WOLPER Avunja UKIMYA "NDOA YANGU INA HALI MBAYA SANA /SIELEWANI NA MUME WANGU"
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania @wolperstylish ametoa ya moyoni kuwa "Hana maelewano mazuri na mume wake toka mwaka jana mwezi wa 6"
.
Wolper anasena ni miezi 9 sasa ndoa yake na @richmitindo inapumulia mipira. Hashangi taarifa zozote kuhusu mume wake kwa sasa kwani wanalea watoto.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Wolper #Richmitindo
Nmekupenda wolper Kwa majibu yako na uvumilivu wako Kwa kweli ww umekomaa kiakili ata maadiki❤❤ I yani umenifunza kitu kikubwa
Wolper miwani daah… lkn pole kwa matatizo kipenzi. Nakupenda saana Wolper.❤
Hiyo miwani Kali sana
Pore sana Madam
Sasa mambo anayoulizwa na waandishi mbona hayaendani na huyo aliyeweka hela hapo nyuma .Nacharo hawakutendei haki kabisa😢
Mambo ya ndoa zenu muwe mnatulia nayo hukoo hata sisi mnaotueleza tunayo yetu hatuna cha kuwasaidia ila mnatuchanganya tu mnadhani ndoa ni mchezo? Hakunaga ndoa rahisi.
Wanaume wa sikuhizi na balaaa mungu atakulipia lea watt wako
Ndoa nazo mda mwingine usione watu wanacheka ndan moto unawaka😢
❤❤❤❤❤ mungu azidi kukutunza
Pole dada mm nishaachananae nalea watto wangu
haya mambo haya
Shikamooo ndoa
Vumilia mama
Kipenzi jitahidi kujifunza kukaa kimya nijibu tosha.malaya haogopi kuvunja wala kuvuluga ndoa yamtu.labda nayeye anahitaji nafasi yako
Funzo, mkiona mange akichamba woman in general msishangilie cause hujui kama chako ni kesho
Sasa huyu miaka miwili tuu kwa ndoa anasema amefika stagi ya tatu.....bado hujaliona dada!!!! Miaka bado!!!! Mutateta. Sana!!!
Nipo stage ya tatu
Ila nyie mnaopewa ubalozi mjifunze mnapokuw kwenye ubalozi ongeleeni ubalozi si mmelipwa kwa matangazo au kuja kueleza taarifa zenu binafsi mimi naona kama sio sawa.
Atakuwa ameongea na nacharo ndomana kafanya interview
huyuu dada ni msungoo na asiye jua maan usimwambie maan msee san
Hela mingi akili za mbu! Kazi ni kukulana tu and lack of very basic school education