MBWADUKE: WHY MPANZU? NI GEN-Z LAKINI HILO BALAA LAKE...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 19

  • @selejemes
    @selejemes 2 месяца назад

    Munatudanganya jamani mbona hatumuoni,uongo mpaka lini,tumelizika na hao

  • @OmbenSunja
    @OmbenSunja 3 месяца назад +4

    Mungu tusaidie ajee jamaa huy tupoozee moyo wana simba

  • @AllanValentine-n6k
    @AllanValentine-n6k 3 месяца назад +2

    Nlijua mwisho yayakuwa kama ya yule mchezaji wa vipers.jifunzeni Kwa Real Madrid. na hapa ndio tunamkumbuka Mzee wetu Hanspope

  • @IsaacParuz
    @IsaacParuz 3 месяца назад +4

    Kaka mbwaduke uwezekano wa kumpata upo kwa Simba? Je dirisha si limeishafungwa?

    • @CharlesWilliam-q7j
      @CharlesWilliam-q7j 3 месяца назад +1

      Ukiona onana kabaki ujue dili la mpanzu limebuma.akili tu ndungu.😅

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 3 месяца назад

      ​@@CharlesWilliam-q7juhakikaa

    • @IsaacParuz
      @IsaacParuz 2 месяца назад

      😂​@@CharlesWilliam-q7j

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 3 месяца назад +1

    Ningekuwa kiongozi Simba ningemsajili Elie Mpanzu na preseason ningeifanya hapa hapa. Pre season kufanyia nje wakati mwingine ni kuingia gharama zisizo na ulazima. Tumeona kwa Yanga imekuwa inasajili quality players kwa gharama kubwa na kufanya preseason Avic town. Sasa Simba kama kawaida inaishia kutokusajili wachezaji top quality ili ibakize hela za preseason ughaibuni. Ni bora uwe na Elie Mpanzu ukaenda preseason Zanzibar au Arusha.

    • @paulpaschal6185
      @paulpaschal6185 2 месяца назад

      Suala ni kuwa na wachezaji sahihi...hao Yanga walishawahi kufanya preseason hapa hapa.ndani mara kadhaa mpk wakawa wanakula matikiti Morogoro na hawakuambulia kombe lolote....Na msimu ambao walienda preseason Morrocco kwa kuchelewa tena wiki moja na wakarudi bila kufanya preason nzuri,walichukua ubingwa lakini ndio msimu waliokuwa wamesajili wachezaji wazuri....AZAM ndo timu pekee inayofanya preseason inayoeleweka lakini Ubingwa hawapati hata wa mapinduzi...KWAHYO Wachambuzi wanawafanya msahau hayo kwa kuangalia sasa anayefanya vizuri halafu TUNAASSUME kuwa yeye ndo amefanya maandalizi bora kuliko wengine....ILA KUFANYA VIZURI NI KUWA NA WACHEZAJI WAZURI,WALIMU SAHIHI NA MAANDALIZI MAZURI BILA KUJALI NI NDANI AU NJE YA NCHI

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 3 месяца назад +1

    Simba wachezaji wazuri tunawakosa

  • @hassanismail1931
    @hassanismail1931 3 месяца назад +4

    Mchezaji mzuli ila tumesha mkosa

    • @GideonMhando
      @GideonMhando 2 месяца назад

      Hamna kukata tamaa anaeweza kutua lunyasi

  • @GermanaangeloMkemangwa
    @GermanaangeloMkemangwa 2 месяца назад

    Wew huwa unamawasiliano na mo tajir mwamnie tunajitahidi huyo mtu

  • @Peter-py8xr
    @Peter-py8xr 2 месяца назад +1

    Du!!@

  • @DEBORAWILLIAM-m3n
    @DEBORAWILLIAM-m3n 3 месяца назад

    mimi ni mwana yanga kwelikweli lakini ninachoamini nikwamba bado hatakama wamemkosa lakini wachezaji wazuri wapo ambao wamewasajili

  • @MvietnamOriginal-lp8jh
    @MvietnamOriginal-lp8jh 2 месяца назад

    Je manzoki tumepigwa changa la macho?

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 3 месяца назад

    Tungechangisha hela tumpate mpanzu

  • @ChachaSamson-k6j
    @ChachaSamson-k6j 3 месяца назад

    Kaka bwaduke ja kasha sajiliwa

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 3 месяца назад

    Sisi wenye nchi tumesha mshindwa tutapata mwingne mzuri kama yeye au zaidi usajiri ni kamali