SHANGWE ZATAWALA KANISANI, NDOA YA BILLNASS NA NANDY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 169

  • @jacintamutenyo8647
    @jacintamutenyo8647 2 года назад +2

    Wow..an African queen lady and a love songs for the first time nimeona akifunga ndoa kanisani Nandy you're a blessed woman mum..enyewe Mungu mbele

  • @omanom8141
    @omanom8141 2 года назад +10

    Hongera dada nandy nakupenda mungu awabariki sanaaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @norahmike7643
    @norahmike7643 2 года назад +4

    Hongereni mno na Mungu akawe kiongozi katika ndoa yenu.
    La msingi kumbukeni ktl NDOA kila mmoja wenu auweke ustaa chini na kila mmoja ayatimeze majukumu yake kwa nafasi aliyopewa na Mungu🙏

  • @jacqulinechawala2494
    @jacqulinechawala2494 2 года назад +9

    Hongera zao Mungu awasaidie wadumu wawe mfano mzuri kwa wasaniii wote

  • @mambonathalie7347
    @mambonathalie7347 2 года назад +1

    Ubarikiwe dada umeonesha kiukubwa wako naku jieshimu dada ubarikiwe kabisa🥰

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka7278 2 года назад +23

    Mssniii wa Kwanza kufunga ndoa ya kueleweka. Congrats mate

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 2 года назад +1

    Hongera sana Nandy Mungu awabariki kwenye ndoa yenu umpe mumeo nafasi yake kwenye ndoa na wewe uwe msaidizi wake na ndoa yenu itadumu pia na kitu uvumilivu kwenye ndoa wanaume wanatulia wakizeeka hongera sana mamy❤❤❤❤

  • @neymbwambo5027
    @neymbwambo5027 2 года назад +6

    Am happy for you guys 😊 hongereni sana😘

  • @neemajames5772
    @neemajames5772 2 года назад +1

    Hongera sasa Dada yangu nawatakia maisha mema nakupenda sana💋❤ mungu awafanyie wepesi kwenye maisha yenu🙏🙏

  • @tumaramadhani3381
    @tumaramadhani3381 2 года назад +2

    Hongera sana nandy mpaka machozi yananitoka allah awajaliye maisha marefu na mume wako na sisi tulikuwa hatuja olewa Allah atujaliye wanaumee wenye kheir kwetu na wasikivu amiin

    • @mwajumamohd7930
      @mwajumamohd7930 2 года назад

      Wahuni hao kesho tu utawaona mitandaoni wamevaa vichupi na nusu uchi

    • @mwajumamohd7930
      @mwajumamohd7930 2 года назад

      Mungu atawajaalia vip na Hawana ndoa hapo? Mtu anakaribia kujifuangia haramu,wewe unasema awajaalie,walishaanza kumkosea kwa kulalana huko Wacha wamalize kwa ushetani tu

  • @evamartin962
    @evamartin962 2 года назад

    Hongereni sana kwa hatua mliochukua Mwenyez Mungu awatangulie kweny safar yenu ya ndoa mdumu milele daima.

  • @marympango9247
    @marympango9247 2 года назад +1

    Umejua kunifurahisha Nandy.... Mungu akujalie mamaa kwenye ndoa yako......mwambien nandy NAMPENDA SANA'

  • @hellenfredy4361
    @hellenfredy4361 2 года назад +2

    I'm so happy to see you guys together wish you happy marriage

  • @patiencepatie5503
    @patiencepatie5503 2 года назад

    Hongera sana dadangu Nandy mungu awabariki sana Kwa hatua mlioifikia

  • @mussamabula7353
    @mussamabula7353 2 года назад

    Pongezi kwao Mungu awabariki kwa kutimiza agano lake Mungu aweke mkono wake wenye Neema na baraka tele juu yao, hakika ataendelea kuwatunza, shem asichuje.

  • @patricksevelen1990
    @patricksevelen1990 2 года назад +2

    Ongera sana mungu awabariki sana.

  • @tukulambamichael709
    @tukulambamichael709 2 года назад +1

    Wasanii wa kike waigizaji igeni mfano wa nady nimempenda nady sana kwa alikinya

  • @tumainkaaya9075
    @tumainkaaya9075 2 года назад

    Hongera kipnz chetu Mrs billinass

  • @sophiamahundi9123
    @sophiamahundi9123 2 года назад +1

    Hongera nandi mungu akupe maisha yafuraha kwenye ndoa yako

  • @annahabibu6971
    @annahabibu6971 2 года назад

    Ongera san nandy dada mungu awabarik 💖💖💖💖💖💖💖

  • @cellinechristopher4236
    @cellinechristopher4236 2 года назад

    Ongela sasa Dada nandy mungu akuajaharie furaha ya milele katika ndoa yako❤❤❤❤Mung amlinde na mwanao pia

  • @debbybicko3878
    @debbybicko3878 2 года назад +2

    Hongera kwa atua nzur

  • @firdausrajabu6822
    @firdausrajabu6822 2 года назад +1

    No comment ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @barakabupokibaraka8333
    @barakabupokibaraka8333 2 года назад

    Hongera nenga nawakubali sana more life

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 2 года назад +1

    Hongera yko ushawakata umbea waliokua wakikudhulia umbe

  • @abisaijulius2135
    @abisaijulius2135 2 года назад

    Hongera kwa kupata jiko

  • @mwamwajaupendo7471
    @mwamwajaupendo7471 2 года назад

    Hongera nandi mungu was mbingu na nchi awatunze na mume wako ,,muheshimu ustaa ukiwa nyumbani kwako tupa kule wewe nandi napenda uwe mfano Kwa masuper ,,,nakupenda 🥰🥰🥰

  • @frankmabubu2299
    @frankmabubu2299 2 года назад

    Hongereni sana ndoa yenye ikawe na kheri na fanaka sana mbarikiwe......🙏🙏🙏

  • @mwanalisaabdallah9393
    @mwanalisaabdallah9393 2 года назад

    ogera Kipenzi na mungu akusaydie sana

  • @annamoses8807
    @annamoses8807 2 года назад +2

    Congrats 👏👏🥳🥳

  • @sabrinamchipu7657
    @sabrinamchipu7657 2 года назад

    Hongera sana nandy kwa kuishi na neno la mungu mungu awabaliki sana katika ndoa yenu.

  • @elinabaltazali9055
    @elinabaltazali9055 2 года назад +2

    Woow Mungu abariki ndoa yenu

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 2 года назад

    Hongera dada Nandy Mungu akubariki kwenye safari hii mpia, nakupenda Bure 🇰🇪 .

  • @matridamsigwa4758
    @matridamsigwa4758 2 года назад

    Hongera sana

  • @zaituniabdallah853
    @zaituniabdallah853 2 года назад

    Ongera my dear kwa raha zako

  • @rachelmshana9494
    @rachelmshana9494 2 года назад +1

    Congratulations

  • @oliversb6518
    @oliversb6518 2 года назад +1

    Ongera Sana sister nandi mungu awatanguliye kwa kila Jambo ndani ya maisha mapya❤️❤️❤️❤️❤️

  • @vj8313
    @vj8313 2 года назад

    Nandi hongera , ila ukitoka hapo uko hoi na hiyo hali mmmh pole dia

  • @zuhuramwawimo2824
    @zuhuramwawimo2824 2 года назад +2

    hongera sanaaa nandy mungu hakupe maisha marefu inshallah 🙏♥

  • @emmamoshi8315
    @emmamoshi8315 2 года назад

    Hongera

  • @georgemwandezi3975
    @georgemwandezi3975 2 года назад

    ongela san mdog wangu mungu akupe maixha malef na mume wako

  • @marryeliasmarryelias9289
    @marryeliasmarryelias9289 2 года назад +2

    Hongera nandy Mungu awatunze mum!

  • @arakamaswaga2990
    @arakamaswaga2990 2 года назад

    Honger san nand mng abariki ndoa yako idum

  • @fredykavindi988
    @fredykavindi988 2 года назад

    Hongera 🙋🙋🙋🙋🙋🙋

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 2 года назад

    Izo hekaheka na hayo magauni makubwa ukitoka apo kujifungua mpenz hongeraa na kila la kheri kwenu🥰

  • @happynyamakena7739
    @happynyamakena7739 Год назад

    You look so perfect

  • @chumamkude3407
    @chumamkude3407 2 года назад

    Hongera nandi mungu awalinde ktk ndoa yenu.nawapenda

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 2 года назад

    so good

  • @fannyfarrah
    @fannyfarrah 2 года назад +1

    Hongera sana Nandy

  • @salometondo155
    @salometondo155 2 года назад

    Jamani umejuwa kuoendeza mungu akusiamamie katika kila jamboo💕💕💕❤

  • @jackxonmollel7984
    @jackxonmollel7984 2 года назад +1

    Hongera sana Nandy uwe mfano ndoa yenu idum

  • @dicksondaud816
    @dicksondaud816 2 года назад

    Ok 👏👏👏

  • @roseytravis3845
    @roseytravis3845 2 года назад

    Hongera dadaangu na kakaangu barikiwa

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 2 года назад

    Mungu akawasimamie mkadumu! Acheni u star kwenye ndoa yenu ili mdumu

  • @zacharianyaumba2346
    @zacharianyaumba2346 2 года назад +1

    Congratulation!!!!

  • @mlalikwabiswalo7804
    @mlalikwabiswalo7804 2 года назад

    Hongera sana wengi wakiisha kuwa mastaa hawawezi kufanya hivi.

  • @adrophblazio5301
    @adrophblazio5301 2 года назад

    Fantastic💯

  • @imaniignasi2334
    @imaniignasi2334 2 года назад

    Mungu awe p1 na nyinyi katika Safari yenu

  • @hivemutongore9312
    @hivemutongore9312 2 года назад

    Umejua kunifurahisa Sana ❤️ Hawa Maharusi

  • @norahazan796
    @norahazan796 2 года назад

    Umependeza sana

  • @crownprince399
    @crownprince399 Год назад +1

    Ambao tumekuja baada ya ndoa ya Wolper kupwayaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣😔😔😔😔😔

  • @annasitti120
    @annasitti120 2 года назад +1

    Mungu awe nguzo Kweny ndoa yako mama

  • @hamisiomari6951
    @hamisiomari6951 2 года назад

    Mmmmh haya mungu awatangulie maana mastaa wanaleteana ustaa Hadi kwenye ndoa

  • @sevarinijrchitandachitanda138
    @sevarinijrchitandachitanda138 2 года назад

    Ongeleni mr.and.mrs billnenga

  • @omarhome2260
    @omarhome2260 2 года назад

    Mashaallah nc

  • @mawazomwamba2667
    @mawazomwamba2667 2 года назад

    Hongera🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️🙏🙏🙏

  • @rehemamasunga6119
    @rehemamasunga6119 2 года назад

    Dada nady honger mume ukamtunze Tena wabay wasije kukuibia kama asmin hap anammezea mate mumeo

  • @jeromemapenzi1312
    @jeromemapenzi1312 2 года назад

    Hongera dada

  • @salomepater9458
    @salomepater9458 2 года назад

    Hongera sana🥰🥰🥰

  • @philemonmartine7317
    @philemonmartine7317 2 года назад

    Hongera mwamba nenga kumbe inawezekana ✊

  • @Richbtz
    @Richbtz 2 года назад

    Congratulations sna ni moja ya couple ninazozikubaliiiii💞💞💞💞💞💞
    Nasubili ya kondeboy 💞💞💞💞💞💞💞

    • @sarahmsuya8693
      @sarahmsuya8693 2 года назад +1

      Hongera sana nandi mungu akulinde na kukutunza kwani wewe umeshinda zaidi ya kushinda

  • @lulusmith524
    @lulusmith524 2 года назад

    Ongela Sana kwa nandy 😍

  • @floraundisa3688
    @floraundisa3688 2 года назад

    Lovely Nandy, kuwacheki nikiwa kwetu kenya

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 года назад

    NANDY & BILL 💟💟
    IRENE & NDKUMANA💟💟
    AMINA & ALIKIBA 💟💟
    HAWA WATU NDO WAMEWEKA KUMBUKUMBU 🤗👌💯#ila nenga una utoto mwingi sana huo mdomo ndio nn kuufanya ivo baba mtarajiwa🤣🤣🤣nandy umependeza mashalaah 👌kauso kamenona💘

  • @zubedamagambo8139
    @zubedamagambo8139 2 года назад

    Kapendeza sn

  • @navyoagrey7523
    @navyoagrey7523 2 года назад

    Mungu awatunze karbunii chaman🥰🥰

  • @mwanahawahassan4612
    @mwanahawahassan4612 2 года назад

    Haluc ya kwanza ya msanii kwa msanii

  • @gladyskininga6732
    @gladyskininga6732 2 года назад

    Congratulations nandy

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 2 года назад

    Pndzaaaaaaaasana,,,Nawapenda

  • @zellyshah6877
    @zellyshah6877 Год назад

    Wolper kanifanya nij kumuangalia Nandy tena

  • @nyanduvamkekanule4883
    @nyanduvamkekanule4883 2 года назад

    Cngrts sanaaa jmn

  • @fareedfareed9985
    @fareedfareed9985 2 года назад

    Nandy hongera sana dada yangu kipenzi katika wasanii wa kike wewe umepata neema sana ata mimi imenibaliki sana ndoa yenu

  • @calvincalistpaul110
    @calvincalistpaul110 2 года назад

    Ongeraaaaaaa

  • @agathamayunga6142
    @agathamayunga6142 2 года назад

    Mungu awatunze na mdumu ktk ndoa yenu

  • @violettensabiyumva9198
    @violettensabiyumva9198 2 года назад

    mungu akutanguriye

  • @mercydomet3149
    @mercydomet3149 2 года назад

    Vizuri

  • @zainahassan8568
    @zainahassan8568 2 года назад

    ♥️♥️♥️

  • @tonymaster3619
    @tonymaster3619 2 года назад +3

    Hongera sana kaka angu Bill Nasruclips.net/video/Pla6c5WGotA/видео.html huu wimbo ni zawadi yako 👇👇

  • @evaalphonce5703
    @evaalphonce5703 2 года назад

    Iyoshela nenesana ila umependeza hongera sana dada nandy

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 2 года назад

    Mungu awape furaha ktk ndoa yao congolee

  • @mudifleva9529
    @mudifleva9529 2 года назад

    Anaetaka kuolewa hajaolewa basi anitafute namba zangu izo apo

  • @vanessastafford5120
    @vanessastafford5120 2 года назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❣️❣️❣️❣️❣️

  • @benjaminulanga6749
    @benjaminulanga6749 2 года назад

    Mitandao pamoja zinaharibu watu ila kuna mda zinasaidia hii kitu ilikua masiala tu mara kichupi mara commection leo wanawakawaka wanamelemeta dah kweli ombea adui yako aishi miaka mingi

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 2 года назад

    Naona jamaa anajilamba lamba mdomo mapema sana anataka aka......

  • @chifumapro5066
    @chifumapro5066 2 года назад

    🙏🙏🇹🇿🤣hapo nimekukubali san

  • @tumainimwakyaka2775
    @tumainimwakyaka2775 2 года назад

    Jaman ndoa za cku hiz makanisan wanafungisha hata wajawazito?

  • @dianasamweli3852
    @dianasamweli3852 2 года назад

    billinas big up umepata chombo

  • @betdee4657
    @betdee4657 2 года назад

    Nc

  • @saraphinasalila9202
    @saraphinasalila9202 2 года назад

    Ni bahati Sana ongera nand

  • @angelmumy1178
    @angelmumy1178 2 года назад

    Msanii wa kwanza tz, Allha awalinde my dear🤲🙏❣️❣️❣️💍

    • @dicksondaud816
      @dicksondaud816 2 года назад

      Msanii was Kwanza tz, AIIha awaIinde my dear 😂 👏👏🙏