MBWADUKE: OHOOO... KI NINI TENA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-like na comment...

Комментарии • 23

  • @begumisachristopher4697
    @begumisachristopher4697 18 дней назад +3

    Mbwaduke ni Dr wa uchambuzi wa michezo. Wengine bisheni

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 18 дней назад

    Duh zangu zote kwa Azizi ki kuondoka inshallah na iwe hvyo🤲

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 18 дней назад +4

    Simba hawana ata habar nae.

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc 18 дней назад +1

    Bwana eeeh unatuchelewesha lete habr ya Aziz

  • @muddywatown
    @muddywatown 18 дней назад +2

    Wanataka wasitoke midomoni mwetu Simba hawana mpango Angekua namiaka 21 au 23 kweli tungeamini ila huyo abaki hukohuko

  • @SilmanOfficial-ss6oq
    @SilmanOfficial-ss6oq 18 дней назад +2

    Utopolo tu Wanajitekenya na Kucheka Wenyewe.
    Wanaforce Kutrend kupitia mgongo wa Mnyama Simba hawana lolote.
    Watu wasidanganyike Simba haina wala haikuwa na Mpango na K aziz a.k.a Domo Bakuli😂😂

  • @jamallnyello5743
    @jamallnyello5743 18 дней назад +1

    Na akiondoka azizi K tujiandae kuishia robo fainal na tunaeza pia tusifike huko

  • @mskJr1993.
    @mskJr1993. 18 дней назад +1

    Duuuh

  • @jamallnyello5743
    @jamallnyello5743 18 дней назад

    Kwakweli akiondoka azizi K nawaambia ukweli wajuetu usajili wao wote walofanya umeharibika haunamana tena, faida yahuu usajili wa yanga nikubakisha nyota wake, hasa huyo kimataifa

  • @begumisachristopher4697
    @begumisachristopher4697 18 дней назад

    Azizi Ki ni mchezaji bora acha tu. Kuongoza hata kwa mashoots Afrika ni hatari

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 18 дней назад

    Kama wanachama na mashabiki wa yanga tumeshindwa kulipia kadi zetu sishangai Azizi kuondoka japo ningetamani wananchi tuchangamke kulipa ili hizi 60%zimbakishe Azizi vinginevyo kila lenye heri kwako uko uendako mwamba

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 18 дней назад

    Cmba wala hawana mpango huo msi

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 18 дней назад +4

    Yani tunasema yanga nikubwa na tunashikwa na homa na mchezaji mmoja wakati wenzetu wamesajili na wakawacha nyota kibao tu na wazuri kwa hii yanga sio timu kubwa barani africa tunajipa tu ukubwa wa michongo papatupapatu siku zisonge

    • @Jimmymanasseh_Official
      @Jimmymanasseh_Official 18 дней назад

      Uko Sahihi ila Kuna sehem uko na changamoto!!! Tanzania huwa ni ngumu kwa wachezaji muhimu kwenye kikosi kubak hasa wakipanda gharama so kumbakizia mchezaji kama uyo ni kazi nzur sana kabisa ivyo wakihaha kumbakiza na akabaki ni kazi nzuri sana

    • @Prosperkaluta
      @Prosperkaluta 18 дней назад

      Wewe ni mpumbavu na siyo tu mjinga, kichwani mwako una matope sasa.

    • @Prosperkaluta
      @Prosperkaluta 18 дней назад

      Abdallah Akida, hana akili kabisa huyo ni matope yamejaa kichwani mwake.

    • @Jimmymanasseh_Official
      @Jimmymanasseh_Official 18 дней назад

      @@abdallahakida7908 kipindi miksoni wa moto Simba si mlimuuza? Kwa vigezo vip ,kaenda kuharibika amerudi Kawa bonge mkamuuza mbona hatusem

    • @HimilMussa
      @HimilMussa 18 дней назад

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 18 дней назад

    Mnajua kuna ujinga wakutafuta kiki ili uonekane mbabe azizi ki nimchexaji wa yanga kinachotafutwa nikwamba eng hirsi anatafuta kiki kwa washabiki wao ,ili aonekane amempambania aziz k aje aseme yeye ndio amembakisha huu ni upuzi .hakuna chakuogopa kuficha au kutengeza kiki kwa mchezaji ambae unasema nimali ya yanga hizi kiki ni za nini si tuache huu ujinga wakutubeba mashabiki ufala.

    • @EdwardJeremiah-bd8rl
      @EdwardJeremiah-bd8rl 18 дней назад

      Mchukue mchezaji wako na ww utafute kiki😂😂😂

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t 18 дней назад

      Km nakuelewa Kwa yule Mzee anavyopenda sifa😂😂😂😂

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 18 дней назад

      Yale Yale!
      Na wewe mbona unatafuta kiki kwenye comment? Acha makasiriko kolobwenzi