Hongereni mno na Mungu akawe kiongozi katika ndoa yenu. La msingi kumbukeni ktl NDOA kila mmoja wenu auweke ustaa chini na kila mmoja ayatimeze majukumu yake kwa nafasi aliyopewa na Mungu🙏
Hongera sana Nandy Mungu awabariki kwenye ndoa yenu umpe mumeo nafasi yake kwenye ndoa na wewe uwe msaidizi wake na ndoa yenu itadumu pia na kitu uvumilivu kwenye ndoa wanaume wanatulia wakizeeka hongera sana mamy❤❤❤❤
Hongera sana nandy mpaka machozi yananitoka allah awajaliye maisha marefu na mume wako na sisi tulikuwa hatuja olewa Allah atujaliye wanaumee wenye kheir kwetu na wasikivu amiin
Mungu atawajaalia vip na Hawana ndoa hapo? Mtu anakaribia kujifuangia haramu,wewe unasema awajaalie,walishaanza kumkosea kwa kulalana huko Wacha wamalize kwa ushetani tu
Pongezi kwao Mungu awabariki kwa kutimiza agano lake Mungu aweke mkono wake wenye Neema na baraka tele juu yao, hakika ataendelea kuwatunza, shem asichuje.
Hongera nandi mungu was mbingu na nchi awatunze na mume wako ,,muheshimu ustaa ukiwa nyumbani kwako tupa kule wewe nandi napenda uwe mfano Kwa masuper ,,,nakupenda 🥰🥰🥰
NANDY & BILL 💟💟 IRENE & NDKUMANA💟💟 AMINA & ALIKIBA 💟💟 HAWA WATU NDO WAMEWEKA KUMBUKUMBU 🤗👌💯#ila nenga una utoto mwingi sana huo mdomo ndio nn kuufanya ivo baba mtarajiwa🤣🤣🤣nandy umependeza mashalaah 👌kauso kamenona💘
Mitandao pamoja zinaharibu watu ila kuna mda zinasaidia hii kitu ilikua masiala tu mara kichupi mara commection leo wanawakawaka wanamelemeta dah kweli ombea adui yako aishi miaka mingi
Wow..an African queen lady and a love songs for the first time nimeona akifunga ndoa kanisani Nandy you're a blessed woman mum..enyewe Mungu mbele
Hongera dada nandy nakupenda mungu awabariki sanaaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mungu ailinde ndowa yenu
Hongereni mno na Mungu akawe kiongozi katika ndoa yenu.
La msingi kumbukeni ktl NDOA kila mmoja wenu auweke ustaa chini na kila mmoja ayatimeze majukumu yake kwa nafasi aliyopewa na Mungu🙏
Hongera zao Mungu awasaidie wadumu wawe mfano mzuri kwa wasaniii wote
Ubarikiwe dada umeonesha kiukubwa wako naku jieshimu dada ubarikiwe kabisa🥰
Mssniii wa Kwanza kufunga ndoa ya kueleweka. Congrats mate
Wapili bana mke wa majizo nae ndoa ya kueleweka😀
Wawili na Lulu
Wa pili huyu umesahau ndoa ya lulu na majizo
Na alikiba Nyie 🥰
Lulu
Alikiba
Nandy
Bilnass
Hongera sana Nandy Mungu awabariki kwenye ndoa yenu umpe mumeo nafasi yake kwenye ndoa na wewe uwe msaidizi wake na ndoa yenu itadumu pia na kitu uvumilivu kwenye ndoa wanaume wanatulia wakizeeka hongera sana mamy❤❤❤❤
Am happy for you guys 😊 hongereni sana😘
Hongera sasa Dada yangu nawatakia maisha mema nakupenda sana💋❤ mungu awafanyie wepesi kwenye maisha yenu🙏🙏
Hongera sana nandy mpaka machozi yananitoka allah awajaliye maisha marefu na mume wako na sisi tulikuwa hatuja olewa Allah atujaliye wanaumee wenye kheir kwetu na wasikivu amiin
Wahuni hao kesho tu utawaona mitandaoni wamevaa vichupi na nusu uchi
Mungu atawajaalia vip na Hawana ndoa hapo? Mtu anakaribia kujifuangia haramu,wewe unasema awajaalie,walishaanza kumkosea kwa kulalana huko Wacha wamalize kwa ushetani tu
Hongereni sana kwa hatua mliochukua Mwenyez Mungu awatangulie kweny safar yenu ya ndoa mdumu milele daima.
Umejua kunifurahisha Nandy.... Mungu akujalie mamaa kwenye ndoa yako......mwambien nandy NAMPENDA SANA'
I'm so happy to see you guys together wish you happy marriage
Mgu awape fuv sana sana
Hongera sana dadangu Nandy mungu awabariki sana Kwa hatua mlioifikia
Pongezi kwao Mungu awabariki kwa kutimiza agano lake Mungu aweke mkono wake wenye Neema na baraka tele juu yao, hakika ataendelea kuwatunza, shem asichuje.
Ongera sana mungu awabariki sana.
Wasanii wa kike waigizaji igeni mfano wa nady nimempenda nady sana kwa alikinya
Hongera kipnz chetu Mrs billinass
Hongera nandi mungu akupe maisha yafuraha kwenye ndoa yako
Ongera san nandy dada mungu awabarik 💖💖💖💖💖💖💖
Ongela sasa Dada nandy mungu akuajaharie furaha ya milele katika ndoa yako❤❤❤❤Mung amlinde na mwanao pia
Hongera kwa atua nzur
No comment ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Hongera nenga nawakubali sana more life
Hongera yko ushawakata umbea waliokua wakikudhulia umbe
Hongera kwa kupata jiko
Hongera nandi mungu was mbingu na nchi awatunze na mume wako ,,muheshimu ustaa ukiwa nyumbani kwako tupa kule wewe nandi napenda uwe mfano Kwa masuper ,,,nakupenda 🥰🥰🥰
Hongereni sana ndoa yenye ikawe na kheri na fanaka sana mbarikiwe......🙏🙏🙏
ogera Kipenzi na mungu akusaydie sana
Congrats 👏👏🥳🥳
Hongera sana nandy kwa kuishi na neno la mungu mungu awabaliki sana katika ndoa yenu.
Woow Mungu abariki ndoa yenu
Hongera dada Nandy Mungu akubariki kwenye safari hii mpia, nakupenda Bure 🇰🇪 .
Hongera sana
Ongera my dear kwa raha zako
Congratulations
Ongera Sana sister nandi mungu awatanguliye kwa kila Jambo ndani ya maisha mapya❤️❤️❤️❤️❤️
Nandi hongera , ila ukitoka hapo uko hoi na hiyo hali mmmh pole dia
hongera sanaaa nandy mungu hakupe maisha marefu inshallah 🙏♥
Hongera
ongela san mdog wangu mungu akupe maixha malef na mume wako
Hongera nandy Mungu awatunze mum!
waooh all the best Nandy on you new life
very much thankxy mzee wa NENGA
Honger san nand mng abariki ndoa yako idum
Hongera 🙋🙋🙋🙋🙋🙋
Izo hekaheka na hayo magauni makubwa ukitoka apo kujifungua mpenz hongeraa na kila la kheri kwenu🥰
You look so perfect
Hongera nandi mungu awalinde ktk ndoa yenu.nawapenda
so good
Hongera sana Nandy
Jamani umejuwa kuoendeza mungu akusiamamie katika kila jamboo💕💕💕❤
Hongera sana Nandy uwe mfano ndoa yenu idum
Ok 👏👏👏
Hongera dadaangu na kakaangu barikiwa
Mungu akawasimamie mkadumu! Acheni u star kwenye ndoa yenu ili mdumu
Congratulation!!!!
Hongera sana wengi wakiisha kuwa mastaa hawawezi kufanya hivi.
Fantastic💯
Mungu awe p1 na nyinyi katika Safari yenu
Umejua kunifurahisa Sana ❤️ Hawa Maharusi
Umependeza sana
Hiyo ndoa haimalizi miezi 6
Ambao tumekuja baada ya ndoa ya Wolper kupwayaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣😔😔😔😔😔
Mungu awe nguzo Kweny ndoa yako mama
Mmmmh haya mungu awatangulie maana mastaa wanaleteana ustaa Hadi kwenye ndoa
Ongeleni mr.and.mrs billnenga
Mashaallah nc
Hongera🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️🙏🙏🙏
Dada nady honger mume ukamtunze Tena wabay wasije kukuibia kama asmin hap anammezea mate mumeo
Hongera dada
Hongera sana🥰🥰🥰
Hongera mwamba nenga kumbe inawezekana ✊
Congratulations sna ni moja ya couple ninazozikubaliiiii💞💞💞💞💞💞
Nasubili ya kondeboy 💞💞💞💞💞💞💞
Hongera sana nandi mungu akulinde na kukutunza kwani wewe umeshinda zaidi ya kushinda
Ongela Sana kwa nandy 😍
Lovely Nandy, kuwacheki nikiwa kwetu kenya
NANDY & BILL 💟💟
IRENE & NDKUMANA💟💟
AMINA & ALIKIBA 💟💟
HAWA WATU NDO WAMEWEKA KUMBUKUMBU 🤗👌💯#ila nenga una utoto mwingi sana huo mdomo ndio nn kuufanya ivo baba mtarajiwa🤣🤣🤣nandy umependeza mashalaah 👌kauso kamenona💘
Kapendeza sn
Mungu awatunze karbunii chaman🥰🥰
Haluc ya kwanza ya msanii kwa msanii
Congratulations nandy
Pndzaaaaaaaasana,,,Nawapenda
Wolper kanifanya nij kumuangalia Nandy tena
Cngrts sanaaa jmn
Nandy hongera sana dada yangu kipenzi katika wasanii wa kike wewe umepata neema sana ata mimi imenibaliki sana ndoa yenu
Mungu abariki ndoa yenu
Ongeraaaaaaa
Mungu awatunze na mdumu ktk ndoa yenu
mungu akutanguriye
Vizuri
♥️♥️♥️
Hongera sana kaka angu Bill Nasruclips.net/video/Pla6c5WGotA/видео.html huu wimbo ni zawadi yako 👇👇
Hongera
Iyoshela nenesana ila umependeza hongera sana dada nandy
Mungu awape furaha ktk ndoa yao congolee
Anaetaka kuolewa hajaolewa basi anitafute namba zangu izo apo
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❣️❣️❣️❣️❣️
Mitandao pamoja zinaharibu watu ila kuna mda zinasaidia hii kitu ilikua masiala tu mara kichupi mara commection leo wanawakawaka wanamelemeta dah kweli ombea adui yako aishi miaka mingi
Naona jamaa anajilamba lamba mdomo mapema sana anataka aka......
🙏🙏🇹🇿🤣hapo nimekukubali san
Jaman ndoa za cku hiz makanisan wanafungisha hata wajawazito?
billinas big up umepata chombo
Nc
Ni bahati Sana ongera nand
Msanii wa kwanza tz, Allha awalinde my dear🤲🙏❣️❣️❣️💍
Msanii was Kwanza tz, AIIha awaIinde my dear 😂 👏👏🙏