Ametumia hekima sana uyu mbunge, amesema tu samia oyeee na ajasema raisi oyeee. Amelazimishwa kusema ccm oye hakuingia kwenye mtego. Nimempongeza kuhusu swala la utekaji amefikisha ujumbe
Kiukwer mweshimiwa mbunge ameongea Kwa ujasir na upendo wa nchi Yake na mama samia kasikia vizur oja zake piga kazi mweshimiwa mbunge wananchi wako wanakutegemea
Mama yetu hongera sana,, nakupenda Kama Rais wangu,,ila angalia sisi walimu tusio na ajira ,,tuko hoi mtaani,,mwaka huu hatuelew unalenga nini had mda huu hakuna lolote
Mhe: AIDAH Mbunge jimbo la Nkasi mama amekuheshimisha sana kubali kumwaga manyanga Rudi CCM! Kubali yaishe! Mimi Binafsi nakukubali sana na mlinitunza na kunilea na wazazi wako nikiwa naishi kwenye nyumba yenu hapo Namanyere! Ugali wa Ulezi na panyapori msosi saaaafiiii sana!
CHUNGA SANA !! HUYO MBUNGE AIDAN KICHWA KIPO SANA SAWA NA MOYO UNAODUNDA USIKU NA MCHANA !!! HATA MIMI NA UZEE WANGU NAMKUBALI KAIVA , KATAKATA ,KABOREKA NA ANASISIMUA !! ATAKUELEWA ,ATAKUELEWESHA NA ANAWEZA KUKUAIBISHA UTAKAPOKAA VISIVYO !
Wewe ni kilaza.kuna chama na rais hata kama ukiwa chama pinzani unakutana na rais Kuna utaratibu wa kuongea na rais mbele ya hadhara.huwezi mdhalilisha. Ni kosa la kiuongozi.sasa anapomkosoa hadharani mbele yake Inamaanisha unamdharau na kumuaibisha.mambo ya vyama baadae pale alikuwa anaongea na rais wa nchi sio mwenyekiti wa Cha Cha mapinduzi Kwa sababu ziara ni ya rais sio ziara ya ccm.iwapo ingekuwa ziara ya chama wamgeitwa Wana cm tu na uniform Zao wakavaa.umemuona Samia amevaa gwanda?
Hongera sana aida upo vizuri.
Bigger up sna mbunge wetu kwa kazi na Hoja,nzuri ya kujenga
Safi sanaaaaa Mh Mbunge kutoka chama kubwa CHADEMA.
Chama chenye watu wenye akili inayowaza sawasawa.
hongera aida
Mheshimiwa mbunge unaakili sana .Hongera sana
Huyu dada anaakili nyingi, wananchi walipata mali🎉🎉
Hongera Aida vry bright
Very bright!!!
Hongera aida
Hallo mambo vip?
Ametumia hekima sana uyu mbunge, amesema tu samia oyeee na ajasema raisi oyeee. Amelazimishwa kusema ccm oye hakuingia kwenye mtego. Nimempongeza kuhusu swala la utekaji amefikisha ujumbe
Well said madam
Yuko vizuri
Aida mitano tena
Samia ni mwizi wa ccm utaenda zanzibar kwa ujumla ccm wezi
Usije kushangaa Mbowe na Lissu watamkasirikia huyo mbunge.
Safi sana mbunge. Ukiona raisi katikisa kichwa basi ujue amekukubali. Endelea kukipigania chama chako.
Saf sana mbunge wetu 5 tena mbunge wetu
Mwenyezi mungu yupo nasi
Uraisi ni nafasi isio kuwa na chama aida kaongea vizuri,,izo ndio siasa,,,ccm wamuone alie tokana na ccm na chadema wamuone alie tokana na chadema,,
Haida upewe hata uenyekiti❤❤
aida wenikicha sana kunamuzindi paka uyolaisi
Hapo kuanza kwa kumsifia tu Mama ndo umenikwaza kwingine exllent
Hakika jeshi
Kunasehemu wanapata wabunge jamani siyo wagonga meza
Mbona kwa samia hawakat saut
Sf umeongea pointi zakutosha
Madam aida kenan namuamini hata nikiwa usingizini ujue
Aida anajua wanachofanya safi Aida
Wamekata sauti safi sana Mbunge
2025 aida atasimama hapo kwa ticket ya ccm😂😂anaongea kabisa kama mwana kijani
Umeongea vema , ila kwenye kupandisha bei ya chakula sio sawa, u ungeshauri pembejeo ziwe bei chini zaidi
Kiukwer mweshimiwa mbunge ameongea Kwa ujasir na upendo wa nchi Yake na mama samia kasikia vizur oja zake piga kazi mweshimiwa mbunge wananchi wako wanakutegemea
Aida kiboko sana
Hapo ndo unapokosea sasa unamfosi mtu aseme ccm oyeee ndo Chama chake?acha aseme kile alichonacho moyoni sio kumfosi aseme unachotaka wewe
Uko sawa
P1
Umerudia neno mheshimiwa rais mno
Ulitaka akuite ww?
Huyu anajua anachokifanya asifananishwe na Msigwa. Msifikiri kutukana ndiyo upinzani.
mubunge anayejitambua kweli;
Umeonja tunda tayari kwishinee. Mungu atutetee sie hatuna mtetezi duniani
Mama ni mbwa uyo
Mama yetu hongera sana,, nakupenda Kama Rais wangu,,ila angalia sisi walimu tusio na ajira ,,tuko hoi mtaani,,mwaka huu hatuelew unalenga nini had mda huu hakuna lolote
Huu ndio uzalendo
Samia offered the state house to Harmonize and Mwijaku to abuse Diamond Platnumz with Uchawi...Aibu Tanzania😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tunashida miaka mitano
UKO VIZURI SANA MBUNGE KENANI
Kenani for president 2030.
Mimi natamani hata huyu mwanamke tumfukuze kwenye chama chetu cha Chadema, Mzinguaji tu
Unakosea sana Jamani Aida kenani yuko vizuri Mno Mbunge makini wa Chadema.
@@emmanuelsulle911HAKUNA KABISA kwani unamtofautisha vipi na mwana CCM?
Mambo ya kupotezeana muda tu, hakuna jipya
Hao walisha onja tunda
Unga juhudi na wewe ni walewale kwedaaa
Saiz ziara za nje zimepungua
Watanzania mambumbumbu kama ww wataishia kugeuza maneno hivo hivo tu mpaka wanazeeka.
Aida tuko salama kweli na watu wanatekwa
Mbona wewe hujatekwa au una hamu!
Watanzania mnajiteka wenyew Ili mpew hela na serekali yenu achen ujinga sana
Kwahiyo wanajiteka navkujipiga risasi?
Kwa nn mnakatakata -Shame on u!!
Akuna mupizan Tanzania 😂😂😂😂
Watu wanajuwa kusoma alama za nyakati
Mhe: AIDAH Mbunge jimbo la Nkasi mama amekuheshimisha sana kubali kumwaga manyanga Rudi CCM! Kubali yaishe! Mimi Binafsi nakukubali sana na mlinitunza na kunilea na wazazi wako nikiwa naishi kwenye nyumba yenu hapo Namanyere! Ugali wa Ulezi na panyapori msosi saaaafiiii sana!
Akili fupi
kwani akiwa chadema hafanyi kazi?
Uyu hayupo Chadema amekaa bungeni bila mgongo wa Chama chake😅😅
Umefeli
Nini kaongea kibaya hapo? Labda nijifunze toka kwako
Samia yupo CCM kama rais,je uyo ni mbunge kwa Chama kipi?
Muda wakutafta kura
Wewe sawa na msigwa tu
CHUNGA SANA !! HUYO MBUNGE AIDAN KICHWA KIPO SANA SAWA NA MOYO UNAODUNDA USIKU NA MCHANA !!! HATA MIMI NA UZEE WANGU NAMKUBALI KAIVA , KATAKATA ,KABOREKA NA ANASISIMUA !! ATAKUELEWA ,ATAKUELEWESHA NA ANAWEZA KUKUAIBISHA UTAKAPOKAA VISIVYO !
Mama Samia waganga WA kienyeja tunaomba wapigwe marufuku ndio chazo Cha mauaji kwanini wapewe leseni?
HAKUNA UPINZANI Hii Nchi, Hakuna HAKUNA HAKUNA, ni kusifia Ujinga Ujinga tu. Aida sio huyo ninayemjua.
Mapunguani tu ndiyo wenye mawazo ya kupinga hata Yale mazuri.
Ulitaka atukane matusi ufurahie maana kichwa yako ndo inaamini ndo upinzani
Mmmh
Aibu chandama
Kazi ya mpinzani nikuikosoa serikali kuonesha nikwann haifai kua madarakani
Ukiona mpinzani anaisifia serikali huyo siompinzan huyo analake jambo
Jiulize yupo bungeni kwa mgongo wa Chama kipi wakati Chadema hawapo😂😂😂 na je nikweli hawapo wengine
Hata Rish Sunak juzi Tu kamsifia mpinzani wake bungeni, siasa sio vita
Mbunge Aidan nakupongeza saana uko vzr mtetezi wa wanyonge
Kweli
Wewe ni kilaza.kuna chama na rais hata kama ukiwa chama pinzani unakutana na rais Kuna utaratibu wa kuongea na rais mbele ya hadhara.huwezi mdhalilisha. Ni kosa la kiuongozi.sasa anapomkosoa hadharani mbele yake Inamaanisha unamdharau na kumuaibisha.mambo ya vyama baadae pale alikuwa anaongea na rais wa nchi sio mwenyekiti wa Cha Cha mapinduzi Kwa sababu ziara ni ya rais sio ziara ya ccm.iwapo ingekuwa ziara ya chama wamgeitwa Wana cm tu na uniform Zao wakavaa.umemuona Samia amevaa gwanda?