WOLPER Avunja UKIMYA "NDOA YANGU INA HALI MBAYA SANA /SIELEWANI NA MUME WANGU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania @wolperstylish ametoa ya moyoni kuwa "Hana maelewano mazuri na mume wake toka mwaka jana mwezi wa 6"
    .
    Wolper anasena ni miezi 9 sasa ndoa yake na @richmitindo inapumulia mipira. Hashangi taarifa zozote kuhusu mume wake kwa sasa kwani wanalea watoto.
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #Wolper #Richmitindo

Комментарии • 21

  • @user-mh4ix7it7e
    @user-mh4ix7it7e 6 месяцев назад +1

    Nmekupenda wolper Kwa majibu yako na uvumilivu wako Kwa kweli ww umekomaa kiakili ata maadiki❤❤ I yani umenifunza kitu kikubwa

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 6 месяцев назад +3

    Wolper miwani daah… lkn pole kwa matatizo kipenzi. Nakupenda saana Wolper.❤

  • @roseb8052
    @roseb8052 6 месяцев назад +1

    Pore sana Madam

  • @hildajoel5
    @hildajoel5 6 месяцев назад +1

    Sasa mambo anayoulizwa na waandishi mbona hayaendani na huyo aliyeweka hela hapo nyuma .Nacharo hawakutendei haki kabisa😢

  • @ShangweSylus-nf6we
    @ShangweSylus-nf6we 6 месяцев назад +1

    Mambo ya ndoa zenu muwe mnatulia nayo hukoo hata sisi mnaotueleza tunayo yetu hatuna cha kuwasaidia ila mnatuchanganya tu mnadhani ndoa ni mchezo? Hakunaga ndoa rahisi.

  • @fathimadaid3429
    @fathimadaid3429 6 месяцев назад

    Wanaume wa sikuhizi na balaaa mungu atakulipia lea watt wako

  • @gracengunga348
    @gracengunga348 6 месяцев назад +1

    Ndoa nazo mda mwingine usione watu wanacheka ndan moto unawaka😢

  • @Joyce-qf5px
    @Joyce-qf5px 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤ mungu azidi kukutunza

  • @SadakatiRamadhani
    @SadakatiRamadhani 6 месяцев назад

    Pole dada mm nishaachananae nalea watto wangu

  • @lovenesmaile3041
    @lovenesmaile3041 6 месяцев назад

    haya mambo haya

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf 6 месяцев назад +1

    Shikamooo ndoa

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 6 месяцев назад

    Vumilia mama

  • @annarobert3131
    @annarobert3131 5 месяцев назад

    Kipenzi jitahidi kujifunza kukaa kimya nijibu tosha.malaya haogopi kuvunja wala kuvuluga ndoa yamtu.labda nayeye anahitaji nafasi yako

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 6 месяцев назад

    Funzo, mkiona mange akichamba woman in general msishangilie cause hujui kama chako ni kesho

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 6 месяцев назад

    Sasa huyu miaka miwili tuu kwa ndoa anasema amefika stagi ya tatu.....bado hujaliona dada!!!! Miaka bado!!!! Mutateta. Sana!!!

  • @Ambeniwatano
    @Ambeniwatano 6 месяцев назад

    Nipo stage ya tatu

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 6 месяцев назад +1

    Ila nyie mnaopewa ubalozi mjifunze mnapokuw kwenye ubalozi ongeleeni ubalozi si mmelipwa kwa matangazo au kuja kueleza taarifa zenu binafsi mimi naona kama sio sawa.

    • @norahkyando8809
      @norahkyando8809 6 месяцев назад

      Atakuwa ameongea na nacharo ndomana kafanya interview

  • @OmanBuraimi-wl4tm
    @OmanBuraimi-wl4tm 6 месяцев назад

    huyuu dada ni msungoo na asiye jua maan usimwambie maan msee san

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 6 месяцев назад

    Hela mingi akili za mbu! Kazi ni kukulana tu and lack of very basic school education