Hii movie ina kila kitu ambacho hua ni zahiri kinatokea katika maisha halisi ya wanaadam kila kitu kipo huzuni furaha maradhi uchawi unafki usaliti yani sijui nn kmekosekana mana eliminate ndio tunaipqta sasa sie waangaliaji waomba like tunasubiri movie zenu nasie tuombe like kama mtapenda yaone ovyoo
Kati ya movie au picha ambazo zimezingatia vigezo Asilimia 97% Kalibia vyote nihiii House Girl Nipicha ambayo imeonesha Jinsi Gani Jamii za Afrika zinavyo potea. Kama tuko pamoja like hapa 🙏
Imefika patamu bibi lazima zuu apatikane kunasiku nilifikiria kitu kaa hii bibi ni muchawi atamutokea candy kama jini imekua sasa kichapo chako candy ni bibi wapi nduru wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa saai kendi kimekuramba,Bibi ya zuu sio mchache, waaaah congratulations guys,mnajua Kazi.Mungu aendelee kuwapa nguvu za kuendelea kupambana jamani 🙏🪴💞
House Girl fans WhatsApp 👇👇
chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl
Candy usimzarau usiemjua
Candy kitamramba mwaka huu haaahha nasubir ya mchana jmn
Candy kitamrudi mwenyewe
@@busatitv kwangu mimi mbona hili group la wasp halifunguki?
Au likoje?
Huko kunanini kai
Leo candy kayakanyaga bibi zuu kaamua kuonyesha makucha yake🙌🙌🙌
Kama una mkubali bibi gonga like hapa
Km uyo Bibi ni mchwa kwa Nini asimtafute mchukuu wKe😊
Mnaomba cendy aumbuke mgonge like ata 2 tu
😂😂😂😂😂
go nishagonga hiyo like😂😂😂😂
@@lucyrif-np8ik hauogopi 😂😂😂
Hii movie ina kila kitu ambacho hua ni zahiri kinatokea katika maisha halisi ya wanaadam kila kitu kipo huzuni furaha maradhi uchawi unafki usaliti yani sijui nn kmekosekana mana eliminate ndio tunaipqta sasa sie waangaliaji waomba like tunasubiri movie zenu nasie tuombe like kama mtapenda yaone ovyoo
Wakwanzaaaaaaaaa wapi daa zuuuuuu❤❤❤❤❤naonbeni likes zangu from 🇰🇪
Kama unaamini zuu atapona wapi like...za zuuu
Zuuuh lazma apatkne kam unaamini hilo nnipe like❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤😂😂
Nan amegundua ukigusa like mara tatu inajicopy🙌🙌
Unataka likes tu mxyu 😒
@@mamume710😂😂😂 alakini Kweli 😂
@@mamume710😂😂😂😂😂
tumewastukizia😂😂
Naijua hiyo
Cardy ameyakanyanga yaani bibi kiboko 😂😂😂team zuu tuko na matumaini 💪💪💪
Jaman wakwa leo tuone mwisho wakend walio pamoja na bibi yake zuu nawaomba like zenu
😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤
utamu umakuja sasa😂😂kesho naona haifiki
😂😂😂
Timu zuu wapi likes jamani❤❤
Nasubiri episode 34 kwa hamu sana, Nataka kuona candy atafanyiwa nini na shoshi, hongera sana leo imekua 🔥🔥🔥❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jaman bora nikose kula ila bando liwepo co kwa hii movie.....🥰🥰🥰
Nimechelea jamani warundi muko wap munipe like ❤❤❤
tuko hapa
❤❤❤ tupo pamoja
Nipo lakini sikupi
Tupo
Nyie mnaoomba like acheni upuuzi ni utoto Kuomba omba tu kulike kukoment na kushare haaah😂😂
😂😂Nimecheka kwa sauti
Hahaha 🤣🤣🤣 jamani wakuige ww tu ju hujaomba lakini umepewa
Wow nimekua wa kwanza leo kaka kai naomba like hata moja tu jaman 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Yes ok
Ivi.kila.mtu
Kati ya movie au picha ambazo zimezingatia vigezo Asilimia 97% Kalibia vyote nihiii House Girl Nipicha ambayo imeonesha Jinsi Gani Jamii za Afrika zinavyo potea.
Kama tuko pamoja like hapa 🙏
Kbs
Safi nahongera kwakuona elimu iliyopo ndani ya house girl
Asant sana
Uhakikaaa
Leo mumeweza at least mumetoa mapema naomba like zenu
Jaman wa mwisho Leo naombeni like zangu😂😂😂
😂😂😂
Nyie mbona nipo Hapa Hapa Mmenipiga 😂daaa Ila hya nipeni bas japo moja😂 from Oman 🇴🇲
Wakwanza leo naomba like zenu please and please wale wapezi wa zuu na kai na bibi kai , malaika lets go like sasa naitaji ❤❤❤❤❤❤❤❤
Wa1 ila kama unamkubali kayi like hapa
Funs wa zuuh tujuane hapa....😍😍😍❤️❤️❤️💞💞💞💞
Hi
@@OfficialZuli-ve5kh mamb
@@StellaKimaro-no6mv poa vip
@@StellaKimaro-no6mv poa mzm
@@OfficialZuli-ve5kh nipo pouw cjui ww jmn
Nipe like zenu jamani, kutoka mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
jamn wa kwanz naomb like zangu
Uzipeleke wapi😂😂❤🎉
❤❤❤
Unakul iyo like au mbn husifiii kaz Yao achen kutumia kaz za watu km fursa kwenu mnaboa yaan tumewachok like like t heeeee
@@sifamaureen2792 nazipeleka kw zuu
We zann
wakwanz nipen like zng😅
Mwenye atakuja nyuma anipe like jamani 🎉🎉❤🇧🇮🇧🇮
mimi hapa team gulf
🎉@@SalmaKenyatta-cn8tg
@@SalmaKenyatta-cn8tg Thank you
Sasa kama kila mmoja ni wakwazda,wa pili niyupi tumupe like😂
Mimi apa😊
Nibora munipe mm wamwisho😂😂😂😂
Mimi
😂😂😂😂😂😂
Wakwanza tunae mkubali chiko gonga like ata tano apa
Sijawai kukoment ila leo naona mwanga waja candy raundi hii huwezi toboa lazima useme tu kula chuma hicho bibi zuu 🎉🎉🎉🎉
🤣🥰🥰🥰
Aaah mm ata sijafurahi natakakumuona zuu😂😂😂mm na babake kai tumechoka kungoja😢😢😢
❤🎉❤ jamani nawapenda mimi humja wai nipa like hata moja 😢 naomba mwee moja to
Waooo mnatuletea Kwa wakati shukran
Ila zuu utapona tu mungu yupo ❤❤❤
zuuuu atapatikana tyu
Haya jamani wapenzj wote wa busati usipite.bure hapa bila kulike🥰🥰
Jaman leo nmekuwa wa kwanza daaah tng nmeanza ndo leo like zenu bx
Ngoja niangalie ntarud kucoment
Hata nami jaman like hata mbili
Mnaboa bana vipande vyenyewe vidg afu mnarudia sehemu ambazo tushaangalia😏😏😏
Jaman 😂😂😂raha kuwai wako wap wakuomba like bla kuangalia movie 🎉🎉🎉🎉❤
😂😂😂😂😂
Nakubali bwana munipe like zangu zakutosha Kama unayuwa zuuu atapona
Yani sichafurahia movie poa yenye mafunzo kama hii mubarikiwe sana waigizaji hapa mumejitahidi Sanaa's Yani
Musichelewe na episode 34plz
Jamani naombeni like za wanachuo wanaofatilia House girl 😂
Mzigo tayari wacha tukae mwanzo tujue yafuatayo😂😂
😂😂😂😂 ep 34 wangapi tunaanimi kuwa itakuwa tamu😂😂😂😂
🎉🎉🎉acha tuone candy atatoboa kweli,njooni tutizame pamoja
Imefika patamu bibi lazima zuu apatikane kunasiku nilifikiria kitu kaa hii bibi ni muchawi atamutokea candy kama jini imekua sasa kichapo chako candy ni bibi wapi nduru wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nyanya wa zuu ivyo sasa ndio nilikuwa nangojea sana wapi like kwangu
Sekunde watu washafka selathini
Naamini kabisa kwa uweza wa Mungu zuu atapatikana na kupona pia huyo candy ataumbuka
Bibi kafanya vzur sana leo,nilikua natamani sana hio taimu ya kumusumbua kendal ifike leo imefika😂
Jaman hii move inausambaratisha moyo wang, mapenz yote ni Kwa zuu nani anampend zuu njooni tujuwan Kwa like dears
Me wakwanza leo jaman like Zang mnipe
Leo nimewahii jamnn mnipee ata likes moja
Sijachelewa sana leo ila mbona kama kendi ataumbuka jamani😂😂😂😂 kama waona hivo kama mm basi like jamani team zuu hi
Jamani mbona mnanichukia ivyo mnipee like ata kumi tu
Wangapi wanaenjoy wimbo wa house girl 😊😂👍
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Jmn munanifulahisha watu wa busati TV munadupa kwa wakati maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mnaweza sna tunajifunza vingi sana kwa hii move❤❤❤❤❤❤
Jaman naomben like zangu kwa mar ya kwanza nmewah mapema
Kiboko wa kendy bibi Kama bibi dadeki mwisho wa ufalme wa kendy 😅😅
Wa kwanza leo naomben like jaman
Bibi hataki mchezo kwa mjukuu wake like nyingi kwa bibi❤❤❤
Patamu hpo safii bib zuu nmeipenda hio hongereni nyote Kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉🎉 wee Kai mm nngekua best yko nngekuzaba Kofi ili akili zikkufunguka 😂😂😂😂
Tena nimechelewa kidogo lakini bado niko nyuma ya zuu nipeni likes watu zuu
Naombeni likes mi wa kwanza leo asanteni kwa kuwahi
Yaani kai,,,,utakuja kulia kilio cha paka mwizi heeeee hujui tu kitu candy anakusukia
Ka2i nzuri sana bibi 2u 🎉🎉🎉🎉🎉 kendi sasa kimean2a kuku ramba
Chengine saa sita usiku jamni nzur sana mungu jalia zuu aonekane
Wakenya hoye🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yoooh🎉
Zuu naomba Like yako nakufatilia hap plzzz mpenz ❤❤❤❤
❤❤Nazipenda saana movie zenu nakizuri munatoa haraka haraka na enough time thank you good job
🥰🥰🥰🙏🙏
Wapi nduru nimewahi leo wa kwanzaaà🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣kujeni tuone zuuu akipona 😂😂😂😂😂😂😂
Nimechelewa kidogo hata3 😢 basi
Wooow❤❤❤kai weka hata dakika 30 bro. Filamu tamu sana😊Mungu awatie nguvu
Leo nimekuwa wa kwanza jamani😂 napenda love story
Leo nimewaacha makusudi muwahi no kwasababu nyote uwa ni wa kwanza 😂😂😂😂😂ukiwa wa 300 uwa uoni kwa au auelewi
Hii imenifurahiaha kidogo imenpa matumaini kuwa zuu atapona good job guys much love from kenya
Jamani kumbe imekuja na hamujaniita kesho siwapi pipi zangu tena tem shaghala nyie musha ona uku kitu kisha kuja mda kumbe😢😢😢😢😢 like basi
Ila nyie mko na shida gan jamn?
Mimi wa kwanza Naomba like ❤❤❤❤
Kaz nzuriiii sanaaa,hongereniii🎉❤
Kai kai acha ushaga msikilize bwana mpago ww bibi mau yako 🌹💐🏵️🏵️ nimependa hyoo bibi
Tem Zuu twendeni uku 🏃🏃
Candy kula chuma hicho bibi zuu mkomeshe huyo maana hakujui vizuri
M najua Kwa boss mchawi ni hatar sana
❤ kutoka 🇰🇪 wapi like zangu
Sasa saai kendi kimekuramba,Bibi ya zuu sio mchache, waaaah congratulations guys,mnajua Kazi.Mungu aendelee kuwapa nguvu za kuendelea kupambana jamani 🙏🪴💞
First to view....nipeni likes .....team kai
Leo mmewahisha sanaa nawakubali
Yajayo yanafulaish😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ii tamthilia tam san cjui mwisho wa candy utakuwaj
Namini daa zuu atapatikana na atapona anayeamani gongalike🎉🎉🎉🎉
Kila mmoja n wa kwanza na anaomba like mbona msitoe maoni kulingana na move yenyewe
Mimi😅
Wakwanza Leo like zangu
😂😂😂😂 candy kimekuramba leo na bdo ndo kwanza move yinaanzia hpo wenye wanamkubali bibi like hapa jaman ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mm niwa mwisho😅nipeni hizo like 😅😅nyanyake zuu ameamua kuvaa sura ya kazi🤜🤜🤜
Tujuwane wale tunao fatilia hii house girl
Nawapenda sana nawakubali 🎉🎉🎉🎉🎉
Waash mambo yamebadilikaa ..... 😮😮😮Bibi ya zuu kaamuaaa anataka mjukuu wake ..candy candy tafta plam b 😅😅😅
Huy Bibi Kwa uchawi namuaminia Maan kweny move ya boss mchawi wee namp ❤
Alikua na cheo kikubwa Sema seson 2 Bado haijaanza
❤❤❤❤🎉🎉🎉 number 3