🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 54

  • @athumankibudo2845
    @athumankibudo2845 Год назад +14

    Mbowe huwishi maisha marefy Allah akupe afyaa njemaaa

  • @amonmcharo-mh1bh
    @amonmcharo-mh1bh Год назад +12

    Kupitia Rais mama Samia naiona Tanzania mpya Mungu ibariki Tanzania

  • @herielkishimbo9052
    @herielkishimbo9052 Год назад +8

    Mungu ibariki Africa Mbariki Raisi wa Tanzania Samia Suluhu Hasan.

  • @willembwilo8833
    @willembwilo8833 Год назад +10

    Mbowe mbowe mbowe ✊🔥

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 Год назад +9

    Hongera Sana Mama umerejesha amani na upendo Ubarikiwe sana

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Год назад +6

    Africa we proud of Mama Dk samia suluhu hassan

  • @msongojumbe486
    @msongojumbe486 Год назад +1

    Mh.mbowe mungu anakuona

  • @leonardsimkoko6656
    @leonardsimkoko6656 Год назад +7

    Mama Samia suluhu Hassan kwa leo tunakupongeza sana

  • @robbindonald
    @robbindonald Год назад +5

    makini sana. freeman

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 Год назад

    Hey Mr Mbowe, where did you get this wisdom?,You speak like a learned one

  • @marydavid-sh4oh
    @marydavid-sh4oh Год назад +12

    Haijawahi kutokea duniani Mama Samia ameshangaza ulimwengu mzima anavyoonyesha nini maana ya mama waige kwake. Barikiwa Mama

  • @thepurpleonlinetv8630
    @thepurpleonlinetv8630 Год назад

    Safi sana freeman bonge la speech Mungu akubariki sana umetuwakilisha vizuri sana

  • @edwardpaulo3351
    @edwardpaulo3351 Год назад +5

    🙏🙏🙏bwowe

  • @elibarikipiniel-ft4ww
    @elibarikipiniel-ft4ww Год назад +9

    The real demonstration of being "Freeman"

  • @davidmbilinyi4715
    @davidmbilinyi4715 Год назад +3

    Mh rais mama umefanya jambo la aina yake katika taifa hili umedhirisha kua ni nchi ya amani na upendo mungu akurinde dhamira Yako ni njema sana tunaona japo katiba mpya bora ndio suruhisho na itakujengea heshima vizaz na vizaz mama Lionel hilo

  • @adamkivale-wi4vg
    @adamkivale-wi4vg Год назад +1

    Safi snaa mboweee

  • @jamallysayd3886
    @jamallysayd3886 Год назад

    Hongera sana Mh mbowe

  • @WilsonMganda-tj8yx
    @WilsonMganda-tj8yx Год назад

    Hongera, ukweli humuinua mdogo kuwa mfalme

  • @amenyemwansile6919
    @amenyemwansile6919 Год назад +1

    Kaka mbowe hujawai niangusha katika hotuba zako hotuba yako ya leo hii ni hotuba bora kuwai kutokea tangia uhuru mungu akubariki

  • @rikkahdegospel4893
    @rikkahdegospel4893 Год назад

    Hongera sana Sasa nchi itakaa vzr

  • @jumakapalila60
    @jumakapalila60 Год назад +4

    Mbowee uko vzr mno unapoongea me nakuelewaga sana,,, 2025 chukua form asije akajitokea mtu amekatwa jina ccm mkampa nafasi hyo

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Год назад +5

    Hiki chuma haswaaa kinajiamini kinaelewa nini anachoongea huchoki kumsikiliza kbs

  • @kilortingukuu
    @kilortingukuu Год назад +3

    mwashimiwa mbwe unaongea ukweli

  • @shafiimsangi8598
    @shafiimsangi8598 Год назад +1

    Iifanywa na mbabe moja. Samehe.

  • @emmanuelkasoga8194
    @emmanuelkasoga8194 Год назад +5

    Mbowe ni mwanasiasa shupavu na weredi

  • @johnfrancis6622
    @johnfrancis6622 Год назад +2

    Huyu mwamba akili mingi sana..

  • @zolomwashinga9074
    @zolomwashinga9074 Год назад +3

    Chadema tuwemakini na viongoz wavyama pinzani

  • @hechechacha4032
    @hechechacha4032 Год назад +2

    Kwa speech hii mwambie mwenyekiti mbowe Nina mbuzi wake mkubwa Sana akikanyaga Tarime ajue anambebaje ama anakula anamaliza juu yake

  • @amoogaza6825
    @amoogaza6825 Год назад

    Freeman mbowe! No hate No fear

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Год назад

    where is LISU

  • @isayasemunguruka103
    @isayasemunguruka103 Год назад

    Wanasiasa bhana daah

  • @ellyswaibu2043
    @ellyswaibu2043 Год назад +3

    Tanzania mpya ileeee

  • @teddyshedafa2940
    @teddyshedafa2940 Год назад +4

    Tumepambana jamani tangu enzi za mrema!

  • @mkijilukali2010
    @mkijilukali2010 Год назад +1

    Sasa iyo ndio siasa tunayo itaka ya kuelewana

  • @saturinimushi4746
    @saturinimushi4746 Год назад +3

    Mhe. Samia Suluhu Hassan,
    Mama wa Demokrasia Tanzania,
    She is a Real Lioness for Lead, care and protect His Children In Our Country....

    • @IbuKg-n5i
      @IbuKg-n5i 8 месяцев назад

      Nimekuelewa Sana mbowe

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 Год назад

    Mama tunaomba katiba mpya mapema,maana Kuna siku tutakujapoteana nchi itabaki jangwa.

  • @maase2023
    @maase2023 Год назад

    Huyu mbowe na chadema hawana Sera yoyote ya maana baraka sikuzote kuelezea alivochukuliwa alivoteswa basi hana kingine

  • @rosemarynyenza-lr3rb
    @rosemarynyenza-lr3rb Год назад +1

    Mbowe laiti angechukua nchi hii japo mwaka mmoja kama Raise naamini nchi igepiga hatua,

  • @bethuelkonyuniofficial7930
    @bethuelkonyuniofficial7930 Год назад +2

    Sasa nivizuri chadema tuwasamehe wabunge wetu 19 na tuwarudishe chamani

    • @hechechacha4032
      @hechechacha4032 Год назад

      Hakuna hilo

    • @bethuelkonyuniofficial7930
      @bethuelkonyuniofficial7930 Год назад

      @@hechechacha4032 kumbuka yote yaliyotokea yalisababishwa na kumwogopa mwendazake ndio,,, maana hata lema alikimbia nchi. Wasingefanya hivyo pengine wangeuawa wote. Lipi jema?

    • @richardmbasha1411
      @richardmbasha1411 Год назад +1

      Nadhani haujui nini USALITI...

  • @mwanadigital1
    @mwanadigital1 Год назад

    Katiba mpya ndio hoja tunazotaka kila wakati nakupongengeza....sijui mnapongeza nini vitu vya msingi havijadiliwi, mashairi mengiiii

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 Год назад +1

    Mbowe wewe ni Zaidi na mtu kwakweli

  • @paulmathias-ym3ut
    @paulmathias-ym3ut Год назад

    Kama kuna mtu huwa havutiwi na lafdhi yako mh Mbowe basi huyo atakiwa ni kichaa. Inaonhea point, unajua kutetea usawa wa kijinsia pamoja na maslahi kwa watanzania wote

  • @onetv7206
    @onetv7206 Год назад

    Mbowe ni watu 2 na nusu unatuma point tupu 😂

  • @wilfredmmbando689
    @wilfredmmbando689 Год назад

    😅

  • @saidally9896
    @saidally9896 Год назад

    Magufuri aliwanyoosha hadi Raha...

  • @deogratiusa.massawe8922
    @deogratiusa.massawe8922 Год назад +4

    • @richardmbasha1411
      @richardmbasha1411 Год назад +1

      Mbowe the Malcolm X of Tanzania.. May you keep breathing healthily for better days to come... You're indeed a "free man" with a free mind
      No hate no fear, kudos to Samia you have made a U-Turn and our democracy is being shaped towards a better tomorrow.

  • @msongojumbe486
    @msongojumbe486 Год назад

    Mh.mbowe mungu anakuona

  • @saidally9896
    @saidally9896 Год назад

    Magufuri aliwanyoosha hadi Raha...