AIC DAR ES SALAAM CHOIR - KALE NILITEMBEA (OfficialVideo)
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- AIC DAR ES SALAAM CHOIR tunapenda kukukaribisha kuupokea wimbo wa Kale Nilitembea. Ni matumaini yetu wimbo huu utafanyika baraka kwa maisha yako, pia ni maombi yetu kupitia wimbo huu ukapate faraja na ukafanyike kuwa maombi yako kila siku.
MUNGU akubariki, Amen!
#kalenilitembea
#WastahiliSifaMungu
#WastahiliHeshimaBWANA
Barikiwa xn wapendwa wetu kaz yenu si bure msipozimia mioyo,Mungu awakumbukeni
Wimbo mzuri sana hongereni
daah nyimbo nzuri hii be blessed guys ila daah huyo kaka aisee kapanda vizuri sanaa
umeona eeeeh, kamaliza kabisa
Nabarikiwa sana
Nawapenda mno
Hongerameni mnoo,Tisha sanaaa
Amena mtumishi 🙏
Nice song. This time around mmeonyesha ukongwe wenu kiukweli kweli.
nawakumbuka toka UKWATA miaka ya 90 kwenye Conference za wanafunzi.Kuna mama hapo ni mmmoja wa walimu wa kwaya hadi sasa anamwimbia Mungu.Mungu awabariki
Matthew Anthony sijamuona hapo nyinyi noma zaidi mzidi kuwa juuuuuu💪💪💪
Amen wastahili Bwana Hongereni watumishi kazi nzur sanaaa Mungu azid kuwainua ktk viwango vingine .
Ubarikiwe mnoo na Bwana Yesu
Nice
Yaani ni bonge la nyimbo Mungu azidi kuwapigania na kuwaongoza
Amen barikiwa pia na Bwana Yesu
Amen watumishi
Yaani viwango vyenu ni vya kimbinguni kabisa, endeleeni kumtumikia Kristo, yeye ataendelea kuwainua zaidi na zaidi.
Usifiwe msalaba, lisifiwe kaburi. Mbarikiwe Dsm Kwaya Mungu aendelee kuwanyenyekeza mtumikie kwa uaminifu
Khah!!!! Hata sijui namna ya kuwasifia na kuwapongeza....kazi nzuri hadi inakera yani. Mungu atukuzwe kwa ajili yenu wana wa Mungu
Hivi ndiyo watu wanataka kuviona,barikiwa wana wa Mungu
mbalikiwe sanaaaaah nawapnda wooote katika jina Yesu
Amen mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Amen ubarikiwe nawe pia
Hongereni saana , watu wa Mungu
Amen sifa kwa Bwana Yesu asante kwa suport
Who still listen to this song of the bless 2022 like twende kazi............
Amen, Napenda iyo chorus
Mmeimba vizuri Wana WA Mungu mbarikiwe sana
Nimeulwa wimbo Mungu awabarki sanàaaaa
Amen ubarikiwe pia..
Mungu awabariki kwa kazi nzuri
Chang’ombe hatariiiiiiiiiiii mmetishaaaaaaaa
Aict dar Choir
Hallelujah 🙏🙏
Wonderful melod6
Kazi njema sana AIC Dar es salaam choir, mmeonyesha ukongwe wenu.. mzidi kubarikiwa
Asifiwe Yesu
Nimeipenda sanaaaa mbarikiwe na Bwana Yesu Kristo
Safi sanaaaaa.Bassist na pianist nimewapenda
Watumishi wa Mungu, Mungu awabariki sana. Hivi ndivyo tunavyopaswa kumuinua Mungu wetu. Sifa utukufu na ukuu ni kwa Mungu aliyewapa kipawa hiki.
Amen Barikiwa mpendwa..
Thank you.
Wimbo wa kale nilitembea mngeuimba kama ulivyo kwenye kiitikio ungekuwa mzuri zaidi.
mpo vizuri Sana aic magomeni
Hongereni sana Mungu awabariki.
Asante kwa support mtumishi..
Uwa nikionaga hii kundi naona Mungu mzima akaja katikati yaooooo
Waoooh!be BLESSED
Amen stay blessed too
Mungu awabariki sana
Amen tubarikiwe sote
Hawa ndio aic dsm choir bhn, ukickia wengine fake 🔥🔥
Atukuzwe Yesu
Teh
Lydia 🤣😂
Wimbo wa Tone la Damu uko wapi RUclips?? Nauhitajii
Mnaimba vizuri,Mungu awabariki sana
Utukufu kwa Mungu hakika
the second lead singer👌👌
He is Congolese
Mungu awainue zaidi,
Amen
Safi sana.
I can hear the voice of Angela Chibalonza......be blessed Choir
Good songs
Usifiwe msalaba..
Baraka
You bless me alot , heavenly style , looooooots of love
Jaman mbona wimbo wa kale nilitembea uko nusu jman tunaombeni
Hongera
Asante
Nawapenda sans
good music blend,message,instrumentals,vocals.nice saana
God bless you sana sana watumishi
You bless me.
Amen..we lift higher the Name of Jesus Christ
Sikuwahi kujutia mda na mb zangu kuwasikiliza nakuwaangalia,Mungu wa Mbinguni azidikuwaonekania ktk huduma hii.
Hakuna mfano wenu,mbarikiwe sana!
I must say this wonderful brethrens.God bless you as you continue serving Him through music.visit you soon
Usifiwe meals a, Ameen.
Mungu awabariki
Blessed sanaaa
Asante u are such a blessing
I love u guys.....
I have a request, may u upload that song I think its from Hosea 2:6 , I've forgotten its title but I remember that verse Hosea 2:6......
Please please its my request
I saw it played at Upendo media and I liked it the most
So powerful verse Hosea 2:6, that is our victory as believers. When He resurrected we resurrected with Him, praise the Lord for this song
Nice song
Muziki mtamu.
Sorry msalaba
Nawapenda mno