BALAA! LISSU KUGOMBEA URAIS 2025 | AMTANGAZIA VITA RAIS SAMIA | AMTWANGA ZA USO MSIGWA | "AMEASI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 8

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Месяц назад +1

    Tundulisu unakipaji cha hali ya juu kaka watanzania tunakuunga mkono

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Месяц назад +1

    Sijawahi kupiga kula ila mwaka huu napiga kura

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 Месяц назад +1

    Msigwa asihangaike na chadema, itamvua nguo, Lissu Yuko straight and clear. Inakuonyesha tuu kwamba kaondoka kwa jazba na chuki binafsi.

  • @user-ms6wc7ug6w
    @user-ms6wc7ug6w Месяц назад

    TUNDULISU nitapamban san kila eneo kukupigia kampeni

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад

    Mbona Kenya kuna shida na walioshika madaraka ni Kenya kwanza sasa maandamano kucha kutwa hamna kitu hapo Chadema Saccoss

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter Месяц назад +1

    Kamanda nakuamini kwa aslimia 50 na 50 namuachia mungu nakutakia heri lkn je? Watanzania hawa tulionao wenye njaa japo wanaelewa je hawatahongwa pombe na vijisenti ?

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Месяц назад +1

    Tuko nyuma yako. Sisi ni wa Tanganyika.Tunaitaka Tanganyika yetu. Tumrudishe huyu Mzsnzibari kwao. Kwai, akauze hiyo Zanzibar.

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Месяц назад

    Lakini wewe hata kama magufuli alifanya ila mambo yalikuw safi