HOUSE GIRL EP 33 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июл 2024
  • #bongomovie #housegirl
  • КиноКино

Комментарии • 948

  • @busatitv
    @busatitv  21 день назад +134

    House Girl fans WhatsApp 👇👇
    chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl

  • @DelphinaJeremiah-ii1rv
    @DelphinaJeremiah-ii1rv 21 день назад +40

    Leo candy kayakanyaga bibi zuu kaamua kuonyesha makucha yake🙌🙌🙌
    Kama una mkubali bibi gonga like hapa

    • @reginaDevid
      @reginaDevid 2 часа назад

      Km uyo Bibi ni mchwa kwa Nini asimtafute mchukuu wKe😊

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g 21 день назад +126

    Mnaomba cendy aumbuke mgonge like ata 2 tu

    • @estherezzy136
      @estherezzy136 21 день назад +2

      😂😂😂😂😂

    • @lucyrif-np8ik
      @lucyrif-np8ik 21 день назад +1

      go nishagonga hiyo like😂😂😂😂

    • @user-tq7gp3ue7g
      @user-tq7gp3ue7g 21 день назад +2

      @@lucyrif-np8ik hauogopi 😂😂😂

  • @FatmaSalim-dc6zp
    @FatmaSalim-dc6zp 21 день назад +38

    Hii movie ina kila kitu ambacho hua ni zahiri kinatokea katika maisha halisi ya wanaadam kila kitu kipo huzuni furaha maradhi uchawi unafki usaliti yani sijui nn kmekosekana mana eliminate ndio tunaipqta sasa sie waangaliaji waomba like tunasubiri movie zenu nasie tuombe like kama mtapenda yaone ovyoo

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k 21 день назад +40

    Wakwanzaaaaaaaaa wapi daa zuuuuuu❤❤❤❤❤naonbeni likes zangu from 🇰🇪

  • @user-uq7cj9vs7x
    @user-uq7cj9vs7x 21 день назад +141

    Kama unaamini zuu atapona wapi like...za zuuu

  • @user-tw6gb7xz5i
    @user-tw6gb7xz5i 21 день назад +45

    Zuuuh lazma apatkne kam unaamini hilo nnipe like❤❤

  • @user-rb1bm2fd6h
    @user-rb1bm2fd6h 21 день назад +183

    Nan amegundua ukigusa like mara tatu inajicopy🙌🙌

    • @mamume710
      @mamume710 21 день назад +4

      Unataka likes tu mxyu 😒

    • @rubniyi3551
      @rubniyi3551 21 день назад +4

      ​@@mamume710😂😂😂 alakini Kweli 😂

    • @fatmaubwa-z8s
      @fatmaubwa-z8s 21 день назад +3

      ​@@mamume710😂😂😂😂😂

    • @fatmaubwa-z8s
      @fatmaubwa-z8s 21 день назад +3

      tumewastukizia😂😂

    • @prezgal8869
      @prezgal8869 21 день назад +2

      Naijua hiyo

  • @user-sx6zw1pr1w
    @user-sx6zw1pr1w 21 день назад +11

    Cardy ameyakanyanga yaani bibi kiboko 😂😂😂team zuu tuko na matumaini 💪💪💪

  • @JacksonNgari-fs2qt
    @JacksonNgari-fs2qt 21 день назад +99

    Jaman wakwa leo tuone mwisho wakend walio pamoja na bibi yake zuu nawaomba like zenu

  • @user-qz5yg5vv9k
    @user-qz5yg5vv9k 21 день назад +25

    Timu zuu wapi likes jamani❤❤

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 21 день назад +10

    Nasubiri episode 34 kwa hamu sana, Nataka kuona candy atafanyiwa nini na shoshi, hongera sana leo imekua 🔥🔥🔥❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @StellaKimaro-no6mv
    @StellaKimaro-no6mv 21 день назад +20

    Jaman bora nikose kula ila bando liwepo co kwa hii movie.....🥰🥰🥰

  • @user-fq6vh5ks9z
    @user-fq6vh5ks9z 21 день назад +33

    Nimechelea jamani warundi muko wap munipe like ❤❤❤

  • @marymnandi9924
    @marymnandi9924 21 день назад +19

    Nyie mnaoomba like acheni upuuzi ni utoto Kuomba omba tu kulike kukoment na kushare haaah😂😂

    • @carlynemgonja-2004
      @carlynemgonja-2004 21 день назад

      😂😂Nimecheka kwa sauti

    • @rexe9651
      @rexe9651 21 день назад

      Hahaha 🤣🤣🤣 jamani wakuige ww tu ju hujaomba lakini umepewa

  • @user-su5oi5wb6c
    @user-su5oi5wb6c 21 день назад +18

    Wow nimekua wa kwanza leo kaka kai naomba like hata moja tu jaman 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @richardchristopher7141
    @richardchristopher7141 21 день назад +104

    Kati ya movie au picha ambazo zimezingatia vigezo Asilimia 97% Kalibia vyote nihiii House Girl Nipicha ambayo imeonesha Jinsi Gani Jamii za Afrika zinavyo potea.
    Kama tuko pamoja like hapa 🙏

  • @ZuhuraMusa-hl3wp
    @ZuhuraMusa-hl3wp 21 день назад +18

    Leo mumeweza at least mumetoa mapema naomba like zenu

  • @user-wb2wp5pe9p
    @user-wb2wp5pe9p 21 день назад +19

    Jaman wa mwisho Leo naombeni like zangu😂😂😂

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 21 день назад +9

    Nyie mbona nipo Hapa Hapa Mmenipiga 😂daaa Ila hya nipeni bas japo moja😂 from Oman 🇴🇲

  • @HPZAYOZA
    @HPZAYOZA 21 день назад +30

    Wakwanza leo naomba like zenu please and please wale wapezi wa zuu na kai na bibi kai , malaika lets go like sasa naitaji ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @NiyoFrancine
    @NiyoFrancine 21 день назад +23

    Wa1 ila kama unamkubali kayi like hapa

  • @StellaKimaro-no6mv
    @StellaKimaro-no6mv 21 день назад +11

    Funs wa zuuh tujuane hapa....😍😍😍❤️❤️❤️💞💞💞💞

  • @user-cy2rb4pf7e
    @user-cy2rb4pf7e 21 день назад +15

    Nipe like zenu jamani, kutoka mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @MagrethYohana-ry5fk
    @MagrethYohana-ry5fk 21 день назад +60

    jamn wa kwanz naomb like zangu

  • @salumhamad
    @salumhamad 21 день назад +19

    wakwanz nipen like zng😅

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f 21 день назад +33

    Mwenye atakuja nyuma anipe like jamani 🎉🎉❤🇧🇮🇧🇮

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 21 день назад +28

    Sasa kama kila mmoja ni wakwazda,wa pili niyupi tumupe like😂

  • @ministerlightnessrobert5342
    @ministerlightnessrobert5342 21 день назад +40

    Wakwanza tunae mkubali chiko gonga like ata tano apa

  • @user-if6yx3ix4r
    @user-if6yx3ix4r 21 день назад +4

    Sijawai kukoment ila leo naona mwanga waja candy raundi hii huwezi toboa lazima useme tu kula chuma hicho bibi zuu 🎉🎉🎉🎉

    • @busatitv
      @busatitv  21 день назад

      🤣🥰🥰🥰

  • @celinamboga581
    @celinamboga581 21 день назад +5

    Aaah mm ata sijafurahi natakakumuona zuu😂😂😂mm na babake kai tumechoka kungoja😢😢😢

  • @user-mu4xm4fd5s
    @user-mu4xm4fd5s 21 день назад +2

    ❤🎉❤ jamani nawapenda mimi humja wai nipa like hata moja 😢 naomba mwee moja to

  • @husnahusna1544
    @husnahusna1544 21 день назад +6

    Waooo mnatuletea Kwa wakati shukran
    Ila zuu utapona tu mungu yupo ❤❤❤

  • @MagrethYohana-ry5fk
    @MagrethYohana-ry5fk 21 день назад +10

    zuuuu atapatikana tyu

  • @MudyAlly-jt5xc
    @MudyAlly-jt5xc 21 день назад +8

    Haya jamani wapenzj wote wa busati usipite.bure hapa bila kulike🥰🥰

  • @TinahDavid
    @TinahDavid 21 день назад +5

    Jaman leo nmekuwa wa kwanza daaah tng nmeanza ndo leo like zenu bx

  • @Lily-rn6xc
    @Lily-rn6xc 21 день назад +9

    Ngoja niangalie ntarud kucoment

  • @user-ze4fq5qz9q
    @user-ze4fq5qz9q 21 день назад +9

    Hata nami jaman like hata mbili

  • @daazuu4608
    @daazuu4608 21 день назад +6

    Mnaboa bana vipande vyenyewe vidg afu mnarudia sehemu ambazo tushaangalia😏😏😏

  • @AshaNzara
    @AshaNzara 21 день назад +4

    Jaman 😂😂😂raha kuwai wako wap wakuomba like bla kuangalia movie 🎉🎉🎉🎉❤

  • @Flazodesigner2215
    @Flazodesigner2215 21 день назад +6

    Nakubali bwana munipe like zangu zakutosha Kama unayuwa zuuu atapona

  • @JoyAisha-og4hs
    @JoyAisha-og4hs 21 день назад +3

    Yani sichafurahia movie poa yenye mafunzo kama hii mubarikiwe sana waigizaji hapa mumejitahidi Sanaa's Yani

  • @user-bv2pn1ep8p
    @user-bv2pn1ep8p 21 день назад +2

    Jamani naombeni like za wanachuo wanaofatilia House girl 😂

  • @Nailah736
    @Nailah736 21 день назад +6

    Mzigo tayari wacha tukae mwanzo tujue yafuatayo😂😂

  • @user-wk5yv4um4m
    @user-wk5yv4um4m 21 день назад +3

    😂😂😂😂 ep 34 wangapi tunaanimi kuwa itakuwa tamu😂😂😂😂

  • @user-rz7kv9pn8m
    @user-rz7kv9pn8m 21 день назад +5

    🎉🎉🎉acha tuone candy atatoboa kweli,njooni tutizame pamoja

  • @user-lb9sl5nd9r
    @user-lb9sl5nd9r 21 день назад +3

    Imefika patamu bibi lazima zuu apatikane kunasiku nilifikiria kitu kaa hii bibi ni muchawi atamutokea candy kama jini imekua sasa kichapo chako candy ni bibi wapi nduru wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bonifacekemboi8482
    @bonifacekemboi8482 21 день назад +3

    Nyanya wa zuu ivyo sasa ndio nilikuwa nangojea sana wapi like kwangu

  • @AnyesiKonga
    @AnyesiKonga 21 день назад +6

    Sekunde watu washafka selathini

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj 21 день назад +2

    Naamini kabisa kwa uweza wa Mungu zuu atapatikana na kupona pia huyo candy ataumbuka

  • @shilashilajackson7879
    @shilashilajackson7879 21 день назад +2

    Bibi kafanya vzur sana leo,nilikua natamani sana hio taimu ya kumusumbua kendal ifike leo imefika😂

  • @user-uk4fd1rp3w
    @user-uk4fd1rp3w 21 день назад

    Jaman hii move inausambaratisha moyo wang, mapenz yote ni Kwa zuu nani anampend zuu njooni tujuwan Kwa like dears

  • @DiamondMatandala-o7l
    @DiamondMatandala-o7l 21 день назад +7

    Me wakwanza leo jaman like Zang mnipe

  • @user-uy1fr1lj4b
    @user-uy1fr1lj4b 21 день назад +4

    Leo nimewahii jamnn mnipee ata likes moja

  • @user-fh5ko7he2z
    @user-fh5ko7he2z 21 день назад +1

    Sijachelewa sana leo ila mbona kama kendi ataumbuka jamani😂😂😂😂 kama waona hivo kama mm basi like jamani team zuu hi

  • @ShazzLizz
    @ShazzLizz 21 день назад +1

    Jamani mbona mnanichukia ivyo mnipee like ata kumi tu

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t 21 день назад +4

    Wangapi wanaenjoy wimbo wa house girl 😊😂👍

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 21 день назад +5

    Jmn munanifulahisha watu wa busati TV munadupa kwa wakati maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Swamyhassan_sy
    @Swamyhassan_sy 10 дней назад +1

    Mnaweza sna tunajifunza vingi sana kwa hii move❤❤❤❤❤❤

  • @RehemaFuko-yy4yr
    @RehemaFuko-yy4yr 21 день назад +4

    Jaman naomben like zangu kwa mar ya kwanza nmewah mapema

  • @MathayonkindaManela-fq4uo
    @MathayonkindaManela-fq4uo 21 день назад +3

    Kiboko wa kendy bibi Kama bibi dadeki mwisho wa ufalme wa kendy 😅😅

  • @EdwardLukanda
    @EdwardLukanda 21 день назад +4

    Wa kwanza leo naomben like jaman

  • @user-gq1ej7le2j
    @user-gq1ej7le2j 21 день назад +2

    Bibi hataki mchezo kwa mjukuu wake like nyingi kwa bibi❤❤❤

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl 21 день назад +1

    Patamu hpo safii bib zuu nmeipenda hio hongereni nyote Kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉🎉 wee Kai mm nngekua best yko nngekuzaba Kofi ili akili zikkufunguka 😂😂😂😂

  • @JobWabwoba
    @JobWabwoba 21 день назад +3

    Tena nimechelewa kidogo lakini bado niko nyuma ya zuu nipeni likes watu zuu

  • @RatifaSekamba
    @RatifaSekamba 21 день назад +3

    Naombeni likes mi wa kwanza leo asanteni kwa kuwahi

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 21 день назад +1

    Yaani kai,,,,utakuja kulia kilio cha paka mwizi heeeee hujui tu kitu candy anakusukia

  • @LovelyCows-dq2uv
    @LovelyCows-dq2uv 21 день назад +1

    Ka2i nzuri sana bibi 2u 🎉🎉🎉🎉🎉 kendi sasa kimean2a kuku ramba

  • @Mwanamvua-ze5ls
    @Mwanamvua-ze5ls 21 день назад +3

    Chengine saa sita usiku jamni nzur sana mungu jalia zuu aonekane

  • @VillaviaChemutai-if2ry
    @VillaviaChemutai-if2ry 21 день назад +6

    Wakenya hoye🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @rehemamgeni203
    @rehemamgeni203 21 день назад +1

    Zuu naomba Like yako nakufatilia hap plzzz mpenz ❤❤❤❤

  • @MpashiKennedy
    @MpashiKennedy 21 день назад +1

    ❤❤Nazipenda saana movie zenu nakizuri munatoa haraka haraka na enough time thank you good job

    • @busatitv
      @busatitv  21 день назад

      🥰🥰🥰🙏🙏

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi 21 день назад +4

    Wapi nduru nimewahi leo wa kwanzaaà🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣kujeni tuone zuuu akipona 😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-dw7su2nh9r
    @user-dw7su2nh9r 21 день назад +4

    Nimechelewa kidogo hata3 😢 basi

  • @Aziza..Shaban
    @Aziza..Shaban 21 день назад +1

    Wooow❤❤❤kai weka hata dakika 30 bro. Filamu tamu sana😊Mungu awatie nguvu

  • @hanifahanifa7708
    @hanifahanifa7708 21 день назад +3

    Leo nimekuwa wa kwanza jamani😂 napenda love story

  • @JumaAmani-uh4vq
    @JumaAmani-uh4vq 21 день назад +2

    Leo nimewaacha makusudi muwahi no kwasababu nyote uwa ni wa kwanza 😂😂😂😂😂ukiwa wa 300 uwa uoni kwa au auelewi

  • @janetnasimiyu8646
    @janetnasimiyu8646 21 день назад +1

    Hii imenifurahiaha kidogo imenpa matumaini kuwa zuu atapona good job guys much love from kenya

  • @asmamohd5769
    @asmamohd5769 21 день назад

    Jamani kumbe imekuja na hamujaniita kesho siwapi pipi zangu tena tem shaghala nyie musha ona uku kitu kisha kuja mda kumbe😢😢😢😢😢 like basi

  • @janethkimath5275
    @janethkimath5275 21 день назад +4

    Ila nyie mko na shida gan jamn?

  • @RehemaElendela
    @RehemaElendela 21 день назад +3

    Mimi wa kwanza Naomba like ❤❤❤❤

  • @FaridaMahami-zw1mv
    @FaridaMahami-zw1mv 21 день назад +1

    Kaz nzuriiii sanaaa,hongereniii🎉❤

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 21 день назад

    Kai kai acha ushaga msikilize bwana mpago ww bibi mau yako 🌹💐🏵️🏵️ nimependa hyoo bibi

  • @manojira5469
    @manojira5469 21 день назад +4

    Tem Zuu twendeni uku 🏃🏃

  • @wasule6253
    @wasule6253 21 день назад +3

    Candy kula chuma hicho bibi zuu mkomeshe huyo maana hakujui vizuri

  • @PrincessPendo-mc4dm
    @PrincessPendo-mc4dm 21 день назад +2

    ❤ kutoka 🇰🇪 wapi like zangu

  • @user-xb2hx8rf2v
    @user-xb2hx8rf2v 21 день назад

    Sasa saai kendi kimekuramba,Bibi ya zuu sio mchache, waaaah congratulations guys,mnajua Kazi.Mungu aendelee kuwapa nguvu za kuendelea kupambana jamani 🙏🪴💞

  • @japhethngui6139
    @japhethngui6139 21 день назад +3

    First to view....nipeni likes .....team kai

  • @JastonnaruweniJaston-cu5rm
    @JastonnaruweniJaston-cu5rm 21 день назад +3

    Leo mmewahisha sanaa nawakubali

  • @TumainiJaphary
    @TumainiJaphary 21 день назад +1

    Yajayo yanafulaish😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ii tamthilia tam san cjui mwisho wa candy utakuwaj

  • @nadzuwazidi
    @nadzuwazidi 21 день назад

    Namini daa zuu atapatikana na atapona anayeamani gongalike🎉🎉🎉🎉

  • @MariamSalim-vk6dw
    @MariamSalim-vk6dw 21 день назад +10

    Kila mmoja n wa kwanza na anaomba like mbona msitoe maoni kulingana na move yenyewe

  • @Amina-lz1ht
    @Amina-lz1ht 21 день назад +6

    Wakwanza Leo like zangu

  • @user-su5oi5wb6c
    @user-su5oi5wb6c 21 день назад

    😂😂😂😂 candy kimekuramba leo na bdo ndo kwanza move yinaanzia hpo wenye wanamkubali bibi like hapa jaman ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-oe7xe1dv3w
    @user-oe7xe1dv3w 21 день назад

    Mm niwa mwisho😅nipeni hizo like 😅😅nyanyake zuu ameamua kuvaa sura ya kazi🤜🤜🤜

  • @user-qv7dm4ok6g
    @user-qv7dm4ok6g 21 день назад +3

    Tujuwane wale tunao fatilia hii house girl

  • @RehemaElendela
    @RehemaElendela 21 день назад +2

    Nawapenda sana nawakubali 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HappyJumwa-h9e
    @HappyJumwa-h9e 21 день назад

    Waash mambo yamebadilikaa ..... 😮😮😮Bibi ya zuu kaamuaaa anataka mjukuu wake ..candy candy tafta plam b 😅😅😅

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o 21 день назад

    Huy Bibi Kwa uchawi namuaminia Maan kweny move ya boss mchawi wee namp ❤

    • @peterphilipo5103
      @peterphilipo5103 21 день назад

      Alikua na cheo kikubwa Sema seson 2 Bado haijaanza

  • @user-du1tg6jm3n
    @user-du1tg6jm3n 21 день назад +3

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉 number 3