Mh rais mama umefanya jambo la aina yake katika taifa hili umedhirisha kua ni nchi ya amani na upendo mungu akurinde dhamira Yako ni njema sana tunaona japo katiba mpya bora ndio suruhisho na itakujengea heshima vizaz na vizaz mama Lionel hilo
@@hechechacha4032 kumbuka yote yaliyotokea yalisababishwa na kumwogopa mwendazake ndio,,, maana hata lema alikimbia nchi. Wasingefanya hivyo pengine wangeuawa wote. Lipi jema?
Kama kuna mtu huwa havutiwi na lafdhi yako mh Mbowe basi huyo atakiwa ni kichaa. Inaonhea point, unajua kutetea usawa wa kijinsia pamoja na maslahi kwa watanzania wote
Mbowe the Malcolm X of Tanzania.. May you keep breathing healthily for better days to come... You're indeed a "free man" with a free mind No hate no fear, kudos to Samia you have made a U-Turn and our democracy is being shaped towards a better tomorrow.
Mbowe huwishi maisha marefy Allah akupe afyaa njemaaa
Kupitia Rais mama Samia naiona Tanzania mpya Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Africa Mbariki Raisi wa Tanzania Samia Suluhu Hasan.
Mbowe mbowe mbowe ✊🔥
Hongera Sana Mama umerejesha amani na upendo Ubarikiwe sana
Africa we proud of Mama Dk samia suluhu hassan
Mh.mbowe mungu anakuona
Mama Samia suluhu Hassan kwa leo tunakupongeza sana
makini sana. freeman
Hey Mr Mbowe, where did you get this wisdom?,You speak like a learned one
Haijawahi kutokea duniani Mama Samia ameshangaza ulimwengu mzima anavyoonyesha nini maana ya mama waige kwake. Barikiwa Mama
Safi sana freeman bonge la speech Mungu akubariki sana umetuwakilisha vizuri sana
🙏🙏🙏bwowe
The real demonstration of being "Freeman"
Mh rais mama umefanya jambo la aina yake katika taifa hili umedhirisha kua ni nchi ya amani na upendo mungu akurinde dhamira Yako ni njema sana tunaona japo katiba mpya bora ndio suruhisho na itakujengea heshima vizaz na vizaz mama Lionel hilo
Safi snaa mboweee
Hongera sana Mh mbowe
Hongera, ukweli humuinua mdogo kuwa mfalme
Kaka mbowe hujawai niangusha katika hotuba zako hotuba yako ya leo hii ni hotuba bora kuwai kutokea tangia uhuru mungu akubariki
Hongera sana Sasa nchi itakaa vzr
Mbowee uko vzr mno unapoongea me nakuelewaga sana,,, 2025 chukua form asije akajitokea mtu amekatwa jina ccm mkampa nafasi hyo
Hiki chuma haswaaa kinajiamini kinaelewa nini anachoongea huchoki kumsikiliza kbs
mwashimiwa mbwe unaongea ukweli
Iifanywa na mbabe moja. Samehe.
Mbowe ni mwanasiasa shupavu na weredi
Huyu mwamba akili mingi sana..
Chadema tuwemakini na viongoz wavyama pinzani
Kwa speech hii mwambie mwenyekiti mbowe Nina mbuzi wake mkubwa Sana akikanyaga Tarime ajue anambebaje ama anakula anamaliza juu yake
Freeman mbowe! No hate No fear
where is LISU
Wanasiasa bhana daah
Tanzania mpya ileeee
Tumepambana jamani tangu enzi za mrema!
Sasa iyo ndio siasa tunayo itaka ya kuelewana
Mhe. Samia Suluhu Hassan,
Mama wa Demokrasia Tanzania,
She is a Real Lioness for Lead, care and protect His Children In Our Country....
Nimekuelewa Sana mbowe
Mama tunaomba katiba mpya mapema,maana Kuna siku tutakujapoteana nchi itabaki jangwa.
Huyu mbowe na chadema hawana Sera yoyote ya maana baraka sikuzote kuelezea alivochukuliwa alivoteswa basi hana kingine
Mbowe laiti angechukua nchi hii japo mwaka mmoja kama Raise naamini nchi igepiga hatua,
Sasa nivizuri chadema tuwasamehe wabunge wetu 19 na tuwarudishe chamani
Hakuna hilo
@@hechechacha4032 kumbuka yote yaliyotokea yalisababishwa na kumwogopa mwendazake ndio,,, maana hata lema alikimbia nchi. Wasingefanya hivyo pengine wangeuawa wote. Lipi jema?
Nadhani haujui nini USALITI...
Katiba mpya ndio hoja tunazotaka kila wakati nakupongengeza....sijui mnapongeza nini vitu vya msingi havijadiliwi, mashairi mengiiii
Mbowe wewe ni Zaidi na mtu kwakweli
Kama kuna mtu huwa havutiwi na lafdhi yako mh Mbowe basi huyo atakiwa ni kichaa. Inaonhea point, unajua kutetea usawa wa kijinsia pamoja na maslahi kwa watanzania wote
Mbowe ni watu 2 na nusu unatuma point tupu 😂
😅
Magufuri aliwanyoosha hadi Raha...
Mbowe the Malcolm X of Tanzania.. May you keep breathing healthily for better days to come... You're indeed a "free man" with a free mind
No hate no fear, kudos to Samia you have made a U-Turn and our democracy is being shaped towards a better tomorrow.
Mh.mbowe mungu anakuona
Magufuri aliwanyoosha hadi Raha...