Maisha yanabadilika Sana MUNGU Kwanza utakuta unahangaika na mahusiano kumbe sio wako. wako wa ubavuni MUNGU kamuweka mwisho 🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️jina la bwana libarikiwe milele 💋💋❤️ hongera na ikawe BARAKA na Amani na utulivu na upendo 😘😘😘😘
Leo ni birthday yangu jamani💕19November Hongera dada Jack! Umetoka mbali na hapa ulipofika zidi kumshukuru MUNGU. Mimi ni mmoja wa wale niliokua nikikuombea uwe furaha na fanaka katika maisha yako! Kamtunze mumeo dada hongera sanaaa❤
This has been the part i was looking for. Dada Jackie. Mungu ni mwaminifu na kwa yote umepitia na wote waongo wamekusema siku nyingi sasa aibu ni yao, kwani Mungu mwenyezi ndiye umchagulia mtu amfaaye. Tunza ndoa yako na mbarikiwe nyote na mumeo kwa ndoa na familia mmeianza. Mungu ni mwema!
Amazing wedding I have ever seen before. Look at wedding dress. Mmmm ni ya ghali sana. Kwa kweli Wolper kajiandaa kisawasawa. Fanya sadaka ya shukrani kwa kufanikisha ili Mungu azidi kuimarisha ndoa yenu. Hongera Jackline Wolper. Wachaga mpo. Hawanaga dogo kwenye sherehe hasa za ndoa. Congratulations again and again.
Kwautabili Wang was leo konde akiangaria video hii ataria Mana alivyokuwa anakuchezea araf akakubwaga du! Mana maex wakiume hawapendag kutuona tufanikiwe hongera dada mmependeza Sana wanao mpenda wolpar piga kerereeeee
Jmn wangapi wameona maharusi wakiomeana aibu kama vile ndio wamejuana Leo haki vile kuna ka filling nimekasikia siwezi hadithia maana ni kafilling ka milele hako Yan nimefurah kama ni Mimi naolewa mungu awape maisha marefu na baraka tele kwenye ndoa Yao 🍎😍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘
Kanisa Katoliki la Dar inamaana wana mu unvail bi harusi ambaye tayar alishazaa??? Bi harusi akifunikwa na Vail that means she is a virgin. Sasa Wolper wangu watoto wawili bado unafunikwa vail maana na heshima ya vail imeshuka. By the way welcome into the union,much love kwenu. Pongezi sana kwa hiyo hatua hongereni mmependeza sana sana😍😍😍😍😍😍
Dada wolper nafurahi kuona mungo anakupa doa kamilifu mbele ya macho ya watu na wazazi wako ila cha kukwambiya safari ya doa nindefu ila Ula ikiwa muvumilivu na kumutegemeya mungu nakuomba sans utaweza kilala liturgy
Maisha yanabadilika Sana MUNGU Kwanza utakuta unahangaika na mahusiano kumbe sio wako. wako wa ubavuni MUNGU kamuweka mwisho 🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️jina la bwana libarikiwe milele 💋💋❤️ hongera na ikawe BARAKA na Amani na utulivu na upendo 😘😘😘😘
Kabisaaa jmn😨😨
Aamin 👏
Munge alimuepusha na Ganjer smoker
Kweli kbs
@@jacksonkilonzo1439 🤣🤣🤣🤣afu tena ni play boy .
Huyu ndiye uliyepewa na Mungu mwanangu Wolper. Mungu awatunze vzr na uzao wenu.🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
MashaAllah MashaAllah 😘😘😘😘 ndoa tamu nyie asikwambie mtu
Leo ni birthday yangu jamani💕19November Hongera dada Jack! Umetoka mbali na hapa ulipofika zidi kumshukuru MUNGU. Mimi ni mmoja wa wale niliokua nikikuombea uwe furaha na fanaka katika maisha yako!
Kamtunze mumeo dada hongera sanaaa❤
This has been the part i was looking for. Dada Jackie. Mungu ni mwaminifu na kwa yote umepitia na wote waongo wamekusema siku nyingi sasa aibu ni yao, kwani Mungu mwenyezi ndiye umchagulia mtu amfaaye. Tunza ndoa yako na mbarikiwe nyote na mumeo kwa ndoa na familia mmeianza. Mungu ni mwema!
Watu wakiwa wanafnya jambo laeli inabidi kuwaombea nasio kuandika ujinga
Kuna watu hujiona wasafi kuliko wenzao utadhan dunia niya kwao
Saw
Umeona eeh. Tumuache wolper atulie
MUNGU awabariki ktk ndoa na maisha yenu nimependa mnoo🤝🙏🙏🙏
Gaun la bi harusi Jack la kiwango la heshima. ♥️♥️♥️♥️
Mno
Ana heshima saan❤️❤️
Mavazi yake ya heshima Sana yupo tofauti Sana na wasanii wengine
Mungu awabariki nawatakia maisha ya amani na furaha naomba na wengine muige kuliko kudanganyana
Ila Jack kapendezaaa nyiee😋😋 kwanza gauni n la kiheshima sanaaa
Amazing wedding I have ever seen before. Look at wedding dress. Mmmm ni ya ghali sana. Kwa kweli Wolper kajiandaa kisawasawa. Fanya sadaka ya shukrani kwa kufanikisha ili Mungu azidi kuimarisha ndoa yenu. Hongera Jackline Wolper. Wachaga mpo. Hawanaga dogo kwenye sherehe hasa za ndoa. Congratulations again and again.
Hongera Wolper umependeza sana ❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥💋💋💋💋💋💋
Hongera Sana. Na ikawe Heri ndoa yenu🙏🙏🙏. Nawaombea kuyaishi maagano yenu mliyoagana mbela ya Mungu.
MUNGU BABA ukaibariki ndoa hii ikadumu, hadi kifo kiwatenganishe AMEN 🙏🙏🙏♥️
Dah nawapenda nyie watu bac2 mwenyez Mungu awalinde na awakinge na watu wabaya upendo na amani zikatawale ndani na njee ya ndoa yenu😍😘💞💞
Mimi namushukuru Mungu kama dadayetu amefikiyahapa hebuasahauyote aishina mumewake salama hakinivema kuishina munewako dadaa
Kwautabili Wang was leo konde akiangaria video hii ataria Mana alivyokuwa anakuchezea araf akakubwaga du! Mana maex wakiume hawapendag kutuona tufanikiwe hongera dada mmependeza Sana wanao mpenda wolpar piga kerereeeee
Hongereni sana Mungu akawe pamoja na nyie,,mnafundisha na wengine thas nice
Jmn wangapi wameona maharusi wakiomeana aibu kama vile ndio wamejuana Leo haki vile kuna ka filling nimekasikia siwezi hadithia maana ni kafilling ka milele hako Yan nimefurah kama ni Mimi naolewa mungu awape maisha marefu na baraka tele kwenye ndoa Yao 🍎😍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘
Hongereni sana, ndoa ikadumu
Kutoka Kenya kwaza nitulivu yaani nimeipenda sana dadangu mungu akupariki mbaka madui washangae ❣️❣️❣️❣️❣️❣️👌👌👌👌👌🔥🔥🔥🔥
Hongera sana Mr & Mrs Bruno
Hongeren sn mlioendeza mno M,Mungu akawabarik ndoa yenu ikawe ya heri cku zote za maisha yenu
Mashaaaallh.. hongereni sana shetani na akatwe miguu asiweze kufika kwenu.mungu awajalie muombe siku zote.
Nakumbuka aliposema, amepata the best ,mwanzo alikuwa anatembea na vichaa vichaa 😀😀😀😀mungu hawatangulie kwenye ndoa yenu Ameena
Hongera Sana rich na wolper Kwa maamuzi yenu mbarikiwe Sana muwalee watoto wenu ktk misingi ya kuwa na hofu na mungu
Ziba masikio, bwana na bi harusi mmependeza mno MUNGU AILINDE NDOA YENU.
Pongezi sana kwenu wanandoa mungu awajalie makuu kwenye ndoa yenu na maisha marefu yenye furaha siku zote za maisha yenu 💗💗
Hongera dada jack hatimaye umepata fungu lako
May GOD guide this marriage in Jesus name l pray Amen 🙏🏽🙏🏽🎁💞😍💓💍👜
Hongera dada Mungu akujaliye🥳🥳🥳👌👌👌
Hongeren san
Kanisa Katoliki la Dar inamaana wana mu unvail bi harusi ambaye tayar alishazaa???
Bi harusi akifunikwa na Vail that means she is a virgin.
Sasa Wolper wangu watoto wawili bado unafunikwa vail maana na heshima ya vail imeshuka.
By the way welcome into the union,much love kwenu.
Pongezi sana kwa hiyo hatua hongereni mmependeza sana sana😍😍😍😍😍😍
Ishu hapo ni ibada baraka za ndoa na sio mavazi usichanganye. Avae shela asivae haijalishi Mungu awabariki milele
Sijaelewa hapo
Ukifika mbinguni hiyo vail haipo mungu anakuona wewe tu muhimu ni jambo husika.
Yan hay majitu yanayong'ang'ania bikra sijui wanatak kuila😞😞 kwahiyo watyu wasifunikwe vail😞 kisa ni vigego aah we polepole buana😞
@@shebyally2390 😅😅
Hadi nimelia juu ya furaha kuusu worpa congregation my kipenzi❤️❤️❤️
Umelia kweli my dear?
Yes jui ya furaha
Congratulations dia may God bless your marriage Ameen
Acha kuwaombea mabaya wenzio ..waachane Kwa nn..
Tunasumbuka nawalesiyowetu mungu katuwekeyawetu kirasiku muwe munakumbuka ayomaneno muni apa mbereyakanisa yamungu
Hongera dada Jacki mungu akutangulie kwenye ndoa yako
Congratulations my mentor Jacky Wolper mob love mungu habariki ndoa yenu ameni🙏
Shela kilo 50,na joto la Dar,,,hongereni sana
Hongeren mwaya🤗mmependeza💕😘👌 sn mung awabariki ktk ndoa yenu🤲nas ambao bado mung atulaalie tupate mwenza wema 🤲🤲
Ma shaa Allah ndoa idumu milele wolper na richard mpependeza kwa kweli Allah awatangulie kwa maisha yenu ya ndoa Amiin
Mmependeza sanasana, Mungu awajaalie mapenzi, mahaba na masikizano, ila bwana harusi utulivu zero
I know Will make it 🙏🏾God first
Mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah
Mungu azidi kuwabariki dada ulistahili kupata mum kutoka kwa Mungu hongera sana nakupendaga sana
Mungu awe mshauri Wenu mkuu katika ndoa yenu
Mungu awalinde na akutunze ndoa yenu idumu na kudumu na Mungu awamiminie baraka zake katika ndoa yenu wanangu
Ulipendeza sana my na nguo yaheshima nimependa japo nimsaani maarufu lkn hukuvaa nguo zakukueka uchi mungu aidumishe ndoa yako❤
Awesome mashalllah ila mumeo kama mtoto vile aja tulia kabisa
Shost mmeendeza sanaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥Mungu awape Furaha amani katika ndoa yenu
wow wow wolper ak a cendelela
Mungu akawe baraka juuu yandoa yenu naakawe kiongozi wenu kwakila hatua ikadumu maladufu naikawe mfano wa kuigwa na wengine
Congratulations Jackie, Mungu asimame nanyi kwa kila jambo.
Kuanzia leo wolper hazini tena anafanya tendo halali
Padre hongera sana kwa kuifunga hii ndoa
Hongereni
Mungu awabariki sana, iposiku Mungu atajibu na kwangu ❤️🙏
Huyu mwanaume anaraha had mm naona...haifichi yaani
Mungu awalindie ndoa yenu ikawe na baraka
Dada wolper nafurahi kuona mungo anakupa doa kamilifu mbele ya macho ya watu na wazazi wako ila cha kukwambiya safari ya doa nindefu ila Ula ikiwa muvumilivu na kumutegemeya mungu nakuomba sans utaweza kilala liturgy
Hongera mama
Hongera mamy❤❤
Hongera sana dear kweli Mungu nimwema
Congratulations Juckline
Mashaallha. Musisikie. Maneno. Yawatu. Mukae. Naamani
Hongera sana
Mashallah 💗💗 mungu awabaliki
Mungu ni mwema. Hongereni sana
Wanaoneana ka aibu hongera zemu mumependeza ingekuwa kwetu huku kanisa lingejaa wasiooga
Hongera Sana dada jackline na Kaka Rich mungu awabariki sana
Masha Allah Mungu akawatangulie. Amiin
Congratulations 🎊
Hongereni sana sio rahisi
Mashallah, hongera sana wolper
Hongera Sana Ila usije fanya Sanaa ndoa sio maigizo
Hongeraa
Ogera dada Mungu akusaidie Maisha Mme yenye Furaha tele
❤❤❤❤❤❤❤congratulations , very classy
Mungu Linda hii ndoa na uzimame nao
May Jehovah God bless this marriage and family.
Rich mbona hajatulia jaman mh my sister ulipendez sana alf master wenzio wako wp kwan
Wamependez sana Mrs Richard
shemeji hajatulia humo kanisani kabisa yani yan macho juu juu tuu, afu shemeji mwanaume wa dar(mramba lips) hongereni sana
Labda anaona aibu
Hahaaaa
Kamume kadogo jamani kama mama na mwana ,all in all Mungu awasimamie
😡😡😡
Una kadi yake ya clinic unajuaje Kama mdogo
Mungu watangulie katika Masha yenu ya ndoa
Mlio semaga wataachana aibu jaman hongera jackline na rich mungu awabark
Jamani jamani wana kwaya mbona jacky na richy wameingia kanisani bila wimbo wa kuingia jamani mbona hivyo??
Wabongo hampendi lipstick kw nn utakuta mtu harusi cku 5 lkn habadilishi muonekano zote ni light lzma utofautishe Sio Kl cku light km unakwnd ofisini
Mlipendezaaa sanaaa🥰
i sence something with that husband mbona ana wasi wasi hivyo
Mungu awabariki kto ndoa yenu
Umenoga siyo siri uko number one
MashAllah 💓 so beautiful 😍
Mmependeza saaan♥️♥️♥️♥️♥️
bwana harusi mbona hatulii
Hongeren sana mungu awalinde
Hongera kipenz
Piga kelele kwabiharusi wetu kapendeza hadi kapendeza tena watu nanyota zao mjini nasio kudanga😄😄😄😄😄😄wadangaji mpoo
Congrats jacky
Gauni ya kg 49 nimekubali 🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu anabaki mungu
Leo kavua heleni mwnamume usivae tena maeleni kama demu3sasa umekuba baba official
Mabrouq wolper Allah awajaalie maelewano InshaAllah
Asante Yesu Mungu awatunze
Maash Allah wamependeza ndoa ya ikadumu