HAJI MANARA AZUNGUMZA MANENO MAZITO ZAIYLISSA KAZIDI WIVU KWENYE SIKU YA BIRTHAY PARTY YAKE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
    #alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
    #BinaTv #WasafiTv #ManaraTv

Комментарии • 58

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Месяц назад +16

    Manshallah hongereni mungu awaalinde na ndoa yenu 🙏🙏

  • @lilianmungure8374
    @lilianmungure8374 Месяц назад +2

    Ila Manara Mungu akusaidie sana,unasifia mkeo badae unamwacha,acha tabia ya kuoa na kuacha Mungu hapendi hiyo tabia,Nawaombea maisha mazuri Mungu awatunze

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Месяц назад +3

    Mwenzangu na mie ungekuwa unaandika speech kwenye karatasi shogangu ila leo umenifurahisha umekaa haswa kama mke mashaallah!

  • @DeoSeme-qe9qq
    @DeoSeme-qe9qq Месяц назад +2

    Hongereni,Msisikilize maneno ya walimwengu Pendaneni saaaaana❤❤❤❤❤❤❤

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Месяц назад +10

    Manar wake zako wote huwa unawasifia ivovo

  • @MaryamAdam-nc7ho
    @MaryamAdam-nc7ho Месяц назад +1

    Mungu awabaliki muishi muda mlefu sn napenda hivyo nawapenda sn Alla kalim

  • @RisasiRisasi-uj8fk
    @RisasiRisasi-uj8fk Месяц назад +2

    Hajji anazungumza ukweli uliopo,yakibadilila atasema,mimi nimempenda sana haji,yupo muwazi

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад

    Mashalah..mara nyingi majina ya herufi ya z ni waaminifu na wanawivu Sana na wakipenda wanapenda kwel..napia herufi ya z wanabahati Sana yakuolewa

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Месяц назад

    . Mashaallah Allah azid kuwapa masikilizano katika safali yenu hii

  • @esthernekoye-ly5cx
    @esthernekoye-ly5cx 24 дня назад +1

    Mbona kama zai anafanana na yammi

  • @Malangalusaede
    @Malangalusaede Месяц назад +3

    God bless

  • @angelaminde1247
    @angelaminde1247 Месяц назад

    ❤❤❤❤hongera sana

  • @Zainabumsafiri
    @Zainabumsafiri Месяц назад

    Mashallah mung awalinde ktk kila wakat awaepushe na husda na hasdi❤❤

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d 22 дня назад

    Mkiachana hutaebdelea kuwa meneja wake😂😂

  • @SaudaKhamisi-vb8uv
    @SaudaKhamisi-vb8uv Месяц назад

    Hongera sna

  • @HhBbh-tn5uh
    @HhBbh-tn5uh Месяц назад +9

    Huna lolote na yule mwengine ulimsifia kupita maelezo😮😮😮😮😮

    • @teddymutani856
      @teddymutani856 Месяц назад +3

      Yani manara anapendaga hadi anaoza unaeza kuta huyo anayempend yy hata moyoni hayumo angepunguza kupenda kwa kuonesha wazi ndo maana huea eanamyenda

  • @hafsasaid9666
    @hafsasaid9666 Месяц назад +2

    In shaallah kwauwezo wa Allah mtadum kifo tu kitawatenganisha

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Месяц назад +2

    Manara atadumu na uyu mke kwa sababu zai hn mappepe na sio muongeaji sn

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Месяц назад

    ❤❤❤

  • @RahelSimon-bm8tm
    @RahelSimon-bm8tm Месяц назад

    Nasubiri siku niko gerezani nipate sifa zangu

  • @saidasaid5855
    @saidasaid5855 Месяц назад +1

    Aibu kwa kweli eti mtoto wa kiswahiki😂😂😂na masimango ya kuchomekea😂😂😂eti ulaya mara kumi😂😂😂

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo Месяц назад +1

    😂😂 hapo kwenye muda zai badilika, ila kwenye wivu nimependa zai zidisha, tonge Hilo upokonywe tonge mdomoni😂😂😂

  • @SuuhPrecious
    @SuuhPrecious Месяц назад

    Huyuu zay anakupenda xanaaaaaaaa mwanamke mwenye wivu nimapenz

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Месяц назад +4

    Basi haji usijimalizi ukisifia saana unaharibu

  • @aishahasan7722
    @aishahasan7722 Месяц назад +3

    Hata Rubby alimsifia hivohivo lkn wapiii😢😢,, achakujimaliza Hajji hukawii kubadilika😂😂😂

    • @user-gd8cx2ig9p
      @user-gd8cx2ig9p Месяц назад +3

      Mpaka leo anampenda Ruby mimi nampenda Ruby ni mtulivu ,

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija Месяц назад

      Kweli haji huu wapii

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Месяц назад +3

      Anaweza kuampole akawahana heshima namume japo haji anamapungufu yake 😂😂

  • @ChritinaMasenga
    @ChritinaMasenga Месяц назад

    Ukipata kujaliwa ,na kuheshimiwa na mtoto wa ma mkwe ushukuru,maana Pesa inatafutwa lakini faraja inapatikana kwa mtu,deka zai wangu,tulia na ndoa yako mama.

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Месяц назад +2

    Hongera sana 😂😂😂

  • @ZainabAbdullah-bc6pu
    @ZainabAbdullah-bc6pu Месяц назад +1

    Sisi letu jicho😂

  • @rehemafeysali4444
    @rehemafeysali4444 Месяц назад +1

    God bless ❤

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Месяц назад

    Km kawaida yko bugati kupongeza kunaendana na kuchamba😂😂😂😂😂😂

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Месяц назад

    Kaka ongea kidogo tu 😂 wana wake Hawa someki atakupga tukio ohooo

  • @aiaiomar5623
    @aiaiomar5623 Месяц назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @frankmichael411
    @frankmichael411 Месяц назад

    Jezi yangu nitumie

  • @radicaemmyradia
    @radicaemmyradia Месяц назад

    Wambea wakuweka hayo maneno kesho tujuane🤣🤣🤣

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 Месяц назад

    Bakiza MANENO, hukawiii KUGEUKA

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад

    Ila sijapenda swala la kumsema mkeo kuwa anamadhaifu sijapenda...apo kwel kuhusu yanga nimependa...usipokuwa yanga kwel juha🤣🤣🤣🤣Aya majuha mpooo??

  • @user-zj1ep6hn4p
    @user-zj1ep6hn4p Месяц назад

    Kuwa na akba ya maneno uta zalilika hawa viumbe hawajawah aminika bro

  • @salama1113
    @salama1113 Месяц назад

    Kikiumana hayo maneno utayakataa hukusema ww😂😂😂😂

  • @jacquelinelukumay9535
    @jacquelinelukumay9535 Месяц назад

    Utulie sasa

  • @user-qr6rr3vl7d
    @user-qr6rr3vl7d Месяц назад

    😅😂😂😂

  • @maryammohd8717
    @maryammohd8717 Месяц назад

    Mashaallah

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Месяц назад

    Zai katoboa

  • @FortunataMasigati
    @FortunataMasigati Месяц назад

    😂😂😂😂

  • @juliennenzeyimana3274
    @juliennenzeyimana3274 Месяц назад

    Tunasubiri muachane fimbo iri mpiga mwenzako naweye itakupiga tu

  • @Alykondo99
    @Alykondo99 Месяц назад

    Mzushi kila siku wasifia

  • @patimaissa8572
    @patimaissa8572 Месяц назад +2

    Hamna kitu apa

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Месяц назад

    Una sifa mbwa ww

  • @SanuraIssa
    @SanuraIssa Месяц назад

    ❤❤❤

  • @user-jy6pm7px7y
    @user-jy6pm7px7y Месяц назад

    ❤❤❤

  • @user-mv7km8lt5j
    @user-mv7km8lt5j Месяц назад +1

    ❤❤

  • @NewNew-ep5dq
    @NewNew-ep5dq Месяц назад +1

    ❤❤❤❤