LEMA AIKAANGA SERIKALI KISA UTALII, NANI ANAMJUA WEMA? "MWAMBIENI MTOTO WA RAIS SAMIA AENDESHE BODA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • #TANZANIA: Godbless Lema aikaanga Serikali ya Rais Samia, atoa nondo za kuboresha utalii, adai badala ya kumtumia Rais Samia au wakina Steve Nyerere na Wema Sepetu kutangaza utalii wawatumie mfano Ronaldo au Messi kwa sababu wao wana wafuasi wengi zaidi.
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 15

  • @sjdbxjdhsudjxjhd615
    @sjdbxjdhsudjxjhd615 18 дней назад +3

    Nimekuelew kaka Lema lakinpunguza maneno makali ccm tatizo mfumo wao umechoka kufikiria kuondoa umaskini.

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 18 дней назад +3

    Hapo na mwika kwa Tengia hakuna maji. Ndio moja 500

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 18 дней назад +3

    Wameuwa viwanda vyote zaidi ya yote ati sasa wanauza Bandari iliyokuwa imebaki. Ndege waliuza ikafa Masikini Magufuli akaifufua mara wamemuondoa ili wakataifishe. Kweli tunawatu na akili bungeni kweli. Tuna wabunge wachawa wote wa Samia. Wakisha sifia Samia mjadala umekwisha. Mbunge Mpina wamemfukuza kwa sababu alikuwa anaongea kuhusu wanainchi. Kwao ni kudharau bunge la wachawa.

  • @mlyamalitv1789
    @mlyamalitv1789 18 дней назад +1

    Kweli tuna wabunge maboya yanaelea elea tu.

  • @yomseyyomsey5114
    @yomseyyomsey5114 17 дней назад +2

    Huyu jamaa Anajua NAMKUBALI SANA Anajua Sana SIASA Hakika Anajua Namkubali sana na Mungu Amlinde sana HAKIKA Ni mchambuzi Bora Na Nguli wa Uchumi, Jamii, SIASA Na HAKUNA Mwana-ccm ATAMUWEZA Kwa Hoja Huyu bwana.

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 18 дней назад +3

    Kwakweli lema unamaarifa

    • @mlyamalitv1789
      @mlyamalitv1789 18 дней назад +1

      Huyu Bwana ni mashine, Rasilimali ya nchi.

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 17 дней назад

    Great visionary,

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 18 дней назад +2

    Hiyo Royal tour ilikuwa anataka kujionyesha watu wamwone. Kwani alikuwa ndiyo ameingia offisini na alikuwa hajatalii kama anavyofanya sasa. Je sasa bado anakumbuka hiyo Royal tour. Samia anadhani kuwa raisi kila mtu anamfaham duniani kote. Africa hatuna watawala wenye akili. Hasa Tanganyika na watu wenyewe pia hata Zanzibar tu wanatuzidi kufikili. Zanzibar ina raisi wake mzanzibari, serikali yao, na maamuzi ya Inchi yao. Kwani Tanganyika iliungana na Inchi gani sasa? Sasa Tanganyika haina serikali yake kwa sababu ati wanainchi wote Tanganyika hawawezi kuwa raisi. Mpaka ati Zanzibar imetuazima raisi. Kweli watanganyika wako na akili?

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 18 дней назад +3

    Bango la Samia na Stiiv Nyerere 😁😁😁😁

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 17 дней назад

    Ikiwa wa kwsko haenxeshi bodaboda vipi wa Raisi?Mlikimbia hapa wakati wa magu mukenda Ulaya tofauti na viongozi wa aACT WAZALENDO walibakia na watu wso wakati wa shida japo kina Jussa walipata ulemavu wakini walionrsha kwa vitendo kuwa wapo na wenxao wskati wa rsha ns shida.Nyinyi CHADEMA kazi yenu maneno tu yasio na vitendo.

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward 18 дней назад

    Msingi ni wazo, wametangaza mpaka hapo, wanaweza kuboresha zaidi kwa kutumia hao watu maarufu. Msingi Rais kwa uweka tayari tuboreshe zaidi

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w 18 дней назад

    👋👋👋👋