TANZANIA KUMEANZA KUCHANMKA, MPINA AFICHUA VIONGOZI SERIKALINI AMBAO SIO RAIA WATANZANIA, WAONDOLEWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
    COPYRIGHT VIOLATION
    For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.

Комментарии • 409

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 10 дней назад +43

    Ni kweli umeongea jambo zuri sana hongera sana kaka

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 10 дней назад +27

    KULA SATO na vyakula vya asili akili NYINGI, GENIUS MPINA..

  • @AmaniMathod
    @AmaniMathod 10 дней назад +17

    GOOD POINT

  • @Fredymwanzo
    @Fredymwanzo 10 дней назад +32

    Asante sana watazania sisi huku congo tuliwakaribisha congo wakati walipinga Rwanda kwasai ao do wanataka kupidua serekali ya congo apa congo tumeteseka sana kwakukarisha wakibizi kutoka Rwanda watusi mungu aone

    • @philiplugalia3724
      @philiplugalia3724 9 дней назад +1

      Jipange muwe na umoja mpige Hao magaidi

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 3 дня назад +1

      Bongo waliojichanganya sana na kujifanya raia ni Wacongo, then kuna raia wengine kutoka nchi zote zilizotuzunguka hata ambazo hazina vita pamoja na Wasomali.

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 10 дней назад +35

    Dah yaani hapo tunaweza vamiwa kirahisi na kuwapa kazi ngumu sana wanajeshi wetu dah kiongozi wetu mpina unachokiongea watu wanaweza wasikuelewe lakini ukweli ndo huo.

    • @SaleheNgoli
      @SaleheNgoli 8 дней назад

      Kiongozi wa familia yenu sisi kiongozi wetu ni Rais Samia

    • @valenakomba7686
      @valenakomba7686 7 дней назад

      NA JINSI TULIVYO WAZEMBE BORA TUU JESHI LIINGILIE KATI.😢

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathini 10 дней назад +20

    Mmmh hapo ni kupashugulikia haraka sana

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 9 дней назад +7

    Asante sana mpina kwa kila siku unazidi kutukumbusha🙏

    • @Clex-f5s
      @Clex-f5s 8 дней назад

      Tuanze na waliochoma soko 😢

    • @ShugweHusna
      @ShugweHusna 7 дней назад +1

      Ww kaka mungu akujaalie sana na akurinde

  • @mogrosso3500
    @mogrosso3500 10 дней назад +23

    Kwakweli muwe makini watusi sio watu wazuri congo tumejufunza kupitiya kuwapokea kwetu

    • @kivuswahilitv6833
      @kivuswahilitv6833 9 дней назад +1

      Hata wa Congo nao ni hatari pia kwanza tarifa hio inalenga sana wa Congo maana wao ndio wanafanya kazi kama migration na mengine ni mganda na ni viongozi wa kubwa
      Kunbuka wa Congo wengi kigoma hugeuka wa Maniema na ndio sababu hata mh zito kabwe ndugu zake fulani Magufuli aliwafudisha Congo ili waje kuomba urai vizuri

    • @YassipiNebukadinezar
      @YassipiNebukadinezar 9 дней назад

      Sio WATUTSI wote niwale ambao wali nyonya matiti ya Dhambi za kagame nafikira zake za ujinga wa ukatili kama walivyo jiita killing machine yaani kumwaga damu ndiyo KUSUDI la RPF INKOTANYI sisi wanyarwznda tulikufa tulioza kama munajuwa ID AMINI nakundilake liliongozwa na MALIAMUNGU ni Sawa Sawa kbsa nakagame nakundilake .

    • @mutabazijustin-x2v
      @mutabazijustin-x2v 9 дней назад +1

      Hhhhh Uwe unasema Wanyarwanda bro siyo Watusi Watusi niwatu kama wengine bro Tanzania tunaiheshimu kira upande ijapokuwa Vitu vya Siasa kiserikali lakini Bba wa Taifa Kambarege na Muheshimiwa Mzee All Hassan Mwinyi niye Wanajuwa bro, Watusi siyo watu wabaya ispokuwa wanaonewa kura Upande bro

    • @YassipiNebukadinezar
      @YassipiNebukadinezar 9 дней назад

      @mutabazijustin-x2v hawaonewi kamwe Ila wao wanajidai nakuhitaji kumaliza watu wa aina tofauti nao kwasababu ya mipango ya ujinga yakagame nawale wanataka kujenga Tutsis HIMA EMPIRE Mpango Pana kbs lakini wa ujinga Ili kuishi kwaamani nikufukuza Kagame na RPF INKOTANYI Killing machine

    • @CharlesKalisa-p1g
      @CharlesKalisa-p1g 9 дней назад

      Jamani watu wanasubuka na nini katka Dunia hii mbona kila mmoja akifa anazikwa kwa shida iko na aridhi hajawahi kumkataa mtu

  • @vt-kn6qf
    @vt-kn6qf 10 дней назад +10

    Wapo wengi Sana brother , ili swala la congo na tanzania msipo kuwa makini litatokea hadi jeshini wapo muwemakini Sana

    • @isaacpatron7428
      @isaacpatron7428 8 дней назад

      lakini nyinyi munakuaga natuma neno ya chuki ya kuchukia wanyarwanda acheni ujinga wanyarwanda hawana chochote wanataka Tanzania.

    • @henryking6070
      @henryking6070 7 дней назад

      ​@@isaacpatron7428 Watusti siyo wanyarwanda

  • @abuubaya7614
    @abuubaya7614 10 дней назад +13

    Hii nchi ni ya Ovyo sana

    • @DudddyWhyCant
      @DudddyWhyCant 7 дней назад

      @@abuubaya7614 nenda kwenye nchi ambayo siyo ya ovyo, wengine akili zenu kama za kuku, huna point ya kuchangia unabaki kutukana eti hii nchi ya ovyo

  • @yusuphyusuph4334
    @yusuphyusuph4334 10 дней назад +14

    Hii taarifa ifanyiwe kazi

  • @EliezaMdakilwa
    @EliezaMdakilwa 7 дней назад +1

    BIGUP MPINA AND REAL ADVICE TAPED FRM CDF GEN..MK

  • @dicksonsambala7756
    @dicksonsambala7756 10 дней назад +6

    Mh: Mpina hongera...sote tunahitajika kuwa wazalendo. Ipo siku yatakwisha ila tusiache kutamka huo ukweli kila mara

  • @NeemaMateleka
    @NeemaMateleka 9 дней назад +4

    Mungu akulinde baba

  • @PascalChimatu
    @PascalChimatu 10 дней назад +8

    Tanzania inacheza mchezo hatari sana viongozi mtakuja kutufanya wananchi kujuta kuweka wageni kwenye nyazfa mbali mbali ikiwa wazawa wanateseka mitaani na elimu zao

    • @CharlesKalisa-p1g
      @CharlesKalisa-p1g 9 дней назад

      We jamaa inabidi uelewe vzr ,sote tunajua kuwa uzalendo ndo jambo la kwanza ktk maswala ya uongozi ila sasa mimi kinacho nipa hasira ni watanzania wangapi ambao wameshindwa uzalendo mchana kweupe na kuiba mali za umma wazi wazi na wanakua sio wachapa kazi ,ila sasa nenda kafuatilie vzr hao viongozi ambao tunadhani kuwa sio wazawa wa Tz uone jinsi wanavyo chapa kazi kwa uadilifu na uzalendo.

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 9 дней назад +5

    Yani taarifa imetolewa na jeshi afu bado aijachukuliwa atua 😳😳

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 10 дней назад +21

    Shida ya Tanzania ukiwa msema ukweli huwezi kuelweka mapema,zaidi n8 upigaji tuu,hii ni hatari sana kwa nchi,jaribuni kuwa mnamuelewa Luhaga,kila anachokipigia kelele please

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 9 дней назад

      Nchi huundwa kwa uhamiaj kutoka maeneo mbali mbali ya dunia kilicho asili kwenye ardh husika ni miti mawe na nyasi lakin kwa binadam hapana ndo maana kuna historia ya mlikotoka ya miaka ya nyuma kwa kila kabila hata huyu mpina anahistoria ya kabila lake lilikotoka huko ardh ya mbali na si Tanzania kwahiyo acheni kufuata umbumbu mtaumiza watu na umimi wenu wa kipumbavu

    • @RonnieBertin
      @RonnieBertin 4 дня назад

      @@magorymara5515 WEWE MPUMBAVU KWELI WATU WANAONGEA KUHUSU USALAMA WA NCHI WE UNAONGEA NONSESE GROW UP BE A MEN

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 10 дней назад +6

    Huyu mpina ni traore wa Tanzania kasoro hanapisto kiunoni atapendwa sana na watanzania akekuwa laisi nikijana mwenye dam ya magufuli msemakweli mpina usiludi nyuma songa mbere

    • @edwardjohn1507
      @edwardjohn1507 10 дней назад

      Haya mbona watanzania harari hawapo fatiria vizuri kikwete mbona wanasema ni murundi au wazanaki wanasema chimbukorao ni rwanda muniambiye ukweri uko wap?

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 10 дней назад

      @@edwardjohn1507 Hatuongelei chimbuko tunaongelea raia wa Tanzania
      Kikwete ni mtu wa pwani hana uhusiano na huko Burundi usilete hoja za kishamba

    • @RonnieBertin
      @RonnieBertin 10 дней назад

      ​@@edwardjohn1507 acha usenge siku kikiumana wewe wa kwanza kulia

  • @FaustineLuanda
    @FaustineLuanda 8 дней назад +2

    Naomba serikali iwafukuze tutapotea

  • @ce-08
    @ce-08 10 дней назад +7

    Mpaka wa Rwanda uangaliwe sana maana watutsi wanatabia yakujifanya wanaingiza kuchunga nakutoka kuchunga na kutoka wanaanza kujenga vibanda vidgo mwisho unakuta Kijiji tayar

    • @husseinc
      @husseinc 9 дней назад +1

      Kama kuna kiongozi wa nnchi jirani ana mpango wa miaka mingi wa kupora ardhi ya tz kwa hawa viongozi tuliokuwa nao mpango wao unaweza kufanikiwa. viongozi wakiingia madarakani wanaza kuiba maisha ya kifahari akuna mwenye uchungu na nchi.

    • @elvianludovick7428
      @elvianludovick7428 3 дня назад +1

      Itakuwa upo kagera, Hawa jamaa wanazd kuongezeka kwa Kasi sana,

  • @JosephSanka-y4q
    @JosephSanka-y4q 10 дней назад +2

    I like this sistrment.. we need to do. Noted:

  • @SuleimanSalum-ck1ws
    @SuleimanSalum-ck1ws 9 дней назад +2

    Hiyo point kubwa kupitiliza tuweza kujikuta tuna raisi mkenya wakatuibi nchi😎😎😎

  • @OscarNshimirimana-y1i
    @OscarNshimirimana-y1i 9 дней назад +1

    Kudadeqi viongongozi muda mwingine mnajikuta kwamba hamtakufa muda mwingine mnakera sana😎😎😎

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 10 дней назад +5

    Jamani tuwe makini sana hata Trump anazingatia sana hili

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 9 дней назад +2

    Mnakurupuka saana , Watanzania wote wa mipakani huchafuliwa kisiasa kuwa sio raia, au akiwa shombe shombe tu sio raia. Nchi Ina utulivu saana Mhe Mpina tena saana haya unayo Yaleta hayana tija kwa Taifa.

    • @gervaskasala7321
      @gervaskasala7321 9 дней назад

      Kwahiyo mkuu wa majeshi pia alikosea kusema huo ukweli?!! Acha kukaza fuvu

    • @mohamedhozeni
      @mohamedhozeni 8 дней назад

      Wewe amekugusa tetakufatilia

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb 10 дней назад +3

    Mtanzania Halisi ni Mimi hapa. Nilizaliwa Tanzania, nikasomea Tanzania. Sipajui kule wala kule kwa sababu sijawahi kwenda nchi yoyote ya nje isipokuwa ZANZIBAR TU

  • @amanrashid7061
    @amanrashid7061 9 дней назад +1

    Duuuuuuh Dunia ina mambo yaaan mtu sio Raia sahihi wa Tanzania alf anapewa ajira na wazawa wanahangaika naajira na vyeti yao mtaani duuuuuuh 😢😢

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 День назад

      haiwezekani huo ni uongo mkubwa ni yale ya Trump kukataa waliopewa Uraia kuwa si Raia kwa vile si weupe

  • @HekimaSalama
    @HekimaSalama 10 дней назад +1

    Safi sana

  • @shample25Majura
    @shample25Majura 10 дней назад +5

    DOTTO BITEKO ni mtusi wa rwanda

  • @abuumkumbalu9123
    @abuumkumbalu9123 10 дней назад +18

    Rais mwenyewe sio Mtanganyika awezi kuwa na uchungu

    • @HansChuma
      @HansChuma 9 дней назад +4

      Kweli kichwa kibovu unaambiwa watuwasio watanzania haijaongeleka habar za uzanzibar nautanganyika issue nikutokua Mtanzania

    • @MichaelMathew-j3f
      @MichaelMathew-j3f 9 дней назад +2

      Zanzibar ni Tanzania, sasa nakushangaa aise!!

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 9 дней назад

      Hakuna Rais wa Tanganyika,, kuna Rais wa Tanzania

    • @OthmanJuma-e8s
      @OthmanJuma-e8s 9 дней назад +1

      Wewe Sio Mtanzania

    • @abdullahannabhaniy2283
      @abdullahannabhaniy2283 9 дней назад

      Kwani huyu mama ni raisi wa Tanganyika?

  • @CharlesDaniel-e8z
    @CharlesDaniel-e8z 10 дней назад +6

    Jeshe letu na police wetu wafanyiwe uchunguzi wengi wao sio laiya wa inchi yetu ya Tanzania

    • @georgesolos344
      @georgesolos344 10 дней назад

      Kulikuwa na mkuu wa kituo Cha Police hapo ikungi Singida yule mnyarwanda kabisa bila chenga.

    • @section8ight174
      @section8ight174 8 дней назад

      ‘Laiya’ ndio nini?

  • @SbOm-b7k
    @SbOm-b7k 10 дней назад +11

    Tatizo Tanzania munapenda kukumbatia vitu,, watuwanje mumewapa kipaumbele Sanaa kuliko wazawa

    • @CharlesKalisa-p1g
      @CharlesKalisa-p1g 9 дней назад

      Acheni nyie watu gani wa nje has waliopewa kipaumbele kuriko wazawa?

    • @SbOm-b7k
      @SbOm-b7k 9 дней назад

      @CharlesKalisa-p1g wamasai wamasai wametimuliwaa kwaajili ganii ?? Na eneo nilao au wao hawanahaki kama wananchi na Watanzania??????

    • @scoreupdate4591
      @scoreupdate4591 8 дней назад

      Mtu wanje c pamoja na ww charles kalisa

  • @HawaNangasu
    @HawaNangasu 9 дней назад +1

    Ee Mungu tusaidie

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 10 дней назад +3

    Duh, sikuwaza haya… mpina apewe ulinzi. 🫡🫡🫡

  • @Lo-33
    @Lo-33 8 дней назад

    Viongozi Wazalendo kama Mpina ni wachache sana duniani.

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 5 дней назад

    Viongozi wa serikal muwe makini na wasio raia wa nchi hii wasije wakatuletea shida kama watusi wa rwanda wanavyo wasumbua wa congo

  • @habibumnibo4000
    @habibumnibo4000 10 дней назад +1

    True

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 10 дней назад +5

    Hii ni hatar kubwa sana kwa taifa dah R.I.P magu

  • @stevenkampaun6384
    @stevenkampaun6384 9 дней назад

    Kazi za Samia izo

  • @LuckmanJuma
    @LuckmanJuma 10 дней назад

    Tanzania unaijuwa vizurii

  • @farudume2707
    @farudume2707 3 дня назад

    Tuanze na family ya Karume ambayo Mzee Karume alikataliwa kupiga kura ya Zanzibar kwasababu c Mzanzibari wa kuzaliwa wala hakuomba uraia yy alikuja fanya kazi kutoka Malawi yaan stroway katudhulumu kuwa rais yy na watoto wake hali yakuwa c wazanzibari au Watanzania kwa ujumla mbaya zaid sura yake ipo kwenye sarafu yetu hili pia tunaomba mtusaidie😢

  • @israeltemu356
    @israeltemu356 10 дней назад +3

    Kitu hatari sana kwa usalama wa nchi tis wanyeni kazi yenu na hatua zichukuliwe

  • @niyonkurupascal896
    @niyonkurupascal896 4 дня назад

    Mumekwisha tayali kuambukizwa ukabila yayaya . Hatari kwenu

  • @ElizabethJohndotto
    @ElizabethJohndotto 9 дней назад

    Kweli

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 День назад

    Haiwezekani mtu awe Kiongozi bila kuwa Raia hapo ni uongo mkubwa

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 9 дней назад +1

    Msiwapokee kabisa uwongoz w Tanzania kwa ajiri y waraiya wa Tanzania tuwemakini sn wanainyemelea Tanzania kazitu mm nipo bujumbura najuwa tabiazao na mwenemdowao

  • @JacobMbosalee
    @JacobMbosalee 4 дня назад

    Mbona MAWAZO ya Mbunge mpina hayafuatiliwi????😊

  • @ErickLuoga-i8u
    @ErickLuoga-i8u 8 дней назад +1

    Baba levo mwijaku wote sio wabongo fukuza

  • @martinnkuba6683
    @martinnkuba6683 9 дней назад

    Huyu jamaa ana DNA za U chadema ndani yake, 💪💪💪💪👋👋👋👋

    • @DavidCurtis-e4c
      @DavidCurtis-e4c 9 дней назад

      Ndio akili yako ilipofikia hapo sio? Ok hembu maikilize vizuri sana anachoongea na anasema wazi maneno hayo yametoka kwa mkuu wa jeshi yeye anashauri tu ila maneno yameshasemwa na video pia imeonwshwa hapo ila bado unaongea unachojua

    • @martinnkuba6683
      @martinnkuba6683 9 дней назад

      @@DavidCurtis-e4c kwani kukumbusha ni kosa maana labda ameona hakuna kinacho fanyika be analytical minded my friend

    • @ukuntusataniarigukora.8482
      @ukuntusataniarigukora.8482 9 дней назад

      Chadema wengi wao watusi kumbuka kipindi Rwasa alikuwa aki take achaguliwe ile ilikuwa njia nzuri sana kagame kuingia Tz birashida maana wanajuana sana. Tz mwe macho mtakuja kuvamiwa na wa tusi maana wamwjaa kila kona tz.

    • @AllyStephen-h5w
      @AllyStephen-h5w 7 дней назад

      Aca ujinga anaongelea swala la inchi

    • @AllyStephen-h5w
      @AllyStephen-h5w 7 дней назад

      Kwn mafisadi wote siwako kwny selikar tawala na cama cao ua akili umekopesha

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 10 дней назад +1

    Ukweli. Kabbisa

  • @IreneMacha-g8o
    @IreneMacha-g8o 9 дней назад

    Sema nii mimi namkubali sana MPINA

  • @alexsimon5576
    @alexsimon5576 10 дней назад +2

    Ivi hakuna msomali🙆🙆🙆

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 10 дней назад

      Msomali ndio ww

    • @alexsimon5576
      @alexsimon5576 10 дней назад

      @salehkhamis-ob8ln sio kwa UBAYA🤣🤣🤣🤣

    • @alimuse6980
      @alimuse6980 8 дней назад

      Umekosa la kusema au momali alikufira

    • @alexsimon5576
      @alexsimon5576 8 дней назад

      @@alimuse6980 hahaaahah jaman wasomali sio kwa UBAYA🤣🤣🤣🤣

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 8 дней назад

      @@alexsimon5576 haya sasa hao makafiri wenzenu wanatafta nchi ya kwenda kwao kuna fujo wapokeeni sasa

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 9 дней назад

    Mimi uwa Nakukubali mpina lakini serikali ya Samia Aoni iyo mtu zio Rai ya Tanzania Apukuswe kwao hao ndio wanaleta ugaidi Tanzania

  • @TalibMtalika
    @TalibMtalika 10 дней назад +2

    Afu kuna wa Tanzania wanakosa ajira kumbe ajira wanapewa wakimbizi duhh tena kwenye sekta muhimu za nchi

    • @CharlesKalisa-p1g
      @CharlesKalisa-p1g 9 дней назад

      Hahahaha....kazi kuwaza ajira mchana kutwa toka using usingizini ukafanye kazi achana na mambo ya hayo kwani hayatakusaidia kimaendeleo 😂😂😂

    • @NasraNasra-l9q
      @NasraNasra-l9q 9 дней назад

      Wewe ndo mkimbizi uliejitoa kupinga hoja za wazalendo wa Nchi yao eeee
      ​@@CharlesKalisa-p1g

  • @Tutankhamun-s3n
    @Tutankhamun-s3n 4 дня назад

    Mpaka ikafikia hapo mlikuwa wapi au ni kutaka kuchafua watu na kufanyia fitina.

  • @lightnesselirehema1464
    @lightnesselirehema1464 4 дня назад

    Tulishuhudia wengi kurudi kwao na kurudi kwenda kuwa na kuwa viongozi.

  • @DaudFataki
    @DaudFataki 10 дней назад +1

    Wengine wanajiita mpaka wamanyema kwenye miziki af tunawaacha tuh

  • @PascalChimatu
    @PascalChimatu 8 дней назад

    Mpina upo sahihi kabisa Tanzania tutakuja kujuta

    • @alimuse6980
      @alimuse6980 8 дней назад

      Pia tunao watanzania wengi sana hapa kenya anza wewe nasisi tutamalizia tuone naniataathirika

  • @bizzosela6186
    @bizzosela6186 3 дня назад

    Hasa uhamiaji ndo kumejaa wageni 😭😭🤞

  • @bakarithegeoinformatician7406
    @bakarithegeoinformatician7406 9 дней назад +1

    Vipi kuhusu wamakonde waliopo kwenya na wamepewa uraia wanawezaje kurudi Tanzania na wataanzia wapi? Acheni ubaguzi ukiangalia kwa asilimia kubwa Tanzania wakazi halali wa kwanza ambao historia yao inaelezeka ni wakazi wapwani tu

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 9 дней назад

    Mtihani haki

  • @NassourJuma
    @NassourJuma 9 дней назад +4

    uyu mtu ni hazina kubwa ya nchi yetu ila nawashangaa sana Watanzania wenzangu kwa kumchukulia ni mtu wa kawaida uyu mtu, ila mm nakupa respect sana kaka na mungu akupe maisha marefu ili uitumikie nchi yako kwa weledi wa hali ya juu. Aamin

  • @NicodemBarantanda-ud7qy
    @NicodemBarantanda-ud7qy 9 дней назад +1

    Ndiyo maana kumbe watu wanapotea hatuoni ushirikiano wa vyombo vya usalama hata wanaoshauri mikataba tuna raumu VIONGOZI tuliowachagua kumbe na raia wasio wa nchi YETU wameajiriwa mpaka ngazi za maamzi,Ere Yesu tusaidie si kwamba Congo ni laana wanaweza kuwa walikosea sehemu

  • @PhocusKifaluka-uw7ip
    @PhocusKifaluka-uw7ip 2 дня назад

    Mbona n hatari hata kiusalama??? Na Kwann imekuwa hiv wakat kiusalama.n.hatar? Dahhhh

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 10 дней назад +1

    ABDU NONDO UKIMUANGA LIA TUU C MTANZANIA CC WATANZANIA TUNAJUANA

  • @AllyStephen-h5w
    @AllyStephen-h5w 7 дней назад

    Waacheni tuu hata rais sii mtanganyika

  • @fatumahamadi1379
    @fatumahamadi1379 9 дней назад +1

    Kw kweli Waondolewee n walio kuwa wameajiliwa nafasi z Walimu au Mahoteli waondolewe Vizazi vyet vinakosa Ajira

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 9 дней назад

    Wangekuwa Masheikh hapo...!
    Laakin kwavile ni Viongozi wa Serikali...

  • @JomoKilawe
    @JomoKilawe 9 дней назад

    ✍️✍️✍️

  • @LuckmanJuma
    @LuckmanJuma 10 дней назад

    Sawa we endelea

  • @SakinaValy
    @SakinaValy 7 дней назад

    Watajeni basi tuwajue

  • @TimotheoNtibayaga
    @TimotheoNtibayaga 8 дней назад +1

    Muanze na rais kwani raisi ni raia wa tanzania

    • @tuikezeezra1315
      @tuikezeezra1315 7 дней назад

      Ni raia wa wawapi!???🤣🤣🤣🤣🤣, KumbukaTanganyika na Zanzibar ndo zinaunda Tanzania

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana3829 7 дней назад

    Duuuuh mm sina mwanasheria kwa kweli

  • @AsimweJackson-p3p
    @AsimweJackson-p3p 3 дня назад

    Kama hinoset tibashungwa nawala jina iro,sio lake,mmmmmmmh

  • @RizikiMlela
    @RizikiMlela 10 дней назад +2

    Mkunda hirijina nirakirundu kwao niburundi atakuweje ukuu wamajeshi tanzania kwanihakuna watanzania harisi mbona mnatakakureta matazizo

    • @zerbabelnyabenda7007
      @zerbabelnyabenda7007 9 дней назад

      Wewe mwenyewe murundi:jinsi unavoandika kiswahili kunathibisha !
      Unatumiya R badala ya L
      Tufahamiane mapema,please

  • @Rojo_Rojo
    @Rojo_Rojo 9 дней назад

    sio rahisi kuzinidi

  • @samwa9496
    @samwa9496 10 дней назад +2

    Wanakuja kwa gear ya kuowa watz na wanawake wana bweteka kumbe wanaume hao walisha uwa makwao wabebe wanawakeza zao waondoke na kitendo hiki alikifanya marehemu kwa kujihami alichukiwa wajeshi.wa kule na wamemramba

  • @Gahondeshongopoo
    @Gahondeshongopoo 10 дней назад +1

    Musipofanya haraka umoja wawatusi watawanyanganya ichi kumbukeni kwamba waansi waishazunguka Tanzania wako Mozambique nasiraha nzito rengorao nijoja kuua nakuzibiti ichi zawatu wamakabira wasio watusi yai wabatu watusi walianza zibiti uganda ua waganda 1984 wakazibiti1986 kisha rwanda 1990 wakazibiti 1994 ksha Congo 1996 sudani 2003 santerafurica Mozambique itfuata Burundi na Tanzania umoja wawatusi nichombo chawakoroni wamamboreo wazungu

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 10 дней назад +1

      Hawa watu wamekua hatari ...wakifika kwenyu musi wape na fasi serekalini kama ufugaji wabaki wafukaji ..kama wafanya biashara wabaki wafanyabiashara ..kama wakulima wabaki wakulima msijaribu kuwapa na fasi serekalini pleas hawa watu ni tishio kubwa

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 10 дней назад

    Fact bro watoke wanatuekea kiwingu wengine tuking'atwa nanyoka mpaka 150000 ndio tutibiwe kweri hao madaktari niraia wa🇹🇿😪😪

  • @adamsimba4886
    @adamsimba4886 9 дней назад +1

    Waondolewe hao wanyaruanda waizi

  • @DuduMagau-sm3pd
    @DuduMagau-sm3pd 10 дней назад +1

    KABISA MUHESHIMIWA!! HILI LIFANYIWE KAZI

  • @JimmyMtere
    @JimmyMtere 9 дней назад +1

    iv kama kwer hao syo raiya na wamepataje ngaz za juu zamamuzi

  • @niccomedia3147
    @niccomedia3147 10 дней назад

    Duh kweli hii ndio TZ

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 10 дней назад +2

    Watu kama hawa wasikilizwe

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 8 дней назад

    Sijui walifikaje mpaka kufikia hatua hiyo! Sidra kama watatajwa.

  • @niyonkurupascal896
    @niyonkurupascal896 4 дня назад

    Na Tanzania mtaka kuleta ubaguzi izo propaganda zinaendelea zitaikumba na Tanzania

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 10 дней назад

    Ukweli baba unaua naongopa sana mdema kweli huwa anachukiwa

  • @ADAMMSAKI-d6d
    @ADAMMSAKI-d6d 4 дня назад

    Msituletee mambo ya ovyo maana mtu kama ameingia kwenye selikali hata kama siyo lai

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb 10 дней назад

    Ni KWELI ndugu yangu Mpina

  • @FredyUrio-u7u
    @FredyUrio-u7u 8 дней назад

    Ata mwijaku

  • @melchiorndayizeye9761
    @melchiorndayizeye9761 9 дней назад +1

    Hangalia bukoba wako wengi ipo siku mutawaona wanyarwanda kama congo

  • @JosephLoy-k2g
    @JosephLoy-k2g 10 дней назад +2

    Wataje wataje tuwajue,

    • @mchopacalvin2986
      @mchopacalvin2986 9 дней назад

      Yaani nilidhani utasema ataje ili tuwafukuze sasa ukiwajua itakusaidia nn?

    • @JosephLoy-k2g
      @JosephLoy-k2g 23 часа назад

      @mchopacalvin2986 nani afukuzwe? Makufuli alishakufaga bana, hata kuwataja bado haiwezekani

  • @josephmturi6936
    @josephmturi6936 10 дней назад +1

    Wataje kaka Ili kila kitu kiwe wazi

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri 2 дня назад

    SASA NILIKUWA NA WAMBIENI HUYU MPINA HAFAI NIMKABILA NA MDINI NDIYO KINACHO MSUMBUWA

  • @Allyiddsud
    @Allyiddsud 9 дней назад +4

    Jamani wafukuzwe araka. Ao ni watusi wanapenya mchini kwetu. Jamani mweshimiwa kikweta aliliona ili mapema san. Mama chukua atua Rais wetu..nawengi wapo jeshini . Nautawasikiq wakidai ni waaha wengine eti ni wahaya , wengine ungia eti wakenya ila sio wakenya. Na wasomali ange san watu awa.. mpina mungu akubariki mzalendo wakweli tz

    • @Angelo-v6c
      @Angelo-v6c 8 дней назад

      Wende huko Wewe interahamwe FDLR wandugu zako wa FDLR Wana pigwa kama umbwa

    • @isaacpatron7428
      @isaacpatron7428 8 дней назад

      Watanzania wenye wako Rwanda wafukuzwe waende kwao, Rwanda ibakie ni nchi yawayarwanda na wengeni afrika pasipo kua ndani watanzania kwa sababu ya chuki yenu na ukabila na ujinga. nyinyi niwakorofi

    • @SakinaValy
      @SakinaValy 7 дней назад

      Subiri siku wageuke tutaelewa hapo sijui mtaridhika wamama kutembea na furushi na watoto mikononi,,hii kitu mi naomba mungu aepushe

  • @christopherhaule4710
    @christopherhaule4710 8 дней назад

    Hata bashe sio mtanzania fukuza haraka

  • @RestitutaNjau-k8x
    @RestitutaNjau-k8x 9 дней назад

    Jamani jamani jamani.Tz tunaelekea wapi

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 10 дней назад +3

    Mbona hata Ulaya Kuna waafriica wanajeshi

    • @mgenirajabu7601
      @mgenirajabu7601 10 дней назад

      SIO ᗯᗩ ᑎᘜᗩᘔI ᘔᗩ ᒍᑌᑌ ᘔᗩ ᗰᗩᗩᗰᑌᘔI ,ᒍᗩᖇIᗷᑌ Kᑌᗴᒪᗴᗯᗩ

    • @mgenirajabu7601
      @mgenirajabu7601 10 дней назад

      SIO ᗯᗩ ᑎᘜᗩᘔI ᘔᗩ ᒍᑌᑌ ᘔᗩ ᗰᗩᗩᗰᑌᘔI ,ᒍᗩᖇIᗷᑌ Kᑌᗴᒪᗴᗯᗩ

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 10 дней назад

      Aliyekuambia Weusi sio wamarekani wakati huwa unasikia Kuna black American mwambie mpuuzi kabisa na usimwamini ukaja kufanana naye.

  • @JumaNasoroMzenga
    @JumaNasoroMzenga 4 дня назад

    Mpina unatosha mitano tena

  • @JonathanTembo-f6j
    @JonathanTembo-f6j 9 дней назад

    Leo hatuwezi kujuwa madhala makubwa sana tutayapata apo baadae na nchi ya Tanzania ukitaka uwe salama hata kama wewe ni jambazi sugu au sio raia cha kwanza wanakimbilia kujiunga na ccm,, yaani kuna wanachama wengi sana wa CCM sio raia wa Tanzania,tukizubaa mwisho wa siku hili taifa litaangukia mikononi mwa mgeni mkimbizi na ndipo tutauzwa mpaka makaburi yetu