HIKI NDICHO M23 WANATAKA, BALOZI MULAMULA AANIKA CHANZO KIZIMA CHA VITA DRC NA M23
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- Tembelea Tovuti yetu kupata habari zaidi: habari24.co.tz
Jisaili hhapa leon bet: c1li7tt5ck.com...
Ads: rugbymentalads...
Tufollow mitandao ya kijamii
Tiktok: / assengaonline
Facebook: / habari24tz
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.
Email us on assengablogtz@gmail.com
Mama heshima yako, alakini ungeanzi mwaka wa 1845 mkutano wa Berlin germany, walipo amua kuchuwa sehemu kubwa ya Rwanda noth kivu na raïa wa rwanda watutsi na wahutu na kuipa Congo, mzizi wa machafuko ni huo, hawo wanafunzi mnawapa historia ya uongo kwa faida gani.
Ooh , na hii ndilo tatizo kubwa sana , na kama Kongo hawataki hawa Watutsi basi abadilishe mpaka wao uwe Rwanda , maana huo mpaka ukiwekwa na wazungu bila kujali asili zetu !
Maman iam munyamulenge this so amazing 👏 tell them more please ..people they just talk without know the cause of Eastern TUTSI why they're fighting on their lives good explanation maman how you can tell people who lives in the country more than 500 hundred years that are foreigner?👍 👏
Very impressive analogy.
Uyu Mama anaelewa historia kweli🎉
Da yaani , TZ tuna Vichwa , huyu mama apewe wizara ya Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa , hiyo wizara inamfaa kabisa , ni Kichwa kilichoenda shule , ni hazina kubwa sana katika nchi yetu jamani
Thank you ambassador shida iko kwny DRC government na sio Rwanda , Head if state wa DRC atumie demokrasia kuendesha nchi na swala la minorities group mipakani haliepukiki kila nchi mipakani inachangamoto ya wageni wenyeji na sababu ni namna ya mipka waliogawa wakoloni so DRC watambue hilo na wawe na demokrasia waendeshe nchi yao
Tunakushuru sana mama kiongozi kwa kutowa ufafanuzi kwa mugogoro uliopo bayina Congo na m23.
The banyamulenge is one part of kinyarwanda speaking which is a large group in Eastern drc. Banyamulenge leave in an aria called mulenge.
Asante sana mama
Huyu mama ni mukweli sijawahi kuona. Tunaitaji wanasiasa wakweli congo.
Tatitizo ukisema ukweli congo unaitwa munyarwanda.
Ukweli umeanza kuwekwa hazarani.
Be blessed
Umeona .sasa Mobutu na hawa watawala wa sasa na waliopita wanakana uraia wa watu wakongo mashariki.wao wangefanyaje.ni kupigana kulinda uraia wao.kwa M23 sio wa kulaumiwa.na kama hawatapewa uraia wao ni kudai Kwa nguvu.halafu huyu mama na mama Anna Tibaojuka wanapaswa kutumika vizuri,lakini Kwa roho mbaya zetu wamewekwa pembeni.mamalamula na mwenyewe anaweza kutumika kutoa mawzo yao ya nini kifanyike kuhusu mgogoro wa congo kwamba siku zile walifanyaje
Mama Anasema ukwrli tunamiaka miyaine 400 rakini unasikiya huyu akisema eti banyamurenge niwageni nandiyo maana vita haitaisha kwanini watanzaniya Hawaiti wasayi wageni ? Naniwatsti ?
Mama umefuata historiya vizuri sana,alakini wengine watazamaji au wasomaji wa nawambiyeni mkitaka ku mjuwa mtusi au myamlenge na sababu hawashindwi kamwe musomeni bibliya Yesayi 18:1-7 Roho mtakatifu awafafanuliye Asante.
If you really desire to learn you listen. There was nowhere issues religion was discussed. The problems of congo are not sectarianism at all.
RIP Mwalimu Nyerere, He stated that the government has no business into one relationship with faith or religion beliefs.Ukitaka kuswali na kwamini jua ni mungu wako, kazi kwako!!
Huwo Maman ndo wagutatatuwa Mugogogoro vizuri mujyasiri sana jameni
Habari yako ndugu mutangazagi nirikuwa nasikiriza muheshimiwa muramura arivyokuwa anaongea hakutaka kuongea ukweri arivyongea ni uogo nafikiri hajui histori ya Kongo
Amekwepa kusema ukweri
Mana huu anasema kweli alakini kunavitu hataki kusema vizuli ,wanyamurenge siyo watusi wenyewe wanyanyaswa hapa congo,kuwawinine watusi wa Masisi na Rucuro wanayitwa wagogwe nawo niwatusi wazamani hapa congo hawasasa walinyanyaswa sana na interahamwe kutoka Rwanda wakauwawa nkombe zawo zikaliwa ,Hawa Sasa ndiyo wameamuwa kugombowa eneo lawo kwajili wazazi wawo mpaka Sasa niwakimbizi Rwanda ,Uganda,kenya.wako wengi. hata inchi za inje kama USA zinawapatiya kimbilio Sasa .shida si Rwanda,ama Uganda.shida ni wale wacolon waliyo kata mpaka ya congo na Rwanda .kama munataka ukweli mno tafteni yaliyo zungumza na mzehe mwalimu Nyerere kuhusu mipaka ya Rwanda na congo .axante nawapenda wa Africa wenzangu tusibaguwane tuwe mumoja Mungu awabaliki amina
Ukweri
Wewe ni mutusi acha hongo, Kongo akuna kabila la munyamulenge, nyinyi ni wanyarwanda. Mupande mu shuke sisi wakongomani atuwezi kuwa kubali kwa lolote lile
Watu wanakufa anaongea utumbo. Hii inasaidia nini
Hawa ni wakupumzika tu.
Wengi ni watusi wa wapi...mashariki kuna makabila yote
Yaani ile nchi haitawariki kwa sababu ya ukabila shida sio ukubwa wa nchi ila kama iwezekana hiyo nchi iongozwe kama ulaya kwa mfumo wa state
Madam anasema uongo kiasi kwamba hajui historia ya DRC. hakuwa nafasi Wanyamulenge wanaingilia kwa historia ya DRC.
Mama unaijuwA historia na ukweli❤
Mama MULAMULA Asante sana kwa kueleza dunia Mimi nimemaliza miaka 27 Out of my country But still hope my country itakuwa salama but that is like dreaming
Asanteni Maman balozi kwa wale wakisema wanyamulenge ni wakimbizi juweni yakwamba hii ndilo tatizo mpaka sasa 1885 njo wamefika congo wakitambulikana watusi wa itombwe jina wanyamulenge wame jiita kwa ku ondowa confusion na wakimbizi kutoka rwanda lakini mpaka sasa wamoja hawaja itika hiyo
Leo ndo nimeelewa maana ya M23 ( March 23)
Asante balozi
Kwa nini viongozi maraisi hawajui historia hii ? Mm mulamula mwenyezi mungu skubariki kusema ukweli
Asante mama Sasa Mimi niurizee wanaosema eti tatizo nikagame wakati huyo kagame amkua hayupo raisi IRA vita imkuuwapo kwanini muomea
Hawo wanatao mushutumu Kagame waongo sana
Wewe mama juu ya nini unadanganya generations ya watu ivo?
Bravo mama kwa kuongea ukweli, wabaguzi waliojaa roho mbaya ya ukabila hawapendi ukweli. Nyerere alifanya jambo la maana sana kutuondolea ukabila hao wapenda ukabila vita kwao havitaisha.
Tafautisheni Banyamulenge asili yao ni south kivu huko minembwe mbali na noth kivu.
Wakina Laurent Nkunda, Willy Ngoma, Makenga
na wenzao asili ni noth kivu mpakani na Rwanda nigependa upekuwe vitabo upya uelewe vizuri historia ya watu wa Minembwe south kivu inapishana na historia ya watu wa noth kivu
asanteni kwa kunielewa vizuri japokuwa kiswahili changu
kina matatizo mengi.
😂😂😂 sasa unamaanisha nini Wakati unasema eti “ historia inapishana”. Wa Tusi wa North-Kivu na wale wa South-Kivu ni wamoja na shida zawo zinafanana.
Mama, ongea ukweli wanyamulenge ni wakimbizi kutoka Rwanda. Na Mobutu ndiye aliewapa uraia wa Kongo.
Wewe unayo yaongereya yanakuzidi acha kueneza ujinga kwenye mtandao, wanyamulenge wa kongo sio wanyarwanda.
Uyu mama anaongelea wanyamulenge kutupo kujuwa mulenge niwapi naomba mama ongeya hambacho unajuwa
Ukweli uweka watu huru ❤️
Mama, hakuna haskari wa Zaïre .Wote ni watutsi walikuja na mzee Laurent kutoka Rwanda na Uganda ndiyo wanao ongoza jeshi la kongo. Wasalititi wote.
Mama tunashukuru kwa historia nzuri ya M23
Mamangu ni munyamulenge na anauraia wa congo but family yake iko rwanda
yaani Mama mmeangaza kilichopo ukweli ndio huo
Hakika kama maelezo ni haya ndio maana mgogoro hakuishi Kongo
Usuluhishi una taratibu na njia zake
Huwezi kujisifu kwenye jambo ulilofanya likashindwa ni aibu hata kutajwa kuwa ulihusika
Kukosekana kwa viongozi wenye maarifa, busara walio wazi na wakweli na msimamo ndio shida
Afrika ni aibu tupu ina viongozi wachumia tumbo, wabinafsi, wasiokuwa na upepo, maarifa wala ubunifu
Ni kama madebe matupu hayamtishi chura kwenye Maji
Yani watu wanauawa miaka nenda Rudi kazi Yao kutoa pole na kulaani na kukaa vikao visivyo na tija aibu kwao
Nice
Mama huu, anayo yasema ni kweli kabisa. Kwenye comments, nawaona wale wasio penda ukweli huu usemwe kwa sababu akili na roho mbaya vinawazidi.
Tatizo la msingi lawakimbizi watusi wacongo mliongelee nalo sababu serekali haijataka warudi nyumbani kwao?
Wewe mama hongoa unachokifahamu vizuri. Maelezo yako yanaegemea upande na pia hayajitoshelezi .
Madame balozi usaidizi kwa DRC si peke kuwasaidia kujenga jeshi ila jambo la kwanza nikuambia DRC na viongozi vyeke waache ukabila wanabaguwa sana wacongomani wasema kinyarwanda eti si wacongomani na lile ndilo tatizo kubwa kwani wakikubaliwa sawa wengine wanainchi vita haviwezi kuwa, na ninawaza wakati wamakubaliano hayo unayoyazungumuzia ya muhimu haikuwa kuingizwa kwa jeshi kwa vikundi vya kumiliki siraha tu hapana, kitu kikubwa ilikuwa kurejesha wakimbizi ( wazazi na ndugu za wale wapiganaji wenye wanaishi kambini kwa inchi mbali mbali) basi viongozi vya Congu hawakuyatimiza, je wewe unawezi ukabaki kwa jeshi ndani ya inchi isiyo heshimu familia yako?
Ila kwa Leo Shida wala fujo iko north kivu ambapo hakuna wanyamulenge, tunajuwa kama kagame na mseveni ndio wana ibiya na wazungu....
Kwenye kubwa siyoo kwamba haitawaliki siyoo kweliii : Mbona China na Marekani zinatawalika tena kwa Miaka mingi
Nadhani warudi kwenye makubaliano hayo ya 2009 23 march.kama kuna vipengere vya kurekebiaha kwa sababu ni muda mrefu warekebisha.
😂😂 walimu wafarisayo hawana aibu machoni, ila zamiri zao zawashuhudia kwamba wafundisha uongo kwa faida za mwili. Muamuzi wa haki yuko juu sana.
Balozi ameongea vizuri na kutupatia haki kabisa. Ila tatizo moja ambalo hakuligusia ili tujuwe kweli ni upande gani tuusimamie ni kuwa hatuambia ni nani alikuaga responsible kutekeleza decidions ambazo zilikamatwa March 23, 2009. Na ni nani hakupenda kuzitekeleza decisions hizo kati ya M23 na viongozi wa DRC? Kingine tungependa atuambie ebu CNDP kazaliwa vipi juu wengi hukamata CNDP au M23 kama kundi la waasi bila kugusia sababu ya kupigana kwao, sio makundi yote mashariki mwa DRC yanapigania tu kupora madili.
Sasa hivi watu wanatplewa nje eti wanabaki peke yao.hakuna ushirikiahwaji.ubinafsi
Mbona ukisema wanao saidiya kupigana munawabelo.
Tatizo ni wa Congo wenyewe kumbe
Uko Mongo tatizo la Congo siyo ukabila ,institutions zote ziko amo kabila zote zote tatizo la Congo sasaivi ni minerals wengini wanataka wachukuwe kiharamu .
Sasa kama mashariki ya kongo ni banyamulenge wengi hii vita haitaisha kwani bado Rwanda na uganda wana interest na mashariki ya kongo na wamechanganganya damu sasa wakongo wakubali kuwa na banyamulenge au waaondoe wote wawarudishe rwanda kwa nguvu ya kijeshi na batalion kubwa ya kijeshi ikae mashiriki
Huyo mama anasema kweli mimi nimu kongomani halisi yani gesi letu limeharibiwa nawaasi
hapo wakati wa 1960 shida ya wanyamulenge hajakuwa sasa mubutu kabadili jina kwa nini ?kwa sababu jina lolote halibadilishwi bure . kama tanzania leo inaitwa hivyo kuna sababu ,zamani haikuwa tanzania mimi kama muafrika napenda tujue adui wa afrika ni yupi?
Congo inapakana na inchi 9 sio inchi 8
Huyu mtu huyu kuna jambo
Please soma hii comment yangu ya kwanza utajuwa ukweli.
Huyo, kaongeleya tu ukubwa wa Kongo na utajiri wa nchi. Afunguwe box ya Rwanda toka 1994 kuusu mauwaji ya raisi wa Rwanda na Burundi. Sisi suo wajinga.
Sisi wafrica wausi twajifanya twajuwa kuongea lakini akuna kitu kila siku tunahambiwa congo imejaa utajili kweli kweli mbona watu wake wateseka sasa cha m23 wainyohoshe
Weyee Mzanzibari ati😂??! Walahii weye Nzabari yaheee
Mbona huyy mama nu muongo sana, balozi asiye fahamu historia. U aongea mambo kama utani ukiwaambia watu historia ya uongo.hivyo ndivyo munasababisha vita. Chuki yenu kwa jamuhuri ya congo haita suluhisha matatizo yanayoendelea.
Umepewa historia ya uongo ao unakusudia kupotosha watu.
Huyo mama, anapotosha wanafunzi huo siyo ukweli. Hamna point .Ni mfuaasi wa wavamizi wa Congo.
Tena Algeria ni kubwa kuliko DR Congo.
Huna akili sawa
Hapotoshi, unataka kulazimisha uongo unaoujua wewe. You don't know anything, just cut your bull💩.
Kama hujui, kaa kimya na ujifunze kwa wengine. Roho chafu tuu.
Wewe ndiwe hujue, sasa kaa na ujifunze. Na kama sivyo, yaonekana ni ule ubaguzi wa wa Kongo na akili kama watoto.
Mama hongera hapo mchawi ni ruwanda
Anajiwa bizuri sana
Chanzo ni mwaka wa 1994 toka mauwaji ya kimbari ya Rwanda. Wakati kongo ilipokeya wakimbizi kutoka Rwanda.
Ukubwa wa CONGO sio sahihi. Hio TAKWIMU haiko sawa
Ubwege wawa tusi kweli na mahuwaji munayo fanya kwaziya rwada burudi congo mutashidwa vibaya kwajina la yesu daganya haho virofa vyakwako havijuwi congo
Nawaza munaonaka namna waongozi wa Congo wanavyo shawishi yengine ma Kabila kuuwa Kabila la watutsi kwenye mitao? Kula nyama ya watu na mengine sasa mwe munapenda ile Kabila linyamanze limalizike tu?
Kwanini hazungumzie namna Mobutu alivyo msaidia Habyarimana kwa kumtumia Askari na vifa kwa kupiganisha RPA???? Na pili Habyarimana kushindwa vita FDLR ikapokelewa DRC na Mobutu na vifa vyao Bada yakufanya génocide nawakawekwa Karibu na mpaka, a ceni kuwa mnaruka vilivyo muhimu
Huo mamã ni mufuasi wa Kagame na hilo kundi linalo pigana kwanza wewe ni mutusi hão
Maman kweli ni ukweli
Rwanda tu ni wauaji sana kagame ni mlonzitu
Wanyamulenge niwakimbizi kutoka Rwanda na kuishi Congo kwenye kijiji kya mulenge ndani y'a south kivu
Mpumbavu wewe. Kama hujui, kaa kimya na ujifunze. Labda wewe Muhutu kutoka Rwanda ao Burundi, na ile riho mbaya mnao ninyi. Ukweli unajukikana
Mtangazaji iwlewa wako ni mdogo halafu wewe ni GNZ.huyo mama ktk hotiba yake yote hakuitaja Rwanda sasa wewe unaiyaja unajua nini.kwa uelewa wangu matatizo ya congo ni ya wacongo wenyewe
Huyo mama ni mtz. Au she speak poor kiswahili
Mulamula Anajuwa Mpango mzima wa kuongea Kongo hatimae Tanzaniania Kwa maslahi ya wahima wanataka kuitawala Afrika Kwa maslahi ya wahima ambae na ni muhima Kwa mujibuvwa kauli ya ndugu Kabudi alivyo wachambuwa kuwawahima ni kina Nani hapa Tanzaniania.Tatiza sio uhima Tatizo ni roho zao mbaya na kiburi na dharau ya wahima dhidi ya wabantu Kwa neema ya Mungu vijana wazalendo wavantu wa DRC wanejitambuwa na Wameamuwa kujipambaniavkyoinga huu utumwani wacNusevwn na Kagame kutakavkyjimilikusha mashariki mwa DRC Leo DRC Kesho Tanzaniania mwisho wa ndoto ya wahima na mbingu za wazungu kuwatumia kama vibaraka wao na hili Mulamula unalijuwa Acha kuwadanganya vijana Tatizo sio uhima Tatizo ni roho zenu mbaya
Utadanganya wasiyo juwa historia . Hakuna chenye unaongeya , umeficha ukweli wote. Sasa kwa kuwa kongo ni kubwa ndo inaruhusu Kagame na Mseveni kuja kufanya mauwaji ????
Mhuuuu uyu Mama ni mjasiri kweli kweli unaongeya uwongo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😂 weye Mungu anakuona kabisa
Mbona kiswahili chake kama wale wale Hawa wata rizika Africa Wana imiliki wao
Washenzi hao watusi wa rwanda
Wewe aca upumbavy wafatira anaco zungumuza ruga siyo shida,nawee unataka kureta ubaguzi
Wewe aca upumbavy,ruga siyo shida unataka kureta ubaguzi?fata anaco ongeya
Assante sana mama Afrika tunayitaji watu kana nyinyi
Uyu Mama anaongea anayoyajua au katumwa aongee nn anachanganya mambo hii hizi vita zimeanzia uganda watiopigana vita ya kumuweka Musevin madarakan ndo waliopigana kumuweka kagame ndo waliopigana kumgoa Mobutu na kumuweka Kabila na ndo wanapigana kumgoa Kisekedi hao nikina nani wajue hao ndo utajua kinachoendelea DRC na kitaendelea badae Burundi na sisi tuwe macho
Uyu mama anaongea point sana kwa kweli yuko sahihi
Mama ni muogo mashari mwa congo watusi ni asilimia ya watu wachache sana. Hapo rwanda bado ni nijamii ya watu wa chache. La pili kabila kabla ya mapinduzi kumpindua mobutu waliwekeana mkataba lemera agrement ambapo jeshi la rwanda na uganda walitaka wapewe nafasi jeshini na kugawa mashariki ya congo. Ukweli ni kwamba hata wakijitenga bado patakuwa na shida wanao pambana na serikali sasa hawapiganii utaifa kama wacongoman wanacho pigania ni ukabila tu. Ikiwa mipaka jamii ilikuwa moja inamaana jamii ya wanyarwanda walio kongo hivyo watutsi, twaa, na wahutu nao wapo congo lkn tujiulize wao wanasemaje kuhusu ikiwa nao wapo congo. Kuna kitu kinacho piganiwa ni madini tu mwanaadam ni mtu wa ajab sana
Watusi Congo walitoka Rwanda 🇷🇼 mwaka1959 wakawa wakimbizi lakini baadaye wakanogewa wakatamani kubaki Congo ndiyomaana wanapigana ili wapate sehemu ya Congo waishi Kama raia wenye inchi yao wajitegemee wenyenyewe Mula Mula hajui ukweli kwasababu na yeye ni mtu wa ukoo huo anaishi Tanzania
Kwanzia apa 9:37 ni wongo mtupu. Mashariki mwa Congo kuna kabila zaki congomani +- 80. Mobutu ndo amewapa tutu ya kwanza awo wa kimbizi kutokeya rwanda ukabila waki congomani 1964. Mama huyu ana ongeza mambo yake.
Wacongo mnapenda ubaguzi wa kikabila, huyu mama anaongea ukweli na anaijua historia ndiyo maana amepewa platform aongee wasiojua wajifunze.
Riho mbaya mnao ninyi. Kwa nini hayo mambo yenu ya ubaguzi kwa kabila wa Watusi wa huko Kongo. Inafahamika kwamba walikuepo Kongo myaka mingi sana kabla wazungu hawajafika barani Afrika.
@@unclepwechnov1381Hayo ni kweli kabisa
Huyu Mama hajui kintu hata kidoko kuhusu Congo
Msichokijuwa ni kwamba; rais Ruto Kagame na Museveni awa ni watusi na nia yao ni kuitawala Africa mashariki ndio maana walipanda watusi nchini Congo na Burundi pia na Uganda kwa lengo la kuwafanya wao waingie serekalini.
Sasa hii vita wanayoifanya M23 nda ya Congo leo wanaoifadhili ni Ruto Kagame na Museveni wakisaidiwa na mataifa ya magaribi ulaya ili kwaamaana Congo ndo nchi pekee inayoweza kuwashinda wao kuliko nchi zingine zote, ndio maana mumeon Rais wa Burundi amestukia mchezo huu akafunga mipaka yake na Rwanda na kuwatuma majeshi kwenda kusaidiana na Congo bado adui angali mbali.
Kwaiyo watanzania iwezi makini hii vita inaweza kuingia nchini kwenu, watusi ni kabila mbaya sana lisilo na uruma ya kumwaga damu za wautu
Wewe acha upumbafu ,kiswahili siyo tatizo, wewe sikiliza anacho zungumza.
kuna mahali mama haja weka sawa...kuna mahali mama ana chemsha
Aksante saana Mama
Lakini naomba mtuelezee mkataba was M23 kunanini ndani mbona ni kama sili we've Mama kama Mwenyekiti wa mazungumzo na mkataba kwa nini msituambiye?
Jet ni kweli Kila Inchi husika ilipewa 300km kuongoza na kutumia lasilimali ndani ya Congo zikiwa(Uganda, Rwanda, na Burundi)?
Mbona husemi kama aliekuwa mkuu wa jeshi kipindi hicho chá kabila mzee alikuwa munyarwanda wewe umewahi kuona wapi mkuu wajeshi kutoka inchi nyingine
ANAYESEMA KWAMBA CHANZO CHA MGOGORO WA CONGO NI KUWANYIMA URAIA WANYAMULE, HUYO NI MUONGO WALA HAJUI HISTORIA NA SABABU CHA MIGOGORO YA CONGO ISIYOISHA.
SHIDA NI RASILIMALI ZA AJABU KATIKA NCHI YA CONGO. KILA NCHI DUNIANI INAZITAMANI.
😂pumbavu
Na wewe ni mtitsi. Ungeya ukweli chanzo ya mzozo tuelewe. Sasa Kagame kafata nini ndani ya Kongo. ?
Ni mtusi huyo mama
Wewe waca ukabira,iyo mawazo Yako ndio anaharibu afrika
Wakati Kikwete ali fukuza watusi una fikiri ali wafukuza ki ivi tu, ali juwa kwa nini aliwafukuza. Acha kupotosha wana funzi, ukweli tuna ujuwa sisi Wa Kongomani.
Kamama kazima kana sema uhongo bila haya kweli
Mama anasema ukeri ijapo wewe hupendi wanaeesema ukweri ndiomaana unasema kamama wewe wewe hunata eshima mama yako nawee unamuita kamama? Hahu mama ?
POLE MAMA KWA MAFUNDISHO MAPOTOVU, UNAHARIBU UFAHAMU WA KIZAZI. ZAMIRI ZAKO ZAKUTAMBULISHA UONGO WAKO, ILA WAUNENA KWA FAIDA ZA MWILI. Enyi wanafunzi, mafundisho ya kweli hayatazamiwi kwa wenye mavazi ya samani ao vyeo, bali vitabu vya kale na mababu zetu wenye hekima, ndizo chemichemi za ukweli wa historia.
Kwanza uyu maman ni mtusi ndugu yake na Kagame una fikiri atu hongea nini kuhusu Kongo.
Na nyinyi ndugu zetu Watanzania mumesha ingiliwa zamani sana, watusi ni wengi kwenye upande wa serikali lenu muwe makini nao
Huyu mama mongoo sana
Ongeya historia vizuri ao itafute Mtu wakukufasiriya😂unacheka cheka kama Mjinga😂bila kuelewa😂background ya the really problem, it’s not fanny young girl
Hacha uhongo wewe nimtusi kumalako wewe
Anaongea uwongo hana aibu akuna wanyamurenge wakongomani ni wanyarwanda wakimbizi wa wakimbizi wa BURUNDI NA WAKONGO wawe je kupokonya eneo kwa BUNDUKI PASIPO IZINI YA WENYEJI WA TANZANIA……