpkaa ina Touch kwa moyo cheusi anamkimbiaa baba yake jaaaamn😂😂😂

  • @somoe-wb3rm
    @somoe-wb3rm 12 дней назад +10

    Congratulation ngwengwe mungu akujaalie na kipajichako

  • @estermtai5491
    @estermtai5491 12 дней назад +8

    Cheusi amejua kunichekesha leo😂kaona ajisalimishe police,😅😅ila nimefurah alivyochomoka kwa chado, kazi nzuri jaman Chado Master Film mmetisha!

  • @teamrashid6837
    @teamrashid6837 12 дней назад +5

    Hongara sana chado na crew yako kwa kazi nzuri na ilio bora muendelezo wa kipande cha leo nimeinjoi kutokana na wingi wa dakika kuliko siku zote nilizo anza kufatilia salut kwa dongo ngwengwe👊 mungu akikuze zaid kipaji chako ili ufike mbali mission impossible🔥🔥

  • @freddywizzyTz255
    @freddywizzyTz255 12 дней назад +11

    Maneno ya hisia na makali sana mzee wa misumari kwa kidemu jau😢😢😢

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 12 дней назад +15

    Tunawapenda sana wote kazi zuri sana ❤❤❤ from south Africa

  • @AbaidiiniNgweti
    @AbaidiiniNgweti 12 дней назад +73

    Wanang wa mission impossible like nying kwa chado master

  • @ShabanKaoneka-g7y
    @ShabanKaoneka-g7y 12 дней назад +8

    Chado master mission impossible bonge moja la movie brooo unajuaa ✌️💯💯

  • @SefuRamadhani-s7x
    @SefuRamadhani-s7x 12 дней назад +55

    Jamani mim leo wakwaza naombeni rik zangu🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MerryAngel-l9r
    @MerryAngel-l9r 12 дней назад +12

    Jmn nilikuwa nakusubili kwa hamu naipenda San hii movie❤❤❤❤❤

  • @VestinaNicolaus
    @VestinaNicolaus 12 дней назад +8

    🤣🤣🤣 bonge unaujumu uchumu.. nakubali sana mwanang chado😂 I like

  • @EdinajohnEdinajohn-d7l
    @EdinajohnEdinajohn-d7l 12 дней назад +141

    Mungu amubariki kira mtu anae soma hii comment ambariki

  • @AnthonyAbdi
    @AnthonyAbdi 12 дней назад +31

    Mpaka sasa watu wote ambao 2po pammoja mwanzo mpaka sasa tuombe uzima tenah 2pewe nguv tenah semah amina

  • @Giantcomedian
    @Giantcomedian 12 дней назад +16

    Chadooo ❤😂❤.... yaani I like it ..... kutoka Kenya 🇰🇪 😍 nipeni likes tu

  • @AllyQuicleEgain
    @AllyQuicleEgain 12 дней назад +13

    chado unazinguwa njana mbona ahuku tuhundumia sio poa lakini i likes ❤❤❤

  • @user-lt3ru8px5r
    @user-lt3ru8px5r 12 дней назад +8

    Kazi zako more fire 🔥,,,,jamani naomba like nko mgeni

  • @natashadaniel5099
    @natashadaniel5099 12 дней назад +9

    Sijawai kukomenti ila leo nimekomenti, popote ulipo chado nitafuta ninajambo na ww 😂😂

  • @annaki318
    @annaki318 12 дней назад +9

    Ally dady kaona kumchunga Najmah mbaya hiyoooo😂😂😂

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 12 дней назад +8

    😂😂😂😂 Mwajuma na Mwana Amisi😂😂😂 bo'nge usianze kujiliza mumeyatimba😂😂😂😂

  • @MarymAharl-n7u
    @MarymAharl-n7u 12 дней назад +7

    Kazi nzuri brother chado master

  • @HafsaAhmady
    @HafsaAhmady 12 дней назад +10

    ila bonge eti andaa mwili wako na mm niandae wa kwangu tukutane maskani😅😅🙌

  • @zaitunikhamis
    @zaitunikhamis 12 дней назад +26

    Cjawah kucomment ila Leo nmeamua nkupe hongera zko chado Love you ❤

  • @user-vo7yb6wp1m
    @user-vo7yb6wp1m 12 дней назад +4

    Chado unashingua ujue 😂😂😂 anyways congratulations 👏 Kwa kazi nzuri pokea Maua yako bana 🎉❤❤❤

  • @user-bu3tr3cd9m
    @user-bu3tr3cd9m 12 дней назад +10

    AAA cheusi mwana kulifind mwana kuliget hahah

  • @NuruenezaJosephEnock
    @NuruenezaJosephEnock 12 дней назад +2

    Waaaaoooowww Chado kazi nzur8 sana jaman hongeren nasubiri mwendelezo

  • @muniraally6066
    @muniraally6066 12 дней назад +10

    Kazi nzuri leo nimewahi😂🎉🎉

  • @GastonNolasco
    @GastonNolasco 12 дней назад +5

    Uyo mama ngwengwe mmh I like 😂😂😂 ametishaaaa

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 12 дней назад +8

    Ila kaka ake kidemu jau yaaan (Najima )leo ameongea point, hongera broo

  • @rogynee8135
    @rogynee8135 12 дней назад +5

    ALLYDADY kaka angu inatosha kipara jmn achia manywele 😂😂😂

  • @RamsoJackson
    @RamsoJackson 12 дней назад +7

    😂😂😂😂😂😂 nimefurahi sana move kali sana muendelezo please 🙏 😢🎉

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 12 дней назад +2

    Ila cheusi nimecheka sana😅😅😅😅😅bora umekimbilia kwa mkombozi dadi❤❤❤❤

  • @NickMtitu
    @NickMtitu 12 дней назад +32

    Ngwengwe kwenye kitengo nawakuBali

  • @user-tw9pd6qz4y
    @user-tw9pd6qz4y День назад +1

    Yaani namkubali sana dogo ngwengwe Mungu akuze kipaji chake kabisaa kama unakubali dondosha like hapaa 🎉🎉

  • @manjimebakari1850
    @manjimebakari1850 12 дней назад +4

    Sijui ni mm ndio nampenda huyu mtoto ama nikila mtu❤❤❤anini inspire hatari 😂

  • @NyenjeNdeu-u6p
    @NyenjeNdeu-u6p 12 дней назад +31

    Tunaangalia asubuh hii tujuane maan 😂😂😂😂

  • @alvinbrightone3803
    @alvinbrightone3803 12 дней назад +5

    Inaweza hii lakini Kitengo vipi mwanao ndo umemuacha gerezani sio penzi la kidem jao limekuchanganya adi mwanao ubavu wako unamuacha jela sio

  • @TrecyPetro
    @TrecyPetro 12 дней назад +2

    Daaaah!!! 2nao fatilia hii move ya ktengo 2na enjoy life kwakwel!! 😂😅❤😊❤🎉

  • @jaxondumah4213
    @jaxondumah4213 12 дней назад +4

    😂😂😂😂 mwanangu cheusi amefanya nicheke kama mwehu,dadaki kaona bora akimbilie kwa mzee wa misumari

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 12 дней назад +5

    Halafu huyo mama ngwengwe mwenyewe hamjui chado anamuita cheusi ndo chado

  • @user-uw9rz5zo7j
    @user-uw9rz5zo7j 12 дней назад +4

    Mungu akujalie kwenye kazi yako utafika mbali

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 12 дней назад +8

    Chado naomba isiishe basi mbona kama tunaenda mwishoni 😢kakayake Najima amenyoa adi nywere

  • @user-ug4oq9mi7e
    @user-ug4oq9mi7e 12 дней назад +12

    Makofi Kwa Misumali 🎉🎉Nimependa maelezo yke

  • @JackKisunga-rx3ed
    @JackKisunga-rx3ed 12 дней назад +5

    Kazi nzuri sana haipingwi chado masta

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 12 дней назад +20

    Kazi nzuri 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @jonathanmichael3393
    @jonathanmichael3393 12 дней назад +4

    Ngwengwe, jay once gain more fire 🔥️🔥️🔥

  • @creed-u3w
    @creed-u3w 12 дней назад +7

    Kali sana😊😊

  • @FadhilaRamadhani-z4w
    @FadhilaRamadhani-z4w 12 дней назад +5

    sema ally dady midevu umeongea point sana time unamuhusia Naa

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 12 дней назад +6

    Mapema kabisaaa good job chado 👍👍

  • @SanuraMdee
    @SanuraMdee 12 дней назад +2

    Naipenda sanaa hii misson impossible ♥️♥️
    Plz baga arudii mjengon

  • @NelianNjamas-mo1en
    @NelianNjamas-mo1en 12 дней назад +22

    Wakwanza jamaniii naombeni like hata moja

  • @BoniventureGordian
    @BoniventureGordian 12 дней назад +6

    Bonge moja la movie oya nawakubali kinomanoma mko vizur sana🎉🎉🎉

  • @salmocadey2676
    @salmocadey2676 12 дней назад +5

    Uyo dogo anajua sana ngwengwe msmuach mshkilien atafk mbli

  • @Adidja-bi9ph
    @Adidja-bi9ph День назад

    Iyi kali sana 32 napenda sana Cheusi na bonge munanichekesha sana na uyo mtoto na na wa penda sana pamoja na mkubwa chado kazi nzuri👍👍👍👍👍👍

  • @MohammedDhidha-gi2pu
    @MohammedDhidha-gi2pu 12 дней назад +8

    Nakubli sana charo master kma n ww unamkubali gonga likes

  • @johnosoro6033
    @johnosoro6033 12 дней назад +9

    Aky amungu Chado Masta mungu anakuona vile unawatesa wasela😅😅😅

  • @AgnesSawe-cz4ve
    @AgnesSawe-cz4ve 12 дней назад +6

    Mnatuonea bwana wekeni viwili atleast yaan mpka kesho kutwa na mmetuacha patamu sana

  • @AliZuheri-r4d
    @AliZuheri-r4d 12 дней назад +3

    😂😂😂😂daaaah aiseeee hii mission impossible mwenenuuuu NDIOOO AILAIKIIIIIIII🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 AAAHHHHHH

  • @user-ce8fn5li5x
    @user-ce8fn5li5x 12 дней назад +9

    Ifike mahara chado upunguze ubabe huyo cheusi unaemuonea kumbuka alikusaidia kukupeleka hospitari ulivyo zimishwa

  • @officialgumbo1416
    @officialgumbo1416 12 дней назад +2

    Cheusii😂kaka uyoo dadaa naa huyoo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kakimbilia utuo

  • @user-vi8ec1eg9u
    @user-vi8ec1eg9u 12 дней назад +2

    Hii part ya mwisho moto fire🔥🔥 I like 😂😂😂

  • @nahoolalbosaidi6665
    @nahoolalbosaidi6665 12 дней назад +4

    😂😂😂😂😂Nimecheka sana hapo kwenye scene ya cheusi🤣🤣

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz 12 дней назад +5

    Kama unahic ngwengwe ni mtoto wa chado gonga like hapa tujuane 😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @FATMARAHMA12
    @FATMARAHMA12 12 дней назад +3

    Hiii episode duuu nyinyi wote mukatisha❤❤❤😂😂😂😂😂🇧🇮🇧🇮🇧🇮💃💃💃

  • @IreneLonjino
    @IreneLonjino 12 дней назад +4

    Leo imetoka mapema sana hii me ndio l like

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 12 дней назад

    Chado nakukubali sna❤ ngwengwe upo vzr dogo Mungu abariki kipaji chako🤲kaka daddy una maneno mazuri n ynye mafunzo najma msikilize kakako dunia ina mengi hii bado umdogo 😢mama ngwengwe umenifurahisha kwakweli upo vzr❤ chado usimkose ngwengwe kwnye filamu zako🎉🎉🎉

  • @NasraFahmy-j9y
    @NasraFahmy-j9y 12 дней назад +6

    Heee kila m2 ck iz anaombea w2 duwa wapte lik mhhh hy mzenj ap❤❤

  • @HhVvh-ny9hz
    @HhVvh-ny9hz 12 дней назад +1

    Chado nakupenda mpka naumwa😊😊😊😊😊😊 penzi la muhuni nimekolea jamani mukiniona nimekufa basi mujue chanzo n chado😂😂😂😂

  • @Dullant5
    @Dullant5 12 дней назад +3

    Ila chado master khaaa😂😂🙌🙌🙌🙌

  • @SanuraMdee
    @SanuraMdee 12 дней назад +1

    Mbna hamumtoi baga jela jaman😓
    Tumemmiss, ananogesha sanaa
    Plz episode ifatayo baga atolewee huko jela

  • @user-ei1wy5rs8d
    @user-ei1wy5rs8d 12 дней назад +5

    kitengo nakukubali sana mwanetu

  • @FatmasaidAhmed-ws1rs
    @FatmasaidAhmed-ws1rs 12 дней назад +1

    😂😂😂😂😂 CHADO MASTER . Au sio mwanangu komesha wambea 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @salamaslaim6678
    @salamaslaim6678 12 дней назад +5

    Cheusi kayatimba na bado 😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @SubiraAlly-ww4wt
    @SubiraAlly-ww4wt 12 дней назад +1

    Daah yani chandoh na dogo mnaweza na mnaweza tena nawapenda bure

  • @AgnessMirisho
    @AgnessMirisho 12 дней назад +11

    jaman bonge anaonewa sana wamuache bonge wawatu jaman anatia adi uruma

  • @AbdallahkhamisiiJuma
    @AbdallahkhamisiiJuma 2 дня назад +1

    Mungu awaongoze katika kazi zenuu❤❤❤❤❤ nawapenda xanaa❤❤❤❤

  • @AdamGabliery
    @AdamGabliery 12 дней назад +14

    Leo wa 281 naombeni like nitawapa Siri zangu zote msizozijua 😁😁

  • @SalimHassan-f7h
    @SalimHassan-f7h 12 дней назад +1

    ❤❤❤❤kitengo umetisha I like kazi yako sana bwoy

  • @jumahamisi1953
    @jumahamisi1953 12 дней назад +6

    Jamn mshasikia ule msemo wa muonja asali aonji mara mbili sasa ndo uyu kindege upepi

  • @halimaali8732
    @halimaali8732 12 дней назад +1

    Cheusi kakibilia kwa mzee wa misumari😅😅😅Patamu hapo

  • @michaelsamwel883
    @michaelsamwel883 12 дней назад +11

    Leo mapema sana

  • @AnnickNimpye
    @AnnickNimpye 12 дней назад

    Ngwengwe mbalisan mdogowangu mungu akujaliye nakipajichak❤nakupnda bur na chado

  • @shedyplatinumz4853
    @shedyplatinumz4853 12 дней назад +3

    Hila cheusi umetisha sana

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 12 дней назад +1

    Chado na team yako mbarikiwe sana nawapenda bure ❤❤❤

  • @Aaqwe-yi6qn
    @Aaqwe-yi6qn 12 дней назад +9

    Hatimaye na leo nimewahi tena

  • @KadzoEsther-u6q
    @KadzoEsther-u6q 11 дней назад +1

    Kazi yenu nzuri sana. Keep it up 👍