FULL VIDEO: WOLPER NA RICH MITINDO WALIVYOFUNGA NDOA KANISANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 224

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Год назад +69

    Maisha yanabadilika Sana MUNGU Kwanza utakuta unahangaika na mahusiano kumbe sio wako. wako wa ubavuni MUNGU kamuweka mwisho 🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️jina la bwana libarikiwe milele 💋💋❤️ hongera na ikawe BARAKA na Amani na utulivu na upendo 😘😘😘😘

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 Год назад +18

    Huyu ndiye uliyepewa na Mungu mwanangu Wolper. Mungu awatunze vzr na uzao wenu.🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤

  • @auntmakochela4202
    @auntmakochela4202 Год назад +19

    MashaAllah MashaAllah 😘😘😘😘 ndoa tamu nyie asikwambie mtu

  • @supertallone1902
    @supertallone1902 Год назад +6

    Leo ni birthday yangu jamani💕19November Hongera dada Jack! Umetoka mbali na hapa ulipofika zidi kumshukuru MUNGU. Mimi ni mmoja wa wale niliokua nikikuombea uwe furaha na fanaka katika maisha yako!
    Kamtunze mumeo dada hongera sanaaa❤

  • @maishayangu9216
    @maishayangu9216 Год назад +5

    This has been the part i was looking for. Dada Jackie. Mungu ni mwaminifu na kwa yote umepitia na wote waongo wamekusema siku nyingi sasa aibu ni yao, kwani Mungu mwenyezi ndiye umchagulia mtu amfaaye. Tunza ndoa yako na mbarikiwe nyote na mumeo kwa ndoa na familia mmeianza. Mungu ni mwema!

  • @happybanda4674
    @happybanda4674 Год назад +30

    Watu wakiwa wanafnya jambo laeli inabidi kuwaombea nasio kuandika ujinga

  • @sacg9783
    @sacg9783 Год назад +8

    MUNGU awabariki ktk ndoa na maisha yenu nimependa mnoo🤝🙏🙏🙏

  • @MaaneML
    @MaaneML Год назад +10

    Gaun la bi harusi Jack la kiwango la heshima. ♥️♥️♥️♥️

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi6244 Год назад +6

    Mungu awabariki nawatakia maisha ya amani na furaha naomba na wengine muige kuliko kudanganyana

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 Год назад +4

    Ila Jack kapendezaaa nyiee😋😋 kwanza gauni n la kiheshima sanaaa

  • @eppiemodest
    @eppiemodest Год назад +11

    Amazing wedding I have ever seen before. Look at wedding dress. Mmmm ni ya ghali sana. Kwa kweli Wolper kajiandaa kisawasawa. Fanya sadaka ya shukrani kwa kufanikisha ili Mungu azidi kuimarisha ndoa yenu. Hongera Jackline Wolper. Wachaga mpo. Hawanaga dogo kwenye sherehe hasa za ndoa. Congratulations again and again.

  • @mawazomwamba2667
    @mawazomwamba2667 Год назад +7

    Hongera Wolper umependeza sana ❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥💋💋💋💋💋💋

  • @castismaruga4509
    @castismaruga4509 Год назад +2

    Hongera Sana. Na ikawe Heri ndoa yenu🙏🙏🙏. Nawaombea kuyaishi maagano yenu mliyoagana mbela ya Mungu.

  • @scollantandu6278
    @scollantandu6278 Год назад +4

    MUNGU BABA ukaibariki ndoa hii ikadumu, hadi kifo kiwatenganishe AMEN 🙏🙏🙏♥️

  • @lovenesslameck7631
    @lovenesslameck7631 Год назад +1

    Dah nawapenda nyie watu bac2 mwenyez Mungu awalinde na awakinge na watu wabaya upendo na amani zikatawale ndani na njee ya ndoa yenu😍😘💞💞

  • @solsimaniakanam7843
    @solsimaniakanam7843 Год назад +7

    Mimi namushukuru Mungu kama dadayetu amefikiyahapa hebuasahauyote aishina mumewake salama hakinivema kuishina munewako dadaa

    • @saidimagala15
      @saidimagala15 Год назад

      Kwautabili Wang was leo konde akiangaria video hii ataria Mana alivyokuwa anakuchezea araf akakubwaga du! Mana maex wakiume hawapendag kutuona tufanikiwe hongera dada mmependeza Sana wanao mpenda wolpar piga kerereeeee

  • @mattyhappy1581
    @mattyhappy1581 Год назад +3

    Hongereni sana Mungu akawe pamoja na nyie,,mnafundisha na wengine thas nice

  • @rosemery3017
    @rosemery3017 Год назад +2

    Jmn wangapi wameona maharusi wakiomeana aibu kama vile ndio wamejuana Leo haki vile kuna ka filling nimekasikia siwezi hadithia maana ni kafilling ka milele hako Yan nimefurah kama ni Mimi naolewa mungu awape maisha marefu na baraka tele kwenye ndoa Yao 🍎😍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘

  • @saidakwamboka4739
    @saidakwamboka4739 Год назад +1

    Kutoka Kenya kwaza nitulivu yaani nimeipenda sana dadangu mungu akupariki mbaka madui washangae ❣️❣️❣️❣️❣️❣️👌👌👌👌👌🔥🔥🔥🔥

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 Год назад +4

    Hongera sana Mr & Mrs Bruno

  • @janefrolakalinga5664
    @janefrolakalinga5664 Год назад +1

    Hongeren sn mlioendeza mno M,Mungu akawabarik ndoa yenu ikawe ya heri cku zote za maisha yenu

  • @fatmabaruti8638
    @fatmabaruti8638 Год назад +3

    Mashaaaallh.. hongereni sana shetani na akatwe miguu asiweze kufika kwenu.mungu awajalie muombe siku zote.

  • @aishamother9943
    @aishamother9943 Год назад +1

    Nakumbuka aliposema, amepata the best ,mwanzo alikuwa anatembea na vichaa vichaa 😀😀😀😀mungu hawatangulie kwenye ndoa yenu Ameena

  • @filmanchimbi1190
    @filmanchimbi1190 Год назад +1

    Hongera Sana rich na wolper Kwa maamuzi yenu mbarikiwe Sana muwalee watoto wenu ktk misingi ya kuwa na hofu na mungu

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Год назад +5

    Ziba masikio, bwana na bi harusi mmependeza mno MUNGU AILINDE NDOA YENU.

  • @saidingailenairoshi3194
    @saidingailenairoshi3194 Год назад

    Pongezi sana kwenu wanandoa mungu awajalie makuu kwenye ndoa yenu na maisha marefu yenye furaha siku zote za maisha yenu 💗💗

  • @glorydaniel8624
    @glorydaniel8624 Год назад +1

    Hongera dada jack hatimaye umepata fungu lako

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 Год назад +3

    May GOD guide this marriage in Jesus name l pray Amen 🙏🏽🙏🏽🎁💞😍💓💍👜

  • @rosettenadine452
    @rosettenadine452 Год назад +3

    Hongera dada Mungu akujaliye🥳🥳🥳👌👌👌

  • @precioussilungwe7365
    @precioussilungwe7365 Год назад +4

    Kanisa Katoliki la Dar inamaana wana mu unvail bi harusi ambaye tayar alishazaa???
    Bi harusi akifunikwa na Vail that means she is a virgin.
    Sasa Wolper wangu watoto wawili bado unafunikwa vail maana na heshima ya vail imeshuka.
    By the way welcome into the union,much love kwenu.
    Pongezi sana kwa hiyo hatua hongereni mmependeza sana sana😍😍😍😍😍😍

    • @sabinaonline6575
      @sabinaonline6575 Год назад +3

      Ishu hapo ni ibada baraka za ndoa na sio mavazi usichanganye. Avae shela asivae haijalishi Mungu awabariki milele

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Год назад

      Sijaelewa hapo

    • @misschagga8042
      @misschagga8042 Год назад +1

      Ukifika mbinguni hiyo vail haipo mungu anakuona wewe tu muhimu ni jambo husika.

    • @shebyally2390
      @shebyally2390 Год назад +1

      Yan hay majitu yanayong'ang'ania bikra sijui wanatak kuila😞😞 kwahiyo watyu wasifunikwe vail😞 kisa ni vigego aah we polepole buana😞

    • @sabinaonline6575
      @sabinaonline6575 Год назад +1

      @@shebyally2390 😅😅

  • @Hahaha-yf4ug
    @Hahaha-yf4ug Год назад +1

    Hadi nimelia juu ya furaha kuusu worpa congregation my kipenzi❤️❤️❤️

  • @babunuru5397
    @babunuru5397 Год назад +2

    Congratulations dia may God bless your marriage Ameen

  • @kagoyemwambal9061
    @kagoyemwambal9061 Год назад +5

    Acha kuwaombea mabaya wenzio ..waachane Kwa nn..

  • @rittaoman1460
    @rittaoman1460 Год назад +1

    Tunasumbuka nawalesiyowetu mungu katuwekeyawetu kirasiku muwe munakumbuka ayomaneno muni apa mbereyakanisa yamungu

  • @mamaallen2801
    @mamaallen2801 Год назад +1

    Hongera dada Jacki mungu akutangulie kwenye ndoa yako

  • @akoneve7852
    @akoneve7852 Год назад

    Congratulations my mentor Jacky Wolper mob love mungu habariki ndoa yenu ameni🙏

  • @d.m453
    @d.m453 Год назад +3

    Shela kilo 50,na joto la Dar,,,hongereni sana

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 Год назад

    Hongeren mwaya🤗mmependeza💕😘👌 sn mung awabariki ktk ndoa yenu🤲nas ambao bado mung atulaalie tupate mwenza wema 🤲🤲

  • @rozina2161
    @rozina2161 Год назад +1

    Ma shaa Allah ndoa idumu milele wolper na richard mpependeza kwa kweli Allah awatangulie kwa maisha yenu ya ndoa Amiin

  • @radhiarajabu8219
    @radhiarajabu8219 Год назад

    Mmependeza sanasana, Mungu awajaalie mapenzi, mahaba na masikizano, ila bwana harusi utulivu zero

  • @miminaah3911
    @miminaah3911 Год назад +3

    I know Will make it 🙏🏾God first

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Год назад +2

    Mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Год назад

    Mungu azidi kuwabariki dada ulistahili kupata mum kutoka kwa Mungu hongera sana nakupendaga sana

  • @agnessnestory3520
    @agnessnestory3520 Год назад +2

    Mungu awe mshauri Wenu mkuu katika ndoa yenu

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 Год назад

    Mungu awalinde na akutunze ndoa yenu idumu na kudumu na Mungu awamiminie baraka zake katika ndoa yenu wanangu

  • @inshrahnassor8773
    @inshrahnassor8773 Год назад

    Ulipendeza sana my na nguo yaheshima nimependa japo nimsaani maarufu lkn hukuvaa nguo zakukueka uchi mungu aidumishe ndoa yako❤

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +2

    Awesome mashalllah ila mumeo kama mtoto vile aja tulia kabisa

    • @agripinangowi6726
      @agripinangowi6726 Год назад

      Shost mmeendeza sanaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥Mungu awape Furaha amani katika ndoa yenu

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Год назад +1

    wow wow wolper ak a cendelela

  • @happinessstweve7131
    @happinessstweve7131 Год назад

    Mungu akawe baraka juuu yandoa yenu naakawe kiongozi wenu kwakila hatua ikadumu maladufu naikawe mfano wa kuigwa na wengine

  • @annamarialivangala3304
    @annamarialivangala3304 Год назад

    Congratulations Jackie, Mungu asimame nanyi kwa kila jambo.

  • @afrigrowers
    @afrigrowers Год назад +4

    Kuanzia leo wolper hazini tena anafanya tendo halali

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Год назад

    Padre hongera sana kwa kuifunga hii ndoa

  • @simiondaniel6010
    @simiondaniel6010 Год назад +2

    Hongereni

  • @priscajustine2456
    @priscajustine2456 Год назад

    Mungu awabariki sana, iposiku Mungu atajibu na kwangu ❤️🙏

  • @nuruanania7091
    @nuruanania7091 Год назад +3

    Huyu mwanaume anaraha had mm naona...haifichi yaani

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Год назад +1

    Mungu awalindie ndoa yenu ikawe na baraka

  • @aganzeflorence3677
    @aganzeflorence3677 Год назад +1

    Dada wolper nafurahi kuona mungo anakupa doa kamilifu mbele ya macho ya watu na wazazi wako ila cha kukwambiya safari ya doa nindefu ila Ula ikiwa muvumilivu na kumutegemeya mungu nakuomba sans utaweza kilala liturgy

  • @easterkomba2020
    @easterkomba2020 Год назад +2

    Hongera mama

  • @lucymapunda8118
    @lucymapunda8118 Год назад +1

    Hongera mamy❤❤

  • @angelelias9829
    @angelelias9829 Год назад

    Hongera sana dear kweli Mungu nimwema

  • @constancelumayi9016
    @constancelumayi9016 8 месяцев назад

    Congratulations Juckline

  • @magufulitvkenya6315
    @magufulitvkenya6315 Год назад +1

    Mashaallha. Musisikie. Maneno. Yawatu. Mukae. Naamani

  • @reginalongwe8701
    @reginalongwe8701 Год назад

    Hongera sana

  • @salhaomary6734
    @salhaomary6734 Год назад

    Mashallah 💗💗 mungu awabaliki

  • @redemptorbbombo402
    @redemptorbbombo402 Год назад

    Mungu ni mwema. Hongereni sana

  • @ashurahaji4794
    @ashurahaji4794 Год назад

    Wanaoneana ka aibu hongera zemu mumependeza ingekuwa kwetu huku kanisa lingejaa wasiooga

  • @junnitahmarwa
    @junnitahmarwa Год назад

    Hongera Sana dada jackline na Kaka Rich mungu awabariki sana

  • @salomemwaisumbe5862
    @salomemwaisumbe5862 Год назад

    Masha Allah Mungu akawatangulie. Amiin

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Год назад +2

    Congratulations 🎊

  • @angelinajoseph1248
    @angelinajoseph1248 Год назад

    Hongereni sana sio rahisi

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Год назад

    Mashallah, hongera sana wolper

  • @tabiaabdallah1741
    @tabiaabdallah1741 Год назад

    Hongera Sana Ila usije fanya Sanaa ndoa sio maigizo

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g Год назад +1

    Hongeraa

  • @gracekayanda1469
    @gracekayanda1469 Год назад

    Ogera dada Mungu akusaidie Maisha Mme yenye Furaha tele

  • @jocyjocy3050
    @jocyjocy3050 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤❤congratulations , very classy

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 Год назад

    Mungu Linda hii ndoa na uzimame nao

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 Год назад

    May Jehovah God bless this marriage and family.

  • @josephfransi6985
    @josephfransi6985 Год назад

    Rich mbona hajatulia jaman mh my sister ulipendez sana alf master wenzio wako wp kwan

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    Wamependez sana Mrs Richard

  • @MarcoFrancis28
    @MarcoFrancis28 Год назад +1

    shemeji hajatulia humo kanisani kabisa yani yan macho juu juu tuu, afu shemeji mwanaume wa dar(mramba lips) hongereni sana

  • @tunumakila2220
    @tunumakila2220 Год назад +1

    Kamume kadogo jamani kama mama na mwana ,all in all Mungu awasimamie

  • @habibajohn8967
    @habibajohn8967 Год назад

    Mungu watangulie katika Masha yenu ya ndoa

  • @jacklinemalau323
    @jacklinemalau323 Год назад

    Mlio semaga wataachana aibu jaman hongera jackline na rich mungu awabark

  • @annenaliaka2879
    @annenaliaka2879 Год назад +1

    Jamani jamani wana kwaya mbona jacky na richy wameingia kanisani bila wimbo wa kuingia jamani mbona hivyo??

  • @zayanazayana5353
    @zayanazayana5353 Год назад

    Wabongo hampendi lipstick kw nn utakuta mtu harusi cku 5 lkn habadilishi muonekano zote ni light lzma utofautishe Sio Kl cku light km unakwnd ofisini

  • @habibajohn8967
    @habibajohn8967 Год назад

    Mlipendezaaa sanaaa🥰

  • @jacksonkilonzo1439
    @jacksonkilonzo1439 Год назад +1

    i sence something with that husband mbona ana wasi wasi hivyo

  • @meryfrank5272
    @meryfrank5272 Год назад

    Mungu awabariki kto ndoa yenu

  • @amidabukuru
    @amidabukuru Год назад +1

    Umenoga siyo siri uko number one

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Год назад

    MashAllah 💓 so beautiful 😍

  • @blandinaamina1157
    @blandinaamina1157 Год назад

    Mmependeza saaan♥️♥️♥️♥️♥️

  • @witnessmmari9902
    @witnessmmari9902 Год назад +1

    bwana harusi mbona hatulii

  • @veronikasilayo1455
    @veronikasilayo1455 Год назад

    Hongeren sana mungu awalinde

  • @zuwenaj437
    @zuwenaj437 Год назад

    Hongera kipenz

  • @zena6203
    @zena6203 Год назад +3

    Piga kelele kwabiharusi wetu kapendeza hadi kapendeza tena watu nanyota zao mjini nasio kudanga😄😄😄😄😄😄wadangaji mpoo

  • @evilynbetha2350
    @evilynbetha2350 Год назад

    Congrats jacky

  • @auntmakochela4202
    @auntmakochela4202 Год назад +4

    Gauni ya kg 49 nimekubali 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kilubakabesya958
    @kilubakabesya958 Год назад

    Mungu anabaki mungu

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 Год назад +1

    Leo kavua heleni mwnamume usivae tena maeleni kama demu3sasa umekuba baba official

  • @cutesuu7255
    @cutesuu7255 Год назад

    Mabrouq wolper Allah awajaalie maelewano InshaAllah