BREAKING: MWABUKUSI ASHINDA KESI, RASMI KUGOMBEA URAIS WA TLS, AFUNGUKA MAZITO, MAWAKILI PAMOJA NAE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 177

  • @ChrianusKamuganga
    @ChrianusKamuganga 2 месяца назад +9

    Hongera sana Mh,Mwabukusi binasfi siyo mwanasheria ila nakukubari sana utasimamia haki . Naomba mawakili wotee mpeni kura zotee mlinzi Wa Mali za Watanganyika

  • @VumiDavid-lo1cl
    @VumiDavid-lo1cl 2 месяца назад +1

    Hongela kaka mwabukusi mungu akulinde kaka yangu wa busokelo

  • @StephenKimondo-qw3et
    @StephenKimondo-qw3et 2 месяца назад +3

    Hongera sana Mwana wa Tanganyika, na mwana wa Busokelo. Umeiheshimisha TLS na umetuheshimisha Busokelo. I am so proud of you. May God bless you and grant you what you deserve in the forthcoming TLS elections. Mungu awe pamoja nawe daima!

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 2 месяца назад +11

    Hapo mi naona Bado,maana nikikuangalia namuona magufuli kabisa hapo ebu Mungu akufanye uwe rais wa nchi kabisaa aminaaaaaaaaaaa

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 2 месяца назад +1

      Magufuli hamfikilii mwambukusi huyu jamaa ni mzarendo wa kweli kwasababu anataka katiba mpya magufuli alikuwa sio mzarendo wa vitendo kwasababu hakutaka katiba mpya walitaka aongoze nchi kwa matakwa yake na ubabe

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 2 месяца назад

      Kwani magufuli ni nani?

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 2 месяца назад +1

    Clever head. Amen

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 2 месяца назад +14

    Aliye muona mdude aweke like hapo chini

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 2 месяца назад +4

    Hongera sana kaka pamoja na timu yako yote,naomba msijisahau wapinzani wenu watatumia njia zingine kubatilisha ushindi wenu kuweni makini,mnayafurahia matokeo watajipanga upya

  • @FaustineKingu
    @FaustineKingu 2 месяца назад

    Mh Mwambukusi Mungu akulinde uko vizuri sana tupo pamoja nawe

  • @albinusmkono5887
    @albinusmkono5887 2 месяца назад

    Dah. Hongela sana mlinda haki hakika nafuraha isiyo nakifani sasa taifa la Tanganyika limeanza kuelekea sehemu salama hasa kukomesha mikataba mibovu.nk chini ya usimamizi kiongozi wewe mwabukus na mawakili wezanko.hakika mungu Yupo na watanzania.pia Asante majaji kwa kujiheshimisha na kueheshimisha mahakama .hamtasahaulika ktk historia ya watu watenda haki ktk nchi hii.tumezoea majaji kuwaona wanatoa maamzi kuliko kuzingatia maslahi ya nchi Bali kikundi Cha watu.leo furaha niliyonayo.haina kifani.niwaombe sasa mawakili wote ambao sio mapandikizi wote mpigieni kura zote muongza njia mwabukus awe rais

  • @gilbertmkandawire5660
    @gilbertmkandawire5660 2 месяца назад +1

    Big up sana, though I'm not a lawyer justice's invertible.

  • @AdamChambo-mf4ek
    @AdamChambo-mf4ek 2 месяца назад +1

    Hongera sana Mwambukusi Mungu akutanguliye,hivi ndivyo wanadamu walivyo usichoke mkono wa Mungu upo upande wako.

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 2 месяца назад

    Hongereni kwa ujasiri mkuu iko siku mambo ya kihuni yatakoma

  • @FaustineKingu
    @FaustineKingu 2 месяца назад

    Mh Mwambukusi Mungu akilinde na ushinde uchaguzo wote wakuchague kura za ndio

  • @SichivulaGevasi
    @SichivulaGevasi 2 месяца назад

    Munguakubaliki sana

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 2 месяца назад

    Pamoja sana, Mwabukusi. May the God almighty bless you.

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 2 месяца назад +2

    Together as ONES Mwabukusi Stay Blessed TUIJENGE TANGANYIKA YETU Z

  • @leocadianjau7410
    @leocadianjau7410 2 месяца назад +1

    God is great🙏🙏🛐🛐🛐
    Mapambano yaendelee naombeni mawakili msituangushe kura zote kwa wakili mpambanaji Mwabukusi👏👏👏👏🤛🤛💪💪💪

  • @FLORENCEYUDAMKAMA-xl7jl
    @FLORENCEYUDAMKAMA-xl7jl 2 месяца назад +1

    VIVA SANA TANZANIA

  • @CharlesMarupa
    @CharlesMarupa 2 месяца назад +2

    Hongereni mawakili wetu, Mungu awabariki.

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong8123 2 месяца назад

    Hongera sana kaka tunakutakia kila la kheli ktk safari ya kulitetea taifa

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 2 месяца назад

    Hongereni Sana.Wapiganiao Haki.Mungu Usimama.Pamoja NAO.

  • @vincentmpupua5839
    @vincentmpupua5839 2 месяца назад

    Hongera you deserve the best.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 2 месяца назад

    Hongera Mahakama Mihimili muhimu sana❤❤❤❤

  • @MawazoMofu
    @MawazoMofu 2 месяца назад

    Big up Kajujumele Bonifas Mwabukus 🇹🇿 🙏

  • @AtanasioKalinga
    @AtanasioKalinga 2 месяца назад

    Asante baba hakupata hasara

  • @ndeshilema4788
    @ndeshilema4788 2 месяца назад

    Hongera mtumishi

  • @ngusawales2039
    @ngusawales2039 2 месяца назад +1

    Mbeya nawaelewa sana isipokuwa mmoja tuuu🚣🚣🚣🚣

  • @winstonmwalukasa831
    @winstonmwalukasa831 2 месяца назад

    Wanyakyusa asili yeti ni kupemda na kuitenda hali safi sanaMwabukusi Kwa uwakilishi mzuri

  • @reginas1832
    @reginas1832 2 месяца назад

    Wow! Naomba apewe hicho kiti cha Urais TLS

  • @yaronaWilliam
    @yaronaWilliam 2 месяца назад

    Big up Mwambukuzi!

  • @SaidiMohamedi-n2u
    @SaidiMohamedi-n2u 2 месяца назад +2

    Hongera mkombozi wa sheria

  • @bettersonkwanama4003
    @bettersonkwanama4003 2 месяца назад

    Hongera Sana Mahakama kusimamia haki ya Mwabukusi.

  • @aliykamaga4174
    @aliykamaga4174 2 месяца назад +2

    Mungu akulinde mwabukusiwetu

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 2 месяца назад

    Hongera Mwambukusi mungu akutangulie

  • @JohnMasenya-l1x
    @JohnMasenya-l1x 2 месяца назад

    Yani wewe ni kiongozi nakufananishabna biteko u naongea kwa hisia na unamaanisha Asante sana

  • @JohnMasenya-l1x
    @JohnMasenya-l1x 2 месяца назад

    Da! Hongera muhemiwa tayari umeshashinda mkuu

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620 2 месяца назад +3

    Hongera kamanda

  • @AllyFaraji-r4y
    @AllyFaraji-r4y 2 месяца назад +2

    Mbeya mungu kawabalili sana mna watu wenye akili nyingi sana

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 2 месяца назад +1

    Hallelujah Hallelujah Hallelujah MUNGU AKUINUE

  • @ngusawales2039
    @ngusawales2039 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤ mwakibus

  • @recenttechnologiestanzania2703
    @recenttechnologiestanzania2703 2 месяца назад +1

    Hongera

  • @willymwakasweswe2959
    @willymwakasweswe2959 2 месяца назад

    Uko vuzuri kaka mungu akusimamie

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 2 месяца назад +1

    Mungu mwema sana Hongera sana brother Mwabukusi

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 2 месяца назад

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🍎🍎🍎 Mungu mkubwa akulinde daima ktk ulimwengu huuuu uliojaaa uharamia ndani ya Taifa letu, Mungu ameonyesha njia iliyotekwa na familia ya jamaaaa zetu na siyo Kwa manufaaa ya Taifa bali Kwa manufaaa yao binafsi ❤❤❤❤❤

  • @josephmwinuka3982
    @josephmwinuka3982 2 месяца назад

    Mawakili muungeni mkono mwambukusi atatupeleka mbali sana

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd 2 месяца назад +2

    dah safi sana, wa tz badirikeni.

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 2 месяца назад

    Safi sanaaaaaaa

  • @PaulKabungo
    @PaulKabungo 2 месяца назад

    Hongera Sana tunawategemea Sana mawakili

  • @salama1113
    @salama1113 2 месяца назад

    Mungu ni mwema🙏

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 2 месяца назад

    Mhe jaji big up

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 2 месяца назад

    Mungu awasimamie mawakili wazawa na wazalendo wa haki na kweli❤

  • @NewardNgoya-uy4up
    @NewardNgoya-uy4up 2 месяца назад

    Bendera chuma mlingoti chuma
    Huyu kwanini usipewe waziri wa. Sheria

  • @EmmanuelKiula
    @EmmanuelKiula 2 месяца назад +1

    I ❤ u from my inner part of my ❤

  • @claverymayango8288
    @claverymayango8288 2 месяца назад

    Big up sana

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 2 месяца назад +1

    Asante kaka mwabukusi.

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 2 месяца назад

    Yesiiii Wakwetu Go do Reforms..TLS.There! GO GET BROTHER.

  • @zaydamos874
    @zaydamos874 2 месяца назад

    Safi sana mahakama kwa kutenda haki kwa sinia mwabukusi

  • @VITUSPROTUS-wh4mn
    @VITUSPROTUS-wh4mn 2 месяца назад

    U deserve even 2be the national President 👏👏👏👏👏

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti 2 месяца назад +3

    Hongera mwabukusi gwakukaja.

  • @SinarahaNtaraha
    @SinarahaNtaraha 2 месяца назад

    Safi sana Allah ametutendea haki

  • @simbamalala
    @simbamalala 2 месяца назад

    Hongera sana Mwabukusi

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 2 месяца назад

    Nakuelewa vama sana

  • @MichaelKibona-p9m
    @MichaelKibona-p9m 2 месяца назад

    Hawa wanajianda kwa mbinu zingine, hivyo basi kuweni makini sana,sana,hao machawa wanambinu nyingi❤❤❤❤

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 2 месяца назад

    Eeeeeh big man..... Mwabhukusiiiiiíiiiii.
    Nyota njema huonekana muda wote!!
    Conglatulations brother..wewe.ni mwamba wa haki !!

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 2 месяца назад

    Mungu awe l pamoja na nawe na wapenda haki wote

  • @AlexWambura-w9v
    @AlexWambura-w9v 2 месяца назад +1

    Asanteeee❤❤❤❤

  • @johnkasonta410
    @johnkasonta410 2 месяца назад

    Nimefurahi sana kwa uamuzi wa Mahakama. Nina hamu ya kuona effectiveness ya yeye kama Kiongozi wa TLS.Kila lenye heri na baraka zake Mwenyezi Mungu!

  • @SubiranTimo
    @SubiranTimo 2 месяца назад

    Mungu awabariki wana sheria wote sasa mkawe walinzi wa kula hao wasituibie

  • @Shadiasemdami
    @Shadiasemdami 2 месяца назад

    Ongera sana. Raiasi. Wama wakiri. Sasa. Usitusahau. Wanyonge. Mnguakusaidie. Namaisha. Mema. Ratan. Mha ,

  • @rabiakitigwa9120
    @rabiakitigwa9120 2 месяца назад

    God bless you forever sio tu rais wa TLS bali unafaa kuwa rais wa nchi

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 2 месяца назад +1

    Mawakili mubarikiwe sana

    • @evancegidion9155
      @evancegidion9155 2 месяца назад

      Hakika tunawategemea sana, na mchakato ukamilike haraka nawe upite ili maono ya watanganyika kupitia TLS yaweze kutimia

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 2 месяца назад

    Kongole my brother,

  • @JaphetMwandilawa-js2hh
    @JaphetMwandilawa-js2hh 2 месяца назад

    Hongera sana brother Mwabhukusi

  • @johnkatundu1878
    @johnkatundu1878 2 месяца назад

    Big up Mwabukusi

  • @emmanuelkayavugwa8049
    @emmanuelkayavugwa8049 2 месяца назад

    Nikikuona, namtukuza Mungu, tunahitaji nguvu ya Tls katika kuijenga Tanzania mpya

  • @JumaMkiji
    @JumaMkiji 2 месяца назад

    Good mungu atakubaliki

  • @OSWARDPANJA
    @OSWARDPANJA 2 месяца назад

    Safisana atashinda bila kupingwa kwa uwezo wa mungu na mwingu na babu. Zetu. Watamusimamia kivyovyote vile songambele Simba

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 2 месяца назад

    CONGRATULATIONS,WAKILI MWABUKUSI.Hivi karibuni nataka kuona umekuwa RAIS wa TLS.TLS Hoyeeeeeee,Tanzania Hoyeeee.

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 2 месяца назад

    You will feel the punch

  • @PlatnamzChoma-gl4jw
    @PlatnamzChoma-gl4jw 2 месяца назад

    Jembe. Hillo.

  • @rajabukuziganika4823
    @rajabukuziganika4823 2 месяца назад

    Kazi Nzuri Mawakili

  • @michaeladen3816
    @michaeladen3816 2 месяца назад +1

    Nice 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BraysonGodlisten
    @BraysonGodlisten 2 месяца назад +1

    god's great mapambano bado yanaendelea!

  • @FLORENCEYUDAMKAMA-xl7jl
    @FLORENCEYUDAMKAMA-xl7jl 2 месяца назад

    🙏

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 2 месяца назад

  • @cazmwene5864
    @cazmwene5864 2 месяца назад

    Nakubali kaka!

  • @jobjohanes9166
    @jobjohanes9166 2 месяца назад

    Ubarikiwe mwabukuzi

  • @reginamwendwa6709
    @reginamwendwa6709 2 месяца назад

    Mchagueni huyo awe Rais wa Mawakili Big up Mwambukusi

  • @JoachimHhawu
    @JoachimHhawu 2 месяца назад

    NI MWABUKUSI RAIS TLS

  • @OmbeniShoo-kg8dr
    @OmbeniShoo-kg8dr 2 месяца назад

    Wakati ukifika muda wa Mungu alioweka hakuna wa kuzuia anayejaribu anajidanganya.

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya 2 месяца назад

    Hongeraaa

  • @franknnko4744
    @franknnko4744 2 месяца назад

    Pamoja sana

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 2 месяца назад

    Amen!!

  • @knight6757
    @knight6757 2 месяца назад

    MAHAKAMA 💪💪

  • @EmmanuelSimion-d3e
    @EmmanuelSimion-d3e 2 месяца назад

    Wanasheria mpeni kura alete tofauti ktk TLS kwa AJIRI YA manufaa ya watanzania! MUNGU AKULINDE dhidi ya Manyang'au maanake tunajua hawajapenda!!!

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 2 месяца назад

    Tanzânia ina watu makini sana lakini wapo nje ya system

  • @YangaNews
    @YangaNews 2 месяца назад

    Mwabukusi wewe motooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @getrudejulius698
    @getrudejulius698 2 месяца назад +1

    Mwabukusi nione inbox plz nikupongeze sana

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 2 месяца назад

    Hogera mahakama

  • @khatibushemzigwa1137
    @khatibushemzigwa1137 2 месяца назад +1

    Wewe ni jembe tumekukubali sana mungu ame kuchagua pamoja sana mwabukusi