MBUNGE WA CHADEMA AMLILIA RAIS SAMIA HADHARANI, AWACHONGEA VIONGOZI, "HATUTAKI MACHAFUKO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 87

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 Месяц назад +1

    Hongera sana aida upo vizuri.

  • @LoningoMollel-y3k
    @LoningoMollel-y3k 3 месяца назад +3

    Bigger up sna mbunge wetu kwa kazi na Hoja,nzuri ya kujenga

  • @meiruzibwe9145
    @meiruzibwe9145 2 месяца назад +1

    Safi sanaaaaa Mh Mbunge kutoka chama kubwa CHADEMA.
    Chama chenye watu wenye akili inayowaza sawasawa.

  • @oberdmshungu7304
    @oberdmshungu7304 Месяц назад

    hongera aida

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 3 месяца назад +6

    Mheshimiwa mbunge unaakili sana .Hongera sana

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 2 месяца назад +2

    Huyu dada anaakili nyingi, wananchi walipata mali🎉🎉

  • @masoudsalum
    @masoudsalum 3 месяца назад +3

    Hongera Aida vry bright

  • @matesosamwel6685
    @matesosamwel6685 3 месяца назад +1

    Very bright!!!

  • @johnfani9380
    @johnfani9380 3 месяца назад +4

    Hongera aida

  • @LoningoMollel-y3k
    @LoningoMollel-y3k 3 месяца назад +1

    Hallo mambo vip?

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 3 месяца назад +3

    Ametumia hekima sana uyu mbunge, amesema tu samia oyeee na ajasema raisi oyeee. Amelazimishwa kusema ccm oye hakuingia kwenye mtego. Nimempongeza kuhusu swala la utekaji amefikisha ujumbe

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 3 месяца назад +1

    Well said madam

  • @salmamsuya1043
    @salmamsuya1043 2 месяца назад

    Yuko vizuri

  • @vincentmpupua5839
    @vincentmpupua5839 3 месяца назад +3

    Aida mitano tena

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi 3 месяца назад +2

    Samia ni mwizi wa ccm utaenda zanzibar kwa ujumla ccm wezi

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 2 месяца назад

    Usije kushangaa Mbowe na Lissu watamkasirikia huyo mbunge.

  • @kennethmanangwa8189
    @kennethmanangwa8189 3 месяца назад

    Safi sana mbunge. Ukiona raisi katikisa kichwa basi ujue amekukubali. Endelea kukipigania chama chako.

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 3 месяца назад

    Saf sana mbunge wetu 5 tena mbunge wetu

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 3 месяца назад +3

    Mwenyezi mungu yupo nasi

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba 3 месяца назад +2

    Uraisi ni nafasi isio kuwa na chama aida kaongea vizuri,,izo ndio siasa,,,ccm wamuone alie tokana na ccm na chadema wamuone alie tokana na chadema,,

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 3 месяца назад

    Haida upewe hata uenyekiti❤❤

  • @DaviesChitumbula
    @DaviesChitumbula Месяц назад

    aida wenikicha sana kunamuzindi paka uyolaisi

  • @damasngottea1730
    @damasngottea1730 3 месяца назад +2

    Hapo kuanza kwa kumsifia tu Mama ndo umenikwaza kwingine exllent

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 3 месяца назад +2

    Kunasehemu wanapata wabunge jamani siyo wagonga meza

  • @imakitori399
    @imakitori399 2 месяца назад

    Mbona kwa samia hawakat saut

  • @JohnMhogo-hd3fs
    @JohnMhogo-hd3fs 3 месяца назад +2

    Sf umeongea pointi zakutosha

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman 3 месяца назад +2

    Madam aida kenan namuamini hata nikiwa usingizini ujue

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 3 месяца назад +1

    Aida anajua wanachofanya safi Aida

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 3 месяца назад +1

    Wamekata sauti safi sana Mbunge

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 3 месяца назад +2

    2025 aida atasimama hapo kwa ticket ya ccm😂😂anaongea kabisa kama mwana kijani

  • @issaidrisamusa5962
    @issaidrisamusa5962 3 месяца назад +1

    Umeongea vema , ila kwenye kupandisha bei ya chakula sio sawa, u ungeshauri pembejeo ziwe bei chini zaidi

  • @Frolian-j9o
    @Frolian-j9o 3 месяца назад +1

    Kiukwer mweshimiwa mbunge ameongea Kwa ujasir na upendo wa nchi Yake na mama samia kasikia vizur oja zake piga kazi mweshimiwa mbunge wananchi wako wanakutegemea

  • @jochachallengetv7061
    @jochachallengetv7061 3 месяца назад +1

    Aida kiboko sana

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 3 месяца назад +2

    Hapo ndo unapokosea sasa unamfosi mtu aseme ccm oyeee ndo Chama chake?acha aseme kile alichonacho moyoni sio kumfosi aseme unachotaka wewe

  • @Masoya-r8h
    @Masoya-r8h 2 месяца назад

    P1

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 3 месяца назад +2

    Umerudia neno mheshimiwa rais mno

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 3 месяца назад +4

    Huyu anajua anachokifanya asifananishwe na Msigwa. Msifikiri kutukana ndiyo upinzani.

  • @MazibaOnesimo-my8gu
    @MazibaOnesimo-my8gu 3 месяца назад +1

    mubunge anayejitambua kweli;

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 3 месяца назад

    Umeonja tunda tayari kwishinee. Mungu atutetee sie hatuna mtetezi duniani

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi 3 месяца назад

    Mama ni mbwa uyo

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho 3 месяца назад

    Mama yetu hongera sana,, nakupenda Kama Rais wangu,,ila angalia sisi walimu tusio na ajira ,,tuko hoi mtaani,,mwaka huu hatuelew unalenga nini had mda huu hakuna lolote

  • @LusunguLupenza-lf7fk
    @LusunguLupenza-lf7fk 3 месяца назад +1

    Huu ndio uzalendo

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b 3 месяца назад +1

    Samia offered the state house to Harmonize and Mwijaku to abuse Diamond Platnumz with Uchawi...Aibu Tanzania😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @theonalyalfred8087
    @theonalyalfred8087 3 месяца назад

    Tunashida miaka mitano

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 3 месяца назад +1

    UKO VIZURI SANA MBUNGE KENANI

  • @MwitaTv
    @MwitaTv 3 месяца назад

    Mimi natamani hata huyu mwanamke tumfukuze kwenye chama chetu cha Chadema, Mzinguaji tu

    • @emmanuelsulle911
      @emmanuelsulle911 3 месяца назад

      Unakosea sana Jamani Aida kenani yuko vizuri Mno Mbunge makini wa Chadema.

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 3 месяца назад

      ​@@emmanuelsulle911HAKUNA KABISA kwani unamtofautisha vipi na mwana CCM?

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 3 месяца назад

    Mambo ya kupotezeana muda tu, hakuna jipya

  • @BeatusNgereza
    @BeatusNgereza 3 месяца назад

    Hao walisha onja tunda

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 месяца назад

    Unga juhudi na wewe ni walewale kwedaaa

  • @davidsuleman233
    @davidsuleman233 3 месяца назад

    Saiz ziara za nje zimepungua

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 3 месяца назад

      Watanzania mambumbumbu kama ww wataishia kugeuza maneno hivo hivo tu mpaka wanazeeka.

  • @AndrewJulius-hg4bd
    @AndrewJulius-hg4bd 3 месяца назад

    Aida tuko salama kweli na watu wanatekwa

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 3 месяца назад

    Watanzania mnajiteka wenyew Ili mpew hela na serekali yenu achen ujinga sana

  • @Sangaadam
    @Sangaadam 3 месяца назад

    Kwa nn mnakatakata -Shame on u!!

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe7708 3 месяца назад +3

    Akuna mupizan Tanzania 😂😂😂😂

  • @martinemaganga5253
    @martinemaganga5253 3 месяца назад

    Watu wanajuwa kusoma alama za nyakati

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango 3 месяца назад

    Mhe: AIDAH Mbunge jimbo la Nkasi mama amekuheshimisha sana kubali kumwaga manyanga Rudi CCM! Kubali yaishe! Mimi Binafsi nakukubali sana na mlinitunza na kunilea na wazazi wako nikiwa naishi kwenye nyumba yenu hapo Namanyere! Ugali wa Ulezi na panyapori msosi saaaafiiii sana!

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 3 месяца назад

    Uyu hayupo Chadema amekaa bungeni bila mgongo wa Chama chake😅😅

  • @davidsuleman233
    @davidsuleman233 3 месяца назад

    Muda wakutafta kura

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817 3 месяца назад +2

    Wewe sawa na msigwa tu

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 3 месяца назад +2

    CHUNGA SANA !! HUYO MBUNGE AIDAN KICHWA KIPO SANA SAWA NA MOYO UNAODUNDA USIKU NA MCHANA !!! HATA MIMI NA UZEE WANGU NAMKUBALI KAIVA , KATAKATA ,KABOREKA NA ANASISIMUA !! ATAKUELEWA ,ATAKUELEWESHA NA ANAWEZA KUKUAIBISHA UTAKAPOKAA VISIVYO !

  • @SaidHamis-yz1vt
    @SaidHamis-yz1vt 3 месяца назад +2

    Mama Samia waganga WA kienyeja tunaomba wapigwe marufuku ndio chazo Cha mauaji kwanini wapewe leseni?

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 3 месяца назад

    HAKUNA UPINZANI Hii Nchi, Hakuna HAKUNA HAKUNA, ni kusifia Ujinga Ujinga tu. Aida sio huyo ninayemjua.

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 3 месяца назад

      Mapunguani tu ndiyo wenye mawazo ya kupinga hata Yale mazuri.

    • @sylvanuskavindi2756
      @sylvanuskavindi2756 2 месяца назад

      Ulitaka atukane matusi ufurahie maana kichwa yako ndo inaamini ndo upinzani

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba 3 месяца назад

    Mmmh

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe7708 3 месяца назад

    Aibu chandama

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 3 месяца назад +3

    Kazi ya mpinzani nikuikosoa serikali kuonesha nikwann haifai kua madarakani
    Ukiona mpinzani anaisifia serikali huyo siompinzan huyo analake jambo

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 3 месяца назад

      Jiulize yupo bungeni kwa mgongo wa Chama kipi wakati Chadema hawapo😂😂😂 na je nikweli hawapo wengine

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 месяца назад

      Hata Rish Sunak juzi Tu kamsifia mpinzani wake bungeni, siasa sio vita

    • @evampuya-mp9vf
      @evampuya-mp9vf 3 месяца назад

      Mbunge Aidan nakupongeza saana uko vzr mtetezi wa wanyonge

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 3 месяца назад

      Kweli

    • @pueblo148
      @pueblo148 3 месяца назад

      Wewe ni kilaza.kuna chama na rais hata kama ukiwa chama pinzani unakutana na rais Kuna utaratibu wa kuongea na rais mbele ya hadhara.huwezi mdhalilisha. Ni kosa la kiuongozi.sasa anapomkosoa hadharani mbele yake Inamaanisha unamdharau na kumuaibisha.mambo ya vyama baadae pale alikuwa anaongea na rais wa nchi sio mwenyekiti wa Cha Cha mapinduzi Kwa sababu ziara ni ya rais sio ziara ya ccm.iwapo ingekuwa ziara ya chama wamgeitwa Wana cm tu na uniform Zao wakavaa.umemuona Samia amevaa gwanda?