ESHA BUHETI AMUUMBUA SHISHI SMS ZA SIRI KUNUNUA TUZO "KASHAKUFA SIKU NYINGI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 69

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Месяц назад +18

    Much love eshe mimi nimekula kwa Shilole na kwa Eshe .... Ila Eshe anajuwa sana ata mke wangu anapenda chakula cha Eshe na yeye ni mtu wa kuchagua sana mimi nilishangaa

  • @HamadMwagoani
    @HamadMwagoani Месяц назад +2

    Hii iwafikie shilole na esha nyote nawapenda wazuri nyote mashallah Mungu kawapa mifanano mpk kazi zenu Ila onyo kama waislam wenzangu tumeitwa Uma bora sababu ya kukatazana maovu kumrishana mema kauli ambayo sikuipenda ATA NIKIFA ASIJE MSIBANI N MBAYA SANA MAMA ZANGU SHISHI NA BUETI IYO SIO YA KUTAMKA MUSAMEENE ATAKAMA KILA MTU ATAANGALIA MASIHA YAKE PLZ KUMBUKENI KULU NAFSI IDHAAIKATUL MAUTI

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Месяц назад +19

    Shishi mkorofi hata kwa snura ilikua ivyo

  • @DalphinaMnyau-ho9vx
    @DalphinaMnyau-ho9vx Месяц назад +11

    Nakupenda sana eshe achana na Hao watu wanakuharibia endelea kukaa kimnya dada mkubwa allah atakujali❤❤❤

  • @Atb300
    @Atb300 Месяц назад +16

    Esha anaongea classic kbs❤❤❤

  • @user-yw2nf5dr8x
    @user-yw2nf5dr8x Месяц назад +11

    Ww dada eshe anajua kupika nyinyi JAMANI

  • @MairaAlly
    @MairaAlly Месяц назад +7

    Sister wangu moyo mweupe sana #shombe

  • @alsam4881
    @alsam4881 Месяц назад +27

    Shilole ni mshari sana na ana wivu sana haswa akiona mwenzake amemzidi mapishi au kuimba, kwasababu hapo zamani alikuwa akimchukia sana Snura, kwasababu alikuwa akiimba na kucheza kuliko yeye Shilole, na ndiyo hapo akaanzisha bifu na Snura na kuanza kumdhalilisha mwenzake mbele za watu wakati yupo jukwaani, Lakini Snura ni mtu mmoja mstaarabu sana na ana hekima na busara hajawahi kubishana na huyo mropokaji Shilole, kwahiyo Shilole aache chuki kwa wenzake akiona wana maendeleo au wamemzidi kitu fulani.

  • @SabraDivele
    @SabraDivele Месяц назад +3

    Namkubali sanaaa sanaaa da Esha much love to you

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Месяц назад +3

    Wajukuu wa mtume Allah ndie kinga tu nimeipenda hio Esha😊😊😊

  • @ZwainhOman
    @ZwainhOman Месяц назад +4

    Esha ww mpishi mzuri sana acha plesha

  • @NahimanaAisatah
    @NahimanaAisatah Месяц назад +2

    Esha uko vizuri nakupenda mabishi yako yanajitosheleza

  • @darking3634
    @darking3634 Месяц назад +4

    Esha bwana m nakupenda ivoivo,ila si umesema we mtu akikuletea maneno unamtaja haya tutajie huyo alokutumia izo message😅😅😅😅m nakupenda buanah

  • @salmakwayu3951
    @salmakwayu3951 Месяц назад +3

    Shilole ni mshari sana

  • @mwananganzi
    @mwananganzi Месяц назад +3

    Dada kibonge kayakanyaga

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Месяц назад +6

    😂😂😂 esha bwana eti siyo mdogo yule ni mkubwa anajidogosha 😂

  • @__1184
    @__1184 Месяц назад +3

    Esha upo jjuuu

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Месяц назад +3

    😂😂😂😂😂dah eti kata kona anadondoka 😅😅😅dah sema wew na shishi ,mnene shishi😅😅

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Месяц назад

    Bzuhet
    ❤❤❤❤❤❤superstar wa kupika

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Месяц назад +3

    Nanyinyi mamedia hapo mmefurahiya sana natena njomunazidi kuchochoya chocheya .tangiya mlianza kuchikonowa chokonowa simuishiye hapo . Ila kitu nilipenda Esha anaongeya kwaustarabu. Shishi anaongeya kavile anataka kupigana 😀😀

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Месяц назад

    Re fresh ❤❤

  • @happymaimu4330
    @happymaimu4330 Месяц назад +2

    Una akili sana Esha.Tena una ustaarabu,Shishi Mshari sana

  • @HappyWilson-i9f
    @HappyWilson-i9f Месяц назад

    Esha kipenzi acha iende mdogo wangu kimya pia ni jibu mshukuru Mungu kwa unachokipata watunze wateja wako wasiondoke

  • @MsabatoTindwa
    @MsabatoTindwa Месяц назад +1

    Huna baya jirani yangu uko vizur

  • @user-ky5wu4gc9g
    @user-ky5wu4gc9g Месяц назад +1

    Kaeni mezani muyamalize mshakua watu wazima mnawayumbisha wateja wenu pia acheni kutoleana siri

  • @MsabatoTindwa
    @MsabatoTindwa Месяц назад

    Huna baya jiran yangu ,nakukubali

  • @LilianJuma-r2l
    @LilianJuma-r2l Месяц назад

    jamani shishi mkorofi sana.hata Snura ilikuwa hivyo

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Месяц назад +3

    Shishi anataka zichapwe hilo naunga mkono mpambano tutalipia

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 Месяц назад +1

    Amekujaribu shishi ndomaana alijuaje unapaa kama hajakujaribu

  • @DelightfulFish-ps8ny
    @DelightfulFish-ps8ny Месяц назад +2

    Yeah chakula cha changa kama lote 😂

  • @AbduAbdu-s7i
    @AbduAbdu-s7i Месяц назад

    Buana tunapenda😂😂

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy Месяц назад

    Na sura mnafanana

  • @abdallamohamed3260
    @abdallamohamed3260 Месяц назад +3

    Dimond ndio huwaga anakataa tuzo za nyumban hazina vgezo wanapeyana tu

  • @user-sx1xi4yb2z
    @user-sx1xi4yb2z Месяц назад +3

    Harafu Eshe humfikii shishi kimaendeleo,so piga kaz usonge mbele acha kuongea sanaaaaaaaa

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow Месяц назад +1

      Maendeleo hayo kwiyoo! Dunian kusukumana unyonge kaburin

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Месяц назад

    Ana jidogosha🤣

  • @user-sx1xi4yb2z
    @user-sx1xi4yb2z Месяц назад +1

    Harafu mmeshakua watu wazima acheni utto nyie

  • @ngwashimalenya6412
    @ngwashimalenya6412 Месяц назад

    Nyie ni kina nani na kisasi Gani ambacho hamuwezi kupatana, kama unasali na hofu ya Mungu Kwa Nini umeyabeba moyoni na unasema hauwezi kupatana? Ni uchu wa masilahi na kujulikana ndio mnataka. Mtaongeana mpaka lini?

  • @gracekiondo2541
    @gracekiondo2541 Месяц назад +1

    Sasa mbona na wewe upo na mwili mkubwa na uzito uliozidi? hata kama yeye Shilole ni mnene zaidi yako,lakini wewe pia una mwili usiofaa kabisa! Kifupi wote muchukue hatua ya kuondoa uzito na manyama!

  • @asumaathuman6094
    @asumaathuman6094 Месяц назад

    Eshaa punguza mdomooo

  • @LeilaAbdull-jg6ho
    @LeilaAbdull-jg6ho Месяц назад +3

    Ila wewe dada nimuuaji

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 Месяц назад

    Ila Esha na wewe kwa nini usifanye yameisha kama mtu kakuibia hiyo siri basi shukuru Mungu yamepita 😮😮 fanya tuu biashara yako

  • @Verochanel123
    @Verochanel123 Месяц назад +4

    Wivu eti sina watu wakubwa Hahahah

  • @LeilaAbdull-jg6ho
    @LeilaAbdull-jg6ho Месяц назад +2

    Wewe nimugombanishi ulikua wapi kusema zaman unazan watu unaowaingiza humo mabif yaliyopita unawaleta kwenyemabifu yasasa siyokama wanapenda hawapendi

  • @keyla3641
    @keyla3641 Месяц назад

    Acheni ujinga mnajidhalikisha kufanya biashara yakuka sio lazima ujue kupika mnagombania tuzo wewe muongo haiko hivo km huna choyo ungenyamaza ungeongea hayo mengine

  • @Polyn.123
    @Polyn.123 Месяц назад

    Kafue nguo hiyooo kila int

  • @keyla3641
    @keyla3641 Месяц назад

    Chuki tu hana lokote waoiga kura gani hicho ndo kinekuuma

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Месяц назад

    Safi kabisa

  • @jsabood
    @jsabood Месяц назад +4

    Eshe. Mtu kama ana kiburi dawa yake mkate nyongo akuheshimu. Shilole kapata vidonge vyake. Mkomesheni akome. Uchebe ni mkweli sana. Aloyoyaongea ni ya ukweli. Romy alionewa sana. Shilole mungu hapendi ukibri. Yatampata mambo hakutegemea.

    • @user-sx1xi4yb2z
      @user-sx1xi4yb2z Месяц назад

      Mwachen shishi na life yake nyie nao fanyeni yenu

    • @jsabood
      @jsabood Месяц назад

      @@user-sx1xi4yb2z Shilole kapata kiburi cha kuwalipua watu. Akitoka kwa wanaume zake ana kwenda kumvaa mtu. Mara Eshe, mara AliKiba. Kesho nani atakuwa? Kwanza maneno yake yanatoka yanavyotaka. Yeye Nani amambiye Eshe sio mtanzania. Au anazungumza kwa niyaba ya watanzania. Azungumze yanayomhusu. Pesa zake za madeni halafu anaringa. Mwache Eshe amkomeshe akome kurukiya watu.

  • @sialo8624
    @sialo8624 Месяц назад +2

    Huyu dada hana akili timamu seriously

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Месяц назад +1

    Eshaw uko na chuki binaonekana

  • @asumaathuman6094
    @asumaathuman6094 Месяц назад

    Kwanza esha hatukuji wewe tunamjua shishi tumekujua kuhus hii ya tuzo

  • @keyla3641
    @keyla3641 Месяц назад

    Huyu mnafiki kweli tuzo tu anataka kutiawatu ubayani dina kandaa hii anasababu zake unamrejeshamtu nyuma na tuzo haiusiani na upishi upambanaji kuna wapishi wazuri wanapika kweli mnaouka nini nyie biriani vitunguu vimeungua tuzo ilikuwa upambanaji

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Месяц назад +3

    Shishi anataka zichapwe hilo naunga mkono mpambano tutalipia

    • @user-vo4lb5ik8h
      @user-vo4lb5ik8h Месяц назад +2

      WakishaziChapa wewe inakusaidia nini

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 Месяц назад

      Inanisaidia kutoona habari zao tena baada kutia adabu​@@user-vo4lb5ik8h