Hongera sana Mh,Mwabukusi binasfi siyo mwanasheria ila nakukubari sana utasimamia haki . Naomba mawakili wotee mpeni kura zotee mlinzi Wa Mali za Watanganyika
Hongera sana Mwana wa Tanganyika, na mwana wa Busokelo. Umeiheshimisha TLS na umetuheshimisha Busokelo. I am so proud of you. May God bless you and grant you what you deserve in the forthcoming TLS elections. Mungu awe pamoja nawe daima!
Magufuli hamfikilii mwambukusi huyu jamaa ni mzarendo wa kweli kwasababu anataka katiba mpya magufuli alikuwa sio mzarendo wa vitendo kwasababu hakutaka katiba mpya walitaka aongoze nchi kwa matakwa yake na ubabe
Hongera sana kaka pamoja na timu yako yote,naomba msijisahau wapinzani wenu watatumia njia zingine kubatilisha ushindi wenu kuweni makini,mnayafurahia matokeo watajipanga upya
Dah. Hongela sana mlinda haki hakika nafuraha isiyo nakifani sasa taifa la Tanganyika limeanza kuelekea sehemu salama hasa kukomesha mikataba mibovu.nk chini ya usimamizi kiongozi wewe mwabukus na mawakili wezanko.hakika mungu Yupo na watanzania.pia Asante majaji kwa kujiheshimisha na kueheshimisha mahakama .hamtasahaulika ktk historia ya watu watenda haki ktk nchi hii.tumezoea majaji kuwaona wanatoa maamzi kuliko kuzingatia maslahi ya nchi Bali kikundi Cha watu.leo furaha niliyonayo.haina kifani.niwaombe sasa mawakili wote ambao sio mapandikizi wote mpigieni kura zote muongza njia mwabukus awe rais
❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🍎🍎🍎 Mungu mkubwa akulinde daima ktk ulimwengu huuuu uliojaaa uharamia ndani ya Taifa letu, Mungu ameonyesha njia iliyotekwa na familia ya jamaaaa zetu na siyo Kwa manufaaa ya Taifa bali Kwa manufaaa yao binafsi ❤❤❤❤❤
Hongera sana Mh,Mwabukusi binasfi siyo mwanasheria ila nakukubari sana utasimamia haki . Naomba mawakili wotee mpeni kura zotee mlinzi Wa Mali za Watanganyika
Hongela kaka mwabukusi mungu akulinde kaka yangu wa busokelo
Hongera sana Mwana wa Tanganyika, na mwana wa Busokelo. Umeiheshimisha TLS na umetuheshimisha Busokelo. I am so proud of you. May God bless you and grant you what you deserve in the forthcoming TLS elections. Mungu awe pamoja nawe daima!
Hapo mi naona Bado,maana nikikuangalia namuona magufuli kabisa hapo ebu Mungu akufanye uwe rais wa nchi kabisaa aminaaaaaaaaaaa
Magufuli hamfikilii mwambukusi huyu jamaa ni mzarendo wa kweli kwasababu anataka katiba mpya magufuli alikuwa sio mzarendo wa vitendo kwasababu hakutaka katiba mpya walitaka aongoze nchi kwa matakwa yake na ubabe
Kwani magufuli ni nani?
Clever head. Amen
Aliye muona mdude aweke like hapo chini
Hongera sana kaka pamoja na timu yako yote,naomba msijisahau wapinzani wenu watatumia njia zingine kubatilisha ushindi wenu kuweni makini,mnayafurahia matokeo watajipanga upya
Mh Mwambukusi Mungu akulinde uko vizuri sana tupo pamoja nawe
Dah. Hongela sana mlinda haki hakika nafuraha isiyo nakifani sasa taifa la Tanganyika limeanza kuelekea sehemu salama hasa kukomesha mikataba mibovu.nk chini ya usimamizi kiongozi wewe mwabukus na mawakili wezanko.hakika mungu Yupo na watanzania.pia Asante majaji kwa kujiheshimisha na kueheshimisha mahakama .hamtasahaulika ktk historia ya watu watenda haki ktk nchi hii.tumezoea majaji kuwaona wanatoa maamzi kuliko kuzingatia maslahi ya nchi Bali kikundi Cha watu.leo furaha niliyonayo.haina kifani.niwaombe sasa mawakili wote ambao sio mapandikizi wote mpigieni kura zote muongza njia mwabukus awe rais
Big up sana, though I'm not a lawyer justice's invertible.
Hongera sana Mwambukusi Mungu akutanguliye,hivi ndivyo wanadamu walivyo usichoke mkono wa Mungu upo upande wako.
Hongereni kwa ujasiri mkuu iko siku mambo ya kihuni yatakoma
Mh Mwambukusi Mungu akilinde na ushinde uchaguzo wote wakuchague kura za ndio
Munguakubaliki sana
Pamoja sana, Mwabukusi. May the God almighty bless you.
Together as ONES Mwabukusi Stay Blessed TUIJENGE TANGANYIKA YETU Z
God is great🙏🙏🛐🛐🛐
Mapambano yaendelee naombeni mawakili msituangushe kura zote kwa wakili mpambanaji Mwabukusi👏👏👏👏🤛🤛💪💪💪
VIVA SANA TANZANIA
Hongereni mawakili wetu, Mungu awabariki.
Hongera sana kaka tunakutakia kila la kheli ktk safari ya kulitetea taifa
Hongereni Sana.Wapiganiao Haki.Mungu Usimama.Pamoja NAO.
Hongera you deserve the best.
Hongera Mahakama Mihimili muhimu sana❤❤❤❤
Big up Kajujumele Bonifas Mwabukus 🇹🇿 🙏
Asante baba hakupata hasara
Hongera mtumishi
Mbeya nawaelewa sana isipokuwa mmoja tuuu🚣🚣🚣🚣
Wanyakyusa asili yeti ni kupemda na kuitenda hali safi sanaMwabukusi Kwa uwakilishi mzuri
Wow! Naomba apewe hicho kiti cha Urais TLS
Big up Mwambukuzi!
Hongera mkombozi wa sheria
Hongera Sana Mahakama kusimamia haki ya Mwabukusi.
Mungu akulinde mwabukusiwetu
Hongera Mwambukusi mungu akutangulie
Yani wewe ni kiongozi nakufananishabna biteko u naongea kwa hisia na unamaanisha Asante sana
Da! Hongera muhemiwa tayari umeshashinda mkuu
Hongera kamanda
Mbeya mungu kawabalili sana mna watu wenye akili nyingi sana
Hallelujah Hallelujah Hallelujah MUNGU AKUINUE
❤❤❤❤❤❤❤ mwakibus
Hongera
Uko vuzuri kaka mungu akusimamie
Mungu mwema sana Hongera sana brother Mwabukusi
❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🍎🍎🍎 Mungu mkubwa akulinde daima ktk ulimwengu huuuu uliojaaa uharamia ndani ya Taifa letu, Mungu ameonyesha njia iliyotekwa na familia ya jamaaaa zetu na siyo Kwa manufaaa ya Taifa bali Kwa manufaaa yao binafsi ❤❤❤❤❤
Mawakili muungeni mkono mwambukusi atatupeleka mbali sana
dah safi sana, wa tz badirikeni.
Safi sanaaaaaaa
Hongera Sana tunawategemea Sana mawakili
Mungu ni mwema🙏
Mhe jaji big up
Mungu awasimamie mawakili wazawa na wazalendo wa haki na kweli❤
Bendera chuma mlingoti chuma
Huyu kwanini usipewe waziri wa. Sheria
I ❤ u from my inner part of my ❤
Big up sana
Asante kaka mwabukusi.
Yesiiii Wakwetu Go do Reforms..TLS.There! GO GET BROTHER.
Safi sana mahakama kwa kutenda haki kwa sinia mwabukusi
U deserve even 2be the national President 👏👏👏👏👏
Hongera mwabukusi gwakukaja.
Safi sana Allah ametutendea haki
Hongera sana Mwabukusi
Nakuelewa vama sana
Hawa wanajianda kwa mbinu zingine, hivyo basi kuweni makini sana,sana,hao machawa wanambinu nyingi❤❤❤❤
Eeeeeh big man..... Mwabhukusiiiiiíiiiii.
Nyota njema huonekana muda wote!!
Conglatulations brother..wewe.ni mwamba wa haki !!
Mungu awe l pamoja na nawe na wapenda haki wote
Asanteeee❤❤❤❤
Nimefurahi sana kwa uamuzi wa Mahakama. Nina hamu ya kuona effectiveness ya yeye kama Kiongozi wa TLS.Kila lenye heri na baraka zake Mwenyezi Mungu!
Mungu awabariki wana sheria wote sasa mkawe walinzi wa kula hao wasituibie
Ongera sana. Raiasi. Wama wakiri. Sasa. Usitusahau. Wanyonge. Mnguakusaidie. Namaisha. Mema. Ratan. Mha ,
God bless you forever sio tu rais wa TLS bali unafaa kuwa rais wa nchi
Mawakili mubarikiwe sana
Hakika tunawategemea sana, na mchakato ukamilike haraka nawe upite ili maono ya watanganyika kupitia TLS yaweze kutimia
Kongole my brother,
Hongera sana brother Mwabhukusi
Big up Mwabukusi
Nikikuona, namtukuza Mungu, tunahitaji nguvu ya Tls katika kuijenga Tanzania mpya
Good mungu atakubaliki
Safisana atashinda bila kupingwa kwa uwezo wa mungu na mwingu na babu. Zetu. Watamusimamia kivyovyote vile songambele Simba
CONGRATULATIONS,WAKILI MWABUKUSI.Hivi karibuni nataka kuona umekuwa RAIS wa TLS.TLS Hoyeeeeeee,Tanzania Hoyeeee.
You will feel the punch
Jembe. Hillo.
Kazi Nzuri Mawakili
Nice 🎉🎉🎉🎉🎉
god's great mapambano bado yanaendelea!
🙏
❤
Nakubali kaka!
Ubarikiwe mwabukuzi
Mchagueni huyo awe Rais wa Mawakili Big up Mwambukusi
NI MWABUKUSI RAIS TLS
Wakati ukifika muda wa Mungu alioweka hakuna wa kuzuia anayejaribu anajidanganya.
Hongeraaa
Pamoja sana
Amen!!
MAHAKAMA 💪💪
Wanasheria mpeni kura alete tofauti ktk TLS kwa AJIRI YA manufaa ya watanzania! MUNGU AKULINDE dhidi ya Manyang'au maanake tunajua hawajapenda!!!
Tanzânia ina watu makini sana lakini wapo nje ya system
Mwabukusi wewe motooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwabukusi nione inbox plz nikupongeze sana
Hogera mahakama
Wewe ni jembe tumekukubali sana mungu ame kuchagua pamoja sana mwabukusi