Ningekuwa kiongozi Simba ningemsajili Elie Mpanzu na preseason ningeifanya hapa hapa. Pre season kufanyia nje wakati mwingine ni kuingia gharama zisizo na ulazima. Tumeona kwa Yanga imekuwa inasajili quality players kwa gharama kubwa na kufanya preseason Avic town. Sasa Simba kama kawaida inaishia kutokusajili wachezaji top quality ili ibakize hela za preseason ughaibuni. Ni bora uwe na Elie Mpanzu ukaenda preseason Zanzibar au Arusha.
Suala ni kuwa na wachezaji sahihi...hao Yanga walishawahi kufanya preseason hapa hapa.ndani mara kadhaa mpk wakawa wanakula matikiti Morogoro na hawakuambulia kombe lolote....Na msimu ambao walienda preseason Morrocco kwa kuchelewa tena wiki moja na wakarudi bila kufanya preason nzuri,walichukua ubingwa lakini ndio msimu waliokuwa wamesajili wachezaji wazuri....AZAM ndo timu pekee inayofanya preseason inayoeleweka lakini Ubingwa hawapati hata wa mapinduzi...KWAHYO Wachambuzi wanawafanya msahau hayo kwa kuangalia sasa anayefanya vizuri halafu TUNAASSUME kuwa yeye ndo amefanya maandalizi bora kuliko wengine....ILA KUFANYA VIZURI NI KUWA NA WACHEZAJI WAZURI,WALIMU SAHIHI NA MAANDALIZI MAZURI BILA KUJALI NI NDANI AU NJE YA NCHI
Munatudanganya jamani mbona hatumuoni,uongo mpaka lini,tumelizika na hao
Mungu tusaidie ajee jamaa huy tupoozee moyo wana simba
Nlijua mwisho yayakuwa kama ya yule mchezaji wa vipers.jifunzeni Kwa Real Madrid. na hapa ndio tunamkumbuka Mzee wetu Hanspope
Kaka mbwaduke uwezekano wa kumpata upo kwa Simba? Je dirisha si limeishafungwa?
Ukiona onana kabaki ujue dili la mpanzu limebuma.akili tu ndungu.😅
@@CharlesWilliam-q7juhakikaa
😂@@CharlesWilliam-q7j
Ningekuwa kiongozi Simba ningemsajili Elie Mpanzu na preseason ningeifanya hapa hapa. Pre season kufanyia nje wakati mwingine ni kuingia gharama zisizo na ulazima. Tumeona kwa Yanga imekuwa inasajili quality players kwa gharama kubwa na kufanya preseason Avic town. Sasa Simba kama kawaida inaishia kutokusajili wachezaji top quality ili ibakize hela za preseason ughaibuni. Ni bora uwe na Elie Mpanzu ukaenda preseason Zanzibar au Arusha.
Suala ni kuwa na wachezaji sahihi...hao Yanga walishawahi kufanya preseason hapa hapa.ndani mara kadhaa mpk wakawa wanakula matikiti Morogoro na hawakuambulia kombe lolote....Na msimu ambao walienda preseason Morrocco kwa kuchelewa tena wiki moja na wakarudi bila kufanya preason nzuri,walichukua ubingwa lakini ndio msimu waliokuwa wamesajili wachezaji wazuri....AZAM ndo timu pekee inayofanya preseason inayoeleweka lakini Ubingwa hawapati hata wa mapinduzi...KWAHYO Wachambuzi wanawafanya msahau hayo kwa kuangalia sasa anayefanya vizuri halafu TUNAASSUME kuwa yeye ndo amefanya maandalizi bora kuliko wengine....ILA KUFANYA VIZURI NI KUWA NA WACHEZAJI WAZURI,WALIMU SAHIHI NA MAANDALIZI MAZURI BILA KUJALI NI NDANI AU NJE YA NCHI
Simba wachezaji wazuri tunawakosa
Mchezaji mzuli ila tumesha mkosa
Hamna kukata tamaa anaeweza kutua lunyasi
Wew huwa unamawasiliano na mo tajir mwamnie tunajitahidi huyo mtu
Du!!@
mimi ni mwana yanga kwelikweli lakini ninachoamini nikwamba bado hatakama wamemkosa lakini wachezaji wazuri wapo ambao wamewasajili
Je manzoki tumepigwa changa la macho?
Tungechangisha hela tumpate mpanzu
Kaka bwaduke ja kasha sajiliwa
Sisi wenye nchi tumesha mshindwa tutapata mwingne mzuri kama yeye au zaidi usajiri ni kamali