Padre Kamugisha: Uliyemsaidia ndiye anakugeuka/ Mwenye chuki haoni.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • kusikiliza Neno kila siku kwa mwaka mzima jisajili hapa: / @fr.josephat-sharinggo...

Комментарии • 134

  • @emanuelsalali5557
    @emanuelsalali5557 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe sanaaaa mtumishi wa MUNGU

  • @emmanuelmemba9834
    @emmanuelmemba9834 3 года назад +5

    Nabarikiwa sana kwa mahubiri yako baba, Mungu akubariki sana katika utume wako

  • @marcokyaruzi4720
    @marcokyaruzi4720 4 года назад +10

    Fr.Kamgisha endelea na kazi yako nzuri, mimi ninamshukuru Mungu kwa kufanyika faraja kwenye maisha yangu

  • @LeahMajaliwa
    @LeahMajaliwa Год назад

    Amina sana father ubarikiwe tumekimis uku dareslm tegeta salsala karibu sana

  • @renatusfmwendamnofu5234
    @renatusfmwendamnofu5234 2 месяца назад

    Tunashukuru mungu kwa wema wake kwa kile alichokipanda ndani ya mtumishi huyu F,Kamgisha na aendelee kuwa dawa ya maisha yetu ya liroho, sifa na utukufu wa mungu utawale.

  • @alistidespastory3108
    @alistidespastory3108 Год назад +1

    Baba ubarikiwe sana nafarijika sana na mafundisho yako yamenijenga kwa kias kikubwa.

  • @rebeccamwangi730
    @rebeccamwangi730 Год назад +1

    Following from Kenya.God bless you father.

  • @s0phialwassa574
    @s0phialwassa574 3 года назад +1

    Somo limenitia moyo sana fr. Nami nilimuuguza mtu miezi mi3 mwisho wa siku kaondoka bila kuaga

  • @SelestinFrancis-g5o
    @SelestinFrancis-g5o 16 дней назад

    Nabarikiwa sana na mahubiri yako.

  • @jenikalokaguo9973
    @jenikalokaguo9973 3 года назад +1

    Barikiwa sana Mwalimu wangu Dr. Fr.. Kamugisha

  • @godwin6325
    @godwin6325 4 года назад +8

    Naona kitu kikubwa zaidi ndani ya huyu mzee wa Kiroho..unafanya vizuri sana

  • @MinisterCod
    @MinisterCod 3 года назад +3

    Mafunzi mazuri sana Mtumishi wa Mungu!!Keep it up!

  • @kamwenemnogage3791
    @kamwenemnogage3791 4 года назад +5

    Well-done Rev. Fr. Dr. Kamugisha!

  • @abrahammwamruda3433
    @abrahammwamruda3433 3 года назад +2

    T.Y.K am very happy for the work of FR KAMGISHA it has make my faith may the LORD keep on using him

  • @samoragoodwin7309
    @samoragoodwin7309 3 года назад +1

    Nakupenda bure padri kamugisha mm si mromani lakini kuna dhahabu ndani yako mungu akutie nguvu ktk wito wako ulioitiwa

  • @christophermwikwabe4016
    @christophermwikwabe4016 3 года назад +6

    May the Almight be with you as we lestin your teaching.
    Let as all ask God to open our eyes

    • @felixmushi5381
      @felixmushi5381 2 года назад

      ⁰⁰0⁰⁰⁰⁰⁰⁰⁰⁰⁰⁰00000000

  • @battyomabene482
    @battyomabene482 3 года назад +3

    God is everything 👋➕🙏👭open eyes

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 3 года назад

    Nimewapenda wazee Embazibwa kigambo wanaonekna wameelewa somo kurko wakina mama

  • @rosekiwale8302
    @rosekiwale8302 3 года назад +3

    Be blessed Fr Kamugisha

  • @pascalkazungu8798
    @pascalkazungu8798 3 года назад

    Fr. Dr. Kamugisha unafanya kazi kubwa sana. Mungu akubarilki sana. Hapa naona ni Katika Kigango cha Kalagala

  • @anitabizimana8175
    @anitabizimana8175 3 года назад +2

    asante sana kwa neno la Mungu wenye masikio wamesikia.

  • @davidkamugisha1883
    @davidkamugisha1883 3 года назад

    Asante PADRE Kamugisha hongera kwa mafundisho yako yanatupa nuru ya kuelewa hata kama kuna ugumu wa uelewa Mungu abariki utume wako .Tummsifu yesu kristu/...

  • @adventinalaurent3999
    @adventinalaurent3999 11 месяцев назад

    Nimepata ujumbe. Asante kwa mafundisho.

  • @faustinkamugisha8747
    @faustinkamugisha8747  4 года назад +28

    Mtazamaji Mungu akubariki. Ukimuomba asinyamaze. Usisahau ku-subscribe na ku-share

    • @MnyikaWaChao
      @MnyikaWaChao 4 года назад +4

      Father it's good to see you preaching online. Your sermons inspired me as a young man every time I listened to you in the Catholic University of Eastern Africa Chapel between the year 2001 and 2005. Mungu akubariki Father.🙏

    • @agnesssimkonda5591
      @agnesssimkonda5591 4 года назад +1

      Amina

    • @tatyemmanuel1695
      @tatyemmanuel1695 4 года назад +1

      Father asante sana. May the Lord GOD continue to strengthen you to keep doing his GREAT WORK.

    • @rezegerezege691
      @rezegerezege691 3 года назад +1

      Amina Amina Fr.

    • @justuswaziri5691
      @justuswaziri5691 3 года назад +1

      Ubarikiwe sana Fr hakika TMCS Arusha tunakuhitaji sana, ukipata kutembelea huku jitahidi ututembelee

  • @NajmaBakari-wb3rx
    @NajmaBakari-wb3rx 4 месяца назад

    Chalom padre mimi niko mukristu Wa Burundi tunawomba mtutembeley nasi wakristu Wa paroisse saint Jean poul. Buterere chalom

  • @dapinitiative2451
    @dapinitiative2451 4 года назад +2

    Somo limenoga kwakwel, Mwenyezi Mungu akubariki Sanaa, karibu Mwanza

  • @samsongechamet5374
    @samsongechamet5374 3 года назад +1

    Ubarikiwe Father,mahubiri yako mazuri Sana.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 3 года назад +2

    Safi,padri amebadilisha mtazamo wa kuhubiri(ndani ya katoliki)

    • @tinanyange8000
      @tinanyange8000 3 года назад +1

      Nakuunga mkono ubarkiwe sana kwa kuliona hilo muombee sana Padre huduma yake isonge mbele zaidi

    • @gabrielsombi5441
      @gabrielsombi5441 3 года назад +1

      Nabarikiwa sana mahubiri yako karibu Arusha

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 3 года назад

    Ahsante sana kwa maubir mazr,, nilikuona kkkt Kijitonyama nakupenda sana

  • @giuseppinapaul4432
    @giuseppinapaul4432 3 года назад +1

    Safi Fr. Ubarikiwe

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 3 года назад +1

    Kweli kabisa Padre! Miji2 imesaidiwa Leo hii yamegeuka Ku,2angamiza,yakasahau mpaka Leo Leo yaloazima kwenda kufunga kichwani.

  • @rosechepkiyeny9703
    @rosechepkiyeny9703 24 дня назад

    I'm watching from Nairobi Kenya I'm blessed Fr. Dkt may you be blessed and please visit us here st. Michael langata

  • @anasiakarimi6251
    @anasiakarimi6251 3 года назад +3

    Fr. Kamugisha, we studied together at CUEA early in 2000. Am happy to see you here. May you be blessed father.

    • @gracemakanta367
      @gracemakanta367 3 года назад

      Im proud of you fr kamgisha may the almigh GOD be with you

  • @victoriabuzare5659
    @victoriabuzare5659 4 года назад +4

    Be blessed Father

  • @wilsonlameck4046
    @wilsonlameck4046 3 года назад +1

    Kweli Mungu akupiganie umalize safari vizuri!

  • @kelvinmukiza8858
    @kelvinmukiza8858 4 года назад +2

    Ahsante kwa habari njema. Nawezaje pata vitabu vyako

  • @franklinrutakuburwa8792
    @franklinrutakuburwa8792 4 года назад +1

    Mtumishi mungu akubariki kwa utume wako.Amein

  • @matinabaha3412
    @matinabaha3412 3 года назад

    Ahsante father nimefarijka kwa mahubiri yako ubarikiwe

  • @upendoj
    @upendoj 3 года назад +1

    Mungu Aendelee kukubariki, Kuna utukufu ndani yako, Wewe ni umetumwa na bwana wetu Yesu, Natafakari Siku ile ya Matawi, lile somo lisemalo : Kanileteeni Mwanopunda asiyepandwa mtamkuta nje ya nyumba: wewe ni yule Mwana Punda Yesu aliamua akutumie ili kutufikia sisi, Barikiwa baba.

  • @januaryritte904
    @januaryritte904 3 года назад

    Mtumishi wa mungubarikiwa Sana SoMo lako limeniingia

  • @martinasungi6731
    @martinasungi6731 3 года назад

    Nakuelewa Padri Mungu akubariki

  • @agnesgervas8070
    @agnesgervas8070 4 года назад +2

    Yani mahubili yalikuw mazur padre wtu hongr kwakutuhubilia neno la mungu tumeliew mpka hapo sisi ni watu wazima

    • @annafeeley6505
      @annafeeley6505 3 года назад

      Fr. Kamugisha Mungu amekuita kua mfuasi wake kweli nimefurahia szna mahubiyáko laiti ningekua kwenye Parokia yako unao Unaopako wa kiroho T SYK;_ Padri Kamugisha

  • @pendochuwa8587
    @pendochuwa8587 3 года назад

    Mungu akutie nguvu padri

  • @verostaherman4952
    @verostaherman4952 3 года назад

    Nabarikiwa mnoooo na mahubiri yako baba

  • @EdinaRutela-xv9sv
    @EdinaRutela-xv9sv 2 месяца назад

    Amina

  • @gosbertrevelian1463
    @gosbertrevelian1463 3 года назад

    Baba Padre Kamgisha Ubarikiwe kwa kazi unayoifanya

  • @LucasEmanuel-bn6mo
    @LucasEmanuel-bn6mo 3 года назад

    Nimtu mzima hongera sana baba yetu waroho mafundisho yako nayapenda

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel5239 2 года назад

    Asanteee

  • @terryveronica3864
    @terryveronica3864 3 года назад +2

    Wow, the truth has to be aired out, thank you Fr. Kamgisha, God bless you

    • @davidpwele8206
      @davidpwele8206 3 года назад

      0

    • @frolachristiani6830
      @frolachristiani6830 2 года назад

      Tumsifu yesu kiristu baba badri tunakushkru sana kwa ujumbe mzuri sana tunamba mwenyez mung akupe maisha marefu Amina

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 4 года назад +2

    Amen FR KAMUGISHA

  • @manfredmtitu6061
    @manfredmtitu6061 3 года назад

    Baba padre uko vizuri

  • @brayanpaul3447
    @brayanpaul3447 4 года назад +1

    Love you so much

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 3 года назад

    Nabarikiwa sana

  • @fredyrutachunzibwa3929
    @fredyrutachunzibwa3929 4 года назад +2

    More videos Fr..thankx alot

  • @fabiolapanga8680
    @fabiolapanga8680 3 года назад

    Well done Fr Kamugisha!

  • @anordizdory3427
    @anordizdory3427 4 года назад

    Baba asante kwa neno

  • @veronicaalfred5739
    @veronicaalfred5739 3 года назад

    Asante sana BABA

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 4 года назад

    Fadher ua unanikosha sana. Mungu akupe afya njema.

  • @yohanakisoka6165
    @yohanakisoka6165 3 года назад

    Asante baba

  • @ainonlinetv8863
    @ainonlinetv8863 3 года назад

    Baba padre umegusa penyewe..karibu Dar uje uutuhubil

  • @JacklinewidoAguti
    @JacklinewidoAguti 6 месяцев назад

    Amen

  • @justermutayoba2521
    @justermutayoba2521 3 года назад +2

    Kwakweli father unanifanyaga nisikilize audio zako kwasababu ya maubiri yako licha yakuwa mm ni mchungaji ongera mtumishi wa Mungu

  • @fredmselle2227
    @fredmselle2227 4 года назад

    I love u father krb moshi

  • @crepinakatundu1831
    @crepinakatundu1831 3 года назад

    Amina.Father.

  • @augustinokatisha3332
    @augustinokatisha3332 2 года назад

    Amina baba

  • @marcomathias8099
    @marcomathias8099 3 года назад

    Upo vzr father kaza but

  • @veronikaraphael3272
    @veronikaraphael3272 3 года назад

    Bwana akupake mafuta mabichi kila leo ulijenge kanisa la Mungu

  • @filbertkato988
    @filbertkato988 4 года назад

    Aksante baba naliona kanisa la kalagala

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 4 года назад +1

    Naomba kuuliza hilo kanisa lako FR liko wapi, yaani mkoa gani na wilaya ipi, asante sana kwa mafundisho.

    • @fatumamaiga8496
      @fatumamaiga8496 3 года назад

      Huyo ni Padre wa Romani Yuko Bukoba

    • @priscajoseph9900
      @priscajoseph9900 2 года назад

      Liko mkoa wa Kagera wilaya ya Missenyi kata Minziro

  • @aminatabakari2741
    @aminatabakari2741 4 года назад +1

    🙏🙏🙏

  • @dapinitiative2451
    @dapinitiative2451 4 года назад

    Ameni.

  • @mwitaboni3752
    @mwitaboni3752 3 года назад

    Ameeeeeeeeen

  • @jamesbilibwa663
    @jamesbilibwa663 4 года назад +1

    😀😀 Amina 🙏

  • @gasirigwaaloyce8739
    @gasirigwaaloyce8739 3 года назад

    Tumsifu yesu kristo

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 года назад

    Wakati wa Upadrisho nilikuwapo....

  • @costacemwangolwa181
    @costacemwangolwa181 3 года назад

    Ameen

  • @mshangamjemmas3793
    @mshangamjemmas3793 3 года назад +2

    Wewe ni mtuuuu mzimaaa🙏🏿🙏🏿😂😂

  • @ponsianonyangachi6805
    @ponsianonyangachi6805 4 года назад +1

    tupe macho

  • @emilianeseverinemsemwa6993
    @emilianeseverinemsemwa6993 3 года назад

    Ni kweli kutazama si kuona

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @gracejohn886
    @gracejohn886 3 года назад

    Padre umenifrahisha sn sababu nasikia, japo Sina uhakika Kwamba watu wa bukoba wanapenda Sana sifa 😆😆😆😆😆🤣 jamani tujilekebishe watu wote wenye hizo tabia za kujikweza.

  • @dativadiocles2714
    @dativadiocles2714 3 года назад +1

    Tata wakola ekigambo twakiulila

  • @brayanpaul3447
    @brayanpaul3447 4 года назад

    Kamugisha

  • @pitasomion9093
    @pitasomion9093 3 года назад

    Peter simion

  • @mainguburemo5947
    @mainguburemo5947 3 года назад

    mbona waumini ni mama watu wazima na watoto???

  • @syriacussylivester4666
    @syriacussylivester4666 3 года назад

    Aminaaa

  • @anethsanga4259
    @anethsanga4259 3 года назад

    Barikiwa Father Kamugisha.Nakuelewaga saana

  • @MarysianaPeter
    @MarysianaPeter 5 месяцев назад

    Amina

  • @zephanialubangala5504
    @zephanialubangala5504 3 года назад

    Amen

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 года назад

    Wakati wa Upadrisho nilikuwapo....

    • @thomasmlingi3105
      @thomasmlingi3105 3 года назад

      Well done Fr Faustin for your wonderful understanding of the gospel. Keep it up father.

  • @jackhaule2111
    @jackhaule2111 3 года назад

    Amina

  • @jeffreybubu6437
    @jeffreybubu6437 3 года назад

    Amina

  • @alidkiyeyeu2221
    @alidkiyeyeu2221 4 года назад

    Amina

    • @johnchacha5679
      @johnchacha5679 4 года назад

      Hongera paroko ni kweli unaemsaidia anakugeuka

    • @felicianmkiza5270
      @felicianmkiza5270 3 года назад

      Mungu akupe maono zaidi na hongera kwa kukubali kumtumikia Mungu katika mazingira hayo

    • @silahiddenpain1869
      @silahiddenpain1869 3 года назад

      Somo zuri sana