WOLPER AFUNGUKA MIMI NI MSANII NILIYEHONGWA SANA/PESA YA KUHOMGWA HARAMU/KUVAA MITUMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Tumepiga Story na Wolper

Комментарии • 15

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 11 месяцев назад +1

    Nakupenda Wall unatufunza na unanasaha na hakika weww ni mtu mwema kwa jamii unafaa upewe madaraka ata naibu waziri 🎉🎉 inshallah 🎉🎉mwenyezi Mungu akulinde

  • @leehhams5393
    @leehhams5393 11 месяцев назад +3

    Ila wanawke bana kwakua ss hv hahongwi analea kijana mdogo ndio kuhongwa ni mkosi😂😂😂😂😂 acha wenxko wahongwe wacha makasiriko

  • @azharrtxj8773
    @azharrtxj8773 11 месяцев назад +1

    Kuna mmoja apa kasema mbona izo pua amezibana na miwani, yni kucheki ivi kumbe kweli isee nime chekaje

  • @GraceSadalla
    @GraceSadalla 5 месяцев назад

    Kwan jack ni mdada au mama wawatoto tatizo pia hamtaki kukua

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 11 месяцев назад +1

    Huyo cecy unaambiwa anapesa sio mchezo wolper akae Kwa kutulia akishindana na cecy atapotea

  • @elizabethjeremiah8323
    @elizabethjeremiah8323 11 месяцев назад +2

    Pesa ya kuhongwa so nzur ni mikosi na balaa

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 11 месяцев назад +1

    Wolper iyo miwani itakuja ikufunge pepu uwe unava ndogo

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 11 месяцев назад +1

    Huyu ni kioo Cha jamii katoa funzo kwa jamii

  • @wahidahilaly6570
    @wahidahilaly6570 11 месяцев назад

    ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 11 месяцев назад +2

    izo pua mbona kama umezibana kwa miwani pumzi vipi zitapita